Ibada ya Jumapili Asubuhi 13.02.2022 katika Kanisa la Gospel Campaign Centre - TAG Majumbasita Ukonga Dar es salaam chini ya Mch. Moses Magembe
Пікірлер: 113
@subiramomburi91482 жыл бұрын
Umeniponya sana Baba. Mungu akuweke miaka mingi tuzidi kunyonya maziwa yasiyogoshiwa Baba. Utukufu kwa Bwana.
@patrickmalewo50988 ай бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu umekuwa mwalimu kwangu wa neno la Mungu
@EzraShedulack8 ай бұрын
E mungu 2pe neema 2pe upeo wa kusikia neno lako
@vedastuslameck47635 ай бұрын
Bwana akubariki sana mch Kwa ujumbe wa Neno la Mungu unaonibariki na wengine pia
@harrietkiden78082 жыл бұрын
A TRUE SERVANT OF THE MOST HIGH GOD. I DONT KNOW MUCH ABOUT HIM YET, BUT I ALREADY FEEL THE POWER WHICH IS BEHIND HIM. GLORY AND HONOUR BE TO THE MOST HIGH GOD 🙌🏼🙌🏼🙏🏾🙏🏾
@fidemikaeli81452 жыл бұрын
Asante Yesu, nchi hii umetupa mtumishi, Asante Sana Yesu wangu kwa kutupendelea mno watanzania kwa kutupa mtumishi sahihi watanzania umetupa upendeleo wa pekee kabisa
@atumwalukisa Жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu tumebarikiwa sana kwa negotiate la Mungu
@serugoapotre1073 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@PasteurAlainMUHUBIRIM2 ай бұрын
Mungu wako anipandishe viwangu
@obrigadovictor90472 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU aliyehai nimepokea uponyaji kwa neema tu.💕
@alexanderkapinga700 Жыл бұрын
Powerful indeed My Pastor
@rosesemwenda5792 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Mungu akutumie zaidi na zaidi
@emanuelkubany33872 жыл бұрын
Barikiwa sana mch hakika yesu anaweza
@mpendwacravery16652 жыл бұрын
Nakupata vizuri Sana mch.moses magembe, Niko Goziba bukoba, nakupenda wewe ndie mpentecoste nilie kupata nchi hii.
@MerciDembele-pu1ljАй бұрын
MUTUMISHI wa MUNGU uniombe mumewagu nimulevisana Yesu anisaidiye
@zablonfesto5216 Жыл бұрын
Mungu mwema Glory to Glory
@juliuswambua56412 жыл бұрын
This is the gospel I desire to hear..
@paulmsemwa12682 жыл бұрын
Baba unafundisha neno asiyefundishika so wa zizi hili God bless you a lot
@mwalimuelisha19962 жыл бұрын
Hallelujah, this is a gospel which our generation needs. Glory be to God, be blessed Dad.
@gracehaule53022 жыл бұрын
Hongela mtumishi endelea kusema ukweli, wa neno LA mungu akubariki pastor Haule wa eagt.
@user-vg5ig7vf4t10 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@charles36352 жыл бұрын
Ubalikiwe sana kwa mafunzo mazuli 🙏❤️
@christinakembe38692 жыл бұрын
Nakutukuza Mungu kwa ajili YA mtumishi wake
@maxime1tv34 Жыл бұрын
Barikiwa na Mungu mchungaji
@blaisesebatutsi26362 жыл бұрын
I love you past Magembe
@MerciDembele-pu1ljАй бұрын
Mungu akubariki
@user-jw6dj4rp5w6 ай бұрын
Mugu akubariki sanababa
@joyceshoo98222 жыл бұрын
Amen nami nimepokra uponyaji kicha kilikuwa kinaniuma kimepona kabisa
@lovendendya96832 жыл бұрын
God's word is essential in my life!!!!!
