Hii Dunia😭😭pole sana kaka Mungu akupe maisha marefu
@jacklinesimon7544Ай бұрын
Mungu awabariki wauguzi wote mliokuwa name kipindi chote hicho
@aishamussa853Ай бұрын
Asante Mungu kwa Rogate Pia hongereni Moi kwa ubinadamu mliouonyesha Mungu atawalipa
@samkoka3Ай бұрын
Hongera san hospital ya MOI kutibia mtu pasipo kujali fedha
@SinemaZaChinaАй бұрын
Mungu akuzidishie umri mrefu pia pole sana tunakuombea upate kupona haraka sana
@WinifridaFidelisАй бұрын
Mungu wabariki madaktari uliomtibia ndugu yetu
@user-sv6zy3hc8oАй бұрын
Kiukweri umli wake Bado mungu anamtaka Aishi mana hata hapo hospital asinge hudumiwa bila ndugu Wala pesa ashukuliwe mungu
@allymdoka8634Ай бұрын
Kiukweli nipende kushukuru uongozi wa iyo hospital ubinadamu kwanza
@JacksonMabeyo27 күн бұрын
Dar Pole sana mwangu mimi mpaka leo najua haupo ila baada ya kunitumia hii interview ndo nmeamin upo Mungu ni mwema.asee nafurahi
@user-xk7vy4gb6gАй бұрын
Pole Sana mdogo Mungu awe faraja kwako. Mbarikiwe madaktari wote mlimtibia.
@Gml-wi5nvАй бұрын
Ndo haya ya arusha wanasema mtu kafufuka dah pole sana
@mohdmohd8428Ай бұрын
😢
@SuleimanKhdijaАй бұрын
😮😮
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
Kabisa wale walizika mtu sio wao
@JaliaMuroАй бұрын
Mungu ni mwema hongereni sana moi
@user-mr5yf1hp7tАй бұрын
Allah awalipe kheri madaktari wamoi huo ndio utendaji wakazi rais wetu samia suruhu hasani kiupande wangu naomba uwapandishe vyeo hao madaktari wamejituma sana hawa kujali pesa wamejali utu asante ni sana
@Djso26Ай бұрын
Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
Hyo ndio yale ya Arusha yule kaka wamezika mait sio yao
@KiganjaАй бұрын
Amebahtika kua na nugu wanao weza kumtafuta, vipi kwa wasio na mahusiano mazuri na ndugu zao? Allah atubariki zaidi.
@everlyne8595Ай бұрын
Ndio watashangaa amefufuk
@Officialjidaa-sn9cs23 күн бұрын
Moi hongera sana nimewapend I seeee❤
@SamwelDickson-zh5gjАй бұрын
Daaa pole sana Brother Mungu akupe maisha marefu
@user-yj3gy4jc1t27 күн бұрын
Mungu nimkubwa
@user-qk1iv2is9fАй бұрын
Asante yesu mm ni mmja wa walioenda msbn, nilivopat taarf hz nimefurah kwel
@user-fs7xc2bb5dАй бұрын
🥺🥺
@franknzowa22Ай бұрын
Tatizo ni hilo la umakini tu,..alafu baadae ungesikia mtu kafufuka.....poleni sana ndugu
@user-fs7xc2bb5dАй бұрын
Nikweli usemacho
@saadaperec270627 күн бұрын
me bado najiuliza huyo jamaa aliempa boda aendeshe baada ya mwenzie kupata ajali hakufanya taratibu hata za kutafuta watu wake wakaribu wajue ndugu yao kapata ajali yani inashangaza sana
@josephjohnmbelwa4998Ай бұрын
Hakika mgonjwa kazinduka,lakini hajapona!Asiruhusiwe hospitali hadi waakikishe kapona na akili kwani bado yupo na maluweluwe!
@FreeGod368Ай бұрын
Amna kitu ww😂
@rehemamajaliwa29 күн бұрын
Sahihi yani ukiangalia kwa jicho la 3 utaona hayuko sawa kabisaaa
@Officialjidaa-sn9cs23 күн бұрын
Pole sana I seee jamaaaa
@magrethmbuma3045Ай бұрын
Hao marafiki zake wa kazini wana maroho mabaya tuu kwanini wasitoe ushirikiano kwa mdugu na jamaa zake
@njapukaadhra9550Ай бұрын
Allah ashukuriwe
@Ashrey82Ай бұрын
Mungu mkubwa 🙏 insh'allah uwe na maisha marefu!
