Huyu Mzee simkubali hata kidg lakn katika hili yuko sahihi 100% kabisaaaa
@nelsonleonard676823 күн бұрын
Halafu kwenye hii post nimegundua akina dada ndo wamekuwa wakali sana sijui kwann😂😂😂😂😂😂
@user-uj5wg9mm2t23 күн бұрын
😂😂😂😂
@abuum376021 күн бұрын
😂😂😂😂
@ELIZABETH-uz6dv21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-id8ys3lg5d21 күн бұрын
Janga la wadada wengi 😂😂😂❤
@emmadora784820 күн бұрын
Sio wakali ila Kwa kuwa hizo bikra hawajitoi wenyewe ,basi pia jamii iwafundishe vijana wakiume kujiheshimu na kuwaheshimu dada zao
@ayoubmtumishi5023 күн бұрын
Ni kweli kabisa mke wa ujana ni uliyemtoa ubikra. Someni katika kisa cha Amnoni na Tamari.
@engineerjuma987623 күн бұрын
Umetoa bikira bint wa mtu kwa ridhaa ya nani? Ninyi wakilisto hamjui nini ZINAA
@blessingcharles-lc1rr23 күн бұрын
Kwahiy waliobakwa na baba zao waolewe nao
@AlexAward-gg6lu22 күн бұрын
Da a nimejikuta nipo kwenye wakati mgumu baada ya kusikilza habar za Nikita Yan nmevurugwa ngoja npambane mpaka npate Nikita wake Zang wore na wabwaga
@vicentmtiro692722 күн бұрын
Kwani unadhani walioana??
@ELIZABETH-uz6dv21 күн бұрын
@blessingcharles-lc1rr 😂😂😂😂😂
@MrTop-wj7no17 күн бұрын
Daah basi mimi sijapata mke wa ujana wangu maana wote ninaokutana nao ni ndoo😂😂😂😂
@user-eg1mz6vo1d23 күн бұрын
Kweli kabisaaa Mzee that's why I appreciate you 🙏 umeongea ukweli mtupu yaaahni umetishaaa sanaaaa
@djnizoh23 күн бұрын
For sure
@user-wz3ne2kc3o22 күн бұрын
Kweli kabisa japo jamii ya sasa haitaki kusikia ukweli huu pongezi kwako na elimu hii irudishwe na iwekwe msimamo kabisa
@muksinimbaruku123323 күн бұрын
Wadangaji na walioa wasiokuwa bikra wamepanic sana, lakini ata ww unayefurahia kwakuwa bikra usijimalize sema tu Ahsante mungu alafu kausha, maana siku hizi znatengenezwa mtaani
@ELIZABETH-uz6dv21 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@JulianaMaimu23 күн бұрын
Mmmmh jamani pastor huyo kagusa mahali patam. Nimempenda Sana huyo pastor amenikumbusha jamani tukilelewa na Mama yetu alivyokuwa anatufundisha
@dancemoves423 күн бұрын
😂😂😂😂Oscar anasema huwenda sisi wengine. Hatujawahi kukutana na watu wenye ujana mnaujua ujana nyie😂😂😂😂
@athumanimhanga205323 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@ELIZABETH-uz6dv21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@jumaradhomary859119 күн бұрын
Ila oscar😂😂😂😂
@ludovicshirima179318 күн бұрын
Kasem kwl lakn
@DavidNdaha23 күн бұрын
Kiukweli alie towa Bikra nikweli ndo mme wake Ila changamoto
@HkidKapinga23 күн бұрын
Ndo maana hata yusuph alitaka kumuacha mariam kwa siri, baada yakugundua mariam mjamzito,akijua bikira imetolewa na mtu nwingine,hadi malaika alipompa go ahead
@danieljohn690421 күн бұрын
Kama ni hivyo sasa mbna alimuoa..?usidanganywe hayo ni mambo ya kale kabla ya Yesu mwenyewe mfalme wa ulimwengu soma 2Wakorintho5:17-19 na Yohana 3:1-7
@ngoyabaraka814322 күн бұрын
Ni sahihi Sasa unakuta mwanaume kaoa mke, bikra kaikosa pia mimba ya kwanza kaikosa, mtoto wa kwanza kamkosa, mechi inanza mbili bila au moja bila ndo wake wetu wa Sasa gen z😅
@user-ly2tv5og1n23 күн бұрын
Wasichana wajichunge Bikra zao, ni muhimu.
