Mm ni simba dam. Ila kwa iki aiseeeeh Mungu akulinde engner akika unastahili kabisa akika❤❤❤❤❤
@rehemamahendeka-rm2ek2 күн бұрын
Alhamdulillahi ! Alhamdulillahi ! Alhamdulillahi,baada ya kumshkr Mungu kwa kutujaalia "WANANCHI" kukupata kjn Eng Hersi pia niwashkr wazazi wako wawili kwa malezi mema kwako.Ww ni HAZINA/KIOO cha jamii.Wasamehe wale wote walikuita muhuni,Allah akulinde na jicho la husda.Yanga tukuenzi ili uzidi kutuenzi pia jamii ya Tz.,MashaAllah !.
@ashrafadam46294 күн бұрын
m/mungu awabariki sana wote Ashraf Hakimi wa jina langu, Eng Hersi, na watu wote mlioshiriki na boss wa Wananchiiiiii ❤
@hawamasanje95894 күн бұрын
Hongera sana Rais wetu eng. Heris Mungu azidi kukupaisha tu
@JohnsonVicent-dl2dl2 күн бұрын
Mungu akujaze pale ulikotoa
@ibrahimabdullah18874 күн бұрын
Hongereni watani muungu awabariki pamoja na mfazili wenu
@GibsonNtamamilo4 күн бұрын
😂😂😂😂
@nicodemuswidambe51324 күн бұрын
Mmh engineer unajua!! Mungu akuongoze! Waache wapate tabu. Mpaka waseme walisema muhuni sasa wanajua tu!!
@GibsonNtamamilo4 күн бұрын
Hakuna tabu hapo. Simba walileta Timu kutoka France Yanga wamemleta mchezaji mmoja tena Mwarabu kutoka Morocco😂😂😂
@mohdkhatib2233 күн бұрын
@@GibsonNtamamilonaona unateseka na uarabu, pole
@calvintheone2993 күн бұрын
Tulia kolo dawa ikuingie mleleta timu nyie au mzamini wenu wa mda ule ambae ni sports pesa akili huna 😂😂😂@@GibsonNtamamilo
@kasimkassam95653 күн бұрын
@@GibsonNtamamilomimi sioni uwarabu wake huyu mwana ni muuni tu kaja kutowa msaada wake
@jumakapilima72953 күн бұрын
@@GibsonNtamamilompumbavu mkubwa wewe, mchango wa Hakeem Kwa Taifa ni mkubwa kuliko hiyo timu iliyokuja
@Mrdigital.3 күн бұрын
Hakimi legacy in patandi will last forever
@jumakapilima72953 күн бұрын
Hizo ni jitihada binafsi za Rais wa yanga Eng Hersy wala sio jitihada za bodi ya utalii,,naona mnaanza kujimwambafy,,,
@FaustinaMkama3 күн бұрын
Safi sana
@hanifamziray2774 күн бұрын
Saafii sn.hongera heris
@abbasisudi68994 күн бұрын
Gud leadership hauna longolongo na ubabaishaji be yanga foreva na jenga uwanjani na namini tutabeba kombe la africa big brain no majungu
@abdulrahmanally14123 күн бұрын
Haya Jem - ed - ari huyo ndiye mhuni, msela ameingizia Taifa Dollar, watu wamefanya biashara, amesaidia wenye mahitaji maalum, na still Achraf will also be our one among Tz tourism representative, we Jem - ed - ari labda ulete mikia ya panya buku kutoka mtwara, kudadadek waache wenye akili wafanye kazi and the Govt has just appreciated what Hersi did nyie wachambuzi "Tutumbi" akina S.Jembe, Oruma, kaeni na majungu yenu, na ujinga wenu kwa gharama ya kupenyezewa "miteni" au "khamsumia" zinawavunjia hadhi na heshma ya kazi zenu.Big up my Predida Eng. Hersi bin Said.
@hamidabakari-cs5sk3 күн бұрын
Mungu amjalie
@festokitule97274 күн бұрын
Thank hakhim
@claratemba44Күн бұрын
Dankeschön
@geraldlaurent67504 күн бұрын
Mungu mwema sana
@richardmwaibula15822 күн бұрын
Mungu akufungulie milango ya baraka Eng. Mgeni wako na club yetu ya Yanga. Siri ya mafanikio ipo Katia KUTOA. Waache wabeze, malipo hapahapa, watapigwa 10-0 msimu huu.😅😅😅😅
@hamzakimaro37644 күн бұрын
Hongera sana raisi hersi kwa moyo wako wa kujitolea kwa wale wenye kuhitaji!!
