Pole mtoto wangu. Mi nakushauri usifanye Tena kazi ya bodaboda, maana wameshaona sura Yako, wanaweza wakalipiza, kwakuwa Mungu amekuponya, watanzania tunakuchangia ulipe pikipiki na tafuta kazi ingine tafadhali kwa usalama wsko, ikibidi hama hata hapo unapokaa kwa sasa.
@mwajabumsami638812 күн бұрын
Nimewaza kama weww
@JohaDomi-bg5yh12 күн бұрын
Nimeumia jamani kama kaka yangu@@mwajabumsami6388
@user-dl1ju4ge3x11 күн бұрын
Kweli kabisa
@CoolLate-tm8vc11 күн бұрын
Kweli inaliza jmn
@annamwakibinga52711 күн бұрын
Kweli kabisa
@sarahkinyashi621313 күн бұрын
Mungu bado anakupenda mwanangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-nb6yh2bn9y13 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙌🙌🙌
@MsAisha-w4o13 күн бұрын
Piki piki ni bei gani jamani kwa atakae guswa na hili tueze kuchangia chochote hata ikiwa ni mia tano tano..umoja ni nguvu.. sis ni WATanzania .mngu atulinde..maisha ya boda boda yamekua hatarini sana kwa nyakati hizi..
@ahmedsaid551911 күн бұрын
Hili ni wazi zuri sana
@annamwakibinga52711 күн бұрын
Kabisa
@user-no7pz1bz4y10 күн бұрын
Kweli kabisa 😢
@user-no7pz1bz4y10 күн бұрын
Kuna watu hawana huruma jamani, yani mkaka wawatu kidogo athlete roho na majelaha hv lakn bado tajili anamdai😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@user-wh8vk7sc7v7 күн бұрын
Atoe namba
@GibsonNtamamilo14 күн бұрын
Mchanga ni silaha moja matata sana. Hata mbwa alikukimbiza mkabidhi mchanga. Big up chalii kwa kupambana.
@HusnaMtitiko-yt4ru13 күн бұрын
Aise umeniambia hivi nikakumbuka tuliwahi kuvamiwa na nyuki shambani basi mama alisema inameni chini kimuweni mavumbi basi tulifanya vile hatukuzurika 👏
Wewe tajiri wa pikipiki mungu Anakuona leo Angepoteza maisha ungedahi nini? Siyo sawa bora msaidiane yeye Ajapenda kuvamiwa kweli mungu Anakuona haya maisha bhana
@mariamkibindo174113 күн бұрын
Yaani mpaka mtu unaeza his kama nae anajua huo mchongo sababu pikipik mpya siku mbili TU alafu tukio Hilo boss anadai mmmh?
@PendoMatemba-ql1ng13 күн бұрын
@@mariamkibindo1741 hapa duniani kuna watu wanateseka kisirisiri huyo kabahatika kukutana na mwandishi wangapi wanaonewa kama yeye ni wengi mnoo kpz.
