Mchungaji HANANJA Amfunika MASANJA Kuchekesha Mbele Ya WAZIRI Watu Hoi Kama Cheka Tu...

  Рет қаралды 405,538

Msasa Media

Msasa Media

Жыл бұрын

Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
#Mchungajihananja #masanjamkandamizaji #tanzania #zumaridi #trending

Пікірлер: 150
@Iamwinningspirit27
@Iamwinningspirit27 8 ай бұрын
Hananja real meaning of pastor anakutia moyo anakufanya unasahau stress 😅😅😅😅😅😅😅😅 nabarikiw sana na huyu mchungaji
@daffagunda-rm3hj
@daffagunda-rm3hj 9 ай бұрын
Wapinga kristo poleni.mtaumia sana,ukristo una TAASISI nyingi sana,hebu njoo huku wewe mpinzani uonje raha hii.amen
@francofrederick972
@francofrederick972 8 ай бұрын
Kila aliehai hai bado neema inamuhusu, injili zakuhukumiana zaweza kuwa tanzi Kwa muhusika zikiendekezwa
@Khamisbuda-oy3ow
@Khamisbuda-oy3ow 7 ай бұрын
Subuhanallah unapotea ndugu yang ila had siku yako ya mwisho ndy utakuja kujuta baada mauti
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 7 ай бұрын
anavichekesho vya kurudia rudia, na kukashifu waislam
@MomadeMohammed
@MomadeMohammed 6 ай бұрын
Ukafiri
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 3 ай бұрын
Ameeeen ❤❤❤kuna raha kabisa
@user-cq5rs5in2y
@user-cq5rs5in2y 9 ай бұрын
Kiukweli hatamm omari bakari nakupenda Sana lakini huyumzee anakichwa chenye maneno yamoto yenyefuraha mzee hananja no hazina kubwa kwa wakiristo mkimpoteza mtamkuka Sana mungu tutunzie huyu baba
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 5 ай бұрын
Ameen
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 Жыл бұрын
Kwa mchungaj Huyu nisingekosa kanisan maana nikitoka nakuwa nime refresh sana
@Auntybetty_tz
@Auntybetty_tz 8 ай бұрын
Unajua wachungaji wengine wanang'ang'ania mahubili ya sadaka muda wote,,Ila huyu mzee anagusa Maisha yetu ya kila siku na changamoto tunazopitia,,ukweli ukimsikiliza lazima ufarike.
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 ай бұрын
Hata mimi
@shizoshop2469
@shizoshop2469 4 күн бұрын
Hananja ni comedian pure 😂😂😂😂
@thomasjohn7176
@thomasjohn7176 Жыл бұрын
Una madini sana MCHUNGAJI. Mungu akubariki sana
@williamkavuta8066
@williamkavuta8066 Жыл бұрын
Anatuchekesha ila ana ongea point nyingi kwa muda mchache
@venfreysand8835
@venfreysand8835 Жыл бұрын
Huyu mzee anakuwag na madini sanaa
@rittaaziz4470
@rittaaziz4470 Жыл бұрын
WOOOW MMESHAANZA CHURCH ON FIRE!!! CONGRATULATIONS SN MAY THE LORD N GOD BLESS IT ABUNDANTLY WELL. I HAD HEARD THIS LIKE 6DAYS AGO AND I WAS REALLY LOOKING FOR THIS. IAM SOOO HAPPY TO SEE YOU LILIAN N MASABJA WITH PST RICHY. GOD BLESS U SANAAAA MUNGU ATENDE MAMBO MAPYAA MAZURIII KWENYE HII PROGRAM AMEN❤
@user-ne5me5tx3m
@user-ne5me5tx3m 8 ай бұрын
Okooo
@rahelngaka4
@rahelngaka4 7 ай бұрын
].?​@@user-ne5me5tx3m
@DoreenLembriss-xd1bz
@DoreenLembriss-xd1bz 9 ай бұрын
Jaman mchungaji alivyo simama sasa 🤣🤣🤣
@barakakomondawa2767
@barakakomondawa2767 9 ай бұрын
Mm napenda huyu mchungaji sana
@MartineSulle
@MartineSulle 4 күн бұрын
Nawakubali watu WA mungu awabariki
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 Жыл бұрын
Huyu mchungaji afungue KZfaq channel yake, Mzee anafurahisha sana
@nickmoshi8243
@nickmoshi8243 Жыл бұрын
Anayo inaitwa Pastor Richard Hananja
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Жыл бұрын
Anayo
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/gr-cd9Olz6zcfps.html
@SifaelMpagike-gt1gz
@SifaelMpagike-gt1gz 5 ай бұрын
Unataka kupona au kufurahishaw
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 5 ай бұрын
@@SifaelMpagike-gt1gz Samahani, Mimi siumwi ndugu yangu
@WilliamPeter-ky7sx
@WilliamPeter-ky7sx 9 ай бұрын
Mchungaji Ananja ana kipawa kweli.. mistari ya Biblia inatoka kichwani dah!!!
