No video

BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU

  Рет қаралды 305,938

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

November 9, 2017 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alisimama Bungeni Dodoma kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge na moja ya maswali aliyoyajibu ni lililoulizwa na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.

Пікірлер: 356
@afyatv2220
@afyatv2220 3 жыл бұрын
Waliorudi na kuingalia hii video 2021 kama mimi tujuane kwa likes hapa
@zachieally6321
@zachieally6321 3 жыл бұрын
Hahahahaha hii dunia bhna
@murithiramires9058
@murithiramires9058 2 күн бұрын
Tunaona hii video 2024 mnipe like. Tundu Lissu atakomboa Tanzania mwaka ujao
@amenyemwansile631
@amenyemwansile631 3 жыл бұрын
Mbowe kweli Ni genius nakukubali brother mbowe
@abdullykapole9617
@abdullykapole9617 4 жыл бұрын
Usipo jua swali bora uliza warudie hili hujibu vzr swali maana njia ni barabara wewe unapita kwenye maji jibu swali la MBOWE vzr...🙏
@kavassay8899
@kavassay8899 5 жыл бұрын
Mboowe mungu akupe miaka10000
@nabiipetermaganga.7715
@nabiipetermaganga.7715 5 жыл бұрын
Majaliwa hawezi kujibu hayo maswali ya mbowe ni magumu sana majaliwa analikwepa kujibu maswali mbowe hongera kwa maswali mazur wazur mkuu hawez kuyajibu
@jumajumanne651
@jumajumanne651 4 жыл бұрын
Peter Mapesa ccm oyeeeeeee majaliwa safiiiiiiii
@alhaji6094
@alhaji6094 6 жыл бұрын
Wazir Mkuu ameshindwa kujibu swal naona anazunguka tena pale alipoambiwa umekosea mwanzo
@stephenmkulia9745
@stephenmkulia9745 6 жыл бұрын
Hata mimi nashangaa maudhui ya makofi hayo. Hakika wabunge wetu ni vilaza ajabu.
@muhidinihassani520
@muhidinihassani520 5 жыл бұрын
Hao ndio ccm oyeee kazi yao NI kupiga makofi tu, sio kujadili kwa maslai ya nchi
@paschalinejoginda5702
@paschalinejoginda5702 6 жыл бұрын
jibu swali bna,,,unajikanyaga mheshiwa
@isaacnewkaboy9132
@isaacnewkaboy9132 6 жыл бұрын
Majaliwa nilikuwa nakukubali kwamba unawezo mkubwa lakini kwa majibu haya.... "ww ni kibaraka" maana inaonesha wazi huna maamzi ww kama mtendaji mkuu wa serikali.... yaaan unazunguka bado hutoi majibu yayoeleweka... shame up on u
@jacobolucas5935
@jacobolucas5935 5 жыл бұрын
Wehu nyie tushawajua serikali yenu ni ya watu wasio julikana uchunguz mpaka saiv miaka 3 mungu yupo atawalipieni kwa yale mnayo yatenda
@ramadhanikessy7581
@ramadhanikessy7581 4 жыл бұрын
Malipo ni duniani
@musamabura5200
@musamabura5200 6 жыл бұрын
Majaliwa hajajibu swali la Mh Mbowe ,,,amezunguka bila kusema kuwa anaruhusu international investigators au lah!!
