DOGO WA BODA ASHANGAZA WATU APAMBANA NA WEZI PORINI, ALITOA PANGA KUNIUA NIKAMUWEKEA MCHANGA MACHONI

  Рет қаралды 194,727

Millard Ayo

Millard Ayo

15 күн бұрын

Пікірлер: 724
@viviankihiyo1076
@viviankihiyo1076 13 күн бұрын
Pole mtoto wangu. Mi nakushauri usifanye Tena kazi ya bodaboda, maana wameshaona sura Yako, wanaweza wakalipiza, kwakuwa Mungu amekuponya, watanzania tunakuchangia ulipe pikipiki na tafuta kazi ingine tafadhali kwa usalama wsko, ikibidi hama hata hapo unapokaa kwa sasa.
@mwajabumsami6388
@mwajabumsami6388 12 күн бұрын
Nimewaza kama weww
@JohaDomi-bg5yh
@JohaDomi-bg5yh 12 күн бұрын
Nimeumia jamani kama kaka yangu​@@mwajabumsami6388
@user-dl1ju4ge3x
@user-dl1ju4ge3x 11 күн бұрын
Kweli kabisa
@CoolLate-tm8vc
@CoolLate-tm8vc 11 күн бұрын
Kweli inaliza jmn
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 11 күн бұрын
Kweli kabisa
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 13 күн бұрын
Mungu bado anakupenda mwanangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 13 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙌🙌🙌
@MsAisha-w4o
@MsAisha-w4o 13 күн бұрын
Piki piki ni bei gani jamani kwa atakae guswa na hili tueze kuchangia chochote hata ikiwa ni mia tano tano..umoja ni nguvu.. sis ni WATanzania .mngu atulinde..maisha ya boda boda yamekua hatarini sana kwa nyakati hizi..
@ahmedsaid5519
@ahmedsaid5519 11 күн бұрын
Hili ni wazi zuri sana
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 11 күн бұрын
Kabisa
@user-no7pz1bz4y
@user-no7pz1bz4y 10 күн бұрын
Kweli kabisa 😢
@user-no7pz1bz4y
@user-no7pz1bz4y 10 күн бұрын
Kuna watu hawana huruma jamani, yani mkaka wawatu kidogo athlete roho na majelaha hv lakn bado tajili anamdai😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@user-wh8vk7sc7v
@user-wh8vk7sc7v 7 күн бұрын
Atoe namba
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 14 күн бұрын
Mchanga ni silaha moja matata sana. Hata mbwa alikukimbiza mkabidhi mchanga. Big up chalii kwa kupambana.
@HusnaMtitiko-yt4ru
@HusnaMtitiko-yt4ru 13 күн бұрын
Aise umeniambia hivi nikakumbuka tuliwahi kuvamiwa na nyuki shambani basi mama alisema inameni chini kimuweni mavumbi basi tulifanya vile hatukuzurika 👏
@auntmakochela4202
@auntmakochela4202 13 күн бұрын
​@@HusnaMtitiko-yt4ru Duuh 😢 MashaAllah nimejifunza
@MwanadiaSaid
@MwanadiaSaid 13 күн бұрын
JE DANGOTE
@user-ot2qw9fb7o
@user-ot2qw9fb7o 13 күн бұрын
Safi Sana bro
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 13 күн бұрын
duh huyu dogoni noma❤
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 13 күн бұрын
Wewe tajiri wa pikipiki mungu Anakuona leo Angepoteza maisha ungedahi nini? Siyo sawa bora msaidiane yeye Ajapenda kuvamiwa kweli mungu Anakuona haya maisha bhana
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 13 күн бұрын
Yaani mpaka mtu unaeza his kama nae anajua huo mchongo sababu pikipik mpya siku mbili TU alafu tukio Hilo boss anadai mmmh?
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 13 күн бұрын
@@mariamkibindo1741 hapa duniani kuna watu wanateseka kisirisiri huyo kabahatika kukutana na mwandishi wangapi wanaonewa kama yeye ni wengi mnoo kpz.
