Haki huyu mchungaji mi hunibamba saana😂😂😂😂😂😂.much Love mchungaji 💪💪
@janetemba28444 жыл бұрын
Akili ya MUNGU haichunguziki, kila kitu alikiweka kwa makusudi yake, Nabarikiwa sana na mahubiri yako Pastor.
@sidemathias17005 жыл бұрын
Mchungaji nakupenda sana aiseee unanikosha sana mm mwisilam lakin unaniflaisha mno napenda sana stailiyako yakuhubili ubalikiwe sana mgogo mtani wang
@akhiikassimallimakame86575 жыл бұрын
Side Mathias
@felicianluvanda96725 жыл бұрын
Wote niwa Mungu mmoja tunatofautiana tu mavazi
@nguombagalalang3jfashioncl1504 жыл бұрын
Ndiyo wotee ni kitu kimoja
@anasiamacha25434 жыл бұрын
Felician Luvanda Hahhahahh
@user-he8wg5vf7f5 ай бұрын
Nakupenda kupita kiasi jamani❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Mungu akupe maisha marefu🙏🙏🙏🙏
@trophainamagogwa79665 жыл бұрын
Kwa kweli hata wazungu Matajiri wanakula kwa mahesabu mno ili wasizidishe Karolis mwilini,ila tunaovipata kwa shida ndo tunataka vingi saana kupita kiasi
@masigomhoja51825 жыл бұрын
dah huyu analihubili taifa na sio kanisa lake tu hakika huyu kaletwa na mungu atusaidie
@roinajohnson97884 жыл бұрын
Kabisaa yaani mahubili yke mi nayaita no stress yaan unatoa mawazo
@mbaembae77894 жыл бұрын
Ukweli mtupu Kenya twapenda mgogo sana
@euniestherwilliam15133 жыл бұрын
Ni kweli. Ila neno Mungu tuanze na herufi kubwa
@athumaninyagali8582 Жыл бұрын
ubarikiwe sana mchungajii
@johannes41273 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana
@fabianndimanya20553 жыл бұрын
Ana muunda kuku kweny sahani🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jaman pastor nakupenda mnooo
@felicianluvanda96725 жыл бұрын
Huyu mchungaji hakika kaletwa na Mungu ....lengo nikuokoa dunia hii na hasa Tanzania nampenda sana Mgogo yupo kuponya watu waaina zote...... ...
@majidswalehe38543 жыл бұрын
Asantee baba Sema tupone
@maidamatinya49054 жыл бұрын
Hicho ni kipaji cha pekee babaangu! Kitumie Mungu amekupa!
@davisfungo44813 жыл бұрын
HALELUYAAAAAA.............MUNGU AKUBARIKI....
@lazarodulle84982 жыл бұрын
Nakukubali Sana na balikiwa Sana ninaposikia mahubili yako nadhani kabisa lako ni ukweli njia uhakika
@monicaisaya61433 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mtumishi Mungu akulinde Amina kubwa nabalikiwa Sana iseee sindano zinatuingia🙏🙏🙏
@KalengeClement-sk7in Жыл бұрын
❤❤❤ ubarikiwe kwautele mutumishi wa bwana
@kid_daniel53813 жыл бұрын
Haki huyu mchungaji anifurahishaga afu ananielimisha hapo ,naamini waumini hawachoki ibada ubarikiwe mzee Baba
@ngunochugga87615 жыл бұрын
Ukweli Mwanadamu ni kiumbe mbinafsi sana. Yaani hata mkipiga picha ya pamoja, cha kwanza ni kujiangalia mwenyewe kama upo na ndo uwaangalie wenzako.....
@kijiwenikijiweni91184 жыл бұрын
Nakuelewa sana pastar piga injili namabomu lipua mm nakupenda sanaa
@euphemiaoyori6064 жыл бұрын
The first pastor in the whole world who preaches the truth
@fabianndimanya20553 жыл бұрын
Exactly
@irenemassawe72914 жыл бұрын
Mchungaj mungu akutunze milele 🙏
@wardawarda34275 жыл бұрын
Mchungaji umenishinda tabia neno lako ni upanga ukatao kuwili barikiwa na Mungu.
