Penati | YANGA SC 6 - 5 AZAM FC| CRDB Bank Federation Cup 02 06 2024

  Рет қаралды 404,639

Yanga TV

Yanga TV

23 күн бұрын

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Пікірлер: 261
@khadijajuma6271
@khadijajuma6271 19 күн бұрын
Hizi penalty mpk kesho nikizingalia zinanasisimua mwili na moyo pia 💛💚🖤🙌🙌🙌🙌🙌
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 20 күн бұрын
Captain katulia saana wallahi Allah amzidishie kipaji chake akacheze Real Madrild inshaAllah my favourite team❤❤❤❤
@IsackJamesmabara
@IsackJamesmabara Күн бұрын
Niliteseka
@IsackJamesmabara
@IsackJamesmabara Күн бұрын
Yani hapo kama mungu tu kasaidia
@bernadethaprosper
@bernadethaprosper 20 күн бұрын
Yaan ilikuwa siku ngumu sana lakin baadae nilifurahi vibaya mnoo I love you Yanga
@user-gw2nm1if1h
@user-gw2nm1if1h 21 күн бұрын
Mechi zangu bora za msimu huu yanga 5 vs simba1 na ya pili hii azam vs yanga CRDB
@winfridapeter9455
@winfridapeter9455 17 күн бұрын
Nalia mpaka leo nikiangalia jamani😢😢😢😢😢💚💛💚💛💚💛💛
@jeremiaassenga
@jeremiaassenga 21 күн бұрын
Naiita Mkude game😮😮
@catherineamiri9854
@catherineamiri9854 21 күн бұрын
Yani mm siaminigi mpk Leo Jmn hii siku niliteseka 😭😭💔🙌🏽
@Hope-ok9dy
@Hope-ok9dy 17 күн бұрын
Wewe haukuteseka me nilikuwavnaenda choon mkojo hautoki yani tumbo la kuarisha sio la kuarisha yani moyo ulisimama kwa muda presha ilifika 300 aki nakwambia😂
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 12 күн бұрын
Amini mateso yaliisha mwananchiiiiii
@isambongo935
@isambongo935 11 күн бұрын
hunifkii me
@meckmvanda6454
@meckmvanda6454 6 күн бұрын
Oyooo
@MajaliwaKulindwa-rg8im
@MajaliwaKulindwa-rg8im 4 күн бұрын
Hata mm😅
@ElishamaMulokozi-pi8nm
@ElishamaMulokozi-pi8nm 21 күн бұрын
Young African Gooooaaal penalt
@user-rj8zh8ok7q
@user-rj8zh8ok7q 21 күн бұрын
Penati ya yaoo na nondo zagazabu❤❤
@stephanmpangire4741
@stephanmpangire4741 21 күн бұрын
Sanaa
@muddylikwena128
@muddylikwena128 18 күн бұрын
Namuelewa sana pacome zoazoa
@erasmina4998
@erasmina4998 Күн бұрын
Naipenda sana yanga jaman
@winfridapeter9455
@winfridapeter9455 17 күн бұрын
Sisahau hii siku jamani,nililia sana😢😢😢
@ramalida2547
@ramalida2547 15 күн бұрын
Mpk Leo naangalia hii dah🙌 ni mungu tu ila hii siku presha ilikuwa kubwa sanaa
@TabuSebastian
@TabuSebastian 21 күн бұрын
Unforgettable night yooh🙌🏾🫡💚
@mosesmukondya4205
@mosesmukondya4205 21 күн бұрын
Hii game sitaisahau aisee
@MaarufuAmani-bq6qc
@MaarufuAmani-bq6qc 19 күн бұрын
Mimi naamin inawezekana Dua za watoto ambao wamepitia wakati na mazingila magum hasa vituo vya watoto yatima duwa zao naona kabis zimetusaidia sana
@Aviwamwadin-so3vy
@Aviwamwadin-so3vy 21 күн бұрын
Ahsanteni timu nzima pamoja na mashabiki mliovuka bahari na kuja kisiwani kwetu hakika hii game itadumu ktk mioyo yenu milele
@jx-zf4xg
@jx-zf4xg 11 күн бұрын
😂
@albertvalentino130
@albertvalentino130 19 күн бұрын
Makosa ya pernati za Aziz Ki --- (1) distance ndogo toka ulipo mpira,hiyo ilimfanya akose kasi na power ya kupiga shuti Kali (2) lakini bado akadashi,akazidi kupoteza uwezo wa kupiga shuti kali --- mwisho wa siku inamfanya kupiga pernati dhaifu,ambazo makipa wanazicheza kirahisi.