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 жыл бұрын
Musa Mabura-√
@micamathew6433
@micamathew6433 5 жыл бұрын
Bado mh Majaliwa anajibu kwa kuficha, sasa hapo kuna tatizo..mh Mbowe ww kuwa na subira, iko siku mambo yatanyooka tu.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 жыл бұрын
Eeee amen yatanyooka,kwani tunaishi miaka mingapi ??? Mpaka asubili mambo yatanyooka ??dunia tambara bovu
@bulessatv3323
@bulessatv3323 4 жыл бұрын
Ni kweli umuhimu Wa Uchunguzi wa kina ni Muhimu ila kama Mtu anajeruhiwa kwenye Maeneo ya Watu wakubwa yaani Mawaziri na Ni maeneo yenye Cctv camera na high securty una Vamiwa na Asijulikane hadi leo zaid ya miaka 3 kuna tatzo either Kwenye vimbo vya ulinzi Ushauli wangu Tuweni wamoja kuijenga Nchi Si kosa kwa kiongozi kukosolewa pale anapoonekana hajafanya vyema Mhe Waziri Naomba ujibu kwa Faida ya Audience ote na Tanzania Kwa Ujumla Tanzania yangu Nchi yangu
@mathiaspaulina7355
@mathiaspaulina7355 6 жыл бұрын
mh . waziri mkuu kwann msiruhusu vyombo vya nje vifanye uchunguz haraka ili suala LA unyanyasaji na mateso kwa tz ikomeshwe haraka?
@juliustantau1345
@juliustantau1345 5 жыл бұрын
Mathias PaulinTundulissu
@venancebasil4656
@venancebasil4656 6 жыл бұрын
daaaaah wanasiasa wanajua kuzungusha maneno
@rashidyishika6868
@rashidyishika6868 4 жыл бұрын
We wazir Mkuu kumb Msanii??
@abubakarimchani114
@abubakarimchani114 6 жыл бұрын
mungu atakuja kutoa jibu ck1 tu tuombe uzima2
@bulayaconfidential7212
@bulayaconfidential7212 3 жыл бұрын
majibu yanaendelea kujibiwa!!
@mbuyaelyaoni6266
@mbuyaelyaoni6266 Жыл бұрын
Kweli. Majibu naona kama tayari
@abellusana935
@abellusana935 5 жыл бұрын
Waziri wetu unajua sana kujieleza asante chapa kazi
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 жыл бұрын
Lusana
@MatikoMichael
@MatikoMichael 5 ай бұрын
Hiyo damu ilinena haikunena
@pendomartini447
@pendomartini447 6 жыл бұрын
Pale ambapo mtakamilisha kazi hata ikiwa miaka 50 ijayo,......
@edwiniedwin3347
@edwiniedwin3347 5 жыл бұрын
Mbowe nakuelewa sanaaaa , hawana majibu hao ya kukupa mkuu .
@africanstears7755
@africanstears7755 5 жыл бұрын
cctv camera kwenye majengo jilani na nyumba ya tundulissu ziko wapi
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 жыл бұрын
Ndugu wapendwa leo nimefurahi sana kumsikiliza rais Magufuri.Kasema!!!! Wapelelezi ndiyo shida eanachukua mda mwingi mno kupeleleza na kutoa jibu na ndiyo maana nanukuru kasema kuna wafungwa13 elfu lakini mahabusu wanaosubili ili wajue hatima yao wako 17 elfu. Hawa wako ndani wananyea kwenye ndoo .wakiuliza jibu ni ,upelelezi bado,miaka 5 mtu yuko mahabusu kweli ??? Hii inaingia akilini jamani? Kwa hiyo swala la Tindu Lisu mpaka yesu aje !!nakwa vile yuko karibu!wacha tusubili,ila hao wapelelezi cha moto chao kinakuja
@r-boymnyange3743
@r-boymnyange3743 6 жыл бұрын
Majibu ni tofaut na swali uchunguzi mpaka lini Sasa matukio yote ya Zaman mbona hakuna hata jibu hata 1
@mbonireamina6497
@mbonireamina6497 5 жыл бұрын
