Kazi nzuri mpigapicha jitahidi kurebisha kazi yako
@ShafiiHungo24 күн бұрын
Yanga tusha ingia makundi insha allah muda ufiketu tutembee kichapo 5 5au zaidi
@johnmbwile398024 күн бұрын
Jamani muelewe tuu!
@josephatn504025 күн бұрын
Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).
@jonamnyone801424 күн бұрын
Kwa kiswahili hakuna awali ya kwanza na awali ya pili. Hivyo Mbwaduke yuko sawa
@user-lw2ox8fu7t24 күн бұрын
Huyo ni nyuma mwiko wabishi kwel
@chrispinmkanda609724 күн бұрын
@@user-lw2ox8fu7t 🤣🤣🤣
@lameckshaba81324 күн бұрын
Bwana wewe yanga ni wadogo tu. Acha kuipamba
@samwelsimon739224 күн бұрын
yaani hapo ndo mimi nachokaga niona wanayanga wanaibeza simba jayanti
@WillfredMisungwi25 күн бұрын
Wa kwanza naomba likes zenu wadau
@Magicalstp50225 күн бұрын
😂
@robertsongola603425 күн бұрын
Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa
@bone10224 күн бұрын
Sema ww hujamuelewa usiweke uwingi mzee 😂
@adammafuru797124 күн бұрын
Mpiga picha holaa
@user-gx9rc9dz5s24 күн бұрын
Kama makundi ya ng,ombe sawa
@MbwadukeStats24 күн бұрын
Duuh!
@jumazubeir578725 күн бұрын
💯🙏
@MeshackKamenya24 күн бұрын
Michezo haipo kwenye muungano tofautisha hilo Bara na visiwani kila nchi inaendesha kivyake
@KokoloLambinguni24 күн бұрын
Eti tuna muungano eti nchi moja
@bkkomesho927224 күн бұрын
Dada unajua kuongea, sema hujui kuhiji by series, yaani Kuna madin yalikuwa yanakuja afu unahoji maswali tofauti
@user-yn4oi3cz2v24 күн бұрын
Kwaheri AZAM
@allytv171424 күн бұрын
Unatuchanganya sema iv simba inaanza atua ya pili cz ipo juu yanga atua ya awali unatupa maelezo marefu na atufanani
@AgartonMheza-ul3ww25 күн бұрын
Dada jifunze kuhoji vizur
@user-wr7wp9sl2p24 күн бұрын
Inaonekana yuko field
@khamisrashid658124 күн бұрын
Tanzania kimataifa ni timu 5 sio 4 na uhamiaji za zanzibar
@khamisrashid658124 күн бұрын
Tanzania zimeshiriki timu 6 bas sio 4
@bone10224 күн бұрын
Bendera ya Tanzania na zanzibar zinafanana kama zinafanana basi Tz timu sita ila kama hazifanani bas tz kapeleka timu 4
@elishajohn45524 күн бұрын
Yan kama ungekuwa mwalimu wangu, ningeamishiana godoro langu darasani😅...maelezo mpka marefu na yanajirudia kwenye kila post
@Cutenaah25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@johnmushi873924 күн бұрын
Unamwona mbwaduke nusu kipande wakat ndo mlengwa
@user-uv1yl7ht9c24 күн бұрын
Kwahy ninama@nishann
@FucianeBulemo-nd4wc24 күн бұрын
Mpiga picha mbona host humuonyeshi
@boscoShama24 күн бұрын
Mtangazaji anaharaka kama muogea nje anarukaruka
@rizikylaizer160224 күн бұрын
Wewe mgeni uku huyu jamaa anachambua vizuri sana take your time utanishukuru
@saidilikananowe144624 күн бұрын
Mr mbwaduke vp camera mbona haijachukuliwa vzr unatuangusha watazamaji wako hii chanel yetu pendwa.
@DavyShine-pb7jb24 күн бұрын
Video camera jitahid unatuangusha
@robertchazya235124 күн бұрын
Camera man unaleta mapenzi kwenye kaz siyo?😂😂
@KiboJoseph-cc5eu24 күн бұрын
nadhani wameset camera, hawana moiga picha
@MbwadukeStats24 күн бұрын
Umetisha sana Bro! Palitokea dharura kwa Mpigapicha hivyo akakosekana kufanya settings zake kwa usahihi. Kilichofuata duh...ndiyo hilo balaa! Kumradhi. Tunashukuru sana kwa kuendelea kutuunga mkono!