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 9 күн бұрын
Hamjaelewa tu anatakiwa asiwe wakwanza
@aminadigalu7717
@aminadigalu7717 19 күн бұрын
Mm kila siku narudia kuangalia hiz penalties nilikuwa hoiiiii😂Alhamdulillah tukabeba hili kombe.
@errydeo8865
@errydeo8865 13 күн бұрын
Mpaka leo nikiangalia hizi penaltes, namshukuru Mungu,tulishinda! Hasa kwa Aziz Ki! Mkiangalia ,mtaona alivyolala chini ,hakuamini! Tungeshindwa! Wachambuzi uchwala wa bongo,WANGEMCHANA, WANGEMSIFIA SAAANA YULE DOGO FALA FEI! MUNGU aliliona hilo! Aziz Ki is a humble player,hana makuu, ndo maana Mungu alikua upande wake hiyo siku! May God be PRAISED! MUNGU SIKU ZOTE HUWAUMBUA WANAFIKI MBELE ZA WATU! NA HIYO SIKU ALIWAUMBUA WENGI HASA FEI! FEI HII MECHI hatokaa aisahau maishani mwake! Na sisi tuliosomea PSYCHOLOGY,hiyo mechi,kila akikutana na Yanga ,mpira utamshinda! Na HATAKAA AIFUNGE YANGA TENA!
@yunisimaiko
@yunisimaiko 20 күн бұрын
Sitakaa nisahau hii mech jmn nyie 💚💚💛
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 21 күн бұрын
Great job Yanga. Yanga walikuwa wamalize mchezo mapema ila kipa wa Azam aliwakatalia kata kata. Nimefurahi sana Yanga kuwa bingwa. Na ninefurahi sana Simba angalau wamepata fursa ya kuingia Kimataifa. Na nimefurahi sana Azam kwa kuleta ushindani. Nimesikitishwa kidogo team ya nyumbani Tanga kushindwa kuwa tatu bora.
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 21 күн бұрын
Allaah Akbar
@MwajumaMpotwire
@MwajumaMpotwire 21 күн бұрын
Jaman mwaka huu sisi Simba cjui yujifiche shimo Gani Yani maumivu ayapoi yanakuja mengi daaaah😢😢😢😢😢😂. Lakin naipenda Simba ndakufa nauo❤❤❤❤
@user-ok2pi9im3d
@user-ok2pi9im3d 20 күн бұрын
Pamoj
@user-gr3bd7oo8w
@user-gr3bd7oo8w 21 күн бұрын
Nimeamini kuwa kabla ujasikia filimbi tatu za mwamuzi basi mpira ujaisha na lolote linaweza kutokea ndani ya mda huo
@erickmbise1063
@erickmbise1063 21 күн бұрын
Wananchi on top hii ligi tunaifanya kama buyern 8yrs ndo tutawafikiria 😅
@user-xg8kl2nj5v
@user-xg8kl2nj5v 19 күн бұрын
My favorite gemu🔥🔥🔥
@FloraKamanzi
@FloraKamanzi 20 күн бұрын
Hii siku ndo familia yangu wote walijua kumbe huwaga ni Shabiki wa Yanga
@JorvinVedasto-ic3su
@JorvinVedasto-ic3su 15 күн бұрын
😂😂😂 hii imeenda 😊
@jumaasindatuma107
@jumaasindatuma107 11 күн бұрын
😁😁😁
@sumairahjohn-jt4qy
@sumairahjohn-jt4qy 10 күн бұрын
😂😂😂😂
@KijaziMnkondo
@KijaziMnkondo 18 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤ until now this is what I love
@user-hd7qn9gy9p
@user-hd7qn9gy9p 13 күн бұрын
Ahsnte Mungu💛💛💚💚
@HermanMnzeru
@HermanMnzeru 20 күн бұрын
Mungu Ni mwema.
