Mgundini: Sheikh Kipozeo Aeleza Ruksa Mume Kumpiga Mkewe | Mwanamke Hawezi Kumpa Talaka Mumewe

  Рет қаралды 16,023

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Sheikh Kipozeo anatoloea ufafanuzi juu ya mwanamke anaweza kumuacha mumewe kama ambavyo Shilole alipost kwenye instagram account yake, na je mwanamke anatakiwa kupigwa na mumewe, na vipi watu kuingilia ndoa za watu ni sawa?

Пікірлер: 47
@yusufjuma264
@yusufjuma264 4 жыл бұрын
Comment zote ni ngoma ngoma munaskiza.maneno ya Sheikh ama ngoma
@muddyaforeal1145
@muddyaforeal1145 4 жыл бұрын
Huyu dada mbona mzuri mpaka chenji inabaki
@saidaally5105
@saidaally5105 3 жыл бұрын
huu muziki sio mahala pake
@abuibra
@abuibra 3 жыл бұрын
Kuna hukumu ya wazinifu ambao hawajafunga ndoa na pia kunahukumu ya waliofanya zinaa wakiwa katika ndoa kwanini hufafanui hata kupiga huwezi mpiga usoni mkeo,wala kumuumiza fafanua vizuri shaikh kipozeo wengi tunakusikia mtandaoni.
@suleymanially974
@suleymanially974 4 жыл бұрын
Sasa hayo magoma ya nn?
@faridahalil4456
@faridahalil4456 3 жыл бұрын
Reduce the volume of music damn!!! Inaleta disturbance or destruction please
@manenojongo3470
@manenojongo3470 4 жыл бұрын
Nyinyi wapuuz mziki wann xx
@hanssabiti3625
@hanssabiti3625 3 жыл бұрын
Jamani,sasa mambo ya mwenyezi Mungu mnaisindikiza kwa mziki ?
@hashtagdarling4738
@hashtagdarling4738 4 жыл бұрын
Sasa iyo solo beat niyann wakati mada apo imebase kwenye dini.mbona hamna heshima na dini .?
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 3 жыл бұрын
Mimi naongezea watu washa shibana kila jambo kabla ya ndoa wakiowana ndio ifae nini shida tuliambiwa tuowe wanawake wenyewe dini twaenda owa wanamuziki wacheza kigodoro ili mupate kiki mitandaoni matokeo ndio hayo
@johsea122
@johsea122 3 жыл бұрын
Shekhe anamaneno mazuri, yakufurahisha
@khatibuhijja459
@khatibuhijja459 4 жыл бұрын
Mm nashangaa sana, hiyo Mingoma ya nn,heshimuni mnachokiongelea na mnaeongea nae,mnakera mazungumzo ya maana mnaweka muziki washenzi nyinyi
@assoumnassor2930
@assoumnassor2930 4 жыл бұрын
By the way,nimependa ndugu ntangazaji ulivojitahidi kujistiri,umependeza sana,ila next time jitahidi kuzidi kujistiri maeneo ya shingoni,manake nakuona Masha Allah umefunika viganja ambavo ni sawa kuonekana kwa dini yetu ya kiislam,lkn kdg umeshindwa maeneo ya kwe shingo while ndi ni haram kuonekana kiislam.
@lionking3015
@lionking3015 4 жыл бұрын
Mnakosea hebu jirekebisheni.. sheikhe anatoa mawaidha ya dini afu munapiga mziki background.. mawaidha yanataka utulivu ili watu wapate faida ya maneno ya Allah..
@jumamohammed5378
@jumamohammed5378 2 жыл бұрын
Inallilalahi miziki mingi ila mawaidha mazuri Allah akupeni ufahamu wakuna
@mbembelatv
@mbembelatv 4 жыл бұрын
Nmeupenda muzik huo background 👏😅
@ummialey6391
@ummialey6391 4 жыл бұрын
Shehe umeeleweka
@ummialey6391
@ummialey6391 4 жыл бұрын
Mmechemsha mziki
@assoumnassor2930
@assoumnassor2930 4 жыл бұрын
Wazungu wanasema "The pen is mightier than the sword" Sasa wapenzi watazamaji na waskilizaji wenzang tushaona kdg wtaarishaji kipindi wamekosea kutuwekea music,kwnn hatujaribu kuwaambia politely hadi tutoe maneno makali makali namna hii? Siku zote maneno mazuri humtoa nyoka pangoni,lkn kwa hvi tunavofanya itakuwa hatulinganii badala yke ni tunaonesha tunataka mvutano...Tubadilikeni! Hadithi sahihi inasema (ktk uislam),ukiona uovu ktk jamii anza kwa kusema,ikishindikana ondoa uovu huo kwa mikono yako,na ikishindikana bc chukia ktk nafsi yako.Shukran
@ommygoldene3636
@ommygoldene3636 4 жыл бұрын
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA kzfaq.info/get/bejne/oa6gYJyosJ-4qas.html