@kibasamohamedi802913 күн бұрын
😅😅😅😅
@user-eu6ql9zl7n13 күн бұрын
Hatareeeee !Anajali pesa tuuu ila ukimaliza den lake achana nae kwanza hujui misingi aliyotumia huyo boss kupata pikpik yamkin ungekua kafara yke
@user-xk7vy4gb6g13 күн бұрын
@@mariamkibindo1741yani hata mimi nimewaza hivyo hivyo istoxhe kapelekwa hadi sehemu ya tukio jambazi kalikuta linaungua moto bado anafungulia kesi huyu dogo
@gilliardgodfriend574513 күн бұрын
Hii mbinu ya mchanga na kumvuta pua aisee😂🦁🦁🦁 we ni zaidi ya mjeda🎉
@naomikatharinaandrewmnkai676013 күн бұрын
😂😂😂kavuta pua ikapasuka. Asee huyu ni zaidi ya jambazi
@frezo817711 күн бұрын
@@naomikatharinaandrewmnkai6760ushaona pua ina achana aisee 😅😅 sio poa ana mbinu za kivita huyu janja
@naomikatharinaandrewmnkai676010 күн бұрын
@@frezo8177 apewe kazi dogo😂
@EddahBure-te7ft2 күн бұрын
@@frezo8177😅😅hafai kabisaa
@JaliaMuro13 күн бұрын
Nimefurahi lkn pia namuonea huruma sana uyu kijana mdogo walivyomuonesha sura kuna watu wamebaki bado hawataridhika wataendelea kumuwinda vip kuhusu usalama wake
@user-bz7kg2lr3f13 күн бұрын
Daah aisee umeongea point sanaaa yaan anahitaj ulinzi maana pia aliekufa anawatu wake
@MerryRenatus-ck4lz13 күн бұрын
Yaani Mungu amlinde mdogo wangu
@shuwehaharuna630913 күн бұрын
Hata Mimi nimeshangaa Kwann wamemuonesha Sura
@winniesimon8508 күн бұрын
Huyu mtoto angeenda jeshi bila kupingwa. Wasn't easy. Una mungu kijana
@winniesimon8508 күн бұрын
Unalindwa na Mungu my son. Una kitu utafika mbali
@SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin13 күн бұрын
Mnge mficha sura hii nhatari kwakwel Allah akulinde babaa 🤲🤲
@khadijazuberi367210 күн бұрын
Amiin
@ConfusedAlien-xk3sh13 күн бұрын
Mchanga fimbo nzuri sana😂hongera mwanangu wewe ni shujaa
@user-wi8og3sv4j10 күн бұрын
Lakini hawezi kuwa mpenzi kama mbwa analindda chake tu
@arafakiloli74910 күн бұрын
Subhanallah pole sana mdogo wangu...ALLAH azidi kukuhifadhi...pia shikamana na ibada
@Maroo6Official14 күн бұрын
😂😂😂 Nimeinjoy Sana Ila Yote kwa yote nikwanguvu ya Allah
@ayoubmtumishi508 күн бұрын
Nguvu ya Yesu kristo hiyo
@EddahBure-te7ft2 күн бұрын
@@ayoubmtumishi50Yesu mwenyewe hakujitetea akauliwa kashindwa na huyo dogo kapambania uhai wake yesu kabaki jina tu ivyo wala si shujaa 😅😅
@5googleuuu72713 күн бұрын
Tumsaidie jamani. Anafaaa aende jeshini❤❤. Kikubwa tumsaidie. Brother wetu mdogo wetu😢 ila alihamundulih. Umetoka salama
@user-gx4vx5ru2u13 күн бұрын
Hongera Sana shujaa hakika Mungu hajakuacha mkumbuke sana huyo Mungu aliekupigania maana hujapigana mwenyew Mungu atakupa pikipiki yako na ya tajiri pia
@meshackthomas134113 күн бұрын
Ndo tujue Mungu akiruhusu ushindi Kwa anaemtaka. Huwa hazingatii wew. Unapambana na jitu la milaba minane ama kitugani tuweni na imani na Mungu alitupatia Akiri kama sehem ya vitendea kaz kujitetea💪
@SalmanMughal-lq5lt13 күн бұрын
InshaAllah
@sharifamahamudu18213 күн бұрын
Kabisa
@user-qq6mv6vh3e13 күн бұрын
Kabisaaa
@mayrfrimi475910 күн бұрын
Dogo nimempenda sana, da! Hongera uko vizur, natamani awe dereva wangu, na umri wake, 19 yrs, hongera sana,
@MaryKalunde13 күн бұрын
Pole dogo, pia hongera kwa kupambania roho yako
@LaurenciaKitauli-or8rr13 күн бұрын
Mungu ni mwema. Pole zake . Huyo ni jasiri ila tajiri yake hana utu. Askari wasitoe maneno ya kukatisha tamaa ,
@user-mi7cd8ch1b13 күн бұрын
Asikari wa bongo wajinga sana badara ya kumpongeza wanakatisha tamaha uyo angekuwa nchi hi uku kwa wenzetu angepata tunzo na kupewa kaz ya jeshi,,Kwan ni jasiri sana, na mungu kampa nguvu alhamdulillah kashinda?
