MGOMBEA USPIKA ALIVYOWAKOSHA WABUNGE, ATUNZWA PESA

  Рет қаралды 498,118

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Пікірлер: 405
@paulinepeter412
@paulinepeter412 2 жыл бұрын
He is very strategic hakutaka uspika alitaka kutambuliwa and he made it... subirini uteuzi wake soon... proud of him. Tanzania tuna lots of talents,.
@irenesisamo2184
@irenesisamo2184 2 жыл бұрын
Very true imendeze mama tu
@happyelias9465
@happyelias9465 2 жыл бұрын
Nilichofurahi ni kumuona mch gwajima, Mungu akutunze BABA
@tittoskeysproject1967
@tittoskeysproject1967 2 жыл бұрын
Jitu la MBINGUNI
@ibrahimunderson4615
@ibrahimunderson4615 2 жыл бұрын
Mm pia
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 2 жыл бұрын
Jamaa katoa pesa kachukua form kakosa uspika hajapata hasara,karudishiwa pesa aliyoitoa nakubwa zaidi kapata faida kubwa kwani amejitangaza nawatu wamemjua naserikali imemjua.Msije shangaa kapewa ukuu fulani...Hongera.Tengeneza mfereji upatapo fursa kama hii.
@deepconcept2020
@deepconcept2020 2 жыл бұрын
Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.
@jaharaoman6478
@jaharaoman6478 2 жыл бұрын
Amina
@rubenijackisoni5679
@rubenijackisoni5679 2 жыл бұрын
Mungu wambinguni Akujalie uzima na Afya njema kijana mwenzangu ulimavu wa ngozi sio Akili
@eshasalim5496
@eshasalim5496 2 жыл бұрын
Ameen
@onlythestrong8659
@onlythestrong8659 2 жыл бұрын
Jamaa kasha kuwa maarufu tayari dakika 14 zimebadili maisha yake tayari.👍
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 жыл бұрын
Dakika 14 zimebadilisha maisha yake. Sema bongo nyoso sana....
@cyprianoduor870
@cyprianoduor870 2 жыл бұрын
Charisma of this man will make parliament active.
@bonawalewale9921
@bonawalewale9921 2 жыл бұрын
Amazing Ndonge Said Ndonge wewe ni mkali ubarikiwe sana
@hannansdeliciousfood4261
@hannansdeliciousfood4261 2 жыл бұрын
Ana confidence ......maashaaAllah Mungu akusinamie....baba Amiin
@revivalchoir1
@revivalchoir1 2 жыл бұрын
Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania
@Iamraychris
@Iamraychris 2 жыл бұрын
Askari kweli kweli et “ we ni chaguwe afu uone shuhuli “ 😂✊🏾🙌🏾
@maryberege3093
@maryberege3093 2 жыл бұрын
Jembe kweli kweli nichague halafu uone shuhuli
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
HUYO LAZIMA AINGIE FAINALI KOMBE UWANJANI👍👍👍👍
@RamadhanAli
@RamadhanAli 2 жыл бұрын
Great guy!!! I believe that disability is not inability, this guy has shown he is capable. Hilariously took the session with great confidence.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
Why are you thinking of disability, who said albinism is disability??
@RamadhanAli
@RamadhanAli 2 жыл бұрын
@@BigZhumbe Do you even realise what you are talking about? Kindly enlighten yourself before involving yourself into such a topic.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
@@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 2 жыл бұрын
Very true
@RamadhanAli
@RamadhanAli 2 жыл бұрын
@@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.
@djurio
@djurio 2 жыл бұрын
Mama nakusii ikikupendeza mtafutie pakutumika katika nchi yetu....Hii akili haijatumiwa bado....Wenye nafasi ya kusema hawana ya kusema na wenye ya kusema hawana pakusemea....
@alimakame9215
@alimakame9215 2 жыл бұрын
Dar
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 2 жыл бұрын
Duhh
@abdullahipharah3677
@abdullahipharah3677 2 жыл бұрын
Mimi mzaliwa kenya, na kwa ukweli nimefurahi kuona vile mnatafuta Umoja wa wanainchi 🙌🏾🙌🏾👍🙌🏾 HONGERA!!
