Kaka wewe ni azina kubwa Sana hapa nchini lakini je viongozi wa taifa letu wanatambua uwepo wako?
@user-sz1lw9kq5s6 ай бұрын
kaka umetisha sana
@shubackmashinga35352 жыл бұрын
Kaka mle siku nyingene aongolee zaidi kuhusu opareshen ya konk Putin naona Leo mmetuonjesha tu💪💪💪💪💪
@BONGOINMOTION2 жыл бұрын
Huyu bro bwna hunifanya niingiapo KZfaq nitafute Kwanza update yake
@mwakasagule2 жыл бұрын
Nafurahi kuwa mtu wa 2 kuangalia interview hii tamu.
@franknyigu97 Жыл бұрын
Ligagana tulietee mchambuzi kuhusu congo
@MrJediahmed Жыл бұрын
Thabit nini mchango wako kwenye Imani yako
@user-sd5hj2im4q9 ай бұрын
Tanzania kua na kichwa km ichi wajivunie sna je unapata ruzuku yyte kw taaluma kubwa ya siasa ya dunia km hii km hujaajiriwa nikuajiri ktk kampuni yngu
@deusrobart8181 Жыл бұрын
Nimefulai sana et usijiunge nato najiunga nato nakupiga😅😅
@husseinyusuph52632 жыл бұрын
Hatimae leo nimekuwa wa kwanza kuview. Kaz nzur kaka gangana. Brother tulimiss sana.asante kwa kutuletea. Je naweza kuwa mmoja ya mwanafunzi wake. Unaweza kunisaidia kaka gangana kwa ombi ilo.?
@ganganainfochannel2 жыл бұрын
Karibu sana, mpigie Thabit 0652079640
@husseinyusuph52632 жыл бұрын
Asante sana kaka. Mungu akubaliki endelea kutuelimishe vijana wa kitanzania.
@producerema2912 жыл бұрын
Namkubali sana mchambuzi Thabit
@emanuelmaraki9758Күн бұрын
Nikweli kabisa vita nikushindwa Kwa siasa Putin akili mbovoo sana mungu yupo Putin atashindaa kamweee mnaosapoti hii vitaa amuelewii mnakurupuka kushabikiaa watu wafee
@isaacalex6327 Жыл бұрын
mimi uchambuzi wako nimeuelewa lakini ulusi nitaifa la kigaidi sana
@johnjoseph1106 Жыл бұрын
Hili jamaa inaonekana liko vizuri katika uchambuzi wake
@derrikdesertman45642 жыл бұрын
Huyu Jamaa anajua sana
@ismailmshana2828 Жыл бұрын
Putini ameshindwa vita mpakasasa
@BernadPeter-zy8tv10 ай бұрын
Kapotea uwanja wa vita
@victorfocus7882 Жыл бұрын
P
@falulukata212 Жыл бұрын
kaka turetee huyu jamaa darasa lake tunalielewa,
@ganganainfochannel Жыл бұрын
Yupo busy atakuja soon
@hassanhamudy9822 жыл бұрын
The mobile university....tunamuitaji huyu jamaa kila dakika gangana!!!!!ndio sababu ya Mimi ku subscribe Chanel yako