STORY ZA LINEX NA BABA LEVO, KUISHI GETO MOJA, KUUZA STILI WAYA

  Рет қаралды 35,851

Millard Ayo

Millard Ayo

22 күн бұрын

Пікірлер: 55
@PendoMakundi-xv6nh
@PendoMakundi-xv6nh 21 күн бұрын
Yaaanii mm msanii ninae mkubal kuliko wootee na mpaka watoto wangu wanajua no one wangu ni linex ❤ yaaanii nyimbo zake zootee nazpendaaa big up kaka
@silviocimo3948
@silviocimo3948 19 күн бұрын
Jamaa yuko Smart sana, anaongea vizuri nampenda alivio
@simeonmazigo5918
@simeonmazigo5918 20 күн бұрын
Linex unahekma sana Bro🙌🙌🙌
@CarlCare-yl4wi
@CarlCare-yl4wi 20 күн бұрын
Kigoma hatoki fara 🙏💪
@janifajani8875
@janifajani8875 20 күн бұрын
Bora umempa mauwa yake mkiwa hai sio wengine wanaongea mtu akisha kufa❤❤❤
@GeorgeEdward-mu1xg
@GeorgeEdward-mu1xg 21 күн бұрын
Vido anasogeza sana maik asee
@mrfashion1687
@mrfashion1687 20 күн бұрын
Huyu jamaa hatokuja kuimba ngoma kali kama AIFOLA
@richkaja3317
@richkaja3317 20 күн бұрын
Respect to you my brother usisahau ulipotoka kaka unajua sanaaa
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 21 күн бұрын
Haivutii kuwa msanii bongo afadhali kenye labda ona maisha linex msanii mzuri kazi alizo fanya mbona hamna faida juma naturel,ferooz hadi sasa nyimbo ya ferooz starehe ikitiwa kwenye nyimbo kumi bora kwasasa nauwakika itakuwa n1 lakini maisha yake mna kitu.nawengineo
@ramseychobaliko1002
@ramseychobaliko1002 21 күн бұрын
Swala la mda ndugu Leo huwez kupiga dar mpaka Moro au vavayo kweny club dar mpaka Moro itabamba japo wananunua vavayo😢
@ImmaVoice-sg6bc
@ImmaVoice-sg6bc 20 күн бұрын
Achakuongea pumba wewe maisha ya wasanii unayajua wewe
@contempo_builders
@contempo_builders 20 күн бұрын
Wapi amesema ana maisha magumu?
@habarinamichezo6427
@habarinamichezo6427 19 күн бұрын
Kilichowafelisha ni mipango tafuta interview chid benz alikua anaweka fedha kwenye buti la gari walizipata wakashindwa kuzimeneji.
@athumanimanzabay1894
@athumanimanzabay1894 20 күн бұрын
Baba levo ni friend of benefit to you
@ibni_H2TL6r
@ibni_H2TL6r 20 күн бұрын
Linex Na Baba Levo Ni Blood Wana Big Love
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 20 күн бұрын
Hiyo maik sasa ataila 😂
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 21 күн бұрын
Pombe na bangi havijawahi mwacha mtu salama....wasanii wengi hawako salama ki maisha na ki fikra
@ISSASHABANI-sw7lx
@ISSASHABANI-sw7lx 20 күн бұрын
Hata mambo ya kichoko choko na mambo ya kikundu kundu na usenge usenge wako havijawahi kawacha wasenge kama wewe salama
@BenMahende
@BenMahende 19 күн бұрын
Linex yupo POA SANA.
@ulicydickson6816
@ulicydickson6816 20 күн бұрын
Wajina huyo namkubali sana aiseee
@killerwizzyofficial2157
@killerwizzyofficial2157 21 күн бұрын
point is true
@wilbertjosephat1615
@wilbertjosephat1615 20 күн бұрын
Amesha kuwa mkongwe tena
@alonnantala4497
@alonnantala4497 21 күн бұрын
Unàonekana unatumia pombe, kama Nikweli punguza
@user-bu9wj5pi3t
@user-bu9wj5pi3t 21 күн бұрын
😂😂
@Daniel_89_89
@Daniel_89_89 20 күн бұрын
Umeonaje?
@azimioalbertongellangella8970
@azimioalbertongellangella8970 21 күн бұрын
Chawa la chawa😂
@nikkimbishiunju2402
@nikkimbishiunju2402 20 күн бұрын
