Mtumishi huyu anajielewa, hongera, watu wanajitoa ufahamu
@sultanalnaamani21564 ай бұрын
Mchungaji Mungu akupe afya njema na umri mrefu Mzee wetu tunaomba nambari yako ya Cm ilituwetukiwasiliana kwa pamoja hakika nimependa mafundisho yako ni mazuri na ukweli sana upo vizuri Ahsante.
@Byondorujulika174 ай бұрын
Amina Mutumishi wa Bwana, karibu tena hapa kwetu IOWA STATE USA 🇺🇸.
@seacresthotel89983 ай бұрын
💥💥💥💥👏👏👏MUNGU akubariki sana mchungaji
@obedimunguachiza84344 ай бұрын
Tupate wapi tena watumishi wenye ufahamu wa Neno la Mungu kama na huu? Eh Mungu litakase kanisa lako, tuko hatarini.
@japhetmnyeta10764 ай бұрын
Mchungaji Ume quolify,ni kweli ili Kujua MUNGU yupo lazima pawe na utaratibu na utaratibu ni sifa ya MUNGU WA mbinguni
@KALULUALLI4 ай бұрын
MCHUNGAJI NAKUPENDA SANAA WEWE HUNAUONGO WALA UBABAISHAJI
@arimazuri2 ай бұрын
Uko sahihi baba Mungu akubariki sana mtumishi
@GADAUNEWS4 ай бұрын
Asante mtumish Mungu akubarik Hananja
@alexiscirhuza3 ай бұрын
Asante sana baba kwa Mashauri Yako ambayo yana uhai. Mungu akupe maisha marefu
@user-uu8bd4vi9s4 ай бұрын
Mch umenyoka uko sahihi anae pinga hichi unacho sema akasome neno..Mungu akutie nguvu akulinde maisha yako yote.
@adronicoreveliano71514 ай бұрын
Sure!
@adriannebatakanwa69044 ай бұрын
Kina Ezekiel hawakuchukuliwa katika Roho. Yohana akiwa kisiwa Patimo hakuchukuliwa na kuonyeshwa yatakayokuja? Usipotoshe watu japo si wote wanasema kweli lakini kuchukuliwa kupo tu. Omba neema ikuzukie.
@PatriciaAkena4 ай бұрын
Binadamu anpendi ukweli...nani anasugumunza na mungu kufuru kweli mungu bibilia inasema imani hati alitembea na mungu wapi hata musa mwenyewe..akumwona na kupenda bure
@elishakayagwa93714 ай бұрын
Huyu mchungaji ni comedian wala hana wito wa Mungu ila alisoma theology tu. Kama hana muda wa kukaa magotini hawezi kutumiwa na Roho Mtakatifu.
@charleslukumai78754 ай бұрын
n@@elishakayagwa9371wewe ndo komedian. Onyesha kwenye biblia mahali palipoandikwa kuna nabii aliyewahi kwenda mbinguni akakutana na Mungu, Mungu akamtembeza kwenye ufalme wake, kisha akarudi duniani.
@ruthaloyce10124 ай бұрын
Sawa, Hananja kama Hananja!❤❤❤🌹🌹🌹chukua maua yakoo!
@saimonbikulaofficial4 ай бұрын
Isee hananja tukupe makanisa yoye ya tz uyanyooshe mama unamafindisho yakweli unafundisha uhusiano kati ya mwanadamu na mungu God bless you
@KhadijaKipua-dw7yz4 ай бұрын
Mchungaji hananja uko sahihi kabisaa.
@IsackTheonest4 ай бұрын
❤Mungu akubariki mchg, ww ni mwanga wa vijana
@abdulsimbarakiye41455 күн бұрын
Baba mchungaji mimi ni Abdul Simba mungu akubariki baba yangu mimi ni mwisilam uwa nafata vipindi vyako wewe ni mkweli kabisa
@RockofLifeChurch4 ай бұрын
Mungu ambariki Mchungaji Hannanja Watu wengi hawana misingi.