@emmadora784820 күн бұрын
Na wanaume pia ,kwani hao wadada wanajitoa wenyewe hizo bikra?
@user-sj3wf5vz7l22 күн бұрын
Ni ukweli ubikira ni agano. Hilo ni kweli. Na kutairi mtoto ni agano moja hatari sana. Mungu tusaidie. Wazee wetu walitairi vijana. Sasa tunawapeleka kwa watu tusiowajua wanatairi watoto wanaingia nao maagano. Mungu tusaidie. Unashangaa mtoto anakuwa. Na tabia za ajabu.
@user-kq7mp8qz9e23 күн бұрын
Kwahiyo kunawajanja kutoa bikra ndio jazi yao nasisi wengine hatujawahi kktana nabikra basi shida
@MeshackKamenya23 күн бұрын
Ni sahihi kabisa mzee wa upako
@user-hj8sc7jv5m22 күн бұрын
Ni kweli mm nilitafuta mke mwenye bikira nilikuwa siamini kuoa mwanamke asiye na bikira atakuwa mke sahihi. Naamini mwanamke uliembikiri hawezi kukusahau maishani kamwe hata mfanyaje
@Khadija-f7b23 күн бұрын
Kweli kabisa umeongea mie nashindwa kumsahau mume wangu wa agano keo miaka ishilini ,siko nae lkn namkumbuka mno nitafanya mpango nirusi kwa mume wangu inshallah
@AbisaiMwambene-fo9pt22 күн бұрын
Kama huyo aliye kuwa wa kwanza kwako na akaoa Alie bikra ndo anaeishi nae unarudije kwamfano?
@neemajames513723 күн бұрын
Uko sahihi kabisa
@user-vb7vw2jr7d22 күн бұрын
Nisawa shida nikupita gari kubwa halafu wewe upite na bajaji au na pikpiki ndio migogoro inaanzia hapo
@Mahershalalhashbazi-kf6xi19 күн бұрын
Pwaku pwaku
@TarimoMangi23 күн бұрын
Bro, Me ni MANGI na saiv a miaka 25,kwa sasa najiandaa kuoa lakini STAKI KABISA KUOA MWANAMKE ASIYE KUA NA BIKRA maana kwanza ntakua nachukua makombo, napia kwa sisi waktisto kuoa mwanamke ambae amesha ungana na wanaume wengine au mwingine kimwili inamadhara makubwa sana KIROHO,inakufanyA usiwe na nguvu kiroho na pia inaondoa baraka kwa watoto wako.
@TarimoMangi23 күн бұрын
Kwahiyo mzee ameongea ukweli 100%
@AwardHakimu23 күн бұрын
Upo sawa hizo takataka ambazo hazina bikra weka kushoto Mimi mwenyewe naoa bikra Bora nilipe mahali kubwa lakini nioe bikra
@emmadora784820 күн бұрын
Basi hakikisha na wewe hufanyi kabla ya ndoa ,Kwa sababu pia ukristo haujaruhusu mwanaume kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa
@TarimoMangi20 күн бұрын
Me ni mkweli kaka, maana ukristo hauturuhusu kusema uongo
@TarimoMangi20 күн бұрын
Amen kaka
@kdloon203023 күн бұрын
Huyo dada mtangazaji alivyo dakia juu kwa juu na kuseama"Basi yabidi turudiane na ma X wetu"yaelekea bado unamfikiria X wake
@user-sj3wf5vz7l22 күн бұрын
Yani hii kitu ya agano achana nayo. Haya issue yakutairi watoto ni agano. Yani watoto walitakiwa watairiwe na wazee wa kanisa. Tunapeleka watoto kutairiwa wanaingia maagano na watu wasiowajua. Haya mambo ni magumu sana .
@ismailsoud36346 күн бұрын
Ni kweli sana, Bikira ni dhamana, amepewa mwanamke, hivyo atakaye mpa akala huyo ndiyo mumewe. Utakapo muoa wewe siku ya kiama ujuwe atadai mke wake na hivyo utamlipa ndiyo uwe naye.
