Mch: Daniel Mgogo - Nyumba nzuri lakini mwenye nayo

  Рет қаралды 785,651

Uhai Online Tv

Uhai Online Tv

5 жыл бұрын

Пікірлер: 417
@daughterofthemoon7413
@daughterofthemoon7413 3 жыл бұрын
Haki huyu mchungaji mi hunibamba saana😂😂😂😂😂😂.much Love mchungaji 💪💪
@janetemba2844
@janetemba2844 4 жыл бұрын
Akili ya MUNGU haichunguziki, kila kitu alikiweka kwa makusudi yake, Nabarikiwa sana na mahubiri yako Pastor.
@sidemathias1700
@sidemathias1700 5 жыл бұрын
Mchungaji nakupenda sana aiseee unanikosha sana mm mwisilam lakin unaniflaisha mno napenda sana stailiyako yakuhubili ubalikiwe sana mgogo mtani wang
@akhiikassimallimakame8657
@akhiikassimallimakame8657 5 жыл бұрын
Side Mathias
@felicianluvanda9672
@felicianluvanda9672 5 жыл бұрын
Wote niwa Mungu mmoja tunatofautiana tu mavazi
@nguombagalalang3jfashioncl150
@nguombagalalang3jfashioncl150 4 жыл бұрын
Ndiyo wotee ni kitu kimoja
@anasiamacha2543
@anasiamacha2543 4 жыл бұрын
Felician Luvanda Hahhahahh
@user-he8wg5vf7f
@user-he8wg5vf7f 5 ай бұрын
Nakupenda kupita kiasi jamani❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Mungu akupe maisha marefu🙏🙏🙏🙏
@trophainamagogwa7966
@trophainamagogwa7966 5 жыл бұрын
Kwa kweli hata wazungu Matajiri wanakula kwa mahesabu mno ili wasizidishe Karolis mwilini,ila tunaovipata kwa shida ndo tunataka vingi saana kupita kiasi
@masigomhoja5182
@masigomhoja5182 5 жыл бұрын
dah huyu analihubili taifa na sio kanisa lake tu hakika huyu kaletwa na mungu atusaidie
@roinajohnson9788
@roinajohnson9788 4 жыл бұрын
Kabisaa yaani mahubili yke mi nayaita no stress yaan unatoa mawazo
@mbaembae7789
@mbaembae7789 4 жыл бұрын
Ukweli mtupu Kenya twapenda mgogo sana
@euniestherwilliam1513
@euniestherwilliam1513 3 жыл бұрын
Ni kweli. Ila neno Mungu tuanze na herufi kubwa
@athumaninyagali8582
@athumaninyagali8582 Жыл бұрын
ubarikiwe sana mchungajii
@johannes4127
@johannes4127 3 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 3 жыл бұрын
Ana muunda kuku kweny sahani🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jaman pastor nakupenda mnooo
@felicianluvanda9672
@felicianluvanda9672 5 жыл бұрын
Huyu mchungaji hakika kaletwa na Mungu ....lengo nikuokoa dunia hii na hasa Tanzania nampenda sana Mgogo yupo kuponya watu waaina zote...... ...
@majidswalehe3854
@majidswalehe3854 3 жыл бұрын
Asantee baba Sema tupone
@maidamatinya4905
@maidamatinya4905 4 жыл бұрын
Hicho ni kipaji cha pekee babaangu! Kitumie Mungu amekupa!
@davisfungo4481
@davisfungo4481 3 жыл бұрын
HALELUYAAAAAA.............MUNGU AKUBARIKI....
@lazarodulle8498
@lazarodulle8498 2 жыл бұрын
Nakukubali Sana na balikiwa Sana ninaposikia mahubili yako nadhani kabisa lako ni ukweli njia uhakika
@monicaisaya6143
@monicaisaya6143 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mtumishi Mungu akulinde Amina kubwa nabalikiwa Sana iseee sindano zinatuingia🙏🙏🙏
@KalengeClement-sk7in
@KalengeClement-sk7in Жыл бұрын
❤❤❤ ubarikiwe kwautele mutumishi wa bwana
@kid_daniel5381
@kid_daniel5381 3 жыл бұрын
Haki huyu mchungaji anifurahishaga afu ananielimisha hapo ,naamini waumini hawachoki ibada ubarikiwe mzee Baba
@ngunochugga8761
@ngunochugga8761 5 жыл бұрын
Ukweli Mwanadamu ni kiumbe mbinafsi sana. Yaani hata mkipiga picha ya pamoja, cha kwanza ni kujiangalia mwenyewe kama upo na ndo uwaangalie wenzako.....
