Mpaka kingereza kinalewa waliokwenda shule shule wameiacha shuleni wanakunywa viroba Chang’aa dah mimi nakupendaga unavyotupa dozi
@hephzibahchurchkenya44544 жыл бұрын
Mchungaji Mgogo anahubiri Injili sawasawa kabisa bila kuongeza viungovutia. thanks
@babuallyabdallah29644 жыл бұрын
Mimi ni muislamu.. Lakini nafuatilia sana mahubiri.. Kwa kweli upo vizur sana na mahubiri yako ni mazuri sana mchungaji..
@nyambatikwamboka70654 жыл бұрын
Barikiwa ndugu!
@babuallyabdallah29644 жыл бұрын
@@nyambatikwamboka7065 Nawe pia
@chachamaheri77854 жыл бұрын
Brazee ngoja tushare Maarifa Mungu ni Mmoja lkn mtu mbaya ni mzungu kazigawa dini tusijue ukwel yaani Maarifa
@angeljasson43764 жыл бұрын
Tupo wengi
@Mike-yg7pb4 жыл бұрын
Naamini kuna siku utakuwa muhubiri mkubwa sana ukitangaza jina la Yesu kuwa ni mwokozi, maana sisi wote tunamtafuta Mungu,
@slaviussalvatory14943 жыл бұрын
Nakukubali San mchungaji twambie tipone😆😆
@emmanuelyenderew76843 жыл бұрын
😜😜😜😜😜😜😜😜Wamenyang'anya nguo za wadogo zaoooo haaaaa haaaaaa haaaaaa aya bhana pasta mgogo dah nimecheka .Mpaka machozii
@user-kg3om1io9uАй бұрын
Pasta mungu akubariki tena zaidi
@wycliffendege77854 жыл бұрын
Daniel Mgogo shukrani sana umenisaidia kwa hayo maneno Mungu akubariki na uendele hivo hivo kuubiri injili ningekuwa na uwezo ningekuja mahali ulipo au ningekuita uje kwangu , napenda sana advice wako ammmmmin
@nicksonanyika15623 жыл бұрын
Wape vitu baba baraka za Mungu tu
@lugayilajohn62694 жыл бұрын
Huyu ndio mchungaji Tanzania 1 hakuna mwenye mahubili ya kujenga kama huyu barikiwa sana baba
@mercimerci73344 жыл бұрын
Umbo wangu ukutukuze Mungu amen 🙏🙏
@yusuphwella96514 жыл бұрын
Mim Muslim napenda sana mahubiri yako DM, you speak about life with God
@eventelias35664 жыл бұрын
Mimi ni mkristo lkn huwa nasikiliza mawaidha yenye mafunzo ya kweli huwa siangalii dini pia.
@mfokachema4 жыл бұрын
Yesu ndiye njia na kweli na uzima. Karibu umpokee Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako
@uswegemwakajinga42185 жыл бұрын
Dozi yako ni chungu sana lkn inaponya barikiwa sana baba
@tyeahukende6874 жыл бұрын
uko vzr sana mchungaji
@pendondossy21584 жыл бұрын
Amen
@bacumimmiokdorcas7394 жыл бұрын
@@tyeahukende687 q1
@rosiealf52805 жыл бұрын
Daaah Yaani nimecheka ety wasichana walionyang'anya nguo za wadogo zao, afu mtu kaenda shule akaacha shule shuleni!
Kutoka Kenya.Sijawai muona mhuburi ambaye anasema ukweli wa mambo ulivyo kama huyu.Mwenyezi Mungu na akupe zaidi.Ningetamani sana uje nchini kenya kuhubiri.
@abouilysar54164 жыл бұрын
Sio imani yangu Ila napata nafasi ya kumsikiliza na namuelewa na napata kujifunza kitu simsikii akiubili miujiza tu
@alexanderbalars4 жыл бұрын
Tunaye Kenya pua anaitwa Mr Tee
@alexanderbalars4 жыл бұрын
Tunaye Kenya pua anaitwa Mr Tee
@alexanderbalars4 жыл бұрын
Tunaye Kenya pia anaitwa Mr Tee
@alexanderbalars4 жыл бұрын
Tunaye Kenya pia anaitwa Mr Tee
@silviakihaka97955 жыл бұрын
nimefunguliwa kwa somo LA leo endelea kutufundisha mtumishi wetu
@susanwakesho91335 жыл бұрын
Pastor wa madoz tupe! Tupe dawa kulingana n mgonjwa yetu nabarikiwa Sana n huduma yako ya kulipua ndio tutapona baba
@johnshabani4 жыл бұрын
Ooh yes
@wollaceagengo16194 жыл бұрын
pastor wollace .mafunzo yako sawa ubarikiwe
@ednajared83855 жыл бұрын
Eeeh waaah mchungaji una kibali kweli. Be blessed
@hidayanebati86455 жыл бұрын
Jamani kanigusa unaamini maji anaekupa anakesha kuomba
@mckingmojojo3635 жыл бұрын
Dozi imeingia hiyo Mchungaji huyu nampenda sana.
