Huyu alikuwa among 10 best students in 2009 noma sana
@SingoMedia8 ай бұрын
Maashallah, kijana wa Mburahati. Tunajivunia kuwa na kijana kama ww yaani kutoka uswahilini hadi kufika katika mahala ambapo wengi wasingetarajia, binafsi nakujua tangu utotoni ni kijana mchamungu, mwenye nidhamu, akili nyingi na uchapakazi. Endelea kutuwakilisha vyema vijana wa Kitanzania na tunamuomba MUNGU atuletee vijana wengi zaidi wenye weledi kama wako na hata zaidi. MUNGU ibariki Tanzania, MUNGU ibariki Africa.💯💯💯
@shafiichipwenge60348 ай бұрын
Safi sana Abuu bakar kwa kuipeperusha bendera ya Mivumoni .Teacher Msumba upewe maua yako💐🌺🌷💐
@geeva998 ай бұрын
Yupo kwenye class nzuri sana hata kwa San Francisco, hiyo ni second grade to 3rd grade six figure, yuko sehemu njema sana
@saidhamza53188 ай бұрын
Too humble,very genius, so talented 🙏🙌
@JobKCMinistry8 ай бұрын
Sure
@MerryRenatus-ck4lz8 ай бұрын
Nice
@ramseychobaliko10028 ай бұрын
Ongea Kiswahili mbona msomi katumia Kiswahili na anaishi uzunguni wewe too humble 😅😅😅😂😂😂😂
@vivianlameck63318 ай бұрын
Hakika
@ahmedally38917 ай бұрын
@@ramseychobaliko1002😂😂😂😂😂kmmk
@kyannickk2be8 ай бұрын
Mortal Kombat 9 credits mwishoni lipo jina la Mtanzania ..great works
@TheNdaki4 ай бұрын
Wow! Hii imekaa poa sikujua, Jina gani kaka??
@josephlyakurwa8 ай бұрын
Jamaa yuko very humble, anajua sana
@allahisone63868 ай бұрын
NDIOOO MAAN ANA JITAMBUA
@mohammedally43787 ай бұрын
Mashallah abu hongera sana tulikuwa pamoja mtambani
@jimboulaya8 ай бұрын
Sasa hapo upate hawa wanaojiita Influencers ambao ulaya wamefika labda kutembea tu, Kiingereza na mbwembwe nyingi utasikia I gara I gara you know whamsayin? Mwamba anateleza na kiswahili fasaha na yuko humble tu.
@fredducaunt3 ай бұрын
😂😂 kiingereza ni lugha tu isikutishe hata maskini anaongea kiingereza japo wapo watu wanaongea kujikuta matawi Au pia labda utaonekana sio mzalendo Kikubwa angalia hadhira na kuwa free kushare ulichonacho na watu kwa lugha yoyote inayowaunganisha
@joycefrances45168 ай бұрын
Sana kaka,Mungu akuzidishie zaidi,akukinge naabaya yoye ufike mbali zaidi
@kekiplus1andonly8 ай бұрын
Heri yake,mashaAllah 🎉🎉🎉
@BongoVibesTV6 ай бұрын
Kila mtu ana njia yake ya mafanikio tumtegemee Mungu tu
@TheNdaki4 ай бұрын
Sahihi , nakubali 100%
@GloryMariki-ng6gf8 ай бұрын
Genius kama genius
@mohammedbaraka92308 ай бұрын
ماشاءالله
@mayaalrawahy54708 ай бұрын
Ma sha allah tabarak Rahman
@beatricejoseph23478 ай бұрын
Hapo kwenye kupenda connection umeongea kweli ,vijana wetu na wtz wengi kwanza hatuna uthubutu halafu ni waoga,ndyo maana wakenya na west Afrika wanazipata hixi opportunity, tutumie vzr mitandao itatutoa.
@ChoroTesla8 ай бұрын
waoga kujarbu afu mentality yaviongozi wetu tuzid kudidimia yani wanataka wote tuwe boda boda au watu wa kuwaza ngono ili wawe mtaji wetu kwa siasa zao ndo mana unakuta mtu ana degree lakin boda boda.
@goodluckmasaawe83438 ай бұрын
Jamaa ata haringi ... mungu atamsaidia san
@ahz69078 ай бұрын
Amen
@shammhagama25278 ай бұрын
Hongera Sana kijana
@samsonpaschal50448 ай бұрын
Interview Safi sana ...
