Key point ya suluhisho ya mgogoro huu ni kurudishwa kwa makao makuu ya Dayosisi pale yalipokuwa awali.Kwa sababu kuhamishwa kwake ndiyo chanzo Cha mgogoro huo. Pili jiepusheni na jaziba na misimamo mikali kwani huwa haina tija kwenye utatuzi wa migogoro (Conflict Resolutions) Bali busara na hekima zinatakiwa kutamalaki. Tatu: Epukeni kutumia lugha zisizo na staha na zinazodhalilisha uongozi kwani hazina tija na Zina paint a very bad image ya organs zetu za kidini. And lastly, jizuieni kuchonganisha uongozi wa kidini na Serikali kuu. Majawabu ya conflict hii yapo mikononi mwa kanisa na siyo mikononi mwa Serikali. GOD BLESS YOU ABUNDANTLY.
@starfordmwakabonga70262 жыл бұрын
Jinga kabisa hili
@issakwisamwasanjobe5412 жыл бұрын
Tafuta kazi nyingine ,"ya Mungu Yatasimama" "matumiiz mabaya katiba" "mkuu wa kanisa tulimwelewa" ukabila unawasumbua
@neemaevance802 жыл бұрын
Mshindwe kwa jina yesu
@lawrencemwakyambiki22 жыл бұрын
Aibu...aibu....aibu...! Mungu atusamehe.
@miriammacha72612 жыл бұрын
Mungu aingilie kati akika akuna jambo linaloshindikana kwa mungu
@saulmwaisenye64472 жыл бұрын
Huyu Mwambola Hivi ni Dr wa nini? Au Mganga wa Kienyeji?
@christianomwakibibi70972 жыл бұрын
Huu ni ujinga tu sion cha maaana hapa huyu ndie mpigaji wa kwanza tena ⭐😋😋
@williamngogo55282 жыл бұрын
Yaani wachungaji kama hawa ni tatizo sana mimi askofu mkuu nilimwelewa
@elizabethsilayo38882 жыл бұрын
'Ndugu yako akikukosa mshambulie kwenye media'. Huu ujasiri ulionao nao wa kishetani sio wa kimungu. Kumshabulia mkuu wa kanisa kwa mamna ulivyofanya hata Shoo akinyamaza Mungu atasema. Nakuonea huruma sana, tengeneza na Mungu wako kungali mapema.
@19etl2 жыл бұрын
Hafai kabisa..atafute kazi nyingine huyo
@rachaelkawiche14552 жыл бұрын
Kwa kwelii mimi mwenyewe nimeshangaa haya magomvi na ujasirii alionao huyu mch ya kumshambulia dkt shoo yametoka wapii??? Wewe mch na wenzio mliokaa hapo hamjitambui unashindanaje na kiongozi wetu kumbuka mitandao haitawasaidia na kamwe hataweza kupingana na ukweliii kanisa ni la Mungu na watu wanabaki Wanashangaaa wachungaji wa namna ganiinii ninyii amani haitafutwagi hivyooo rudini darasanii hamjielewi
@rosesanford732 жыл бұрын
Hivi wewe!!!!!!!! subiri ya kwako yanakuja unachumia tumbo tu wewe huna lolote
@peterezekia23482 жыл бұрын
Si dhani kama hawa watu wapo kwa ajili ya kimwabudu Mungu, ni vipara matumbo yao yanawawasha
@peterezekia23482 жыл бұрын
@@rachaelkawiche1455 Kuna kitu anataka huyo si bure
@atiliosanga69552 жыл бұрын
Ameeee
@badenbensoni75162 жыл бұрын
Waruteri sasa tumeingia kwenye shida. Inabidi hao wachungaji wote wafukuzwe wote.