@kijiwenikijiweni9118
@kijiwenikijiweni9118 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana pastar piga injili namabomu lipua mm nakupenda sanaa
@euphemiaoyori606
@euphemiaoyori606 4 жыл бұрын
The first pastor in the whole world who preaches the truth
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 3 жыл бұрын
Exactly
@irenemassawe7291
@irenemassawe7291 4 жыл бұрын
Mchungaj mungu akutunze milele 🙏
@wardawarda3427
@wardawarda3427 5 жыл бұрын
Mchungaji umenishinda tabia neno lako ni upanga ukatao kuwili barikiwa na Mungu.
@estherwilliam5125
@estherwilliam5125 4 жыл бұрын
Warda Warda NENO lake?, la Mungu
@joachimujohn2247
@joachimujohn2247 2 жыл бұрын
Barikiwa
@maryalphonce7653
@maryalphonce7653 3 жыл бұрын
Mungu akutunze
@danieljohn3836
@danieljohn3836 4 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana kwa mtumishi wa ukweli
@barakamollel992
@barakamollel992 2 жыл бұрын
Mungu Ana makusudi na kila kiungo
@edghamoses6189
@edghamoses6189 4 жыл бұрын
Ahsant mch. Naomb mawasiliano yako nahitaj kuonan na wew nin tatz
@christineamukoye9969
@christineamukoye9969 5 жыл бұрын
AMEEEEEN jina labwana liimidiwe na penda mahubiri yako sana baba mchungaji Daniel Mgogo
@mwipagiesthermalemi4469
@mwipagiesthermalemi4469 5 жыл бұрын
Ameen mgogo tupa mawe
@emmanuelmuthui3081
@emmanuelmuthui3081 4 жыл бұрын
Muchungaji you are the best. Much love from Kitui East, Kenya. Barikiwa.
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 4 жыл бұрын
mchungaji wewe si mchezo,MUNGU Kaweka vipaji kwa baadhi ya watumishi, DANIEL NI MMOJA WAPO,,,,,,,big up father GOD
@byamungujeanvie9514
@byamungujeanvie9514 2 жыл бұрын
Mungu akubaliki kwamaonyi yenu
@ezraemuria7397
@ezraemuria7397 3 жыл бұрын
This is the true man of God
@willingtonejohn1929
@willingtonejohn1929 5 жыл бұрын
Mchungaji umenifanya nicheke,,,et kilicho kufanya kusoma ni kuongopa kulima....
@osman19681leje
@osman19681leje 4 жыл бұрын
Mmmm kusoma ni kuogopa kulima.....!!!🙄
@ruthnyaudo5034
@ruthnyaudo5034 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 nakuambia nimecheka yangu yote, that part imenimaliza kabisa
@stevenkipara9310
@stevenkipara9310 5 жыл бұрын
Duuu...Mungu akubariki Mchungaji!Yani usipoona raha kwa Yesu basi umerogwa kwa namna hii 😁
@denisokumu.blondy6821
@denisokumu.blondy6821 5 жыл бұрын
Hehe
@amankajuna5064
@amankajuna5064 4 жыл бұрын
Ninabarikiwa sana na ujumbe anaoutuma Mungu wetu kupitia kinywa chako Baba Mchungaji
@veronicamchilo8552
@veronicamchilo8552 5 жыл бұрын
Kama umesiki kuwa choo cha self ni cha baba na mama na vikombe vikubwa ni cha baba na mama gonga like tujuane 😂😂
@denisokumu.blondy6821
@denisokumu.blondy6821 5 жыл бұрын
Hehe
@daimavlog
@daimavlog 4 жыл бұрын
😂😂😂
@niyonkurujeanpascal4791
@niyonkurujeanpascal4791 3 жыл бұрын
Ndugu nisaidiye number ya huyu mutumishi
@rodasengo7771
@rodasengo7771 5 жыл бұрын
Jehova Nisamehe hii fimbo imeniuma
@shaymohd6547
@shaymohd6547 2 жыл бұрын
Hakika na kweli pastor asante sana
@agneshassan4712
@agneshassan4712 3 жыл бұрын
Mgogo wanipa raha sana mahubiri yako
@stevenmajoge4644
@stevenmajoge4644 4 жыл бұрын
Mchungaji nakupendaga,sanaaa tunaomba ufungue taw mwanza
@kondomohamedi5801
@kondomohamedi5801 4 жыл бұрын
Yaani sahiv kila nikiingia u tube napenda niangalie mahubir yako yani manzur sana jamni
@gracekim2481
@gracekim2481 3 жыл бұрын
True gospel Many years ahead of you Man of God.
