“NDUGU WAZIKA JAMBAZI ALIYECHOMWA MOTO WAKIDHANI NI MIMI, MZIMU”

  Рет қаралды 43,694

Millard Ayo

Millard Ayo

Ай бұрын

Пікірлер: 147
@StellaJohn-dz6gv
@StellaJohn-dz6gv Ай бұрын
Hii Dunia😭😭pole sana kaka Mungu akupe maisha marefu
@jacklinesimon7544
@jacklinesimon7544 Ай бұрын
Mungu awabariki wauguzi wote mliokuwa name kipindi chote hicho
@aishamussa853
@aishamussa853 Ай бұрын
Asante Mungu kwa Rogate Pia hongereni Moi kwa ubinadamu mliouonyesha Mungu atawalipa
@samkoka3
@samkoka3 Ай бұрын
Hongera san hospital ya MOI kutibia mtu pasipo kujali fedha
@SinemaZaChina
@SinemaZaChina Ай бұрын
Mungu akuzidishie umri mrefu pia pole sana tunakuombea upate kupona haraka sana
@WinifridaFidelis
@WinifridaFidelis Ай бұрын
Mungu wabariki madaktari uliomtibia ndugu yetu
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o Ай бұрын
Kiukweri umli wake Bado mungu anamtaka Aishi mana hata hapo hospital asinge hudumiwa bila ndugu Wala pesa ashukuliwe mungu
@allymdoka8634
@allymdoka8634 Ай бұрын
Kiukweli nipende kushukuru uongozi wa iyo hospital ubinadamu kwanza
@JacksonMabeyo
@JacksonMabeyo 27 күн бұрын
Dar Pole sana mwangu mimi mpaka leo najua haupo ila baada ya kunitumia hii interview ndo nmeamin upo Mungu ni mwema.asee nafurahi
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Ай бұрын
Pole Sana mdogo Mungu awe faraja kwako. Mbarikiwe madaktari wote mlimtibia.
@Gml-wi5nv
@Gml-wi5nv Ай бұрын
Ndo haya ya arusha wanasema mtu kafufuka dah pole sana
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 Ай бұрын
😢
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija Ай бұрын
😮😮
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Ай бұрын
Kabisa wale walizika mtu sio wao
@JaliaMuro
@JaliaMuro Ай бұрын
Mungu ni mwema hongereni sana moi
@user-mr5yf1hp7t
@user-mr5yf1hp7t Ай бұрын
Allah awalipe kheri madaktari wamoi huo ndio utendaji wakazi rais wetu samia suruhu hasani kiupande wangu naomba uwapandishe vyeo hao madaktari wamejituma sana hawa kujali pesa wamejali utu asante ni sana
@Djso26
@Djso26 Ай бұрын
Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Ай бұрын
Hyo ndio yale ya Arusha yule kaka wamezika mait sio yao
@Kiganja
@Kiganja Ай бұрын
Amebahtika kua na nugu wanao weza kumtafuta, vipi kwa wasio na mahusiano mazuri na ndugu zao? Allah atubariki zaidi.
@everlyne8595
@everlyne8595 Ай бұрын
Ndio watashangaa amefufuk
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 23 күн бұрын
Moi hongera sana nimewapend I seeee❤
@SamwelDickson-zh5gj
@SamwelDickson-zh5gj Ай бұрын
Daaa pole sana Brother Mungu akupe maisha marefu
@user-yj3gy4jc1t
@user-yj3gy4jc1t 27 күн бұрын
Mungu nimkubwa
@user-qk1iv2is9f
@user-qk1iv2is9f Ай бұрын
Asante yesu mm ni mmja wa walioenda msbn, nilivopat taarf hz nimefurah kwel
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Ай бұрын
🥺🥺
@franknzowa22
@franknzowa22 Ай бұрын
Tatizo ni hilo la umakini tu,..alafu baadae ungesikia mtu kafufuka.....poleni sana ndugu
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Ай бұрын
Nikweli usemacho
@saadaperec2706
@saadaperec2706 27 күн бұрын
me bado najiuliza huyo jamaa aliempa boda aendeshe baada ya mwenzie kupata ajali hakufanya taratibu hata za kutafuta watu wake wakaribu wajue ndugu yao kapata ajali yani inashangaza sana
@josephjohnmbelwa4998
@josephjohnmbelwa4998 Ай бұрын
Hakika mgonjwa kazinduka,lakini hajapona!Asiruhusiwe hospitali hadi waakikishe kapona na akili kwani bado yupo na maluweluwe!