@MathiasPhilipo-xq6wi
@MathiasPhilipo-xq6wi 20 күн бұрын
Mungu ni mwema❤❤
@chongorekevin
@chongorekevin 21 күн бұрын
Izi penat mpaka msim uanze ntakuwa nazirudia tu maana 😁 so kwa presha ile 😁😁😁
@ntulikimaro7332
@ntulikimaro7332 21 күн бұрын
Kama mm tu 😅😅😅
@user-nb9qj7lb9r
@user-nb9qj7lb9r 21 күн бұрын
😂😂😂
@aishabakari8040
@aishabakari8040 21 күн бұрын
Uko kama mm 😂
@AmaniOmari-ev2gu
@AmaniOmari-ev2gu 21 күн бұрын
Sijawahi kupata presha kama mechi hii daaah ningekufa kwakweli
@MwajumaMpotwire
@MwajumaMpotwire 21 күн бұрын
Jaman mwaka huu sisi Simba cjui yujifiche shimo Gani Yani maumivu ayapoi yanakuja mengi daaaah😢😢😢😢😢😂. Lakin naipenda Simba ndakufa nauo
@kevymloje730
@kevymloje730 20 күн бұрын
Hii siku ndo NILIJUA kuwa nina pressure tena kali sana😅😅😅😢🙌🙌🙌🙌🙌🙌,huu MPIRA utakuja kutuuwaa😅
@user-nf3dc9fb6v
@user-nf3dc9fb6v 21 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko viongozi wetu makini mitano tena
@Shebe_traLove
@Shebe_traLove 20 күн бұрын
Ime match sito isahau kamweee kbs presha ime taka kuniuwa
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 14 күн бұрын
Pole sana😢
@youngchyna744
@youngchyna744 20 күн бұрын
Yaan mimi presha juuu
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek 21 күн бұрын
Cc ndio Yanga,yaaani napenda kurejea tena na tena kutazama kwa raha hizi,KIKO WAPI
@maryberege3093
@maryberege3093 20 күн бұрын
Mie nikiangalia naogopa tena sijui kwanini
@ismailkiwawas5982
@ismailkiwawas5982 19 күн бұрын
Wewe Mimi kabisaa 😂😂
@ExcitedClock-xw3yb
@ExcitedClock-xw3yb 16 күн бұрын
Asante Mungu tumeshinda
@SalumuAliy
@SalumuAliy 20 күн бұрын
Haikua raic ila mungu nimwema kwakwel
@stevenkapili7791
@stevenkapili7791 21 күн бұрын
Hii siku ndio nilijuwa kuwa nina pressure tena ya kupanda na kushuka 😅😅😅😅
@user-uq2mo7mw2l
@user-uq2mo7mw2l 21 күн бұрын
S wewe tu s poa 😂😂😂
@abubakaliyahaya2968
@abubakaliyahaya2968 21 күн бұрын
😂😂😂😂 tupo wengi
@edithajohn9600
@edithajohn9600 21 күн бұрын
😂😂😂😂😂Yan ilikuwa kupimo Kwa kila mtu,,,mim nimejigundua kumbe Nina presha ya kushuka,,kupitia hii mechi😂😂😂😂
@user-nb9qj7lb9r
@user-nb9qj7lb9r 21 күн бұрын
😂😂😂😂😂hatari sna
@consolathamlimi7883
@consolathamlimi7883 21 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 17 күн бұрын
Hapa ndo nilijijua kuwa nina pressure 🙌 aisee🔰🔰🟢
@leonidangimbwa1526
@leonidangimbwa1526 13 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-ww4so9ks9c
@user-ww4so9ks9c 19 күн бұрын
Yaan hii kitu kila siku kwenye pitapita zangu ni lazima nipite hapa
@ismailkiwawas5982
@ismailkiwawas5982 12 күн бұрын
😂😂tunaorudia tena tutambuwane aiseeh
@aishabakari8040
@aishabakari8040 4 күн бұрын
