Hongera sana Raisi Tupo pamoja mpaka tutimize malengo yetu.
@user-kw2kx2ue5d3 ай бұрын
Kaka unaweza mungu akurinde kwa busara kubwa tunavimba vifua kwa uwezo mkubwa wa akiri yako
@mohamedgessan37293 ай бұрын
Mr president❤ … mungu akuweke kiongozi wetu … tunakupenda sana na asante sana kwa kutupambania wana yanga 💚 .. na kutuheshimisha … Mungu akupe afya , umri na kila la kheri na ww Hersi❤️
@JastinAlphonce3 ай бұрын
Big up 👏👏👏daima mbele nyuma mwiko🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@AminaTanzania3 ай бұрын
Mungu atusimamie baba etuu
@MichaelNgowi-nc3vn3 ай бұрын
Daah afu unakuta mashabiki kuenda tu uwanjani mnashindwa hamuoni juhudi anazo zifanya rais wa club engeniar
@SteraZidadu3 ай бұрын
Kazi nzuli mdogo wangu ukovizuli hongel 9:35
@MomeChacha3 ай бұрын
Great mind always at the peak
@hawamasanje95893 ай бұрын
Hongera Rais wetu na pole watu hawajui unavyopambana acha wazidi kuropoka na Mungu azidi kukupambania na kukupa maisha marefu Eng Heris
@JayMsafi-zs9nm3 ай бұрын
Nakubali yanga miaka 100❤
@user-ox3ij7ki3t3 ай бұрын
Ndo maana aziz k nae anaipenda yanga sana hata mara nyingi akifunga goli anaingalia nembo ya yanga kifuani kwake huku akikimbia kwenda kushangilia
@mwajumampokileomckapela75413 ай бұрын
Mungu akutunze raisi 🔰💚💛✅🟩🟢
@EstarMasunga2 ай бұрын
Jamni yanga naipenda Sana mungu aendelee😊kumpa uwezo Aziz k
@SaumuMndeme-fb9fu2 ай бұрын
❤❤❤❤❤naipenda.❤❤yanga❤
@user-bo5qp9gz8m2 ай бұрын
Kaka Mungu akuongoze katika njia zako ukuwa ndani ya Yanga na hata nje ya Yanga ❤
@godfreysimoni42703 ай бұрын
Mungu ukupe afya njema uzidi kuipambania yanga
@jumamchina90383 ай бұрын
KAZI nzuri saana
@frankevaristo69183 ай бұрын
Hongera Enginear hersi Mungu akulinde
@jumamchina90383 ай бұрын
Aamiin
@amosraphael19693 ай бұрын
Daaaa unaakilia sana kaka yanga itafika mbali sana
@iddimngazija19573 ай бұрын
Rais msela👏👏👏
@Vichris22373 ай бұрын
Congragulation engeneer
@augustinomkongwa54443 ай бұрын
Huyu Rais mwenye akili na maarifa makubwa kongore mh. Rais
@user-lb1wo6ch1p3 ай бұрын
Kaz nzur sana Mr president 💚🙏
@unclegmihale4553 ай бұрын
Safi sna ...💚💚💛💛💪💪
@asteriashios18523 ай бұрын
Duh inajituma kaka hongera siyo km mengine yamekaa tuu
@williamnassari3 ай бұрын
Daaaaaah salute sana 🙏🏻🙏🏻
@proisolution71663 ай бұрын
Mr Eng mimi mala nyingi naongelea usajili,bt upande wa mashabiki kuja uwanjani,hapa ni kujenga uwanja au kubadili namna ya kutafuta watazamaji cse hii style INAYOTUMIKA ,MTAKUWA MNAPATA WATAZAMAJI WALE AMBAO KWANZA ALWAYS WANATAKA KUSHINDA TU MCHEZO,BT ALSO KULIPA VIINGILIO VIKUBWA HAWAWEZI,HUKU MITAANI TUPO WATU TUNAANGALIA MPIRA NA BIA JUU NAMAANISHA WENGI WANAOVUTIWA KUHUDHURIA MPIRANI KILA MALA HAWAWEZI KULIPA VIINGILIA HALAFU UWANJANI USTAARABU ZIRO.UKAAJI HAUHESHIMU ULIPAJI WA VIINGILIO. MJENGE MAZINGIRA YA KUVUTIA WATU WENYE VIPATO VIKUBWA HATA WASTANI
@AdenAbraham-sr6ir3 ай бұрын
Big up sana mwanetu
@hassankumba69383 ай бұрын
Naiangalia hii exclusive interview ya Eng. Hersi, nikiwa Atlanta, Georgia, nchini Marekani. Nikijaaliwa kurejea Dar salama, ningependa kuonana naye ana kwa ana, pale Mjengoni Jangwani. Ntamtafuta mimi mwenyewe.
