EXCLUSIVE: KIJANA WA TANZANIA ANAYELIPWA ZAIDI YA MIL 600 MAREKANI, AMEAJIRIWA NA KAMPUNI YA APPLE

  Рет қаралды 107,222

Millard Ayo

Millard Ayo

8 ай бұрын

Пікірлер: 250
@willygraphics360
@willygraphics360 8 ай бұрын
Huyu alikuwa among 10 best students in 2009 noma sana
@SingoMedia
@SingoMedia 8 ай бұрын
Maashallah, kijana wa Mburahati. Tunajivunia kuwa na kijana kama ww yaani kutoka uswahilini hadi kufika katika mahala ambapo wengi wasingetarajia, binafsi nakujua tangu utotoni ni kijana mchamungu, mwenye nidhamu, akili nyingi na uchapakazi. Endelea kutuwakilisha vyema vijana wa Kitanzania na tunamuomba MUNGU atuletee vijana wengi zaidi wenye weledi kama wako na hata zaidi. MUNGU ibariki Tanzania, MUNGU ibariki Africa.💯💯💯
@shafiichipwenge6034
@shafiichipwenge6034 8 ай бұрын
Safi sana Abuu bakar kwa kuipeperusha bendera ya Mivumoni .Teacher Msumba upewe maua yako💐🌺🌷💐
@geeva99
@geeva99 8 ай бұрын
Yupo kwenye class nzuri sana hata kwa San Francisco, hiyo ni second grade to 3rd grade six figure, yuko sehemu njema sana
@saidhamza5318
@saidhamza5318 8 ай бұрын
Too humble,very genius, so talented 🙏🙌
@JobKCMinistry
@JobKCMinistry 8 ай бұрын
Sure
@MerryRenatus-ck4lz
@MerryRenatus-ck4lz 8 ай бұрын
Nice
@ramseychobaliko1002
@ramseychobaliko1002 8 ай бұрын
Ongea Kiswahili mbona msomi katumia Kiswahili na anaishi uzunguni wewe too humble 😅😅😅😂😂😂😂
@vivianlameck6331
@vivianlameck6331 8 ай бұрын
Hakika
@ahmedally3891
@ahmedally3891 7 ай бұрын
​@@ramseychobaliko1002😂😂😂😂😂kmmk
@kyannickk2be
@kyannickk2be 8 ай бұрын
Mortal Kombat 9 credits mwishoni lipo jina la Mtanzania ..great works
@TheNdaki
@TheNdaki 4 ай бұрын
Wow! Hii imekaa poa sikujua, Jina gani kaka??
@josephlyakurwa
@josephlyakurwa 8 ай бұрын
Jamaa yuko very humble, anajua sana
@allahisone6386
@allahisone6386 8 ай бұрын
NDIOOO MAAN ANA JITAMBUA
@mohammedally4378
@mohammedally4378 7 ай бұрын
Mashallah abu hongera sana tulikuwa pamoja mtambani
@jimboulaya
@jimboulaya 8 ай бұрын
Sasa hapo upate hawa wanaojiita Influencers ambao ulaya wamefika labda kutembea tu, Kiingereza na mbwembwe nyingi utasikia I gara I gara you know whamsayin? Mwamba anateleza na kiswahili fasaha na yuko humble tu.
