MCHUNGAJI HANANJA AMPA ONYO MASANJA KUISHI NA MWANAMKE MSALITI

  Рет қаралды 107,765

SIMULIZI ZONE

SIMULIZI ZONE

Жыл бұрын

HUYU HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKIZUNGUMZIA KUHUSU KUOA NDOA ZA MITALA KWA WAKRISTO BA WASIO WAKRISTO

Пікірлер: 96
@mariamukijuu2893
@mariamukijuu2893 Жыл бұрын
oya mwenye ndevu agonge like hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@leahpeter6556
@leahpeter6556 Жыл бұрын
Thank you so much Pastor!! this is sooooo true, no man can leave a woman( wife) to another and still the other woman who is taken by this man thinks she is loved more than the first woman!!never!!
@berthabahati7329
@berthabahati7329 Жыл бұрын
Duu umeongea poeti bb mungu akubarik sn na akujalie uishi maisha maref
@paskalmaganga9225
@paskalmaganga9225 Жыл бұрын
Dah kweli we unasema kweli kabisa Mwenyezi Mungu akuongoze uzidi kusema kweli🙏🏻
@huldakirururu8950
@huldakirururu8950 Жыл бұрын
Barikiwa mchungaji ,umesema ukweli wachungaji njaaa wamevunja ndoa nyingi sana.
@aminakanze7352
@aminakanze7352 Жыл бұрын
0
@irambonaeddy5453
@irambonaeddy5453 Жыл бұрын
Hawa wachungaji ndiyo wanaleta shida,kwakuwafariji makahaba nawazinzi.unasema kweli Baba
@eliwajajacob8569
@eliwajajacob8569 Жыл бұрын
Good
@aldeamasuki6196
@aldeamasuki6196 Жыл бұрын
Mchungaji umenikosha ndo ndoa za huku loliondo Mungu akutunze endelea kutupa dozi nakukubali kweli
@IsakaJeremia
@IsakaJeremia 3 ай бұрын
Amen amen mchungaji sichoki kukoment
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏 baba mungu akubariki
@priscawilliam1983
@priscawilliam1983 Жыл бұрын
Mch. Naguswa nauushauri wako Sana Ndoa yangu imengiliawa na Ndugu Mumewangu hanielewi
@stellakatega4910
@stellakatega4910 Жыл бұрын
Mungu akutumze unawapa ukweli yameshatukuta okoa kizazi kijacho baba
@rehemafungo7387
@rehemafungo7387 Жыл бұрын
Kabisa yametukuta
@neemanicodemo4269
@neemanicodemo4269 Жыл бұрын
That is the point pastor, God bless you!!! Ameen
@leticiamapunda3324
@leticiamapunda3324 Жыл бұрын
Mchungaji neno limenibariki ubarikiwe
@solomonmpuluma6616
@solomonmpuluma6616 Жыл бұрын
Wewe pastor ni nomaaaa
@mpandawiliam5390
@mpandawiliam5390 Жыл бұрын
Barikiwa sana mch:.
@subirasimbeye8531
@subirasimbeye8531 Жыл бұрын
Kwa kweli umenena mchungaji
@judithgodfrey6503
@judithgodfrey6503 Жыл бұрын
Safiiii Mchungaji. Barikiwa
@Chris-in1vc
@Chris-in1vc 6 ай бұрын
Daaa ubarikiwe sana mchungaj
@hatibuexauty4024
@hatibuexauty4024 Жыл бұрын
Ubarikiwe Xana mtumishi..
@jumakataka81
@jumakataka81 Жыл бұрын
Niko Kenya nakuhuga mokono amina ❤
@lusajomwakalinga5813
@lusajomwakalinga5813 Жыл бұрын
Good Sana Elimu kubwa.
@Tito-dc6vy
@Tito-dc6vy 6 ай бұрын
Eti.mwenye.ndevu.hahahahaha.barikiwa.sana.postor
@joycesanga6951
@joycesanga6951 Жыл бұрын
Kweli Baba unaongea point tupu
@IsakaJeremia
@IsakaJeremia 3 ай бұрын
Amina
@BenderaRulenge-er7wx
@BenderaRulenge-er7wx 8 ай бұрын
Mimi baba yangu alikuwa na wanawake 2 amefariki akiwa na umri wa miaka 108, lakini nimezaliwa mpaka nimeoa mwanamke sijawahi kuona ugomvi wanagombana na sikujua kama kuoa wanawake wengi ni kosa.
@joykachwele2638
@joykachwele2638 Жыл бұрын
kichwa mbuzi....kwingine nyau anhanhaaaaa
@IsakaJeremia
@IsakaJeremia 3 ай бұрын
Ameeen
@oiiii3898
@oiiii3898 Жыл бұрын
Amen
@bakarymgunda1419
@bakarymgunda1419 Жыл бұрын
Namuelewa Sana huyu mchungaji
@janethjeremiah2547
@janethjeremiah2547 Жыл бұрын
Et kama marejesho😂😂😂
@michaelbennady223
@michaelbennady223 Жыл бұрын
Nimekuelewa mchungan
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 Жыл бұрын
