Wee jamaa unajua sana Mtafute Oruma, Jemedari Oscar na wenye Hali kama zako especially wale wanaojiita wachambuzi E FM UWAPE SHULE
@danielshauri639015 күн бұрын
Asante sana
@user-pw5jt5mj6k9 күн бұрын
Kaka unajua sana mpira..
@marcobulili434115 күн бұрын
Kocha Gamond amsikilize sana mbwaduke
@lucymsheshi587115 күн бұрын
Yupo video analyst tayari
@double.s.fumigation998414 күн бұрын
@obelmwasenga1878 күн бұрын
Mzee wa data, hongera sana kwa uchambuzi mzuri, tuko pamoja nawe.
@eliudmbange227814 күн бұрын
Kazi nzuri
@user-dq1qs7nc4o15 күн бұрын
utamu huoooooooooo 💚💚💚💚💚💚
@michaeldaudmaguta43007 күн бұрын
Hakika wewe bonge la mchambuzi Tanzania hii
@dicksonngasapa700714 күн бұрын
Nadhani timu yangu yanga inataka kucheza kombe la Dunia ,Sio kwa usafiri huu❤
@Ba6382815 күн бұрын
Sasa YANGA walishindwaje kuyaona hayo mapungufu ya Boka? Lomalisa was better.
@user-po8hz7xw9j15 күн бұрын
Boka mzr
@Ba6382815 күн бұрын
@@user-po8hz7xw9j let us wait and see japo sikuona udhaifu wa Lomalisa
@MbwadukeStats15 күн бұрын
YUanga wanayajua yote haya na tena kwa undani zaidi...benchi la ufundi ndiyo kazi yake kushirikiana na mchezaji ili kumfanya awe bora zaidi. Hakuna na hakujawahi kutokea mchezaji duniani aliyekamilika kwa asilimia 100.
@malietamaliet15 күн бұрын
Lomalisa umri sana sana ndo umemtoa na injury wamemleta uyu alete ushindani Kwa kibabage