Kazi nzuri mpigapicha jitahidi kurebisha kazi yako
@josephatn504023 күн бұрын
Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).
@jonamnyone801423 күн бұрын
Kwa kiswahili hakuna awali ya kwanza na awali ya pili. Hivyo Mbwaduke yuko sawa
@user-lw2ox8fu7t23 күн бұрын
Huyo ni nyuma mwiko wabishi kwel
@chrispinmkanda609723 күн бұрын
@@user-lw2ox8fu7t 🤣🤣🤣
@lameckshaba81323 күн бұрын
Bwana wewe yanga ni wadogo tu. Acha kuipamba
@samwelsimon739223 күн бұрын
yaani hapo ndo mimi nachokaga niona wanayanga wanaibeza simba jayanti
@WillfredMisungwi23 күн бұрын
Wa kwanza naomba likes zenu wadau
@Magicalstp50223 күн бұрын
😂
@ShafiiHungo23 күн бұрын
Yanga tusha ingia makundi insha allah muda ufiketu tutembee kichapo 5 5au zaidi
@robertsongola603423 күн бұрын
Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa
@bone10223 күн бұрын
Sema ww hujamuelewa usiweke uwingi mzee 😂
@johnmbwile398023 күн бұрын
Jamani muelewe tuu!
@MeshackKamenya23 күн бұрын
Michezo haipo kwenye muungano tofautisha hilo Bara na visiwani kila nchi inaendesha kivyake
@KokoloLambinguni23 күн бұрын
Eti tuna muungano eti nchi moja
@adammafuru797123 күн бұрын
Mpiga picha holaa
@jumazubeir578723 күн бұрын
💯🙏
@user-gx9rc9dz5s22 күн бұрын
Kama makundi ya ng,ombe sawa
@MbwadukeStats22 күн бұрын
Duuh!
@bkkomesho927223 күн бұрын
Dada unajua kuongea, sema hujui kuhiji by series, yaani Kuna madin yalikuwa yanakuja afu unahoji maswali tofauti
@allytv171423 күн бұрын
Unatuchanganya sema iv simba inaanza atua ya pili cz ipo juu yanga atua ya awali unatupa maelezo marefu na atufanani
@AgartonMheza-ul3ww23 күн бұрын
Dada jifunze kuhoji vizur
@user-wr7wp9sl2p23 күн бұрын
Inaonekana yuko field
@khamisrashid658123 күн бұрын
Tanzania zimeshiriki timu 6 bas sio 4
@bone10223 күн бұрын
Bendera ya Tanzania na zanzibar zinafanana kama zinafanana basi Tz timu sita ila kama hazifanani bas tz kapeleka timu 4
@user-yn4oi3cz2v23 күн бұрын
Kwaheri AZAM
@johnmushi873923 күн бұрын
Unamwona mbwaduke nusu kipande wakat ndo mlengwa
@user-uv1yl7ht9c22 күн бұрын
Kwahy ninama@nishann
@khamisrashid658123 күн бұрын
Tanzania kimataifa ni timu 5 sio 4 na uhamiaji za zanzibar
@boscoShama23 күн бұрын
Mtangazaji anaharaka kama muogea nje anarukaruka
@rizikylaizer160223 күн бұрын
Wewe mgeni uku huyu jamaa anachambua vizuri sana take your time utanishukuru
@elishajohn45523 күн бұрын
Yan kama ungekuwa mwalimu wangu, ningeamishiana godoro langu darasani😅...maelezo mpka marefu na yanajirudia kwenye kila post
@saidilikananowe144623 күн бұрын
Mr mbwaduke vp camera mbona haijachukuliwa vzr unatuangusha watazamaji wako hii chanel yetu pendwa.
@Cutenaah23 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@robertchazya235123 күн бұрын
Camera man unaleta mapenzi kwenye kaz siyo?😂😂
@johnmushi873923 күн бұрын
Mpiga picha nadhani hana D mbil, arud shule
@FucianeBulemo-nd4wc23 күн бұрын
Mpiga picha mbona host humuonyeshi
@DavyShine-pb7jb23 күн бұрын
Video camera jitahid unatuangusha
@KiboJoseph-cc5eu22 күн бұрын
nadhani wameset camera, hawana moiga picha
@MbwadukeStats22 күн бұрын
Umetisha sana Bro! Palitokea dharura kwa Mpigapicha hivyo akakosekana kufanya settings zake kwa usahihi. Kilichofuata duh...ndiyo hilo balaa! Kumradhi. Tunashukuru sana kwa kuendelea kutuunga mkono!