@fortyyellu9971
@fortyyellu9971 Жыл бұрын
Masanja humuwez hananja hata kidogo.. namkubal hananja mbaka bas😅😅😅😅
@waltersesuru43
@waltersesuru43 Жыл бұрын
Amina mtumishi
@Dunia129
@Dunia129 8 ай бұрын
wanadam wengi wanapenda mizaha kuliko ukwel
@magdalenamynusic5831
@magdalenamynusic5831 7 ай бұрын
Baba Mungu akutunze. Mistari ya biblical umeiweka kichwani. Wewe ni jembe baba
@user-sw6bj7tn6t
@user-sw6bj7tn6t 9 ай бұрын
Huyu mchungaji namuelewa sana
@akberyuda5950
@akberyuda5950 6 ай бұрын
BWANA YESU KRISTO ANATISHA ANAVIFAA KWELIKWELI❤❤❤
@williamkavuta8066
@williamkavuta8066 Жыл бұрын
Uwezo mkubwa kwa kakariri mistari ni ajabu mnooo huyu ni hazina tunamchukulia powa
@amouralshabiby7543
@amouralshabiby7543 7 ай бұрын
Waislamu huwa wanahifadhi quran nzima ( msaafu wote) !!! Sio kukariri hapana !! Ni kuhifadhi
@user-dw1qu1tu1d
@user-dw1qu1tu1d 7 ай бұрын
❤ safi sana
@nassjr6566
@nassjr6566 Жыл бұрын
Ila waha wanapg pesa za wezao
@user-rl1dd7ik2m
@user-rl1dd7ik2m 8 ай бұрын
Nakubali m2mishi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@msafirijaffary7089
@msafirijaffary7089 8 ай бұрын
Hapa mwisho umezingua mzee na kuthubutusha kuwa kweli ulikuwa Teja, unapoongelea mambo yanayohusu Imani Yako usikebehi wala kudhihaki Imani za wengine kwa maana siku unaowakebehi watakuja kukebehi Imani Yako na huenda isiwe nzuri kwako au kwa unao waongoza 🤐
@jojosky337
@jojosky337 6 ай бұрын
Mbona hajakebehi acha kudadavua tofauti
@TumainiENgasa
@TumainiENgasa Ай бұрын
Amen pastor masanja
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 6 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu
@JastiniJastinlobati-dk2br
@JastiniJastinlobati-dk2br 28 күн бұрын
Mungu akubaliki
@mwandisimfukwe326
@mwandisimfukwe326 Жыл бұрын
mmh! mzee Mungu akutetee
@jojosky337
@jojosky337 6 ай бұрын
Ameeeeen Mchungaji🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@BarakaPaulotzsiria-
@BarakaPaulotzsiria- Ай бұрын
Hananja oyeee😂😂😂😂😂
@deblacktz2981
@deblacktz2981 Ай бұрын
Pastor Hananja shikamoo
@GIDEONMWANGI-cn7ul
@GIDEONMWANGI-cn7ul Ай бұрын
Nice one
@user-gq9fe6dn2c
@user-gq9fe6dn2c Ай бұрын
Vizur
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv Жыл бұрын
Best of all time
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 9 ай бұрын
Naomba mwenye namba ya Mchungaji Hananja pls
@deuskakulima2665
@deuskakulima2665 8 ай бұрын
Ninayo
@user-to8uy8wh3c
@user-to8uy8wh3c 9 ай бұрын
Hananja na masanja mmetofautiana hn...ms...2
@FaresHabel
@FaresHabel 7 ай бұрын
Kweli
@listerlugisho52
@listerlugisho52 6 ай бұрын
Noma
@manaseliberatus1347
@manaseliberatus1347 Жыл бұрын
comedian aliyekosea barabara, inawezekana wazazi wake walimlazimisha
@ernestmshanabakari1352
@ernestmshanabakari1352 Жыл бұрын
Mzee wamadini
@DigonzaKeimbe-uq1bx
@DigonzaKeimbe-uq1bx 9 ай бұрын
🙏🙏🙏
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 Жыл бұрын
Huyu baba kiboko kwakweli
@dicksonNyaulingo-zr8dn
@dicksonNyaulingo-zr8dn 2 ай бұрын
Hananja nakukubali from r mbuyuni iringa
@changarawemichael5556
@changarawemichael5556 Жыл бұрын
Mchungaj wa kweli
@calistusmahombo-ty8ni
@calistusmahombo-ty8ni Жыл бұрын
Adhabu zimetolewa tayari Kwa Wenye Mizaha. Mithali 24:1, 19:29 au?