@fredducaunt
@fredducaunt 3 ай бұрын
😂😂 kiingereza ni lugha tu isikutishe hata maskini anaongea kiingereza japo wapo watu wanaongea kujikuta matawi Au pia labda utaonekana sio mzalendo Kikubwa angalia hadhira na kuwa free kushare ulichonacho na watu kwa lugha yoyote inayowaunganisha
@joycefrances4516
@joycefrances4516 8 ай бұрын
Sana kaka,Mungu akuzidishie zaidi,akukinge naabaya yoye ufike mbali zaidi
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 8 ай бұрын
Heri yake,mashaAllah 🎉🎉🎉
@BongoVibesTV
@BongoVibesTV 6 ай бұрын
Kila mtu ana njia yake ya mafanikio tumtegemee Mungu tu
@TheNdaki
@TheNdaki 4 ай бұрын
Sahihi , nakubali 100%
@GloryMariki-ng6gf
@GloryMariki-ng6gf 8 ай бұрын
Genius kama genius
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 8 ай бұрын
ماشاءالله
@mayaalrawahy5470
@mayaalrawahy5470 8 ай бұрын
Ma sha allah tabarak Rahman
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 8 ай бұрын
Hapo kwenye kupenda connection umeongea kweli ,vijana wetu na wtz wengi kwanza hatuna uthubutu halafu ni waoga,ndyo maana wakenya na west Afrika wanazipata hixi opportunity, tutumie vzr mitandao itatutoa.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 8 ай бұрын
waoga kujarbu afu mentality yaviongozi wetu tuzid kudidimia yani wanataka wote tuwe boda boda au watu wa kuwaza ngono ili wawe mtaji wetu kwa siasa zao ndo mana unakuta mtu ana degree lakin boda boda.
@goodluckmasaawe8343
@goodluckmasaawe8343 8 ай бұрын
Jamaa ata haringi ... mungu atamsaidia san
@ahz6907
@ahz6907 8 ай бұрын
Amen
@shammhagama2527
@shammhagama2527 8 ай бұрын
Hongera Sana kijana
@samsonpaschal5044
@samsonpaschal5044 8 ай бұрын
Interview Safi sana ...
@barakandaombwa239
@barakandaombwa239 8 ай бұрын
hongera sana
@muhidinkassim8574
@muhidinkassim8574 8 ай бұрын
🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🍏🍏👍👍👍Hongera Sana kijana ABUU BAKAR RASHID...(ALLY) .. a.k.a Mtoto wa Bibi.....dddaahh ...sheikh Mungu azid kukuongoza ..Maaana Umeelezea MAISH YAKO Kwa UCHACHE saaanaaa ..ila Kwa sisi tuliosoma DARASA MOJA... primary...(ALI HASSAN MWINYI PRIMARY SCHOOL..)🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌍🌍 Mburahati....tulikuwa tunaona unayoyapitia sheikh ..kweli ulipitia magumu sana Mwamba ..ila all in all MUNGU hamtupi mja wake.....👍👍👍👍👉👉👍👍Keep up your target.....🇹🇿🇹🇿🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿👍👍
@omyjr5795
@omyjr5795 8 ай бұрын
Ilikuaje
@user-vo6gm6pl3y
@user-vo6gm6pl3y 8 ай бұрын
Kaka unachokisema uko sahihi na Mwenyezi Mungu akusimamie kwa kila ulipangalo. Ila cha kuskitisha ni pale wenye mawazo wengi nima fukara na wenye hela wengi hawana mawazo labda kwa sababu ya majukum wanazo. Mbaya zaidi kwetu Wa Africa tuna ubinafsi na upatowa wazo kwa muwekezaji au wawekezaji inakuja kinyume yake, na kuishia kuwanufaisha wao na kuwaambiwa ile issues imebuma. Sijui kwa nini.
@gshift83
@gshift83 8 ай бұрын
Hongera sana Kaka. Be blessed.
@Ambwene
@Ambwene 8 ай бұрын
Jamaa yupo simple tuu 👊 🤜 🤛
@LeodigaryPatrick-zo5kl
@LeodigaryPatrick-zo5kl 8 ай бұрын
Genius
@sporxzone771
@sporxzone771 7 ай бұрын
Yupo cool sana wala avimbi ✊
@nattyebrandy
@nattyebrandy 8 ай бұрын
WOW
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 8 ай бұрын
Hongera kijana pia kwa kuwa mwenye bidii hadi kuvutia watu wengi kukuona na kukushika mkono hadi ulipo.
