Fatma Karume: Mimi Nimeachwa I Nilijiona Sina Amani I Watoto Wanampenda Baba Yao I Nilipatwa Simanzi

  Рет қаралды 167,294

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

6 ай бұрын

#CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya Mwanaharakti Fatma Karume katika kipindi cha #Shajara ya #CloudsTv na mtangazaji Babbie Kabae.

Пікірлер: 370
@raymondswai5555
@raymondswai5555 5 ай бұрын
Shangazi nakupenda sana na kwa moyo wa dhati Si kimahusiano, maana hili li nchi 90% hatumiii ubongo ( kichwani) kutafakari, tumenyoshwa maji ya chooni,,m c.c 😊😊 uokoo very bright shangazi
@marianajohn5415
@marianajohn5415 4 ай бұрын
Shangazi ❤❤❤❤❤❤ ni mmoja tu! Naye ni madam Fatma🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@mussamwamoto8231
@mussamwamoto8231 5 ай бұрын
nimeipenda hii interview.sijawahi kumsikiliza ktk maisha nje ya kazi.nimemuelewa fatma huwa anaishi yeye kaka yeye sio kwa ajili ya .
@amourmtungo623
@amourmtungo623 6 ай бұрын
Asante kwa kushea. Mimi mchango wangu kwa Watanzania wengi wenye kujenga chuki kwa watu = haters. Mchukie mtu kwa vitendo vibaya alivyofanya na sio maneno aliyosema. Wazungu husema “actions speak louder than words”. Vitendo vina nguvu zaidi ya maneno kwahio tusichukiane bure ni mambo ya kijinga
@winniefridamutakyawa5943
@winniefridamutakyawa5943 5 ай бұрын
Shangazi hongera sana unafaa kuwa kiongozi wa ngaxi za juu nchini.Nakupenda sana kwa ujasili ulionao ni kipaji .Mungu akubariki sana uko vizuri saaaaana.Ungekuwa waziri mkuu hata urais unauweza hata ujaji mkuuu unauweza.Barikiwa sana.
@ndementriavermand8010
@ndementriavermand8010 4 ай бұрын
Nampenda sana huyu dada jasiri mkweli mtu wa haki
@ChristinaOnditi-el3xo
@ChristinaOnditi-el3xo 6 ай бұрын
Pole sana wifi yangu Fatma ,tunepotezana lkn nitakutafuta inshaallah,kuhusu ndoa rizki inshaisha tumuachie Allah japo kipindi kile Cha harakati zako kiilikua kigumu sana kwako na nilikua nahofia sana Hilo cos mwanamke ukiwa unapambana Kwa ujasiri mkubwa kiasi kile,wanaume zetu hua hawaelewi,Kuna maisha mengine baada.ya mapambano na simanzi. Enjoy the moment my love
@wilsonelias9012
@wilsonelias9012 5 ай бұрын
Acha kutetea ujinga hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni anajua kila kitu, jitu lina miaka 60 linaongea kama binti wa miaka 20
@agreymbwilo5874
@agreymbwilo5874 6 ай бұрын
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu lugha zote kazoe kuziongea kwenye maisha ya kawaida. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
@caritasmushi461
@caritasmushi461 6 ай бұрын
Fatma umejibu vizuri sana na you are a down to earth person but with principles. Keep it up my dear
@NyotaTanoTV-gt3od
@NyotaTanoTV-gt3od 6 ай бұрын
Shajara mtangazaji wangu pendwa kila siku unani surprise I like the way you control the show. Maswali unavyo Uliza alafu unagawa nafasi ya majibu. Fatma mbona hajui Kiswahili vizuri Tena ni mzenji OG? That’s terrible 😮 but all in all this is good interview much love ❤️
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 ай бұрын
Ameishi sn njee dats the problem
@officialkmoneyvevo3175
@officialkmoneyvevo3175 6 ай бұрын
Mshangazi Una Mguu Bi fatmaa😅❤
@billgussy6099
@billgussy6099 6 ай бұрын
Intelligent and gorgeous woman
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 6 ай бұрын
Binadamu hawana jema, inasikitisha baadhi yenu kutoa maneno ya kuudhi wakati una uhuru wa kumsikiliza au ukaacha!
