MEDHEHEBU YA SASA NI MPANGO WA MAYAHUDI BY Sheikh Ilunga

  Рет қаралды 48,204

Sheikh Yusuf Diwan

Sheikh Yusuf Diwan

3 жыл бұрын

Пікірлер: 54
@ibnmazrui1977
@ibnmazrui1977 3 жыл бұрын
Ma Sha Allah..Kama Kuna ukweli basi huu ni ukweli hasa ndivyo Leo yalivyo iwapo Ina sehemu ya pili tunaomba ihudhurishwe Allah amrahamu sheikh ilunga na sote tulioko nyuma amiina
@fatumahamis9206
@fatumahamis9206 3 жыл бұрын
Alah akupanulie kaburi lako Kwa rehma zake
@muhammadfadhil9835
@muhammadfadhil9835 3 жыл бұрын
Sahihi sheikh wetu ni kweli kabisa mayahudi ni ndio chanzo cha matatizo
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 2 жыл бұрын
kwa mwenye akili tu ndiyo atamuelewa shekhe mwenyezi Mungu akupumzishe firdausi
@ramadhaniyazid3502
@ramadhaniyazid3502 3 жыл бұрын
Allah akujaalie pepo ya juu sheikh wangu
@rashidjuma640
@rashidjuma640 3 жыл бұрын
Allah amrrehemu shekh wetulp
@awadhhadi446
@awadhhadi446 3 жыл бұрын
Allah amrehemu shekhe wetu
@user-gp5ss8mh4c
@user-gp5ss8mh4c 3 жыл бұрын
Allah akupea nuru kaburini 🤲🤲🤲
@husseinkazungu5101
@husseinkazungu5101 3 жыл бұрын
Allah amrehemu
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 10 ай бұрын
Mashaalah mungu akujalie jannatul firdaus inshaalah,
@mohdmbarouk8465
@mohdmbarouk8465 2 жыл бұрын
Uko sahihi Sana Allah akurehemu
@rqiyaabdallah840
@rqiyaabdallah840 3 жыл бұрын
Mtihani kwakweli
@karamakiumbe4866
@karamakiumbe4866 3 жыл бұрын
Mungu akubariki upate pepo Amin.
@bakarchironchi8693
@bakarchironchi8693 3 жыл бұрын
Mashaallah 'ALLAH AMREHEM
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 жыл бұрын
Yaa Allah tuepushe na shari na fitna za mayahudi na manaswara, Amiin.
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 3 жыл бұрын
..m. Shari ya mayahudi kaja nayo Muhammad Bachu na bahero
@Sempreapostandonaverdade989
@Sempreapostandonaverdade989 7 ай бұрын
Hahahah....sisi wakristo na Wayahudi hatuna Muda na Ninyi... Shobo zenu tu hizo
@TeamKRX
@TeamKRX Жыл бұрын
Hatokei tena Mtu Kama huyu yarabi ampe kitabu chake chakulia 🥹
@abduljuma7807
@abduljuma7807 10 ай бұрын
Kakaangu wapo natena wengi huja kutana nao tu funguaacho aliokuwa nao mwanza hawakumwelewa na Sasa ndio wanafanya Kazi sana tu
@adnanidarous3117
@adnanidarous3117 Жыл бұрын
Allah akurehem maalum ilunga maneno yako yanaishi
@nurudinehamimu5658
@nurudinehamimu5658 3 жыл бұрын
Allah akuhifadhi alihabib shekhe irunga.
@SaidNassor-gx3pb
@SaidNassor-gx3pb 3 жыл бұрын
Huu ukwel mtup
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
Rangi za miskiti makanzu yetu sikuhizi yana rangi za chama kimoja hivi ndipo tulipo fika sasaivi
@ahmedbalouch922
@ahmedbalouch922 3 жыл бұрын
Tena kuna hizo Taasisi nyengine tayari washajitabiria kua wao ni watu wa peponi
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 3 жыл бұрын
Kina Muhammad Bachu na bahero
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
Ambia watu wasome
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
@CharafimalisalimoAli-qw3hk 7 ай бұрын
KIDUMEHICHO. SEREKALI YA TZ NA WAKRISTO SASA WANAPUMUA VIZURI KWA KUONDOKA MKUBWAHUYU, ALAFI MJINGA MMOJA ANAJIDAKUA NI SHEHE ANASEMA ETI ILIKU HAFANYICHOCHOTE KTK DAAWA . MTIHANI SANA ZAMAHIZI.
