Hekima zako za Kimbingu ni NURU ni ombi langu kwa Mungu anijalie mke mwema na kusudio langu kupitia kwa Mungu ni kuijenga familia yangu yote katika misingi mitakatifu sana ya kiroho na kusudio langu ni kukiona kizazi changu kikiurithi ufalme wa Mungu, Mungu naomba utujalie HATMA iliyo njema maishani mwetu. Amen!
@hellenswai66732 жыл бұрын
📞🙏🙏🙏
@rehemaedward9494 Жыл бұрын
Hongera
@ombenidamson9679Ай бұрын
ameni
@sarahfaida5648 Жыл бұрын
Hakika Mungu akutunze kwa ajili ya Nchi yangu na kwaajili yangu Baba Christopher wewe umefanyika taa ya Nchi yangu Tanzania, Hekima yako yapita viwango, naomba uniombee mwanao Sarah Faida usinisahau uingiapo kwa maombi Baba. 🤲🙏
@mohoniajoseph90672 жыл бұрын
Asante sana Mwl. kwa kurejesha tena hili somo. Kuna siku nililitafuta hapa KZfaq ila sikuliona. Asante sana, somo hili linanibariki sana
@lovenessandrew91212 жыл бұрын
Nimekua mlimani Leo ni siku ya pili,dhamira yangu ni kuomba toba Kwa ajili yangu kama Mama,binti na mke,lakini sikua najua kifungu chochote cha kusimamia toba yangu zaidi ya Ezra 8:21...Leo kukutana na hili somo naamini liliandaliwa Kwa ajili yangu....holy spirit connect,thank you Jesus for your mercy and Grace!
@joyousjackson83522 жыл бұрын
Glory to God ,, hongera winner
@pendolangu7392 жыл бұрын
Amen,kila siku nafarijika ninaposikia neno la Mungu kwa kutumia kinywa chako Mungu azidi kukubariki
@edithadaniel57512 жыл бұрын
MUNGU akupe afyaa bora ..Ili uweze kutupatia ujumbe kupitiaa wee. .amen amen ❤️🙏
@dreambig60932 жыл бұрын
Ni Mungu na sio mungu ndugu.
@edithadaniel57512 жыл бұрын
@@dreambig6093 ooh thanks alot it was typing error nimerekebishaa be be blessed 🙏❤️💙
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
Aasnte kwa neno. Mungu ana makusudi na maisha yetu wote Mungu tupe neema ya kukufahamu ili ututumie kwa kadri ya makusudi yako. Makusudi yako yaonekane kuanzia familua hadi Taifa na ulimwenguni pote jina lako litukuzwe na wake kwa waume na vizazi vyao. HALELUYA 🙏
@mariarashid4061 Жыл бұрын
Amen
@queeneva37092 жыл бұрын
Amina nimebarikiwa kujua nafasi ya mwanamke na nipo kujifinza zaidi nafasi amvayo Mungu ameweka kwa mwanamke. Amina mbarikiwe nyote Mwalimu mtumishi wa Mungu Mama na wanakamati wote Mungu aendelee kuwarumia katika viwango vya juu kwa utukufu wa jina lake.
@BeatriceMathew-qy5lw3 күн бұрын
Kupitia mtumishi wa mungu tumbo langu likawe la watoto wenye baraka
@AgnesMichael-kw1ryАй бұрын
Mchungaj mungu akubaliki Santa naomba uniombee maisha yangu no magum Sana naitwa renad thomas
@julianadavid26582 ай бұрын
Naomba Mungu anijaalie mwanaume niliyempata tuweze kufikia lengo letu la kufunga ndoa ...na Mungu azidi kuzidishia baraka katika familia yetu tumjuwe zaidi🙏🙏🙏🙏
@carolinejulius79772 жыл бұрын
Mungu anisadie kupata mme sahihi na nikawe mke mwema kama biblia inavyonitaka kuwa
@sarahlyimotv13802 жыл бұрын
Asante sana Mwl. Mwakasege kwa kurudisha hili somo tena. Kati ya masomo ambayo nilikua najikuta nasikiliza tena na tena na tena bila kuchoka 🙏🙏
@janejacob14028 ай бұрын
Ee MUNGU wangu nakuomba unibari mimi na uzao wangu amen
@presidentofafrica.5038 Жыл бұрын
GENEOUS, MWAKASEGE KANIFUNZA KITU KIKUBWA SANA
@rechomethod82882 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia, zaidi sana,akupe.maisha🙏🙏🙏👏👏 Marefu,
@ramadhanitchakubuta98422 жыл бұрын
Mzee Mungu akubariki wewe ni mwalimu kabisa ubarikiwe
@winammbuka2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana, haya mahubiri yananigusa na kunijenga na kunibariki pia " mwanamke tunaye muona kwa macho ni tofauti na yule aliyeumbwa na Mungu"
@joshwapetro13072 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi..Huwa nafarijika sana kusikiliza mahubiri yako, Mung akulinde