@fatmahamdoun74
@fatmahamdoun74 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤love hivi ndivyo tulivyo Akina FATMA
@cheka480
@cheka480 5 ай бұрын
The one thing she is real not fake
@yussufhaji3335
@yussufhaji3335 6 ай бұрын
Usomi kweli unaharibu na kubadilisha maadili ya dini yetu ,inna lillahi wainna ilahi rajiuuwun.
@user-vn6vx1qk5i
@user-vn6vx1qk5i 6 ай бұрын
Ni huzuni sana kuona mtoto kama huyu unavomuona sasaiv alivyovaa na kuweka makucha, manywele uchavu tu, kuwa katoka ktk familia tunaambiwa ya kiislam, kwa kweli msiba
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 6 ай бұрын
Anakaa uchi tu
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 6 ай бұрын
Wasomi ni kama mbwa tu
@moodyzanzibar4336
@moodyzanzibar4336 5 ай бұрын
labda HII KUKAA UCHI NDIO MOJA YA MATUNDA YA MAPIDUZI
@yusuphabel5530
@yusuphabel5530 5 ай бұрын
Nampenda sana Shangazi Fatma,ana akili sana na ni mwanamke wa shoka.Mungu ampe maisha marefu.
@user-px1fg3jz4p
@user-px1fg3jz4p 6 ай бұрын
Pole usihuzunikee mwamwini Allah yeye ndie mpangaji
@TaarabChannel
@TaarabChannel 6 ай бұрын
Mpitie na kwangu wapenzi ❤
@mosesgasana4102
@mosesgasana4102 5 ай бұрын
Walah nampenda sana Fatma. Mungu ampe uzima mwingi na mengi ya heri
@cynthiafolonja3050
@cynthiafolonja3050 6 ай бұрын
Ndoa sio kifungo jamani.... yanini kufia kwenye hamna 😂... Wala huyo sio wa kwanza kuachika .....shangazi anazeeka na urembo wake!!
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 6 ай бұрын
Huyu dada si.ndo.aliifedhehesha.Tanzania kumbe nae.Mungu alimfadhaisha huyu.dada alitetea sana ushoga
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 6 ай бұрын
Mashaallah ❤Unamwili nzuri sana mungu akuweke amiin 🤲❤️
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 ай бұрын
Ila anakaa uchi Mbele ya Mataifa
@user-vq2hl4jp1j
@user-vq2hl4jp1j 6 ай бұрын
Aunt tuma❤
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 6 ай бұрын
Shangazi hapo kwa Nadia Suala la Muungano, lizingatiwe Wapemba🎉🎉🎉🎉 Mnauma meno Sana..wepesi kidogooo ❤❤❤❤❤ Mama Mkwe. Kama mama Mkwee
@sultansallah8772
@sultansallah8772 6 ай бұрын
Kwani umeambiwa mpemba
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 6 ай бұрын
​@@sultansallah8772wabongo wanaelewa zanzibar n nchi yenye kabila la wapemba. Wapemba ni kabila kutoka zanzibar hivo ndio wanavoelewa yani neno unguja kwa bara hawalielewi
@jumayussuf6786
@jumayussuf6786 6 ай бұрын
Unamkumbuka teacher khadija mgangazija anakaa kiswandui
@divaimafuru6844
@divaimafuru6844 6 ай бұрын
Shangazi unamguu wa bia😂 cute
@knight6757
@knight6757 6 ай бұрын
Very proud of her...May God Aways Bless Her..Ameen!
@seynabhaji8035
@seynabhaji8035 6 ай бұрын
My advice to Fatma, kubali siku moja kuongea lugha unayoifahamu ili maneno ya changamke nina hakika unamazuri ya kueleza. Halafu jitahidi kujifundisha kiswahili tukutane tena hapo baadaye🎉
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 ай бұрын
Shangazi Kiswahili anakijua vizuri ila ndio kujifanyisha sijui, usome shule ya Msingi Unguja ukose kujua Kiswahili?