@barakandaombwa2398 ай бұрын
hongera sana
@muhidinkassim85748 ай бұрын
🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🍏🍏👍👍👍Hongera Sana kijana ABUU BAKAR RASHID...(ALLY) .. a.k.a Mtoto wa Bibi.....dddaahh ...sheikh Mungu azid kukuongoza ..Maaana Umeelezea MAISH YAKO Kwa UCHACHE saaanaaa ..ila Kwa sisi tuliosoma DARASA MOJA... primary...(ALI HASSAN MWINYI PRIMARY SCHOOL..)🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌍🌍 Mburahati....tulikuwa tunaona unayoyapitia sheikh ..kweli ulipitia magumu sana Mwamba ..ila all in all MUNGU hamtupi mja wake.....👍👍👍👍👉👉👍👍Keep up your target.....🇹🇿🇹🇿🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿👍👍
@omyjr57958 ай бұрын
Ilikuaje
@user-vo6gm6pl3y8 ай бұрын
Kaka unachokisema uko sahihi na Mwenyezi Mungu akusimamie kwa kila ulipangalo. Ila cha kuskitisha ni pale wenye mawazo wengi nima fukara na wenye hela wengi hawana mawazo labda kwa sababu ya majukum wanazo. Mbaya zaidi kwetu Wa Africa tuna ubinafsi na upatowa wazo kwa muwekezaji au wawekezaji inakuja kinyume yake, na kuishia kuwanufaisha wao na kuwaambiwa ile issues imebuma. Sijui kwa nini.
@gshift838 ай бұрын
Hongera sana Kaka. Be blessed.
@Ambwene8 ай бұрын
Jamaa yupo simple tuu 👊 🤜 🤛
@LeodigaryPatrick-zo5kl8 ай бұрын
Genius
@sporxzone7717 ай бұрын
Yupo cool sana wala avimbi ✊
@nattyebrandy8 ай бұрын
WOW
@beatricejoseph23478 ай бұрын
Hongera kijana pia kwa kuwa mwenye bidii hadi kuvutia watu wengi kukuona na kukushika mkono hadi ulipo.
@ZilfatAlly-lv1rw7 ай бұрын
Mashaallah
@RoanCorporation8 ай бұрын
KIJANA ANAONGHEA VITU SAHIHI KABISA , KWA VIJANA MTANZANIA , KAZENI MAISHA, LENGA JUU KABISA
@stevekdaniel7 ай бұрын
Very inspiring 🫡 safi sana
@youngtomuller-vh2pu8 ай бұрын
Juntos somos iguais ❤❤❤
@justusngonyani1658 ай бұрын
Kuacha dini KWA ajili ya dunia si dhambi.Utakuwa salama tu.Bali kumwacha Yesu Kristo KWA ajili ya dini au dunia ni kuharibikiwa SASA ba baadaye.Mwishoni hutaulizwa dini yako.Jidanganyeni tu.
@PrinceWalterM8 ай бұрын
Very Humble Mungu amuongezee zaidi na zaidi
@user-de2rg9kk7u8 ай бұрын
DAH!! Aisee huyu jamaa amesoma HARVARD university, anafanya Kazi kampuni ya APPLE! Analipwa zaidi ya 1bn kwa mwaka!😯🫢 Duuh hatari sanaa huyu jamaa noma
@ChoroTesla8 ай бұрын
wenzetu softwaare engineering kwa kampuni km apple wana muadmire sana manake yeye ndo.kashirikia roho ya kampuni ikiwemo siri za kampun
@georgerichard49028 ай бұрын
Unoma gani sasa au kusoma Harvard?
@blackwarrior-animations5938 ай бұрын
@@georgerichard4902noma wewe kaka
@neemakeenja33858 ай бұрын
@@georgerichard4902acha wivu kijana mdogo
@emauf8 ай бұрын
@@georgerichard4902 Jifunze ku appreciate my brother. Mimi ni engineer ila pia nina admire watu kujituma na kufikia stage hizo. Maana sio kwa akili tu, ni juhudi binafsi kubwa pia inatumika.
@allygoodboytzsdoneintanzan39707 ай бұрын
Allah akubless
@tumainielmaruwa31488 ай бұрын
Big up Eng.