@madinajamada9180Ай бұрын
Pole sana wakwetu kumbe tunatoka mkoa mmoja pole sana mdogo wangu
@marthageorge5043Ай бұрын
Mungu ni mwema Sana pole Sana kaka
@everlyne8595Ай бұрын
Hao watu walio kua nae kwny biashar pia hawan utuuu
@pendosailo1989Ай бұрын
Wanatakiwa wachunguzwe..
@hildamakundi281Ай бұрын
Pole Sana kijana. Wakati mwingine ndugu tuwe na subira. Tusikurupuke. Mungu akutunze uwe na maisha marefu. Amina
@pendosailo1989Ай бұрын
Shida hakuna vipimo vya ziada vinavyofanyika kama DNA kujua uhalisia wa mtu kama ndie au la...
@pendosailo1989Ай бұрын
Wenzetu hawaziki mpk wapime kujua ndie au sio
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
Mbona vipo ndg tu walikuwa wazembe @@pendosailo1989
@msakadoobongeladada-uh3skАй бұрын
vipimo vipo Ila ndugu hawakupata sintofahamu hata wakapima na inasemekana alipoteza mwezi mzima lazma washikwe na kiwewe @@pendosailo1989
@zaburi2386Ай бұрын
Hilo tukio niswa na tukio la juz la ile familia wanaodai ndugu yao kufufuka hali inakuaga ivo wanandugu huchukua miili isiyo yao hospital na kwenda kuzka bila kuchunguza miili kumbe ndg yao yupo hai
@dismasrutashobyaАй бұрын
Pole Sana na hongera
@daudymlauletv8489Ай бұрын
Poleni san lkn huyu jamaa akili hazijaludi
@barackmoses7003Ай бұрын
Sasa angewezaje kujielezea🤔🤔
@maidaamie648Ай бұрын
Eeeeh bado akili hazijarudi sawasawa ukisikiliza vzur majibu yake
@evertheobald1811Ай бұрын
Kwakweli hayuko sawa, maana anavyojieleza ni hakika akili haiko ok
@evertheobald1811Ай бұрын
Hivi unaweza acha mteja halafu unaomba boda yake uendeshe tuu
@Official83640Ай бұрын
Watu wa Dar tumefikiwa tumezoea Arusha haya mambo😂😂😂
@dorahmushi-we6tsАй бұрын
Hakika Mungu ni mkuu, Moi Mungu azidi kuwalinda kuanzia uogoozi, madaktari na wauguzi wote.. Hosiptali nyngn angekutana na wenye roho mbaya, wangemtelekeza!!..kuna hosipitali wahudumu utafikiri watoa roho na sio matabibu!!
@ritapiusnicolaus7068Ай бұрын
Pole sana kijana Mungu azidi kukulinda🙏
@sir_ENOCKMACHAАй бұрын
Duh pole sana aisee khaa
@joslinchuwa1298Ай бұрын
Mungu akulinde mwanangu
@HadijaZabroni-pu1ltАй бұрын
Pole Sana kaka
@zahrababygarl1568Ай бұрын
Pole sana kaka imekuaje usikumbuke ajali au ni uchawi wa kutupiwa
@janethmdachi5334Ай бұрын
Itakuwa aliumia kichwa kwahy kukumbuka inakuwa ngumu
@zahrababygarl156828 күн бұрын
@@janethmdachi5334 itakuwa
@mpefu_4936Ай бұрын
Pole sana
@rosemtwakiАй бұрын
Pole kipenz MUNGU akutunze❤
@barackmoses7003Ай бұрын
Pole sana ndugu
@GdFf-ik2eoАй бұрын
Pole Sana mwsnangu
@Aminahlamranl420-hw2ieАй бұрын
Subhannallah pole sana 😢😢
@Shafikimanga7Ай бұрын
Pole
@user-xd9ye7wk6cАй бұрын
Dah pole sana
@saraphinawillson939Ай бұрын
Asee pole sanaa lkn kwann mnamuhoji huyu bado kichwa hakija kaa sawa jamn
@nancyg8664Ай бұрын
yan sijui wapoje
@user-ms1xg1fp4vАй бұрын
Sherehe yakutokufa
@rosehaule6765Ай бұрын
Pole.kijana wngu
@josephmathayo5139Ай бұрын
Huyu Kijana bado ni mgonjwa Kwani hata anavyoongea anaonekana anatumia NGUVU kubwa. Mwenyezi Mungu ni Mkubwa. Aendelee kumponya azidi kuimarika.
@deadcrushАй бұрын
Hata fahamu bado.