Katika watu wanaharibu hii Tanzania ni hawa CCM. Wanadhanishia wamewekwa madarakani milele. Namkumbusha tu Magufuli kuwa kuna mtu alikuwa anajiita Idd Amin yuko wapi. Alijipa majina makubwa kuwa yeye ni Rais wa Maisha Uganda leo yuko wapi. Mtanzania ukiwa hai mshukuru MUNGU wako na watendee wenzako mema. Magufulib anamwambia "MNYIKA" nimekuletea Maji kwenye jimbo lako unataka DEMOKRASIA. Hivi Magufuli ndie analeta maji au kodi zetu anazochukua. Laana ya kuwavunjia wapiga kura wako nyumba na kuwaambia hautalipa fidia ni unyama na malipo yake utayaona mda sio mrefu. Mbona Karume kule Zanzibar alikuwa anawajengea watu nyumba za kuishi wewe unakimbilia mambo makubwa wakati watu wako unawavunjia nyumba bila kuwalipa. Watu uliowaua damu zao zitakulilia milele hautakwepa hilio. Umekuwa "HITLA" wa Tanzania unawazuia wenzako kufanya mikutani wewe ni kama nani Duniani. Umebatiuzwa unaitwa "YESU" haya ni majanga. Hivi unaweza jifananisha na YESU kweli wewe Dikteta. Tujengee hosipitali za rufaa hatuna haja ya kwenda India tena. Ndege zzako zikienda India waliojaa ndani ni wagonjwa wa Tanzania hakuna hata wafanya biashara. Tuambie basi Watu wako hasara tuliyopata kwenye biashara ya Kusafirisha Gesi na korosho kuja na Dar es salaam. CCM kwa nini hampendi kusema ukweli. Mumelipa Deni la ndege Dola milioni 20 bado milioni 13 mnasema mumeshinda kesi. Kwa nini mnatufanya wajinga. Mimi niwaambie tu 2020 tutaminyana sana. Wabunge wa CCM mtakula mikongoto mbaya sana. Tumechoka kuona mko Bungeni kiupiga makofi tu.
@starlily07
@starlily07 6 жыл бұрын
Maswali yako Mh Mbowe yamewashika pabaya, hawawezi kujibu moja kwa mojaa ni kujikanyaga tu, aibu yao but time will tell na Mungu yupo kazini.
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 жыл бұрын
Leah Mwakyelu-Kweeeeel
@jeremiamalimu6087
@jeremiamalimu6087 4 жыл бұрын
vida
@niazonbukoke1964
@niazonbukoke1964 11 ай бұрын
Majaliwa ni kilaza kwa Mbowe
@edwiniedwin3347
@edwiniedwin3347 5 жыл бұрын
Mbn hujibu swali??
@r-boymnyange3743
@r-boymnyange3743 6 жыл бұрын
Yaani Hao wanaopga makofi cjui wanafahamilia zilizolelewa katika MALEZI mazuri
@jordankaaya606
@jordankaaya606 6 жыл бұрын
Duuu mbna swali la msingi halijajibika?
@erastosolomon4554
@erastosolomon4554 6 жыл бұрын
Maelezo mengi ya nini? Jibu swali, yani majibu yako waziri mkuu hata kama angekuwa mtoto mdogo tayari angejua anadanganywa. Na hao wanaompigia makofi waziri ni macrazy sioni la msingi kupigiwa makofi wakati maswali ya muhimu hajayajibu kiufasaha.
@yusuphchami2991
@yusuphchami2991 6 жыл бұрын
mh, waziri mkuu kama vyombo vyetu vinauwezo mbona hakuna majibu mpaka Sasa Mimi naona nibora turuhusu wachunguzi kutoka nje watusaidie kupata majibu sahihi
@wakusmilewakusmile429
@wakusmilewakusmile429 5 жыл бұрын
Were musika Katika saksta hiri
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Hawa nilichoelewa wanahisi picha limekaribia kuisha .... Next yr wengi watakuwa wanashuhudia mjengo kupitia youtube Kama sisi raia wakawaida .....Sasa wanatafuta huruma tu , na TRUST ME Sera watakuwa hawana ktk kampeni zao ila hizi story za kutekwa na kuteswa ndio zitakuwa sera zao.
