MBWADUKE: RATIBA CAF MWENDO MDUNDO YANGA, SIMBA/ AZAM KIBABE SANA NJIA YA PYRAMIDS/ COASTAL...

  Рет қаралды 31,155

Mbwaduke Stats

Mbwaduke Stats

25 күн бұрын

Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Пікірлер: 55
@alexanderfute4559
@alexanderfute4559 23 күн бұрын
Mtangazaji anakera sana tunakosa uhondo kabisa
@annofrancis3697
@annofrancis3697 23 күн бұрын
Kazi nzuri mpigapicha jitahidi kurebisha kazi yako
@josephatn5040
@josephatn5040 23 күн бұрын
Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 23 күн бұрын
Kwa kiswahili hakuna awali ya kwanza na awali ya pili. Hivyo Mbwaduke yuko sawa
@user-lw2ox8fu7t
@user-lw2ox8fu7t 23 күн бұрын
Huyo ni nyuma mwiko wabishi kwel
@chrispinmkanda6097
@chrispinmkanda6097 23 күн бұрын
​@@user-lw2ox8fu7t 🤣🤣🤣
@lameckshaba813
@lameckshaba813 23 күн бұрын
Bwana wewe yanga ni wadogo tu. Acha kuipamba
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 23 күн бұрын
yaani hapo ndo mimi nachokaga niona wanayanga wanaibeza simba jayanti
@WillfredMisungwi
@WillfredMisungwi 23 күн бұрын
Wa kwanza naomba likes zenu wadau
@Magicalstp502
@Magicalstp502 23 күн бұрын
😂
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 23 күн бұрын
Yanga tusha ingia makundi insha allah muda ufiketu tutembee kichapo 5 5au zaidi
@robertsongola6034
@robertsongola6034 23 күн бұрын
Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa
@bone102
@bone102 23 күн бұрын
Sema ww hujamuelewa usiweke uwingi mzee 😂
@johnmbwile3980
@johnmbwile3980 23 күн бұрын
Jamani muelewe tuu!
@MeshackKamenya
@MeshackKamenya 23 күн бұрын
Michezo haipo kwenye muungano tofautisha hilo Bara na visiwani kila nchi inaendesha kivyake
@KokoloLambinguni
@KokoloLambinguni 23 күн бұрын
Eti tuna muungano eti nchi moja
@adammafuru7971
@adammafuru7971 23 күн бұрын
Mpiga picha holaa
@jumazubeir5787
@jumazubeir5787 23 күн бұрын
💯🙏
@user-gx9rc9dz5s
@user-gx9rc9dz5s 22 күн бұрын
Kama makundi ya ng,ombe sawa
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 22 күн бұрын
Duuh!
@bkkomesho9272
@bkkomesho9272 23 күн бұрын
Dada unajua kuongea, sema hujui kuhiji by series, yaani Kuna madin yalikuwa yanakuja afu unahoji maswali tofauti
@allytv1714
@allytv1714 23 күн бұрын
Unatuchanganya sema iv simba inaanza atua ya pili cz ipo juu yanga atua ya awali unatupa maelezo marefu na atufanani
@AgartonMheza-ul3ww
@AgartonMheza-ul3ww 23 күн бұрын
Dada jifunze kuhoji vizur
@user-wr7wp9sl2p
@user-wr7wp9sl2p 23 күн бұрын
Inaonekana yuko field
@khamisrashid6581
@khamisrashid6581 23 күн бұрын
Tanzania zimeshiriki timu 6 bas sio 4
@bone102
@bone102 23 күн бұрын
Bendera ya Tanzania na zanzibar zinafanana kama zinafanana basi Tz timu sita ila kama hazifanani bas tz kapeleka timu 4
@user-yn4oi3cz2v
@user-yn4oi3cz2v 23 күн бұрын
Kwaheri AZAM
@johnmushi8739
@johnmushi8739 23 күн бұрын
Unamwona mbwaduke nusu kipande wakat ndo mlengwa
@user-uv1yl7ht9c
@user-uv1yl7ht9c 22 күн бұрын
Kwahy ninama@nishann
@khamisrashid6581
@khamisrashid6581 23 күн бұрын
Tanzania kimataifa ni timu 5 sio 4 na uhamiaji za zanzibar
@boscoShama
@boscoShama 23 күн бұрын
Mtangazaji anaharaka kama muogea nje anarukaruka
@rizikylaizer1602
@rizikylaizer1602 23 күн бұрын
Wewe mgeni uku huyu jamaa anachambua vizuri sana take your time utanishukuru
@elishajohn455
@elishajohn455 23 күн бұрын
Yan kama ungekuwa mwalimu wangu, ningeamishiana godoro langu darasani😅...maelezo mpka marefu na yanajirudia kwenye kila post
@saidilikananowe1446
@saidilikananowe1446 23 күн бұрын
Mr mbwaduke vp camera mbona haijachukuliwa vzr unatuangusha watazamaji wako hii chanel yetu pendwa.
@Cutenaah
@Cutenaah 23 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@robertchazya2351
@robertchazya2351 23 күн бұрын
Camera man unaleta mapenzi kwenye kaz siyo?😂😂
@johnmushi8739
@johnmushi8739 23 күн бұрын
Mpiga picha nadhani hana D mbil, arud shule
@FucianeBulemo-nd4wc
@FucianeBulemo-nd4wc 23 күн бұрын
Mpiga picha mbona host humuonyeshi
@DavyShine-pb7jb
@DavyShine-pb7jb 23 күн бұрын
Video camera jitahid unatuangusha
@KiboJoseph-cc5eu
@KiboJoseph-cc5eu 22 күн бұрын
nadhani wameset camera, hawana moiga picha
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 22 күн бұрын
Umetisha sana Bro! Palitokea dharura kwa Mpigapicha hivyo akakosekana kufanya settings zake kwa usahihi. Kilichofuata duh...ndiyo hilo balaa! Kumradhi. Tunashukuru sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
@user-pb1mw6mo9c
@user-pb1mw6mo9c 23 күн бұрын
Tanzania zpo tm 6 kla mwndxh anakosea kusem tnatim 4 zpo 6 jman
@FootballLaduma
@FootballLaduma 23 күн бұрын
Kwa mashindano ya CAF, Zanzibar ni nchi
@khamisrashid6581
@khamisrashid6581 23 күн бұрын
Ww mwandishi inaonekana nimbaguzi ww
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,4 МЛН
MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - AZAM TV 10/07/2024
22:22
Azam TV
Рет қаралды 65 М.
ULIVE: YANGA DAY MOJA KWA MOJA KUTOKA BENJAMIN  MKAPA
ufmradiotz
Рет қаралды 197