#CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya Mwanaharakti Fatma Karume katika kipindi cha #Shajara ya #CloudsTv na mtangazaji Babbie Kabae.
Пікірлер: 370
@raymondswai55555 ай бұрын
Shangazi nakupenda sana na kwa moyo wa dhati Si kimahusiano, maana hili li nchi 90% hatumiii ubongo ( kichwani) kutafakari, tumenyoshwa maji ya chooni,,m c.c 😊😊 uokoo very bright shangazi
@marianajohn54154 ай бұрын
Shangazi ❤❤❤❤❤❤ ni mmoja tu! Naye ni madam Fatma🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@mussamwamoto82315 ай бұрын
nimeipenda hii interview.sijawahi kumsikiliza ktk maisha nje ya kazi.nimemuelewa fatma huwa anaishi yeye kaka yeye sio kwa ajili ya .
@amourmtungo6236 ай бұрын
Asante kwa kushea. Mimi mchango wangu kwa Watanzania wengi wenye kujenga chuki kwa watu = haters. Mchukie mtu kwa vitendo vibaya alivyofanya na sio maneno aliyosema. Wazungu husema “actions speak louder than words”. Vitendo vina nguvu zaidi ya maneno kwahio tusichukiane bure ni mambo ya kijinga
@winniefridamutakyawa59435 ай бұрын
Shangazi hongera sana unafaa kuwa kiongozi wa ngaxi za juu nchini.Nakupenda sana kwa ujasili ulionao ni kipaji .Mungu akubariki sana uko vizuri saaaaana.Ungekuwa waziri mkuu hata urais unauweza hata ujaji mkuuu unauweza.Barikiwa sana.
@ndementriavermand80104 ай бұрын
Nampenda sana huyu dada jasiri mkweli mtu wa haki
@ChristinaOnditi-el3xo6 ай бұрын
Pole sana wifi yangu Fatma ,tunepotezana lkn nitakutafuta inshaallah,kuhusu ndoa rizki inshaisha tumuachie Allah japo kipindi kile Cha harakati zako kiilikua kigumu sana kwako na nilikua nahofia sana Hilo cos mwanamke ukiwa unapambana Kwa ujasiri mkubwa kiasi kile,wanaume zetu hua hawaelewi,Kuna maisha mengine baada.ya mapambano na simanzi. Enjoy the moment my love
@wilsonelias90125 ай бұрын
Acha kutetea ujinga hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni anajua kila kitu, jitu lina miaka 60 linaongea kama binti wa miaka 20
@agreymbwilo58746 ай бұрын
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu lugha zote kazoe kuziongea kwenye maisha ya kawaida. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
@caritasmushi4616 ай бұрын
Fatma umejibu vizuri sana na you are a down to earth person but with principles. Keep it up my dear
@NyotaTanoTV-gt3od6 ай бұрын
Shajara mtangazaji wangu pendwa kila siku unani surprise I like the way you control the show. Maswali unavyo Uliza alafu unagawa nafasi ya majibu. Fatma mbona hajui Kiswahili vizuri Tena ni mzenji OG? That’s terrible 😮 but all in all this is good interview much love ❤️
@KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын
Ameishi sn njee dats the problem
@officialkmoneyvevo31756 ай бұрын
Mshangazi Una Mguu Bi fatmaa😅❤
@billgussy60996 ай бұрын
Intelligent and gorgeous woman
@bakarimmbaga23446 ай бұрын
Binadamu hawana jema, inasikitisha baadhi yenu kutoa maneno ya kuudhi wakati una uhuru wa kumsikiliza au ukaacha!
@fatmahamdoun744 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤love hivi ndivyo tulivyo Akina FATMA
@cheka4805 ай бұрын
The one thing she is real not fake
@yussufhaji33356 ай бұрын
Usomi kweli unaharibu na kubadilisha maadili ya dini yetu ,inna lillahi wainna ilahi rajiuuwun.
@user-vn6vx1qk5i6 ай бұрын
Ni huzuni sana kuona mtoto kama huyu unavomuona sasaiv alivyovaa na kuweka makucha, manywele uchavu tu, kuwa katoka ktk familia tunaambiwa ya kiislam, kwa kweli msiba
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Anakaa uchi tu
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Wasomi ni kama mbwa tu
@moodyzanzibar43365 ай бұрын
labda HII KUKAA UCHI NDIO MOJA YA MATUNDA YA MAPIDUZI
@yusuphabel55305 ай бұрын
Nampenda sana Shangazi Fatma,ana akili sana na ni mwanamke wa shoka.Mungu ampe maisha marefu.