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 ай бұрын
Mmmh wewe mbona unachanganya Lughq
@suleymanmakiwa1651
@suleymanmakiwa1651 6 ай бұрын
​Mtu anayejifanyisha hujulikana tu@@darajalakidatukilomgi2362
@ummuraw6372
@ummuraw6372 6 ай бұрын
Na akiongea mpka mizizi ya shingo imtoke anatumia nguvu sana hlfu sidhni kma hajui kiswahili ila ana pritend tu hao watoto tulowazaa ulaya wanaongea kiswahili kizuri tu
@mimiraia2531
@mimiraia2531 6 ай бұрын
Hajui “SAFE” kwa Kiswahili, this is biggest pretending….LAZIMA BWANA AKIMBIE
@Mohamed-uz8id
@Mohamed-uz8id 6 ай бұрын
nàmpenda sana Fatma Karume anaakili mnoooooo😘
@MosiHassan-dx6gc
@MosiHassan-dx6gc 6 ай бұрын
Acheni chuki na hasada aliyepewa kapewa mola ndie amemueka hapo achenichoyo
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 5 ай бұрын
I love fatma
@robinbayser3079
@robinbayser3079 4 ай бұрын
Shangazi wa Taifa soo beautiful
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
Fatma kweli inasikitusha kuwa kiswahili hujui na ni aibu sana .Kiswangereza wengi hawakuelewi .kwa sababu hawajui kiingereza.😢😢
@mimiraia2531
@mimiraia2531 6 ай бұрын
Lretending
@amanmyolo5359
@amanmyolo5359 4 ай бұрын
God is good
@Iragibarune1.
@Iragibarune1. 5 ай бұрын
From USA Jamani mimi sio mtazania ila uwa napenda sana shangazii fatma karume alafu ana akili sana
@hafidhkhalfan1660
@hafidhkhalfan1660 6 ай бұрын
Nampenda sana nataman kumuoa jaman
@bensonmwakalindile8545
@bensonmwakalindile8545 Ай бұрын
My good presenter
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 6 ай бұрын
Ila fatma is so beautiful
@spreadlove5300
@spreadlove5300 4 ай бұрын
Ila watu why are you so bothered na maisha ya wengine mpaka mnatoa kashfa 😮😮😮 watu hawalingani wala kufanana jamani, na wala hakuna mkamilifu 😮😮
@naomimaro2156
@naomimaro2156 6 ай бұрын
Huyu mama Fatma ,anaonyesha anauchungu moyoni
@fahadalbusaidy7182
@fahadalbusaidy7182 6 ай бұрын
Kweli anaonesha
@johntemba4281
@johntemba4281 6 ай бұрын
Shangazi nakupenda natamani uwe mke wangu sijali umri sijali elimu bali nakuhitaji niwe nawe ktk utetezi wawatu, mi naishi moshi karibu. Mimi ckuachi na tutaendesha kazi zetu kama kawaida.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 ай бұрын
Hahahahah wabongo mnataka maokoto 2 ushamjua anatokea katika Royal family unataka utelezi hahahahha hongera kaka
@abusalman5139
@abusalman5139 4 ай бұрын
Hakuna mwanaume ataweza mvumilia mwehu kama Fatma Karume
@mbarakawesu6213
@mbarakawesu6213 6 ай бұрын
Jamani eeh..! Mimi sina mke. Namtaka huyo dada ...!
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 6 ай бұрын
Alokupa Jina saluti kwakwe
@ChristerShao
@ChristerShao 6 ай бұрын
Hacheni matusi,kama nia yenu ni kumtukana mtafuteni kwa wakati wenu,unayrtaka Fatma akufindishe sheria,nenda shule ukasome.
@ganomwakisambwe2715
@ganomwakisambwe2715 4 ай бұрын
I love you Fatuma,my sis....you are heroine!
@songombingo108
@songombingo108 6 ай бұрын
Da Fatma nakupenda. Nitafute tuwe marafiki.
@choggysly3541
@choggysly3541 6 ай бұрын
Acha songombingo
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 6 ай бұрын
This shangazi is so intelligent, she should be a judge in the Supreme Court. Walioko huko hawamfikii huyu mama!
@user-cr7vi4qp9c
@user-cr7vi4qp9c 6 ай бұрын
Kwenye haya mahojiani kuna kipi kipya kuwa yuko juu?
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 6 ай бұрын
Kipimo chako cha uwezo ni kipi n wangapi unaowajua walioko huko court ambao uwezo wao ni mdogo? She is talking much of her personal life ila inakutosha kumpa ujaji? Things never taken that way aisee. Nyie ndio mnasema lissu ni mwanasheria Bora kuliko wote ikiwa mmemuona kwenye majukwaa ya siasa na sio kwenye podium of practices stop those mediocrity thoughts.
@immamfugale7835
@immamfugale7835 6 ай бұрын
Kwa kipi?
@salomemlagila5757
@salomemlagila5757 6 ай бұрын
​@@fahadfaraj6474 kweli kabisa
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. 6 ай бұрын
​@@fahadfaraj6474Ni kweli ila kwa Lissu rekodi zake ziko wazi nay be una personal conflicts na yeye. Just saying...