@sharifamahamudu18213 күн бұрын
Aslay wa bongo wenyew waoga
@MageshotofuShotofufande7 күн бұрын
Nimefurahi sana, mungu awalinde kaka zetu
@mbwawafillingstation13 күн бұрын
Pole kijana wangu wewe ni zaidi ya mjeshi. Mpeni nafasi jeshini huyu
@bonifacemushijoseph93829 күн бұрын
Ingefaa mbona Awe kama Majaliwa... Serekali Ione pia
@GaudenciaMadirisha14 күн бұрын
Aisee hongera kwa kuonyesha ushunjaa 🙏🙏🙏
@user-xh7xf2ki3r13 күн бұрын
Maa Shaa Allah hongera sana mdogo wangu kwa ujasiri pia pole kwa mashakil na iman utapata msaada kwa uwezo wa Allah
@vero5714 күн бұрын
Huyu apewe kazi ya jeshi
@faidhamyovela17914 күн бұрын
😂😂 kwa sabab gan sasa kumwaga mchanga machon au
@MauaDumba14 күн бұрын
Ndio utaki au?au we ndio mtoa ajira
@JofreyMsigwa-ok7hv13 күн бұрын
Et kama majaliwa😂
@JofreyMsigwa-ok7hv13 күн бұрын
@@MauaDumba sijui
@shanimbaruku207113 күн бұрын
Ni shujaa na bado mdogo sana🎉
@machejostudiosmramba5365Күн бұрын
Dah JAMAAA angu umepambana 💪💪 pole sana ndugu Mungu akutie nguvu na mm kwasababu napambana nitakutumia kidogo kitu kidogo
@user-wr7wp9sl2p14 күн бұрын
Pole sana kijana....na hongera Kwa kupambania maisha yako
@JoycemsangiJoyce-go9su13 күн бұрын
Kwakweli we ni daudi umemuweza goliati hongera sana kijana
@aishaabrahaman995712 күн бұрын
Achana na iyo kazi dogo tafuta kazi nyingine 😊
@user-ne2zv8km3x13 күн бұрын
Shujaa kapambania maisha..hongera sana. Mungu kakupa ujasiri.
@user-eu6ql9zl7n13 күн бұрын
Na kweli ni Mungu tu kampa ujasir
@godfreyelibarikilaizer617813 күн бұрын
Pole sana hapa duniani hakuna alie salama hata asie na kitu lakini umepambana na ni msaada wa MUNGU tu hutabaki kama ulivyo wapo watakaosimama na wewe na utatoka kwenye shida pole
@user-mi7cd8ch1b13 күн бұрын
Hu wizi bado upo jmn aisee pole sana mwanangu,vijana fanyeni kazi sio pow kuiba mari za watu
@rosetreffert417913 күн бұрын
Mungu mwema hongera kwa ushindi huu mkubwa Mungu azidi kukulinda ❤❤❤
@hildegundembilinyi90429 күн бұрын
Umri wa mwanangu daaa! watoto wetu Mungu awalinde watoto wetu wa kiume wanapitia changamoto
@rosehaule676513 күн бұрын
Mungu tusahidie na watt wetu wa kiume kupata kazi ninngumu maskin wana pambana pole kijana wngu❤
@donaldmpagaze9803Күн бұрын
Pole saana dogo Maiko Mungu atakurejeshea
@MwaliSuleih15 сағат бұрын
Hongera kijana ulijitetea xan kw Hali Kam izo Mungu azidi kkujaalia afya njema akulinde na zaidi mdogo wangu unahuzunisha xan lakin pia kw kua uko mzima ni jambo la kumshukru Allah kw xan ak zoezei la karatee pia ni muhim kw kua umeweza kujisaidia kw mtu mkubwa ukamshimda subhaana'Allah allahu Akbar jaman ashukuriwe mwenyezi Mungu kw kumjaalia ujasiri kijana huyu ak 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@isaselogistics726613 күн бұрын
huyu kamanda sana apewe kaz jeshin
@ibraton407113 күн бұрын
kabisa kamuua pekeake ahahahahaha
@serafinamalecela47289 күн бұрын
Jeshini wanasema ajira hamnaaa😢
@user-es2yt1jc4i8 күн бұрын
Kaka hongera mi sio mtz ila ninamtoto mtz. Ndugu yako hongera saana kaka nakuombea tu pia namimi nakuombea
@star100genius39 күн бұрын
Huyo tajirii aache uboya, je huyo dogo angekufa Si angejifanya anaskitikia marehemu kuliko bike.