@ElibarikiMbando6 күн бұрын
barikiwa sana hananja;hua nakufuatilia saana
@twabwikemundela57704 ай бұрын
Amen mtumishi. Nimebarikiwa sana.
@imanihussein94574 ай бұрын
hananja upo vzr
@hermannicholaus2384 ай бұрын
Njoo Moshi
@priscakitambi8639Ай бұрын
Uko vzr sana Mch. Mi nakukubali sana
@eliabrandy23 күн бұрын
Nakukubali sn pastor chukua mataji
@adenmwakalobo7604 ай бұрын
Hongera na endelea vivi hivi mch Hananja, ulaghai wa baadhi ya wachungaji wachumia tumbo kwa kuwahadaa watu wanyonge na wasio na ufahamu mzuri ktk makanisa yao! Watakasirika kweli kwa vile umezianika hadharani mbinu zao ovu za kupumbaza watu; hata mienendo yao imejaa chukizo! Jamii yetu inapata faida kwa kuamshwa kupitia mafundisho yako kwa muongozo wa bibilia takatifu.
@user-wq4pl5dv6b4 ай бұрын
Mtume mohamed
@paschalsafari97474 ай бұрын
Walokole wanauvuruga ukristo sanaa...
@fredyjunior69614 ай бұрын
Mnooo
@williamkadote3054 ай бұрын
Muchungaji kwakweli unaongea sahihi, Na uko Baba watoto, ❤Sasa Muchungaji kwanini ulimi yako kila mara inatoka inje ? Kwakweli sio ma sighs zakisasa ?
@blandinajoseph12914 ай бұрын
Anaufanya kama ishara ya njoka
@user-uy5zk4lj5w4 ай бұрын
HALELUYA, MCHUNGAJI MUNGU AKUBARIKI KWA UKWELI WA NENO LA MUNGU KUPITIA BIBLIA TAKATIFU
@KabatoniBoraa4 ай бұрын
Mchungaji wetue tupe number za sin Ili tuwe tunawasiliana.kwamana Wewe naona elim unayo kabisaa.allah akuifadhi akupe nguvu zakuteteya dini zote
@felisterjoshuamollel39304 ай бұрын
Tunakukubali Sana mch. Hananja❤chukua maua yako 🎉🎉
@user-yq7yv5bb8jАй бұрын
Jaman mm nikimsiliza mch Hananja Roho inajaa amani tele.
@eliuschonjo77063 ай бұрын
Kucheza na akili za watu lazimaa uongezee uongoo !!! Ila hapo Kwa Mungu kuzungumzia uongo ni laana kubwa sana
@user-tf4zb9fz1f4 ай бұрын
Mwacheni Mzee angee ukweri .
@japhetmnyeta10764 ай бұрын
Hakuna roho ambayo itakua kwenye mwili ikamuona MUNGU na isitake kumrudia muumba wake Kwa uzuri aliokua Nao MUNGU thus why Mussa alipokwisha ona mgongo wa MUNGU alirudi na wazee wa Israel wakashangaa mng'ao na wakamkimbia
@pcctMadale4 ай бұрын
PASTOR HANANJA UKO SAHIHI KABISA,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KWENDA MBINGUNI KUONGEA NA MUNGU,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KUONANA NA MUNGU NA AKAWA SALAMA!HATA MUSA HAKUWEZA!
@Kamkono4 ай бұрын
Henoko ?
@user-ty4ji9qm5r4 ай бұрын
Hongera sana Hananja
@phinescah73534 ай бұрын
Amesema ukweli kabisaa,i support the truth because the bible says you shall know the truth and the truth shall set you free
@mossesezekiel78623 ай бұрын
Ashukuliwe MUNGU atupae kushinda kwa BWANA WETU YESU KRISTO
@user-gt9zw9jk6w4 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@costantineevarist51104 ай бұрын
Amina mchungaji..Aliyepaa Ni Yesu tu.Wengine ni hadithi tu za uongo
@NgengeMkeni-uo5hq4 ай бұрын
Hata Mtume Muhammad mwenyewe alidanganya umma eti alipaa na Buraq😂
@lwitikomusa17123 ай бұрын
Amina mtumishi ananja 🙏
@DonatiMlay4 ай бұрын
Huyu mchungaji anasema ukweli mtupu manabii wa uwongo kwa ajili ya kuwapora hela waliokosa maarifa.