@danielorango5875
@danielorango5875 5 жыл бұрын
Mchungaji Mgogo. Ujumbe wa kusawazisha wanadamu wote. Nimebarikiwa mno baba Mchungaji.
@tinamsengi570
@tinamsengi570 3 жыл бұрын
Waooo nnakukubali mtumishi
@rosestephano7657
@rosestephano7657 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mchungaji
@johnouma5781
@johnouma5781 5 жыл бұрын
Ubarikkwe sana mchungaji Mkenya aliye Uarabuni nabarikkwa sana...napenda sana mafunzo yako
@neemajosephati8403
@neemajosephati8403 4 жыл бұрын
Naomba namba yako ndg
@johnouma5781
@johnouma5781 4 жыл бұрын
Nitafute Facebook,,siezi peana number yangu hapa ni public,,tafuta Oyoko John facebook.
@lydiamwaniki1572
@lydiamwaniki1572 Жыл бұрын
Mchungaji you say as it is much love here in Kenya
@elishasemhomba324
@elishasemhomba324 4 жыл бұрын
Mungu akubariki na mahubili yako.
@esterbarinaba5891
@esterbarinaba5891 4 жыл бұрын
Mungu ni wezeshe niwaone wenzangu Ni watu wako Bora kuniliko Asante mchungaji
@kuyanjulius3978
@kuyanjulius3978 4 жыл бұрын
Mch, Baba tunakuelewa vizuri Sana, Mungu akuongeze,
@fransicochunji327
@fransicochunji327 4 жыл бұрын
Amen. Mungu akubariki sana
@ramadhankijana9442
@ramadhankijana9442 2 жыл бұрын
Yaani mafunzo yako huwa nayapenda sana
@jeremiarogathe3916
@jeremiarogathe3916 5 жыл бұрын
Angalia pakua yake amina mtumishi
@robartalembe9909
@robartalembe9909 5 жыл бұрын
Nimejifunza kitu barikiwa sana Mtumishi
@simonmwakyusa7715
@simonmwakyusa7715 3 жыл бұрын
Mungu awe nawe daima najifunza mengi kutoka kwako
@marystella1662
@marystella1662 4 жыл бұрын
A true man of God watching from Kenya God bless you.
@JuniorGaddafi3978
@JuniorGaddafi3978 4 жыл бұрын
Tupo pamoja
@cleahmsavi9982
@cleahmsavi9982 3 жыл бұрын
Mm pia
@arexmerck2324
@arexmerck2324 4 жыл бұрын
Yani we mchungaji nakupenda sana eti mtu anaunda kuku kwenye sahani 😂😂😂😂😂😂
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 3 жыл бұрын
Nmecheka mno leo🤣🤣🤣🤣
@ceciliamusembi7226
@ceciliamusembi7226 4 жыл бұрын
Mtumishi uinuliwe na Mungu,kuubiri kwako baraka nyingi kwangu,BwanaYesu aonaye Kwa siri Akubariki
@deborasantonia3452
@deborasantonia3452 3 жыл бұрын
Asante Sana mtumishi wa mungu yaani unatusaidia Sana mungu akuongezee uishi miaka mingi
@jacobezekielhoya1626
@jacobezekielhoya1626 4 жыл бұрын
Sema tupone baba yangu,,,,,wewe ndo kiboko ya wachungaji matepeli na manabii wa uongo.
@andrewmajita6437
@andrewmajita6437 5 жыл бұрын
Asante baba mchungaji neno limepenya
@t7zkc5tpxgim28
@t7zkc5tpxgim28 5 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki sana pastor
@lukamwakosya6676
@lukamwakosya6676 4 жыл бұрын
Hahahaha....ameeen.nabarikiwa sana mtumishi kwa maubiri yako
@sophiamathew9033
@sophiamathew9033 4 жыл бұрын
😂😂😂 Neno zurii saaana, Ubarikiwe saana
@erickurio6637
@erickurio6637 3 жыл бұрын
Sina Cha kusema ila mungu akubariki
@blandymassawe2850
@blandymassawe2850 4 жыл бұрын
Ety upate kansa pastor barikiwa sana
@emabreefraim9141
@emabreefraim9141 5 жыл бұрын
Amina!.Mungu atuwezeshe atuokoe na hili pungufu.
