Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Пікірлер: 166
@samataramadhansamata62624 жыл бұрын
Ubarikiwe doctor
@siwalikissuleimani69302 жыл бұрын
Asante sana dokta
@samiarajabukiulashalila37374 жыл бұрын
Dokta naomba no zako tuongee zaidi
@contridaemmanuel3416 Жыл бұрын
Asante doctor
@maryeer6392 Жыл бұрын
Asante kwa elimu hii
@fatumamasumbuko57784 жыл бұрын
Asante d
@hekimasichoneАй бұрын
je energy inaweza toa mimba au
@mariahaling98932 жыл бұрын
Asante doctor nimekuelewa vizur
@user-qr6fi2yh6m17 күн бұрын
Me doctor natokwa na dam kidgokodg ila mimba yangu inamwezi mmoja
@tumainimingo91036 ай бұрын
Sorry doctor mm mdogo wangu alitoa mimba lakin akapima bado iko+ je hyo mimba inaendelea kukua au ni kusafishwa tu??
@KylaCleophas6 ай бұрын
Asante dr mimba yangu inakaribia miezi7 sasa ila huwa napata siku zangu kila mwezi na mpaka mimba imeshindwa kuongezeka dr sijui tatizo litakuwa ni nini
@magrethmathayo5283 жыл бұрын
Ahsnte doctor nimekuelewa
@yunusaliy78985 жыл бұрын
Namba muhimu
@user-hc3oc8xy4r11 ай бұрын
Je mke wangu akiwa na mimba anaweza kuona damu na inatoka tone na maumivu tumboni na kiononi?
@andrewzimba61943 жыл бұрын
doctor mimi nimehalikiwa na mimba nilipomaliza tu kushiliki tendo la ndoa je tatizo litakuwa ni nini?
@patriciabushiri26133 жыл бұрын
Doctor nishauri nitumie nin wakati wa bleed natoka mapele makubwa usoni et
@davidyindi7794 Жыл бұрын
Mim naingia kwenye hedhi lakin damu zinatoka nyepesi sana siku mbili siku ya tatu unakuwa uchafu chafu tu uliyo changanyika na damu shida ni nin jaman nisaidien
@tumainiasajile2092 жыл бұрын
Je Kama imetoka kidogo imeacha na maumivu nikwambali, hiyonayo Ni kuhalibika kwa mimba?
@user-ck4pe3ze6y9 ай бұрын
Dokt nashida ya namba yako please
@farhatomar14274 жыл бұрын
mm dokta naujauzito wawiki mbili lkn naumwa na mgongo san na Maziw yamevimba yananiuma sn je natatiz gn apo
@marrymathiass39742 жыл бұрын
Docter Mimi Nina mimba ya wiki 8 lakini natokwa na damu kidogo kidogo ikikata siku mbili tatu inayofuata naona tena
@StephanoMwagala-je3tp7 ай бұрын
Doctor mm nilikutana na mume baadae ya miezi miwirii lakin natokea na damu kidogo kidogo
@user-eg7cv5ye8u Жыл бұрын
Doctr nimemeza pn vii nimetokwa na damu kdg je mimb yang imehalibika au inamwez mmoj
@binttwaha28874 жыл бұрын
Naomba unifahamishe hii damu inayotoka ni kila siku au ni zile siku za mwanamke za kawaida za hedhi? Na damu yenyewe ni kama ya hedhi au iko tofauti?
@jeaninehatungimana14943 жыл бұрын
Kama mimi naona tu kam siku zangu za hedhi ila dam ni nyepesi san sio kam zeny za hedhi
@judiciousnaiman183 жыл бұрын
Docta me Nina mimba ya mtoto wa kwanza mwezi Ila nimeshangaa damu inatoka shida ninn?