@ZilfatAlly-lv1rw
@ZilfatAlly-lv1rw 7 ай бұрын
Mashaallah
@RoanCorporation
@RoanCorporation 8 ай бұрын
KIJANA ANAONGHEA VITU SAHIHI KABISA , KWA VIJANA MTANZANIA , KAZENI MAISHA, LENGA JUU KABISA
@stevekdaniel
@stevekdaniel 7 ай бұрын
Very inspiring 🫡 safi sana
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu 8 ай бұрын
Juntos somos iguais ❤❤❤
@justusngonyani165
@justusngonyani165 8 ай бұрын
Kuacha dini KWA ajili ya dunia si dhambi.Utakuwa salama tu.Bali kumwacha Yesu Kristo KWA ajili ya dini au dunia ni kuharibikiwa SASA ba baadaye.Mwishoni hutaulizwa dini yako.Jidanganyeni tu.
@PrinceWalterM
@PrinceWalterM 8 ай бұрын
Very Humble Mungu amuongezee zaidi na zaidi
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 8 ай бұрын
DAH!! Aisee huyu jamaa amesoma HARVARD university, anafanya Kazi kampuni ya APPLE! Analipwa zaidi ya 1bn kwa mwaka!😯🫢 Duuh hatari sanaa huyu jamaa noma
@ChoroTesla
@ChoroTesla 8 ай бұрын
wenzetu softwaare engineering kwa kampuni km apple wana muadmire sana manake yeye ndo.kashirikia roho ya kampuni ikiwemo siri za kampun
@georgerichard4902
@georgerichard4902 8 ай бұрын
Unoma gani sasa au kusoma Harvard?
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 8 ай бұрын
​@@georgerichard4902noma wewe kaka
@neemakeenja3385
@neemakeenja3385 8 ай бұрын
​@@georgerichard4902acha wivu kijana mdogo
@emauf
@emauf 8 ай бұрын
​@@georgerichard4902 Jifunze ku appreciate my brother. Mimi ni engineer ila pia nina admire watu kujituma na kufikia stage hizo. Maana sio kwa akili tu, ni juhudi binafsi kubwa pia inatumika.
@allygoodboytzsdoneintanzan3970
@allygoodboytzsdoneintanzan3970 7 ай бұрын
Allah akubless
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 8 ай бұрын
Big up Eng.
@verCeJr.
@verCeJr. 7 ай бұрын
I like him. Big up bro I'm wish kuwa Kama wewe one day
@mikestuner9206
@mikestuner9206 8 ай бұрын
Havard 😊
@johpixel4108
@johpixel4108 8 ай бұрын
Wenzetu ni wajanja wameshamteka ila huku technology bado inatutesa hasa upande wa umeme 🙌
@ahz6907
@ahz6907 8 ай бұрын
Angebaki kuwa fundi simu pale kkoo...angejiita abubakar matelephone.😅
@TheNdaki
@TheNdaki 4 ай бұрын
@@ahz6907Tanzania yetu, huu ni ukweli wapo wahitimu wazuri wanapoteza elimu na ujuzi wao
@elibarikimaganga9571
@elibarikimaganga9571 Ай бұрын
Kweli kabisa ​@@ahz6907
@honorykwahhay4364
@honorykwahhay4364 8 ай бұрын
Vizuri sana, lakini hawa vijana waliofanikiwa huko Marekani, Asia na Ulaya, wakirudi Tanzania na huo ujuzi, nchi yetu itafika mbali mno, walau waje wafungue kampuni huku.
@kyannickk2be
@kyannickk2be 8 ай бұрын
shida ni pale wanaanza buruzwa na wanasiasa ...wabaki huko huko kwanza unless bongo unafiki uishe ..anyway let it flow
@sultanjames9395
@sultanjames9395 7 ай бұрын
Wakirudi huku hamna watachifanya hamna miundo mbinu wezeshi.
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 7 ай бұрын
Wanasiasa tz roho mbaya hawawataki watu wajuzi wanataka makaratasi
@TheNdaki
@TheNdaki 4 ай бұрын
Kuna Baaadhi wanarudi na kiuzalendo wakiamini nchi yetu wataijenga na ujuzi waliopata huko ila…. Tuishie apa. Maana wengi wanaishia kwama ajira, ila pia wanapewa vitu ambavyo sio walivyosomea au nafasi zao.
@idrisamngagi284
@idrisamngagi284 8 ай бұрын
tukowachache sana . hizi ni baadh ya Tanzanite zetu . Nasubiri Kenya
@mohdasaa
@mohdasaa 8 ай бұрын
Uthubutu wa vijana katika kuongeza thamani. Hajongea kuhusu vijana kuweka hela mbele. Nakubaliana naye. Pia umasikini wa fikra (mindset).