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
Bakwata
@omarysalumu8716
@omarysalumu8716 3 ай бұрын
😂😂😂😂dah aya maneno yanaishi aseee...juzi nimeenda kutazama mchumba, kabla sijafika baba mkwe anauliza vipi uyo jamaa anavaa kanzu,vp anavaa suruali fupi je anafuga ndevu😂😂😂mzee amekua na kilema kias kwamba ata mambo ya swala tano haulizi wala sunna anazodumu nazo kijana haulizi aseee hii kasumba mbaya..allah atuongoze
@SomaNaMG
@SomaNaMG 5 күн бұрын
Ameen yaa rabbil aalameen
@oscarakepha8374
@oscarakepha8374 11 ай бұрын
Blaming everyone expect yourself ,kwamba mabaya yote mnaletewa na Mayahudi ,yani Mahayudi wapate nini kwenu? Katika dini ambazo hazina muda kufuatilia dini zingine au mambo ya wengine ni wayahudi? Wayahudi hawasambazi dini yangu kwa watu wengine .Uyahudi ni Kabila,Dini na utamaduni na mfumo wa maisha wa jamii fulani,haujakusudiwa kusambazwa kwa watu wa nje yao ,sasa wahangaike na kutengeneza Madhehebu kwenye uislam iwasaidie nini? Mkianza kuutazama ukweli kama ulivyo ndio mtapona ,lakini kama matatizo yenu mnawatupia lawama wengine hilo ni tatizo
@wajawemaonlineTv
@wajawemaonlineTv Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ecCIkq6n2d25cpc.html USISAHAU JAMBO HILI KUHUSIANA NA TOBA MZUNGUMZAJI SHEIKH ABDUL RAUFU AL MUNAAWI
@user-xw9hg3zr4d
@user-xw9hg3zr4d 10 ай бұрын
Lengo lako nini??? ,mbona hao wenzenu wametulia tu mnaangaika nin ,kila mtu c anakitab chake hubir kupitia hicho na hao wengine wahubir kupitia kitab chao mambo y kuchokozana tuache ,watanzania kwa sas wanajitambua. so acheni waamue kipi kizur kipi kibay ,acheni kupandikiza chuki kwa maslai ya watu wachache
@jolinkimaro9939
@jolinkimaro9939 2 жыл бұрын
kweli uongo mtupu
@seifjuma4743
@seifjuma4743 2 жыл бұрын
Ndio nn husiojua nn maan ya kwer au oungo
@jolinkimaro9939
@jolinkimaro9939 2 жыл бұрын
@@seifjuma4743 umesahau uislam huenezwa kwa uongo au mapanga. kilichofanya nyinyi msiungane ni utabiri wa mtume wenu kuwa mtagawanyika. leo shekh ameanza kusingizia wayahudi. kwani kati ya alii na abubakari ni nani myahudi hapo?
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 3 жыл бұрын
KUMBE USHIA WAMETENGENEZA MAYAHUDI, USUNI WAMETENGENEZA MAYAHUDI, AHAMADDIYAH WAMETENEZA MAYAHUDI. NA MADHEHEBU MENGINE YOOOOTE YA KIISLAMU NI UBUNIFU WA MAYAHUDI. SASA KUMBE UISLAMU WA ALLAH HAKUNA. MNATUZINGUA TU WOTE NYIE MNAFUATA MAFUNDISHO YA MAYAHUDI
@abuujuhaima5588
@abuujuhaima5588 3 жыл бұрын
Alikuwa mjinga Hutu Allah amsamehe makosa yake
@unknownvirus4138
@unknownvirus4138 3 жыл бұрын
Benjamin tumia akili ya kuzaliwa kama huna ya kusoma...kikundi ni tofauti na Dini
@unknownvirus4138
@unknownvirus4138 3 жыл бұрын
@@abuujuhaima5588 we ni muislamu kweli? Wajua hukmu ya kumkashifu au kumpiga vita muislamu mwenzako kwa kumsupport kafiri?