@nicklasndabiyeho66502 жыл бұрын
Mwanzo sura ya 1 ni uumbaji wa rohoni na mwanzo 2 ni madhihirisho ya kilichoumbwa sura wa 1, ( kuletwa ktk uhalisia wa kimwili),
@ernestinayoeza81002 жыл бұрын
Umenifundisha. Kitu ambacho nillkuwa sikijui asante Sana nimeipata mwanga mkubwa sana
@japhetnyuma95615 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana tunakupenda sana maana umefanyika baraka kwetu Mungu akubariki pia akupe maisha marefu Baba hekima yako ni kubwa mno ili somo limenibariki sana
@angelapius37572 жыл бұрын
Ubarikiwe Mwalimu Mwakasege,, Hakika kila atakayesikia. Somo hili kuna vitu atajifunza. Mungu akupe Maisha marefu ili umtumikie zaidi na zaid
@user-jz5fp5hj7u3 ай бұрын
Ee Mungu ninakushukuru kwa ajili mtumishi wako naomba unipe neema ya kusikiliza na kuyafanyia kazi mafundisho yako kupitia mwalimu
@DonatienDunia Жыл бұрын
Kwakweli umeliongeza ujuzi katika hihi somo, Mwenyezi mungu atubariki pamojo naweye, Donatien DRC goma.
@janemwakalebela4017 Жыл бұрын
Mungu afanye uwe mwalimu wangu na mungu akuongeze miaka zaid
@ireneizael6142 жыл бұрын
Mwalimu nashukuru kwa mafundisho yako naposikia mafundisho yako nafarijika Sana ubarikiwe
@glorianamatemu68569 ай бұрын
Ee mungu naomba utusaide tujue uumbaji wako na kusudi kwa wanawake na wanaume ili tusikinzane bali tuishi katika umoja kama kristo alivyo kusudia . Amen❤
@salahpeter57022 жыл бұрын
Yesu nipe ufahamu wa kusimama kama mwanamke
@wandoamwambu81982 жыл бұрын
Amen, asante Mtumishi kwa ujumbe huu.
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Mungu huweka nadhiri za wateule wake toka tumboni mwa mama zao.
@falijiubamba41552 жыл бұрын
Ameen, ubarikiwe Sana Kwa ujumbe mtumishi
@clevinakwigizile1457 Жыл бұрын
Ni masomo ya kujenga sana. Mungu azidi kukibariki kipawa chake ndani yako Mwalimu.
@raphaelmwamakimbula96422 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwa nanyi ee watumishi wake!♥️
@ahmedaeed66902 жыл бұрын
Mungu naomba unijaliye kujuwa nilivyo na kutambua neno na kunipatie mume mwema mwenye kumjuwa mungu ilituliee watt wetu hekima Amen
@africane92522 жыл бұрын
Naomba Mungu anipe mkee mwema
@nasrasewando71522 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah Asante Yesu coz ni somo nililokuwa narihitaji sna
@annambezi62262 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana hapa hakika. Mwalimu MUNGU wa Mbinguni akubariki sana
@cloudiamartha58802 жыл бұрын
Amina Amina baba Mungu anisaidie nijijue mimi kama mwanamke ni nani na nibebe uhalisia wangu wa mwanamkee nisimame na familia yangu atakayonipa Mw Mungu kama mwanamke.
@fridajamson106823 күн бұрын
Baba,, hakika UMENENA ...naomba uniweke katika maomb yako kama mwanao
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
Asante sana MWALIMU kwa mafundisho Haya MUNGU anisaidie kuyaishi mafundisho Haya IN JESUS NAME (Zaburi 32:8, Isaya 55:6-11)
@RhoidaMwalwayo2 ай бұрын
Asante mwl kwa somo zuri naomba mungu anipe mme mwema
@neemalazaro8315 Жыл бұрын
Amina mtumishi Mungu ,na Mungu was mbinguni azidi kukutunza ila aebdelee kukutumia amina
@user-oe1gq7gq6c10 ай бұрын
Amen mtumishi wa Bwana Mungu aendelee kukutumia kulisha kondoo zake
@user-mx3of9bk4q9 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@enockbrown73842 жыл бұрын
Asante sana mwalimu , nimeelewa hili fundisho kuhusu Mwanamke
@atukuzwefelix755 Жыл бұрын
Am blessed much Barikiwa teacher wangu
@stevemanganas.m14002 жыл бұрын
Mwanamke ni Kanisa kibiblia
@muchokinancy83752 жыл бұрын
Amen ..Amen...,painful truth very unfortunate to men who don't understand the values in a woman.