@user-im5kc6ey7j2 ай бұрын
👏👏👏👏💚💛💚💛
@moshielfesty79923 ай бұрын
🎉🎉🎉 president 🎉🎉
@JescaMuyabi-ix8ly3 ай бұрын
Hongera kiongozi wetu
@petersynto20433 ай бұрын
Wewe jamaa ni bonge la kiongozi
@amaniomar17553 ай бұрын
Mwamba Eng. Hersi Said raisi wa ball
@HassaniMussa-pg6xj2 ай бұрын
Yanga tamuuuu
@MartinThomas-wh6on3 ай бұрын
Eng Hersii Wewe ni Mkombozi Wetu wana Yanga nimeacha kufuatilia Premier League maana shabiki wa Man utd kwa ubora wa Yanga uliopo ... Keep it Up naomba uwanja uwe kama wa al ahly wanachama Bora Tule Bata Yanga Arena Isiwe just a stadium
@MarryMgovano-ps9wj2 ай бұрын
I'ma kijwelo
@user-fi2gf6ks7h2 ай бұрын
Wap mangu mangu and try again makolo Bado sana
@jumamadebe32712 ай бұрын
Ukatoa hela nyingi
@hamidtv54433 ай бұрын
Sasa ona matunda ya kuteseka Leo tunaweza kumsajilu mchezaji yeyote kupitia performance ya Aziz na wengine hakuna atakaegoma maana tushakuwa wakubwa
@user-xy8kl9wd2i3 ай бұрын
🔥🔥
@LovelyBonsaiTree-vc3yw2 ай бұрын
saf
@ChuchuMahumbi-px2sg3 ай бұрын
Pambana mzee wa yang
@anetboaz87833 ай бұрын
GOD
@ahmedymgutter25593 ай бұрын
8:22 brain man
@user-ce9sq4rk5p3 ай бұрын
Izi Ninondo kwelkwel
@kaminambeho3 ай бұрын
Huyu ndio kiongozi tumepata wananchi hongera raisi watu
@MuharamiDomogazi3 ай бұрын
Raisi tunae
@tumainimalulu77083 ай бұрын
Ndio sababu nalipa kadi kila baada ya miezi 6
@ErickEliuter3 ай бұрын
Yanayonong'ona yanakera
@RehemaKisesa-vw9ol3 ай бұрын
Sasa kwa ujasili huo wa raisi wa yanga mangungu ataweza
@KulijeNovart3 ай бұрын
President huyo
@rajabukazawadi24773 ай бұрын
❤q1
@nicodemuswidambe51323 ай бұрын
Midomo ndo wa Tz
@user-jl1ck1zo6b3 ай бұрын
huyu ni Rais mwenye ushawishi mkubwa Afrikan
@HamisMchuzi3 ай бұрын
Apa 2melamba dume wananchi tawala miaka 100 yanga sisi wananchi 2ko radhi na atuitaji Tena uchaguzi chaguo letu ni ww miaka 1000 mpaka useme basi
@febroniamsoma1783 ай бұрын
Saf
@onesmosamson81213 ай бұрын
Helis sio ulaisi wa yanga Yani ata waichi umepita Wana yanga tumeshakupitisha
@JayMsafi-zs9nm3 ай бұрын
Yah kweli
@sulehamad87003 ай бұрын
raisi wa mpira
@abubakaliyahaya29683 ай бұрын
Rais wa mpira uish miaka buku
@ukuvukiland23873 ай бұрын
Huyu jamaa anujua mpira ila naogopa kwa uaminfu wote asije kutuhujumu,yanga ni kama timu ya taifa tangu wazee wanapigania uhuru kutoka ukoloni.....
@AminaMuhammed-bh2pg3 ай бұрын
Yaani atauza jengo la yanga au unazungumzia hujuma gani labda?