@lovendendya96832 жыл бұрын
MUNGU akutie nguvu mtumishi wa MUNGU na akuongezee mafunuo zaidi!💖💐🙋🏾♀️
@beatriceamissi3102 жыл бұрын
Amena amena mtumishi ubarikiwe sana baba
@josekamuendo42932 жыл бұрын
Tunamchukuru mungu Kwa bebo hi. Mungu akubariki sana babá maguembe.
@bahatijohn1958 Жыл бұрын
Ameina barikiwa sana Pr
@dorothyshiyyo33702 жыл бұрын
Asante mchungaji wangu. Unanitoa mahali. Mungu akuzidishie sana,akupe kuishi maisha marefu uendelee kutufundisha.
@StephenButotoMbarato5 ай бұрын
hii ndio injili inatakiwa katika siku hizi. acheni chunvi,mafuta,maji...
@nkundaimulenge23262 жыл бұрын
Asandi pastor mzee wetu tuna kuvyata tukiwa marekani USA
@espapallangyo92752 жыл бұрын
Amen amen, cfa na utukufu kwa BWANA YESU
@monicahowendi93572 жыл бұрын
So powerful deep teachings thank you man of GOD
@octavianmwamnyanyi80632 жыл бұрын
Great is our God.....
@neemapadrinjumbo47782 жыл бұрын
Oo Man of God be blessed!
@rahelynocha6422 ай бұрын
Hallelujah 🙌🏾
@joshualaizer69912 жыл бұрын
aminaa
@wambulawoship42910 ай бұрын
Nafulai sana kunifundisha kweri huuu ndiyo upendekosti
@victoriadenis655710 ай бұрын
Ninakuoata baba Jina la Bwana lihimidiwe Asante kwakutufundisha upentekoste.
@victoriadenis655710 ай бұрын
Ninakupata baba.
@tuliathomas674711 ай бұрын
Amen baba
@ezekielngimbudzi77042 жыл бұрын
Asante ujumbe unaofugua maisha yetu.
@leonardliberath26642 жыл бұрын
Thank you Lord for the Rhema today!
@rahmajohn52382 жыл бұрын
Amen
@yusufukasato24252 жыл бұрын
This Man!!!! May GOD excel him with the lots of days
@johnsamba40592 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi,baba yangu
@user-jl2er1nb2p8 ай бұрын
Eeeeh mungu nipe hekima niweze kushida hila za shetani in jesus name......eeeh mungu kutana na hitaji langu na uniweke mahali sahihi na roho wako nimalize vyema🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@nephatkihara3280 Жыл бұрын
Mchunganji mwenye maarifa makuu ya undani ya Neno La Mungu. Mafunzo dhabiti mno sijawaji patana na haya. Mungu asante kwa Mch Moses Magembe, mafunzo nimejifunzaunza mengi. Barikiwa Faithful Servant of God. Live long .Amina
@user-jw6dj4rp5w6 ай бұрын
Amina
@neemamwashilindi9350 Жыл бұрын
Amina. Mungu ndiye anipiganiaye mwanadamu atanitenda nini.
@agnesmukoma36942 жыл бұрын
Sound doctrine of God
@bishengadau681 Жыл бұрын
Ameen Ubarikiwe Sanaaa Baba Mungu Akulinde Akutunze Daima Ulitumikie Kusudi Lake Ubarikiwe Sanaaa Nakupenda Sanaaa
@user-xg9bu2lg4y5 ай бұрын
Ameni Baba
@johnngwanza3570 Жыл бұрын
Amina Sana Tumebalikiwa injili ya kweli inahubiriwa
@hermanmoshine6945 Жыл бұрын
Barikiw baba swali langu Hawa wakuu wa Giza siyo wanadamu ambao ni wachaw
@martnakimata4647 Жыл бұрын
Kweli mtumishi Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu namna hiyo hii ndiyo injili ya kweli ubarikiwe
@tengononi51432 жыл бұрын
Amina mtumishi wa mungu mungu akutangulie
@barakahmoiddy66102 жыл бұрын
Barikiwa sana baba magembe
@juliusmollel8597 Жыл бұрын
Ubarikiiwe sana mtumishi wa Mungu
@charles36352 жыл бұрын
Ameni
@mossestz52812 жыл бұрын
Kweli baba Mungu Akubariki sana
@ezekielaloyce59172 жыл бұрын
He is the standard of himself
@agnesmukoma36942 жыл бұрын
Yesu ni Bwàna
@majiluchapa34862 жыл бұрын
Ubarikiwe Baba kwa huduma yenye madhihirisho ya nguvu za MUNGU.