@user-ck4pe3ze6y9 ай бұрын
Mm ni mjamzito wa wiki 5 ila naona damu kidg kidg
@doricenyange7018 Жыл бұрын
Mimi Nina ujauzito wa miezi 5 lkn leo wakati nashiriki tendo nimeikuta damu inatoka Ila sio ya mpaka kudondoka ni wakati baba anajifuta ndo ikaonekana na mpk muda huu cjaona ikiendelea kutoka je hapo shida itakuwa Nini Dr?
@majaliwasaid10865 жыл бұрын
Mimi ninahisi ninamjamzito lakini nimetokwa na damu ukeni nini tatizo?
@christinanelson55572 жыл бұрын
Ata mmi shoga
@mangimeli58468 ай бұрын
Naitwa Aisha mimba yangu ina mwezi mmoja nilijalib kukutana na mume wangu nikatoka uchafu mweusi kwamuda mchache je nifanyaje doctor
@selemankiyegezo29762 жыл бұрын
Dokta mm nna dalili zote mimba ila nablid
@Neemamtey3 жыл бұрын
Hausema tiba doctor
@Nganashiai-qj6hw6 ай бұрын
sorry doctor mimi niliona period tarehe kumi na mbili mwenzi wa 12_2023nimeona siku ya kwanza siku ya pili sijaona Nini kinasababisha doctor
@TatuSemen-lh4fo Жыл бұрын
Doctar habar mimi nimjamzito lakin ninahar yakutokwa na damu na tayar mimba mbili zilihalibika
@JuhudiJumanne-bv6hn Жыл бұрын
Doctor naomba mawasiliano please
@Munijuma10 ай бұрын
Dokt mm ni mjamzito ila mimba bdo ni changa hata mwez haijafik lkn nimeenda haja kubwa nikajikuta natokwa na dam ila nyepes na nikatokwa napande la dam kidogo nn tatizo
@vailethsteven69844 жыл бұрын
Mimi pia ninatokwa na damu mala kwa mala lakini siumwi chochote jamaani tatizo nn mimba ya mwez mmoja
@mwanadamujasiri17303 жыл бұрын
Dada vipi maendeleo
@takyatupu68393 жыл бұрын
Pole na mimi hv hv vp umefanikiwa kujifungua salama tujuze
@melkjpeter91873 жыл бұрын
Imetoka yenyewe bila kufanya mapenzi
@JuhudiJumanne-bv6hn Жыл бұрын
Samahan doctor mmim nilifua najihis Nina mimba ya mwezi mmoja ila Leo hii kiuono kimeniuma na dam zinatoka shida inaweza kua Ni nin na Nina mda mrefu nasumbuliwa na tumbo
@MwanaAbdallah-gi1ny3 ай бұрын
Mm natokwa na damu nyepesi na nyonga kuoma lakini sina mimba natumia shindano tatizo nini
@tinalmethod143 жыл бұрын
Mm ninamimba ya mwez.alafu nableed
@omarihashim46863 жыл бұрын
Mm nableed tarehe ya 31 jmn nnadalili za mimba kwann jmn sijapima Ila zinatoka kidg
@user-lx7wr4gy4gАй бұрын
Me dokta damu imetoka lakn bado ipo
@fatmangowi273 жыл бұрын
Mimi mimba ina miezi 2 natokwa na damu unanisaidiaj au naomba namba
@takyatupu68393 жыл бұрын
Pole na mumi hv hv vipi umefanikiwa kujifungua salama nijuze
@AsafuKatabazi-dh5sp3 ай бұрын
Mbona ninamiezi miwiki siingii nanikapima ikajulikana kuwa ninamimba, Ila Leo nimeona damu
@josejonh37037 ай бұрын
Doctr mm nilihis ninamimb week mbil najisikiy kutema tema mate kichefu chef sijisiky hamu yakula mpka sasa nasiku mbili natokw damu shid nini
@terryanyango9368 Жыл бұрын
Kutokwa na tonetone ya damu wala si hethi na maumivu makali sana shida ni nini
@PeterSumbisumbiАй бұрын
Samahani. Docta. Mm Nina mimba. Miezi. 7. Kasoro. Hila. Uwa naona dam. Ninatoka ni nyepesi na uwa sipati maumivu. Ninatoka siku moja na kukata. Je tatizo ni nn au napaswa. Nifanye nn
@elizatave46335 жыл бұрын
Habari za majukumu Dr samahan naomba unisaidie Nina mimba mwezi mmoja yani toka inawiki mbili natapika saaaaaana yan mda wote sina raha kabisa hakuna chakula ambacho nakula please doctor maoni yako maana nachanganyikiwa kabisa nitatapika mpaka lini jaman.