@ChoroTesla
@ChoroTesla 8 ай бұрын
n watu km hao wasije bongo huku wanasiasa wakianza kuwapa vyeo wanaua ujuzi wao unakuta jamaa ana vission kubwa kwenye wizara ila wajinga wajinga waliopo wanamkwamisha mwisho inakua ngumu yani bora akae huko huko kwa wanapojielewa. wasije wanasiasa kumrubuni
@mwisukulu1
@mwisukulu1 8 ай бұрын
umeongea vema sana
@ahz6907
@ahz6907 8 ай бұрын
True
@Fesary
@Fesary 8 ай бұрын
Vigumu sana kukuelewa unaongea kama Softwere vilevile.
@AbdulkarimNestori
@AbdulkarimNestori 8 ай бұрын
😂😂 kama Elon Musk
@ahz6907
@ahz6907 8 ай бұрын
Mi nimemuelewa labda ntakuwa na brain software 😅
@ahz6907
@ahz6907 8 ай бұрын
Mi nimemuelewa labda ntakuwa na brain software 😅
@Fesary
@Fesary 8 ай бұрын
@ahz6907 hasa pale alipoanza kutolea mfano wa Usd3000 ambao kwa maelezo wa mshahara wa 1B+ ulikuwa chini sana, ndio hapo sasa mara chumba ehe! Mpaka uwe Chip.
@neema_mollel
@neema_mollel 8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@aaronswai3092
@aaronswai3092 8 ай бұрын
Hii ni mishahara ya kawaida sana kwa Marekani kama alivyosema dogo. Mungu amtangulie
@timoliiisaya3824
@timoliiisaya3824 8 ай бұрын
Jidanganye hiyo hela n kubwa hata kwa marekan
@emauf
@emauf 8 ай бұрын
Kawaida ni $50,000 mpaka $150,000 $200,000 ni kati ya 10% ya juu ya wanaolipwa vizuri, ni mshahara mzuri sana hata US. Mshahara wa $200,000 unapata $136,700 after taxes, kama alivosema kodi ya apartment ni $3000, ko x12=$36,000 Kodi ya serikali na nyumba ukitoa =100,000+ - Transport - Chakula - Utilities - Bata kidogo (ma engineer muda wa bata mchache sana) Vitategemea na lifestyle ya mtu, ila hawezi zidi nusu ya hio hela, ko ukiwekea $30,000 inabaki $70,000 sawa na Mil175Tsh kama ana save, au analipa madeni au anajenga, au anannua nyumba au anannua gari, anajua yeye😅
@mayaally2512
@mayaally2512 8 ай бұрын
Sio ya kawaida bwana acha mazoea na hela
@KhalifaKush-cs8mv
@KhalifaKush-cs8mv 8 ай бұрын
Ni hela ya kawaida marekan kama hiyo 600 marekan kama 30000
@jessykadaraja2691
@jessykadaraja2691 8 ай бұрын
Usikae hapa Bongo kaka. tutakufundisha masiasa yetu utaua kipaji kaka.
@theshiningstargroup
@theshiningstargroup 8 ай бұрын
GUSA LINK HAPO JUU MTAZAME YOMBO
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 8 ай бұрын
Wala hajivungi wala hana mambo mengi engekua wengine hapo sijui hata tusingeambulia chochote kwa maringo
@user-db2hi8jn3e
@user-db2hi8jn3e 8 ай бұрын
😄😄😄😄😄😄
@pastorymasanja8838
@pastorymasanja8838 8 ай бұрын
Wangekuwa wengine kiingereza kiingi ila jamaa yupo simple
@user-lb8lq7um5x
@user-lb8lq7um5x 7 ай бұрын
Jamani tupate no zake nataka nikamshike mkono tu 😢
@dreamleague-uq2gx
@dreamleague-uq2gx 8 ай бұрын
Tatizo sio kujiajiri. Tatz ni mtaji mimi serekali ikinipa milioni 10 tuh nakua tajir na biashara zng
@nickhealthcare5612
@nickhealthcare5612 8 ай бұрын
Njoo tuzungumze kaka
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 8 ай бұрын
Ahaha jinga sana 🚮 ww utaweza kweli kuzalisha hiyo hata kuandika hujui? Unadhan ni makakio sio? Sasa kama unajiamini kwann usitumie huo uwezo kupata 10 mil ndio uendelee? Jinga 🚮
@mwisukulu1
@mwisukulu1 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SeifAhmed-ob3ym
@SeifAhmed-ob3ym 8 ай бұрын
​@@nickalreadyknowsNani hajui kuandika sasa mimi au wewe?