@davidmangilile356823 күн бұрын
Upo sahihi sana %90 ya wanawake wanaolewa wanakuwa wanawake wa watu kwakuwa wanaolewa wakiwa tayali washatumika😅😅😅
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur23 күн бұрын
Huyo mtangazaji wa kike imemuuma sana mpaka kaamua kubadilisha maada maana bikra alitolewa kitambo na jamaa hajamuoa maskini inauma mpaka kaamua kubadilisha maada kaenda kwenye idadi kubwa ya wanawake kwenye makanisa Aliyoyaongea Mzee wa Upako Yote kuhusu Bikra, dhambi, Agano la damu yote ni kweli
@rauncesimwaka132021 күн бұрын
Mfalme daudi alioa mke wa hulia Kwa hiyo hakua mke
@maclean77274 күн бұрын
Mzee umeongea hekima sana, lakini, umechelewa tumeshakosea, hatujui tufanyaje, maana hawa wanawake hawatuheshimu kabisa, nao ni vichwa vya familia.
@marcobulili434123 күн бұрын
Ila uko sahihi kabisa mchungaji!
@SylivesterKilunga23 күн бұрын
Kwahili nimekukubali sana
@thetrailerzone279123 күн бұрын
Ni ukwl anaosema
@shau7823 күн бұрын
ni kweli kabisa mchungaji anavyosema. lakini mimi kama mkristo naamini kwenye kutubu dhambi na kumuomba Mungu abadilishe pale palipokosewa. na Mungu hashindwi kitu. Mwanamke alietunza bikra mpaka akaolewa, kisha akazini baada ya kuolewa hana haki kuliko mwanamke aliekutwa hana bikra (hata kama alikuwa dada poa), lakini akatubu kwa dhati na kutulia na mume wake.
@peterrulagora740319 күн бұрын
Mungu akubariki
@shaddybmc834223 күн бұрын
Nakubali baba , iyo ni kwel kabisa🎉😂
@jafethleonard582123 күн бұрын
True
@user-gv2un4jl3m23 күн бұрын
Oscar mbona kama kazuubaa hajawahi kukutana na kisiki nini? Kisiki ni BIKRA
@jumaradhomary859119 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@98Maktaba23 күн бұрын
Alafu mazee yasikuhuzi bila aibu yanatutoza mahali kuuuubwaa bila kuwaza kuwa yanatupatia chocolate kwenye gazeti shame on them and they are daughters
@husseinmassawa718622 күн бұрын
Oscar na baba levo hao wote mliowaowa sio wake zenu, nendeni mkatafute wake zenu😅
@user-sj3wf5vz7l22 күн бұрын
Hii issue ya agano . Hasa kutairi. Siku namtairi mtoto nilizimia. Kutairi ni agano la damu. Sasa wakristo tunatakiwa kufanyaje. Haya mambo magumu
@ArobogastMashamba23 күн бұрын
Ndo maana kwenye WOKOVU hakuna upenzi/ugirlfriend/uboyfriend...ni uchumba kisha ndoa
@maxmiliangunze893123 күн бұрын
Mtumishi yupo sahih kabisa tunaingiliana tuu kaa wanyama..... Tuoe kihalari bikra
@MagrethMhina23 күн бұрын
Upo sahihi baba sasa inabidi mch kabla hajafungisha ndoa mabint waulizwe na kuwa wakweli kua na bikra wapimwe kama wachumba wanapima hiv barikiwa mabinti wasiwe na vishawishi
@aminitu376623 күн бұрын
Duh! fact sana hii.!! Umetisha sana Yan mafundusho yako yote haya nmeyaelewa
@vero5723 күн бұрын
Bwana aliye nitoa bikira sijui yuko wapi ??? Hata siku hiyo ni kama alinibaka maana nilikua sielewi kitu 😂😂😂
@muksinimbaruku123323 күн бұрын
Ndio mumeo ata kama amekufa
@ELIZABETH-uz6dv21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂pole ❤
@someless21 күн бұрын
😊
@astonathanasio16320 күн бұрын
kamtafute ndo mme wako huyo
@user-wx9or8rw4n19 күн бұрын
Mkiolewa na bikra wanawake wawili mama Yako anapata Pepo takbiiiir! Allah Akbar.