@hildaminja51484 ай бұрын
Asante sana. Unaweza kusaidia kizazi hiki
@user-ri8ch2hs3m4 ай бұрын
Waambie baba wafunguke
@MILEMBEMASUKE-ds2fx4 ай бұрын
What a paster....🙏
@user-gi3io1ew8e4 ай бұрын
❤😂 Amina kabisa true pst 🙏
@farhannahomary55054 ай бұрын
Mungu akulinde
@hekimaoscar65274 ай бұрын
Hongera
@gracekagoma32314 ай бұрын
Watu wanajiita manabii😢ni wa uongo 😢😢
@bashirukajembe41654 ай бұрын
Nakukubali sana baba
@leonardpeter1533 ай бұрын
Shetani ni mjanja sana watu wanawaogopa sana manabii wachungaji wanatumia nafasi hiyo kuvutia sana kwao ,Mungu ana mipaka yote yanawezekana kwake yeye aaminiye biblia aiimpi Mungu mipaka
@littlelunie.76534 ай бұрын
Waambie na daniel alionyeshwa hakwenda mbinguni
@allymwashambwa59204 ай бұрын
Hananja mungu akubariki sana kwakusema ukweli
@user-wm9hr7fx9l3 ай бұрын
Halafu huyo wa Arusha anajiita nabii mkuu,tofauti na maandiko maana kwa mjibu wa maandiko alie mkuu ni mmoja tu
@jabirkasunzu68414 ай бұрын
Bado mitume ya Kinyakyusa😂😂😂
@user-tr2mf3hp5s4 ай бұрын
Nakukubali sana mzee wng
@mohammadoman89634 ай бұрын
😂😂😂😂😂 asante kwa kuwaumbuwa wenzako wako kibiashara tu kuendesha maisha na watu hawana akili wanafata mkumbo tu
@SifaelMpagike-gt1gz4 ай бұрын
Amen
@iddyissa81104 ай бұрын
Haaa kweli kama unawaza sanaa unaweza ota kweri wanakufuru
@kwamnkurumah85744 ай бұрын
Mchungaji hyu Nina mkubali Sana aise upo sahihi Nikipa mkubwa wao
@user-cd9nk8yz2h4 ай бұрын
Binadamu mpaka akufe mara moja tuu ndio aende kwa mungu mbiguni
@majaliwamsigwa62064 ай бұрын
Upo sahihi Mtumishi
@danieljoseph16104 ай бұрын
Ila kwenye biblia unawazidi sana kuijua! Wachungaji wengi wengi unawapiga fimbo!
@TM.Sullusi4 ай бұрын
Hata hao wengine wanajua, ila wanaitumia vibaya ili kufanikisha malengo yao ya hovyo😢😢😢
@user-tl5oz3ws9m4 ай бұрын
Ukosawa sana badili muelekeo uokoke ukweli wote unaujuwa
@danielchaulema16703 ай бұрын
Watu wangu huangamia kwakukosa maarifa
@davidmapugilo52834 ай бұрын
Ufahamu, ufahamu, ufahamu, never speak of things you do not know
@manuelymanuely-ly7gs4 ай бұрын
Wee unajina unaufaham
@stephenlembo89864 ай бұрын
Yesu hakuleta dini alileta wokovu.
@petronyereresaliboko40473 ай бұрын
Watu wanaenda kuzimu na mbinguni yaani sana Tena shida saana hii inatisha mpaka unajiuliza hii ni nini
Sasa kama wanafunzi wa yesu walikua na wake mbona nyie wengine mnawambia msiowe?