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 13 күн бұрын
😅😅😅😅
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n 13 күн бұрын
Hatareeeee !Anajali pesa tuuu ila ukimaliza den lake achana nae kwanza hujui misingi aliyotumia huyo boss kupata pikpik yamkin ungekua kafara yke
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 13 күн бұрын
​@@mariamkibindo1741yani hata mimi nimewaza hivyo hivyo istoxhe kapelekwa hadi sehemu ya tukio jambazi kalikuta linaungua moto bado anafungulia kesi huyu dogo
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 13 күн бұрын
Hii mbinu ya mchanga na kumvuta pua aisee😂🦁🦁🦁 we ni zaidi ya mjeda🎉
@naomikatharinaandrewmnkai6760
@naomikatharinaandrewmnkai6760 13 күн бұрын
😂😂😂kavuta pua ikapasuka. Asee huyu ni zaidi ya jambazi
@frezo8177
@frezo8177 11 күн бұрын
​@@naomikatharinaandrewmnkai6760ushaona pua ina achana aisee 😅😅 sio poa ana mbinu za kivita huyu janja
@naomikatharinaandrewmnkai6760
@naomikatharinaandrewmnkai6760 10 күн бұрын
@@frezo8177 apewe kazi dogo😂
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 2 күн бұрын
​@@frezo8177😅😅hafai kabisaa
@JaliaMuro
@JaliaMuro 13 күн бұрын
Nimefurahi lkn pia namuonea huruma sana uyu kijana mdogo walivyomuonesha sura kuna watu wamebaki bado hawataridhika wataendelea kumuwinda vip kuhusu usalama wake
@user-bz7kg2lr3f
@user-bz7kg2lr3f 13 күн бұрын
Daah aisee umeongea point sanaaa yaan anahitaj ulinzi maana pia aliekufa anawatu wake
@MerryRenatus-ck4lz
@MerryRenatus-ck4lz 13 күн бұрын
Yaani Mungu amlinde mdogo wangu
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 13 күн бұрын
Hata Mimi nimeshangaa Kwann wamemuonesha Sura
@winniesimon850
@winniesimon850 8 күн бұрын
Huyu mtoto angeenda jeshi bila kupingwa. Wasn't easy. Una mungu kijana
@winniesimon850
@winniesimon850 8 күн бұрын
Unalindwa na Mungu my son. Una kitu utafika mbali
@SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin
@SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin 13 күн бұрын
Mnge mficha sura hii nhatari kwakwel Allah akulinde babaa 🤲🤲
@khadijazuberi3672
@khadijazuberi3672 10 күн бұрын
Amiin
@ConfusedAlien-xk3sh
@ConfusedAlien-xk3sh 13 күн бұрын
Mchanga fimbo nzuri sana😂hongera mwanangu wewe ni shujaa
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 10 күн бұрын
Lakini hawezi kuwa mpenzi kama mbwa analindda chake tu
@arafakiloli749
@arafakiloli749 10 күн бұрын
Subhanallah pole sana mdogo wangu...ALLAH azidi kukuhifadhi...pia shikamana na ibada
@Maroo6Official
@Maroo6Official 14 күн бұрын
😂😂😂 Nimeinjoy Sana Ila Yote kwa yote nikwanguvu ya Allah
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 8 күн бұрын
Nguvu ya Yesu kristo hiyo
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 2 күн бұрын
​@@ayoubmtumishi50Yesu mwenyewe hakujitetea akauliwa kashindwa na huyo dogo kapambania uhai wake yesu kabaki jina tu ivyo wala si shujaa 😅😅
@5googleuuu727
@5googleuuu727 13 күн бұрын
Tumsaidie jamani. Anafaaa aende jeshini❤❤. Kikubwa tumsaidie. Brother wetu mdogo wetu😢 ila alihamundulih. Umetoka salama
@user-gx4vx5ru2u
@user-gx4vx5ru2u 13 күн бұрын
