MCHUNGAJI HANANJA ALIPUKA HAKUNA BINADAMU DUNIANI ALIYEENDA MBINGUNI NA KURUDI HII KUFURU KWA WATOTO

  Рет қаралды 79,203

Maks Media

Maks Media

4 ай бұрын

Пікірлер: 164
@florachogo243
@florachogo243 4 ай бұрын
Mtumishi huyu anajielewa, hongera, watu wanajitoa ufahamu
@sultanalnaamani2156
@sultanalnaamani2156 4 ай бұрын
Mchungaji Mungu akupe afya njema na umri mrefu Mzee wetu tunaomba nambari yako ya Cm ilituwetukiwasiliana kwa pamoja hakika nimependa mafundisho yako ni mazuri na ukweli sana upo vizuri Ahsante.
@Byondorujulika17
@Byondorujulika17 4 ай бұрын
Amina Mutumishi wa Bwana, karibu tena hapa kwetu IOWA STATE USA 🇺🇸.
@seacresthotel8998
@seacresthotel8998 3 ай бұрын
💥💥💥💥👏👏👏MUNGU akubariki sana mchungaji
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 4 ай бұрын
Tupate wapi tena watumishi wenye ufahamu wa Neno la Mungu kama na huu? Eh Mungu litakase kanisa lako, tuko hatarini.
@japhetmnyeta1076
@japhetmnyeta1076 4 ай бұрын
Mchungaji Ume quolify,ni kweli ili Kujua MUNGU yupo lazima pawe na utaratibu na utaratibu ni sifa ya MUNGU WA mbinguni
@KALULUALLI
@KALULUALLI 4 ай бұрын
MCHUNGAJI NAKUPENDA SANAA WEWE HUNAUONGO WALA UBABAISHAJI
@arimazuri
@arimazuri 2 ай бұрын
Uko sahihi baba Mungu akubariki sana mtumishi
@GADAUNEWS
@GADAUNEWS 4 ай бұрын
Asante mtumish Mungu akubarik Hananja
@alexiscirhuza
@alexiscirhuza 3 ай бұрын
Asante sana baba kwa Mashauri Yako ambayo yana uhai. Mungu akupe maisha marefu
@user-uu8bd4vi9s
@user-uu8bd4vi9s 4 ай бұрын
Mch umenyoka uko sahihi anae pinga hichi unacho sema akasome neno..Mungu akutie nguvu akulinde maisha yako yote.
@adronicoreveliano7151
@adronicoreveliano7151 4 ай бұрын
Sure!
@adriannebatakanwa6904
@adriannebatakanwa6904 4 ай бұрын
Kina Ezekiel hawakuchukuliwa katika Roho. Yohana akiwa kisiwa Patimo hakuchukuliwa na kuonyeshwa yatakayokuja? Usipotoshe watu japo si wote wanasema kweli lakini kuchukuliwa kupo tu. Omba neema ikuzukie.
@PatriciaAkena
@PatriciaAkena 4 ай бұрын
Binadamu anpendi ukweli...nani anasugumunza na mungu kufuru kweli mungu bibilia inasema imani hati alitembea na mungu wapi hata musa mwenyewe..akumwona na kupenda bure
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 4 ай бұрын
Huyu mchungaji ni comedian wala hana wito wa Mungu ila alisoma theology tu. Kama hana muda wa kukaa magotini hawezi kutumiwa na Roho Mtakatifu.
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 4 ай бұрын
n​@@elishakayagwa9371wewe ndo komedian. Onyesha kwenye biblia mahali palipoandikwa kuna nabii aliyewahi kwenda mbinguni akakutana na Mungu, Mungu akamtembeza kwenye ufalme wake, kisha akarudi duniani.
@ruthaloyce1012
@ruthaloyce1012 4 ай бұрын
Sawa, Hananja kama Hananja!❤❤❤🌹🌹🌹chukua maua yakoo!
@saimonbikulaofficial
@saimonbikulaofficial 4 ай бұрын
Isee hananja tukupe makanisa yoye ya tz uyanyooshe mama unamafindisho yakweli unafundisha uhusiano kati ya mwanadamu na mungu God bless you
@KhadijaKipua-dw7yz
@KhadijaKipua-dw7yz 4 ай бұрын
Mchungaji hananja uko sahihi kabisaa.