@selinamashoko2490
@selinamashoko2490 2 жыл бұрын
Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!
@hiquest7273
@hiquest7273 2 жыл бұрын
I truly love the orderliness with the tanzanians in such openess. Kenya Bunge, learn
@zolongOne
@zolongOne 2 жыл бұрын
Wamempa hela halafu hakuna aliyempigia kura 🤣🤣🤣
@bibilaginanani8259
@bibilaginanani8259 2 жыл бұрын
Hongera sana kiongozi unaweza
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 2 жыл бұрын
Nimependa maongezi yake mungu mpatie nafasi nzuri ya kazi nyengine yenye kheri na yeye
@eshasalim5496
@eshasalim5496 2 жыл бұрын
Allahumma Amiin
@dubabaxakatv2993
@dubabaxakatv2993 2 жыл бұрын
Kama mkenya🇰🇪 nimependa anavyoongea maze wish him all the best
@lmashua
@lmashua 2 жыл бұрын
Love love him, Nitchague kwanza kisha uone shughuli.
@theopistamwayeya1764
@theopistamwayeya1764 2 жыл бұрын
Hahaaa
@dallorday
@dallorday 2 жыл бұрын
Mungu amekuchagua kwa wakati wake sahihi
@hassanmohamedi7585
@hassanmohamedi7585 2 жыл бұрын
Hadi rahaaa mama amuangalie vizurii huyu anaweza kutufaaa ata kua mkuu wa wilaya
@pascalpolepole1209
@pascalpolepole1209 2 жыл бұрын
Ana Akili timamu kabisa! Respect !👌👌👌🔥🔥🔥
@sumahtanzania4991
@sumahtanzania4991 2 жыл бұрын
Mashalah anafaa sana ana confidence
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 2 жыл бұрын
@MillardAyo “Mwomba Ridhaa” sio Mgombea🤣🤣🤣🤣🤣
@mkato5831
@mkato5831 2 жыл бұрын
Ndonge anatufaa sana .mama tunaomba umpe kitengo HUYU mwamba ana kitu kwetu
@rosemarymshana3939
@rosemarymshana3939 2 жыл бұрын
He's the greatest confidence man✊❣️🙏
@johnrimoy1613
@johnrimoy1613 2 жыл бұрын
Anauwezo wa kushawishi. Safi sana.
@believeboy2150
@believeboy2150 2 жыл бұрын
Jamani kama mmehesabu kama Mimi naomba like zangu🤗🤗
@arkamsaid7600
@arkamsaid7600 2 жыл бұрын
We KWANZA nichague alfu uone shuguli😂😂😂
@evanccast6228
@evanccast6228 2 жыл бұрын
Muomba rithaa Ndonge Said ndonge yuko vizuriii sanaaa 👏👏👏👏👏
@malkavoice2570
@malkavoice2570 2 жыл бұрын
Huyu jamaa alistahili kuwa spika kabisa. Angefanya jambo ktk bunge ili tufikie malengo jamani. Hivi Tulia si wale wale au?
@chrissg4026
@chrissg4026 2 жыл бұрын
Nimefurahia confidence yake🤣
@mgasa_tz5527
@mgasa_tz5527 2 жыл бұрын
Anazingua, coz anaongea Joking kwenye jambo serious
@ramadhanishaha6884
@ramadhanishaha6884 2 жыл бұрын
Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri
@samweliandrea7802
@samweliandrea7802 2 жыл бұрын
Hiii ndio Tanzania tunayo itaka mm napenda sana nikiona watu wanafurahi hivo mungu awasaidie sana viongozi wetu muwe na amani hiyohiyo
@BOB-oe7tc
@BOB-oe7tc 2 жыл бұрын
Nice
@arqammasoud6858
@arqammasoud6858 2 жыл бұрын
Mama mtu voo mungu azidi kumlinda 🙏
@JAYCLASSICMEDIA
@JAYCLASSICMEDIA 2 жыл бұрын
EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏
@to-chisesoboy7336
@to-chisesoboy7336 2 жыл бұрын
Hapo pembeni ya mheshimiwa Msukuma namwona msanii wa bongo fleva KEISHA
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣anaongea kwa cofides Sana akikosa uspika mama samia suruh Hasan amfikirie kwa nafasi nyingine 🤣🤣🤣🤣🤣
@innocentmfundo5290
@innocentmfundo5290 2 жыл бұрын
I'm Thrilled, This Is Love.