@gerkombo6512
@gerkombo6512 5 жыл бұрын
Kwenye foleni ya chakula unataka umuunde kuku kwenye sahani 😀😂
@WemaMwiha
@WemaMwiha 4 жыл бұрын
😂😂😂
@jeremiabarnaba8534
@jeremiabarnaba8534 4 жыл бұрын
Oyaa lete huku
@johnchilimila7548
@johnchilimila7548 4 жыл бұрын
Hahahaaaa! Hatariiiii!
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 3 жыл бұрын
Hahahhaha
@biasouzadhiambo5926
@biasouzadhiambo5926 3 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji
@tabithawambui3904
@tabithawambui3904 4 жыл бұрын
Pastor nakupenda bure.
@albertludago7374
@albertludago7374 4 жыл бұрын
Mungu akibark sana mtumishi wa Mungu naipenda sana injili yako unasema kweli
@jayrosbajungu7954
@jayrosbajungu7954 3 жыл бұрын
Naipenda injili ya matumishi
@angelamukami2511
@angelamukami2511 4 жыл бұрын
Kweli kabisa mchungaji Naomba uje kwetu kanisa ulete huo ujube full gospel church of Kenya joska ,karibu sana kwetu
@emiliankomba8550
@emiliankomba8550 5 жыл бұрын
Barikiwa sna mchungaji
@kuyanjulius3978
@kuyanjulius3978 4 жыл бұрын
Baba mchungaji, tunaomba somo la ndoa hasa wake zetu Baba mchungaji tunaomba.
@miriamwaithera2742
@miriamwaithera2742 3 жыл бұрын
Kweli kabisa pastor napenda vile unaongea dhahiri
@frankongete9396
@frankongete9396 4 жыл бұрын
I like your real and true Gospel in this Generation of watapeli!
@anasiamacha2543
@anasiamacha2543 4 жыл бұрын
frank ongete Yaani daah
@elizabethmussa3111
@elizabethmussa3111 3 жыл бұрын
H
@drrobertkibagendi5556
@drrobertkibagendi5556 2 жыл бұрын
From Kenya,Dr Robert,am practically touched
@happymwinami3287
@happymwinami3287 3 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mahubili yako mchungaji wangu kweli mungu atuwezeshe
@hawaamohammed6687
@hawaamohammed6687 4 жыл бұрын
Mimi niMwislamuuu sipokabisaaaa upandewakeee lakiniii mahubiriii yanagusa
@solomonnyaholoti4340
@solomonnyaholoti4340 3 жыл бұрын
Yaan kuna watu mnachekeshaga kwa hyo kuwa muislam ndo nn
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 жыл бұрын
@@solomonnyaholoti4340 Mimi sijuwi ndio nini wala sitaki kujuwa ndio nini lakini dua ninayomuomba Mungu kila wakati ni kunifisha (kufa) nikiwa Muislamu. Ni hasara kubwa kufa na Imani isiyokuwa ya Kiislam.
@ngunochugga8761
@ngunochugga8761 5 жыл бұрын
Baraka hizi zizidi kukufuata hadi ukamilifu wa dahari.
@dianakibunyi
@dianakibunyi 4 жыл бұрын
Pastor Mungu akubariki,nimecheka sana
@farazianduwimana9624
@farazianduwimana9624 5 жыл бұрын
Hahahahahaha Mungu atsaidie sana. Kabisa mahubiri haya yamegusa moyo wangu.
@alfredagwata2875
@alfredagwata2875 5 жыл бұрын
Mahubiri yako nayapenda sana
@mirianeyohana148
@mirianeyohana148 4 жыл бұрын
Amen mchungaji wetuu
@ndayisengatheoneste5898
@ndayisengatheoneste5898 2 жыл бұрын
Pastor Daniel i love your teaching very much even I don't understand very much swahili but the little i understand it bless me much.ilove you and i pray for you. God bless you.