@WinnieMapunda8 күн бұрын
Kijana Shujaa sanaa big up
@hawasaid715113 күн бұрын
Huyu boss hana utu kabisa angekuwa boda mwingine kuona panga tu angekimbia🏃 na kuacha pikpik lakn kijana wa watu mdogo kapambania pikipiki japo ilichukuliwa lakn kapambna mpaka dakka ili tu kuokoa usafir na uhai wake😢😢alafu unaenda kumfingulia kesi angekufa huyo ungemdai nan bas umpe hata muda wa kutafuta hio pesa unataka kulipwa haraka🙌
@christaoman889013 күн бұрын
Mungu amekuokoa mwanangu pole sana
@dannywillson587413 күн бұрын
Huyo boss ni msenge anajali pikipik kukiko uzima wa mtu so angekufanya uyo dogo je angemdai
@user-eu6ql9zl7n13 күн бұрын
Hapo sasa
@ramadhanihudhaifani437613 күн бұрын
Hongera sana,dogo! Umepambana kiume. Usijal kuhusu jino lililotoka.
@user-nb6yh2bn9y13 күн бұрын
😂😂😂👍👍👍
@ArafaAmirAmir-ci7ld13 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@ZawadiSaid-x6f10 күн бұрын
Huyo tajiri mbona una soho ya hivo unamdaije huyo kijana?si ushukuru yupo hair cha kwanza
@elinapetro713613 күн бұрын
Vijana wa chuga siowakuchezea mtoto mdogo lakini kapambana mungu atakusaidia utapata pikipiki nyingine namba tumeiona
@SiaCollins13 күн бұрын
Big up kijana kwa ushujaa wako,,unekonesha wezi wa pikipiki
@bostonbensonkapute52742 күн бұрын
Pole Mdogo wangu, ALLAH akubari
@allyopi61016 күн бұрын
Mungu ukimuomba ushindi nirazima
@LilianMangeti-ii1fv7 күн бұрын
Mungu akutia nguvu sana bro
@NyotaBalolane.12 күн бұрын
Mungu alikuwa upande wako usi ache ku mtukuza Mungu alikuteteya akakupa nguvu
siri ya ushindi ni mungu kampa akili ya kupambana nakapata akili ya kutumia michanga mungu nimwema
@Juke99513 күн бұрын
Huyo boss ana roho mbaya na hatofanikiwa 😢je kama angeuliwa huyo boda.......Unaweza kuwa mtu mkubwa ila haujui kupambana vitu viwili tofauti
@jitabojilala61627 күн бұрын
Mama samia amwangalie huyu kijana na ahame maeneo hayo bado kijana sana
@HamadBashir-bs5wo13 күн бұрын
Pole sanaa aisee du!
@azzaalmalki4113 күн бұрын
Pole mwanangu na hongera kwa ukakamavu
@Lg43437 күн бұрын
kamateni huyo boss
@ndagabwenekusaya22313 күн бұрын
Pole sana dingii ,askri anao wajue kupigana na ktu sio mwili ni mbwinu tu,na mbwinu zake kazitaja
@JamesmchinaaКүн бұрын
Kaka yangu usiache kwenda kumshukuru Mungu Mungu anakupenda sana sana
@nicholouslahoya95106 күн бұрын
Mung akufanyie wepes kijana mwenzang
@jaharaoman647812 күн бұрын
Pole sana Mwanangu Mungu Anakupenda
@ntihaboseadonis87468 күн бұрын
Polesana kaka daaaa!!!!!!
@regybahati598611 күн бұрын
Uende kanisan ukasali Umshukuru Mungu, ujikite kwenye Sala usiku na mchana umwombe Mungu akulinde.
