MC GARA B AMUWASHIA MOTO MWIJAKU / NYUMBA YAKE YA KAWAIDA APUNGUZE KELELE / WATU WANA MAGHOROFA

  Рет қаралды 25,220

Manara TV

Manara TV

7 ай бұрын

MC GARA B AMEMCHANA MWIJAKU KUHUSU NYUMBA YAKE ILIYOPO KIGAMBONI ALIYEIZINDUA JANA PAMOJA NA MARAFIKI ZAKE NA NDUGU ZAKE WA KARIBU TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #mcgarab #mwijaku #zamaraditv #babalevo #diamondplatnumz

Пікірлер: 57
@alfredrutaguza7506
@alfredrutaguza7506 7 ай бұрын
Kaka galab you very very smart the way you talk(wew hukununua vyeti kaka)
@user-eq2wg9hx6o
@user-eq2wg9hx6o 6 ай бұрын
Garab ana nyumba nzuri sana,ya mwijaku wala uwezi kuifananisha na nyumba ya garab
@bennamush4616
@bennamush4616 6 ай бұрын
Mtangazaji kama sijakuelewa kuwa comfortable kidogo
@malichanda3146
@malichanda3146 7 ай бұрын
Mwijaku kajitahidi Sana maana wasani hawana nyumba zaidi ya alikiba ana ghorofa na mwijaku kajenga gorofa hongera Sana mwijaku
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 7 ай бұрын
Zile za diamond hujaziona
@user-ir2bw9dy6s
@user-ir2bw9dy6s 7 ай бұрын
Nimempenda kaongea kwa busara sana kuliko hata huyo rafk wa Mwijaku
@user-eq2wg9hx6o
@user-eq2wg9hx6o 6 ай бұрын
Gorofa kitu gani bwanaa,mimi nina gorofa nimeipangishia naishi nyumba ya kawaida na ninaiona ni nzuri zaidi ya iyo gorofa,
@hellenelias24
@hellenelias24 7 ай бұрын
Hongeren san
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 7 ай бұрын
Mc wangu wa taifa enjoy kaka yangu nina jambo langu Inshallah sooon tutakuwa pamoja
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 7 ай бұрын
Nyumba ya mwijaku ni ya kwaida sana hakuna bilion 1 . 3 ni uongo wake mwijaku, labda milion 500 au 600 tu million 1 .3 ya kuandika chini au? asitutishe tuogope kujenga
@joelsamwel2580
@joelsamwel2580 7 ай бұрын
😂😂😂 milioni 500 sio kweli ile ni 150 au 200
@judyngowi391
@judyngowi391 6 ай бұрын
Haifiki 500
@shadiwaigwa9230
@shadiwaigwa9230 7 ай бұрын
Mwijaku ni mshamba sana, kwani ni wangapi Wana nyumba and they don't show off
@agapemunyi2095
@agapemunyi2095 7 ай бұрын
Kawaonesha walikuwa wanamdharau kuwa Hana kitu half anachofanya na namna avopata pesa hafanani na hao wasioonesha ,wengi hela zao za wizi ,madawa ya kulevya, dhulma hivyo huficha Mali zao hta ivo kila mtu anaish maisha yake aliyoyachagua
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 7 ай бұрын
Sio mshamba mnamsimanga sana
@congratulationmayunga3833
@congratulationmayunga3833 7 ай бұрын
Wacha awanyooshe msiompenda Muumie zaidi mtu chake bhana alaa
@princemuhidin3067
@princemuhidin3067 7 ай бұрын
Usizarau kit ulich kuw hun c unasem ya kawaid hlf wew unaishiy kukodi
@daudminzi-pb3je
@daudminzi-pb3je 7 ай бұрын
Jitaidini wekeni crip fupi za dakika 8 Hadi 10 zinakuwa nyingi kwenye tv yenu kuliko kuweka ya dakika 20 inatuchosha hatuna muda mwingi wa kuangalia
@abdulkadirgafla3889
@abdulkadirgafla3889 7 ай бұрын
Mwaja kufanya nn huku watu wakutumia data😂😂😂😂
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 7 ай бұрын
TULIZA KOMWE ilo mwenzako tunajifunza na aswa Hawa ndio role model wetu so kama bundle kidebe pita kushoto WENZAKO tunaangalia hata iwe masaa mawili atuchoki
@khalimahema6931
@khalimahema6931 7 ай бұрын
Elfu mbili sio mbiri 😂
@stanleybulla
@stanleybulla 7 ай бұрын
Mbona nyumba ya kawaida sana aisee we mwijaku,
@SashaOscar
@SashaOscar 7 ай бұрын
Angepunguza maneno
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 7 ай бұрын
Mwijaku for the life umeupiga mwingi mdogo wangu hongera
@user-vj7fx4bh2t
@user-vj7fx4bh2t 6 ай бұрын