@IsackTheonest
@IsackTheonest 4 ай бұрын
❤Mungu akubariki mchg, ww ni mwanga wa vijana
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 5 күн бұрын
Baba mchungaji mimi ni Abdul Simba mungu akubariki baba yangu mimi ni mwisilam uwa nafata vipindi vyako wewe ni mkweli kabisa
@RockofLifeChurch
@RockofLifeChurch 4 ай бұрын
Mungu ambariki Mchungaji Hannanja Watu wengi hawana misingi.
@ElibarikiMbando
@ElibarikiMbando 6 күн бұрын
barikiwa sana hananja;hua nakufuatilia saana
@twabwikemundela5770
@twabwikemundela5770 4 ай бұрын
Amen mtumishi. Nimebarikiwa sana.
@imanihussein9457
@imanihussein9457 4 ай бұрын
hananja upo vzr
@hermannicholaus238
@hermannicholaus238 4 ай бұрын
Njoo Moshi
@priscakitambi8639
@priscakitambi8639 Ай бұрын
Uko vzr sana Mch. Mi nakukubali sana
@eliabrandy
@eliabrandy 23 күн бұрын
Nakukubali sn pastor chukua mataji
@adenmwakalobo760
@adenmwakalobo760 4 ай бұрын
Hongera na endelea vivi hivi mch Hananja, ulaghai wa baadhi ya wachungaji wachumia tumbo kwa kuwahadaa watu wanyonge na wasio na ufahamu mzuri ktk makanisa yao! Watakasirika kweli kwa vile umezianika hadharani mbinu zao ovu za kupumbaza watu; hata mienendo yao imejaa chukizo! Jamii yetu inapata faida kwa kuamshwa kupitia mafundisho yako kwa muongozo wa bibilia takatifu.
@user-wq4pl5dv6b
@user-wq4pl5dv6b 4 ай бұрын
Mtume mohamed
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 4 ай бұрын
Walokole wanauvuruga ukristo sanaa...
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 4 ай бұрын
Mnooo
@williamkadote305
@williamkadote305 4 ай бұрын
Muchungaji kwakweli unaongea sahihi, Na uko Baba watoto, ❤Sasa Muchungaji kwanini ulimi yako kila mara inatoka inje ? Kwakweli sio ma sighs zakisasa ?
@blandinajoseph1291
@blandinajoseph1291 4 ай бұрын
Anaufanya kama ishara ya njoka
@user-uy5zk4lj5w
@user-uy5zk4lj5w 4 ай бұрын
HALELUYA, MCHUNGAJI MUNGU AKUBARIKI KWA UKWELI WA NENO LA MUNGU KUPITIA BIBLIA TAKATIFU
@KabatoniBoraa
@KabatoniBoraa 4 ай бұрын
Mchungaji wetue tupe number za sin Ili tuwe tunawasiliana.kwamana Wewe naona elim unayo kabisaa.allah akuifadhi akupe nguvu zakuteteya dini zote
@felisterjoshuamollel3930
@felisterjoshuamollel3930 4 ай бұрын
Tunakukubali Sana mch. Hananja❤chukua maua yako 🎉🎉
@user-yq7yv5bb8j
@user-yq7yv5bb8j Ай бұрын
Jaman mm nikimsiliza mch Hananja Roho inajaa amani tele.
@eliuschonjo7706
@eliuschonjo7706 3 ай бұрын
Kucheza na akili za watu lazimaa uongezee uongoo !!! Ila hapo Kwa Mungu kuzungumzia uongo ni laana kubwa sana
@user-tf4zb9fz1f
@user-tf4zb9fz1f 4 ай бұрын
Mwacheni Mzee angee ukweri .
@japhetmnyeta1076
@japhetmnyeta1076 4 ай бұрын
Hakuna roho ambayo itakua kwenye mwili ikamuona MUNGU na isitake kumrudia muumba wake Kwa uzuri aliokua Nao MUNGU thus why Mussa alipokwisha ona mgongo wa MUNGU alirudi na wazee wa Israel wakashangaa mng'ao na wakamkimbia
@pcctMadale
@pcctMadale 4 ай бұрын
PASTOR HANANJA UKO SAHIHI KABISA,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KWENDA MBINGUNI KUONGEA NA MUNGU,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KUONANA NA MUNGU NA AKAWA SALAMA!HATA MUSA HAKUWEZA!