@estherwilliam51254 жыл бұрын
Warda Warda NENO lake?, la Mungu
@joachimujohn22472 жыл бұрын
Barikiwa
@maryalphonce76533 жыл бұрын
Mungu akutunze
@danieljohn38364 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana kwa mtumishi wa ukweli
@barakamollel9922 жыл бұрын
Mungu Ana makusudi na kila kiungo
@edghamoses61894 жыл бұрын
Ahsant mch. Naomb mawasiliano yako nahitaj kuonan na wew nin tatz
@christineamukoye99695 жыл бұрын
AMEEEEEN jina labwana liimidiwe na penda mahubiri yako sana baba mchungaji Daniel Mgogo
@mwipagiesthermalemi44695 жыл бұрын
Ameen mgogo tupa mawe
@emmanuelmuthui30814 жыл бұрын
Muchungaji you are the best. Much love from Kitui East, Kenya. Barikiwa.
@judithnjunwa66684 жыл бұрын
mchungaji wewe si mchezo,MUNGU Kaweka vipaji kwa baadhi ya watumishi, DANIEL NI MMOJA WAPO,,,,,,,big up father GOD
@byamungujeanvie95142 жыл бұрын
Mungu akubaliki kwamaonyi yenu
@ezraemuria73973 жыл бұрын
This is the true man of God
@willingtonejohn19295 жыл бұрын
Mchungaji umenifanya nicheke,,,et kilicho kufanya kusoma ni kuongopa kulima....
@osman19681leje4 жыл бұрын
Mmmm kusoma ni kuogopa kulima.....!!!🙄
@ruthnyaudo50343 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 nakuambia nimecheka yangu yote, that part imenimaliza kabisa
@stevenkipara93105 жыл бұрын
Duuu...Mungu akubariki Mchungaji!Yani usipoona raha kwa Yesu basi umerogwa kwa namna hii 😁
@denisokumu.blondy68215 жыл бұрын
Hehe
@amankajuna50644 жыл бұрын
Ninabarikiwa sana na ujumbe anaoutuma Mungu wetu kupitia kinywa chako Baba Mchungaji
@veronicamchilo85525 жыл бұрын
Kama umesiki kuwa choo cha self ni cha baba na mama na vikombe vikubwa ni cha baba na mama gonga like tujuane 😂😂
@denisokumu.blondy68215 жыл бұрын
Hehe
@daimavlog4 жыл бұрын
😂😂😂
@niyonkurujeanpascal47913 жыл бұрын
Ndugu nisaidiye number ya huyu mutumishi
@rodasengo77715 жыл бұрын
Jehova Nisamehe hii fimbo imeniuma
@shaymohd65472 жыл бұрын
Hakika na kweli pastor asante sana
@agneshassan47123 жыл бұрын
Mgogo wanipa raha sana mahubiri yako
@stevenmajoge46444 жыл бұрын
Mchungaji nakupendaga,sanaaa tunaomba ufungue taw mwanza
@kondomohamedi58014 жыл бұрын
Yaani sahiv kila nikiingia u tube napenda niangalie mahubir yako yani manzur sana jamni
@gracekim24813 жыл бұрын
True gospel Many years ahead of you Man of God.
@danielorango58755 жыл бұрын
Mchungaji Mgogo. Ujumbe wa kusawazisha wanadamu wote. Nimebarikiwa mno baba Mchungaji.
@tinamsengi5703 жыл бұрын
Waooo nnakukubali mtumishi
@rosestephano76572 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mchungaji
@johnouma57815 жыл бұрын
Ubarikkwe sana mchungaji Mkenya aliye Uarabuni nabarikkwa sana...napenda sana mafunzo yako
@neemajosephati84034 жыл бұрын
Naomba namba yako ndg
@johnouma57814 жыл бұрын
Nitafute Facebook,,siezi peana number yangu hapa ni public,,tafuta Oyoko John facebook.