@misanaantipas8338
@misanaantipas8338 8 ай бұрын
Mnaona sasa ukiona aple kuuzwa bei kubwa kuliko teknol
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 8 ай бұрын
UMETHUBUTU KAKA NA UMEWEZA HONGERA SNA NIMEKUPA MAUA YAKO HONGERA SNA SIWEZ KATA TAMAA KM BADO NIPO.HAI
@emmyandrew8670
@emmyandrew8670 8 ай бұрын
Nimesoma na.ww
@noahgondwe4779
@noahgondwe4779 8 ай бұрын
Mmhhhh hayo mapozi yake sasa. Rangirangi hivi
@user-ey8bo5iw9y
@user-ey8bo5iw9y 8 ай бұрын
Marekani ni nchi isiyobagua din yeyote huweza timiza ndoto zake bila kujali dini,rang lkn uende mkristo uarabuni saudia uone kama utatoboa kwanza unakiwa uishi kwa sheria zao hata dini sio yako
@mozasalum9715
@mozasalum9715 8 ай бұрын
Wee labda uende kama mfanyakazi wa ndani kuna wa tz wanapokea ma milioni zaid ya wananchi wenyewe kikubwa ni elimu yako ndio itakufikisha ulipo
@hanifbahajaj9039
@hanifbahajaj9039 8 ай бұрын
Kwaio cristiano ronaldo ni muislam?
@stantamba5628
@stantamba5628 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@abdulla4344
@abdulla4344 8 ай бұрын
Hao wanafunzi 10bora 2009 kuna aliyebaki Tanzania au wote wapo majuu
@prosperjuma4993
@prosperjuma4993 8 ай бұрын
Wote wapo juu
@khalifajuma26
@khalifajuma26 8 ай бұрын
Huyu Jamaa Pia anakipaji cha utangazaji wa habari
@hijazhija316
@hijazhija316 8 ай бұрын
Em tulia
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 8 ай бұрын
Usiache Dini sababu ya Dunia kwani Dunia mapito kaka Allah akuwezeshezaidi hukouliko upate mafanikiyo unayoyaitaji yenyeheri na ww
@williamnassari
@williamnassari 8 ай бұрын
Kwani kuna mahali kasema anacha dini kisa mamb ya dunia au na ww udini umekukaaa tuu kichwani hamna kitu mnajifanya kuijua dini sanaaaaaa kumbe ni 0 kichwani
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 8 ай бұрын
Dini imeingiaje hapa mr Hanifa😂
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 8 ай бұрын
@@samwelnaal7952 imeingia Dini kwani najua. Wangi. Wakiwahuko umaghalibi. Wanajifanya wazungu wanaacha milayetu ya baba yetu Hibrahim. Na kufata makafili yani huwo. Ukumbosho kwani tabia yetu waislam kukumbushana. . Ww naona siwakwetu ndiyo maana ujui
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 8 ай бұрын
@@williamnassari Ssi Diniyetu ni ya kukumbu shana kilawakati. . Ilkiwamtu kateleza anarudi kuwasaea jua binaadam tunajisahau hasa wenye pesa na wakishaenda huko umaghalibi yani Ulaya wanafata uzungutu kwahiyoninanafasi kama muislamkumkumbusha........... Ok
@kazumarihamisilikumbato9213
@kazumarihamisilikumbato9213 8 ай бұрын
Hanifa kama hujaolewa njoo nakuhitaji nikuoe nimetokea kukupenda
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 8 ай бұрын
Kwishaaa kabisaa
@MM-pb7fw
@MM-pb7fw 8 ай бұрын
Huyu mwandishi yuko slow sana,kichwa kina-load slow..anauliza maswali ya kijinga ambayo jamaa amesha-explain ila anauliza tena!..Millard status ya brand yako ni kubwa watu kama hawa inabidi wakaongeze elimu au ujuzi,wakishindwa TOA!!!professionalism ianze kuzingatiwa duh!
