Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Пікірлер: 26
@fatmamohammad62312 күн бұрын
Mashallah Hajji mabruk inshallah
@user-il5te5xd5y3 күн бұрын
mashaallah ❤❤❤❤❤❤❤
@jimjam-xg7rv13 күн бұрын
Maa Shaa ALLAH 🇰🇪💚💚💚
@SalamaRamadhan-no5py13 күн бұрын
Masha allah
@sadambakari257912 күн бұрын
Mashallakh
@hamidashaban120312 күн бұрын
Kuna vitu mtume s.a.w hakufanya lakini vina manufaa.mtume s.a.w alipanda ndege au gari au alitumia smartphone au alitumia tv? Someni dini hata mtume s.a.w hajafundisha kushambuliana kwenye mitandao muone 😮 ndiyo maana huna hela ya kwenda hija hasadi zimewajaa.
@tigerroar354510 күн бұрын
Kupanda ndege,kutumia smartphone ni mambo ya kidunia, kinachoangaliwa ni mambo ya dini kama ibada,mtu analeta mambo mapya(anazua) katika dini,wakati mtume kafundisha kila kitu, sasa mnaovyoongeza katika dini mnaamaanisha hyo mtume hakuijua kheri, nyie ndo wabora zaidi mnajua kuliko yy.
@allyelbusaid98887 күн бұрын
Mtume kasifiwa ndani ya quran bhana.. sie tunaiga tu kwake Allah(s.w)@@tigerroar3545
@Jamalybella12 күн бұрын
Mtakufa kwachuki wallah
@jumamukoko66626 күн бұрын
Acheni mambo yakupinga kila kitu
@jumamukoko66626 күн бұрын
Sasa mtu akimsifu mtume kwa kuimba Qaswida kuna haribu nini katika Deen
@DiudaKozi-qu8sl12 күн бұрын
Nimeamini usufi uchizi
@hamidashaban120312 күн бұрын
Wasione hata wanaotembea uchi na ushoga waone haya wanaoimba kaswida? nendeni mkasome acheni longolongo madhambi ni kaswida ndiyo mumeona.kilasiku kusoma kwenu ni bidaa TU hamna elimu nyingine.kuna bidaa zenye manufaa wewe!
@fadhilimusa973212 күн бұрын
Anaesoma qaswida hapo ni kigogo .wewe ndio ukasome maana umbumbumbu
@abakibibi99173 күн бұрын
MBONA MWAFANYIA NDANI YA MAHEMA TOKENI NJE MUIMBE KASWIDA NA MUCHEZE ZAFA KAMA HAYO MUYAFANYAO YANA ASILI NA DINI
@selemankishema578013 күн бұрын
Hata aibu hamna wallahi mmefanya hijjah vizuri mnakuja kuiharibu kwenye uzushi wa maulidi ndio maana kila miaka mnaenda hijjah mkirudi hakuna mabadiliko kabisa
@aliabdalla929712 күн бұрын
Kwahiyo kusifiwa mtume ni kosa unataka asifiwe baba yako
@HassanMfaume-oh2zf12 күн бұрын
We unatakaabadiliko gan Wahabi ww
@tigerroar354512 күн бұрын
@@aliabdalla9297 sio mahali pake
@hamidashaban120312 күн бұрын
Waone haya wako uchi
@KakaYoyo-nv8fb10 күн бұрын
Aukufuza nawazaziwako kuwanaadabu
@nixonmwanguni309412 күн бұрын
Aibu hamna,khaswida ni haram .haipo kabisaa katika mafunzo ya mtume wetu.
@HassanMfaume-oh2zf12 күн бұрын
We ndo Haibu Hun hiyo simu unayotumia kutukan Mashekhe Mtume alitumia wapi au simu Nayo ipo ktk kitabu ch Mungu
@YaziduIddy12 күн бұрын
Kwani kaswida ni nini
@ramadhanally99239 күн бұрын
Harriki matwaya manaake mnaijua lakini au mnaimbatu?? Lakini hayo yote mnafanya eti mnawakomoa wanao Pinga maulidi kumbe mnajikomoa wenyewe mnaharibu ibada iliyo wapeleka