@user-yk3we9vk6y11 күн бұрын
Mungu anakupenda sana kijana sifa na utukufu kwayesu tu
@abuushumeisa98167 күн бұрын
Bado mdogo sana ndo unaanza maisha tu
@JJKitomary13 күн бұрын
Huyu kaka ni shujaa jamani afu Bado mdogo, umepambana sana mungu anakupenda sana siyo kazi rahisi.
@user-hf5qq2qy4y13 күн бұрын
Pole sana dear, ashukuriwe Mungu alokuponya 🙏🙏🙏
@julianaouma92306 күн бұрын
Pole brother tajiri 😭hana uruma haangalii maisha
@harymo1737 күн бұрын
Ee mungu musaidie muja wako.. alafu wewe Boss mungu anakuona yaan mtuu kanusurika kufa alafu bado unamufungulia kesi mtu jamani hii Dunia sio poa kabisa...
@yukundapeter820013 күн бұрын
Pole sana mwanangu! Mungu anakupenda sn,wewe ni Shujaa,mwenye piki2 kuwa na huruma.
@user-dq4ur9kk6h13 күн бұрын
Wewe kaka Mungu Akusaidie sana kwakweli duh Mungu Alikupa nguvu mpya Yaani siyo kwa uwezo wako mdogo wangu ni Mungu tu Usiache kumuomba Mungu Usiache Kumtumikia Mungu Usiache Kumshukuru Mungu
@PaulinaSemindu-ob3de13 күн бұрын
Boda boda washachoka hongera sana mdg angu mana mnauwawa sana wengine wanaacha watt" wadogo ona kama huyu n mdg sana" sana " miaka 19 ni mwanangu wa kwanza mtt anajitafutia lkn mnataka kumuua kisa pik pik jmn
@FatimaAli-of4gh13 күн бұрын
Sadkata wanawaonea kwa sababu ni wadogo ni mwanangu wa pili kwa kweli mibaba mizima haitaki kujituma kazi kuwakoromea watt wa wenziwao na huyo alieiba pikipiki huko aendako akapate ajali akose hiyo mali ya dhulma
@PaulinaSemindu-ob3de13 күн бұрын
@@FatimaAli-of4gh Yan huwa wanawaonea mno mno
@JohaDomi-bg5yh12 күн бұрын
@@FatimaAli-of4gh😢
@harymo1737 күн бұрын
Jamani hebu tumusaidie huyu kaka 😢 kwa michango au chochote kama utakavyogushwa Ni wakak wachache sana wanaoweza kujituma na kufanya kazi bali walio wengi ni vibaka,wezi kama haoo alikokutana nao..
@user-sn9yp3sc2f13 күн бұрын
Dogo hongeraa kwa kupambana,MUNGU awe nawe pukipiki utapata MUNGU yupo hamwachi mja wake
@ChristopherCosmas11 күн бұрын
Daaa mungu akutie nguvu mdogo wangu na pole sana
@LamaribamJumbe13 күн бұрын
Mmhh pole. Sana Mwananguuu kwa Mtihani uliokufika
@Lanihsarumu11 күн бұрын
Pole Sana mtoto wetu mungu akulinde popote ulipo mwizi likaliwe na majoka na huyo alikimbia na boda boda afe Kama kifo kibaya nawe tajili TUNAKUOMBA msamehe mtoto Bado mdogo amejitahidi kupambana msamehe
@abedysteven493013 күн бұрын
Nmekubali goliati alikufa kwa nguvu za mwenyez mungu!! Allah akujalie upate Tena kwa wepes amen!!