HUKU MTANGAZAJI JAUUUUU Hajui kuhoji na Muoga
@malilacollins11
@malilacollins11 7 ай бұрын
😂😂
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 7 ай бұрын
Ety nyumba ya kawaida yenu Iko wap? Acheni kuponda hata kama 600M so Haba kajitahidi sanaaaaaaaaaa
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 7 ай бұрын
Na wenyew hawajielew kwan kuna nyumba ya ajab zote si nizakawaida tofauti ni gorofa 1 2 au 3 had 10 na chazai labda raman muonekano na mapambo na mazingra iliopo.
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 7 ай бұрын
@@user-uo8xw9kr4b ni sahihi kabisaa🙏🙏
@wadhhasuleiman2621
@wadhhasuleiman2621 7 ай бұрын
Ww mtangazaji ploud ploud ni proud
@Rogathe-Rogathe
@Rogathe-Rogathe 7 ай бұрын
😂😂
@jokhaynamohammed
@jokhaynamohammed 7 ай бұрын
Ila jmn mwijaku kajitahid tumpongezen tu ni mfano wa kuigwa umeweza baba
@SashaOscar
@SashaOscar 7 ай бұрын
Ni kwl kajitahid lkn haina maana kuanz kudharau nyumba za wenzake, maana hata wao wamejitahd kulingana na uwezo wao
@vibetz9991
@vibetz9991 7 ай бұрын
Low key hater na roho mbaya
@user-vj7fx4bh2t
@user-vj7fx4bh2t 6 ай бұрын
HUKU MTANGAZAJI JAUUUUU
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 6 ай бұрын
Huyu kaka anahekma sana
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 7 ай бұрын
Nyie mnaoonyesha mafanikio yenu na kujitakama mwajua kuna kitu kinaitwa *HUSDA*????
@user-zu8dk2zo8b
@user-zu8dk2zo8b 7 ай бұрын
Hawajui hao
@user-zu8dk2zo8b
@user-zu8dk2zo8b 7 ай бұрын
Namba zinaongezeka na uhai nao unapungua
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 7 ай бұрын
Huyu mtangazaji anamchukia sana mwijaku
@judyngowi391
@judyngowi391 6 ай бұрын
Mtazamo wako tu
@williampanga2818
@williampanga2818 7 ай бұрын
Ndugu mtangazaji punguza kutazama sana camera muda wa mahojiano
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 7 ай бұрын
Akutazame wewe?
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 7 ай бұрын
​@@fatmafatu1128😂😂😂😂
@Rogathe-Rogathe
@Rogathe-Rogathe 7 ай бұрын
​@@fatmafatu1128😅😅😅😅😅
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 7 ай бұрын
Kama mnamwona mwijaku ni mshamba lkn sisi tunampongeza
@RehemaMasunga-ml7kt
@RehemaMasunga-ml7kt 7 ай бұрын
Nyie mnaosema nyumba ya mwijaku ni ya kawaida tuonyesheni zenu tuanze na wewe gara b ghorofa yako iko wapi. Usiseme tu nyumba ya fulani ni ya kawaida na wakati huna hata kibanda
@kheiramour2973
@kheiramour2973 7 ай бұрын
Una uhakika km hana kband
@RehemaMasunga-ml7kt
@RehemaMasunga-ml7kt 7 ай бұрын
@@kheiramour2973 nimesema hivi nyumba ya mwijaku sio nyumba ya kawaida elewa kiswahili
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 7 ай бұрын
Nenda ayo search nyumba ya GAR_B UTAIYONA
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 7 ай бұрын
Mmh we nae mgeni kumbe
@RehemaMasunga-ml7kt
@RehemaMasunga-ml7kt 7 ай бұрын
Muonyeshe nyumba zenu sio mnasema tu za wenzenu ni za kawaida. Zenu ziko wapi haijalishi hata kama kajenga mke wake kama wanaheshimiana ana haki ya kujivunia na kusema nyumba ni yake
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 7 ай бұрын
Ila kweli jamaa anamchukia mwijaku stori zote anajaribu kumsema.
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 38 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 11 МЛН
KADANGANYA
10:21
Joti TV
Рет қаралды 122 М.
MR MWANYA AMCHAPA KOFI MOTOWN SANYA MIMI SIWEZ KUIBA LAKI MBILI
32:30
УДИВИЛА ПАРНЯ🤯👏
0:20
Бутылочка
Рет қаралды 5 МЛН
УДИВИЛА ПАРНЯ🤯👏
0:20
Бутылочка
Рет қаралды 5 МЛН
Я НЕ ОЖИДАЛ ЭТОГО!!! #Shorts #Глент
0:19
ГЛЕНТ
Рет қаралды 1,1 МЛН