Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo KAKA YAKE MWIJAKU AKIELEZA ALIVYOMCHANGIA TAA MWIJAKU/SIPENDI TABIA YA KUCHEZA NA KUVUA NGUO #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 48
@user-xc4or2vp6l6 ай бұрын
Wasanii kwa maisha ya kugezana, nimelipenda hili zoezi la wasanii kuanza kuonesha nyumba walizojenga, bora muanze kugezana manbo ya maana. Waja mna maneno 'kaongea uongo jamani', hata kama wewe utasemaje hizi taa kaka yangu kanipa. Kaka yake mwenyewe kasema amembariki. Alivyosema ni sawa tu. Ni aina ya mtu alivyo, hata alivyokuwa anawataja wengine ktk maelezo ya nyumba yake sio sawa, unafikiri ana shida nao. Nyumba iwe ya kheri na familia yake, na Mungu amsaidie.
@joycekalago5326 ай бұрын
Waha wengi wakichoka maisha kigoma wanakimbilia morogoro😂😂😂
@maryamtanzania97436 ай бұрын
Kaka yuko vizuri
@Fx_expertmoneymaker0016 ай бұрын
😂😂😂😂Et anavyocheza ndo broo anachukia. Na mm ndo napendaga nimuone anavyoingia ofisin akicheza, hata kipind nisiposkiliza ila nimuone mwijaku anacheza 🤣🤣.
@user-nz4lx1hr2w6 ай бұрын
Jaman kuhusu taa msishangae huyu jamaaa kila angle yupo kazin sema nyny hamuelewi, iyo taa zmetoka china bas iyo china ndio uyo kaka yke😂😂😂😂
@rizikiabdalla25016 ай бұрын
Anatangazaaa bisha yake watu waajuwee kuwa morogoro kunadukaa zuri la taa ni nzuri sana
@user-nz4lx1hr2w6 ай бұрын
Inamaana mkiziitaji hizo taa kaka yke atawauzia apo pia keshakuwa chawa wa brother ake
@bulugubujashi63786 ай бұрын
Huyu ndio kasema ukweli sasa😂😂😂
@user-fi9gm2et5r6 ай бұрын
Kumbe taa zimetoka kwa broo 😂😂😂
@khalsasalim79306 ай бұрын
Kasema taa amenunua china moja laki7😂😂
@awadhrajabu14036 ай бұрын
Nawe Kaka Umezingua Bola Ukae Kimia Mambo Mengine
@hidayamotto72106 ай бұрын
😂sasa Mwijaku kwann atudanganyee woi
@zuwenaabdallah77486 ай бұрын
Kaka ni handsome hebu tueleze unafanya kaz wap?😊
@samiramohamed59256 ай бұрын
Bro handsome MaashaAllah
@rahimaaaaa56826 ай бұрын
Kbs yupo vzr😝
@Aiisha9016 ай бұрын
na kafanana nae kila kitu mpaka simama yake kutotulia
@rashidkatundu96746 ай бұрын
Siyo kila kitu uyu anakoremeo
@FatimaAli-of4gh6 ай бұрын
Saleh mimi nataka taa ya mzee wa ngenga nimeilewa na feni humo humo 😂
@fahadfahmy6 ай бұрын
hata mimi nimepanda lile feni pamoja nataa
@user-fi9gm2et5r6 ай бұрын
Mm pia ni nzuri mno
@nigamo96456 ай бұрын
Na mziki pia mwenyewe nimelipenda
@moriscollins44946 ай бұрын
Taa za China mwana anaongea mnoo kumbe taa za msamvu
@StellarmamottoFlowersMam-ms1nz6 ай бұрын
Wemeshanza kujichanganya. Mara taa zitoke china mara zitoke morogoro.....suala la muda tu
@aminathaabubakarmasoud5656 ай бұрын
Wow! Brother handsome ❤
@aliaden55126 ай бұрын
hata mimi handsome
@samiramohamed59256 ай бұрын
Very handsome
@aliaden55126 ай бұрын
Am more hansome than him try me you will know what i meant
@alexjosephmambo69906 ай бұрын
Kaka yake Yuko sahihi Hana Kona kona
@fatmamansour6766 ай бұрын
Ka ka ushaharibu mwenyewe kajigamba kanunua pesa si kidogo atachambwa ndugu yako
@bennymochiwa48006 ай бұрын
Huyo atakae mchamba stakua fala km ww, we mjumba unatisha ule alfu ufungue domo lako!!!??😂😂
@dottomsuya65976 ай бұрын
Kaka nae yaleyale tupigieni picha tuwape bei ya hizo taaa
@MariaSengo-cn5bx6 ай бұрын
Nakuona Nuba Batton hongereni
@kizegakizega80736 ай бұрын
wadogo zangu hao mtaa wa uhuru
@kadibebe71286 ай бұрын
Izo Etage hamtiye njia ya watu wenye matatizo ya migu, siku weye mwenye nyumba utakuwa na shida ya migu, utapanda aje? Utahama awo utaishia cini. 😂😂, swimming ya ju 😂😂 tia njia ata kilema aweze kupanda. Nyumba utayikimbia we mwenyewe.
@fahadfahmy6 ай бұрын
yule Mwemba (Mwijaku) kaongea uongo alipoulizwa kuhusu taa,kumbe karibia zote amepewa bure na Brother wake.
@rizikiabdalla25016 ай бұрын
Sasa hata kama kapewaa Bure lakin brother kanunua ndioo maanaa Katia Hisabu nyote
@fahadfahmy6 ай бұрын
@@rizikiabdalla2501 Uongo kiisilamu nimbaya kuliko zinaa
@Official836406 ай бұрын
@@rizikiabdalla2501ulimsikia lkn alivyosema kachagua china taa gani anunue akanunua badae kapewa huyu kanunua yy elewa maneno yao 😂😂😂
@user-qz2sk3is9c6 ай бұрын
Hawa jamaa wasikuumize kichwa
@halimaamani89586 ай бұрын
Uongo upi? Maana hata huyo alompa kasema zimetoka china na bei ni laki7 kama alivyosema mwijaku
@andrewmachage91026 ай бұрын
Kaka taa za 30,000 zpi tn taa mwijaku kanunua china moja 700k ww tn unasema umemubark tn ambazo zpo out of time?😂
@princekarani78366 ай бұрын
Bro kuna taa kampatia mdogo wake za laki saba,kuna za laki nane,na nyingine ndogo ndogo za elfu 30,
@halimaamani89586 ай бұрын
Na wala hajasema out of time Bali kasema ni taa za kisasa ambazo zimekaa muda mrefu dukani kwake sababu watu wameshindwa kununua kutokana na gharama za hzo taa kuwa kubwa