@mgodacosmas94782 жыл бұрын
Mungu wa Mbinguni akutunze baba
@patricianisaya61442 жыл бұрын
Barikiwa baba
@ephraimasobenie9940 Жыл бұрын
So Excellent gospel.
@user-mv5kw8xn4d11 ай бұрын
🙏🙏🙏
@laurentemmanuel22422 жыл бұрын
🙏
@stevensegesela9388 Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa huduma njema
@daudijilala95132 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@mashughulikaguo35352 жыл бұрын
Asante yesuuuu
@sabinussumuni72342 жыл бұрын
UBALIKIWE MTUMISHI WA MUNGU ALIE HAI BY REV .S.UMUNI NIPO KISUMBA RUKWA
@josephmallya4328 Жыл бұрын
Mungu ni Mkuu
@japhetntabala3632 жыл бұрын
Amen amen dady
@rizikibahati83642 жыл бұрын
Amen Amen
@joelnjenza83202 жыл бұрын
AMEN
@upendoloondokalembekela7748 Жыл бұрын
Ubarikiwe na Bwana, naitaji namba ya whatsaap ya mchungaji, nawafuatilia toka jimbo la Colorado Denver
@anithafrank5533 Жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@frankruremesha14762 жыл бұрын
Amen Amen🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@dionizydidas48622 жыл бұрын
Njema sana
@user-xg9bu2lg4y5 ай бұрын
Wangetokea watumishi watatu kaka wewe tungeingia wote mbinguni
@user-wf1gi6bn1g8 ай бұрын
Ubarikiwe baba naomba na ya WhatsApp
@angelmwogofi13712 жыл бұрын
Kongamano lambeya
@tithosimpito78632 жыл бұрын
Leo ndo nimegundua kwanini Petro alisema tuende kwanini wakati kwako kunamaneno ya uzima! Yohana 6:68 Hakika Neno la MUNGU nitamu zaidi ya Asali , zaidi ya chochote nazaidi ya hapo ndani ya Neno lake kuna uzima wa milele 💪💪💪 YESU NI MWAMBA, YESU NI MFALME WA wafalme wote, YESU NI MUNGU💪 YESU NIKILA KITU KWANGU I LOVE YOU JESUS 🙏🙏🙏
@vailethignath33102 жыл бұрын
hallelujah
@beatricedemason73642 жыл бұрын
Ephesians 6;10;18
@judithnjeza82022 жыл бұрын
AMEEEN. ASANTE YESU KUSEMA NAMI LEO.
@barakambunda54282 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe Nilikua naomba kwamba kuna somo moja linaita (FUNDISHO KUHUSU MUNGU)nimelifuatilia lakini alijamaliza nilikua naomba Utuandalie semina ili tuweze kujifunza somo lote. "MUNGU WA MBINGU NA NCHI AWABARIKI KWA KAZI NJEMA"
@janetsemahimbo8083 Жыл бұрын
Mchungaji madhbahu yako yapo wapi
@michaellukoobatundi1294 Жыл бұрын
JINA LA BWANA WETU YESU KRISTO LIBARIKIWE , NIMEBARIKIWA TOKA INCHI YA DEMOCRATIC REPUBLIC OF CONGO FROM BENI TOWN , NAULIZA KAMA NI LINI MUTALETA HILI KANISA HAPA JAMUHURI YA KIDEMOCRATIA YA KONGO. MUNGU AZIDI KUWATIYA NGUVU
@husseinjohn5322 жыл бұрын
Asante kwaneno la vita ila samahani sana mchungaji ungekuwa una rudilia number yako yasimu mara mbili MUNGU akubariki sana kwa masomo unayo tupa