@schosay_
@schosay_ 2 жыл бұрын
I am happy to see my fav former minister Sir Mwalukuvi,
@sharcksharckhassan5786
@sharcksharckhassan5786 2 жыл бұрын
Wewe kwanza nichague kisha uone kazi yangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.
@amanlenatus9067
@amanlenatus9067 2 жыл бұрын
Duh jamaa apewe yeye tu huyo akson aende uko
@agripinaaudax168
@agripinaaudax168 2 жыл бұрын
Mnapotezea watu muda afu mshaandaa watu wenu mnaboa sana ccm asee bs tu
@mpokimwakisimba692
@mpokimwakisimba692 2 жыл бұрын
Inasikitisha Sana yaani. Shida ndiyo hiyo, tunawekewa matikiti maji😓😥
@blackpanther4825
@blackpanther4825 2 жыл бұрын
Nchi ya kishamba sana
@hamisikisoma2742
@hamisikisoma2742 2 жыл бұрын
Safi sanaa Mr.Ndonge umeupiga mwingi muomba ridhaaaaaaa
@TALLUBOY
@TALLUBOY 2 жыл бұрын
Kweli umetisha sana kamanda
@angeljustine2493
@angeljustine2493 2 жыл бұрын
Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 жыл бұрын
Ndugu Ndonge Saidi Ndonge uko vizuri baba nyota inang'aa😂😂😂
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 2 жыл бұрын
Kweli wenye mengi ya kusema hawana nafasi ya kusema na wenye nafasi ya kusema hawana la kusema...dongo kwa wabunge walio wengi hilo kawapiga kiaina
@samomnanka2779
@samomnanka2779 2 жыл бұрын
AAFC ndio chama gani au ndio sarakasi za CCM
@umojamedia4167
@umojamedia4167 2 жыл бұрын
icho kiti cha uspika anagombea yeyote ata huyu japo sio mmbunge Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom
@francismagari4373
@francismagari4373 2 жыл бұрын
Ahsante kwa kuizungumzia Katiba mpya
@edm0ndk
@edm0ndk 2 жыл бұрын
7:34 Ndonge kaupiga mwingi hapa 🙌🏾😂🤣
@issaalfani1030
@issaalfani1030 2 жыл бұрын
Umeongea kwa uwezo mkubwa sana
@makameali136
@makameali136 2 жыл бұрын
NDOGE mama yetu fanya utupe mwamba huu nafasi yoyote atumikie nchi yetu
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 2 жыл бұрын
Sasa nimepata JAWABU ni wapi MANARA alipochukua ENGLISH COURSE 😁😁😁😁😀😀😀 Nawahakikishia huyu lazima atakua " MNYAMA "tu
@rossmaryphases8509
@rossmaryphases8509 2 жыл бұрын
Hna akir wewe wngne wanajb yakuhsiana na tkio we unajb mambo ya mpira ama kwel akir ni nywele
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 2 жыл бұрын
Dada ROSEMARY hivi unamaanisha "AKILI au AKIR?" Na kama ni AKILI basi nipunguzie wewe mwenye NYWELE nyingi......
@youngbilioners4631
@youngbilioners4631 2 жыл бұрын
Uyo anae rusha mikono ametanguria mbere ukute nyumbani mke wake akisema nipe mwiko uwo utakuta anagoma oya KAZI zakike izo apo anapo pigamapigo
@simonjnrmabula3785
@simonjnrmabula3785 2 жыл бұрын
Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.