@FreeGod368
@FreeGod368 Ай бұрын
Amna kitu ww😂
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 29 күн бұрын
Sahihi yani ukiangalia kwa jicho la 3 utaona hayuko sawa kabisaaa
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 23 күн бұрын
Pole sana I seee jamaaaa
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 Ай бұрын
Hao marafiki zake wa kazini wana maroho mabaya tuu kwanini wasitoe ushirikiano kwa mdugu na jamaa zake
@njapukaadhra9550
@njapukaadhra9550 Ай бұрын
Allah ashukuriwe
@Ashrey82
@Ashrey82 Ай бұрын
Mungu mkubwa 🙏 insh'allah uwe na maisha marefu!
@madinajamada9180
@madinajamada9180 Ай бұрын
Pole sana wakwetu kumbe tunatoka mkoa mmoja pole sana mdogo wangu
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Ай бұрын
Mungu ni mwema Sana pole Sana kaka
@everlyne8595
@everlyne8595 Ай бұрын
Hao watu walio kua nae kwny biashar pia hawan utuuu
@pendosailo1989
@pendosailo1989 Ай бұрын
Wanatakiwa wachunguzwe..
@hildamakundi281
@hildamakundi281 Ай бұрын
Pole Sana kijana. Wakati mwingine ndugu tuwe na subira. Tusikurupuke. Mungu akutunze uwe na maisha marefu. Amina
@pendosailo1989
@pendosailo1989 Ай бұрын
Shida hakuna vipimo vya ziada vinavyofanyika kama DNA kujua uhalisia wa mtu kama ndie au la...
@pendosailo1989
@pendosailo1989 Ай бұрын
Wenzetu hawaziki mpk wapime kujua ndie au sio
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Ай бұрын
Mbona vipo ndg tu walikuwa wazembe ​@@pendosailo1989
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk Ай бұрын
vipimo vipo Ila ndugu hawakupata sintofahamu hata wakapima na inasemekana alipoteza mwezi mzima lazma washikwe na kiwewe ​@@pendosailo1989
@zaburi2386
@zaburi2386 Ай бұрын
Hilo tukio niswa na tukio la juz la ile familia wanaodai ndugu yao kufufuka hali inakuaga ivo wanandugu huchukua miili isiyo yao hospital na kwenda kuzka bila kuchunguza miili kumbe ndg yao yupo hai
@dismasrutashobya
@dismasrutashobya Ай бұрын
Pole Sana na hongera
@daudymlauletv8489
@daudymlauletv8489 Ай бұрын
Poleni san lkn huyu jamaa akili hazijaludi
@barackmoses7003
@barackmoses7003 Ай бұрын
Sasa angewezaje kujielezea🤔🤔
@maidaamie648
@maidaamie648 Ай бұрын
Eeeeh bado akili hazijarudi sawasawa ukisikiliza vzur majibu yake
@evertheobald1811
@evertheobald1811 Ай бұрын
Kwakweli hayuko sawa, maana anavyojieleza ni hakika akili haiko ok
@evertheobald1811
@evertheobald1811 Ай бұрын
Hivi unaweza acha mteja halafu unaomba boda yake uendeshe tuu
@Official83640
@Official83640 Ай бұрын
Watu wa Dar tumefikiwa tumezoea Arusha haya mambo😂😂😂
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Ай бұрын
Hakika Mungu ni mkuu, Moi Mungu azidi kuwalinda kuanzia uogoozi, madaktari na wauguzi wote.. Hosiptali nyngn angekutana na wenye roho mbaya, wangemtelekeza!!..kuna hosipitali wahudumu utafikiri watoa roho na sio matabibu!!