@lydiamwaniki1572 Жыл бұрын
Mchungaji you say as it is much love here in Kenya
@elishasemhomba3244 жыл бұрын
Mungu akubariki na mahubili yako.
@esterbarinaba58914 жыл бұрын
Mungu ni wezeshe niwaone wenzangu Ni watu wako Bora kuniliko Asante mchungaji
@kuyanjulius39784 жыл бұрын
Mch, Baba tunakuelewa vizuri Sana, Mungu akuongeze,
@fransicochunji3274 жыл бұрын
Amen. Mungu akubariki sana
@ramadhankijana94422 жыл бұрын
Yaani mafunzo yako huwa nayapenda sana
@jeremiarogathe39165 жыл бұрын
Angalia pakua yake amina mtumishi
@robartalembe99095 жыл бұрын
Nimejifunza kitu barikiwa sana Mtumishi
@simonmwakyusa77153 жыл бұрын
Mungu awe nawe daima najifunza mengi kutoka kwako
@marystella16624 жыл бұрын
A true man of God watching from Kenya God bless you.
@JuniorGaddafi39784 жыл бұрын
Tupo pamoja
@cleahmsavi99823 жыл бұрын
Mm pia
@arexmerck23244 жыл бұрын
Yani we mchungaji nakupenda sana eti mtu anaunda kuku kwenye sahani 😂😂😂😂😂😂
@fabianndimanya20553 жыл бұрын
Nmecheka mno leo🤣🤣🤣🤣
@ceciliamusembi72264 жыл бұрын
Mtumishi uinuliwe na Mungu,kuubiri kwako baraka nyingi kwangu,BwanaYesu aonaye Kwa siri Akubariki
@deborasantonia34523 жыл бұрын
Asante Sana mtumishi wa mungu yaani unatusaidia Sana mungu akuongezee uishi miaka mingi
@jacobezekielhoya16264 жыл бұрын
Sema tupone baba yangu,,,,,wewe ndo kiboko ya wachungaji matepeli na manabii wa uongo.
@andrewmajita64375 жыл бұрын
Asante baba mchungaji neno limepenya
@t7zkc5tpxgim285 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki sana pastor
@lukamwakosya66764 жыл бұрын
Hahahaha....ameeen.nabarikiwa sana mtumishi kwa maubiri yako
@sophiamathew90334 жыл бұрын
😂😂😂 Neno zurii saaana, Ubarikiwe saana
@erickurio66373 жыл бұрын
Sina Cha kusema ila mungu akubariki
@blandymassawe28504 жыл бұрын
Ety upate kansa pastor barikiwa sana
@emabreefraim91415 жыл бұрын
Amina!.Mungu atuwezeshe atuokoe na hili pungufu.
@gerkombo65125 жыл бұрын
Kwenye foleni ya chakula unataka umuunde kuku kwenye sahani 😀😂
@WemaMwiha4 жыл бұрын
😂😂😂
@jeremiabarnaba85344 жыл бұрын
Oyaa lete huku
@johnchilimila75484 жыл бұрын
Hahahaaaa! Hatariiiii!
@lindambilinyi62533 жыл бұрын
Hahahhaha
@biasouzadhiambo59263 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji
@tabithawambui39044 жыл бұрын
Pastor nakupenda bure.
@albertludago73744 жыл бұрын
Mungu akibark sana mtumishi wa Mungu naipenda sana injili yako unasema kweli
@jayrosbajungu79543 жыл бұрын
Naipenda injili ya matumishi
@angelamukami25114 жыл бұрын
Kweli kabisa mchungaji Naomba uje kwetu kanisa ulete huo ujube full gospel church of Kenya joska ,karibu sana kwetu
@emiliankomba85505 жыл бұрын
Barikiwa sna mchungaji
@kuyanjulius39784 жыл бұрын
Baba mchungaji, tunaomba somo la ndoa hasa wake zetu Baba mchungaji tunaomba.