@user-px1fg3jz4p6 ай бұрын
Pole usihuzunikee mwamwini Allah yeye ndie mpangaji
@TaarabChannel6 ай бұрын
Mpitie na kwangu wapenzi ❤
@mosesgasana41025 ай бұрын
Walah nampenda sana Fatma. Mungu ampe uzima mwingi na mengi ya heri
@cynthiafolonja30506 ай бұрын
Ndoa sio kifungo jamani.... yanini kufia kwenye hamna 😂... Wala huyo sio wa kwanza kuachika .....shangazi anazeeka na urembo wake!!
@festinamwakipale39196 ай бұрын
Huyu dada si.ndo.aliifedhehesha.Tanzania kumbe nae.Mungu alimfadhaisha huyu.dada alitetea sana ushoga
@MwanaishaHemed-xi6rj6 ай бұрын
Mashaallah ❤Unamwili nzuri sana mungu akuweke amiin 🤲❤️
@trophywilson72116 ай бұрын
Ila anakaa uchi Mbele ya Mataifa
@user-vq2hl4jp1j6 ай бұрын
Aunt tuma❤
@charlesmwambinga43556 ай бұрын
Shangazi hapo kwa Nadia Suala la Muungano, lizingatiwe Wapemba🎉🎉🎉🎉 Mnauma meno Sana..wepesi kidogooo ❤❤❤❤❤ Mama Mkwe. Kama mama Mkwee
@sultansallah87726 ай бұрын
Kwani umeambiwa mpemba
@salehkhamis-ob8ln6 ай бұрын
@@sultansallah8772wabongo wanaelewa zanzibar n nchi yenye kabila la wapemba. Wapemba ni kabila kutoka zanzibar hivo ndio wanavoelewa yani neno unguja kwa bara hawalielewi
Very proud of her...May God Aways Bless Her..Ameen!
@seynabhaji80356 ай бұрын
My advice to Fatma, kubali siku moja kuongea lugha unayoifahamu ili maneno ya changamke nina hakika unamazuri ya kueleza. Halafu jitahidi kujifundisha kiswahili tukutane tena hapo baadaye🎉
@darajalakidatukilomgi23626 ай бұрын
Shangazi Kiswahili anakijua vizuri ila ndio kujifanyisha sijui, usome shule ya Msingi Unguja ukose kujua Kiswahili?
Na akiongea mpka mizizi ya shingo imtoke anatumia nguvu sana hlfu sidhni kma hajui kiswahili ila ana pritend tu hao watoto tulowazaa ulaya wanaongea kiswahili kizuri tu
@mimiraia25316 ай бұрын
Hajui “SAFE” kwa Kiswahili, this is biggest pretending….LAZIMA BWANA AKIMBIE
@Mohamed-uz8id6 ай бұрын
nàmpenda sana Fatma Karume anaakili mnoooooo😘
@MosiHassan-dx6gc6 ай бұрын
Acheni chuki na hasada aliyepewa kapewa mola ndie amemueka hapo achenichoyo
@mr.yahzadochuno79145 ай бұрын
I love fatma
@robinbayser30794 ай бұрын
Shangazi wa Taifa soo beautiful
@gracekagoma32316 ай бұрын
Fatma kweli inasikitusha kuwa kiswahili hujui na ni aibu sana .Kiswangereza wengi hawakuelewi .kwa sababu hawajui kiingereza.😢😢
@mimiraia25316 ай бұрын
Lretending
@amanmyolo53594 ай бұрын
God is good
@Iragibarune1.5 ай бұрын
From USA Jamani mimi sio mtazania ila uwa napenda sana shangazii fatma karume alafu ana akili sana
@hafidhkhalfan16606 ай бұрын
Nampenda sana nataman kumuoa jaman
@bensonmwakalindile8545Ай бұрын
My good presenter
@saidsuleiman17536 ай бұрын
Ila fatma is so beautiful
@spreadlove53004 ай бұрын
Ila watu why are you so bothered na maisha ya wengine mpaka mnatoa kashfa 😮😮😮 watu hawalingani wala kufanana jamani, na wala hakuna mkamilifu 😮😮
@naomimaro21566 ай бұрын
Huyu mama Fatma ,anaonyesha anauchungu moyoni
@fahadalbusaidy71826 ай бұрын
Kweli anaonesha
@johntemba42816 ай бұрын
Shangazi nakupenda natamani uwe mke wangu sijali umri sijali elimu bali nakuhitaji niwe nawe ktk utetezi wawatu, mi naishi moshi karibu. Mimi ckuachi na tutaendesha kazi zetu kama kawaida.
@KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын
Hahahahah wabongo mnataka maokoto 2 ushamjua anatokea katika Royal family unataka utelezi hahahahha hongera kaka
@abusalman51394 ай бұрын
Hakuna mwanaume ataweza mvumilia mwehu kama Fatma Karume
@mbarakawesu62136 ай бұрын
Jamani eeh..! Mimi sina mke. Namtaka huyo dada ...!
@user-mw5xs2wx8n6 ай бұрын
Alokupa Jina saluti kwakwe
@ChristerShao6 ай бұрын
Hacheni matusi,kama nia yenu ni kumtukana mtafuteni kwa wakati wenu,unayrtaka Fatma akufindishe sheria,nenda shule ukasome.
@ganomwakisambwe27154 ай бұрын
I love you Fatuma,my sis....you are heroine!
@songombingo1086 ай бұрын
Da Fatma nakupenda. Nitafute tuwe marafiki.
@choggysly35416 ай бұрын
Acha songombingo
@AdamSaffi2116 ай бұрын
This shangazi is so intelligent, she should be a judge in the Supreme Court. Walioko huko hawamfikii huyu mama!
@user-cr7vi4qp9c6 ай бұрын
Kwenye haya mahojiani kuna kipi kipya kuwa yuko juu?
@fahadfaraj64746 ай бұрын
Kipimo chako cha uwezo ni kipi n wangapi unaowajua walioko huko court ambao uwezo wao ni mdogo? She is talking much of her personal life ila inakutosha kumpa ujaji? Things never taken that way aisee. Nyie ndio mnasema lissu ni mwanasheria Bora kuliko wote ikiwa mmemuona kwenye majukwaa ya siasa na sio kwenye podium of practices stop those mediocrity thoughts.
@immamfugale78356 ай бұрын
Kwa kipi?
@salomemlagila57576 ай бұрын
@@fahadfaraj6474 kweli kabisa
@MOJAZAIDI.6 ай бұрын
@@fahadfaraj6474Ni kweli ila kwa Lissu rekodi zake ziko wazi nay be una personal conflicts na yeye. Just saying...
@MohamedAbdallahSaid4 ай бұрын
Mswahili Mzungu
@FatumaIssa-kw3vv6 ай бұрын
Enjoyment Fatma au Fateeema ❤❤❤
@mohamedismail26624 ай бұрын
Mwanaume ndiyo anaowa na mwanaume ndiyo anaacha true shangaz nakuelewaga sana hauna baya
@amanmyolo53594 ай бұрын
❤❤❤Asalam alaiqm Warahmatulah wabarakatu allah kariim
@liannsambu72646 ай бұрын
Mmmm jamani nafikiri ni mtazamo tu ,mie nimekuwa kwetu wafanyakazi 2 lakini nikiwa na Miata 4-5 nlikuwa nafanya KAZI kulingana na umri wangu na hata kukorogo uji ,kufua sox , kufua NGUo za ndani , kufagia nlifanya haswaaaa so siyo kuwa WANAFANYA Kwa sababu ya shida za WAZAZI ila ni WAZAZI wanamtazamo gani Kwa watoto WAO na wanataka kutengeneza mtoto wa aina gani
@annethomas75206 ай бұрын
Mtoto wa miaka 5 akoroge uji jikoni???!
@liannsambu72646 ай бұрын
@@annethomas7520 NDUGU ukishangaa ya Musa ......... ? UNADHANGAA MIAKA 5 ? Hongera mpendwa , isogelee JAMII UTAONA mengi
@bakarimdeve83866 ай бұрын
Napendezwa na kz yake ila ninachukizwa na tabia ya kuzungumza Kiswenglish japo Familia yao ni waswahili safi tena wa Zanzibar wakwel aache hio staili
@SafiaOmar6 ай бұрын
Hao familia yao wanaishi kama wazungu. Kama unavyo muona ndio maisha yao. Nilisoma na mtoto wa ndugu yake secondary
@nahlahassan-fd6le6 ай бұрын
@SafiaOmar Bora umwambie ww, hao kwao niwazanzibari lkn wamelelewa kizungu, na Ivo alivo ndoivo Ivo kwao kizungu zungu TU mpak mavazi mpaka mama Yao yupo Ivo Ivo mavazi yake.