@elyseebembeleza14392 жыл бұрын
Shukrani kwa mafundisho mimi nipo. Congo Mungu. Akubriki
@heritierba98682 жыл бұрын
Ubarikiwe sana, fundisho nzuri sana
@GladLapya9 ай бұрын
Naomba Mungu anipe mume bora atakaye dumisha amani katika familia yetu
@ngwalumusobi44312 жыл бұрын
Mungu aendelee. Kukutumia zaidi na zaidi amen
@lovergar38332 жыл бұрын
Asante sana mtumishi Mungu azidi kukubali san
@happinessmghase61672 жыл бұрын
Amen mwalimu Asant sana kwa mafunzo yako Mungu akubariki sanaa
@merryadam-re3tg11 ай бұрын
Mungu ayabariki maombi haya, yakawe baraka kwangu🙏
@mmkwenihira78262 жыл бұрын
Hallelujah 🧎♀️🙌🙌 Be blessed more Man of GOD .
@rachelpeter872 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu kwa ufunuo huu
@noelalutengano42972 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu...
@waelmsangi55032 жыл бұрын
Amen Mtumishi. Ninabarikiwa sana na mafundisho yako. Ninaweka familia yangu mikononi mwa Mungu. Mungu aendelee kuwa mwalimu katika maisha yetu yote.
@ireneneypantaleo26022 жыл бұрын
Nimejifunza kitu Asante Mwalimu 👏🏾, Sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu.
@rosefares1102 жыл бұрын
Amen yesu azidi kukutumia mwakasege
@ChristowajaKituliАй бұрын
Mungu akubariki sana.
@musakasingo5942 жыл бұрын
Mungu anafanya Mambo ambayo mwanadamu hajui kabisaaaaa.
@apolinabahati21682 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mwalimu 🙏🙏
@RaphaelMagukulu3 ай бұрын
Baba mungu akuzidishie maishamarefu
@Dmsiris52 жыл бұрын
God Bless You Pastor👏🏾
@colinehelmas62102 жыл бұрын
⁰
@agnesuwarugira47462 жыл бұрын
@@colinehelmas6210 r ww
@jacksonkahima45892 жыл бұрын
@@agnesuwarugira4746 111
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Mwanamke ni msaidizi sio kiongozi na kuongozwa na mwanamke ni sawa na kuongozwa na shetani. Mimi ni mjumbe wa agano duniani.
@AbigaeliphiliphoChachaАй бұрын
Unakoseaaa sana brooo
@pendoshaban1010 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuwe barikiwa sana baba
@hashimjuma2854 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana kuna kitu nimepata
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Mungu alikuwa anasema na Adamu na shetani alikuwa anasema na mwanamke. Hivyo kuongozwa na mwanamke ni sawa na kuongozwa na shetani.
@salahpeter57022 жыл бұрын
Asante yesu ninaamini utaniponya Mimi pamoja na Uzao. Wangu
@herriethabdallah5982 жыл бұрын
Mungu akubariki mno mtumishi
@danielkivuyo20522 жыл бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
@loveekileo93042 жыл бұрын
May God keep you daddy!! We love and pray for you 😍
@adolfinanjau24202 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri. Mungu akubariki
@joycelukumay49572 жыл бұрын
Asante Mtumishi 👏👏👏
@naghenjamsuya45822 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua Mtumishi
@hosianamsangi58822 жыл бұрын
amen mungu aendelee kukutumia
@ngwalumusobi44312 жыл бұрын
God bless you every time where you are
@mrwandamrwanda37512 жыл бұрын
Asante Mwl mwakasege
@beatricemkilya12962 жыл бұрын
Amen mtumishi🙏🏻😊
@mwanwaamtumishi.jinalabwan15212 жыл бұрын
Amen. Mwalimu nimeelewa kabisa utofauti wa mwanamke wa kibiblia.
@eduulowassa43472 жыл бұрын
Live long Mwl Christopher Mwakasege.
@racheljagero15472 жыл бұрын
Barikiwa sana baba
@rosemiyaga21452 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu 🙏
@InesYohanaАй бұрын
Barikiwa baba
@nolasticamjewa19192 жыл бұрын
Ni mwalimu kweli kweli!!
@georgeatanas96422 жыл бұрын
Maisha bila Mungu na heshima kwa watu ni batili mtupu
@salahpeter57022 жыл бұрын
Gusa Tumbo langu gusa mtoto wangu nifungue bwana yesu