@bignation3959
@bignation3959 4 жыл бұрын
Mnaenda kumhoji sheikh kuhusu mambo muhimu thn background mnapiga beats sijui kinanda, sijui singeli hio
@bignation3959
@bignation3959 4 жыл бұрын
Haipendezi rekebisheni kdg
@aishagakurya1964
@aishagakurya1964 2 жыл бұрын
🎶music wanini kwa mawaidha
@mujyu3438
@mujyu3438 4 жыл бұрын
mnaongea masaili ya kidini sasa huo mziki wa nini? kwa nini hata maswala ya serious mnafanyia mzaha,? Katika editors wenu wote hamna Muislam aliyesema kuuondoa huo mziki?
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 2 жыл бұрын
Mtangazaji umefanya vizuri kwa kumkabili sheikh kwa kujistiri
@azizaabdallah6491
@azizaabdallah6491 Жыл бұрын
Mimi sijaelewa sasa nasikiliza mawaidha na nyimbo au vipi Chagueni moja basi jamani aidha mawaidha ama nyimbo.
@sarahhabib5902
@sarahhabib5902 2 жыл бұрын
Aslaamlekum. Shekh sithani kwanza Kama ni vizuri kumpiga mke wako au mwanamke bora kumu talaka ? Pia vipi huyo mwanamke atakupenda kama unampiga?
@babikirmusa6963
@babikirmusa6963 3 жыл бұрын
Nimepata mafunzo
@hmwdy_1173
@hmwdy_1173 2 жыл бұрын
Mziki wa kishenzi inaonesha nyinyi siyo wema
@walidalesry7482
@walidalesry7482 2 жыл бұрын
Sasa yanini mziki
@sarahhabib5902
@sarahhabib5902 2 жыл бұрын
Wimbo? na mawaitha inatolewa ?
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 2 жыл бұрын
Maharage yambie hawana kheri 😀😀
@alithabit7617
@alithabit7617 2 жыл бұрын
Achen ushamba kuweka mziki wakati Sheikh anaongea vitu vya Maana
@saajasnews576
@saajasnews576 3 жыл бұрын
samahani ingependeza music ikapunguzwa ili tukaweza kujifunza kutoka kwa shekh
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 2 жыл бұрын
Music kero
@Ab-kq7ql
@Ab-kq7ql Жыл бұрын
Dinî ya ajabu
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 Жыл бұрын
Jat the background music for? Can't listen to this mess. Ujinga mtupu inakuje myu anaongea na background music?
@jesusislord9190
@jesusislord9190 2 жыл бұрын
mnajadili juu ya kupigwa mwanamke wakati mwanamke alikwenda kwa muhhamad ngozi yake imebadilika imekuwa ya kijani kwa kigigo.. na muhhamad akasema anastahili... sasa unasemaje?? uislam hauruhusu.. kupiga??? pili kuna Aya..kwenye Quran inasema Allah ndio kaleta... uchawi kwaajili ya kuvunja ndoa tu.. sasa mbona anashangaa wakati Allah ndio kaushusha uchawi ili mke na mume wawe wansachana kwahiyo kwenye uislam ni kazi ya Allah
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 2 жыл бұрын
Music wako anakera daada.yani apana kabisa
@mayangeramadhani8497
@mayangeramadhani8497 2 жыл бұрын
Mdundo upuuzi mtuupu mnakera
@ommygoldene3636
@ommygoldene3636 4 жыл бұрын
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA kzfaq.info/get/bejne/oa6gYJyosJ-4qas.html
@ommygoldene3636
@ommygoldene3636 4 жыл бұрын
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA kzfaq.info/get/bejne/oa6gYJyosJ-4qas.html
@ommygoldene3636
@ommygoldene3636 4 жыл бұрын
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA kzfaq.info/get/bejne/oa6gYJyosJ-4qas.html
VIJANA WA K/KOO HAWANA HESHIMA //SHEIKH KIPOZEO
28:50
arkas online tv
Рет қаралды 6 М.
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
YAFAHAMU MAKOSA MADOGO AMBAYO ADHABU YAKE NI JELA MAISHA.
9:28
Mwanaume Akiomba Andazi Anapewa By Mariam Migomba | Kitchen Party Online
5:14
Kitchen Party Online
Рет қаралды 2,1 М.
Dalili Za Mwanaume Anaekupenda Kwa Dhati
6:19
Topten Tv
Рет қаралды 319 М.
FATWA | Nini Hukmu ya Mume anayemnyima mkewe haki yake ya tendo la Ndoa?
5:22
FAIDIKA NA MAWAIDHA ONLINE TV
Рет қаралды 5 М.
KINANA AFUNGUKA SABABU ZA KUJIUZULU
5:32
Wasafi Media
Рет қаралды 28 М.