@w2cwa2nduclassic184 жыл бұрын
Eliza Tave pole Kama mkewangu naeilikuwa ivyo lkn alitumia dawa yamiti akaendelea kulakama kawaida
@yuniabeli84923 жыл бұрын
Pole dear , hilo ni kawaida coz ya homon lakin jarbu kutafuta chochote kile ambacho kwa mda huu unakipenda kuliko kutokula kabisa coz ili mtoto akue vizur ni muhimu upate mlo mzuri
@shimbawilliam3446 Жыл бұрын
Sawa ya miti ikoje
@shimbawilliam3446 Жыл бұрын
Dawa ya miti ni ipi
@TheodoraNtibiichira-zi2mm2 ай бұрын
Naomba namba
@ahmedamiry75383 жыл бұрын
Ili nitatizo gani kimakosa mama mjamzito uhumwa mgongo
@carlosansigari99764 жыл бұрын
Doctor mke wangu yupo kipindi cha pili cha ujauzito lakin analalamika sana maumivu ya mgongo na kiuno na dam inatoka kidogo kidogo kwenye via vya uzaz nini tatizo na nn tiba yake
@rechojonas5084 жыл бұрын
Aende hospital inatishia kutoka
@FatmaOthman-qq5yvАй бұрын
Mm natokwa na damu kabla ya tarehe kufika kisha inakata
@kadondondigele55332 жыл бұрын
Mimi ninamimba natokwa damu nyepesi nn tatizo
@ClaraOfaa-qu6oy11 ай бұрын
Doctar npo nje ya mada ninakikohozi, nmepewa dawa hiii zecuf herbol cough, anaitumia mjamzito
@ivorrashid30475 жыл бұрын
Docta naomba namba yako mi nina mzungumzo mengi zaid
@rosejulius19163 жыл бұрын
Doctor naweza pata namba yako???
@lailatyabdallah93094 жыл бұрын
Asnte
@melkjpeter91873 жыл бұрын
Mimi damu imetoka siku tatu .mimba itakuwepo?
@ClaraOfaa-qu6oy11 ай бұрын
Doctar nipo nje yamada ,Nina kikohozi na mafua, jee dawa hii zecuf herbal cough kwamm mjamzito nakunywa?? Aina shida
@fatmaabdallah15793 жыл бұрын
Iyo damu inakua ni nzito au nyepesi doctor?
@jeaninehatungimana14943 жыл бұрын
Nyepesi ndugu
@JacklineMabugaАй бұрын
Je mwanamke anaweza kutana na mwanaume siku hatari na asipate mimba?
@abuubakarrajabu89344 жыл бұрын
Habara dr mm nijamzito nina five weeks lkin ninatatizo kubwa lakitoka na dam mfululizo na nimemuona doct amenipatia dawa lkn tatizo bado na nikipima mimba bado ipo nifanyeje?