@adkajisi45362 жыл бұрын
Duh Dk unatema pumba, PHD yako ichunguzwe
@atuganilengomba71212 жыл бұрын
Nikweli baba mungu akubariki Tena mungu awasimamie
@emanuellyatuu7312 жыл бұрын
Aah polen
@matridandelwa28932 жыл бұрын
Kanisan limeanza kufika huku kwenye midia Mungu atutetee
@audifansisafari55876 ай бұрын
Mkajifundishe Kanisa KATOLIKI migogoro kama hiyo sijaiona na katiba yake ni ya dunia nzima inawaongoza
@twiseghekisilu88452 жыл бұрын
Huyu mwambola yupo kimaslahi yaani huyu ndo chanzo Cha mam o yote!kwenda huko hii kazi haikufai
@AmbokileOmarymwanyiru27 күн бұрын
Nasikia jana kimeumana huyu kasalenda kawacha wenzake njia panda siku ya tarehe 9/7/2024 bora ukutene na shetani lakini sio huyu jamaa
@audifansisafari55876 ай бұрын
Kiongozi amekosea sana kutumia nguvu ya serikali
@smwansasu86052 жыл бұрын
Hii haijakaa vizuri kabisa. Mbona mnaendeleza mgogoro? Kujifanya mjinga ni hekima sana kuliko kulumbana!!!
@twiseghekisilu88452 жыл бұрын
Huyu mwambola ndo shetani no1 kwanza kazi ya Mungu haimfai
@infinixinfinix77232 жыл бұрын
Ni kichwa mwambola
@bestermwaikenda33482 жыл бұрын
mnahangaika saana mbona
@jeanmusamba84482 жыл бұрын
tatizo mnachagua maaskofu kwa kuangalia PHD ni shda kubwa makanisan Timotheo anasema askofu awe mtu wa mfano katika ukristo asiwe mtu alieongoka hivi karibun,shoo angekuwa anatumia busara kanisa lisingefika huku kwenye aibu kuu
@sephaniamwakyomo40082 жыл бұрын
Nimeamin kuwa mwisho wa dunia umefika MUNGU Kama alimuadhibu Saul afanye na kwa Hawa ili wajue kuwa yupo
@gammatv2002 жыл бұрын
Hatari sana
@rehemamwamakula58762 жыл бұрын
Neno la Mungu linatuagiza kuukomboa wakati huu na si wakati wa malumbano wapendwa Ee Mungu tusaidie wana kkkt tuko mbele zako baba
@irenemwakisunga13592 жыл бұрын
Uwiiii wakina mjomba na shangazi mungu tusaidie
@davisshao91582 жыл бұрын
Hamna lolote nyie wachungaji wasaka vyeo na tumbo hivi mnaruhusiwaje kufanya Fujo kwenye makanisa hayo ya KKKT Lila mahalo lazima pawe na uongozi
@simongwandu7392 Жыл бұрын
Tangu wanawake wabarikiwe kuwa Wachungaji KKKT kanisa imeingia matatani Kila kona ni kubigiana vijembe.
@utukufugwalupama95012 жыл бұрын
Kweli Mungu mkuu awapatanishe Mwenyewe.
@nikodemmwahangila33342 жыл бұрын
Ndio hasara udokta wa kutunukiwa
@stellasambagale5792 жыл бұрын
Kabisa baba
@angelambwambo29032 жыл бұрын
Mh mapenzi ya Mungu yatimie
@tumainirkyando81282 жыл бұрын
DU ! Kanisa letu KKKT linatia aibu sana migogpro kila siku , NI AIBU ! NI AIBU NI AIBU MNO ,
@ellyjacob98972 жыл бұрын
Mpk tufike mbinguni loh tutakuwa choka mbaya😂😂😂😂
@ombenimwakasege18402 жыл бұрын
Hivi nyie wachungaji mnajisikiaje kufanya mnayoendelea kuyafanya mnalitesa kanisa la Mungu
@wingshotel96522 жыл бұрын
Shoo ameharbu
@peterezekia23482 жыл бұрын
Wengine sio Wachungaji ni wafanya biashara, kinachowatesa hao ni maslahi
@brownmtofole2 жыл бұрын
Wapendwa neno LA Mungu linatuagiza kuukomboa wakati,huu sio wakati wa malumbano na viongozi wetu kwakuwa kila mamlaka imewekwa na Mungu,tuheshimu mamlaka ili utumishi wetu upate kibali cha Mungu.Sisi waumini tunakwazika sana na tayari tumetawanyika ni kama kondoo wasio na mchunhaji.