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Ай бұрын
Pole sana kijana Mungu azidi kukulinda🙏
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA Ай бұрын
Duh pole sana aisee khaa
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 Ай бұрын
Mungu akulinde mwanangu
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt Ай бұрын
Pole Sana kaka
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 Ай бұрын
Pole sana kaka imekuaje usikumbuke ajali au ni uchawi wa kutupiwa
@janethmdachi5334
@janethmdachi5334 Ай бұрын
Itakuwa aliumia kichwa kwahy kukumbuka inakuwa ngumu
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 28 күн бұрын
@@janethmdachi5334 itakuwa
@mpefu_4936
@mpefu_4936 Ай бұрын
Pole sana
@rosemtwaki
@rosemtwaki Ай бұрын
Pole kipenz MUNGU akutunze❤
@barackmoses7003
@barackmoses7003 Ай бұрын
Pole sana ndugu
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo Ай бұрын
Pole Sana mwsnangu
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie Ай бұрын
Subhannallah pole sana 😢😢
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 Ай бұрын
Pole
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c Ай бұрын
Dah pole sana
@saraphinawillson939
@saraphinawillson939 Ай бұрын
Asee pole sanaa lkn kwann mnamuhoji huyu bado kichwa hakija kaa sawa jamn
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
yan sijui wapoje
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v Ай бұрын
Sherehe yakutokufa
@rosehaule6765
@rosehaule6765 Ай бұрын
Pole.kijana wngu
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 Ай бұрын
Huyu Kijana bado ni mgonjwa Kwani hata anavyoongea anaonekana anatumia NGUVU kubwa. Mwenyezi Mungu ni Mkubwa. Aendelee kumponya azidi kuimarika.
@deadcrush
@deadcrush Ай бұрын
Hata fahamu bado.
@Officalnaph
@Officalnaph Ай бұрын
yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa
@Officalnaph
@Officalnaph Ай бұрын
yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 Ай бұрын
Kweli na shingo haiwezi halafu mzuri mashallah
@daslamonline4665
@daslamonline4665 29 күн бұрын
Yupo sawa dogo hata kumbukumbu zipo sawa sana Navyoona hapo alipo pewa pikipiki alienda mbali kdg hata alipo pata ajali alie mpa hakuna hakujua kaenda wapi,
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Ай бұрын
Alafu utakuta mjinga mmoja anasema Tanzania masikini hebu oneni mgonjwa kaokotwa katibiwa hadi kapona hakuna hata alidaiwa bill Mungu azidi kuwalinda wauguzi wetu na serekali iwajali🤲🙏🙏
@aminamoody5865
@aminamoody5865 Ай бұрын
Wakipatikana ndugu wanalipa bills
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Ай бұрын
@@aminamoody5865 Sawa italipwa tu hâta ukoo utachanga bora wameokoa maisha yake ni jambo lakuwashukuru nchi zingine unaachwa hapo ndugu apatikane uanze matibabu
@dianajohnson7268
@dianajohnson7268 Ай бұрын
​@@aminamoody5865ndio wakati maisha wameshaokoa❤
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 29 күн бұрын
​@@aminamoody5865kabisa
@frankjackson4435
@frankjackson4435 Ай бұрын
Amina
@user-lo8ef9qn2r
@user-lo8ef9qn2r Ай бұрын
Swali langu Uyo aliyemiazima bodaboda yy akujua?
@user-jh4hg2ev9s
@user-jh4hg2ev9s Ай бұрын
Swali zuri na la msingi mwandishi hajauliza ni vema amtafute wenye pikipiki hapo hapaeleweki.
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 29 күн бұрын
Kalijibu kasema yule mtu aliempa boda anamjua ni bodaboda wa pale kijiwenii
@matronashirima1489
@matronashirima1489 Ай бұрын
Jaman nimefurahia kwa kweli.. alikuwa anatibiwa bila Kulipia jaman..this is so beutful.. hivyo bili hatalipa?