@verCeJr.7 ай бұрын
I like him. Big up bro I'm wish kuwa Kama wewe one day
@mikestuner92068 ай бұрын
Havard 😊
@johpixel41088 ай бұрын
Wenzetu ni wajanja wameshamteka ila huku technology bado inatutesa hasa upande wa umeme 🙌
@ahz69078 ай бұрын
Angebaki kuwa fundi simu pale kkoo...angejiita abubakar matelephone.😅
@TheNdaki4 ай бұрын
@@ahz6907Tanzania yetu, huu ni ukweli wapo wahitimu wazuri wanapoteza elimu na ujuzi wao
@elibarikimaganga9571Ай бұрын
Kweli kabisa @@ahz6907
@honorykwahhay43648 ай бұрын
Vizuri sana, lakini hawa vijana waliofanikiwa huko Marekani, Asia na Ulaya, wakirudi Tanzania na huo ujuzi, nchi yetu itafika mbali mno, walau waje wafungue kampuni huku.
@kyannickk2be8 ай бұрын
shida ni pale wanaanza buruzwa na wanasiasa ...wabaki huko huko kwanza unless bongo unafiki uishe ..anyway let it flow
@sultanjames93957 ай бұрын
Wakirudi huku hamna watachifanya hamna miundo mbinu wezeshi.
@piusmdoe32007 ай бұрын
Wanasiasa tz roho mbaya hawawataki watu wajuzi wanataka makaratasi
@TheNdaki4 ай бұрын
Kuna Baaadhi wanarudi na kiuzalendo wakiamini nchi yetu wataijenga na ujuzi waliopata huko ila…. Tuishie apa. Maana wengi wanaishia kwama ajira, ila pia wanapewa vitu ambavyo sio walivyosomea au nafasi zao.
@idrisamngagi2848 ай бұрын
tukowachache sana . hizi ni baadh ya Tanzanite zetu . Nasubiri Kenya
@mohdasaa8 ай бұрын
Uthubutu wa vijana katika kuongeza thamani. Hajongea kuhusu vijana kuweka hela mbele. Nakubaliana naye. Pia umasikini wa fikra (mindset).
@ChoroTesla8 ай бұрын
n watu km hao wasije bongo huku wanasiasa wakianza kuwapa vyeo wanaua ujuzi wao unakuta jamaa ana vission kubwa kwenye wizara ila wajinga wajinga waliopo wanamkwamisha mwisho inakua ngumu yani bora akae huko huko kwa wanapojielewa. wasije wanasiasa kumrubuni
@mwisukulu18 ай бұрын
umeongea vema sana
@ahz69078 ай бұрын
True
@Fesary8 ай бұрын
Vigumu sana kukuelewa unaongea kama Softwere vilevile.
@AbdulkarimNestori8 ай бұрын
😂😂 kama Elon Musk
@ahz69078 ай бұрын
Mi nimemuelewa labda ntakuwa na brain software 😅
@ahz69078 ай бұрын
Mi nimemuelewa labda ntakuwa na brain software 😅
@Fesary8 ай бұрын
@ahz6907 hasa pale alipoanza kutolea mfano wa Usd3000 ambao kwa maelezo wa mshahara wa 1B+ ulikuwa chini sana, ndio hapo sasa mara chumba ehe! Mpaka uwe Chip.
@neema_mollel8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@aaronswai30928 ай бұрын
Hii ni mishahara ya kawaida sana kwa Marekani kama alivyosema dogo. Mungu amtangulie
@timoliiisaya38248 ай бұрын
Jidanganye hiyo hela n kubwa hata kwa marekan
@emauf8 ай бұрын
Kawaida ni $50,000 mpaka $150,000 $200,000 ni kati ya 10% ya juu ya wanaolipwa vizuri, ni mshahara mzuri sana hata US. Mshahara wa $200,000 unapata $136,700 after taxes, kama alivosema kodi ya apartment ni $3000, ko x12=$36,000 Kodi ya serikali na nyumba ukitoa =100,000+ - Transport - Chakula - Utilities - Bata kidogo (ma engineer muda wa bata mchache sana) Vitategemea na lifestyle ya mtu, ila hawezi zidi nusu ya hio hela, ko ukiwekea $30,000 inabaki $70,000 sawa na Mil175Tsh kama ana save, au analipa madeni au anajenga, au anannua nyumba au anannua gari, anajua yeye😅
@mayaally25128 ай бұрын
Sio ya kawaida bwana acha mazoea na hela
@KhalifaKush-cs8mv8 ай бұрын
Ni hela ya kawaida marekan kama hiyo 600 marekan kama 30000
Wala hajivungi wala hana mambo mengi engekua wengine hapo sijui hata tusingeambulia chochote kwa maringo
@user-db2hi8jn3e8 ай бұрын
😄😄😄😄😄😄
@pastorymasanja88388 ай бұрын
Wangekuwa wengine kiingereza kiingi ila jamaa yupo simple
@user-lb8lq7um5x7 ай бұрын
Jamani tupate no zake nataka nikamshike mkono tu 😢
@dreamleague-uq2gx8 ай бұрын
Tatizo sio kujiajiri. Tatz ni mtaji mimi serekali ikinipa milioni 10 tuh nakua tajir na biashara zng
@nickhealthcare56128 ай бұрын
Njoo tuzungumze kaka
@nickalreadyknows8 ай бұрын
Ahaha jinga sana 🚮 ww utaweza kweli kuzalisha hiyo hata kuandika hujui? Unadhan ni makakio sio? Sasa kama unajiamini kwann usitumie huo uwezo kupata 10 mil ndio uendelee? Jinga 🚮
@mwisukulu18 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SeifAhmed-ob3ym8 ай бұрын
@@nickalreadyknowsNani hajui kuandika sasa mimi au wewe?
