Stay blessed Dr Yohana OMARI, Unatufunza vizuri iyo Qu'ran mbovu na upotevu wake kwa Watu wenye akili finyo. Mungu ailinde Nafsi yangu, maana sijawai kua na hata 1% ya kuja kuamini ISLAMIC kama DINI ya Mungu wa mbinguni❎🚫 GodSavemySoul. alellujah to SHILOH of the Bible📖
@user-pg2pe6ye4i2 ай бұрын
Fundisha siri zao pastor tu fahamu kwanini Hawa watu wana siri sana wakati kwa mungu aitakiwi kuwa hivo.
@hamisishabani433326 күн бұрын
Mungu atakuaazibu kwauongo wako
@samwelmanasse5724 Жыл бұрын
Mwalimu Yohana Omari, ubarikiwe milele. Mafundisho yako ya vitabu yamenihimiza kujua ukweli mno.
@AminRendys-mb5xo11 ай бұрын
KUNA MANENO ANAYARUKA YOHANA ACHA KUWADANGANYA WAKRISTO WENZIO SOMA AYA INAVYOTAKIWA
@samwelmanasse572411 ай бұрын
Mungu ni wa ukweli, udanganyifu wote ni wa shetani. Hakuna haja ya kufundisha uongo kwani Mungu hapendezwi na udanganyifu. Kupitia Roho wake mtakatifu, ujumbe unaenendelea pande zote za dunia. Hapa ng'ambo, hatufichwi yanayoendelea duniani. Nani angeamini kuwa waarabu, wahindi, wakorea, wachina, wayahudi nakadhalika wakati huu wanamiminika kanisani kuwa wakristo? Wale ma Imam na waalimu wa kikristo ambao wamekuja kwa amani na kuleta uma ili kila mtu ajichagulie mwenyewe, wanatumiwa na mwenyezi Mungu, wote wabarikiwe sana. Mungu ametupa fursa ya kujua ukweli lakini uchaguzi ni wako. Hakuna anaye lazimishwa. Je, umekata kauli? mda unayoyoma.
@koperawasona9551 Жыл бұрын
Swali langu ni hili kwanini mtu akitoka uwislam anatakiwa auwawe kwahali na mali Mungu gani uyo anaye uwa kwakukataa kumiabudu
@abuumaryam1922 Жыл бұрын
Msipo tub juu ya haya mtajuta kwa yatayo wapata huko namshkur muumba wang kwa kunijaalia kuwa Muislam hawa jamaa wana khatar hawajihurumii wanawapotosha sanaa Watu ajiuuta msomi unawadanganya wasojua
@crescentvscross1132 Жыл бұрын
Uislamu una mvuto akhera na duniani yohana angewaongoza wakatoliki.
@jeanpaulkwizera32167 ай бұрын
bwana Yohani temberey Bujumbura uwambiye. awo wahihisrima kadanganya watu uko
@ibrahimgwasma12236 ай бұрын
Mchungaji nimekuelewa sana
@koperawasona9551 Жыл бұрын
Naomba namba ya sim ya yohana
@frankmpembu25052 жыл бұрын
Barikiwa sana mwalimu
@jobondieki33458 ай бұрын
Mtu anitafutie number ya Yohana huyu mtumishi
@crescentvscross1132 Жыл бұрын
Uislamu unawakondesha makafiri poleni makafiri. Achaneni uongo wewe ulipenda pesa Hakuna dini iitwayo sabato jitwishe godoro lako uende hakuna siku ya kukaza bwerere kutwa sabato ni siku takatifu kwa wayahudi
@benjathekingofficialshows Жыл бұрын
Huyu ndo atawanyoosha kweli kweli , tumeshawazoea nyie hakuna anaeokokaga akapendwa na Mungu akapata neema ya kuokoka kisha mkae kimya, mnaanzaga oooh huyu hajaokoka bure ni njaa 😅😅😅 mtanyooka chezea Yesu wew nyie makini hapo na wanawake mnaopewa tu
@crescentvscross1132 Жыл бұрын
Mkristo ni wakudanganywa tu na Mungu hata msamehe mtu asiwe tumia akiliyake alio barikiwa
@pungopungo411 Жыл бұрын
Eti wakrito wanadangywa kwani nyinyi hamdaganywi?