@MohamedAbdallahSaid
@MohamedAbdallahSaid 4 ай бұрын
Mswahili Mzungu
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv 6 ай бұрын
Enjoyment Fatma au Fateeema ❤❤❤
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 4 ай бұрын
Mwanaume ndiyo anaowa na mwanaume ndiyo anaacha true shangaz nakuelewaga sana hauna baya
@amanmyolo5359
@amanmyolo5359 4 ай бұрын
❤❤❤Asalam alaiqm Warahmatulah wabarakatu allah kariim
@liannsambu7264
@liannsambu7264 6 ай бұрын
Mmmm jamani nafikiri ni mtazamo tu ,mie nimekuwa kwetu wafanyakazi 2 lakini nikiwa na Miata 4-5 nlikuwa nafanya KAZI kulingana na umri wangu na hata kukorogo uji ,kufua sox , kufua NGUo za ndani , kufagia nlifanya haswaaaa so siyo kuwa WANAFANYA Kwa sababu ya shida za WAZAZI ila ni WAZAZI wanamtazamo gani Kwa watoto WAO na wanataka kutengeneza mtoto wa aina gani
@annethomas7520
@annethomas7520 6 ай бұрын
Mtoto wa miaka 5 akoroge uji jikoni???!
@liannsambu7264
@liannsambu7264 6 ай бұрын
@@annethomas7520 NDUGU ukishangaa ya Musa ......... ? UNADHANGAA MIAKA 5 ? Hongera mpendwa , isogelee JAMII UTAONA mengi
@bakarimdeve8386
@bakarimdeve8386 6 ай бұрын
Napendezwa na kz yake ila ninachukizwa na tabia ya kuzungumza Kiswenglish japo Familia yao ni waswahili safi tena wa Zanzibar wakwel aache hio staili
@SafiaOmar
@SafiaOmar 6 ай бұрын
Hao familia yao wanaishi kama wazungu. Kama unavyo muona ndio maisha yao. Nilisoma na mtoto wa ndugu yake secondary
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 6 ай бұрын
​@SafiaOmar Bora umwambie ww, hao kwao niwazanzibari lkn wamelelewa kizungu, na Ivo alivo ndoivo Ivo kwao kizungu zungu TU mpak mavazi mpaka mama Yao yupo Ivo Ivo mavazi yake.
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 ай бұрын
@@nahlahassan-fd6le kulelewa kizungu ndio unatupa na lugha yako? Mbona wazungu wenyewe wanajifunza na kuongea Kiswahili? Nani amewadanganya na kiswaglish
@MussaSuleiman-ui9fy
@MussaSuleiman-ui9fy 6 ай бұрын
Wewe Fatima jitathini hii elimu hii ya Sheria itakupeleka motoni Rudi kwa muumba
@amosmahona433
@amosmahona433 6 ай бұрын
Aise
@missg1430
@missg1430 6 ай бұрын
I just love her
@mimiraia2531
@mimiraia2531 6 ай бұрын
Approach her
@bongomastory791
@bongomastory791 6 ай бұрын
wanawake wengi wanasheria wanajifanyaga wana harakati so wanaletaga uharakati kwenye ndoa hivyo sio rahisi kudumu kwenye ndoa
@allahisone6386
@allahisone6386 6 ай бұрын
💯%🤝
@aliganzel6512
@aliganzel6512 6 ай бұрын
Hili limenikuta mimi
@naturelle1097
@naturelle1097 6 ай бұрын
Aging gracefully girlfriend❤
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 6 ай бұрын
Kumbe sawa sawa na mimi 1969
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 6 ай бұрын
Topo wote
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 6 ай бұрын
Naomba kufahamu lugha Rasmi ya haya mahojiano! Kuna sehemu hatuelewi
@azizayassin3623
@azizayassin3623 5 ай бұрын
Anajifafanya hjui kiswahili😂😂😂😂
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
Siyo shangazi yangu.Ana kasumba ya wazungu sa n a A n achanganya kuswahili na kiingereza sa n a h ata 5:18 5:20 simuelewi japo nimesoma sana kama yeye au labda zaidi.Acha kuongea kiingereza wakati unaongea n a waswahili😅😅
@amneamne2492
@amneamne2492 6 ай бұрын
Shangazi tuambie huyo bi zahara unomwita nana. Yuko wapi. Pls
@kulthummaabad
@kulthummaabad 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@fatmahamdoun74
@fatmahamdoun74 4 ай бұрын
Love you wajina
@agreymbwilo5874
@agreymbwilo5874 6 ай бұрын
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu ya mazoea. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna lugha ya mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
Ndugu yangu hiyo ni tabia tu.Ya kujitakia.kuna watz wanao ongea lugha nyingi za kimataifa bila kuchanganya..Pamoja na mimi mwenyewe🎉🎉
@aliathmani7165
@aliathmani7165 6 ай бұрын
Huyu shida anayo ni kujisahau, kiswahili chake ni cha kujifunza ama ni kingereza chaki.