@misanaantipas83388 ай бұрын
Mnaona sasa ukiona aple kuuzwa bei kubwa kuliko teknol
@ukhutfatumah11548 ай бұрын
UMETHUBUTU KAKA NA UMEWEZA HONGERA SNA NIMEKUPA MAUA YAKO HONGERA SNA SIWEZ KATA TAMAA KM BADO NIPO.HAI
@emmyandrew86708 ай бұрын
Nimesoma na.ww
@noahgondwe47798 ай бұрын
Mmhhhh hayo mapozi yake sasa. Rangirangi hivi
@user-ey8bo5iw9y8 ай бұрын
Marekani ni nchi isiyobagua din yeyote huweza timiza ndoto zake bila kujali dini,rang lkn uende mkristo uarabuni saudia uone kama utatoboa kwanza unakiwa uishi kwa sheria zao hata dini sio yako
@mozasalum97158 ай бұрын
Wee labda uende kama mfanyakazi wa ndani kuna wa tz wanapokea ma milioni zaid ya wananchi wenyewe kikubwa ni elimu yako ndio itakufikisha ulipo
@hanifbahajaj90398 ай бұрын
Kwaio cristiano ronaldo ni muislam?
@stantamba56287 ай бұрын
😂😂😂😂
@abdulla43448 ай бұрын
Hao wanafunzi 10bora 2009 kuna aliyebaki Tanzania au wote wapo majuu
@prosperjuma49938 ай бұрын
Wote wapo juu
@khalifajuma268 ай бұрын
Huyu Jamaa Pia anakipaji cha utangazaji wa habari
@hijazhija3168 ай бұрын
Em tulia
@hanifatanzania72588 ай бұрын
Usiache Dini sababu ya Dunia kwani Dunia mapito kaka Allah akuwezeshezaidi hukouliko upate mafanikiyo unayoyaitaji yenyeheri na ww
@williamnassari8 ай бұрын
Kwani kuna mahali kasema anacha dini kisa mamb ya dunia au na ww udini umekukaaa tuu kichwani hamna kitu mnajifanya kuijua dini sanaaaaaa kumbe ni 0 kichwani
@samwelnaal79528 ай бұрын
Dini imeingiaje hapa mr Hanifa😂
@hanifatanzania72588 ай бұрын
@@samwelnaal7952 imeingia Dini kwani najua. Wangi. Wakiwahuko umaghalibi. Wanajifanya wazungu wanaacha milayetu ya baba yetu Hibrahim. Na kufata makafili yani huwo. Ukumbosho kwani tabia yetu waislam kukumbushana. . Ww naona siwakwetu ndiyo maana ujui
@hanifatanzania72588 ай бұрын
@@williamnassari Ssi Diniyetu ni ya kukumbu shana kilawakati. . Ilkiwamtu kateleza anarudi kuwasaea jua binaadam tunajisahau hasa wenye pesa na wakishaenda huko umaghalibi yani Ulaya wanafata uzungutu kwahiyoninanafasi kama muislamkumkumbusha........... Ok
@kazumarihamisilikumbato92138 ай бұрын
Hanifa kama hujaolewa njoo nakuhitaji nikuoe nimetokea kukupenda
@rewardyesse73148 ай бұрын
Kwishaaa kabisaa
@MM-pb7fw8 ай бұрын
Huyu mwandishi yuko slow sana,kichwa kina-load slow..anauliza maswali ya kijinga ambayo jamaa amesha-explain ila anauliza tena!..Millard status ya brand yako ni kubwa watu kama hawa inabidi wakaongeze elimu au ujuzi,wakishindwa TOA!!!professionalism ianze kuzingatiwa duh!
