MBWADUKE: RATIBA CAF MWENDO MDUNDO YANGA, SIMBA/ AZAM KIBABE SANA NJIA YA PYRAMIDS/ COASTAL...

  Рет қаралды 31,169

Mbwaduke Stats

Mbwaduke Stats

27 күн бұрын

Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Пікірлер: 55
@alexanderfute4559
@alexanderfute4559 24 күн бұрын
Mtangazaji anakera sana tunakosa uhondo kabisa
@annofrancis3697
@annofrancis3697 24 күн бұрын
Kazi nzuri mpigapicha jitahidi kurebisha kazi yako
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 24 күн бұрын
Yanga tusha ingia makundi insha allah muda ufiketu tutembee kichapo 5 5au zaidi
@johnmbwile3980
@johnmbwile3980 24 күн бұрын
Jamani muelewe tuu!
@josephatn5040
@josephatn5040 25 күн бұрын
Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 24 күн бұрын
Kwa kiswahili hakuna awali ya kwanza na awali ya pili. Hivyo Mbwaduke yuko sawa
@user-lw2ox8fu7t
@user-lw2ox8fu7t 24 күн бұрын
Huyo ni nyuma mwiko wabishi kwel
@chrispinmkanda6097
@chrispinmkanda6097 24 күн бұрын
​@@user-lw2ox8fu7t 🤣🤣🤣
@lameckshaba813
@lameckshaba813 24 күн бұрын
Bwana wewe yanga ni wadogo tu. Acha kuipamba
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 24 күн бұрын
yaani hapo ndo mimi nachokaga niona wanayanga wanaibeza simba jayanti
@WillfredMisungwi
@WillfredMisungwi 25 күн бұрын
Wa kwanza naomba likes zenu wadau
@Magicalstp502
@Magicalstp502 25 күн бұрын
😂
@robertsongola6034
@robertsongola6034 25 күн бұрын
Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa
@bone102
@bone102 24 күн бұрын
Sema ww hujamuelewa usiweke uwingi mzee 😂
@adammafuru7971
@adammafuru7971 24 күн бұрын
Mpiga picha holaa
@user-gx9rc9dz5s
@user-gx9rc9dz5s 24 күн бұрын
Kama makundi ya ng,ombe sawa
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 24 күн бұрын
Duuh!
@jumazubeir5787
@jumazubeir5787 25 күн бұрын
💯🙏
@MeshackKamenya
@MeshackKamenya 24 күн бұрын
Michezo haipo kwenye muungano tofautisha hilo Bara na visiwani kila nchi inaendesha kivyake
@KokoloLambinguni
@KokoloLambinguni 24 күн бұрын
Eti tuna muungano eti nchi moja
@bkkomesho9272
@bkkomesho9272 24 күн бұрын
Dada unajua kuongea, sema hujui kuhiji by series, yaani Kuna madin yalikuwa yanakuja afu unahoji maswali tofauti
@user-yn4oi3cz2v
@user-yn4oi3cz2v 24 күн бұрын
Kwaheri AZAM
@allytv1714
@allytv1714 24 күн бұрын
Unatuchanganya sema iv simba inaanza atua ya pili cz ipo juu yanga atua ya awali unatupa maelezo marefu na atufanani
@AgartonMheza-ul3ww
@AgartonMheza-ul3ww 25 күн бұрын
Dada jifunze kuhoji vizur
@user-wr7wp9sl2p
@user-wr7wp9sl2p 24 күн бұрын
Inaonekana yuko field
@khamisrashid6581
@khamisrashid6581 24 күн бұрын
Tanzania kimataifa ni timu 5 sio 4 na uhamiaji za zanzibar
@khamisrashid6581
@khamisrashid6581 24 күн бұрын
Tanzania zimeshiriki timu 6 bas sio 4
@bone102
@bone102 24 күн бұрын
Bendera ya Tanzania na zanzibar zinafanana kama zinafanana basi Tz timu sita ila kama hazifanani bas tz kapeleka timu 4
@elishajohn455
@elishajohn455 24 күн бұрын
Yan kama ungekuwa mwalimu wangu, ningeamishiana godoro langu darasani😅...maelezo mpka marefu na yanajirudia kwenye kila post
@Cutenaah
@Cutenaah 25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@johnmushi8739
@johnmushi8739 24 күн бұрын
Unamwona mbwaduke nusu kipande wakat ndo mlengwa
@user-uv1yl7ht9c
@user-uv1yl7ht9c 24 күн бұрын
Kwahy ninama@nishann
@FucianeBulemo-nd4wc
@FucianeBulemo-nd4wc 24 күн бұрын
Mpiga picha mbona host humuonyeshi
@boscoShama
@boscoShama 24 күн бұрын
Mtangazaji anaharaka kama muogea nje anarukaruka
@rizikylaizer1602
@rizikylaizer1602 24 күн бұрын
Wewe mgeni uku huyu jamaa anachambua vizuri sana take your time utanishukuru
@saidilikananowe1446
@saidilikananowe1446 24 күн бұрын
Mr mbwaduke vp camera mbona haijachukuliwa vzr unatuangusha watazamaji wako hii chanel yetu pendwa.
@DavyShine-pb7jb
@DavyShine-pb7jb 24 күн бұрын
Video camera jitahid unatuangusha
@robertchazya2351
@robertchazya2351 24 күн бұрын
Camera man unaleta mapenzi kwenye kaz siyo?😂😂
@KiboJoseph-cc5eu
@KiboJoseph-cc5eu 24 күн бұрын
nadhani wameset camera, hawana moiga picha
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 24 күн бұрын
Umetisha sana Bro! Palitokea dharura kwa Mpigapicha hivyo akakosekana kufanya settings zake kwa usahihi. Kilichofuata duh...ndiyo hilo balaa! Kumradhi. Tunashukuru sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
@johnmushi8739
@johnmushi8739 24 күн бұрын
Mpiga picha nadhani hana D mbil, arud shule
@user-pb1mw6mo9c
@user-pb1mw6mo9c 24 күн бұрын
Tanzania zpo tm 6 kla mwndxh anakosea kusem tnatim 4 zpo 6 jman
@FootballLaduma
@FootballLaduma 24 күн бұрын
Kwa mashindano ya CAF, Zanzibar ni nchi
@khamisrashid6581
@khamisrashid6581 24 күн бұрын
Ww mwandishi inaonekana nimbaguzi ww
MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 05/08/2024
50:39
Azam TV
Рет қаралды 1,5 М.
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 125 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 23 МЛН
Mbosso Alipotembelea Kiwanda Cha Diamond Karanga
19:43
Mbosso
Рет қаралды 113 М.
HOUSE GIRL EP 10 || SEASON 2 || Love Story💕💕
26:00
BUSATI TV
Рет қаралды 27 М.