@Elybwayz23 күн бұрын
Na alietoa bikira zaidi ya 1 wote wakezake😅
@robertsongola603423 күн бұрын
Hiyo itakuwa kweli
@robertvicent7823 күн бұрын
@@Elybwayz eee wote n wake zake
@gostiveradam392123 күн бұрын
😂
@ELIZABETH-uz6dv21 күн бұрын
Yes wote
@MonicaCyprian20 күн бұрын
Ndiyo akawachukue
@paschalpaul386222 күн бұрын
Imeenda hiyo na wale madada waliojivuavua ndiyo maana ni wakali kwa comment maana mmepigwa na kitu kizito
@mamawadudu4823 күн бұрын
The spirit of confusion is loading.
@danieljohn690421 күн бұрын
#Hii ni saa ya kuambiana UKWELI kama Kuna mwenye Hekima mmoja Asome 2Wakorintho 5:17-19. Na Yohana 3:1-7. Mtu anadanganya UMA tena kwenye Media kweli waongo wapo na wengi wanawafata nitajie andiko bas hayo Yalimalizwa na Yesu mwenyewe....By Man of God (Taifa kubwa) na waandishi na nyie mnakubali jmn poleni sana#
@maclean77274 күн бұрын
Huu ni uongo YESU alitukomboa kwenye dhambi, hakuna kubadilisha agano la ndoa. Kama ingekuwa hivyo mabinti wasingekuwa wanazaliwa na bikra.
@maclean77274 күн бұрын
Hakuja kubadilili agano la ndoa, alikuja kutukomboa na dhambi.
@georgebataze662523 күн бұрын
Hii issue sounds very real. Ndio maana ndoa nyingi hazieleweki. 😅 men tunaishi na wake za watu😂. Nafikiri shetani kafanikiwa sana eneo hili ndio maana tunakubali sote kuwa ndoa za siku hizi miyeyusho. Ukimpata mwanamke wa ujana wako na ukadumu nae, inaheshima sana maana unaujasiri kuwa wewe ndie uliefungua njia hata hisia mbovu mbovu unakuwa huna. 😂😂😂. Leo hii unakuta wapenzi hawapati ladha yenyewe kabisa mara huyu anakibamia mara huyu pana sana, kumbe size tofauti zimepita😂. Sasa men wanaanza kuruka ruka ili kukidhi haja zao, hii sio kwamba shetani kashinda kwenye eneo hili?
@emmadora784820 күн бұрын
Ikiwa wewe ( men) sio bikra ,unataka upate mke bikra kutoka wapi?
@emmadora784820 күн бұрын
Nyie bikra zenu mnazitolea wapi ? Kama ni Kwa hao mabinti basi sahau kupata mke bikra
@georgebataze662520 күн бұрын
@@emmadora7848 niipate kwako
@georgebataze662520 күн бұрын
@@emmadora7848 fafanua vizuri bikra ya mwanaume iko vp wakati akibarehe tu na akiota ndoto nyevu anamaliza.!! Bikra inapatikana kwa jinsia ya kike
@georgebataze662520 күн бұрын
@@emmadora7848ikiwa baba yako alikuonya usifanye ujinga mpaka pale utakapo olewa harafu wewe ukapuuza na ukadanganywa kosa nilanani?
@jumapiliissa483523 күн бұрын
Mzee uko sawa kwaushahidi huu ndomana vitabu vya M/MUNGU vimekaza kuzini tabia ya kuzini ndoimeleta watu kuowa wasichana wasio bikra
@iddylumbila739923 күн бұрын
Umeongea ukweliofichwa kwa muda mrefu na viongozi wa dini, na ukumbuke ukweli unauma kwahyo tegemea kupata comment za waliomia na waliojifunza, kama umeumia dislike na kama umejifunza hapa chini.
@BeatriceBandio-qo6yp17 күн бұрын
Ndio baba uo ndio uungu na baraka na nuru ndani ya mwanamke kutoka kwa Mungu
@iamdisciple_tz23 күн бұрын
Bora ata umeongea hii maada nilikua nawambia mmenipambanisha wenyewe wananambia mfungwa achagui gereza. Waludishe tu mahali zangu wachukue Toto rao
@BarakaProtas23 күн бұрын
😂😂 fata mahari umepigwa
@user-uj5wg9mm2t23 күн бұрын
Kuna ndoa imekufa😂😂😂😂😂
@robertsongola603423 күн бұрын
Leo umesema kweli
@user-qf9uj2oc1b22 күн бұрын
Walio wengi tunaukataa ukweli baada yakujikuta tumekosea ila mzee anaongea ukweli
@vero5723 күн бұрын
NA NYIE WANAUME JEE??? BIKIRA?????? PANDE MBILI HAPO TUNAOGELEA?????😂😂
@jonasfrank175822 күн бұрын
Baba mchungaji kwa mafundisho unayotoa, hiki kituo inabd kifanye arrangement na wewe atleast kila week uwe na dk zako 15-20 kwa ajili ya mafundisho
@femidayahaya488211 күн бұрын
Oscar amehuzunika sana..inaonyesha hajawahi kupata mke Bikra
@dioclesrweramila792623 күн бұрын
Malaki 2:14 [14]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.
