HAPA NI NASAHA ZA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA KUHUSU MAANDAMANO YANAYOENDELEA NCHINI KENYA AMBAYO GEN Z WAMEYAANZISHA
Пікірлер: 11
@abdulkheri7322Ай бұрын
Moja ya tatizo kenya hata hao wachungaji baadhi yao wanatumiwa na wanasiasa, so vijana hawana imani na wachunaji
@MichaelMwasese23 күн бұрын
Balikiwa much Hananja mtu kazi sema ameniiiiiiiiiiii
@rastakatakaАй бұрын
Soma Bibilia vizuri kizazi HATARI
@user-bp4wv4jo2iАй бұрын
asante kwa kutetea wanyoge kenya,kweli gap ya umasikini na tajiri nikubwa sana
@andrewnyamwaro5174Ай бұрын
Maoni yake huyo. Haelewi kitu huyo. Swala hapo ni siasa na uongozi. Vijana wanahoji maamuzi ya wakuu. Wanafacts. Hata rais hana jibu. Huyu mwepesi na cheap solutions. Hapo naye ajifunze . ...
@henryosoro7696Ай бұрын
Huyu mzee haelewi Chenye kinaendelea hapa Kenya ..
@nicolousmwakalengela2258Ай бұрын
A- Z Umeeleweka mchungaji umeongea ukweli mtupu
@hockingsshangali1747Ай бұрын
Mchungaji jichunge sana na ushabiki wako. Fanya uchunguzi vijana wa kenya sio waasi kwa ruto hajui anamnufaisheje mkenya na sio yeye ataka nn. Huo ni udicteyar.
@richardmathayo5537Ай бұрын
@@hockingsshangali1747 we aujamuelewa
@user-ot1ff7yq2lАй бұрын
Hapana hao watu sio wajinga ukiona hivo jua kuna mambo yanawakeraa wananchi na sasa wakaamia kuyatoa kwa njia yote ile