@OfficalnaphАй бұрын
yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa
@OfficalnaphАй бұрын
yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa
@fatmamsiliwa8485Ай бұрын
Kweli na shingo haiwezi halafu mzuri mashallah
@daslamonline466529 күн бұрын
Yupo sawa dogo hata kumbukumbu zipo sawa sana Navyoona hapo alipo pewa pikipiki alienda mbali kdg hata alipo pata ajali alie mpa hakuna hakujua kaenda wapi,
@cheiknamouna2058Ай бұрын
Alafu utakuta mjinga mmoja anasema Tanzania masikini hebu oneni mgonjwa kaokotwa katibiwa hadi kapona hakuna hata alidaiwa bill Mungu azidi kuwalinda wauguzi wetu na serekali iwajali🤲🙏🙏
@aminamoody5865Ай бұрын
Wakipatikana ndugu wanalipa bills
@cheiknamouna2058Ай бұрын
@@aminamoody5865 Sawa italipwa tu hâta ukoo utachanga bora wameokoa maisha yake ni jambo lakuwashukuru nchi zingine unaachwa hapo ndugu apatikane uanze matibabu
@dianajohnson7268Ай бұрын
@@aminamoody5865ndio wakati maisha wameshaokoa❤
@rehemamajaliwa29 күн бұрын
@@aminamoody5865kabisa
@frankjackson4435Ай бұрын
Amina
@user-lo8ef9qn2rАй бұрын
Swali langu Uyo aliyemiazima bodaboda yy akujua?
@user-jh4hg2ev9sАй бұрын
Swali zuri na la msingi mwandishi hajauliza ni vema amtafute wenye pikipiki hapo hapaeleweki.
@rehemamajaliwa29 күн бұрын
Kalijibu kasema yule mtu aliempa boda anamjua ni bodaboda wa pale kijiwenii
@matronashirima1489Ай бұрын
Jaman nimefurahia kwa kweli.. alikuwa anatibiwa bila Kulipia jaman..this is so beutful.. hivyo bili hatalipa?
@rehemamajaliwa29 күн бұрын
Atalipaa
@adeladamasi4391Ай бұрын
Duuuuuuuu😮
@eggysulle7988Ай бұрын
Allah awe pamoja n wauguz
@SallyMinjaАй бұрын
Maisha na kifo ni siri kubwa sana😢
@perfectfilm3656Ай бұрын
Duuuh Yan hospital ya taifa inafanya hayo duuuh
@nancyg8664Ай бұрын
mtangazaji nawewe upo kama mgonjwa
@aishajuma7813Ай бұрын
Kweli uchawi upo
@user-bo5qp9gz8mАй бұрын
Duh hadi nimetokwa na machozi
@WaziriRamadhan-MLАй бұрын
Isije ikawa mwamba kafufuka😂😂
@jameshensdouglass7632Ай бұрын
DNA ikashindikana kupimwa au
@evertheobald1811Ай бұрын
Huyu jamaa bado kabisa, hayuko sawa na hata nahisi anayeongea kama vo yeye vile!
@rehemamajaliwa29 күн бұрын
Ni kweli hajakaa sawa
@SamwelMbagaАй бұрын
Uondio ubinadamu ongeleni madocta
@renatusblandes1131Ай бұрын
Alizinduka Kwa mda gani?
@annastevensteven9515Ай бұрын
Mhuuu
@visionman8277Ай бұрын
millard ayo huyu jamaa kama nimemkumbuka hivii kwa mbalii alipataga ajali pale rafia bagamoyo road muda wa saa kumi na mbili jioni. Nilimsaidia sana kumchomoa kwenye pkpk iliyomlalia na kumpa huduma ya kwanza alikuwa anatoka damu puani na mkono ulichunika sana adi ngozi nyeupe ilitoka pia walikuwa wamepakizana wawili.kama siyo yeye basi nitakuwa nimemfananisha maana stori yake kama inafanana na yule niliyemsaidia mm. pia alivyoumia kwenye mkono na kichwani ni kama yule nilomsaidia maana alikuwa ameumia vilevile kama yeye alivyoumia
@bernadetamodest6170Ай бұрын
Ila yeye hakupata ajali saa kumi na mbili kwa maelezo yake,anasema alifunga kaz saa tano usiku akaomba pikipik ila yaliyojir baada ya hapo hajui
@user-es2yt1jc4i29 күн бұрын
Mimi machoz niliokuwa nayo kawaida yangu naomba tu ili muwe mnaniomnea dua niweze pandisha iman yangu sabab maana sikuweza mwachwa mtu
@rehemamajaliwa29 күн бұрын
@@bernadetamodest6170akili ake haijakaa sawa amepoteza kumbukumbu...kikawaida mteja hawezi kuka na boda wake kununua chips halafu muuzaji amuache mteja ampe muuza chips boda apige misele....nadhan akili haijakaa sawa amepoteza kumbukumbu...yule dereva bodaboda akipatikana anaweza elezea mkasa...