Km unavyoona kuna wanaooa mmoja na wakakosa upendo kwa wtto wao ujue nakuna wenye wake mpaka 4 wanaupendo na wtto wao.
@hagaingabo3435
@hagaingabo3435 Жыл бұрын
Hahaha kweli pasta
@simongwandu7392
@simongwandu7392 Жыл бұрын
Mchungaji hananja naomba Namba yako ya simu
@IsakaJeremia
@IsakaJeremia 3 ай бұрын
😂😂😂pesa izi
@annangosso6680
@annangosso6680 Жыл бұрын
Wazinzi watupu😂
@sampeopletz1255
@sampeopletz1255 Жыл бұрын
Kwahyo hata mchungaji nae pia kaolewa kwa kupenda hela tamaa 🤣🤣🤣🤣
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
@ Sam People 😆😆😆
@fridasolomon6512
@fridasolomon6512 Жыл бұрын
Hahahaha mitamba 🤣🤣🤣
@ismailmsisa6362
@ismailmsisa6362 Жыл бұрын
Kwani mwanaume ana period? Mimi nnavyojua mwanaume ni mmiliki nandio mwenye maamuzi nandio anaechagua kuoa idadi ya wanawake awatakao
@lutufyodixon9997
@lutufyodixon9997 Жыл бұрын
Biblia haijawahi kusema tuwe na mke mmoja tu Haijawahi kukataza
@rayaali7551
@rayaali7551 Жыл бұрын
WACHUNGAJI KUKATAZA WENZENU WASIOWE WAKE IDADI ILIYO AMBRISHWA NA MWENYEEZI MUNGU. ILA NYIE MUNAFUGA WANAWAKE WANJE NA NYUMBA KUWAPANGIA NA WATOTO WANJE KIBAOO. UKAR NA MKE MMOJA KWANI MAMAYAKO ? KWAHIVYO. MUNAONA BORA UZINZI ? HIYO NI AMBRI YA MWENYEEZI MUNGU NA KILA KILICHO AMBRISHWA NA ALLAAH. UJUWE KINA MAANA YAKE NA THAMANI YAKE. KWAHILO MCHUNGAJI KWA LEOO SI JA KU SUPPORT
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 5 ай бұрын
Soma biblia bwana mke mmoja mpaka Kofi lakini unaweza kumuqcha mkeo kama muasherati lakini mwanaume akiishi na mwanamke mwingine anazini bure na mwanamke hivo hivo
@soudia9084
@soudia9084 Жыл бұрын
Kwanini hamzungumzi na wakatoliki nao wakaoa pia.
@uriogilbert
@uriogilbert Жыл бұрын
U 6 06
@johnwoshi3459
@johnwoshi3459 9 ай бұрын
Sio kweli wapi biblia imesema make moja
@itsyourboy1407
@itsyourboy1407 Жыл бұрын
Malaki 2;16
@simongwandu7392
@simongwandu7392 Жыл бұрын
Kufahamiana kwa njia gani
@uriogilbert
@uriogilbert Жыл бұрын
U 7 06
@hildamhina5305
@hildamhina5305 Жыл бұрын
Hahahaha wambie hao
@geraldtarimo3210
@geraldtarimo3210 Жыл бұрын
Parachichiiiiiiiiiiiii
@solomonmpuluma6616
@solomonmpuluma6616 Жыл бұрын
Mbuzi na nyau 😀😁😂
@emmysam1510
@emmysam1510 Жыл бұрын
Kuna mzazi na mzalishaji
@vesitinarevocatus7333
@vesitinarevocatus7333 Жыл бұрын
Sijasikia ilo onyo lamasanja😁
@olicej7837
@olicej7837 Жыл бұрын
Kichwa cha habariii kingine na maneno mengne 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 Жыл бұрын
Unaandikisha mke mmoja ukioa wapili ukapimwe akili lkn unaandikisha mmoja unazini na mia moja.....
@ledynanciajuma6390
@ledynanciajuma6390 Жыл бұрын
Kabla ya kumuoa wa pili c utakuwa umemtaman na kuzini afu ndo ndoa wote ni uzinifu baba
@expert5898
@expert5898 Жыл бұрын
Yote makosa
@expert5898
@expert5898 Жыл бұрын
Hata uoe wanawake 10000 usidhani ndio utatosheka.
@aldeamasuki6196
@aldeamasuki6196 Жыл бұрын
Ndoa za bandika bandua
@wencesmarc6847
@wencesmarc6847 Жыл бұрын
Hiyo story ya masanja iko wapi mmekua wajanja au ni ujinga huo Aya mwisho Leo kufatilia story za mabango kama haya
@joyceshile8837
@joyceshile8837 Жыл бұрын
YAANI, huyo aliepost na KATIBU WA MASANJA MAREHEMU WOTE NI MOTONIII.
@wencesmarc6847
@wencesmarc6847 Жыл бұрын
Hakika maana wametenda dhambi ya uongo kujipatia hela kwetu
@francisdavidmwakalinga3202
@francisdavidmwakalinga3202 Жыл бұрын
Kichwa cha habari kingine story nyingine kenge nyie
@Mariah_1293
@Mariah_1293 Жыл бұрын
Wazalishaji 🤣🤣🤣🤣mko wapi
@ericalexandre2166
@ericalexandre2166 Жыл бұрын
Unaitaji😀