@joubaplay
@joubaplay 6 ай бұрын
Kuna tofaut kat ya mizaha na utani 😅
@justusngonyani165
@justusngonyani165 Ай бұрын
Yesu ni njia.
@halimazahoro8467
@halimazahoro8467 Жыл бұрын
Amen 🙏❤
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 Жыл бұрын
Ahahahaaaaaaaaaaaa 😂😂😂😂
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Жыл бұрын
Abraham angesubiri, asimparamie Hajiri tusingepata Boko Haram na Alshabab 😂😂😂😂😂😂
@ahimidiwemwenyezi
@ahimidiwemwenyezi Жыл бұрын
😂
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Жыл бұрын
😁
@machoguhamery3731
@machoguhamery3731 Жыл бұрын
Kwani Al-shabab na Boko haramu dini gani?
@nurukwilabya2790
@nurukwilabya2790 Жыл бұрын
​@@machoguhamery3731 hawana Dini, wanaabudu kuua na kuiba
@machoguhamery3731
@machoguhamery3731 Жыл бұрын
@@nurukwilabya2790 Wana dini soma majina yao utaifahamu
@NikawaidaYetu
@NikawaidaYetu 6 ай бұрын
🙏🙏🙏✍️
@Twisokahebo-sr9ic
@Twisokahebo-sr9ic Ай бұрын
Ubalikiwe baba
@sebastiannyenza9140
@sebastiannyenza9140 Жыл бұрын
Hongera Sana mtumishi wa Mungu naomba namba yako mi Nipo kibamba
@safarimallya4536
@safarimallya4536 Жыл бұрын
Kweli
@Lyro6390
@Lyro6390 Жыл бұрын
,🙏🙏
@kelvinwilliam8136
@kelvinwilliam8136 5 ай бұрын
Sema usikivu hauko vizuri ila naamini audience hawakujuta uwepo wa mchungaji hananja katika jukwaa
@KonzoOraphy
@KonzoOraphy 5 ай бұрын
Amen
@lambickmanda9125
@lambickmanda9125 Жыл бұрын
Iyo hospitali ni MLOGANZILA
@twahamdoe5730
@twahamdoe5730 Жыл бұрын
Mnatumalizia mb zetu uyu mchungaji mpeni ulinzi ila nawaambia kitu uislam ndio dini ya haki
@alenialex6941
@alenialex6941 Жыл бұрын
#twahamdoe5730 si nyie mnaofilana Zanzibar na nchi nyingi za kiarabu au
@peninanyaki1639
@peninanyaki1639 Жыл бұрын
Yahaki kwa nafasi yake...din yakwelnikumjua mungu
@361NEWS
@361NEWS Жыл бұрын
Imani ni bora kuliko Dini.
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 9 ай бұрын
Sasa kweli nyoko kweli kwani hapa limekujaje hilo la uislam?