@deogratusjohn69 Жыл бұрын
Huyu jamaa nimuongo sana
@mathiasmbelenge2775 Жыл бұрын
muongo kivip sasa? si ufafanue?
@lenardkenedy5429 ай бұрын
Sasa Nyinyi kama Anasema Uongo tuekee Ukweli wako sema apa sio ivyo ni ivi ila kama unasema TU bila usibitisho Bc ww ndio utakua muongo na Unatakiwa ubishe kwa oja
@abdallaseif9321 Жыл бұрын
Wakristo someni lugha ya kiarabu Yohana anadanganya mbele ya Makutano kwa sababu hamjui lugha ya kiarabu yaani anafanya Usanii apate Sadaka zenu
@nestarnestar4520 Жыл бұрын
We vp aixee tusome kiarabu ili iweje mi ni mkristo lkn siwez kusoma kiarabu hata majini wanatumia iyo lugha
@ronaldhelmott837911 ай бұрын
Ww unamzidi nn maana hata aya tu kwenye a Quaran hujui rudini kundini
@jeanpaulkwizera32167 ай бұрын
Yohani ka wambiye ukweri. ata weye hauwezi.
@ngugimundia63066 ай бұрын
Mimi ni mkristo na kiarabu kichache ninacho kifahamu naona ako sawa...kutoka kenya 🇰🇪
@shabanihugo8332 Жыл бұрын
Wallah hakuna kiarabu cha hivyo dunia nzima
@ronaldhelmott837911 ай бұрын
Kwani ww unaangalia kiarabu chake au maandiko yake yanatoka kwenye nn ?? Rudini kundini
@user-pg2pe6ye4i2 ай бұрын
Kiarabu unachokijuwa wewe kiko je ndugu?
@user-pg2pe6ye4i2 ай бұрын
Kiarabu unachokijuwa wewe kiko je ndugu?😂
@user-pg2pe6ye4i2 ай бұрын
Kiarabu unachokijuwa wewe kiko je ndugu?
@faridsaid9180 Жыл бұрын
Sheria za mwizi na mzinifu zote ziko kwa Quran. WACHA KUWAEKA BOX WAKRISTO
Kweli wwe Yohana UNAWADANGANYA WAKIRISITU KANISANI.ENDELEA NA UWONGO WAKO.
@ronaldhelmott837911 ай бұрын
Ukweli inauma ee ?? RUDINI KUNDINI yesu anawasubiri mpate kuokoka
@hamischuga6320 Жыл бұрын
Huyu jamaa hata Quran anavyo isoma ni hovyo hovyo Daaah njaaa mbaya sanaa
@ronaldhelmott837911 ай бұрын
Dah binadamu bhana umeambiwa ukweli ww unakimbilia kwenye chakula duuh
@seifissaseifissa7188 Жыл бұрын
Quran yenyewe huijui kuisoma utaweza kujua kilichoandikwa
@tinnahtuji Жыл бұрын
Toa hoja sio malalamiko
@badruseif1318 Жыл бұрын
Sasa ulikua ubaswaliaha vipi msikitini wakati kusoma Qurani hujui kabisa muongo mkubwa wewe
@abuumaryam1922 Жыл бұрын
Njoeni mcheke huku jamaa hili ni rongo sijaona aaah kwel jahannam ipo kwajil yenu hayo mafubdisho hakuna katka uislam wacha kupotosha Watu ww Sheytwan au njoo ndo inakutuma uwe hivi nakuhurumia tubia kwa Muumba wako wacha uongo wacha ukafir ww uislam haupo hivyooo
@suzanaagustino6447 Жыл бұрын
Pollee
@abuumaryam1922 Жыл бұрын
Huujui Uislamu Muongo Wewe unacho kiongea mbali kabisa Qur,an yenyewe hujui hiyo Arabick hujui wadanganya Watu Dini yenu yajengeja Kwa Musingi ya Uongo