@nourathymsolwa62393 жыл бұрын
Dawa gn umetumia mm piah Nina hali hiyo
@takyatupu68393 жыл бұрын
Pole vp umefaniwa kujifungua salama mimi pia hv hv
@nourathymsolwa62393 жыл бұрын
@@takyatupu6839 mwenzang m piah nablid Ila nmepg ultrasound mimb bd ipo Nina cku km nablid
@takyatupu68393 жыл бұрын
@@nourathymsolwa6239 mimi mimba yangu ina week 10 na week moja wewe je
@nourathymsolwa62393 жыл бұрын
Week 8 na cku 6 nmpiga ultrasound Jana bado ipo Ila bd nablid
@yeiyeibeno4677 Жыл бұрын
Docta mimi namimba ya miez2 lkn nabled wiki sasaivi ila siumwi popote pale hospital nimeandikiwa dawa nayumia leo siku yanne
@pendogilbert2280 Жыл бұрын
Na Mimi nnatatizohilo jmn
@MaryAmaiza-th2fo8 ай бұрын
Doctor vipi kihusu,kutokwa na ute mwingi ukeni,inatokana na nn?
@mariammsangilwa47543 жыл бұрын
Dr je kupata maumivu makali chini ya kitovu mimba ina wiki 24 na siku tano
@theresialfredybugalama58506 жыл бұрын
mbona unarudia rudia maneno?
@theafidelis5720 Жыл бұрын
Doctors Mimi Nina mimba ya miez miwili lakin tokwa damu
@ElizaMgori-hg5tu9 ай бұрын
Jaman na mm ninailo tatizo la kutokwa na damu ila Nina ujaunzito wq mienzi 3 Kuna mda naona damu na Kuna mda inapote shida nini ety
@AnnyChrisostom-zh7ct Жыл бұрын
Ata mm nawiki mbili nimepima lakini naona hedhi
@fatmasaid9556 Жыл бұрын
Dokta mm ninahilotatizo nitumie dwa gan
@MathaPotiАй бұрын
Mim nilikunjwa dawa lakini mabonge ya damu yalitok nilitaka kutoa mimb
@nuruabraham37693 жыл бұрын
Mbona hujibu maswali ya watu, unakera ndugu yangu.
@blandinajoseph65872 жыл бұрын
Uyu muongo tu 😏
@user-fu5bg3ek2b6 ай бұрын
@@blandinajoseph6587😅
@jumamfinanga23973 жыл бұрын
Doctor mimi nna ujauzito na nimefanya mapenzi yametoka maji mengi je ni nn?
@sabrakhamis38763 жыл бұрын
Doctor mm naumwa na miguu na chuchu zimevimba na yananiuma
@marionmwesh3688 Жыл бұрын
Niko na mimba ya miezi 3 ila natokwa na damu mwishoni mwa kila mwezi husambabishwa na nny?
@princessmillie935711 ай бұрын
Damu yako ipoje dear mm ata sijielewi
@zulha3406 Жыл бұрын
Naweza kupata namba yako docter??
@LopheaKirunga-st5od Жыл бұрын
Me natokwa na dam wakati wa tendon la nda
@user-in8hi4sg5k3 ай бұрын
Tatizo msg hajibu sasa
@ZuhuraKifunda-wn1ms11 ай бұрын
Kutoa majie ukiwa Na mimba changaje
@neemashadii47022 жыл бұрын
Jmn mm ninamimba ya week 5 lakini juzi nliona dam kama masaa 2 zkakata hapo imehalibika au ila nmejipima kipimo kinaonesha imo
@marialuka78065 жыл бұрын
naomba namba yako
@vumiliawambula17165 жыл бұрын
alafu kutokwa na maji kwa maramingi kwenye ujahuzito ?
@sabrinamasawe43112 жыл бұрын
d Mimi ndo damu inatoka toka mwezi mmoja mpaka tisa sijawai kupumzika kiratareh moja sikumbili inakata nn shida apo hsp wanasema aingiliani namtoto
@saidimsangi4488 Жыл бұрын
Mm Sina mimba ila Sasa na tokwa na dam nikikojoa na tokwa na vitone la dam
@user-lp4mq6qe4y5 ай бұрын
Ninamimba yawiki mbili lakini natokwa nadamu lakini siumwi chochote shida nn
@elizabethlyanda85324 жыл бұрын
nashukuru sana ilamimi damu inatoka haijakolea sana itakuwa nini
@tatuabdallah7394 жыл бұрын
Yani kama mimi wewe
@esterstephano91763 жыл бұрын
Hata mm mwaya
@jeaninehatungimana14943 жыл бұрын
@@esterstephano9176 nihatari jamani mimi pia kwasasa naona dam mara nahisi imetok
@jessyjacob2433 Жыл бұрын
@@jeaninehatungimana1494na mm hoi hali nimeipata naomba kujua ulitumia dawa gani na je ili ahatika kupata mtoto?