@hafsalucky108813 күн бұрын
Mungu Akusaidie kijana, Upate mfadhili,
@amanimlengwa92028 күн бұрын
Kama alichangiwa pesa hadi kuachiwadogo aliyekuwa ameonewa na serilali, huyu pia asaidiwe. Lakini mwenye pikipiki lazima achunguzwe
@mimahtv29747 күн бұрын
Tajiri hana huruma kabisa, huwezi kuona huruma kwa kijana jaman😢
@rukiyyarukiyya63178 күн бұрын
Pole kaka mungu nimwema
@basilisamsaka84698 күн бұрын
Ni MUNGU amemtetea,Ila tajiti kuwa mpole watanzania tunaupendo tutamchangia shujaa
@AsnathRingo-db4jl6 күн бұрын
Hongera mdg wangu mungu akulinde uendelee kuwa shujaa mtu wa mungu
@LamarOmary2 күн бұрын
Mngeficha sura yauyukijana aisee vipiusalamawake kwa majamazi walobak mungu akulinde mdogoo akuepushe namikono mibaya nauyotajiri munguanamuona atalipwa na mungu ana utu
@user-ct2fb4ro9e6 күн бұрын
Pole mdogo sana wangu ,ila huyo tajir awe na huluma Japan, huenda kawatuma yeye hao wezi nakuchangia 10000 naitwa mchemwa msongole nikiwa ileje mkowa wa songwe
@damianmcba95253 күн бұрын
Mungu akuzidishie kk kwa uzalendo
@josephlorri4318 күн бұрын
Kijana jasiri sana... anafaa kuwa jeshini...ila siku hz hata jeshi ni kujuana...vijana kama hawa hawapati nafasi
@SebastianSteven-pt8kh2 күн бұрын
Pole sana dogo ila serikali ya mama samia naomba muoeni huruma huyu kijana aliekuwa anahangaika kwauminifu siokwa wizi kwan hatamkimpatia pkpk anaongeza pato lataifa kwakununua pertoli namegineyo
@KalebyHennry-ux7fj10 күн бұрын
Duuuu dogo pambana utakua Bora zaidi ila tajir hli swala lakipolisi
@VictoriaMefya13 күн бұрын
😢😢😢😢nimelia mwee eti tajiri anipe bike nyingine nifunge kwa 15 tutakuchangia utapata
@hawajohn74913 күн бұрын
Mungu akutie nguvu na akuongoze na akufanyie wepesi Kila hatua
@user-qq6mv6vh3e13 күн бұрын
Mungu akulinde kijana
@lightmashauri172510 күн бұрын
Hongera dogo nimetuma mchango kidogo.
@serafinamalecela47289 күн бұрын
Namba ikwap
@aaminaasljbgbvf7456 күн бұрын
Ongera sana mdogowangu wewe nimwanaume kamili😢😢
@RosemaryLaurent-o3t23 сағат бұрын
Mwenyezi mungu akutetee mwanangu
@valleliahkitundu7 күн бұрын
Duh jmn pole sana jmn maumivu yote lkn boss bado haamini na anataka pikipiki yake, pole sana ndg yangu lkn wamekosea kukuonesha sura wamekuhatarisha zaid
@barikimollel789013 күн бұрын
Pole Sana Dogo Simu ya Huyu alieuawa haijapatikana isaidie kuwasaka Hao wezi sugu😢
@JudithAdonis13 күн бұрын
Pole sana na hongera kwa ujasiri But nimecheka ya kumfungulia kesi marehemu
@Musa-vv2mz2 күн бұрын
Ww tajir abc naww acha roho mbaya mungu anakuona ko dogo unahisi amekuibia au acharoho mbaya ww
@Sweetnaah13 күн бұрын
Ila mngeficha sura ya huyu kijana kwa usalama wake jamani hamjui zamira ya yule alobaki 😢😢
@StellaWaillu13 күн бұрын
Kweli kabisa, Mungu amlinde.
@Sweetnaah13 күн бұрын
@@StellaWaillupia wangetumia hata namba nyingine kwenye kuchangia jamani yaani kijana hatarini sana kuwa makini
@StellaWaillu13 күн бұрын
@@Sweetnaah Umeona ee!
@magrethmbuma304513 күн бұрын
Boss kuna kitu anacho😢Munguu atusaidie kwa kweeeli ubinadamu umeishaa uuwii
@magrethmbuma304513 күн бұрын
Yaaani wanaume wamaana wanashindwa kufanya kazi wanakaba watoto wadogo Jamanii
@TynahChitamu12 күн бұрын
Pole sana aiseee uyo aliyeiba pikipiki ndio tatizo ofu yangu kama utaishi salama ungeweza ungeama io sehemu ukaenda kuishi sehemu nyingine majaribu yatakuwa mengi mungu akuepushie