@darajalakidatukilomgi23626 ай бұрын
@@nahlahassan-fd6le kulelewa kizungu ndio unatupa na lugha yako? Mbona wazungu wenyewe wanajifunza na kuongea Kiswahili? Nani amewadanganya na kiswaglish
@MussaSuleiman-ui9fy6 ай бұрын
Wewe Fatima jitathini hii elimu hii ya Sheria itakupeleka motoni Rudi kwa muumba
@amosmahona4336 ай бұрын
Aise
@missg14306 ай бұрын
I just love her
@mimiraia25316 ай бұрын
Approach her
@bongomastory7916 ай бұрын
wanawake wengi wanasheria wanajifanyaga wana harakati so wanaletaga uharakati kwenye ndoa hivyo sio rahisi kudumu kwenye ndoa
@allahisone63866 ай бұрын
💯%🤝
@aliganzel65126 ай бұрын
Hili limenikuta mimi
@naturelle10976 ай бұрын
Aging gracefully girlfriend❤
@roudhamahmoud7636 ай бұрын
Kumbe sawa sawa na mimi 1969
@OmanOman-dd5qk6 ай бұрын
Topo wote
@kabhikachambala33926 ай бұрын
Naomba kufahamu lugha Rasmi ya haya mahojiano! Kuna sehemu hatuelewi
@azizayassin36235 ай бұрын
Anajifafanya hjui kiswahili😂😂😂😂
@gracekagoma32316 ай бұрын
Siyo shangazi yangu.Ana kasumba ya wazungu sa n a A n achanganya kuswahili na kiingereza sa n a h ata 5:18 5:20 simuelewi japo nimesoma sana kama yeye au labda zaidi.Acha kuongea kiingereza wakati unaongea n a waswahili😅😅
@amneamne24926 ай бұрын
Shangazi tuambie huyo bi zahara unomwita nana. Yuko wapi. Pls
@kulthummaabad4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@fatmahamdoun744 ай бұрын
Love you wajina
@agreymbwilo58746 ай бұрын
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu ya mazoea. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna lugha ya mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
@gracekagoma32316 ай бұрын
Ndugu yangu hiyo ni tabia tu.Ya kujitakia.kuna watz wanao ongea lugha nyingi za kimataifa bila kuchanganya..Pamoja na mimi mwenyewe🎉🎉
@aliathmani71656 ай бұрын
Huyu shida anayo ni kujisahau, kiswahili chake ni cha kujifunza ama ni kingereza chaki.
@user-rv3pw3cz5z2 ай бұрын
❤naomba nambazake
@cosmasthomas91646 ай бұрын
Yaani ukisikiliza kiingereza cha huyu mama,unasikia rafudhi za waingereza.
@amerwelder77866 ай бұрын
Uyo kakaa sana iingereza
@cosmasthomas91646 ай бұрын
@@amerwelder7786 ndiyo maana,yaani hadi raha kumsikiliza
@gracekagoma32316 ай бұрын
😢
@gracekagoma32316 ай бұрын
It was kawaida😂😂😢😢😢😢 Mwingereza hachanganyi lugha yake hata siku moja.Kasumba ni mbaya jamani.😢😢
@user-ki4sg8yz9j6 ай бұрын
Sijasikia vizuri. Fatma umezaliwa mwaka gani?
@ibrahimaziz71586 ай бұрын
Nakupenda shangazi nikueke nyumbani tuzae na unifundishe sheria
@nahlahassan-fd6le6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@zariadunia63286 ай бұрын
Sauti yake kama bibi yake wajina wake
@issakawaya83156 ай бұрын
Ana uzungu mwingi
@mgenimgambo23125 ай бұрын
umependeza sana n km ulivyosema kuwa kujitizama na kufurahi ulichokuwa nacho hakuna kitu km furaha ya nafsi umebadilika sana
@abuumadesign80955 ай бұрын
Kwa u much know huu lazima ndoa ikushinde, stop comparing everything to ulaya
@user-th9to6yt9y6 ай бұрын
Dah kiswahili
@seifserenge33406 ай бұрын
Pole sana bi Fatma, wewe ni mzungu mzanzibari
@gracekagoma32316 ай бұрын
😂😂😢
@SHALLOOTV5 ай бұрын
Hii Ai mnaoitumia inapoteza quality ya video
@darajalakidatukilomgi23626 ай бұрын
Shangazi yetu kwenye kujieleza sifuri,
@nahlahassan-fd6le6 ай бұрын
Na icho kiswahili chake zero😂😂😂😂anaongea kiswanglish lkn ovyoo
@George_Ruttagah4 ай бұрын
Watu waliokulia nje au waliosoma shule za international huwa wanakawaida ya kuchanganya lugha. Fatma ni very bright na brave at the same time. Jaribu kuangalia mazingila aliyokulia alafu utamuelewa vizuri kabisa. Mimi personally nimekulia U.S. toka na miaka 13. Ulimi wangu unakua mzito napoongea Kiswahili kwa sababu si lugha ninayotumia sana. Kwa hiyo najikuta tu nachanganya Kiswahili na Kingereza.