Nyie nao washamba kwani FALA ni tusi?
@danielkenedy4357
@danielkenedy4357 20 күн бұрын
Ndo hapo
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 18 күн бұрын
TATZO ni media hazina uhuru wake kwahyo wanafanya kama kujilinda
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 18 күн бұрын
TATZO ni media hazina uhuru wake kwahyo wanafanya kama kujilinda
@amoury1481
@amoury1481 16 күн бұрын
Kama fala sio tusi Basi Muite Baba yako Hvo Uone 😂
@nahumnkwama239
@nahumnkwama239 20 күн бұрын
,This is real love aisee
@DonatLwabanya
@DonatLwabanya 21 күн бұрын
Wa kwanza mimi
@abednego3876
@abednego3876 20 күн бұрын
Ww ni msenge umefaidika nn kia wa kwanza tako limeota au
@salomewandya7257
@salomewandya7257 20 күн бұрын
Saafi sana
@samwel_368
@samwel_368 21 күн бұрын
💯💯💯
@mustaphasegeja1712
@mustaphasegeja1712 21 күн бұрын
Linex huyo amekuedit
@lamekkauka9056
@lamekkauka9056 20 күн бұрын
Huyu mwamba anajua kiukwe
@ce-08
@ce-08 21 күн бұрын
💯
@harunaandrew2870
@harunaandrew2870 21 күн бұрын
Mia mia kaka
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 20 күн бұрын
Sande mjenda
@kambiyusufu2776
@kambiyusufu2776 18 күн бұрын
Nice
@christopherkimpant9065
@christopherkimpant9065 17 күн бұрын
Mwenewachu
@pamelapaul7643
@pamelapaul7643 20 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 21 күн бұрын
KAONGEA PUMBA INTAVIW NZIMA😊,,DEM WAKO ANA GARI 3 SI ANAUZA 1 ANAKUPA MSINGI UNAFUNGUA KADUKA KAKO,UNAZUGA,UACHE GARI UWAN UKAKWEE DALADALA😊 MPUMULIANE.,,SKILIZA EITHA WOTE MUWE MNA PESA AU MWANAUME AZIDI..NA MNAYAONA KWA SHISHI ILA UJEULI😊
@badymedia9648
@badymedia9648 21 күн бұрын
Na siku akikuchoka anachukua biashara yake sio ? Jamaa katema madini sana mali ya mkeo sio yako , pia hakikisha mali zako hazina jasho ya mwanamke yaani asikupe mtaji labda muanze wote mfight wote
@swalehebaraka4028
@swalehebaraka4028 20 күн бұрын
Unaupewo wakueleweka hekima kama izoo
@EmmanuelSima-qz1gd
@EmmanuelSima-qz1gd 21 күн бұрын
Haya maisha bhn ukifanikiwa tu kila mmoja anakuja na yake mby sasa huna nyuma wala mbele hamna atakae kukumbuka kwa lolote
@FreeGod368
@FreeGod368 21 күн бұрын
Huwajui we umenunua sim juzi
@svt3
@svt3 20 күн бұрын
@EmmanuelSima: wewe ni wa mwaka gani Linex na baba Levo ni chanda na pete linex ndie kamleta baba levo Dar wanafahamiana kuanzia miaka ya 90's huko
@swalehebaraka4028
@swalehebaraka4028 20 күн бұрын
Stupid emmaulel
@mkavinatv7397
@mkavinatv7397 21 күн бұрын
KUWA MAKINI ANGALIA NILICHOPOST KZfaq PLZ UTALIA😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😮😮😅😅😅😅
@ce-08
@ce-08 21 күн бұрын
😂😂 ndyo unatafuta views kwa mtondo huo
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
02:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 8 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 29 МЛН
small vs big hoop #tiktok
00:12
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 26 МЛН
SNAKE BOY | ep 23 | SEASON TWO
50:01
CLAM VEVO
Рет қаралды 759 М.
MWIJAKU NA BABA LEVO HAWAISHI VITUKO
8:37
Wasafi Media
Рет қаралды 42 М.
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
02:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 8 МЛН