@user-ek1bf8rz2u7 ай бұрын
acha majungu usiwe sehemu ya kumuharibiam mwenzi kibarua
@Ibrah2877 ай бұрын
@@user-ek1bf8rz2uSure
@rashidhamis53208 ай бұрын
Kupambana
@mjumbemwanda96668 ай бұрын
Interview kama hizi ziwe ndefu sasa
@benedictonesmo68578 ай бұрын
very nice interview and its so interested so we have a lot things to learn
@lawrencegwerino16564 ай бұрын
Usiwambie watanzania unainginza hela ngapi kwa mwaka,watakulilia shida hadi ukome…
Hata asi jisumbue, kuna vijana ni ma developer apa apa bongo lakin wame shindwa kusajiri kampuni zao kisa mfumo wa hovyo
@rashidmsuya57217 ай бұрын
Chipsi tofauti tofauti chipsi zege au chipsi kavu
@ellymakongo6568 ай бұрын
Sijui kwanini naangalia mikono yake sana? Anyway shetani toka.
@magazijuto79918 ай бұрын
Watu wengi wenye akili...mikono yao inakuwaga haitulii...
@hillarymushi22277 ай бұрын
Huyu anayehoji ana matatizo gani? Mbona anashindwa kuidirect mic vizuri kwa muhusika mara apindishe mara aweke mbali millard watu wako hawa
@florencejohn64277 ай бұрын
Serikali yetu ingekuwa inawekeza kwa vijana kama 200 kila mwaka kwa kuwatafutia shule bora nje ya nchi. Au kujenga hizo shule bora mbili hapa nchini. Baada ya miaka 20 hii nchi ingekuwa mbali mno. Sema ndio hivyo watoto wa wanasiasa na watu wengine wenye hela ndio wanaosoma shule nzuri huko nje, ila wengi wa hao watoto akili nidhamu commitments ni dhaifu. Ndio maana hatuwaoni wala kuwasikia kwenye taasisi kubwa kama hizi za Apple nk
@cleopatramalisa39237 ай бұрын
Umeongea point haswaa😅
@gracenbarnes52548 ай бұрын
Marekanj mambo ya teknolojia na it ndio yana pesa ndefu ikifatiwa na sekta ya afya na sheria
@kibasatv15248 ай бұрын
Sio kweli baada ya teknolojia ni idara za ulinzi na usalama hapo ni hatariiii sana
@pascojm68168 ай бұрын
@@kibasatv1524ah wapi, sheria ipo juu sana
@timcee26708 ай бұрын
@@kibasatv1524 DOCTOR, LAWYER na ENGINEER (ikiwemo it na computer engineering).......Hizi ndio ishu zinazolipa makampuni binafsi, jeshini, serikalini, n.k
@jayproducts58718 ай бұрын
Uzima upo??
@husseinhussein99717 ай бұрын
Muongo tu.
@user-yx2kl3ji8e7 ай бұрын
Sasa kwanini tunahangaika kama simu zina chips situnajilia hapo tu
@ZilfatAlly-lv1rw7 ай бұрын
😂
@nyimbilebravo33478 ай бұрын
Asije akaleft, Awe makin
@rajabumussa34518 ай бұрын
Umeongea poit sana, nawasiwas 😢
@nureyna6298 ай бұрын
Isikuhadae iyo mikono. Ukifanya kazi nje mara nyingi unaadapt na the way wanavyoongea na yeye keshakaa sana nje, that's very normal ..
@Guccidrugz8 ай бұрын
Mwendo wa chipsi tu
@tzcomputerservices49448 ай бұрын
mbona kama kashaleft
@Monyo048 ай бұрын
Hamna ni ongea yake tu kule Kwa wenzetu ni normal though Kuna red flag kwake
@ramseychobaliko10028 ай бұрын
Jamaa amesoma na yupo apple lakin anaongea Kiswahili sio hawa ma cheap boys wa bongo na madanga wa bongo wenye English course kujiongelesha oooh actually ooohh you know 🤮🤮🤮🤮👎👎👎🐍🐍
@naturelle10978 ай бұрын
Mshahara ni siri ya mutu why you are tangazaring😊
@samwelnaal79528 ай бұрын
Vidole Kipochi kwapani Bado sielewi
@eddopaul188 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nyie
@richardvedasto22858 ай бұрын
Kwaiyo hizo chips zinakaangwa na simu?