@Kamkono
@Kamkono 4 ай бұрын
Henoko ?
@user-ty4ji9qm5r
@user-ty4ji9qm5r 4 ай бұрын
Hongera sana Hananja
@phinescah7353
@phinescah7353 4 ай бұрын
Amesema ukweli kabisaa,i support the truth because the bible says you shall know the truth and the truth shall set you free
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862 3 ай бұрын
Ashukuliwe MUNGU atupae kushinda kwa BWANA WETU YESU KRISTO
@user-gt9zw9jk6w
@user-gt9zw9jk6w 4 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@costantineevarist5110
@costantineevarist5110 4 ай бұрын
Amina mchungaji..Aliyepaa Ni Yesu tu.Wengine ni hadithi tu za uongo
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 4 ай бұрын
Hata Mtume Muhammad mwenyewe alidanganya umma eti alipaa na Buraq😂
@lwitikomusa1712
@lwitikomusa1712 3 ай бұрын
Amina mtumishi ananja 🙏
@DonatiMlay
@DonatiMlay 4 ай бұрын
Huyu mchungaji anasema ukweli mtupu manabii wa uwongo kwa ajili ya kuwapora hela waliokosa maarifa.
@hildaminja5148
@hildaminja5148 4 ай бұрын
Asante sana. Unaweza kusaidia kizazi hiki
@user-ri8ch2hs3m
@user-ri8ch2hs3m 4 ай бұрын
Waambie baba wafunguke
@MILEMBEMASUKE-ds2fx
@MILEMBEMASUKE-ds2fx 4 ай бұрын
What a paster....🙏
@user-gi3io1ew8e
@user-gi3io1ew8e 4 ай бұрын
❤😂 Amina kabisa true pst 🙏
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 4 ай бұрын
Mungu akulinde
@hekimaoscar6527
@hekimaoscar6527 4 ай бұрын
Hongera
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 ай бұрын
Watu wanajiita manabii😢ni wa uongo 😢😢
@bashirukajembe4165
@bashirukajembe4165 4 ай бұрын
Nakukubali sana baba
@leonardpeter153
@leonardpeter153 3 ай бұрын
Shetani ni mjanja sana watu wanawaogopa sana manabii wachungaji wanatumia nafasi hiyo kuvutia sana kwao ,Mungu ana mipaka yote yanawezekana kwake yeye aaminiye biblia aiimpi Mungu mipaka
@littlelunie.7653
@littlelunie.7653 4 ай бұрын
Waambie na daniel alionyeshwa hakwenda mbinguni
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 4 ай бұрын
Hananja mungu akubariki sana kwakusema ukweli
@user-wm9hr7fx9l
@user-wm9hr7fx9l 3 ай бұрын
Halafu huyo wa Arusha anajiita nabii mkuu,tofauti na maandiko maana kwa mjibu wa maandiko alie mkuu ni mmoja tu
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 4 ай бұрын
Bado mitume ya Kinyakyusa😂😂😂
@user-tr2mf3hp5s
@user-tr2mf3hp5s 4 ай бұрын
Nakukubali sana mzee wng
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 asante kwa kuwaumbuwa wenzako wako kibiashara tu kuendesha maisha na watu hawana akili wanafata mkumbo tu
@SifaelMpagike-gt1gz
@SifaelMpagike-gt1gz 4 ай бұрын
Amen
@iddyissa8110
@iddyissa8110 4 ай бұрын
Haaa kweli kama unawaza sanaa unaweza ota kweri wanakufuru
@kwamnkurumah8574
@kwamnkurumah8574 4 ай бұрын
Mchungaji hyu Nina mkubali Sana aise upo sahihi Nikipa mkubwa wao
@user-cd9nk8yz2h
@user-cd9nk8yz2h 4 ай бұрын
Binadamu mpaka akufe mara moja tuu ndio aende kwa mungu mbiguni
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 4 ай бұрын
Upo sahihi Mtumishi
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 4 ай бұрын
Ila kwenye biblia unawazidi sana kuijua! Wachungaji wengi wengi unawapiga fimbo!