@lucasthomas188
@lucasthomas188 8 ай бұрын
​@@peninanyaki1639 swadakta
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
Yani kwanini asiwe anapewa scenes za mzee majuto 😂😂😂
@prophetzakayomkemwa5154
@prophetzakayomkemwa5154 Жыл бұрын
Kwakweli hapo umenena akaigize ila kwa UPANDE kazi ya MUNGU akapumnzike
@victorbugobola2276
@victorbugobola2276 Жыл бұрын
Et kwl na kufanana wanafanana na KingMajuto nayo point sema tu
@emmanuelerasti2405
@emmanuelerasti2405 Жыл бұрын
@@prophetzakayomkemwa5154 kwan wewe unataka apumzike kama nani? Kwan wewe ndo umemkitimia hicho kipawa? Tujiulize Kabla ya kunena
@isayalemberua9195
@isayalemberua9195 Жыл бұрын
hahahahahahahaha jaman ndugu zangu kajukuweni mboga kwenu jaman
@gracemlihano3971
@gracemlihano3971 Жыл бұрын
Anakitu atafika mbali
@EliasGervas-jb6rd
@EliasGervas-jb6rd 6 ай бұрын
😢
@jacksonkaale.
@jacksonkaale. 8 ай бұрын
Huyu ananja aende Cheka tuu.
@user-fy2sv7bm1g
@user-fy2sv7bm1g 6 ай бұрын
Yaani hawa wanatosha kuwa wasanii wa Tz jamn
@haongaaloyce7207
@haongaaloyce7207 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Жыл бұрын
Masanja ushampata katibu mwingine? Kama hujampata nije kuwa katibu.
@joycemageta4876
@joycemageta4876 Жыл бұрын
🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Жыл бұрын
😂😂😂Ukataliwe na wewe ujiuwe.
@user-ol7de5fo7j
@user-ol7de5fo7j 6 ай бұрын
Mzee Hananja apewe mauwa yake, Na mwisho wa siku achongewe sanamu lake
@user-cq5rs5in2y
@user-cq5rs5in2y 9 ай бұрын
Ww manage libelatus unamatatizo ya akili nenda kwenye dini yako ya sheta kamaulivyo na maneno yakishetani kwamaana huna adabu kwa wakubwa hivyoóo no laana kubwa kwako
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 9 ай бұрын
Sasa apo ndio kanisani au wapi
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 5 ай бұрын
Bar hapo ndugu yangu si via umeziona?
@clevermgedzi4708
@clevermgedzi4708 8 ай бұрын
Hananja karibu njombe tunakupenda in njombe
@ErickRichard-nw9ry
@ErickRichard-nw9ry 8 ай бұрын
😂 😂
@sashaskasha483
@sashaskasha483 Жыл бұрын
Huyu ni comedian asiyetumia nguvu😂
@user-cq5rs5in2y
@user-cq5rs5in2y 9 ай бұрын
Shasaskasha hatajina lakolenyewe bovu lazima hata Lili ya nimbovu kwasababu hunaheshima kwa wakubwa hivyoóo nilaana kwako
@mustaphamudhihiri-im7sg
@mustaphamudhihiri-im7sg 8 ай бұрын
😂
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 10 ай бұрын
Mchungaji Hananja anastahili kuitwa Profesa wa Bible.
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 9 ай бұрын
Hakika alistahili Sana lakini hizi za Taasisi za Kikristo zinawamwagia wachingaji na mManabii shahada za U-Dokta hata sala wanasoma kwenye karatasi hawewezi hata kumdu sala ya rohoni hivi huyi Mchungaji Hananja ambaye Biblia imejaa kichwani mwake,anaweza kuhubiri kwa kusoma mistaho ya Bibli toka kichwani mnamnyima hata shahada ya Doctar of Doctrine (DD) au Doctor of Bible Knowledge (DB)
@user-kx7ob5rx4p
@user-kx7ob5rx4p 7 ай бұрын
Sioni Kama ni sawa
@saidissa8273
@saidissa8273 Жыл бұрын
NASHANGAA HAPA NI KANISANI AU VICHEKESHO?