@oscarmario4664 ай бұрын
Hilo swali huyu halimuhusu anamke na watoto na haamini Hilo la kutokuowa maana kuto kuowa ni Sheria ya warumi
@user-fh1vu5xk3j4 ай бұрын
Wengi tunakuelewa,
@gilbertmaganga93704 ай бұрын
Huyu namuelewa sana msema kweli
@bettmutahi13464 ай бұрын
Urealy do have a problem
@bosssyedmund87854 ай бұрын
Na tracksuit yangu😂😂😂
@JulianMakondo4 ай бұрын
Sema watu wasimchukulie Mungu kikawaida , kusema ukweli Mungu anatisha na mwanadamu akimwona Mungu katika mwili huu wa damu na nyamu huyo mwanadamu hawezi kuishi , maana hata tuwe wasafi vipi Kwa utukufu Mungu alio nao tukimwona Kwa macho tu ya damu na nyama tunakufa
@user-ye1dt2eb8u4 ай бұрын
Na vile watu tumechanganywa ni hizo ushuhuda za walio enda mbinguni na kuzimu, au Mungu aliwachukua ili waje watufundishe jinsi kuzimu inavyotisha
@ChejoBuchejo-mm8bb4 ай бұрын
Tz ni nchi ya watu wajinga sana ,,,yani tumejazwa uwoga tukawa mazuzu kabisa.....BORA NIWE NARUDI MASKANI KUTAMBIKA ,,,,,Asante mtumishi kusema UKWELI unaopotoshwa
Pastor anajua mpk ndumu....Yani hua wanipunga xna bro...
@AnthonyAnatory4 ай бұрын
Kabisa wasanii hao wanaangalia maokoto
@user-cf9tt4vg9e4 ай бұрын
UWO NI KWELI KABISA
@EvanceBoy19974 ай бұрын
Unaongea unbelievable yule ni tapeli 😅😅😅
@saidiathumani64434 ай бұрын
Mafarisayo walishindwa kumwelewa yesu vilevile kwa sababu ya ufahamu tangulizi ndani yao. Muumba ni sauti na anasikika kupitia mmoja aliemchagua, ni vigumu sana kumuelewa muumba kama huna unyenyekevu. Hata hivyo wapo waliokusudiwa ndio wanaoelewa kuwa muumba anafanya kazi na wale wampendao, aliowakusudia hata kabla ya chochote kuumbwa!!
@SaleheRichard5 күн бұрын
MCHUGAJI SEMA UKWELI KABISA UMESOMA BIBLE KIUKWEL
@user-fh1vu5xk3j4 ай бұрын
Waelewa tunakuelewa
@dominicuskmbele1584 ай бұрын
Hananja Master....
@saidali-xv8yh4 ай бұрын
Hameni huko dini ya ukristo siya dini wapagani ndiyo wemekuiteni wakristo siyo Mungu wala yesu hakutmwa kwenu bali katumwa kwa wana wa israel.
@Asana-wi7yj4 ай бұрын
Unahitaji kuelekezwa aliowaijilia hawakumpokea
@salymsuleiman20354 ай бұрын
Ukristo ni dini ya maokoto
@ProspertRubura4 ай бұрын
Iyo nikweli baba sema kweli
@sirajally83564 ай бұрын
ukweli nikwamba una simama naukweli wana haribu baibo nimatapeli sana
@rosejefwa98064 ай бұрын
Sasa hao wazee wanakuja kukupakamafu wanakuwa wameyatowa wapii wanakiwanda?
@frankanyandwilemwakatika10594 ай бұрын
Mungu atusaidie kuelewa maandiko na sababu ya kuja Yesu 23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu. Yohana 4:23 24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Yohana 4:24 Tuache kufikiri kimwili Mungu anaongea na watu wake mpaka sasa ukiona haongei na wewe jichunguze mwenendo wako
@francofrederick9724 ай бұрын
Wanafanya mdahalo😅😅😅😅
@georgiakiluvia80293 ай бұрын
P
@warakawayohana28964 ай бұрын
😂😂 ndumu haijaisha vizuri
@KassimJabu4 ай бұрын
Hananja vunambavu
@user-zu5ee3qe6u4 ай бұрын
Hao hao pia wanasoma biblia iyo iyo mchungaji😢sasa itakuaje kufuru😂😂😂