@user-ek1bf8rz2u
@user-ek1bf8rz2u 7 ай бұрын
acha majungu usiwe sehemu ya kumuharibiam mwenzi kibarua
@Ibrah287
@Ibrah287 7 ай бұрын
​@@user-ek1bf8rz2uSure
@rashidhamis5320
@rashidhamis5320 8 ай бұрын
Kupambana
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 8 ай бұрын
Interview kama hizi ziwe ndefu sasa
@benedictonesmo6857
@benedictonesmo6857 8 ай бұрын
very nice interview and its so interested so we have a lot things to learn
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 4 ай бұрын
Usiwambie watanzania unainginza hela ngapi kwa mwaka,watakulilia shida hadi ukome…
@salimkombo4004
@salimkombo4004 8 ай бұрын
Mbona kama kaleft?
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn 8 ай бұрын
Unaonaje kurudisha ujuzi nyumbani kwako tanzania? Ukafaidisha wazawa.
@mengikiguruwe6750
@mengikiguruwe6750 8 ай бұрын
Akirudi nyumbani akateuliwa kuwa KATIBU MWENEZI😂
@hassanmassaga2476
@hassanmassaga2476 8 ай бұрын
​@@mengikiguruwe6750😂
@luperbukuku2659
@luperbukuku2659 8 ай бұрын
Anauweka kwenye nini
@wilsong520
@wilsong520 8 ай бұрын
Hata asi jisumbue, kuna vijana ni ma developer apa apa bongo lakin wame shindwa kusajiri kampuni zao kisa mfumo wa hovyo
@rashidmsuya5721
@rashidmsuya5721 7 ай бұрын
Chipsi tofauti tofauti chipsi zege au chipsi kavu
@ellymakongo656
@ellymakongo656 8 ай бұрын
Sijui kwanini naangalia mikono yake sana? Anyway shetani toka.
@magazijuto7991
@magazijuto7991 8 ай бұрын
Watu wengi wenye akili...mikono yao inakuwaga haitulii...
@hillarymushi2227
@hillarymushi2227 7 ай бұрын
Huyu anayehoji ana matatizo gani? Mbona anashindwa kuidirect mic vizuri kwa muhusika mara apindishe mara aweke mbali millard watu wako hawa
@florencejohn6427
@florencejohn6427 7 ай бұрын
Serikali yetu ingekuwa inawekeza kwa vijana kama 200 kila mwaka kwa kuwatafutia shule bora nje ya nchi. Au kujenga hizo shule bora mbili hapa nchini. Baada ya miaka 20 hii nchi ingekuwa mbali mno. Sema ndio hivyo watoto wa wanasiasa na watu wengine wenye hela ndio wanaosoma shule nzuri huko nje, ila wengi wa hao watoto akili nidhamu commitments ni dhaifu. Ndio maana hatuwaoni wala kuwasikia kwenye taasisi kubwa kama hizi za Apple nk
@cleopatramalisa3923
@cleopatramalisa3923 7 ай бұрын
Umeongea point haswaa😅
@gracenbarnes5254
@gracenbarnes5254 8 ай бұрын
Marekanj mambo ya teknolojia na it ndio yana pesa ndefu ikifatiwa na sekta ya afya na sheria
@kibasatv1524
@kibasatv1524 8 ай бұрын
Sio kweli baada ya teknolojia ni idara za ulinzi na usalama hapo ni hatariiii sana
@pascojm6816
@pascojm6816 8 ай бұрын
​@@kibasatv1524ah wapi, sheria ipo juu sana
@timcee2670
@timcee2670 8 ай бұрын
@@kibasatv1524 DOCTOR, LAWYER na ENGINEER (ikiwemo it na computer engineering).......Hizi ndio ishu zinazolipa makampuni binafsi, jeshini, serikalini, n.k
@jayproducts5871
@jayproducts5871 8 ай бұрын
Uzima upo??