@mahamoudduchi3318
@mahamoudduchi3318 Жыл бұрын
@@abuujuhaima5588 mjinga ni wewe usojijua mnaambiwa ukweli unabaki kutukana Huna point za msingi.
@mahamoudduchi3318
@mahamoudduchi3318 Жыл бұрын
@@unknownvirus4138 unaafiQ tu anataka sifa kwa makafiri basi
@idrismkwinda8087
@idrismkwinda8087 3 жыл бұрын
Huyu ndiyo Sheikh umadhehebu ni ukafiri hata uanswari usarafi
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
Haswaa
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 жыл бұрын
Wewe ni mpuuzi wakutupwa kwenye waislam
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
@@mahengomwenyewe4204 toa sababu
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 жыл бұрын
@@azizawadh5973 Sababu ilunga hazungumzii dini kwa misingi ya kitabu na sunnah kwa ufaham wa maulamaa wa umma bali yeye anaongelea kwa mujibu wa falsafa zake, unapozungumzia mambo ya waislam kunyonywa na kutawaliwa si jambo geni kwenye uislaam bali ni jambo limezungumzwa na Allah pia na mtume صلى الله عليه وسلم na Sababu zake zimetajwa , kwa mfano Allah anasema kwenye sura 6: 129 ni Ivyo ivyo tuwatawalisha madhwalim kwa madhwalim wenziwao kwasababu ya yale wanoyafanya. Lkn pia kuna aya nyingi mno ndugu zinazo tuonesha waislam tukikengeuka Allah atatusalitia makafiri watutawale na watuongoze kwa mifumo yao. Na hadithi za mtume ni nyingi mno zinahimiza watu tusikhalifu Amri ya mtume tutadhurika kwa kusalitiwa makafiri juu yetu watuendeshe , alitakiwa ilunga kwanza yeye mwenyewe awe kwenye usawa asimkhalifu mtume kwa kunyoa ndevu wala kuvaa isbali kisha awaitie watu kwenye twaa ya kumtii mtume ndio kwenye suluhisho letu mimi kwa mujibu wa kitabu na Sunnah naamini kua hakuna kafiri yeyote alie na uwezo wa kumshinda Allah pindi akiamu kutoa anusra yake kwa waja wake sio uyo nyerere anaemtaja wala mwengine. Ispokua nusra ya Allah inakwenda kwa watu wa haqi kiitikadi na amali na kauli. Sasa kama waislam ulimwenguni wamekiacha kitabu na Sunnah alaf wanataka nusra kwa njia za Demokrasia uwo Ni upuuzi .ilunga yeye iyo sunna anaipinga kwa sababu haijui vipi atawaitia watu kwenye Sunnah hali yakua haijui ?? Je inawezekana mtu kuutetea uislam hali yakua yuko kinyume na sunna za bwana mtume?? Imam ibn hazmi anasema : hakuwahi Allah kuikoa dini kupitia watu wa bidaa. Dini inanusuriwa kwa njia zake sio hamasa na mizuka au jazba laa kwanza watu kuwa Tayari kiutiifu kwa Allah na mtume wake wakisikia mtume kakataza nguo ya mwanamme kuvuka kongo mbili anaacha kwa unyenyekevu akisikia mtume kakataza kunyoa ndevu anaacha kwa kutii wanawake hawaoneshi miili yao kwa ajnabiya wanatii. Ribaa haram wanaacha pombe haram wanaacha zinaa haram wanaacha na mfano wake, uku wakimuomba Allah bila ya kushirikisha viumbe wake kama vile uwesu Abdul qadir na wengine katika watu wema wanaoombwa izo zote ni shirki watu wajiepushe nazo, pia ibada waifanye kwa kufuata sunna za mtume wasizue chochote wasiongeze wala wasipunguze kwenye utaratibu alokuja nao mtume صلى الله عليه وسلم hawa ndio watu wanotarajiwa kupata nusra Dhidi ya makafiri . Sio wahuni wanyoa viduku wenye mahirizi eti kisa wanajazba tu kawaaimbia ilunga . Sasa cha ajabu uyu ilunga hata njia ya kupata nusra waislam haijui bali anapinga watu wa Sunnah na wanachokiitia. Mimi naamini Huwezi kumshinda kafiri