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 29 күн бұрын
Atalipaa
@adeladamasi4391
@adeladamasi4391 Ай бұрын
Duuuuuuuu😮
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
Allah awe pamoja n wauguz
@SallyMinja
@SallyMinja Ай бұрын
Maisha na kifo ni siri kubwa sana😢
@perfectfilm3656
@perfectfilm3656 Ай бұрын
Duuuh Yan hospital ya taifa inafanya hayo duuuh
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
mtangazaji nawewe upo kama mgonjwa
@aishajuma7813
@aishajuma7813 Ай бұрын
Kweli uchawi upo
@user-bo5qp9gz8m
@user-bo5qp9gz8m Ай бұрын
Duh hadi nimetokwa na machozi
@WaziriRamadhan-ML
@WaziriRamadhan-ML Ай бұрын
Isije ikawa mwamba kafufuka😂😂
@jameshensdouglass7632
@jameshensdouglass7632 Ай бұрын
DNA ikashindikana kupimwa au
@evertheobald1811
@evertheobald1811 Ай бұрын
Huyu jamaa bado kabisa, hayuko sawa na hata nahisi anayeongea kama vo yeye vile!
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 29 күн бұрын
Ni kweli hajakaa sawa
@SamwelMbaga
@SamwelMbaga Ай бұрын
Uondio ubinadamu ongeleni madocta
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 Ай бұрын
Alizinduka Kwa mda gani?
@annastevensteven9515
@annastevensteven9515 Ай бұрын
Mhuuu
@visionman8277
@visionman8277 Ай бұрын
millard ayo huyu jamaa kama nimemkumbuka hivii kwa mbalii alipataga ajali pale rafia bagamoyo road muda wa saa kumi na mbili jioni. Nilimsaidia sana kumchomoa kwenye pkpk iliyomlalia na kumpa huduma ya kwanza alikuwa anatoka damu puani na mkono ulichunika sana adi ngozi nyeupe ilitoka pia walikuwa wamepakizana wawili.kama siyo yeye basi nitakuwa nimemfananisha maana stori yake kama inafanana na yule niliyemsaidia mm. pia alivyoumia kwenye mkono na kichwani ni kama yule nilomsaidia maana alikuwa ameumia vilevile kama yeye alivyoumia
@bernadetamodest6170
@bernadetamodest6170 Ай бұрын
Ila yeye hakupata ajali saa kumi na mbili kwa maelezo yake,anasema alifunga kaz saa tano usiku akaomba pikipik ila yaliyojir baada ya hapo hajui
@user-es2yt1jc4i
@user-es2yt1jc4i 29 күн бұрын
Mimi machoz niliokuwa nayo kawaida yangu naomba tu ili muwe mnaniomnea dua niweze pandisha iman yangu sabab maana sikuweza mwachwa mtu
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 29 күн бұрын
​@@bernadetamodest6170akili ake haijakaa sawa amepoteza kumbukumbu...kikawaida mteja hawezi kuka na boda wake kununua chips halafu muuzaji amuache mteja ampe muuza chips boda apige misele....nadhan akili haijakaa sawa amepoteza kumbukumbu...yule dereva bodaboda akipatikana anaweza elezea mkasa...
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 29 күн бұрын
Sidhani kama ni huyu maana huyu alipata ajali maeneo ya kimara/mbez ndo mana akapelekwa bochi ....
@visionman8277
@visionman8277 28 күн бұрын
@@rehemamajaliwa inawezekanai amepoteza kumbukumbu ,yaani jinsi alivyoumia mkono na sura yake ni yeye kabisa 100%✓ maana mm ndio nilikuwa wakwanza kumsaidia mpaka niliwapigia na ndugu zake kupitia simu yake na pia nduguzake walikuwa huko Kanda ya ziwa anyways labda story imefanana ila ninauhakika ni yeye na ajali alipata mbeze beach rafia hebu muulizeni vzr
@abedysteven4930
@abedysteven4930 Ай бұрын
Yan hata cjui niseme nn ila pole dah😭😭😭😭
@seifmohammed3053
@seifmohammed3053 Ай бұрын
Daaah yani Tanzania bado watu wanagaiwa mwili bila DNA kisha ndo munakuja na story za uongo mtu kafufuka. Eti watu bado miiili Mpaka umtambue dah.
@dennischarles8524
@dennischarles8524 Ай бұрын
Story ina utata, why you don’t want to go back pale kijiweni? They know the story
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 29 күн бұрын
Akili yake haiko sawa bado....anahitaji utulivuu sio rahisi ameaffectika kisaikolojia
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs Ай бұрын
Apo mnanichanganya jaman au walitaka kumtoa kafala jaman ?