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 4 ай бұрын
Hata hao wengine wanajua, ila wanaitumia vibaya ili kufanikisha malengo yao ya hovyo😢😢😢
@user-tl5oz3ws9m
@user-tl5oz3ws9m 4 ай бұрын
Ukosawa sana badili muelekeo uokoke ukweli wote unaujuwa
@danielchaulema1670
@danielchaulema1670 3 ай бұрын
Watu wangu huangamia kwakukosa maarifa
@davidmapugilo5283
@davidmapugilo5283 4 ай бұрын
Ufahamu, ufahamu, ufahamu, never speak of things you do not know
@manuelymanuely-ly7gs
@manuelymanuely-ly7gs 4 ай бұрын
Wee unajina unaufaham
@stephenlembo8986
@stephenlembo8986 4 ай бұрын
Yesu hakuleta dini alileta wokovu.
@petronyereresaliboko4047
@petronyereresaliboko4047 3 ай бұрын
Watu wanaenda kuzimu na mbinguni yaani sana Tena shida saana hii inatisha mpaka unajiuliza hii ni nini
@suzydeusy1405
@suzydeusy1405 4 ай бұрын
Hamna mtu atamwona Mungu akiwa kwenye mwili huu
@japhetmnyeta1076
@japhetmnyeta1076 4 ай бұрын
MUNGU si mchezo wazee
@user-hh1cx5xn8n
@user-hh1cx5xn8n 3 ай бұрын
Unaongea ukwelii unwell unadumu binandamu hawataki kweli
@Inzaghi809
@Inzaghi809 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@christianmwabukusi8132
@christianmwabukusi8132 4 ай бұрын
Usihangaishwe nao Mchungaji
@Zaka-hv9ui
@Zaka-hv9ui 3 ай бұрын
Wewe ni mkweli mch Hananja
@lukamwinuka2957
@lukamwinuka2957 4 ай бұрын
Wambie hao wanaenda kuxim wanasema Kwa Mungu
@user-mg9fg6vc9w
@user-mg9fg6vc9w 4 ай бұрын
We mzee Uislam umesha ujua achana na Hao matapeli
@user-vr6lu8tq1n
@user-vr6lu8tq1n 4 ай бұрын
Sasa kama wanafunzi wa yesu walikua na wake mbona nyie wengine mnawambia msiowe?
@oscarmario466
@oscarmario466 4 ай бұрын
Hilo swali huyu halimuhusu anamke na watoto na haamini Hilo la kutokuowa maana kuto kuowa ni Sheria ya warumi
@user-fh1vu5xk3j
@user-fh1vu5xk3j 4 ай бұрын
Wengi tunakuelewa,
@gilbertmaganga9370
@gilbertmaganga9370 4 ай бұрын
Huyu namuelewa sana msema kweli
@bettmutahi1346
@bettmutahi1346 4 ай бұрын
Urealy do have a problem
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 4 ай бұрын
Na tracksuit yangu😂😂😂
@JulianMakondo
@JulianMakondo 4 ай бұрын
Sema watu wasimchukulie Mungu kikawaida , kusema ukweli Mungu anatisha na mwanadamu akimwona Mungu katika mwili huu wa damu na nyamu huyo mwanadamu hawezi kuishi , maana hata tuwe wasafi vipi Kwa utukufu Mungu alio nao tukimwona Kwa macho tu ya damu na nyama tunakufa
@user-ye1dt2eb8u
@user-ye1dt2eb8u 4 ай бұрын
Na vile watu tumechanganywa ni hizo ushuhuda za walio enda mbinguni na kuzimu, au Mungu aliwachukua ili waje watufundishe jinsi kuzimu inavyotisha
@ChejoBuchejo-mm8bb
@ChejoBuchejo-mm8bb 4 ай бұрын
Tz ni nchi ya watu wajinga sana ,,,yani tumejazwa uwoga tukawa mazuzu kabisa.....BORA NIWE NARUDI MASKANI KUTAMBIKA ,,,,,Asante mtumishi kusema UKWELI unaopotoshwa
@KabatoniBoraa
@KabatoniBoraa 4 ай бұрын
Sante paster wetu!!!wewe sahihi kabisa.waaambiye awo waache kupoteza Watu.