Mi nipo hapa kila siku 😂
@mrsab303
@mrsab303 2 күн бұрын
Good Yanga Africa ❤❤❤❤❤❤
@marosproduction01
@marosproduction01 20 күн бұрын
Nice Clip
@johnjames-pw1dp
@johnjames-pw1dp 21 күн бұрын
Wananchiiii hoyeee 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
@user-zt1db4wm4k
@user-zt1db4wm4k 16 күн бұрын
0yeeeeeeeeee💚💚💚💚💚💚💚
@user-vt8ow3ty7h
@user-vt8ow3ty7h 16 күн бұрын
Upendo 😢wa gorikipa na beki wake ndo yanaibeba YANGA
@nancypatty3512
@nancypatty3512 21 күн бұрын
Hii cku nd niligundua Yanga inawez kuniua
@FatmaAliy-ld4dg
@FatmaAliy-ld4dg 21 күн бұрын
Siww tu 😂😂
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 21 күн бұрын
Lkn 😂aikutaka kukuua ikakupa furaha YaNGa 💚 inapenda uishi miaka 💯
@emmycharles8463
@emmycharles8463 19 күн бұрын
Kuanzia penat ya mwamnyeto nilipata tumbo lakuharisha
@aishabakari8040
@aishabakari8040 21 күн бұрын
Yanii mpaka sasa nikitazama hivi presha iko juu ila sio kama ile day nilitaka kufa alipokosa Bacca 😅😅😅
@yahayalugongo4825
@yahayalugongo4825 21 күн бұрын
Yaan acha tu
@consolathamlimi7883
@consolathamlimi7883 21 күн бұрын
😂😂😂 mm nilikata tamaa
@yahayalugongo4825
@yahayalugongo4825 21 күн бұрын
@@consolathamlimi7883 Naona kwa mda ule pressure ilikuwa around 170/110
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 2 күн бұрын
Yaani msimu huu lazima yuwe unbeaten pia fanyeni mpango kwenye penalty mfanyie sana mazoezi hatupo vizuri
@Paul-yn9vv
@Paul-yn9vv 20 күн бұрын
Watu wa digital hemu mtuunganishie vipande vya video inayomwonyesha zaka za kazi wakati azam wanakosa penati ya kwanza, baada ya bacca kukosa penati,mwaikena anakosa penati na baada ya nado kukosa penati I think it is very funny and enjoyable 😂 wananchi mbele daima
@josephlyakurwa
@josephlyakurwa 20 күн бұрын
Na bwanamdogo Hashim Ibwe alishaanza kuvimba 😅
@ezekielsaid9536
@ezekielsaid9536 20 күн бұрын
Huyu james samwel na hofu naye kbs siyo shabiki wa koko kweli😂😂😂
@babahamza1125
@babahamza1125 18 күн бұрын
Kuangalia upya tuu plesha Kama sikuona
@chilubayusufYangavitambe-jw8zs
@chilubayusufYangavitambe-jw8zs 20 күн бұрын
Tusiweke silaha chini vita badooo
@halefhelef9763
@halefhelef9763 20 күн бұрын
Yangaaaaaa😢
@EvaLuhanjo
@EvaLuhanjo 9 күн бұрын
😢nimeipenda
@MwashambaMustapha-fs7fg
@MwashambaMustapha-fs7fg 20 күн бұрын
mim nilijua ubingwa ni wa yang2 azam kwny mech za mamuz hua hawatoboi hii ndi yanga bwana 😊😊😊😊😊😊
@olivermgode2432
@olivermgode2432 19 күн бұрын
Mwisho hii siku kumpa bacca penati kutupa presha tu
@erickjonas-oc4oq
@erickjonas-oc4oq 18 күн бұрын
Yanga oyee!🎉
@mariampeter6258
@mariampeter6258 21 күн бұрын