@user-qk1iv2is9f
@user-qk1iv2is9f Ай бұрын
Kumbe huko hai!!
@gloriadaniel3827
@gloriadaniel3827 Ай бұрын
Waandishi hamna busara. Huyo mgonjwa kichwa hakiko sawa.
@maidaamie648
@maidaamie648 Ай бұрын
Ni kwel kichwa bado hakikosawa
@jordantv6840
@jordantv6840 Ай бұрын
Daaaah mwanangu Rogati Polee sanaa😢😢
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk Ай бұрын
Mwili umechomwa moto... Ina maana wewe sio mzuri kwenye familia yenu
@lilianwaflotina1288
@lilianwaflotina1288 Ай бұрын
Huyu bado hajakaa sawa😢
@maidaamie648
@maidaamie648 Ай бұрын
Ni kwel akili bado haijarudi sawasawa
@user-by4xk2vx5w
@user-by4xk2vx5w Ай бұрын
Atakuwa sawa tu polepole.🙏
@jkomedikaduli
@jkomedikaduli Ай бұрын
Daa Dunia hiii hatali kweli
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 Ай бұрын
Ndugu walitakiwa kupima DNA ule mwili pmja na mzazi
@evertheobald1811
@evertheobald1811 Ай бұрын
Pole sana, ila bado akili haiko sawa, ukisikiliza kwa makini hasa kipengele cha kuomba boda kwa mteja uendeshe half wakati huo, mteja unamwacha kazini kwako....
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 Ай бұрын
😂😂
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 29 күн бұрын
Kabisa yani hayuko sawa kabisaaaa
@DM.2200
@DM.2200 Ай бұрын
Dah wangejua wangepima DNA kama walikua wana wasiwasi na mtu mwenyewe 😢
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 Ай бұрын
Tatizo hela ya kupima hiyo ni dna na proceas zake
@collinsulomi1008
@collinsulomi1008 Ай бұрын
Akipatikana huyo jamaa mwenye pikipiki hii story itaweza ku balance. Otherwise mtu anaweza ku generate maswali mengi nayakawa ya msingi
@evertheobald1811
@evertheobald1811 Ай бұрын
Kwakweli, maana huyo boda sana akili yake haiko okay
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 29 күн бұрын
Ni kweli ishi ni kwamba kijana akili haijakaa sawa na kumbukumbuku hazijakaa sawa
@vicentmapunda3146
@vicentmapunda3146 Ай бұрын
Sasa... hospital zina kaz gan kupima vina saba7mbkq wat wazike mt ambae sio wao? Wat wanapima mbka mifupaa ya mika 70 sasa inakuwaj apo
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
ukute ndugu wenyewe ndo walitaka kuchukua sababu ilikua maiti ya muda mrefu
@aishajuma7813
@aishajuma7813 Ай бұрын
Kwe
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 Ай бұрын
Kwani Tanzania hakunaga DNA test Kwa maiti zisizotambulika??!!!! Hii ni masikitiko.
@RetnerAlfred
@RetnerAlfred Ай бұрын
Kwahyo mwenye boda2 akutafuta boda yake??
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 29 күн бұрын
Hajui kitu
@RetnerAlfred
@RetnerAlfred 28 күн бұрын
@@rehemamajaliwaEe Mungu Uturuhurumie
@josephk90
@josephk90 Ай бұрын
Intro inakuwa ndefu mno ndg mwandishi okoa MB zetu.
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 Ай бұрын
Huyo mgonjwa hana fahamu uzur kwahyo akimkatisha atampoteza kabisaaaa
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs Ай бұрын
😪😪😪😪🙏🙏🙏🙏🎎
@InocentGalinoma-dq6hl
@InocentGalinoma-dq6hl Ай бұрын
Vp alie mpa pikipik alikua nae au
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 29 күн бұрын
Hakumbukiii.....bado hayuko sawa
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Ай бұрын
Kijana bado kidogo hayupo sawa
@Djso26
@Djso26 Ай бұрын
Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 Ай бұрын
Pole sana
@MalaikaBright-rv6yb
@MalaikaBright-rv6yb Ай бұрын
Polee sana kaka
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 19 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 28 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 10 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 19 МЛН