@vumiliasakamala77772 жыл бұрын
Acha kumkufuru mungu huendani na limwili hilo aibu
@dannyessau38692 жыл бұрын
Wewe na unacho jivunia kimefka mwisho wake tatizo unataka ukuu KO nahela mlivyo vifanya tofauti mtavilipa
@angelambwambo29032 жыл бұрын
Nyie hampendi amani barua mlikataa zisisomwe mwogopeni Mungu
@ericmwankenja20502 жыл бұрын
Pepo mkubwa
@jontolimwambola21022 жыл бұрын
Wewe ndo pepo
@deodathkizito96372 жыл бұрын
Uzuri ni kwamba hili sio kanisa la Bwana Yesu hii ni dini za Wanadamu kwahio kupigana ni sawa
Jaman jaman kazi ipo heshimuni viongozi wenu ukitaka kushindana na kiti utaumia wewe sasa kumshambulia dkt shoo ndio mgogoro wenu umeisha au vipii??? Nyie vipofu hata mkionyeshwa njia hamuoni sasa jiongozeni wenyewe muone shughuli yenu mwambola na wenzio jitadhimini sana kwa hiki mlichokifanya mnazidiwa hata na walio chini yenuu .
@danielbegashe61262 жыл бұрын
Hekima imewaponyoka watumishi hawa. Kwanini muendelee kuchochea mgogoro! Mashindano haya yana faida gani kwa kanisa? Mna maslahi gani ktk hili enyi watumishi vipofu?
@ainesndubula83612 жыл бұрын
Wezi wote hao mnagimbania Nini Kama sio kuwatapeli wauumini mnarazimisha kuongoza watu ambao hawako tayali kuibiwa
@hurumaashely55982 жыл бұрын
Kuna kitu sio bule
@wingshotel96522 жыл бұрын
Ameongea vizuri
@evelynl.14842 жыл бұрын
Hekima ya Mungu ndiyo inayohitajika hapa, eeh Roho Mtakatifu naomba uwaongoze. Hii barua na usomaji, kwa mimi msikilizaji imejaa jazba, kunyoosha vidole, mimi kama muumini nimesikitishwa!!!!
@willymwakasege81482 жыл бұрын
Mungu anapotaka kufanya jambo lake mazingira hayamjalishi. Kumbuka alipotaka kuwatawanya mitume wakafanye kazi maeneo mbalimbali aliruhusu Stefano auawe kwa kupigwa mawe. Biblia inasema walienda hata miisho ya Nchi. Hata katika hili mi naamini kuna kitu Mungu anataka kufanya we subili utamwona mwenye kutawala mbingu na Nchi.
@geofreyambakisye7672 жыл бұрын
MUNGU WANGU TUEPUSHE NA SHETWAN HUYO anayenyemelea kanisa lako!!
@deborabrown21142 жыл бұрын
Fujo hatuzitaki uku kkkt kama kazi mmeshindwa ni bora mkakaa pembeni kuliko kulichafua kanisa.
@stewardmbena37372 жыл бұрын
Amina mtumishi
@machoguhameri77572 жыл бұрын
Kuongoza jamii ya mbeya ujipange mgogoro KKKT, mgogoro wa Morovian wakati wa Askofu Samweli Mwakijambile, Mgogoro kanisa EAGT Baada ya kulala baba Askofu Moses Kulola,na migogoro midogo midogo ya makanisa isiyo kwisha. Ndiyo maana mbeya kila siku makanisa yanagawanyika, Inaongoza kwa wingi wa vijikanisa vidogo vidogo Tanzania zaidi ya 3500 Mkoa mmoja. Mungu aiponye Mbeya
@donathmrema45192 жыл бұрын
Kazi IPO bila shaka dunia kwa Mbeya inaelekea mwisho
@deodathkizito96372 жыл бұрын
Acheni ujinga mhubirni Kristo
@stellasambagale5792 жыл бұрын
Je? Nani mwaikali au mwakihaba mukolofi
@walawioutreach40552 жыл бұрын
NINYI NI WAJINGA NA WASHENZI SANA ELEWENI KANISA LINAONGOZWA NA MIHIMILI MIWILI SERIKALI NA KANISA,MNGEPIGANA HAPO NA MKAUANA?DOLA INGEWAANGALIA TU?NONSENSE.
@audifansisafari55876 ай бұрын
Kanisa linaongozwa na YESU tu kupitia watumishi
@reubenismail36722 жыл бұрын
Gaweni dayosis ambayo itaitwa dayosisi of mbeya
@ulomirabiel69802 жыл бұрын
Hawa viongozi wa dini kweli wanashangilia moto kushikaa paa!! Heri wapatanishi kwa maana hao watamuona Mungu.
@eliaikammary75252 жыл бұрын
Hawa watu wa mbeya wana matatizo sana ,nishda Mungu wasaidie duh jazba
@peterezekia23482 жыл бұрын
Acheni mambo ya ajabu ninyi.....mnadhalilisha kanisa
@bumimsojo53592 жыл бұрын
Sasa wewe ndiyo Mwaikali au ndiyo kihelele chako ili uonekane muongeaji sana kuliko wenzako.
@rhodamgimba41932 жыл бұрын
😄😄😄😆
@sweetbertrwiza59822 жыл бұрын
Mbona Asikofu mwenyewe alikiri kumaliza mgogoro huu? Mbona mnarudisha ngogoro huu nyuma na nyie ni aki na nani?
@kipigapasilisungu25812 жыл бұрын
.
@jifunzekuhusuwewe74752 жыл бұрын
Mwambola Una Matatizo ulikuwepo wap wakati wenzako wanatatua hili suala
@reubenismail36722 жыл бұрын
Gawaneni dayosisi Hilo ndo jibu!
@riahwilly8292 жыл бұрын
Hivi kati ya Askofu shoo na huyu mch mwambola nani ana maslahi ,maana mgogoro umetokana na kuhamishwa kwa makao makuu ya dayosisi na anaehamisha ni askofu mwaikali na Leo hili genge la wachungaji waliokosa hekima na busara wanamtetea na kumchafua Dr Shoo kupitia media.Swali hivi ndg zangu wachungaji mnapofanya shuguli za kanisa pamoja na mawasiliano yanayofanyika kati ya dayosisi na makao makuu ya KKKT mnatumiaaga vyombo vya habar?.Kwa busara na hekima na kwa heshima ya kanisa nzima hamkutambua kuwa hiyo barua uliyosoma hapo ingeenda kimya kimya na kumfikia Askofu mkuu Dr shoo ili ajitafakari kama kweli alifanya vibaya?.Mjitafakari upya watumishi wa Mungu,minyukano kama hiyo haifai ndani kanisa angalau tungenyukana sisi wanasiasa japo wanasiasa tunaoelewa nin siasa hatuwez kufanya hivo kwani haileti afya nzuri kwa Taifa.Mwisho Wachungaji watumishi wa Mungu cku zote mkumbukeni kuwa shetani yupo kazin na ana namna nyingi ya kuiteka mioyo yetu lakin pia mkumbuke hilo ni jaribu na kwanini Mungu kaliruhusu je ni wapi mmekengeuka ,na tunaamini jaribu lina lango la kuingilia na kutokea ni wazi kuwa nyinyi Wachungaji hamkumlilia Mungu kwa maimbi na kama mnaomba bac unyenyekevu umekosakana.Ushauri wangu Kwa Watumishi wa Mungu wote kazi ya Mungu ni Wito na karama na unapata mkwamo katika kufanya huduma hiyo mfano Mgogoro wa dayosisi ya konde ni busara kujitoa au kujiuzulu nafasi mlizonazo,kama ni kula Mungu atawalisha popote.