@jaharaoman6478
@jaharaoman6478 2 жыл бұрын
Lukuvi yupo vzr sana👏🏻👏🏻👏🏻
@zuenajohn8325
@zuenajohn8325 2 жыл бұрын
Naungana na mhe. Simon Mabula . Lukuvi anafaa nafasi ya uspika.
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 2 жыл бұрын
Kutunzwa kwa fedha ni kwamba anafaa au kamsemea Mama vizuri? Naona giza hapa
@zuenajohn8325
@zuenajohn8325 2 жыл бұрын
@@loishiyesamwel1374 kamsifia mama na wampendae mama wakamuunga mkono.
@binrashid8671
@binrashid8671 2 жыл бұрын
Anafaaa sana kama asingegubikwa na UDINI...
@saidabdallah2649
@saidabdallah2649 2 жыл бұрын
Dah huyu anafaaa sana yaani yuko vizuri labda akose busara 👍👍👍😂😂
@nicksonnewton1540
@nicksonnewton1540 2 жыл бұрын
Wamakonde mpo hea mnatak nchi kilazima
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Hakuna makonde ambaye anataka nchi kilazima acha kuleta mambo ya ukabila
@hamismagangger7542
@hamismagangger7542 2 жыл бұрын
Ana comfidence sana lakini kaaambiwa ajielezeee anatoka nje ya mada 😁🥛
@ramadhanimtetu7246
@ramadhanimtetu7246 2 жыл бұрын
Hahahaha Nimecheka mnooo.
@salimkatana6721
@salimkatana6721 2 жыл бұрын
Umeambiwa ujieleze ww unasifu mtu,,interview za wabongo bana.uchawa tu!
@janethjustin5256
@janethjustin5256 2 жыл бұрын
He is great man 👏👏
@moshiomarymnyeda8907
@moshiomarymnyeda8907 2 жыл бұрын
Wangempa Lukuvi tu Yupo makini sana aisee
@dismashaule1631
@dismashaule1631 2 жыл бұрын
Nimefarijika sna kumuona Mch.Gwajma akiwa bungen,Mungu yu mwema Ila Ndonge kapiga pesa sna kwa dakika 10
@angeljustine2493
@angeljustine2493 2 жыл бұрын
Nampongeza mama kwa ujenzi wa madarasa kuipa heshima nchi.Pia umewapa heshima walimu kufundishia kwenye madarasa ya kiwango,nashukuru pia kwa kuwamini walimu kuwa wasimamizi wa ujenzi wa madarasa kazi imeoneka.Mama nakuombea kwa Mungu aendelee kukupa hekima,busara na maarifa kutuongoza Watanzania.Mpaka sasa naona 2025 huna mpinzani ndani ya Ccm na nje ya ccm.Ongela sana mama.
@olobikoomollel3898
@olobikoomollel3898 2 жыл бұрын
Jamani mliomchangia pia mpeni na kura muomba ridhaa ....mungu awabariki wote watanzania mlioguswa na bwana ndunge
@malkavoice2570
@malkavoice2570 2 жыл бұрын
Huyu mama sio mchawi kweli alouliza swali la kwanza kwa muheshimiwa?!
@suleimanbakar3429
@suleimanbakar3429 2 жыл бұрын
banging kweli cab mboga msukuma anavuta bang hasa
@omarymohammed9396
@omarymohammed9396 2 жыл бұрын
Ndonge ana madini kichwani anafaa kuwa mkuu wa mkoa
@mosesmahinya9654
@mosesmahinya9654 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ni nouma sana
@kapondamsita476
@kapondamsita476 2 жыл бұрын
Allah akupemafanikio inshallah
@eshasalim5496
@eshasalim5496 2 жыл бұрын
Allahumma Amiin
@hellenbochere4982
@hellenbochere4982 2 жыл бұрын
Kweli Kawa speaker
@baselinoelimwasi3763
@baselinoelimwasi3763 2 жыл бұрын
Hivi vyama kweli Ni vya CCM
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 2 жыл бұрын
Ila lukuvi anafaa kuwa spika hataki ujinga na unafiki maswali ya kipuuzi anayacheua
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 2 жыл бұрын
Huyu Lazma Apate Nafas Katika Serikal Hii
@simonlyimo4360
@simonlyimo4360 2 жыл бұрын
Mweshimiwa Said Ndonge kapita tayar kwtu
@bakarimohamedi5814
@bakarimohamedi5814 2 жыл бұрын
Issue serious mtu anapiga porojo tu hamna kitu hapa
@ChiefMkwetu
@ChiefMkwetu 2 жыл бұрын
Amepata fulsa ila ameshindwa kuitumia !!!😳😳
@maximusalnono6425
@maximusalnono6425 2 жыл бұрын
Wee kwanza nichague halafu uone shughuli 🤣🤣Ndonge kiswahili kingi amekaa sana vibaraza vya karata na kahawa 🤣🤣
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 жыл бұрын
Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.
@tkmastertkmaster4000
@tkmastertkmaster4000 2 жыл бұрын
Bwana ndonge chama kimemponza 🙌🙌🙌
@beatricefilbert1171
@beatricefilbert1171 2 жыл бұрын
Mi sijaona cha maana hapo kwani kabda ya corona watanzania walikua hawasomi? Sikatai madarasa ndo ya mkopo wa miaka 20 bila riba umeshaona wapi biashara ya hivyo toka kuzaliwa kwako
@dazzoofficial469
@dazzoofficial469 2 жыл бұрын
Hana maajabu wala hoja za msingi Mama maamaa mama nini bn Ongea vitu nya msingi
@simontamba1285
@simontamba1285 2 жыл бұрын
Ujasiri A point hakuna anatafuta pa kutokea
@hassanomar1041
@hassanomar1041 2 жыл бұрын
Ndonge amemaliza kila kitu mimi ni mkenya ila nimempitisha ✌
@sundaymapunda4199
@sundaymapunda4199 2 жыл бұрын
Umetisha Kaka hiyo ni lugha
@eliyahango4278
@eliyahango4278 2 жыл бұрын
Huyu anaomba ridhaa au anaomba budhaa🤣🤣🤣🤣🤣
@kinaboavelini8238
@kinaboavelini8238 2 жыл бұрын
😁 yupo vizuri sana, naimani ataonwa zaidi
@rich_wasparner9233
@rich_wasparner9233 2 жыл бұрын
Hongera Sana muomba ridhaa
@halfanijmpanjila7118
@halfanijmpanjila7118 2 жыл бұрын
Duuuh.. ebhana muomba ridhaa katixha kinomah nomah...😂😂😂
@aizakhabib6373
@aizakhabib6373 2 жыл бұрын
Tunaomba utulivu zimekuwa nyingi lakini hakuna utulivu😂😂😂
@HamixBreshiBane
@HamixBreshiBane 2 жыл бұрын
Jamaa kwa jinsi alivyo na alivyoongea watampatia kitengo
@jacquelinesemu1347
@jacquelinesemu1347 2 жыл бұрын
Nimefurahi kumsikiliza
@eliyahango4278
@eliyahango4278 2 жыл бұрын
Wabunge wa ccm Mungu anawaona, mnawapa wagombea nafasi za kujiekeza wakati m ajua hawashindi😝😝😝😝😝😝😝🤣🤣🤣
@lumumbasankara6388
@lumumbasankara6388 2 жыл бұрын
Hahahahaaaaa maisha kucheka tu
@fralex_1276
@fralex_1276 2 жыл бұрын
I love this guy
Style aliyoitumia Makongoro Nyerere kuomba kura za ubunge
12:53
Millard Ayo
Рет қаралды 477 М.
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
9:21
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 57 МЛН
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 302 М.
Donald Trump speaks for the 1st time on the assassination attempt
14:17
FOX 9 Minneapolis-St. Paul
Рет қаралды 10 МЛН