Hongera Sana shujaa hakika Mungu hajakuacha mkumbuke sana huyo Mungu aliekupigania maana hujapigana mwenyew Mungu atakupa pikipiki yako na ya tajiri pia
@meshackthomas1341
@meshackthomas1341 13 күн бұрын
Ndo tujue Mungu akiruhusu ushindi Kwa anaemtaka. Huwa hazingatii wew. Unapambana na jitu la milaba minane ama kitugani tuweni na imani na Mungu alitupatia Akiri kama sehem ya vitendea kaz kujitetea💪
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 13 күн бұрын
InshaAllah
@sharifamahamudu182
@sharifamahamudu182 13 күн бұрын
Kabisa
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 13 күн бұрын
Kabisaaa
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 10 күн бұрын
Dogo nimempenda sana, da! Hongera uko vizur, natamani awe dereva wangu, na umri wake, 19 yrs, hongera sana,
@MaryKalunde
@MaryKalunde 13 күн бұрын
Pole dogo, pia hongera kwa kupambania roho yako
@LaurenciaKitauli-or8rr
@LaurenciaKitauli-or8rr 13 күн бұрын
Mungu ni mwema. Pole zake . Huyo ni jasiri ila tajiri yake hana utu. Askari wasitoe maneno ya kukatisha tamaa ,
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 13 күн бұрын
Asikari wa bongo wajinga sana badara ya kumpongeza wanakatisha tamaha uyo angekuwa nchi hi uku kwa wenzetu angepata tunzo na kupewa kaz ya jeshi,,Kwan ni jasiri sana, na mungu kampa nguvu alhamdulillah kashinda?
@sharifamahamudu182
@sharifamahamudu182 13 күн бұрын
Aslay wa bongo wenyew waoga
@MageshotofuShotofufande
@MageshotofuShotofufande 7 күн бұрын
Nimefurahi sana, mungu awalinde kaka zetu
@mbwawafillingstation
@mbwawafillingstation 13 күн бұрын
Pole kijana wangu wewe ni zaidi ya mjeshi. Mpeni nafasi jeshini huyu
@bonifacemushijoseph9382
@bonifacemushijoseph9382 9 күн бұрын
Ingefaa mbona Awe kama Majaliwa... Serekali Ione pia
@GaudenciaMadirisha
@GaudenciaMadirisha 14 күн бұрын
Aisee hongera kwa kuonyesha ushunjaa 🙏🙏🙏
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 13 күн бұрын
Maa Shaa Allah hongera sana mdogo wangu kwa ujasiri pia pole kwa mashakil na iman utapata msaada kwa uwezo wa Allah
@vero57
@vero57 14 күн бұрын
Huyu apewe kazi ya jeshi
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 14 күн бұрын
😂😂 kwa sabab gan sasa kumwaga mchanga machon au
@MauaDumba
@MauaDumba 14 күн бұрын
Ndio utaki au?au we ndio mtoa ajira
@JofreyMsigwa-ok7hv
@JofreyMsigwa-ok7hv 13 күн бұрын
Et kama majaliwa😂
@JofreyMsigwa-ok7hv
@JofreyMsigwa-ok7hv 13 күн бұрын
@@MauaDumba sijui
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 13 күн бұрын
Ni shujaa na bado mdogo sana🎉
@machejostudiosmramba5365
@machejostudiosmramba5365 Күн бұрын
Dah JAMAAA angu umepambana 💪💪 pole sana ndugu Mungu akutie nguvu na mm kwasababu napambana nitakutumia kidogo kitu kidogo
@user-wr7wp9sl2p
@user-wr7wp9sl2p 14 күн бұрын
Pole sana kijana....na hongera Kwa kupambania maisha yako
@JoycemsangiJoyce-go9su
@JoycemsangiJoyce-go9su 13 күн бұрын
Kwakweli we ni daudi umemuweza goliati hongera sana kijana
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 12 күн бұрын
Achana na iyo kazi dogo tafuta kazi nyingine 😊
@user-ne2zv8km3x
@user-ne2zv8km3x 13 күн бұрын
Shujaa kapambania maisha..hongera sana. Mungu kakupa ujasiri.