@safarimallya4536
@safarimallya4536 Жыл бұрын
Yaaan wewe aisee
@user-sr1wr2xc5g
@user-sr1wr2xc5g Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@annaemidi8049
@annaemidi8049 Жыл бұрын
👨🏻‍🎨😁😅😄😂😂🔥🙏
@andrew29468
@andrew29468 Жыл бұрын
Uwezo mkubwa wa kushika mistari kwenye bible ni jambo kubwa mnoo na naamini ni kipaji kikubwa
@fredanunda7719
@fredanunda7719 6 ай бұрын
Huyu mchungaji ni kakaye mzee majuto???😂😂😂😂😂😂ah!! Maneno jamani yatiririka kama maji ya mfereji😂😂😂 anachangamsha
@user-up8uq3ih2i
@user-up8uq3ih2i 6 ай бұрын
Uislamu nini!mbona dhambi anatenda kama Kawa,hao hawajaokoka kama wewe
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 7 ай бұрын
Msipo slimu kuwa waislam mtakwenda kulia hamtaamini macho yenu
@AnnoyedCobra-lq7fb
@AnnoyedCobra-lq7fb 5 ай бұрын
😂😂😂
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 5 ай бұрын
Kwani uislamu Nini wewe Mungu anaangalia moyo matendo yakumpendeza na kutii Sheria zake hizo Dini Ni mipango WA mwanadamu watu kumtafuta Mungu na Mungu Ni Roho
@abelbilia4450
@abelbilia4450 Жыл бұрын
Kiukweli masanja ww ni tapeli kbs ludisha pesa yangu
@odaksibuchum7944
@odaksibuchum7944 Жыл бұрын
Alikuibia?
@ezekieljackline3903
@ezekieljackline3903 Жыл бұрын
Beee
@demask3423
@demask3423 Жыл бұрын
Kakuibiaje?
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 ай бұрын
Ila kumbukeni mbingu haina mizaa kueni makin hapa.. Mungu hayupo kwenye mizaa.. hapo siwatii moyo kabisa
@user-gg2jq8mp9d
@user-gg2jq8mp9d 9 ай бұрын
Hapo mzaha uko wapi?
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 ай бұрын
@@user-gg2jq8mp9d Wala Mungu hafurahi hata kidogo
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 ай бұрын
@@user-gg2jq8mp9d mizaa mingii watu kucheka sio ndo tusema Mbingu zinafurahia... Ngoja wakati wa unyakuo ndo utaelewa vema sai Bado hamjatambua... Karibu Kristo Yesu anarudi tengenezeni mapito yangu na njia zenu ziwe sawa kwa Bwana.. vaeni viatu muwe tayari.... Wokovu wa kweli ni toba
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 ай бұрын
@@user-gg2jq8mp9d mwanadam kukusifia sio sifa.. wacha mbingu zikufurahie wanadam wasifurahi sio mbaya
@DeborahJaphethLaiser-is2ps
@DeborahJaphethLaiser-is2ps 9 ай бұрын
Maana wanadam hawana mbingu za kukupeleka
@mariakabesha3718
@mariakabesha3718 5 ай бұрын
Pale Comedian wanapokutana kukusanya sadaka
@meshack3266
@meshack3266 Жыл бұрын
Masanja nimekumaind mnafiki wewe eneo dog alijenga babako
@chulelubella2819
@chulelubella2819 6 ай бұрын
Huyu mzee ni mhuni watu wanadai ana busara gani mvuta bangu no1 KKKT
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 5 ай бұрын
Hujui utendaro Mungu akusanehe umefungwa ufahamu
@chulelubella2819
@chulelubella2819 5 ай бұрын
@@tinnahagustinolyelu4247 mpuuzi eti nimefungwa fahamu wewe ndio umefungwa fahamu hauoni kati ya mtumishi wa kweli na wa uongo
@mcarbonic0rg211
@mcarbonic0rg211 7 ай бұрын
Ni stand up comedy Kwa mukhtadha wa Church hakuna dini inayo kubali mzaha mzaha Hapo mwisho umeyumba mzee dhihaka sio njema hasa kwa imani isio kuhusu Nakumbusha imani sio kitu cha kuchezea Hukupaswa kusema hayo. Ingefaa utuombe radhi
@muhammednassor690
@muhammednassor690 6 ай бұрын
Piga hela zako masanja
@GoodAilon
@GoodAilon 2 ай бұрын
😂
@josephkahindi1713
@josephkahindi1713 Жыл бұрын
😂😂😂
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 36 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 12 МЛН
Original Komedi walivyoingia kwenye Harusi ya Masanja na sare za Polisi
11:53
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
Masanja na Mama Emma | Ukaguzi wa Wafanyakazi
11:12
CHEKESHA
Рет қаралды 52 М.
Hizi hapa dakika 15 tu! za Kufurahi na Mch. Hananja. UDSM CCT.
15:29
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 898 М.
tom and Jerry 😱🆕 #trending
0:23
Nemi Shorts
Рет қаралды 18 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
0:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН