He is very strategic hakutaka uspika alitaka kutambuliwa and he made it... subirini uteuzi wake soon... proud of him. Tanzania tuna lots of talents,.
@irenesisamo21842 жыл бұрын
Very true imendeze mama tu
@happyelias94652 жыл бұрын
Nilichofurahi ni kumuona mch gwajima, Mungu akutunze BABA
@tittoskeysproject19672 жыл бұрын
Jitu la MBINGUNI
@ibrahimunderson46152 жыл бұрын
Mm pia
@saimonijonas43562 жыл бұрын
Jamaa katoa pesa kachukua form kakosa uspika hajapata hasara,karudishiwa pesa aliyoitoa nakubwa zaidi kapata faida kubwa kwani amejitangaza nawatu wamemjua naserikali imemjua.Msije shangaa kapewa ukuu fulani...Hongera.Tengeneza mfereji upatapo fursa kama hii.
@deepconcept20202 жыл бұрын
Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.
@jaharaoman64782 жыл бұрын
Amina
@rubenijackisoni56792 жыл бұрын
Mungu wambinguni Akujalie uzima na Afya njema kijana mwenzangu ulimavu wa ngozi sio Akili
@eshasalim54962 жыл бұрын
Ameen
@onlythestrong86592 жыл бұрын
Jamaa kasha kuwa maarufu tayari dakika 14 zimebadili maisha yake tayari.👍
@dalali_professionalwa_dodo83302 жыл бұрын
Dakika 14 zimebadilisha maisha yake. Sema bongo nyoso sana....
@cyprianoduor8702 жыл бұрын
Charisma of this man will make parliament active.
@bonawalewale99212 жыл бұрын
Amazing Ndonge Said Ndonge wewe ni mkali ubarikiwe sana
@hannansdeliciousfood42612 жыл бұрын
Ana confidence ......maashaaAllah Mungu akusinamie....baba Amiin
@revivalchoir12 жыл бұрын
Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania
@Iamraychris2 жыл бұрын
Askari kweli kweli et “ we ni chaguwe afu uone shuhuli “ 😂✊🏾🙌🏾
@maryberege30932 жыл бұрын
Jembe kweli kweli nichague halafu uone shuhuli
@salimmalaka2562 жыл бұрын
HUYO LAZIMA AINGIE FAINALI KOMBE UWANJANI👍👍👍👍
@RamadhanAli2 жыл бұрын
Great guy!!! I believe that disability is not inability, this guy has shown he is capable. Hilariously took the session with great confidence.
@BigZhumbe2 жыл бұрын
Why are you thinking of disability, who said albinism is disability??
@RamadhanAli2 жыл бұрын
@@BigZhumbe Do you even realise what you are talking about? Kindly enlighten yourself before involving yourself into such a topic.
@BigZhumbe2 жыл бұрын
@@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.
@antoinekatembo85202 жыл бұрын
Very true
@RamadhanAli2 жыл бұрын
@@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.
@djurio2 жыл бұрын
Mama nakusii ikikupendeza mtafutie pakutumika katika nchi yetu....Hii akili haijatumiwa bado....Wenye nafasi ya kusema hawana ya kusema na wenye ya kusema hawana pakusemea....
@alimakame92152 жыл бұрын
Dar
@Kijana-wa-Tanzania2 жыл бұрын
Duhh
@abdullahipharah36772 жыл бұрын
Mimi mzaliwa kenya, na kwa ukweli nimefurahi kuona vile mnatafuta Umoja wa wanainchi 🙌🏾🙌🏾👍🙌🏾 HONGERA!!
@selinamashoko24902 жыл бұрын
Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!
@hiquest72732 жыл бұрын
I truly love the orderliness with the tanzanians in such openess. Kenya Bunge, learn
@zolongOne2 жыл бұрын
Wamempa hela halafu hakuna aliyempigia kura 🤣🤣🤣
@bibilaginanani82592 жыл бұрын
Hongera sana kiongozi unaweza
@ahmadsayyeed79102 жыл бұрын
Nimependa maongezi yake mungu mpatie nafasi nzuri ya kazi nyengine yenye kheri na yeye
@eshasalim54962 жыл бұрын
Allahumma Amiin
@dubabaxakatv29932 жыл бұрын
Kama mkenya🇰🇪 nimependa anavyoongea maze wish him all the best
@lmashua2 жыл бұрын
Love love him, Nitchague kwanza kisha uone shughuli.
@theopistamwayeya17642 жыл бұрын
Hahaaa
@dallorday2 жыл бұрын
Mungu amekuchagua kwa wakati wake sahihi
@hassanmohamedi75852 жыл бұрын
Hadi rahaaa mama amuangalie vizurii huyu anaweza kutufaaa ata kua mkuu wa wilaya
@pascalpolepole12092 жыл бұрын
Ana Akili timamu kabisa! Respect !👌👌👌🔥🔥🔥
@sumahtanzania49912 жыл бұрын
Mashalah anafaa sana ana confidence
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
@MillardAyo “Mwomba Ridhaa” sio Mgombea🤣🤣🤣🤣🤣
@mkato58312 жыл бұрын
Ndonge anatufaa sana .mama tunaomba umpe kitengo HUYU mwamba ana kitu kwetu
@rosemarymshana39392 жыл бұрын
He's the greatest confidence man✊❣️🙏
@johnrimoy16132 жыл бұрын
Anauwezo wa kushawishi. Safi sana.
@believeboy21502 жыл бұрын
Jamani kama mmehesabu kama Mimi naomba like zangu🤗🤗
@arkamsaid76002 жыл бұрын
We KWANZA nichague alfu uone shuguli😂😂😂
@evanccast62282 жыл бұрын
Muomba rithaa Ndonge Said ndonge yuko vizuriii sanaaa 👏👏👏👏👏
@malkavoice25702 жыл бұрын
Huyu jamaa alistahili kuwa spika kabisa. Angefanya jambo ktk bunge ili tufikie malengo jamani. Hivi Tulia si wale wale au?
@chrissg40262 жыл бұрын
Nimefurahia confidence yake🤣
@mgasa_tz55272 жыл бұрын
Anazingua, coz anaongea Joking kwenye jambo serious
@ramadhanishaha68842 жыл бұрын
Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri
@samweliandrea78022 жыл бұрын
Hiii ndio Tanzania tunayo itaka mm napenda sana nikiona watu wanafurahi hivo mungu awasaidie sana viongozi wetu muwe na amani hiyohiyo
@BOB-oe7tc2 жыл бұрын
Nice
@arqammasoud68582 жыл бұрын
Mama mtu voo mungu azidi kumlinda 🙏
@JAYCLASSICMEDIA2 жыл бұрын
EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏
@to-chisesoboy73362 жыл бұрын
Hapo pembeni ya mheshimiwa Msukuma namwona msanii wa bongo fleva KEISHA
@dotnatajoseph26202 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣anaongea kwa cofides Sana akikosa uspika mama samia suruh Hasan amfikirie kwa nafasi nyingine 🤣🤣🤣🤣🤣
@innocentmfundo52902 жыл бұрын
I'm Thrilled, This Is Love.
@schosay_2 жыл бұрын
I am happy to see my fav former minister Sir Mwalukuvi,
@sharcksharckhassan57862 жыл бұрын
Wewe kwanza nichague kisha uone kazi yangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.
@amanlenatus90672 жыл бұрын
Duh jamaa apewe yeye tu huyo akson aende uko
@agripinaaudax1682 жыл бұрын
Mnapotezea watu muda afu mshaandaa watu wenu mnaboa sana ccm asee bs tu
@mpokimwakisimba6922 жыл бұрын
Inasikitisha Sana yaani. Shida ndiyo hiyo, tunawekewa matikiti maji😓😥
@blackpanther48252 жыл бұрын
Nchi ya kishamba sana
@hamisikisoma27422 жыл бұрын
Safi sanaa Mr.Ndonge umeupiga mwingi muomba ridhaaaaaaa
@TALLUBOY2 жыл бұрын
Kweli umetisha sana kamanda
@angeljustine24932 жыл бұрын
Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.
@gabriellyadam94152 жыл бұрын
Ndugu Ndonge Saidi Ndonge uko vizuri baba nyota inang'aa😂😂😂
@hajimnubi45812 жыл бұрын
Kweli wenye mengi ya kusema hawana nafasi ya kusema na wenye nafasi ya kusema hawana la kusema...dongo kwa wabunge walio wengi hilo kawapiga kiaina
@samomnanka27792 жыл бұрын
AAFC ndio chama gani au ndio sarakasi za CCM
@umojamedia41672 жыл бұрын
icho kiti cha uspika anagombea yeyote ata huyu japo sio mmbunge Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom
@francismagari43732 жыл бұрын
Ahsante kwa kuizungumzia Katiba mpya
@edm0ndk2 жыл бұрын
7:34 Ndonge kaupiga mwingi hapa 🙌🏾😂🤣
@issaalfani10302 жыл бұрын
Umeongea kwa uwezo mkubwa sana
@makameali1362 жыл бұрын
NDOGE mama yetu fanya utupe mwamba huu nafasi yoyote atumikie nchi yetu
@minskbelarus72552 жыл бұрын
Sasa nimepata JAWABU ni wapi MANARA alipochukua ENGLISH COURSE 😁😁😁😁😀😀😀 Nawahakikishia huyu lazima atakua " MNYAMA "tu
@rossmaryphases85092 жыл бұрын
Hna akir wewe wngne wanajb yakuhsiana na tkio we unajb mambo ya mpira ama kwel akir ni nywele
@minskbelarus72552 жыл бұрын
Dada ROSEMARY hivi unamaanisha "AKILI au AKIR?" Na kama ni AKILI basi nipunguzie wewe mwenye NYWELE nyingi......
@youngbilioners46312 жыл бұрын
Uyo anae rusha mikono ametanguria mbere ukute nyumbani mke wake akisema nipe mwiko uwo utakuta anagoma oya KAZI zakike izo apo anapo pigamapigo
@simonjnrmabula37852 жыл бұрын
Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.
@jaharaoman64782 жыл бұрын
Lukuvi yupo vzr sana👏🏻👏🏻👏🏻
@zuenajohn83252 жыл бұрын
Naungana na mhe. Simon Mabula . Lukuvi anafaa nafasi ya uspika.
@loishiyesamwel13742 жыл бұрын
Kutunzwa kwa fedha ni kwamba anafaa au kamsemea Mama vizuri? Naona giza hapa
@zuenajohn83252 жыл бұрын
@@loishiyesamwel1374 kamsifia mama na wampendae mama wakamuunga mkono.
@binrashid86712 жыл бұрын
Anafaaa sana kama asingegubikwa na UDINI...
@saidabdallah26492 жыл бұрын
Dah huyu anafaaa sana yaani yuko vizuri labda akose busara 👍👍👍😂😂
@nicksonnewton15402 жыл бұрын
Wamakonde mpo hea mnatak nchi kilazima
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Hakuna makonde ambaye anataka nchi kilazima acha kuleta mambo ya ukabila
@hamismagangger75422 жыл бұрын
Ana comfidence sana lakini kaaambiwa ajielezeee anatoka nje ya mada 😁🥛
@ramadhanimtetu72462 жыл бұрын
Hahahaha Nimecheka mnooo.
@salimkatana67212 жыл бұрын
Umeambiwa ujieleze ww unasifu mtu,,interview za wabongo bana.uchawa tu!
@janethjustin52562 жыл бұрын
He is great man 👏👏
@moshiomarymnyeda89072 жыл бұрын
Wangempa Lukuvi tu Yupo makini sana aisee
@dismashaule16312 жыл бұрын
Nimefarijika sna kumuona Mch.Gwajma akiwa bungen,Mungu yu mwema Ila Ndonge kapiga pesa sna kwa dakika 10
@angeljustine24932 жыл бұрын
Nampongeza mama kwa ujenzi wa madarasa kuipa heshima nchi.Pia umewapa heshima walimu kufundishia kwenye madarasa ya kiwango,nashukuru pia kwa kuwamini walimu kuwa wasimamizi wa ujenzi wa madarasa kazi imeoneka.Mama nakuombea kwa Mungu aendelee kukupa hekima,busara na maarifa kutuongoza Watanzania.Mpaka sasa naona 2025 huna mpinzani ndani ya Ccm na nje ya ccm.Ongela sana mama.
@olobikoomollel38982 жыл бұрын
Jamani mliomchangia pia mpeni na kura muomba ridhaa ....mungu awabariki wote watanzania mlioguswa na bwana ndunge
@malkavoice25702 жыл бұрын
Huyu mama sio mchawi kweli alouliza swali la kwanza kwa muheshimiwa?!
@suleimanbakar34292 жыл бұрын
banging kweli cab mboga msukuma anavuta bang hasa
@omarymohammed93962 жыл бұрын
Ndonge ana madini kichwani anafaa kuwa mkuu wa mkoa
@mosesmahinya96542 жыл бұрын
Huyu jamaa ni nouma sana
@kapondamsita4762 жыл бұрын
Allah akupemafanikio inshallah
@eshasalim54962 жыл бұрын
Allahumma Amiin
@hellenbochere49822 жыл бұрын
Kweli Kawa speaker
@baselinoelimwasi37632 жыл бұрын
Hivi vyama kweli Ni vya CCM
@philemonmagesa55482 жыл бұрын
Ila lukuvi anafaa kuwa spika hataki ujinga na unafiki maswali ya kipuuzi anayacheua
@abdulhamis98252 жыл бұрын
Huyu Lazma Apate Nafas Katika Serikal Hii
@simonlyimo43602 жыл бұрын
Mweshimiwa Said Ndonge kapita tayar kwtu
@bakarimohamedi58142 жыл бұрын
Issue serious mtu anapiga porojo tu hamna kitu hapa
@ChiefMkwetu2 жыл бұрын
Amepata fulsa ila ameshindwa kuitumia !!!😳😳
@maximusalnono64252 жыл бұрын
Wee kwanza nichague halafu uone shughuli 🤣🤣Ndonge kiswahili kingi amekaa sana vibaraza vya karata na kahawa 🤣🤣
@malopemaliyamungu52432 жыл бұрын
Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.
@tkmastertkmaster40002 жыл бұрын
Bwana ndonge chama kimemponza 🙌🙌🙌
@beatricefilbert11712 жыл бұрын
Mi sijaona cha maana hapo kwani kabda ya corona watanzania walikua hawasomi? Sikatai madarasa ndo ya mkopo wa miaka 20 bila riba umeshaona wapi biashara ya hivyo toka kuzaliwa kwako
@dazzoofficial4692 жыл бұрын
Hana maajabu wala hoja za msingi Mama maamaa mama nini bn Ongea vitu nya msingi
@simontamba12852 жыл бұрын
Ujasiri A point hakuna anatafuta pa kutokea
@hassanomar10412 жыл бұрын
Ndonge amemaliza kila kitu mimi ni mkenya ila nimempitisha ✌