@erikaingabire2676
@erikaingabire2676 4 жыл бұрын
Hahahahaaa wanapanda Na Yooo Na kushukanayooo 😂😂😂 Barikiwaga sana Muchungaji najifunza mengi kupitia mafundisho yako
@jastinetv7679
@jastinetv7679 5 жыл бұрын
Amen! Ubarikiwe sana Mchungaji.
@jeniphamkada258
@jeniphamkada258 4 жыл бұрын
Nakupenda sana mchungaji mungu akulinde mana mafundisho yako yananifanya niwe furaha mda wote ubarikiwe sana
@ibrahimdickson9749
@ibrahimdickson9749 5 жыл бұрын
Nimefurahi sana barikiwa sana
@chotandege7926
@chotandege7926 4 жыл бұрын
Hata mungu anamsahau
@pensevnyos3845
@pensevnyos3845 4 жыл бұрын
Mimi Kama mkenya pia nafurahia hata nikiwa nje ya nchi Mungu akubariki sana
@lumumbagustave5282
@lumumbagustave5282 4 жыл бұрын
Rwanda tunakuelewa Mgogo
@veeJesus
@veeJesus 4 жыл бұрын
Salimia Rwanda
@japhetkenga6861
@japhetkenga6861 3 жыл бұрын
malindi twakungoja pastor
@augustinondabeda7730
@augustinondabeda7730 5 жыл бұрын
very fantastic messages pastor my Almighty God may lift you highest
@mercykamene9849
@mercykamene9849 5 жыл бұрын
Neema ya Mungu yatosha
@nicholaskhainza4802
@nicholaskhainza4802 5 жыл бұрын
Huo ni ukweli mchungu mchungaji.Barikiwa.
@siateshanapokebaba3757
@siateshanapokebaba3757 4 жыл бұрын
Mtumishi unazid kunifurahisha
@lydiahann1737
@lydiahann1737 4 жыл бұрын
Napenda naninafuatilia mafundisho yako huwa yanifariji barikiwa sana
@daviemenja7210
@daviemenja7210 4 жыл бұрын
Haki wee ujumbe unao naikafikie wale hujisifu nawa jue sitwapumua hewa moja.
@vevylove1798
@vevylove1798 5 жыл бұрын
Hakika nimepona ubarikiwe mtumishi
@mathiassamma3538
@mathiassamma3538 4 жыл бұрын
Nakusikilizaga jana leo na kesho yake kesho. Sijawahiii choka wallah
@nancyguto767
@nancyguto767 5 жыл бұрын
Amen mchungaji
@cyberchannel1833
@cyberchannel1833 4 жыл бұрын
unajenga sana si tu kiimani kimaisha kiakili. unasaidia sana tuwezi kuishi kwakychukuliana ukushaelewa mafundisho hakitakusumbua chochote ukikutana nacho
@wangaichrisantus184
@wangaichrisantus184 5 жыл бұрын
Wewe ni mtu wa kawaida kabisaa.. Balaa huyu
@irichsulya1382
@irichsulya1382 4 жыл бұрын
Tunapata nehema kutoka kwako Ubarikuwe!
@antusamkenda1168
@antusamkenda1168 5 жыл бұрын
Aisee mch Danieli unatupaga ukweli wote huna unafiki
Mch: Daniel Mgogo -Waliokwenda shule wakaiacha shule shuleni
15:39
Uhai Online Tv
Рет қаралды 681 М.
ELIMU YETU YA KIAFRIKA NYINGI NI UJINGA MWINGI "PASTOR MGOGO
28:02
Pastor Daniel Mgogo
Рет қаралды 28 М.
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 5 МЛН
Best father #shorts by Secret Vlog
00:18
Secret Vlog
Рет қаралды 22 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 158 МЛН
CHURCHILL SHOW S1E2 2024
22:20
Churchill Television
Рет қаралды 236 М.
Mch:Daniel Mgogo- Ishu ya Jogoo na Mtetea
15:01
Uhai Online Tv
Рет қаралды 99 М.
MCH DANIEL MGOGO - UNAFIKI (OFFICIAL VIDEO)
22:20
Chapeo La Wokovu
Рет қаралды 609 М.
MCH.DANIEL MGOGO-KAMA UTAKI KUSUMBULIWA ULIKOSEA KUOA
20:46
Uhai Online Tv
Рет қаралды 190 М.
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 5 МЛН