@muhammadramadhwan96065 жыл бұрын
Upo vzr mchungaji
@danielmali15684 жыл бұрын
Pastor Yani unastahili Sana hakuna kuficha mungu akubariki
@mariasanga48575 жыл бұрын
Mungu akubaliki mtumishi
@mashazawadi7394 жыл бұрын
Una kipawa mchungaji unanguza mioyo za watu na unabadilisha. Ubarikiwe.
@dtech_cmputertraining55145 жыл бұрын
Barikiwa Sana pastor , hili neno halijapita bure kwangu
@nyangigewerema91235 жыл бұрын
DTECH_CMPUTER TRAINING r
@annakaya6714 жыл бұрын
Kweli pastor
@dainesymartin69772 жыл бұрын
Amen mtumishi
@ezakiyosia72654 жыл бұрын
Sawa pastor asante kwa mafundisho hayooo mazuri
@freddymukindiwa78704 жыл бұрын
kwenda shule na kuhihacha shule shuleni yani muchungaji ni bala ubarikiwe kwa ufunuho kila mala unakuwa ukinibaliki sana
@queenmaya80224 жыл бұрын
Hahaha eti wamekukwangua😄😄😄😄😄🙌 sura ya tafadhal nipigie😄😄😄😄🙌
@faridaaloyce76722 жыл бұрын
Barikiwa....sana
@marymungai44294 жыл бұрын
Kenyans love you Pastor. you are real
@marymuthoni15514 жыл бұрын
Asante sana, Mungu ni mwema
@happywilliam50865 жыл бұрын
Hahaha kizuri kula na wenzako ahsante mchungaji,
@renatasabasik67794 жыл бұрын
Happy William amina baba sema tupone
@travisg.online38184 жыл бұрын
Ubarikiwee Mtumishii wa Mungu..
@denismunene10794 жыл бұрын
Daaah kweli dozi kweli mutumishi barikiwa
@robertnzaka45135 жыл бұрын
Toa doz imefikaaaaaaa
@danieljohn38364 жыл бұрын
Mungu akuongezeee maarifa mchangaji
@elikamsovela90894 жыл бұрын
Mchungaji barikiwa sana. Yaan napenda sana mahubiri yako kwani unasema ukweli mtupu. Mungu akupe umri mrefu ili uzidi kutupa dozi ya mahubiri.
@thadeorevelian84955 жыл бұрын
Mh! kwel mch/ ukwel unauma injil isonge mbele
@dexoorayz3094 жыл бұрын
Nimetosha dozi mtumishi , usiniongezee ingine
@paulondiek13454 жыл бұрын
Yafaa saa nyingine mkabadilishane na pastor Paul kuria wa kenya mkazambashe injili,am glad to watch you from USA.
@eustahtola45302 жыл бұрын
Ukweli kabisaa bro,c nmecheka yangu yote nko Saudi Arabia
@isabellakasandi20814 жыл бұрын
So motivated mchungaji.May the almighty bless you to inspire other souls
@marympemba88435 жыл бұрын
Mchungaji tunapokea dozi, inatusaidia sana
@LisaLisa-wd8oy4 жыл бұрын
Waaaah Aki sini mecheka waa be blessed pastor mungu aendelee kukuongezea nguvu
@PKim-sg7es4 жыл бұрын
Comedian turned preacher, he has been around the block you can tell.
@amedeusshio78364 жыл бұрын
mch daniel mungu akubariki upo vinzur
@emmanuellekakeny30444 жыл бұрын
Amen amen poster God bless you
@annahatamiminilinilivutiwa97545 жыл бұрын
Doz.kali mno
@livinusdausonilivinusdauso31244 жыл бұрын
mchungaji mm nafurah sana mahubili yako ni mazuri sana
@evalinewalter59313 жыл бұрын
Nakukubali Sana Baba
@Fadhzer4 жыл бұрын
Glory to God. Ubarkiwe sana
@gracegesare53134 жыл бұрын
Amen Amen yaani utukanyaga kweli.lazima tunyenyekee kabisa