@twalbikatanga86454 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Juli-ep9dn4 күн бұрын
Safi
@AminaTanzania4 күн бұрын
Timu ya Yanga raisi Mungu akupe nini uwe na moyo huohuo na watuwako
@MatronaThomas-wz5si3 күн бұрын
Eng Hersi ❤❤❤❤❤❤❤❤
@suleimanchonya77364 күн бұрын
Hii ndio maana ya timu kubwa. Hongera sana Eng. Hersi
Unaonekana unalakuongea umejuwaje hela yake inakaa mamaye kama siyo unafiki tu
@user-nn8yj7fe4n3 күн бұрын
Mpaka wasemeeee!!
@EliasAbel-qr8pz3 күн бұрын
Nime mwelewa kama eg
@ShangweSylus-nf6we4 күн бұрын
Mamake kamruhusu kutoa huo msaada maana mwamba hanaga hela pesa yake yote inatunzwa na mamake duh.
@athumanimbwambo63344 күн бұрын
Yuchi kama yuchi😂😂😂😂😂
@user-hr7nc5tw4i4 күн бұрын
Asi sahau kutufundisha kusain 😂mali kw jina l mama
@OthanMedia_4 күн бұрын
Nimesikia na wao wanasema watamleta Ronaldo 😂
@GibsonNtamamilo4 күн бұрын
Simba tulishafanya hayo mkiwa udingizini. Tulileta Timu kutoka France Yanga wamemleta mchezaji mmoja tena Mwarabu kutoka Morocco😂😂😂
@OthanMedia_4 күн бұрын
@@GibsonNtamamilo 😂😂😂
@franccoz944 күн бұрын
MANGUNGU VS ENGINEER HERS 😂😂
@jumakapilima72953 күн бұрын
Baadhi ya watz waliwasema vibaya hawa jamaa wakati wa kombe la dunia kwasababu Tu za propaganda za kijinga! Dah, asante mwamba Kwa msaada mkubwa
@remidusmwanandenje-yy5gs4 күн бұрын
🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏🙏🎎🎎🎎🎎🎎🇹🇿🇹🇿 yanga bingwa🕺🕺🕺
@LatiphaMwanga4 күн бұрын
Tanzania is my place Chuga is my home Patandi is my home land ✓ thamani ya hela ni bilion moja yaani milion elfu moja .Ndio maana hawa huwa wanabarikiwa sana na Mungu kwa kusaidia watoto na jamii za africa na masikini
@YahayaBakari-hf5yk3 күн бұрын
Wananjaa kweli uto
@Mary-fs4mc3 күн бұрын
Fungu lakukosa tulieni dawa iwaingie, maana mmetulia kama mmepewa uhamisho kwenye hii nchi😂 Eng. Atawanyoosha sana na kuwatesa sanaaaaaaaaaaaaaa😂😂😂 .
@noorbazaar90634 күн бұрын
UTOPOLO FC WANAJUA KUJIPENDEKEZA...!!!
@Mary-fs4mc3 күн бұрын
Ndio maana ukaitwa nguruwe fc, a.k.a fudenge akili zako kama kinyesi cha asubuhi.
@malietamalieta96583 күн бұрын
uko na hii tuu akili ama ipo nyingine umeona mtoto Gani wa mfanyakazi wa yanga ukute wenu makolo ndo wengi apo palipotolewa msahada
@Mary-fs4mc3 күн бұрын
@@malietamalieta9658 Akili nyingine aitoe wapi huyo hapo ndio mwisho wake, akili za waliofeli hizp asikuumize kichwa, looser fc.
@AshirafuMjungu4 күн бұрын
Hakimi kaja mwenyw hajaletwa na uyo boya
@MohammedAwadh-gq9si4 күн бұрын
Kwa hiyo! Kwanza kwa nini uteseke.?
@KhadijaKiwambu-qx8qh4 күн бұрын
Boya baba ako nyau we acha kutukana wakubwa zako
@calvintheone2993 күн бұрын
@@KhadijaKiwambu-qx8qhsafiii jibu zuriiii
@abbasisudi68994 күн бұрын
Lafudhi yako inaonesha unabusara na uwezo mkubwa wa kufikri ,ila upande wa pili wanadanganywa kila siku na hawabain ,leadership is accountability like you