ACHENI UONGO, UYAHUDI UPO MBALI SANA NA UKRISTO. YESU NI ADUI WA MAYAHUDI NDIYO MAANA HAWA MKUBALI NA HAWAKUBALI BIBILIA WANAKITABU CHAO
@salehkhamis30633 жыл бұрын
Hii vita imeelezwa hadi kwenye vitabu vya dini wala sio magen kwa sisi Waislam imani yetu hizo ni dalili za kiama
@mlamtv48393 жыл бұрын
Hii vita ataimaliza Yesu pekee.Huyu ataleta amani
@abuukarata96533 жыл бұрын
Acha upoteshaji mkuu.
@DEVOTIONTV3 жыл бұрын
Haya mambo watu hawajui wachache sana wanao Jua Huyu Bwana anajua Kweli
@petermwaikandage2475
Ningeomba mtaalam Thabit aonelee pia kwann Hiltler aliwachukia sana wayahudi? Nini kipo nyuma ya pazia kuhusu hili?
@pascalmstaarabu43723 жыл бұрын
Taifa la Mungu linapiganiwa na Mungu mwenyewe
@deusurio9056
Ni upi ukweli kuhusu hao wazungu ni waizrael, yaani ule uzao wa watoto 12 wa yakobo
@user-xt4mi5zs2s
Na walitaka kumuuwa yesu pia wameuwa manabii wengi how walishaahidiwa moto Pepo ni Haram kwao
@deusurio9056
Ukisikia ushenzi wote duniani,mpaka hao unaosikia wajenzi huru,ni wayahudi
@josephatkiliko25463 жыл бұрын
Namuombea Sana Thabiti siku Moja Mungu amjaliye awe nafasi za juu sana ktk taifa Ili
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Elimu nzuri sana. Hongera sana Gangana na Thabit.
@shamterehani21613 жыл бұрын
Thabit! unajua sanaa ,upo vizuri.
@wazirie40703 жыл бұрын
Asante tena Mr Gangana. Ningependa mtaalam wetu, Thabit. Aongelee kuhusu Christianity na Islam, hizi dini mbili zinahusika kwa kiasi gani kwenye maendeleo ya nchi zetu za Africa. Maana dini mbili zote hizo, zimechangia kwa kiasi kikubwa kuyaendeleza ma taifa yao. Christianity in the western World, and Islam in the middle east. Maana nchi kama Uhindi na Uchina, wanadini zao na maendeleo yao yanaonekana.
@kassimmselem60243 жыл бұрын
Huyu Bwana Thabit amebobea Sana katika medani siasa, uchumi na jamii. Na anachambuwa Kwa undani mnoo kihistoria na kifalsafa.