@husseinhussein9971
@husseinhussein9971 7 ай бұрын
Muongo tu.
@user-yx2kl3ji8e
@user-yx2kl3ji8e 7 ай бұрын
Sasa kwanini tunahangaika kama simu zina chips situnajilia hapo tu
@ZilfatAlly-lv1rw
@ZilfatAlly-lv1rw 7 ай бұрын
😂
@nyimbilebravo3347
@nyimbilebravo3347 8 ай бұрын
Asije akaleft, Awe makin
@rajabumussa3451
@rajabumussa3451 8 ай бұрын
Umeongea poit sana, nawasiwas 😢
@nureyna629
@nureyna629 8 ай бұрын
Isikuhadae iyo mikono. Ukifanya kazi nje mara nyingi unaadapt na the way wanavyoongea na yeye keshakaa sana nje, that's very normal ..
@Guccidrugz
@Guccidrugz 8 ай бұрын
Mwendo wa chipsi tu
@tzcomputerservices4944
@tzcomputerservices4944 8 ай бұрын
mbona kama kashaleft
@Monyo04
@Monyo04 8 ай бұрын
Hamna ni ongea yake tu kule Kwa wenzetu ni normal though Kuna red flag kwake
@ramseychobaliko1002
@ramseychobaliko1002 8 ай бұрын
Jamaa amesoma na yupo apple lakin anaongea Kiswahili sio hawa ma cheap boys wa bongo na madanga wa bongo wenye English course kujiongelesha oooh actually ooohh you know 🤮🤮🤮🤮👎👎👎🐍🐍
@naturelle1097
@naturelle1097 8 ай бұрын
Mshahara ni siri ya mutu why you are tangazaring😊
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 8 ай бұрын
Vidole Kipochi kwapani Bado sielewi
@eddopaul18
@eddopaul18 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nyie
@richardvedasto2285
@richardvedasto2285 8 ай бұрын
Kwaiyo hizo chips zinakaangwa na simu?
@shabaniramadhani8891
@shabaniramadhani8891 8 ай бұрын
Watanzania washamba sana inshu za mishahara ni maisha binafsi
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 8 ай бұрын
we ndo mshambA kwakua hunahela zakuwambia watu
@alimaftah7640
@alimaftah7640 8 ай бұрын
Mbona kalegea sn ! Dah
@ChoroTesla
@ChoroTesla 8 ай бұрын
watu wote smart wanaongea kwa intelligence sasa akaze umesikia yeye boda boda mbona mnamawazo ya kijinga
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 8 ай бұрын
Aisee... sidhani kama ni salama...kalainika kote..ulimi na viungo nk..🤨
@isacmusa4760
@isacmusa4760 8 ай бұрын
🥲🥲 mtoto lainiii
@ChoroTesla
@ChoroTesla 8 ай бұрын
@@suratibrahim6417 hapana ni swagg tu sio kwamba kalinika sana watu wote wanao deal na mambo ya tech wako hvyo mfano MKHD yule anayechumbua simu ukimusoma km kalainika ila ni swagg tu
@user-ex6sh1rl4d
@user-ex6sh1rl4d 8 ай бұрын
​@@ChoroTeslahahahhahahahhahahah😂😅😂😅😅😂😅😂
@alexchungu6263
@alexchungu6263 8 ай бұрын
Sio upinde ukweli?
