Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 88
@raphaelmwamakimbula9642 Жыл бұрын
Huyu Jamaa asilimia kubwa ya haja zake zinalenga haswa kumsaidia mtu wa chin kabisa Tena habagui.Hongera sana kwake👏
@erodeshayo123 Жыл бұрын
Unanidham sana msukuma Mungu akusimamie na ukafike mbali zaid Nimekupenda gafla msukuma
@edimundrevelian12462 жыл бұрын
Shikamoo Dr. Msukuma 💫
@patientlazaro69302 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dr. Msukuma kichwa sana aseeeee mheshimiwa umanifurahisha.ahahaha. umeonge point nyingi sana japo mwisho umenichekesha ila kwa point akili nyingi
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
Safiiiiiiiii Daktari Msukuma wewe mwenye udaktari usione wivu endelea kujiamini wewe ni Daktari tu Msukuma Daktari Mbunge hakuzuii wewe mwenye kuitwa daktari wa aina uliyonayo kuitwa daktari tupige kazi kinachomata taaluma yako ilete maendeleo na mafanikio usifurahie kuitwa daktari tuwe km wabeligiji
@robbymoy17023 ай бұрын
Nlitamani msukuma angekua ndo m bunge wetu arusha magharibi.tungekua mbali sana.namuona noah lembris yuko bze kusoma vitabu bungeni kuliko kitoka hoja na kero za wananch wa Ar Magharib..😮😮
@focuserick61622 жыл бұрын
Dah msukuma ni mtu mwenye uezo mkubwa wa kujirleza na kudadavua na anapendaza kuendelea kumsikiliza muda wote,yan ana uezo wakujenga hoja na kui i defend vizur sana sana!!
@user-ti8fn1wn1w4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤chadema naipenda msukuma nakupa kura ila kumsifia samia niunafik
@joowzeyboyjoowzee4474 Жыл бұрын
Hongera Sana msukuma
@anosiata82422 жыл бұрын
Msukuma nakuaminia Uko vizuri
@phiniasmugini90372 жыл бұрын
Mtaka katika viongoz wote wa mikoa Tanzania Hana mpinzani kwani Mungu anamsimamia mno katika kufanya kaz yake akizingatia utu na kujua kuwa hao anaofanyia NAO wanafamilia....na watu wanaomtegemea....Mungu akutangulie mtumishi
@chikubundala2305 Жыл бұрын
Msukuma Mungu akulinde
@thetwen21672 жыл бұрын
Hahahaha msukuma nakukubali sanaa
@AffectionateMarineShark-sv4tj2 ай бұрын
This man is genius in nature
@mollelstephano1364 Жыл бұрын
Msukuma upo vizuri sana
@eliassirocha39882 жыл бұрын
Mh msukuma pongeziii kwako kiongoziii mahiliii sana
@paulmkhoi81442 жыл бұрын
Hata mimi nimesoma lkn nashangaa kuona mbuge msomi anavyomchelewesha Mh Msukuma kushusha nondo zenye maslahi mapana ya nchi kwa taarifa ya kipuuzi.
@kiluwaselemani42462 жыл бұрын
Hongela mh Msukukuma ww una faa sana unasema kweli kabosa
@eliaswambura8612 жыл бұрын
Mheshimiwa uko sawa, mawazo hayo nilazima tupate mavuno yake 🤝🤝🤝🤝
@mgongolwajoseph69012 жыл бұрын
Huyuu jamaaa Yuko vyemaa Sana msukuma
@enologamapaloga87782 жыл бұрын
Logaloga, hongera sana King hailiwi uko sawa
@user-ib6ik3wt2c2 ай бұрын
Hongera yako msukum
@user-kr7wf1yg1c6 ай бұрын
Hongera sana mh musukuma
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
Antony Mtaka oyeeeeeeeee wakondya brother upo juu km piereee
@tumaintarra99602 жыл бұрын
Msukuma up vzur
@user-ze4vz9vr9f5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ ukovizur
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Ukosawa nduguyetuu musukumaa 😅😅
@alphoncekagezi49502 жыл бұрын
Nida nitatizo ! Habari ya kuendelea kubaki namba hakutusaidie kwa 100% .Vitambulisho vyetu vitolewe halisia .ex nilijiandikisha ktk usajili ktk zoezi la awali lakini sijapata kitambukisho naishia kutumia namba za nida na wàkati mwingine makosa huduma kikamilifu kwa kutokuwa na kitambulisho halisi cha Taifa sio namba ya nida tu!
@hawahawa6132 Жыл бұрын
Kbs
@boniventuresonda2 жыл бұрын
Spika wivu🤣🤣🤣#kataa wahuni🇹🇿🇲🇼
@anthonysulula7662 жыл бұрын
Msukuma,wewe ni Dr.
@saimonsaid73852 жыл бұрын
Daah huyu msukuma jamn daaah
@maulidjulius2 ай бұрын
Wewe ni kiongozi zaidi ya viongozi
@BarakerZeonlist2 жыл бұрын
so smart
@sharifally34812 жыл бұрын
Huuyu jamaa ninoma kwelii
@focuserick61622 жыл бұрын
Mbunge wa segerea bona karua anaenda kuuza sura tu jimboni ,hebu mskilize msukuma yan analeta raha kurndelea kusikiliza .