@rehemamajaliwa29 күн бұрын
Sidhani kama ni huyu maana huyu alipata ajali maeneo ya kimara/mbez ndo mana akapelekwa bochi ....
@visionman827728 күн бұрын
@@rehemamajaliwa inawezekanai amepoteza kumbukumbu ,yaani jinsi alivyoumia mkono na sura yake ni yeye kabisa 100%✓ maana mm ndio nilikuwa wakwanza kumsaidia mpaka niliwapigia na ndugu zake kupitia simu yake na pia nduguzake walikuwa huko Kanda ya ziwa anyways labda story imefanana ila ninauhakika ni yeye na ajali alipata mbeze beach rafia hebu muulizeni vzr
@abedysteven4930Ай бұрын
Yan hata cjui niseme nn ila pole dah😭😭😭😭
@seifmohammed3053Ай бұрын
Daaah yani Tanzania bado watu wanagaiwa mwili bila DNA kisha ndo munakuja na story za uongo mtu kafufuka. Eti watu bado miiili Mpaka umtambue dah.
@dennischarles8524Ай бұрын
Story ina utata, why you don’t want to go back pale kijiweni? They know the story
@rehemamajaliwa29 күн бұрын
Akili yake haiko sawa bado....anahitaji utulivuu sio rahisi ameaffectika kisaikolojia
@remidusmwanandenje-yy5gsАй бұрын
Apo mnanichanganya jaman au walitaka kumtoa kafala jaman ?
@user-qk1iv2is9fАй бұрын
Kumbe huko hai!!
@gloriadaniel3827Ай бұрын
Waandishi hamna busara. Huyo mgonjwa kichwa hakiko sawa.
@maidaamie648Ай бұрын
Ni kwel kichwa bado hakikosawa
@jordantv6840Ай бұрын
Daaaah mwanangu Rogati Polee sanaa😢😢
@NixonJohnson-zn8nkАй бұрын
Mwili umechomwa moto... Ina maana wewe sio mzuri kwenye familia yenu
@lilianwaflotina1288Ай бұрын
Huyu bado hajakaa sawa😢
@maidaamie648Ай бұрын
Ni kwel akili bado haijarudi sawasawa
@user-by4xk2vx5wАй бұрын
Atakuwa sawa tu polepole.🙏
@jkomedikaduliАй бұрын
Daa Dunia hiii hatali kweli
@upendoeliya9329Ай бұрын
Ndugu walitakiwa kupima DNA ule mwili pmja na mzazi
@evertheobald1811Ай бұрын
Pole sana, ila bado akili haiko sawa, ukisikiliza kwa makini hasa kipengele cha kuomba boda kwa mteja uendeshe half wakati huo, mteja unamwacha kazini kwako....
@jescarwegoshola1754Ай бұрын
😂😂
@rehemamajaliwa29 күн бұрын
Kabisa yani hayuko sawa kabisaaaa
@DM.2200Ай бұрын
Dah wangejua wangepima DNA kama walikua wana wasiwasi na mtu mwenyewe 😢
@abdulnaseermrisho4342Ай бұрын
Tatizo hela ya kupima hiyo ni dna na proceas zake
@collinsulomi1008Ай бұрын
Akipatikana huyo jamaa mwenye pikipiki hii story itaweza ku balance. Otherwise mtu anaweza ku generate maswali mengi nayakawa ya msingi
@evertheobald1811Ай бұрын
Kwakweli, maana huyo boda sana akili yake haiko okay
@rehemamajaliwa29 күн бұрын
Ni kweli ishi ni kwamba kijana akili haijakaa sawa na kumbukumbuku hazijakaa sawa
@vicentmapunda3146Ай бұрын
Sasa... hospital zina kaz gan kupima vina saba7mbkq wat wazike mt ambae sio wao? Wat wanapima mbka mifupaa ya mika 70 sasa inakuwaj apo
@nancyg8664Ай бұрын
ukute ndugu wenyewe ndo walitaka kuchukua sababu ilikua maiti ya muda mrefu
@aishajuma7813Ай бұрын
Kwe
@marykennedymarwa1641Ай бұрын
Kwani Tanzania hakunaga DNA test Kwa maiti zisizotambulika??!!!! Hii ni masikitiko.