@wilsonelias90125 ай бұрын
Ndio maana aliachwa hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni, anajua kila kitu amesema ameachwa
@robertadolf5626 ай бұрын
Ila bado mtamu mbona
@hamidafundi-pw1gw6 ай бұрын
Mh !😮
@SalminMkwachu6 ай бұрын
mifano mingi ni ulaya/wazungu, hivi kwanini tunadhani kufuata mode za wazungu au code za maisha za wazungu ndio ustaarabu??
@darajalakidatukilomgi23626 ай бұрын
Ndio shida ya hawa waliosomea nje ya Tanzania wanawaabudu wa Ulaya kama Mungu, mbona Tanzania kuna mifano mizuri mingi sana Kwa nini hasifii
@Jamila-cz5ge6 ай бұрын
Jamani HATA uislamu huna ukajistiri muili wako umeuponza uislamu Alla akuuongoze ktk njia ya haki. HATA lugha umeiuza unaiga lugha sio yako
@ngoni79446 ай бұрын
Ondoa wivu wako na uislam wako, huoni kapendeza,
@kadrimwingamno2586 ай бұрын
Mcharuko wanguvu
@neemamajana30786 ай бұрын
Kumbe Fatuma ni mtu mzima sana!!!! Kinachonishangaza ni Fatuma kuzaliwa Zanzibar, kusomea Zanzibar na kujifanya hajui kiswahili ajabu sana!!!!!!
@sm5tv6 ай бұрын
Kumbe tumezaliwa Hospital Moja
@ezekielmabwai46146 ай бұрын
Hakuna mtu wa kunishawishi hapa, unahitaji uvumilivu wa ziada kukaa na huyu mdada. Bora nioe house girl nitakuwa na amani.
@ezekieljacob57956 ай бұрын
Hicho chuma kichwa kimepevuka....wewe na house girl sawa kabisa...ndo lika lako.
@leoncebenjamin81076 ай бұрын
Shangaz wa taifa
@yusuphabel55305 ай бұрын
Wa kishua
@user-ki4sg8yz9j6 ай бұрын
1969 na babu yake kafariki 72 ni sawa kua alikua na miaka 3 tu. Ivi kweli miaka 3 anaweza kujua yote hayo kuhusu babu yake? Naona kama kachemsha kidogo
@antybabybintrashid23336 ай бұрын
Nmeitwa auntybaby na watoto mpaka watu wazima mwisho mwanangu mwenye ananita auntybaby majna ya utoton hayapotei
@salehmkubwa85426 ай бұрын
Hapa kwenye nimeachika ndio naelewa sisemi mengi lakini akisema ujane umemchosha nipewe taarifa 😅😅😅😅
@salamasefu54946 ай бұрын
Ni kweli maneno yake sio tunavyomjua . Kama kaweka meno ya bandia
@HadijaZabroni-pu1lt6 ай бұрын
😂😂😂😂 hahaha
@azizayassin36235 ай бұрын
Mwanaume anawezaje kuishi na hyu😂😂😂😂😂😂
@SuweidJumaАй бұрын
Bifatma sasa ubadilke uache maadili uliokuwa nayo sasa na ufuate madili nasheria ya kiislam maisha aya ni ya mpito to
@miltonjohn97795 ай бұрын
Uluachwa kwa sbb unamapungufu mengi ambayo hayavumiliki. Huku nje unavyo bwabwaja kama mlevi hivyo, huko ndani inakuaje! Lazma uachwe tu. Unamdomo sana wewe unaonekana tu.
@openmindtz6 ай бұрын
Mm siwez kukuhukum kwa chochote kila kwa maana maisha yana mambo mengi mno hvyo siwez jua the otherside but in all majina ya fatuma kuongea ni miongoni mwao....
@FatumaIssa-kw3vv6 ай бұрын
Hahahaha umejuwaje 😂😂😂
@openmindtz6 ай бұрын
@@FatumaIssa-kw3vv neema za mungu tuh si kwa ujanja wangu
@fatmakhanii16766 ай бұрын
Swadaktaa
@user-uo8xw9kr4b6 ай бұрын
Tena sio kuongea tu hatupendi kuonewa pia 😅
@roudhamahmoud7636 ай бұрын
Hqta mimi sikujuwa kqma mzee karume aliowa wake wengine
@darajalakidatukilomgi23626 ай бұрын
Mbona kwenye historia ipo tumeisoma alikua akipenda warangi rangi waarabu