@miriamwaithera27423 жыл бұрын
Kweli kabisa pastor napenda vile unaongea dhahiri
@frankongete93964 жыл бұрын
I like your real and true Gospel in this Generation of watapeli!
@anasiamacha25434 жыл бұрын
frank ongete Yaani daah
@elizabethmussa31113 жыл бұрын
H
@drrobertkibagendi55562 жыл бұрын
From Kenya,Dr Robert,am practically touched
@happymwinami32873 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mahubili yako mchungaji wangu kweli mungu atuwezeshe
Yaan kuna watu mnachekeshaga kwa hyo kuwa muislam ndo nn
@hajihassan54333 жыл бұрын
@@solomonnyaholoti4340 Mimi sijuwi ndio nini wala sitaki kujuwa ndio nini lakini dua ninayomuomba Mungu kila wakati ni kunifisha (kufa) nikiwa Muislamu. Ni hasara kubwa kufa na Imani isiyokuwa ya Kiislam.
@ngunochugga87615 жыл бұрын
Baraka hizi zizidi kukufuata hadi ukamilifu wa dahari.
@dianakibunyi4 жыл бұрын
Pastor Mungu akubariki,nimecheka sana
@farazianduwimana96245 жыл бұрын
Hahahahahaha Mungu atsaidie sana. Kabisa mahubiri haya yamegusa moyo wangu.
@alfredagwata28755 жыл бұрын
Mahubiri yako nayapenda sana
@mirianeyohana1484 жыл бұрын
Amen mchungaji wetuu
@ndayisengatheoneste58982 жыл бұрын
Pastor Daniel i love your teaching very much even I don't understand very much swahili but the little i understand it bless me much.ilove you and i pray for you. God bless you.
@erikaingabire26764 жыл бұрын
Hahahahaaa wanapanda Na Yooo Na kushukanayooo 😂😂😂 Barikiwaga sana Muchungaji najifunza mengi kupitia mafundisho yako
@jastinetv76795 жыл бұрын
Amen! Ubarikiwe sana Mchungaji.
@jeniphamkada2584 жыл бұрын
Nakupenda sana mchungaji mungu akulinde mana mafundisho yako yananifanya niwe furaha mda wote ubarikiwe sana
@ibrahimdickson97495 жыл бұрын
Nimefurahi sana barikiwa sana
@chotandege79264 жыл бұрын
Hata mungu anamsahau
@pensevnyos38454 жыл бұрын
Mimi Kama mkenya pia nafurahia hata nikiwa nje ya nchi Mungu akubariki sana
@lumumbagustave52824 жыл бұрын
Rwanda tunakuelewa Mgogo
@veeJesus4 жыл бұрын
Salimia Rwanda
@japhetkenga68613 жыл бұрын
malindi twakungoja pastor
@augustinondabeda77305 жыл бұрын
very fantastic messages pastor my Almighty God may lift you highest
@mercykamene98495 жыл бұрын
Neema ya Mungu yatosha
@nicholaskhainza48025 жыл бұрын
Huo ni ukweli mchungu mchungaji.Barikiwa.
@siateshanapokebaba37574 жыл бұрын
Mtumishi unazid kunifurahisha
@lydiahann17374 жыл бұрын
Napenda naninafuatilia mafundisho yako huwa yanifariji barikiwa sana
Nakusikilizaga jana leo na kesho yake kesho. Sijawahiii choka wallah
@nancyguto7675 жыл бұрын
Amen mchungaji
@cyberchannel18334 жыл бұрын
unajenga sana si tu kiimani kimaisha kiakili. unasaidia sana tuwezi kuishi kwakychukuliana ukushaelewa mafundisho hakitakusumbua chochote ukikutana nacho
@wangaichrisantus1845 жыл бұрын
Wewe ni mtu wa kawaida kabisaa.. Balaa huyu
@irichsulya13824 жыл бұрын
Tunapata nehema kutoka kwako Ubarikuwe!
@antusamkenda11685 жыл бұрын
Aisee mch Danieli unatupaga ukweli wote huna unafiki