@danieljohn690421 күн бұрын
Ukimgonga mwanamke bikra ndiyo amekuwa mke nakataa huko ni kuzin tena ni dhambi kama dhambi zingine unatakiwa kuelewa soma 2wakorintho5:17-19 na Yohana 3:1-7
@edwinmbunda670920 күн бұрын
@@danieljohn6904Huwezi bishia biblia ndugu....
@allykk145920 күн бұрын
Mara nyingi anasema kweli nimependa sana
@Mahershalalhashbazi-kf6xi19 күн бұрын
Chief Mwantebe leo kasema iliyo kweli
@donaldmgunda497023 күн бұрын
Weweeeee mzeeer usituvurugee hapa bwanaa😮
@user-tu9zm1jh3n16 күн бұрын
Mmmh
@reganpaul854218 күн бұрын
Mzee hapa hekima imajaaa chief
@vero5723 күн бұрын
Wanaume sasa leo wamepata kichwa, wasio na bikira sio mkeo khaaa hiii kali, kwahivyo wafanywe nini wasio na bikira watupwe ??? Tuta zindi kuzalauriwa 😮😮
@issamuhammedi23 күн бұрын
Utaenda kwa alie kutoa
@pastadandan356923 күн бұрын
Kuna wengine tangia awe kijana mpaka amezeeka hajawahi kubahatika bikra hata Moja
@ELIZABETH-uz6dv21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@emmadora784820 күн бұрын
Sasa kosa la nani ? Anayetangatanga kuhatibu mabinti za watu au hao mabinti?😂😂😂😂
@zebedayokatamaduni967619 күн бұрын
@@ELIZABETH-uz6dv😂😂😂😂😂😂😂
@pastadandan356919 күн бұрын
@@ELIZABETH-uz6dv Eliza wewe
@pastadandan356919 күн бұрын
@@emmadora7848 hakuna mwenye kosa hapo
@user-zn7yp4cp1e19 күн бұрын
Oscar Oscar unapenda story kama izi
@user-oz8mc7mz7z21 күн бұрын
Zitatengenezwa sana
@neemajames513723 күн бұрын
Jamani msitukane Masihi wa Bwana ndivyo biblia inavyosema.
@Docantz19 күн бұрын
Mzee ametusha 🎉
@HamadiMzee-ut9bq22 күн бұрын
Now days kunamatukio mengi wengine utolew bikla kwa kulazimishwa yan kubakwa achen kashifa nyinyi
@gilbertbidimbuka910416 күн бұрын
Mimi nasema kuwa huyu mzee siyo Mkristo na haujui Ukristo kabisa niko tayari hata mniite hapo kwenye kipindi nimjibu huyu mzee na hata nisimame naye tujibiane mimi na yeye
@hajihassan543316 күн бұрын
Umepigwa nini? Kula kiporo hicho hukupata bikira. Mzee yuko vizuri 100%. Hapana cha kujibu hapo Mkristo ni mke mmoja ukiona ushatombwa au ushatomba na zaidi ya mtu mmoja wewe sio Mkristo!
@HalimaMaulidi-sv7le23 күн бұрын
Na ukikutana na mume co bikira pia ujue co mume wako ( Namaanisha mwanaume pia kuna mtu aliyeanza naye mapenzi wanawake mpoooo!)
@maclean77274 күн бұрын
Mwanaume mmoja anaweza kutoa bikra hata tano, hao wote ni wake zake kwa mujibu wa agano la damu.
@maclean77274 күн бұрын
Lakini mwanamke mmoja hawezi kutolewa bikra na wanaume wawili, ila mmoja tu.