kama wewe mwenye hujawa sawa kiitikadi kimanhaji lazima ushikamane na sunnah kisawa sawa ndio maana dunia mzima hadi leo waislam wanaferi hatujajua tunakwama wapi sisi hatujawiva kiimani kimanhaji kama tunaanza tu hivi sasa tunatakiwa tufundishane itikadi sahihi juu ya Allah tuache shirki tuache bidaa zote turudi kwenye uislaam wa asili aliotuachia mtume tupata nusra bidhni llah. Anasema Allah kwenye Surat rruum 30 :47 imekua ni haki yetu sisi kuwanusuru waumini. Kwahiyo watu wakiwa waumini wa kweli wenye kushika kitabu na sunnah kisawa sawa Allah atawapa ushindi kwa makafiri kwani nyerere nani kwa Allah ?? Allah anasema tena kwenye surat nnuur 24: 55 Amewaahidi Allah wale ambao waloamini na kutenda amali nzuri katika nyinnyi atawapa ukhalifa uongozi katika Ardhi kama alivyowapa uongozi wale ambao waliokua kabla yenu na atawafanyia makini dini yenu aloiridhia kwenu na atawabadilishia baada ya khofu yao kua amani waniabudu mimi wala wasinishirikishe na chochote na atae kufuru baada ya hapo hao ndio mafasiqi yaani wenye kuasi. Hizi ni Baadhi tu lkn maandiko yako mengi yanawata kwanza Wenyewe waislam warudi kwenye usawa ili Allah awatengenezee mambo yao . Sasa elim ndio inahitajika kujua usawa ni upi lazima usome elim ya kisheria sio falsafa sasa apo ndio uko Zanzibar kulikua na marehem bachu anafundisha elim iliyo Kwenye misingi ya sawa kitabu na sunnah kwa ufaham wa wema walotangulia . Kama si ivyo utavamia Demokrasia kama akina mashekhe ....... wakadhani siasa ya mtume ilikua ya Demokrasia kumbe laa mtume kweli alikua na siasa lkn sii hii ya kikafiri ya Demokrasia bali alikua anafuata muongozo wa mola wake siasa inayofuata muongozo wa Allah haitwi Demokrasia.
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
@@mahengomwenyewe4204 maashallah nimeelimika Allah akuzidishie hekma aamiin
@jolinkimaro9939
@jolinkimaro9939 2 жыл бұрын
mambo yamekushindeni mnaanza kulaumu wayahudi. acha kuchekesha. hata muhammad hana ahakika na ahera wewe unauhakika kuliko mtume shekh.
@jamalkishangu
@jamalkishangu Жыл бұрын
Hujui unasema nini.
@salehrwigemagisa81
@salehrwigemagisa81 10 ай бұрын
Yesu alitungikwa msalabani kwa ajili ya dhambi,wale jamaa wezi wawili pembeni yake kwenye msalaba aliwaokoa?
@Stanbul.Y
@Stanbul.Y 3 жыл бұрын
Allah amrehemu
HUYU NDIO ADUI KHATARI WA UISLAM BY Sheikh Ilunga Kapungu
18:25
Sheikh Yusuf Diwan
Рет қаралды 35 М.
SHEIKH HAZAI SHEIKH| UST. ILUNGA
17:20
Hudatz Tv
Рет қаралды 10 М.
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,1 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 7 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 28 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 15 МЛН
WAJUE MAADUI WA UISLAMU: NASAHA ZA UST. #ILUNGA
18:25
Hudatz Tv
Рет қаралды 84 М.
Wosia wa SHEKH ILUNGA kwa Watu wa THAQIB -FULL Prt 1
46:53
UB NEWS
Рет қаралды 43 М.
Ustadh Ilunga Kapungu aeleza kuwa Tanzania ni nchi ya Kikristo
6:25
UK Swahili Channel
Рет қаралды 26 М.
NDOA NI ZAIDI YA TENDO LA NDOA. UST. ILUNGA H. KAPUNGU
23:53
Hudatz Tv
Рет қаралды 4,2 М.
Ustadh Ilunga - Wazanzibari wamjitambua Part One 2/5
34:21
Abd Binm
Рет қаралды 191 М.
SHEKH ILUNGA HASSANI MTUME MUHAMMED S.A.W.ALIKUA ZEEBU GANISEHEMU YA TATU
1:00:34
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,1 МЛН