@amisaabdulymajaliwa42456 жыл бұрын
Dr Mimi Nina ujauzito wa miezi 2 lakini natokwa na damu kidogo kama inatoka kama kitone nilienda hosptl nikapewa dawa (salbutamol) baada yakutumia dawa sasa HV naona damu inakuja na ute kama kamasi sasa sielewi ujauzito umeharibika au IPO na nitumie dawa ipi
@jescarpaul79255 жыл бұрын
ndugu je umefanikiwa mi zimetoka d'amu usiku nyingi sana asubui zikakata mchana na vinyama vikatoka je itakua imetoka ila d'amu sio nyingi
@marysedes5345 жыл бұрын
)
@mnengerukia78655 жыл бұрын
pole my
@medalinauswege71175 жыл бұрын
@@jescarpaul7925 km mimi 😥😥😥😥
@raynahdizza79714 жыл бұрын
Jescar Paul ulifanikiwa kupata mtoto naomba unijibu
@webnyyt25073 жыл бұрын
Dicta mimi nimepima mimba nikakuta niko nayo badaye nikaona damu damu zimeisha nikapima tena nikakuta imo ivi inamariza mwezi miwili nimeenda hospitar wakanipa dawa badae nimepima tena ni kaikosa ila kivyangu na sikia kama niko nayo docta nimechanganyikia sjuwi kama bado imo awo sina pliz docta ni jibu maana niko nahfu sa😰😰😰na
@mwanadamujasiri17303 жыл бұрын
Dada kasafishwe haraka
@takyatupu68393 жыл бұрын
Masikin pole wanawake tunapitia magumu sana mungu tusaidie na mimi hv hv vp umefanikiwa kujifungua nijuze
@marywanjiru2401 Жыл бұрын
Hae! Ulipata uko na ball?
@mangimeli58468 ай бұрын
Kivipi hunielewi
@akiraaudreille6043 Жыл бұрын
mim yang ina myez 2 ila tumbo lina uma pia maji meng
@akiraaudreille6043 Жыл бұрын
hunitoka
@salmaiddy60594 жыл бұрын
Hueleweki bwana
@victoriajoseph71405 жыл бұрын
Habari docta mm nimjamzito wa mwezi moja lakini nimetokwa na damu na tumbo linaniuma pamoja na mgongo unaniuma sana Sijui tatizo nn? Naomba ushauli umaji wa tumbo ni kama linavuluga vuluga sana
@gettaedada72585 жыл бұрын
Mambo vipi Victoria,? Sasa hivi unaendeleaje ? Hata mimi nina shida kama yakwako, please naomba unijibu
@lazarorobert91965 жыл бұрын
Victoria Joseph hata mm nina tatizo hila
@mnengerukia78655 жыл бұрын
Victoria Joseph pole my
@foibemasenha44395 жыл бұрын
Victoria Joseph ninatatizo hilo my naomba msaada wako nina miezi 2
@marrydenis53565 жыл бұрын
Dawa yake
@happysilla9339 Жыл бұрын
kutoka ute unaotereza ukeni
@mathaalex28004 жыл бұрын
Na je Kama vinyama vinyama vinatoka kuna kuwa na salama wakiumbe kweli????
@gastordominic4104 жыл бұрын
Wapi
@msasakigoda50863 жыл бұрын
Daaah kweli
@khadijahassan5415 Жыл бұрын
Doctor Sasa ple unaujauzito halafu unasex na Ile damu inatoka haileti mathara kw wote mwanamke na mwanamme