@maclean77274 күн бұрын
Na hiyo ndo maana kwenye agano la kale wanaume walikuwa wanaoa mke zaidi ya mmoja, lakini kwa mwanamke haikuwezekana.
@UfahamuwaKristo22 күн бұрын
Au ndo maana ndoa nyingi za leo zina migogoro sana
@edwinmbunda670920 күн бұрын
Yeah
@user-eu6ql9zl7n15 күн бұрын
Haswaaaaa
@eminenceboy838619 күн бұрын
Mm huyu mzee waupako naanza kumuelewa kidog kidog😂
@bechubechuissa896523 күн бұрын
Kweli mzee wa upako
@warakawayohana289622 күн бұрын
Wengi hawana wake kwa kweli😂😂😂😂
@user-wx9or8rw4n19 күн бұрын
Ndo mana tumeambiwa tuowane kabla ya kuingiliana.ndo mana dharau nyingi.
@gilbertbidimbuka910416 күн бұрын
Huyu mzee kuna kongamano liliandaliwa akakimbia harafu anasema ajibiwe hoja wakati kaalikwa ili aje natuhuma zake juu ya Ukristo akakimbia. Sasa ushauri wangu kwenu watangazaji waalikeni na wachungaji wengine waje wa mjibu hoja huyu mzee ambaye Ni mhuni tu asiyeijuwa Biblia
@AwardHakimu23 күн бұрын
Walokole wanaongoza kwa uzinzi unakuta kwaya nzima ni wapenzi watupu hovyo sana
@zuberikamote207822 күн бұрын
Kwhyo mimì frida kaniambia nyumba hii tufame nihame kweli maananyasije yakatokea makubwa
@ikulunimahalipatakatifu764221 күн бұрын
IMEEENDAAAA HIYO TAYARI!!!!, BONGE LA SOMO !!!
@SilasNdaisabha-gx8jo23 күн бұрын
Faini naitakaaa
@Mahershalalhashbazi-kf6xi19 күн бұрын
😅😅
@kibosniper521923 күн бұрын
Hahahah mimi nimetoa bikira san watot wa watu afu ikawaga nikiwatoa wanapendan na wengin da dini hizi mungu aje tuokoa man tunadanganywa.hata mimi niliamin kumtoa bikr mwanamke ni wangu bt haijawah tokea kwanz akishatolew tu ndo wanakua malaya kisenge
@user-cp2do9pd5k22 күн бұрын
@@kibosniper5219 omba Toba sana ndugu maana utakufa mbaka uone watoto wako wakiumizwa
@aminitu376623 күн бұрын
MTU anangangana mke wangu mke wangu upuuz tu umemkuta nayo
@abdulkilihindi772523 күн бұрын
Hhh,,hili zee kwel somi
@barakakevela24522 күн бұрын
KWA KWELI MI NISHAKUTANAGA NA BIKRA MMOJA TUU
@SylivesterKilunga23 күн бұрын
Mtumishi umenena
@richardmakweta887516 күн бұрын
Hivi mzee waupako umepatwa nanini?
@Chakol123-k7s23 күн бұрын
Mwanamke ni mungu wa pili katika dunia 🎉🎉 bila mwanamke dunia hii isingejaa viumbe hai... God bless woman's 🎉
@knowledgeispower111823 күн бұрын
Mwanaumke ni lango la shetani tokea kale na kale..Eva amekula njama na shetani wamuasi Mungu..mwanamke haruhusiwi hata kuwa kusimama mbele ya madhabahu hata huko msikitini.