@user-rv3pw3cz5z
@user-rv3pw3cz5z 2 ай бұрын
❤naomba nambazake
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 6 ай бұрын
Yaani ukisikiliza kiingereza cha huyu mama,unasikia rafudhi za waingereza.
@amerwelder7786
@amerwelder7786 6 ай бұрын
Uyo kakaa sana iingereza
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 6 ай бұрын
@@amerwelder7786 ndiyo maana,yaani hadi raha kumsikiliza
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
😢
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
It was kawaida😂😂😢😢😢😢 Mwingereza hachanganyi lugha yake hata siku moja.Kasumba ni mbaya jamani.😢😢
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 6 ай бұрын
Sijasikia vizuri. Fatma umezaliwa mwaka gani?
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 6 ай бұрын
Nakupenda shangazi nikueke nyumbani tuzae na unifundishe sheria
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@zariadunia6328
@zariadunia6328 6 ай бұрын
Sauti yake kama bibi yake wajina wake
@issakawaya8315
@issakawaya8315 6 ай бұрын
Ana uzungu mwingi
@mgenimgambo2312
@mgenimgambo2312 5 ай бұрын
umependeza sana n km ulivyosema kuwa kujitizama na kufurahi ulichokuwa nacho hakuna kitu km furaha ya nafsi umebadilika sana
@abuumadesign8095
@abuumadesign8095 5 ай бұрын
Kwa u much know huu lazima ndoa ikushinde, stop comparing everything to ulaya
@user-th9to6yt9y
@user-th9to6yt9y 6 ай бұрын
Dah kiswahili
@seifserenge3340
@seifserenge3340 6 ай бұрын
Pole sana bi Fatma, wewe ni mzungu mzanzibari
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
😂😂😢
@SHALLOOTV
@SHALLOOTV 5 ай бұрын
Hii Ai mnaoitumia inapoteza quality ya video
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 ай бұрын
Shangazi yetu kwenye kujieleza sifuri,
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 6 ай бұрын
Na icho kiswahili chake zero😂😂😂😂anaongea kiswanglish lkn ovyoo
@George_Ruttagah
@George_Ruttagah 4 ай бұрын
Watu waliokulia nje au waliosoma shule za international huwa wanakawaida ya kuchanganya lugha. Fatma ni very bright na brave at the same time. Jaribu kuangalia mazingila aliyokulia alafu utamuelewa vizuri kabisa. Mimi personally nimekulia U.S. toka na miaka 13. Ulimi wangu unakua mzito napoongea Kiswahili kwa sababu si lugha ninayotumia sana. Kwa hiyo najikuta tu nachanganya Kiswahili na Kingereza.
@wilsonelias9012
@wilsonelias9012 5 ай бұрын
Ndio maana aliachwa hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni, anajua kila kitu amesema ameachwa
@robertadolf562
@robertadolf562 6 ай бұрын
Ila bado mtamu mbona
@hamidafundi-pw1gw
@hamidafundi-pw1gw 6 ай бұрын
Mh !😮
@SalminMkwachu
@SalminMkwachu 6 ай бұрын
mifano mingi ni ulaya/wazungu, hivi kwanini tunadhani kufuata mode za wazungu au code za maisha za wazungu ndio ustaarabu??