@salminirajabu8502
@salminirajabu8502 8 ай бұрын
😃 Amna mbwe mbwe tu za kimarekani
@gordondavid6063
@gordondavid6063 8 ай бұрын
Upinde kabsa
@afrimage_decor
@afrimage_decor 8 ай бұрын
Chip zikiwa nying ni chips kuku 😂😂😂
@ZilfatAlly-lv1rw
@ZilfatAlly-lv1rw 7 ай бұрын
😂
@ZilfatAlly-lv1rw
@ZilfatAlly-lv1rw 7 ай бұрын
😂
@neema_mollel
@neema_mollel 8 ай бұрын
Mbona abuu unayumba yumba umetupia kamnyweso au
@flowinfabian9386
@flowinfabian9386 8 ай бұрын
Kwan huja ona movie ya krish magenious ndo wako hivyo 🤣
@neema_mollel
@neema_mollel 8 ай бұрын
@@flowinfabian9386 🤣🤣🤣
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 8 ай бұрын
Ni Kama milioni tatu kwa siku ila iyo pesa watu wengi tu bongo wanapata
@issaomari7244
@issaomari7244 8 ай бұрын
Hiyo milioni 3 kwasiku wewe waipata??
@ahz6907
@ahz6907 8 ай бұрын
Watu wengi wangapi? Ktk makampuni gani?
@Seluh_classic
@Seluh_classic 8 ай бұрын
Dohh m cjui niko nchi gan wallahi 😂
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 8 ай бұрын
Ukiachana na Bhakresa na MO wako wachache mno wenye level hizo ila sio waajiriwa.
@mrlongrichlongrichagent1929
@mrlongrichlongrichagent1929 8 ай бұрын
Labda uwe mwizi
@ahmedalshaibany
@ahmedalshaibany 8 ай бұрын
Kama kaleft group hivi
@richardchimba3800
@richardchimba3800 8 ай бұрын
Unazingua😂
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 8 ай бұрын
Gay sign 🦧🦧 (hand shake for men is not like that)
@Monyo04
@Monyo04 8 ай бұрын
Tafuta pesa acha malalamiko mbwa wewe
@highlinestar4583
@highlinestar4583 8 ай бұрын
@@Monyo04ndo shida ya wabongo yani hawakosagi kukosoa kosoa na hawana kitu😂😂
@prosperjuma4993
@prosperjuma4993 8 ай бұрын
Manyoko ya mamaako
@marjentertainment2031
@marjentertainment2031 7 ай бұрын
Niliamua kunyamaza tuu
@kamole3
@kamole3 8 ай бұрын
Jamaa sio rizki
@user-wv4rf2zk1o
@user-wv4rf2zk1o 8 ай бұрын
Hiyo mikono vipi
@aberinegosanga7067
@aberinegosanga7067 8 ай бұрын
Muongo huyo
@abubakarothman7249
@abubakarothman7249 8 ай бұрын
Uong wake nini
@khamismohamed8634
@khamismohamed8634 8 ай бұрын
Tupe ushahidi wa uongo wake. Mwenzako ametoboa badala ya kumpa moyo pamoja na wengine wewe unapuuzia
@hemedsheha2515
@hemedsheha2515 8 ай бұрын
Wewe mkweli au choyo tu na rohombaya ilokujaa ? @aberinegosanga
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 8 ай бұрын
Sanga, muongo Kwa vipi fafanua,tuhuma mzito hizo? Mtu ana inspire vijana wafile mbali unasema muongo?una maanisha nini?
@isayamlala3075
@isayamlala3075 8 ай бұрын
Uongo wake uko wapi..wewe ndo umekata tamaa...mpumbavu
@ShakuDazi
@ShakuDazi 8 ай бұрын
Mbona kama shoga huyu jamaa
@allywilson4155
@allywilson4155 8 ай бұрын
Anaongea kidemdem sana..
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 8 ай бұрын
Hivi watanzania epo ime wafanya nin?
@gidemeritus9644
@gidemeritus9644 8 ай бұрын
wanamtafuta kilichomponza adam na eva 😅😅
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47
Happy 4th of July 😂
00:12
Pink Shirt Girl
Рет қаралды 61 МЛН
UPDATE - SITUATION IN NAIROBI CBD ON PROTEST DAY
9:47
Nicholas Kioko
Рет қаралды 4 М.
Kujiunga na jeshi Jeshi la Marekani | Taratibu na faida zake
12:29
KUTANA NA VALENTINE BINTI ANAYEKIMBIZA BIASHARA YA NAFAKA DSM
29:22
Gangana Info Channel
Рет қаралды 10 М.
Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae
32:50
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47