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n 13 күн бұрын
Na kweli ni Mungu tu kampa ujasir
@godfreyelibarikilaizer6178
@godfreyelibarikilaizer6178 13 күн бұрын
Pole sana hapa duniani hakuna alie salama hata asie na kitu lakini umepambana na ni msaada wa MUNGU tu hutabaki kama ulivyo wapo watakaosimama na wewe na utatoka kwenye shida pole
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 13 күн бұрын
Hu wizi bado upo jmn aisee pole sana mwanangu,vijana fanyeni kazi sio pow kuiba mari za watu
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 13 күн бұрын
Mungu mwema hongera kwa ushindi huu mkubwa Mungu azidi kukulinda ❤❤❤
@hildegundembilinyi9042
@hildegundembilinyi9042 9 күн бұрын
Umri wa mwanangu daaa! watoto wetu Mungu awalinde watoto wetu wa kiume wanapitia changamoto
@rosehaule6765
@rosehaule6765 13 күн бұрын
Mungu tusahidie na watt wetu wa kiume kupata kazi ninngumu maskin wana pambana pole kijana wngu❤
@donaldmpagaze9803
@donaldmpagaze9803 Күн бұрын
Pole saana dogo Maiko Mungu atakurejeshea
@MwaliSuleih
@MwaliSuleih 15 сағат бұрын
Hongera kijana ulijitetea xan kw Hali Kam izo Mungu azidi kkujaalia afya njema akulinde na zaidi mdogo wangu unahuzunisha xan lakin pia kw kua uko mzima ni jambo la kumshukru Allah kw xan ak zoezei la karatee pia ni muhim kw kua umeweza kujisaidia kw mtu mkubwa ukamshimda subhaana'Allah allahu Akbar jaman ashukuriwe mwenyezi Mungu kw kumjaalia ujasiri kijana huyu ak 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@isaselogistics7266
@isaselogistics7266 13 күн бұрын
huyu kamanda sana apewe kaz jeshin
@ibraton4071
@ibraton4071 13 күн бұрын
kabisa kamuua pekeake ahahahahaha
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 9 күн бұрын
Jeshini wanasema ajira hamnaaa😢
@user-es2yt1jc4i
@user-es2yt1jc4i 8 күн бұрын
Kaka hongera mi sio mtz ila ninamtoto mtz. Ndugu yako hongera saana kaka nakuombea tu pia namimi nakuombea
@star100genius3
@star100genius3 9 күн бұрын
Huyo tajirii aache uboya, je huyo dogo angekufa Si angejifanya anaskitikia marehemu kuliko bike.
@WinnieMapunda
@WinnieMapunda 8 күн бұрын
Kijana Shujaa sanaa big up
@hawasaid7151
@hawasaid7151 13 күн бұрын
Huyu boss hana utu kabisa angekuwa boda mwingine kuona panga tu angekimbia🏃 na kuacha pikpik lakn kijana wa watu mdogo kapambania pikipiki japo ilichukuliwa lakn kapambna mpaka dakka ili tu kuokoa usafir na uhai wake😢😢alafu unaenda kumfingulia kesi angekufa huyo ungemdai nan bas umpe hata muda wa kutafuta hio pesa unataka kulipwa haraka🙌
@christaoman8890
@christaoman8890 13 күн бұрын
Mungu amekuokoa mwanangu pole sana
@dannywillson5874
@dannywillson5874 13 күн бұрын
Huyo boss ni msenge anajali pikipik kukiko uzima wa mtu so angekufanya uyo dogo je angemdai
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n 13 күн бұрын
Hapo sasa
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 13 күн бұрын
Hongera sana,dogo! Umepambana kiume. Usijal kuhusu jino lililotoka.
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 13 күн бұрын
😂😂😂👍👍👍
@ArafaAmirAmir-ci7ld
@ArafaAmirAmir-ci7ld 13 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@ZawadiSaid-x6f
@ZawadiSaid-x6f 10 күн бұрын
Huyo tajiri mbona una soho ya hivo unamdaije huyo kijana?si ushukuru yupo hair cha kwanza
@elinapetro7136
@elinapetro7136 13 күн бұрын
Vijana wa chuga siowakuchezea mtoto mdogo lakini kapambana mungu atakusaidia utapata pikipiki nyingine namba tumeiona
@SiaCollins
@SiaCollins 13 күн бұрын
Big up kijana kwa ushujaa wako,,unekonesha wezi wa pikipiki
@bostonbensonkapute5274
@bostonbensonkapute5274 2 күн бұрын
Pole Mdogo wangu, ALLAH akubari
@allyopi6101
@allyopi6101 6 күн бұрын
Mungu ukimuomba ushindi nirazima
@LilianMangeti-ii1fv
@LilianMangeti-ii1fv 7 күн бұрын
Mungu akutia nguvu sana bro
@NyotaBalolane.
@NyotaBalolane. 12 күн бұрын
Mungu alikuwa upande wako usi ache ku mtukuza Mungu alikuteteya akakupa nguvu
@MsAisha-w4o
@MsAisha-w4o 13 күн бұрын
Kijana anajua kujieleza ~maa shaa allah..mngu akujaalie afya njema..wezi sina hamu nao.
@user-pe1qv1sn5p
@user-pe1qv1sn5p 13 күн бұрын
siri ya ushindi ni mungu kampa akili ya kupambana nakapata akili ya kutumia michanga mungu nimwema
@Juke995
@Juke995 13 күн бұрын
Huyo boss ana roho mbaya na hatofanikiwa 😢je kama angeuliwa huyo boda.......Unaweza kuwa mtu mkubwa ila haujui kupambana vitu viwili tofauti
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 7 күн бұрын
Mama samia amwangalie huyu kijana na ahame maeneo hayo bado kijana sana
@HamadBashir-bs5wo
@HamadBashir-bs5wo 13 күн бұрын
Pole sanaa aisee du!
@azzaalmalki41
@azzaalmalki41 13 күн бұрын
Pole mwanangu na hongera kwa ukakamavu
@Lg4343
@Lg4343 7 күн бұрын
kamateni huyo boss
@ndagabwenekusaya223
@ndagabwenekusaya223 13 күн бұрын
Pole sana dingii ,askri anao wajue kupigana na ktu sio mwili ni mbwinu tu,na mbwinu zake kazitaja
@Jamesmchinaa
@Jamesmchinaa Күн бұрын
Kaka yangu usiache kwenda kumshukuru Mungu Mungu anakupenda sana sana
@nicholouslahoya9510
@nicholouslahoya9510 6 күн бұрын
Mung akufanyie wepes kijana mwenzang
@jaharaoman6478
@jaharaoman6478 12 күн бұрын
Pole sana Mwanangu Mungu Anakupenda
@ntihaboseadonis8746
@ntihaboseadonis8746 8 күн бұрын
Polesana kaka daaaa!!!!!!
@regybahati5986
@regybahati5986 11 күн бұрын
Uende kanisan ukasali Umshukuru Mungu, ujikite kwenye Sala usiku na mchana umwombe Mungu akulinde.
@user-yk3we9vk6y
@user-yk3we9vk6y 11 күн бұрын
Mungu anakupenda sana kijana sifa na utukufu kwayesu tu
@abuushumeisa9816
@abuushumeisa9816 7 күн бұрын
Bado mdogo sana ndo unaanza maisha tu
@JJKitomary
@JJKitomary 13 күн бұрын
Huyu kaka ni shujaa jamani afu Bado mdogo, umepambana sana mungu anakupenda sana siyo kazi rahisi.
@user-hf5qq2qy4y
@user-hf5qq2qy4y 13 күн бұрын
Pole sana dear, ashukuriwe Mungu alokuponya 🙏🙏🙏
@julianaouma9230
@julianaouma9230 6 күн бұрын
Pole brother tajiri 😭hana uruma haangalii maisha
@harymo173
@harymo173 7 күн бұрын
Ee mungu musaidie muja wako.. alafu wewe Boss mungu anakuona yaan mtuu kanusurika kufa alafu bado unamufungulia kesi mtu jamani hii Dunia sio poa kabisa...
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 13 күн бұрын
Pole sana mwanangu! Mungu anakupenda sn,wewe ni Shujaa,mwenye piki2 kuwa na huruma.
@user-dq4ur9kk6h
@user-dq4ur9kk6h 13 күн бұрын
Wewe kaka Mungu Akusaidie sana kwakweli duh Mungu Alikupa nguvu mpya Yaani siyo kwa uwezo wako mdogo wangu ni Mungu tu Usiache kumuomba Mungu Usiache Kumtumikia Mungu Usiache Kumshukuru Mungu
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 13 күн бұрын
Boda boda washachoka hongera sana mdg angu mana mnauwawa sana wengine wanaacha watt" wadogo ona kama huyu n mdg sana" sana " miaka 19 ni mwanangu wa kwanza mtt anajitafutia lkn mnataka kumuua kisa pik pik jmn
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 13 күн бұрын
Sadkata wanawaonea kwa sababu ni wadogo ni mwanangu wa pili kwa kweli mibaba mizima haitaki kujituma kazi kuwakoromea watt wa wenziwao na huyo alieiba pikipiki huko aendako akapate ajali akose hiyo mali ya dhulma
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 13 күн бұрын
@@FatimaAli-of4gh Yan huwa wanawaonea mno mno
@JohaDomi-bg5yh
@JohaDomi-bg5yh 12 күн бұрын
​@@FatimaAli-of4gh😢
@harymo173
@harymo173 7 күн бұрын
Jamani hebu tumusaidie huyu kaka 😢 kwa michango au chochote kama utakavyogushwa Ni wakak wachache sana wanaoweza kujituma na kufanya kazi bali walio wengi ni vibaka,wezi kama haoo alikokutana nao..
@user-sn9yp3sc2f
@user-sn9yp3sc2f 13 күн бұрын
Dogo hongeraa kwa kupambana,MUNGU awe nawe pukipiki utapata MUNGU yupo hamwachi mja wake
@ChristopherCosmas
@ChristopherCosmas 11 күн бұрын
Daaa mungu akutie nguvu mdogo wangu na pole sana
@LamaribamJumbe
@LamaribamJumbe 13 күн бұрын
Mmhh pole. Sana Mwananguuu kwa Mtihani uliokufika
@Lanihsarumu
@Lanihsarumu 11 күн бұрын
Pole Sana mtoto wetu mungu akulinde popote ulipo mwizi likaliwe na majoka na huyo alikimbia na boda boda afe Kama kifo kibaya nawe tajili TUNAKUOMBA msamehe mtoto Bado mdogo amejitahidi kupambana msamehe
@abedysteven4930
@abedysteven4930 13 күн бұрын
Nmekubali goliati alikufa kwa nguvu za mwenyez mungu!! Allah akujalie upate Tena kwa wepes amen!!
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 13 күн бұрын
Mungu Akusaidie kijana, Upate mfadhili,
@amanimlengwa9202
@amanimlengwa9202 8 күн бұрын
Kama alichangiwa pesa hadi kuachiwadogo aliyekuwa ameonewa na serilali, huyu pia asaidiwe. Lakini mwenye pikipiki lazima achunguzwe
@mimahtv2974
@mimahtv2974 7 күн бұрын
Tajiri hana huruma kabisa, huwezi kuona huruma kwa kijana jaman😢
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 8 күн бұрын
Pole kaka mungu nimwema
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 8 күн бұрын
Ni MUNGU amemtetea,Ila tajiti kuwa mpole watanzania tunaupendo tutamchangia shujaa
@AsnathRingo-db4jl
@AsnathRingo-db4jl 6 күн бұрын
Hongera mdg wangu mungu akulinde uendelee kuwa shujaa mtu wa mungu
@LamarOmary
@LamarOmary 2 күн бұрын
Mngeficha sura yauyukijana aisee vipiusalamawake kwa majamazi walobak mungu akulinde mdogoo akuepushe namikono mibaya nauyotajiri munguanamuona atalipwa na mungu ana utu
@user-ct2fb4ro9e
@user-ct2fb4ro9e 6 күн бұрын
Pole mdogo sana wangu ,ila huyo tajir awe na huluma Japan, huenda kawatuma yeye hao wezi nakuchangia 10000 naitwa mchemwa msongole nikiwa ileje mkowa wa songwe
@damianmcba9525
@damianmcba9525 3 күн бұрын
Mungu akuzidishie kk kwa uzalendo
@josephlorri431
@josephlorri431 8 күн бұрын
Kijana jasiri sana... anafaa kuwa jeshini...ila siku hz hata jeshi ni kujuana...vijana kama hawa hawapati nafasi
@SebastianSteven-pt8kh
@SebastianSteven-pt8kh 2 күн бұрын
Pole sana dogo ila serikali ya mama samia naomba muoeni huruma huyu kijana aliekuwa anahangaika kwauminifu siokwa wizi kwan hatamkimpatia pkpk anaongeza pato lataifa kwakununua pertoli namegineyo
@KalebyHennry-ux7fj
@KalebyHennry-ux7fj 10 күн бұрын
Duuuu dogo pambana utakua Bora zaidi ila tajir hli swala lakipolisi
@VictoriaMefya
@VictoriaMefya 13 күн бұрын
😢😢😢😢nimelia mwee eti tajiri anipe bike nyingine nifunge kwa 15 tutakuchangia utapata
@hawajohn749
@hawajohn749 13 күн бұрын
Mungu akutie nguvu na akuongoze na akufanyie wepesi Kila hatua
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 13 күн бұрын
Mungu akulinde kijana
@lightmashauri1725
@lightmashauri1725 10 күн бұрын
Hongera dogo nimetuma mchango kidogo.
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 9 күн бұрын
Namba ikwap
@aaminaasljbgbvf745
@aaminaasljbgbvf745 6 күн бұрын
Ongera sana mdogowangu wewe nimwanaume kamili😢😢
@RosemaryLaurent-o3t
@RosemaryLaurent-o3t 23 сағат бұрын
Mwenyezi mungu akutetee mwanangu
@valleliahkitundu
@valleliahkitundu 7 күн бұрын
Duh jmn pole sana jmn maumivu yote lkn boss bado haamini na anataka pikipiki yake, pole sana ndg yangu lkn wamekosea kukuonesha sura wamekuhatarisha zaid
@barikimollel7890
@barikimollel7890 13 күн бұрын
Pole Sana Dogo Simu ya Huyu alieuawa haijapatikana isaidie kuwasaka Hao wezi sugu😢
@JudithAdonis
@JudithAdonis 13 күн бұрын
Pole sana na hongera kwa ujasiri But nimecheka ya kumfungulia kesi marehemu
@Musa-vv2mz
@Musa-vv2mz 2 күн бұрын
Ww tajir abc naww acha roho mbaya mungu anakuona ko dogo unahisi amekuibia au acharoho mbaya ww
@Sweetnaah
@Sweetnaah 13 күн бұрын
Ila mngeficha sura ya huyu kijana kwa usalama wake jamani hamjui zamira ya yule alobaki 😢😢
@StellaWaillu
@StellaWaillu 13 күн бұрын
Kweli kabisa, Mungu amlinde.
@Sweetnaah
@Sweetnaah 13 күн бұрын
@@StellaWaillupia wangetumia hata namba nyingine kwenye kuchangia jamani yaani kijana hatarini sana kuwa makini
@StellaWaillu
@StellaWaillu 13 күн бұрын
@@Sweetnaah Umeona ee!
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 13 күн бұрын
Boss kuna kitu anacho😢Munguu atusaidie kwa kweeeli ubinadamu umeishaa uuwii
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 13 күн бұрын
Yaaani wanaume wamaana wanashindwa kufanya kazi wanakaba watoto wadogo Jamanii
@TynahChitamu
@TynahChitamu 12 күн бұрын
Pole sana aiseee uyo aliyeiba pikipiki ndio tatizo ofu yangu kama utaishi salama ungeweza ungeama io sehemu ukaenda kuishi sehemu nyingine majaribu yatakuwa mengi mungu akuepushie
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Circle?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 40 МЛН
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 18 МЛН
MCHAWI WA KIJIJ CHA LUAGALA
36:38
HEBUGWA SERIES
Рет қаралды 208 М.