Sema Yanga tuna nyota😅😅 ilikua ni lazima tushinde
@gudboy513
@gudboy513 21 күн бұрын
Champions⚽️💪
@ahmedalsaadi7108
@ahmedalsaadi7108 21 күн бұрын
😅😅hii siku nilioga bila kufikiri kama Nishaoga nilijikuta nimefungua bomba la maji najimwagia tu maana nilimuomba mungu nikahisi haikuwa rizk😢
@user-qv4ox4mu1p
@user-qv4ox4mu1p 21 күн бұрын
Hahaha nimecheka
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 13 күн бұрын
😂😂😂
@PaskoAyubu-x3q
@PaskoAyubu-x3q Күн бұрын
Kwann huwamuni ss ndoo yanga
@moherai9120
@moherai9120 6 күн бұрын
Hii siku sitoweza kuisahau katika maisha yangu ya mpira😅😅😅
@kolosii4351
@kolosii4351 18 күн бұрын
Huyu Golukeeper alijifanya nae kunyooeshea kidole kwa majigambo baada ya Aziz kukosa. Hakujua Mungu aliwahi kusema " mawazo yangu sio yenu" Kila kitu huandikwa kabla hakijafanyika. Si umeona? Azam walitoa jasho la damu kuzuia mashuti ya yanga, wakoamini kwa kipa huyo aliyevishwa majini wangeshinda tu penalt. Bora tu wangeruhusu dak. 90, maana wangekuwa na nguvu bado.
@saidmansoor8528
@saidmansoor8528 14 күн бұрын
Katukana kabisaaa angalia alivyofanya mikono yk kama cristiano
@boniphacemalema466
@boniphacemalema466 17 күн бұрын
Hiii ndoo siku nilitokwa machozi huku tumechukua kombe maana tangu azizi na guede kukosa penati tumbo liliingiwa na baridi na kutetemeka
@user-cs6vc6ff5y
@user-cs6vc6ff5y 20 күн бұрын
Hiyo siku mimi mwananchi wa yanga pressure ilipanda mbaka nikasema nini hiki, kwa kweli azam wamejua kutupelekesha.
@azizrashid6173
@azizrashid6173 9 күн бұрын
Kila nikiamka naangalia hii😢💛💛💛💛
@AmosmasamakiMkombolla
@AmosmasamakiMkombolla 8 күн бұрын
Mwenye bahati hua habahatishi
@GetrudasamsonSengerema-he7ob
@GetrudasamsonSengerema-he7ob 17 күн бұрын
Mbona ulisitisha kutunyooshea kidolee we we kipa
@jankenkasambala7687
@jankenkasambala7687 Күн бұрын
Ila Baka noma
@viviandominique5081
@viviandominique5081 10 күн бұрын
Tunaorudia tena leo😅
@AsiaHamza-et4du
@AsiaHamza-et4du 6 күн бұрын
Mim ndio naludia...mana siku ile uchungu ulinishika ghafra...kidogo nizae😢
@ShukuruGerald-tc3ys
@ShukuruGerald-tc3ys 11 күн бұрын
Yaan kwenye huu muda wa penati wananchi presha ilikuw inapanda inashuka
@user-ww4so9ks9c
@user-ww4so9ks9c 20 күн бұрын
Aisee diara anaipenda yanga
@MwanaMwanahawa
@MwanaMwanahawa 3 күн бұрын
11:02 hii siku 😂😂😂😂
@IshaOmary-ln7ti
@IshaOmary-ln7ti 12 күн бұрын
Yanga raha bnh weee
@JeniphaRobert
@JeniphaRobert 13 күн бұрын
Nimekuja kuiazimisha siku yangu ya kwanza ya kuumwa presha😂😂
@Vicentabiasaph
@Vicentabiasaph 16 күн бұрын
Gooood❤❤❤❤
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 13 күн бұрын
Mambo yalikuwa mazuri kwa yanga.
