Mtanzania aliyefungwa gerezani China, ampigia simu Millard Ayo akiwa ndani ya gereza na kuelezea namna alivyokamatwa kwa ishu za dawa za kulevya, maisha wanayoishi gerezani na Idadi ya Watanzania waliofungwa huko.
Пікірлер: 540
@bjzee19814 жыл бұрын
We thanks God. hiyo English nayo ndio imekufanya ufungwe kwakukosa kuelewa unacho ulizwa angalau uka jitetea. Unazunguka nchi za watu wakati hujui lugha za mawasiliano
@willyngailo45495 жыл бұрын
Daa inaonekana kufungwa China nibora kuliko kuwa huru Tz
@rehemadaniel1836 жыл бұрын
Pore sana kaka hiyo ni biashara haramu: ukitoka"hapo usiluditena" kufanya hiyo biashara mbaya sana
@shakila39824 жыл бұрын
Huyu nae na kizungu, na kizungu chenyewe hajui.
@aishathazaneya80078 жыл бұрын
kama ndo ivyo Tz badilisheni mfumo wa magereza yetu. ..maana magereza yetu kufa kufa unyama unyama
@izodnice36593 жыл бұрын
Kama Hakuna MTZ mnyonge ndiyo KIBABE. KOMAENI WASIWALETEE NYIE WENYEW MABANDIDU KICHIZ.
@mirajifikirini69495 жыл бұрын
Millard uko juu huna mpinzani mkuu
@calfiolahblack1892 Жыл бұрын
Huyu mtu alishatoka?
@mamdzootz40575 жыл бұрын
Mungu wangu nikiingiya uko napiga kazi nasoma ata chereani nikirudi uku nakuwa bonge la dizaina
@lodriquelazaro59255 жыл бұрын
mhhhhh iyo sio jela hapo nyumbani kabisa maana
@edisonbenard2263 жыл бұрын
Kama unaickiliza hii 2020 nipe like apa
@ramajumanne95057 жыл бұрын
kazi mzuri ayo, habari tunapata kwa wakati
@baltazarhharyson4665 жыл бұрын
we pray for u our fellow Tanzanian in Macau ,wish u to come back safe and rebuild our country together.
@saidibadawi4696 жыл бұрын
poleni sana.kwanza unalala sehemu nzuri.shukuru sanaa.
@alphaleahibrahim89044 жыл бұрын
KAMA unaangalia mwaka 2019 like
@aniyiihofficially76775 жыл бұрын
Duh hili gereza ni raha mh hapa tz chakul uletewe kweli mh unalal muda unaotak ndy unaamka duh km bongo ingekua hivi watu wangefany makosa warudishwe tn km unakubali gonga like
@maualuzilo23616 жыл бұрын
pole kijana Allah yupo atakusaidia hiyo yote kwasababu ya kusakatonge utatoka tuu usijali
@willsonkimaro95466 жыл бұрын
pole san mungu atakujalia il uache hy biashr
@winifridasrivester28526 жыл бұрын
kiukweli Millard Ayo uko vizuri nakupongeza sana kwakujitahidi kufikisha kila habari kadir uwezavyo God blles uuuu jmn uzidi kukuza uhabarishaji wako wa matukio mbalimbali x💓💓💪