@iamdisciple_tz23 күн бұрын
Apa tunazungumzia ndoa za kikristu kwene biblia sio woman's
@timothympandagoya633823 күн бұрын
Acha kumfananisha Mungu na vitu vya kijinga
@bensonswai-hl6fn23 күн бұрын
Nn maan ya DNA maan nmeshangaa ulivosema bil yy akun uhai kivp
@Chakol123-k7s22 күн бұрын
Maana ni kwenye uzao huyo mwanamke angeamua kunywa sumu wewe na hao chura wenzio msingekuwepo hapa yn mwanamke ana asilimia 50% ya maisha yako angeamua kufanya abortion ww chura usingekuwa na hzo stupid words 😏
@user-wx9or8rw4n19 күн бұрын
Njoo upose ....zipi nyingiiiiiii
@henrymjema168523 күн бұрын
Huu ni ukweli unaouma
@user-vk4mv8vs7c23 күн бұрын
Hadisi za abunuasi Asome alama za nyakati
@israelkisaila840123 күн бұрын
Ameeleza vizuri huyu MCHUNGAJI,MUNGU AMLINDE
@joyce5572723 күн бұрын
Niliolewa nikiwa bikra x wangu alifulah sana baada ya mwez mmoja alianza kunisumbua kua sijui mapenz na akasema bola waludia na mama mtt wake
@joyce5572723 күн бұрын
Wakazaa mtoto mmoja nilikaa nae kwenye ndoa miaka 3 nikaondoka saiz ana watoto 8 mama zao 6 et sku izi anatuma watu tuludiane nimekataa pia mm nae nilipata mtt 1 saiz ana miaka 13 yaani nipo tu na mtt wangu ata sitak kuolewa tena n miaka 10 tangu tuachane yaani kua na bikira hio haimfany mwanaume akakupenda yaani kipindi ananichumbia adi ndoa ikafungwa hakuwah kusema kua ana watoto mateso nilio yapitia kwake sizan km nitayasahau
@hanifa915323 күн бұрын
Am very sorry same situation😢😢😢😢😢@@joyce55727
@ferdinandlazaro1523 күн бұрын
@@joyce55727ndiyo umeamua kunisema hadharani
@Brandpeople22 күн бұрын
@@joyce55727 Hapa lawama sio kwenye Bikra, hapa dada ulikosea kuchagua, wala haina uhusiano na Bikra. We unakubalije kuolewa na mtu ambae kakuficha kuwa anafamilia nyingine?? hata machale hayakukucheza kweli? hata kupeleleza kwa ndugu na marafiki au wadogo zake ?
@Brandpeople22 күн бұрын
Ila pongezi kwa kujitunza mpaka ndoa. Wanawake wengi umewashinda katika hilo.
@ElizabethWamcha23 күн бұрын
Sasa kama alinitoa bikra alishafariki inakuaj
@98Maktaba23 күн бұрын
Hapo ww ni mjane😅
@athumanmsuya268823 күн бұрын
Wewe ni mjane
@twiserchaki602923 күн бұрын
Kwa haraka mlizikuwa nazo...mnatolewaga na mazombie
@OmyJr-hw2nk23 күн бұрын
Tafuta bikila
@joyce5572723 күн бұрын
Niliolewa nikiwa bikra x wangu alifulah sana baada ya mwez mmoja alianza kunisumbua kua sijui mapenz ni alikua akinifundisha ila sikua mwepes wa kuelewa sku moja akaniambia ni bola aludiane na mama mtt wake na pia mm kipindi ananichumbia hakusema kama ana mtt alinichumbia akatoa mahali harus ukafanyika kumbe naolewa na alishababu 😢😢😢 nilikaa nae kwenye ndoa miaka 3 nikaondoka saiz ni miaka 10 tangu tuachane pia ana watot 8 mama zao 6 et sku izi anatuma watu tuludiane nimekataa pia mm nilizaa nae mtoto mmoja
@confredsangija17 күн бұрын
mzee wa punyeto leo yuko kwenye masuala ya dini,,,,basi si ungeuliza na kuhusu punyeto na chama cha wapiga pu kama kipo kihalali?>
@MobsFundisimu22 күн бұрын
Nikuelewa sana
@elizabethkweji730420 күн бұрын
Baba mwongo huyo😂😂😂😂😂
@reginaaloyce405517 күн бұрын
Nna swali hao wanaotoa hzo bikra ni kina Nan?
@gilliansiara332418 күн бұрын
Huyo mwanaume yeye ni bikra,
@obadiabarakahango60223 күн бұрын
Na kuhusu Damu ya Yesu kufanya agano jipya inamaana gani? Huna andiko baada ya Yesu ,unadanganya watu. Someni Wagalatia 3: Yote Mtanielewa
@edwinmbunda670920 күн бұрын
Damu ya Yesu ni damu iliyomwagika kwa ajili ya ondoleo la dhambi (upatanisho), sio kwa ajili ya agano la ndoa. Damu ya agano la ndoa ni ubikira. Tofautisha agano la wokovu na agano la ndoa. Mungu ni Mungu wa utaratibu.