@aishabakari8040
@aishabakari8040 20 күн бұрын
Hizi ntazirudia rudia mpaka ligi ianzee 😂😂😂😂
@aishabakari8040
@aishabakari8040 14 күн бұрын
Yani kila siku mara mbili 😊
@kadokemarco9966
@kadokemarco9966 18 күн бұрын
Bora Mudathir kuliko Bacca
@magrethmakauki235
@magrethmakauki235 22 сағат бұрын
Jaman ushabik unaweza kukusababishia kifo automaticaly bila kujijua😂😂 Hakikisha unalipia uanachama jaman maana sio kwa raha hiz
@rahmayasin9094
@rahmayasin9094 14 күн бұрын
Hii siku nilikuwa nalia kila wakati
@user-ce6un5ew7n
@user-ce6un5ew7n 10 күн бұрын
Yanga mlituweka pazuri kwa kuwafunga Azam kwa penati
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 11 күн бұрын
Katika siku nilijuwa ninamapenzi na mpira na mapenzi na yanga ni hii siku pressure ilikuwa haielezeki na furaha baada ya ushindi siwezi kuielezea yaani ni memory ambayo haitofutika kirahisi
@Saudahassanimwichande
@Saudahassanimwichande 19 күн бұрын
Narudia Kila siku hizi penati
@doreen8271
@doreen8271 14 күн бұрын
Acha tu mimi pia
@Maryc2G
@Maryc2G 5 күн бұрын
Mimi pia
@abubakaliyahaya2968
@abubakaliyahaya2968 21 күн бұрын
Daima mbele 😊
@aishajuma18
@aishajuma18 21 күн бұрын
Nililia hii siku😅😅😅
@rehemabahati7616
@rehemabahati7616 13 күн бұрын
Mh sitaisahau hiii siku jamani imebaki kidogo tuu nizime
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 13 күн бұрын
Hii siku hta simu sikutaka kuwasha data..usingizi nao ulinigomea chakula akipandi lkn nafsi nyingine inaniambia tutashinda😅
@SAKINAJUMA-ey8qd
@SAKINAJUMA-ey8qd 15 күн бұрын
Siku hii nilipata tabu Sana kiasi Cha kuhisi kuishiwa nguvu na kutaka kudondoka chini nikawa nimetolewa nikapunguze pressure nje kwanza,.
@winifridamyeliyeli9331
@winifridamyeliyeli9331 11 күн бұрын
Nairudia hii
@MaicoMichael-ml5dl
@MaicoMichael-ml5dl Күн бұрын
❤❤❤❤❤
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 14 күн бұрын
Haikua rahisi
@SussankhanKhan
@SussankhanKhan 16 күн бұрын
👏👏👏
@cuttingharuna
@cuttingharuna 21 күн бұрын
yanga tunasifa jamani
@SumaiyaKilongo
@SumaiyaKilongo 7 күн бұрын
Waoooooooop
@MaicoMichael-ml5dl
@MaicoMichael-ml5dl Күн бұрын
Zakazaka aliteseka sana
Simba SC 1- 5 Yanga | Highlights | NBC Premier League - 05/11/2023
12:02
NAKUPENDA MWALIMU NIKUVALISHE PETE  STEVE MWEUSI
14:04
Mweusi Family
Рет қаралды 4,9 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 3,2 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 47 МЛН
KWA FURAHA ACHRAF HAKIMI AFICHUA KILICHOMLETA TANZANIA
5:52
Yanga TV
Рет қаралды 18 М.
COSAFA Cup 2024 - Zambia vs Kenya - 27 June 2024
COSAFA
Рет қаралды 12 М.
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 5 МЛН
Magoli yote | Simba SC 1-5 Yanga SC | NBC Premier League 05/11/2023
9:40
WAMEYATIMBA NDARO NA STEVE MWEUSI
14:56
Ndaro Tz
Рет қаралды 1,6 МЛН
Fas Galibiyeti Sonra Sevincimiz
0:15
KUZİGO
Рет қаралды 1,6 МЛН
Ronaldo Funny Kick-Off Moments😂
0:20
SkillerHome
Рет қаралды 12 МЛН
Football Challenge Roberto Carlos 😳😱
1:01
Kaiserdribbler
Рет қаралды 10 МЛН
Уделала дерзкую чемпионку!
0:59
БЕЗУМНЫЙ СПОРТ
Рет қаралды 6 МЛН