@shabaniramadhani88918 ай бұрын
Watanzania washamba sana inshu za mishahara ni maisha binafsi
@sakayonsakihunga34968 ай бұрын
we ndo mshambA kwakua hunahela zakuwambia watu
@alimaftah76408 ай бұрын
Mbona kalegea sn ! Dah
@ChoroTesla8 ай бұрын
watu wote smart wanaongea kwa intelligence sasa akaze umesikia yeye boda boda mbona mnamawazo ya kijinga
@suratibrahim64178 ай бұрын
Aisee... sidhani kama ni salama...kalainika kote..ulimi na viungo nk..🤨
@isacmusa47608 ай бұрын
🥲🥲 mtoto lainiii
@ChoroTesla8 ай бұрын
@@suratibrahim6417 hapana ni swagg tu sio kwamba kalinika sana watu wote wanao deal na mambo ya tech wako hvyo mfano MKHD yule anayechumbua simu ukimusoma km kalainika ila ni swagg tu
@user-ex6sh1rl4d8 ай бұрын
@@ChoroTeslahahahhahahahhahahah😂😅😂😅😅😂😅😂
@alexchungu62638 ай бұрын
Sio upinde ukweli?
@salminirajabu85028 ай бұрын
😃 Amna mbwe mbwe tu za kimarekani
@gordondavid60638 ай бұрын
Upinde kabsa
@afrimage_decor8 ай бұрын
Chip zikiwa nying ni chips kuku 😂😂😂
@ZilfatAlly-lv1rw7 ай бұрын
😂
@ZilfatAlly-lv1rw7 ай бұрын
😂
@neema_mollel8 ай бұрын
Mbona abuu unayumba yumba umetupia kamnyweso au
@flowinfabian93868 ай бұрын
Kwan huja ona movie ya krish magenious ndo wako hivyo 🤣
@neema_mollel8 ай бұрын
@@flowinfabian9386 🤣🤣🤣
@msowamhokole77148 ай бұрын
Ni Kama milioni tatu kwa siku ila iyo pesa watu wengi tu bongo wanapata
@issaomari72448 ай бұрын
Hiyo milioni 3 kwasiku wewe waipata??
@ahz69078 ай бұрын
Watu wengi wangapi? Ktk makampuni gani?
@Seluh_classic8 ай бұрын
Dohh m cjui niko nchi gan wallahi 😂
@crershawmafia10098 ай бұрын
Ukiachana na Bhakresa na MO wako wachache mno wenye level hizo ila sio waajiriwa.
@mrlongrichlongrichagent19298 ай бұрын
Labda uwe mwizi
@ahmedalshaibany8 ай бұрын
Kama kaleft group hivi
@richardchimba38008 ай бұрын
Unazingua😂
@daudimwidimakihanda53868 ай бұрын
Gay sign 🦧🦧 (hand shake for men is not like that)
@Monyo048 ай бұрын
Tafuta pesa acha malalamiko mbwa wewe
@highlinestar45838 ай бұрын
@@Monyo04ndo shida ya wabongo yani hawakosagi kukosoa kosoa na hawana kitu😂😂
@prosperjuma49938 ай бұрын
Manyoko ya mamaako
@marjentertainment20317 ай бұрын
Niliamua kunyamaza tuu
@kamole38 ай бұрын
Jamaa sio rizki
@user-wv4rf2zk1o8 ай бұрын
Hiyo mikono vipi
@aberinegosanga70678 ай бұрын
Muongo huyo
@abubakarothman72498 ай бұрын
Uong wake nini
@khamismohamed86348 ай бұрын
Tupe ushahidi wa uongo wake. Mwenzako ametoboa badala ya kumpa moyo pamoja na wengine wewe unapuuzia
@hemedsheha25158 ай бұрын
Wewe mkweli au choyo tu na rohombaya ilokujaa ? @aberinegosanga
@Youngchimodzi8238 ай бұрын
Sanga, muongo Kwa vipi fafanua,tuhuma mzito hizo? Mtu ana inspire vijana wafile mbali unasema muongo?una maanisha nini?
@isayamlala30758 ай бұрын
Uongo wake uko wapi..wewe ndo umekata tamaa...mpumbavu