@timothymoshi5800 Жыл бұрын
Riah, ni miezi kumi imepita tangu uandike hii makala. Kwa sasa una maoni gani ???
@festoselaka20752 жыл бұрын
Tafuteni kuwa na amani na watu wote
@anzarabiboniface30502 жыл бұрын
Huyu Mchungaji busara yake ni fupi mn
@eliangilingamtui69542 жыл бұрын
Dayosisi aiamishwi
@hurumaashely55982 жыл бұрын
Mlikuja sumbawanga kwenye mgogoro na nyie mlifanya kwenda kwa mkuu wa mkoa na vyombo vya Dora leo yapo wapi na wewe Mwambola ulikuwepo mbona hamkutumia vikao mlitumia mabavu
@annamushiaminaaa43672 жыл бұрын
Msije mkamsema mkuu wetu hata cku moja mbavita vya kijinga kila cku mnajulikana.
@angelambwambo29032 жыл бұрын
Hivi kumbe kanisa lina ukabila
@rosesanford732 жыл бұрын
Mjinga tu huyu anatafuta watu wa kumuunga mkono ashindwe na alegee media si suluhisho na wote mnaoo nekana hapo mmefeli sana wala mm siwadanganye watu hakuna ukabila toka tumeanzisha dayosisi hii ninyi ndo wakorofi kwajili ya njaa zenu
@lusajoalison76172 жыл бұрын
Mpanda madaraka wewe acha ujinga
@richardhaule12672 жыл бұрын
Bwana Yesu KRISTO utulehemu tumepotea Tena tumepotea huku makanisani kumekua tatizo wachumia tumbo wamekua Tatizo
@johnpaulin45112 жыл бұрын
Nyakati za mwisho upendo wa wengi kupoa hata maasi kuongezeka Mathayo 24:11-12 [11]Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi. And many false prophets shall rise, and shall deceive many. [12]Na kwa sababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. And because iniquity shall abound, the love of many shall wax cold.
@hurumaashely55982 жыл бұрын
Hawa ndio wanamshauri Askofu kuwaumiza waumini much Mwambola kweli mnaendelea na mgogoro
@justiceemmanuel81372 жыл бұрын
Hiyo ndio furaha yake kuendeleza mgogoro
@novatusmbuya30712 жыл бұрын
Kwa nini msijifunze kwa kanisa katoliki? Nani kesha ona mgogoro wa kiuongozi ndani ya wana katoliko?hamna! Hizi ni cheche za uasi !
@obinasimbeye17502 жыл бұрын
Msimchezee Mungu kama hamuwezi kufanya kazi yake acheni wengine wafanye. Mungu anaweza yageuza hata mawe yakamsifu kuliko nyie msiomjgioa Mungu
@obinasimbeye17502 жыл бұрын
Mwambola ajitathimini kwa asemayo ni Mungu ndio anayataka hayo .badala ya kujenga tena unaanza kubomoa. Tulifurahi tukajua mgogoro umeisha kwa neema ya Mungu Unaanza tena ys zMungu hayo kweli???
@inoccentisaya74702 жыл бұрын
Huyo mchngj hajielewi
@petermangowi2 жыл бұрын
Kwa kweli tafakarini wachungaji wa konde ni aibu tupu.
@petermangowi2 жыл бұрын
Wewe mkuu wa jimbo tafakari sana, kazi unayoifanya siyo ya mtu... ni ya Mungu. Mimi ni Mlutheri lakini kwa huyu kanisa limepoteza misingi yake.
@tumainimwakyaka27752 жыл бұрын
Sasa nyie huko mnagomba nn?mbona KKKT n kanisa Aman!MUNGU asimame mwenyewe maana KKKT TUKUYU n kanisa la Aman&upendo