Sema Wazi, leo unapata majibu kuhusu tatizo la mimba kutoka au mimba kuharibika. Daktari Living Colman wa hospitali ya muhimbili Tanzania anaelezea kwa kina katika tarifa hii. #bbcswahili #tanzania #afya
Пікірлер: 23
@gracegrace6510 Жыл бұрын
Jaman dk wangu ulinizalisha mwangu G muhimbili uko vzry Sana dk unajali mgonjwa Mungu akuzidishie hekima na maalifa ktk Kaz zako da niliumwa saa nane usiku uliacha kitanda chako ukaja sitakusahau ,🙏🙏🙏
@HusnaRashid-ur5wz10 ай бұрын
Nimekuelewa. Vizur sana dactar. Namm nachangamoto izo
@EdinaDamas-jl4uq Жыл бұрын
Habar doctor Mimi sikuend mwez moj hedh zng nashngaa mwezi huuu nimeingia alafu haitoki nyingi na tumb linajaaa gesi San napat shida Sana tatizo nn
@salkhaJuliusfashion11 күн бұрын
Doctor mm nilitumia misoprost mala ya kwanz damu ilitok kidog na nilikuwa na mimb ya wiki mbili nkatumia ten miso clear ikatok kidogo na bonge la damu je mimb ilitok au bd ipo dct nisaidie apo sielewii
@tumainimingo91035 ай бұрын
Mim jamani mdogo wangu kaforce kutoa mimba kwa kutumia miso na haikutoka mara ya pili tena akanywa miso damu zikatoka mabonge ila baadae kapima mimba bado ipo akaenda kusafishwa kama mara tatu hiv but saiv bado analalamika tumbo na matiti kuwasha na akijibinya maziwa yanatoka je ni kwamba mimba bado ipo?
@zuuhnassor66885 ай бұрын
Me doctor mimbs yangu imearibika na nilikuwa sijijui kuwa namimba nilivyo pima kama leo usk huohuo mimba imetokaa ilikuwa na week mbili naweza pata mattz naogopaa ndy mimbaa yanguu ya kwanza😢
@aishachambo86632 жыл бұрын
Asante
@enearobart-tv1ch Жыл бұрын
Dokta mimi niritoa mimba kwa kutumia vidonge je ninaweza kubeba ujauzito mwingine
@user-mj9uw5sg7e5 ай бұрын
Ok ok
@user-rs5vi8wm2p4 ай бұрын
Daktar mm niko na shida yakutokushika mimba nimeenda osptali nimepima wamenambia nina infection kwenye kizaz wamenipa dawa nikimaliza niende nikasafishwe je hio njia ya kusafishwa haitoniasili kizazi maana madaktar wengine wanasema kusafisha kizazi kunaongeza maraz je nikweli
@user-ct6mk2bo9r10 ай бұрын
Mm mimba iliharibika ikiwa na miezi miwili hadi wa leo miezi miwili imeisha sjapata siku zangu na nilipima sina ujauzito
@user-fb4pt4kn6n9 ай бұрын
Unanisaidiaje
@MaryamSaid-km7rw9 ай бұрын
Dr habari nimeharibu mimba docter akanipa aspirin je Zina faida gani ?
@rosetemu Жыл бұрын
Mimba ikiharibika inauwezo wa kuaanao kwa muda gani mwilini bila kusafisha
@msafirially78646 ай бұрын
Hv mtu anawez kuzuia mimb km ixhpit ck mbl
@user-ti4zw8pp9k10 ай бұрын
Ety kwa mtu ambaye ametoa mimba kwa kutumia vidonge vya misoclear vinne kwa mimba ya wiki3 alafu akatokwa dam matone mawili tuu he Apo mimba inakua imetoka au Bado haijatoka
@user-ud6yj3xh7h9 ай бұрын
Kwakweli ichi ndicho kilicho nitokea kama ww
@happyalicko85719 ай бұрын
Nenda kapime mimba bado IPO inakuwa tu
@user-rd4tu7xj2q9 ай бұрын
Mimba ipo dear,
@user-jt7jj9lm1t4 ай бұрын
Doctor ukiwa mjamzito ukatumia vidonge vya uzazi wa mpango unaweza kuharibu mimba
@user-fb4pt4kn6n9 ай бұрын
Dokta mimi ni mjamzito lakini nina p i d
@rosetemu Жыл бұрын
Habari doctor ninamimba ya miezi mitatu ila ikiwa na miezi miwili nilipiga utrasound nikaambia mimba imeharibika ila sikukubali kusafishwa Sasa Ina miezi mitatu ila napata maumivu ya tumbo na kiuno.