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 ай бұрын
Ndio shida ya hawa waliosomea nje ya Tanzania wanawaabudu wa Ulaya kama Mungu, mbona Tanzania kuna mifano mizuri mingi sana Kwa nini hasifii
@Jamila-cz5ge
@Jamila-cz5ge 6 ай бұрын
Jamani HATA uislamu huna ukajistiri muili wako umeuponza uislamu Alla akuuongoze ktk njia ya haki. HATA lugha umeiuza unaiga lugha sio yako
@ngoni7944
@ngoni7944 6 ай бұрын
Ondoa wivu wako na uislam wako, huoni kapendeza,
@kadrimwingamno258
@kadrimwingamno258 6 ай бұрын
Mcharuko wanguvu
@neemamajana3078
@neemamajana3078 6 ай бұрын
Kumbe Fatuma ni mtu mzima sana!!!! Kinachonishangaza ni Fatuma kuzaliwa Zanzibar, kusomea Zanzibar na kujifanya hajui kiswahili ajabu sana!!!!!!
@sm5tv
@sm5tv 6 ай бұрын
Kumbe tumezaliwa Hospital Moja
@ezekielmabwai4614
@ezekielmabwai4614 6 ай бұрын
Hakuna mtu wa kunishawishi hapa, unahitaji uvumilivu wa ziada kukaa na huyu mdada. Bora nioe house girl nitakuwa na amani.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 6 ай бұрын
Hicho chuma kichwa kimepevuka....wewe na house girl sawa kabisa...ndo lika lako.
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 6 ай бұрын
Shangaz wa taifa
@yusuphabel5530
@yusuphabel5530 5 ай бұрын
Wa kishua
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 6 ай бұрын
1969 na babu yake kafariki 72 ni sawa kua alikua na miaka 3 tu. Ivi kweli miaka 3 anaweza kujua yote hayo kuhusu babu yake? Naona kama kachemsha kidogo
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 6 ай бұрын
Nmeitwa auntybaby na watoto mpaka watu wazima mwisho mwanangu mwenye ananita auntybaby majna ya utoton hayapotei
@salehmkubwa8542
@salehmkubwa8542 6 ай бұрын
Hapa kwenye nimeachika ndio naelewa sisemi mengi lakini akisema ujane umemchosha nipewe taarifa 😅😅😅😅
@salamasefu5494
@salamasefu5494 6 ай бұрын
Ni kweli maneno yake sio tunavyomjua . Kama kaweka meno ya bandia
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 6 ай бұрын
😂😂😂😂 hahaha
@azizayassin3623
@azizayassin3623 5 ай бұрын
Mwanaume anawezaje kuishi na hyu😂😂😂😂😂😂
@SuweidJuma
@SuweidJuma Ай бұрын
Bifatma sasa ubadilke uache maadili uliokuwa nayo sasa na ufuate madili nasheria ya kiislam maisha aya ni ya mpito to
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 5 ай бұрын
Uluachwa kwa sbb unamapungufu mengi ambayo hayavumiliki. Huku nje unavyo bwabwaja kama mlevi hivyo, huko ndani inakuaje! Lazma uachwe tu. Unamdomo sana wewe unaonekana tu.
@openmindtz
@openmindtz 6 ай бұрын
Mm siwez kukuhukum kwa chochote kila kwa maana maisha yana mambo mengi mno hvyo siwez jua the otherside but in all majina ya fatuma kuongea ni miongoni mwao....
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv 6 ай бұрын
Hahahaha umejuwaje 😂😂😂
@openmindtz
@openmindtz 6 ай бұрын
@@FatumaIssa-kw3vv neema za mungu tuh si kwa ujanja wangu
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 6 ай бұрын
Swadaktaa
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 6 ай бұрын
Tena sio kuongea tu hatupendi kuonewa pia 😅
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 6 ай бұрын
Hqta mimi sikujuwa kqma mzee karume aliowa wake wengine
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 ай бұрын
Mbona kwenye historia ipo tumeisoma alikua akipenda warangi rangi waarabu
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 4,7 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 12 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,9 МЛН
HAKUNA NDOA
11:49
Joti TV
Рет қаралды 251 М.
Salama Na Shangazi Ep 28 | FIRST BORN Part 1
41:43
YahStoneTown
Рет қаралды 124 М.
PART 1: EXCLUSIVE INTERVIEW NA MAMA KARUME | MAISHA KABLA YA
37:05
Spesho Kabwanga Online
Рет қаралды 389
Не надо толкать, надо бить🥊
0:20
Алексей "Новатор" Сурков Тренер по боксу
Рет қаралды 1,6 МЛН
Хабиб ПРОТИВ ФЛАГА РОССИИ #shorts
0:36
BELARUS TO MMA
Рет қаралды 1,1 МЛН
Мбаппе, ты где?
1:00
Губиньо
Рет қаралды 340 М.