@sampeopletz1255
@sampeopletz1255 Жыл бұрын
Mitamba hiyo duuh
@siloomar7699
@siloomar7699 Жыл бұрын
Mke mmoja hatoshi
@mussajijim574
@mussajijim574 Жыл бұрын
Acha usenge ww
@siloomar7699
@siloomar7699 Жыл бұрын
@@mussajijim574 Ah sasa msenge ww au mm
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
Ndio maana mchungaji kasema nenda huko wanakoruhusu hajamumunya maneno!
@restitutanjau2585
@restitutanjau2585 Жыл бұрын
Wanatosha wangapi
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 Жыл бұрын
Siku unayokufa ndio fainali ya ima mke mmoja anatosha au hakukutosha. Kheri ya muisilam si mnafik unaoa mpaka wanne na wote wanakurithi kuliko wakiristo unaoa mmoja unazini na mia moja na wote ukifa wakizuka wanarithi. Ssa si uchochezi wa zinaa huu?
@Roym97
@Roym97 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 ni Night kilabu
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Nakubaliana na wewe mchungaji tatzo waislam wa kiafrica kwenye dini wanaona suala la kuongeza mke Tu ndo dini ili Hali hao waarabu wako na mke mmoja na wanawe
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 Жыл бұрын
Na nyie makafiri kuzini mkazaa ovyo ndio mnaona dini???
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 Жыл бұрын
Uisilam upo wazi oa mpaka 4 ili usije ukazini ukarithisha wasiostahili. Unakuta kwa mtizamo unakataza kuhangaika hali wanajua wazi w'me wote si swa. Ukiristo unajua km mke mmoja hatoshi lkn unakuozesha mmoja ili uzini na unaowajua ww na wanakuhakikishia ukifa wakija watakurithi. Maana unachochea uzinzi zaidi.
@shukurusyriack3504
@shukurusyriack3504 Жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 wewe ndio kafiri mpuuzi Nini Kwan Kwan na ninyi mnasali vitu Gani mashetani tuu
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
Kwa nini maparachichi jamani😆😆
@jacobsifukwe7291
@jacobsifukwe7291 Жыл бұрын
🤣🤣🤣uyu yeye
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 Жыл бұрын
Mnawasoma kina Suleimani ni uisilam uo nyie mnasema mila zao. Wkt kila umma Allah aliruhusu wake wa kuoa. Ibrahim alioa 2 na wapo wengi tu walooa zaidi ya mmoja. Ssa mke mmoja mmepata wapi na Yesu hajaoa?
@annangosso6680
@annangosso6680 Жыл бұрын
We naye chefu
@meshackmtambulo6580
@meshackmtambulo6580 Жыл бұрын
Oa kama suleiman ukipenda sisi hatuko tayali wewe pambana na iman yako
@elishamcosta8034
@elishamcosta8034 Жыл бұрын
Kabla ya mohammad hapakuwa na Uislam
@ismailmohamed9440
@ismailmohamed9440 Жыл бұрын
We Baki na mke mmoja kama mama yako. Mwanaume mwenye akili timamu lazima uwe na mke zaidi ya mmoja.
@expert5898
@expert5898 Жыл бұрын
Mbona mnaandika vichwa vya habari vya uongo? Mnadhani kwa kufanya hivyo mtapata subscribers?
@SIMULIZIZONE
@SIMULIZIZONE Жыл бұрын
Tunataka watu wakoment Kama ulivyofanya wewe
@expert5898
@expert5898 Жыл бұрын
@@SIMULIZIZONE ili iweje?
@SIMULIZIZONE
@SIMULIZIZONE Жыл бұрын
@@expert5898 nitatengeneza video kukuelekeza ili siku ukija kuamua kuwa KZfaqr uelewe
@expert5898
@expert5898 Жыл бұрын
@@SIMULIZIZONE sawa
@expert5898
@expert5898 Жыл бұрын
@@SIMULIZIZONE kwahiyo ni bora upate comment ya mara moja kuliko kupata subscriber?
MCHUNGAJI HANANJA USIOE MWANAMKE ALIYEZALIA NYUMBANI AU MSOMI KUKUZIDI
14:39
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 14 МЛН
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 37 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 52 МЛН
Mch. HANANJA, WANAUME WENGI HAWAPENDI SEMINA ZA NDOA 🤣🤣🤣
33:49
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 14 МЛН