@kauyegeorge33352 жыл бұрын
Yan huyu jamaa anafaa kuw wazir
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
Safiiiiiiiii skulimet
@adelphinusbikonya85342 жыл бұрын
Yaani mbunge akijalibu tu kuongelea mambo ya muhimu taarifa za kumharibia mudi zinaanza nyamb .......HONGERA MUSUKUMA
@otianasanga91062 жыл бұрын
Zipo mpesa
@lekumolukumay68322 жыл бұрын
Msukuma unaeleweka sana
@alphoncekagezi49502 жыл бұрын
Huko nikutucheka wenzio mzee mwenzangu!
@doktamathew2 жыл бұрын
hahahahahahahahahahahaahahahahahahahahaah
@robertphilip3852 жыл бұрын
Msukuma chakutudanganya hela umezificha kwenye soks
Msukuma hapo kwenye bwawa sijakuelewa au umepiga hela
@user-dx7hb3de9e11 ай бұрын
Dah natamni nifike hapo
@mrsjerome9981 Жыл бұрын
✋✋
@jeshilamtu8632 жыл бұрын
R I P JPM 😭😭😭🇹🇿🙏
@UfunuoMsuva-yh2et Жыл бұрын
Msukuma yupo mzuli
@patrick-qm7xo2 жыл бұрын
Vizuli Sana Msukuma una tafuta cheo kwa mama
@nyambegamatoro68172 жыл бұрын
Mh mbunge, siku hizi unaupiga mwingi mno. Habari za maendeleo ya bwawa la JNHP na sgr hayaridhishi .
@deogratiusyudatadei56582 жыл бұрын
Hicho kitambulisho kimebakia kwaajili ya kubadili kadi ya benk tu hakuna lolote ufala tu Kenya na Uganda wanatumia Kama passport lakini hapo kwenu hajui nn maana ya kitambulisho Cha taifa mama mwenyew anahangaika kujipendekeza na mataifa ya ulaya ninge muona mjanja Kama kitambulusho kitakuwa Kama passport Kenya Uganda wakifika boda wanatoa kitambulisho Cha taifa tu mchezo umeisha
@hizamwaimu39182 жыл бұрын
😳😳😳😳😳😳
@omansinaw75382 жыл бұрын
Ninakuerewa kabisa msukuma
@edwardmalila52302 жыл бұрын
MSukuma unaongea vizr ila usipindixhe pointi ila wanaohusika ni wote yaan serikali na mkuu wa nchi, unajua utendaji ukiwa mbovu anayelaumiwa sio wazr ila ni rais
@timboxlee919 Жыл бұрын
Hili li king ni bonge la zuzu,lina watetea wanzibari wakati kwake hakuna lami,Rip JPM
@SamsungGalaxy-kx2zj2 жыл бұрын
Dada huna akili yy kasema ukweli kunanchi gani yenye vitambulisho Mia
@mrsjerome9981 Жыл бұрын
Ukovinzr kaka
@ahz69072 жыл бұрын
Samia mitano tena 2025
@enologamapaloga87782 жыл бұрын
Mh logaloga nakuamini King King MSUKUMAAAAAAAAAAAA
@saderaodupoi43332 жыл бұрын
Huduma number card loading in Tanzania.
@sambulugu99882 жыл бұрын
Wewe Msukuma mjinga tu! Wewe mvuvi haramu!
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@user-ti8fn1wn1w4 ай бұрын
Bogas wewe
@omansinaw75382 жыл бұрын
Musukuma umpewe urizi pesa warudishiwe pesa zao
@kingkendrickk2 жыл бұрын
Bunge la mazwazwa
@paulinanzunda3 ай бұрын
Karibulupachunyamsukumajimbolalupatunambungehewa
@godfreybikukana20792 жыл бұрын
Upewa Rushes ndio maana unajipendekeza
@kikongajoel51722 жыл бұрын
Msukuma?????????????
@saidybhokey57442 жыл бұрын
nikweli msukuma
@puyaka18492 жыл бұрын
Msukuma kwenye issue ya bwawa la Nyerere unaleta uchawa! Unaongea upuuzi wewe
@rashidngwawile90622 жыл бұрын
Kumbe nawe umeona. Kushukuru kwa kurijuwa hilo
@jonhjoseph Жыл бұрын
Hong era kasheku
@onesmojustice23482 жыл бұрын
Hao tatizo linalowasumbua wanafikiri wakifanya kinyuma na alivyofanya jpm eti wanamkomoa kwa sababu walikuwa hawampendi kwa kuwa alikuwa anawafavour Wat wenye kipato cha chini. Wao Sasa Sera yao ata Kama hujaenda shule utagundua ni kuwafavour watu wenye kipato cha juu matajiri na kuwakandamiza watu wenye vipato vidogo ndo mkakati wao. Yaani wanapambana na mtu aliyekufa sijui ni uongoz wa namna gani. Yaani unawaongezea Kodi watu wenye kipato kidogo halafu unajinadi unataka kukuza uchumi. Halafu mnaogopa kusema kweli mnazunguka