@tigejuma9865
@tigejuma9865 4 ай бұрын
Pastor anajua mpk ndumu....Yani hua wanipunga xna bro...
@AnthonyAnatory
@AnthonyAnatory 4 ай бұрын
Kabisa wasanii hao wanaangalia maokoto
@user-cf9tt4vg9e
@user-cf9tt4vg9e 4 ай бұрын
UWO NI KWELI KABISA
@EvanceBoy1997
@EvanceBoy1997 4 ай бұрын
Unaongea unbelievable yule ni tapeli 😅😅😅
@saidiathumani6443
@saidiathumani6443 4 ай бұрын
Mafarisayo walishindwa kumwelewa yesu vilevile kwa sababu ya ufahamu tangulizi ndani yao. Muumba ni sauti na anasikika kupitia mmoja aliemchagua, ni vigumu sana kumuelewa muumba kama huna unyenyekevu. Hata hivyo wapo waliokusudiwa ndio wanaoelewa kuwa muumba anafanya kazi na wale wampendao, aliowakusudia hata kabla ya chochote kuumbwa!!
@SaleheRichard
@SaleheRichard 5 күн бұрын
MCHUGAJI SEMA UKWELI KABISA UMESOMA BIBLE KIUKWEL
@user-fh1vu5xk3j
@user-fh1vu5xk3j 4 ай бұрын
Waelewa tunakuelewa
@dominicuskmbele158
@dominicuskmbele158 4 ай бұрын
Hananja Master....
@saidali-xv8yh
@saidali-xv8yh 4 ай бұрын
Hameni huko dini ya ukristo siya dini wapagani ndiyo wemekuiteni wakristo siyo Mungu wala yesu hakutmwa kwenu bali katumwa kwa wana wa israel.
@Asana-wi7yj
@Asana-wi7yj 4 ай бұрын
Unahitaji kuelekezwa aliowaijilia hawakumpokea
@salymsuleiman2035
@salymsuleiman2035 4 ай бұрын
Ukristo ni dini ya maokoto
@ProspertRubura
@ProspertRubura 4 ай бұрын
Iyo nikweli baba sema kweli
@sirajally8356
@sirajally8356 4 ай бұрын
ukweli nikwamba una simama naukweli wana haribu baibo nimatapeli sana
@rosejefwa9806
@rosejefwa9806 4 ай бұрын
Sasa hao wazee wanakuja kukupakamafu wanakuwa wameyatowa wapii wanakiwanda?
@frankanyandwilemwakatika1059
@frankanyandwilemwakatika1059 4 ай бұрын
Mungu atusaidie kuelewa maandiko na sababu ya kuja Yesu 23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu. Yohana 4:23 24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Yohana 4:24 Tuache kufikiri kimwili Mungu anaongea na watu wake mpaka sasa ukiona haongei na wewe jichunguze mwenendo wako
@francofrederick972
@francofrederick972 4 ай бұрын
Wanafanya mdahalo😅😅😅😅
@georgiakiluvia8029
@georgiakiluvia8029 3 ай бұрын
P
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 4 ай бұрын
😂😂 ndumu haijaisha vizuri
@KassimJabu
@KassimJabu 4 ай бұрын
Hananja vunambavu
@user-zu5ee3qe6u
@user-zu5ee3qe6u 4 ай бұрын
Hao hao pia wanasoma biblia iyo iyo mchungaji😢sasa itakuaje kufuru😂😂😂
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 67 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 50 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 36 МЛН
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
MCH. HANANJI | "DIAMOND, SHOLO MWAMBA NI WATOTO WETU"
37:38
Victory tv
Рет қаралды 186 М.
Оказался НЕНУЖНЫМ и Его БРОСИЛИ🐶💀
0:38
ИССЛЕДОВАТЕЛЬ
Рет қаралды 4,6 МЛН
МЛАДШАЯ СЕСТРА И МОРОЖЕНОЕ ИЗ АРБУЗА
0:41
ОЛЯ ПЕРЧИК
Рет қаралды 2,4 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
MrBeast
Рет қаралды 37 МЛН
腹黑小天使把黑天使整惨了#short #angel #clown
0:20
Super Beauty team
Рет қаралды 20 МЛН
How is it possible? 😅 #behindthescenes? #vfx
0:19
The Quinetto's
Рет қаралды 43 МЛН