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 6 жыл бұрын
Waziri ujajibu swali unazunguka mmbuyu tuuu
@robertshedlack5354
@robertshedlack5354 5 жыл бұрын
woi Waziri hapo sjaona jipya aliongea, mungu ataumbua tu hao mnaosema hawajulikan
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 6 жыл бұрын
Kama hamjafurahishwa Mbona kwenda kumuona mlikuwa mnakataza watu Wa chama cheni wasiende? Mnaruka ruka mnamjua mhusika na Mungu atawaumbua tu.
@erickcobra4054
@erickcobra4054 6 жыл бұрын
Happiness Mwaipopo amen
@mbonireamina6497
@mbonireamina6497 5 жыл бұрын
Kama uchaguzi utafanyika kwa haki na huru mimi kura yangu nitampa TUNDU ANTIPASI LISU. Huyu bwana yuko baribu sana na MUNGU kuliko Magufuli. Mimi nina imani machungu aliyopitia yalisimamiwqa na MUNGU. Magufuli sio chaguo la MUNGU ni chaguo la CCM na SHETANI. Mambo anayofanya Magufuli ni ya mapepo tu. Ameshawalisha baadhi ya Watanzania libwata wawe wanamsifia kuwa kafanya na kujisahau kinachojenga Tanzania ni kodi zao zikiwepo kodi za WAPINZANI. Maisha ya Magufuli baada ya kuwa Rais ni kifungo tu.
@Nestory_mvwata.
@Nestory_mvwata. 6 ай бұрын
Umetisha sana mzee
@fadhilimwaitete3692
@fadhilimwaitete3692 Жыл бұрын
Towa majibu au jibu swali pamoja nakulibia atujalizika na hayo majibu
@fadhiliibrahim9702
@fadhiliibrahim9702 6 жыл бұрын
Kwa majibu haya kama ndio mtihani ticha natoa 0/100
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 жыл бұрын
FADHILI IBRAHIM-Ahahahaha- wazr kapga chenga kujbu!
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 6 жыл бұрын
FADHILI IBRAHIM Kweli kabisa
@amrikemwalu979
@amrikemwalu979 6 жыл бұрын
sio 0/100 tu mi naona ata -20/100 yaani anadaiwa kabisa
@michaelmpoma3579
@michaelmpoma3579 5 жыл бұрын
FADHILI IBRAHIM ...watu wanazunguka danadana had unatia hasira
@AloisNashali
@AloisNashali 6 жыл бұрын
Huyo majariwa pumbu tu
@esteribrahim7127
@esteribrahim7127 5 жыл бұрын
Si mruhusu uchunguzi
@zuwenasirgutty8830
@zuwenasirgutty8830 6 жыл бұрын
Specific ya hayo Makofi niyakazi gani....!!??
@r-boymnyange3743
@r-boymnyange3743 6 жыл бұрын
Kwann wasiruhusu vyombo vya nje kufanya upelelezi hilo ndo swali unaongea tofaut na swali!!?
@paulojosephy6338
@paulojosephy6338 6 жыл бұрын
swali ni kwamba kwnn serikali hairuhusu vyombo vya uchunguzi vya kimataifa kuja kuchunguza kwnn inakata..... lkn waziri mkuu hajajibu hili swali
@goodluckymakere9023
@goodluckymakere9023 6 жыл бұрын
Paulo Josephy kweli
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 жыл бұрын
Nmekuelewa sana kwa swali-Paulo Josephy!
@paulojosephy6338
@paulojosephy6338 6 жыл бұрын
+Samweli Mwinyi waziri kakwepa swali hajajibu
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 жыл бұрын
Paulo Josephy+Umeona eeeh? Ana2100 busara ktk yanayo tugharim UHAI! Nmempenda ghafla
@saidkhantz2525
@saidkhantz2525 6 жыл бұрын
UKIWA upinzani hasa Raha Wallah.... Upinzani una wasomi, upinzani una watu wenye uwezo wa kutoa hoja zilizoshiba.... Mijitu isiyokuwa na akili utasikia ikisema " kupigwa risasi kwa lisu ni mipango ya ukawa" sasa kama ni mipango ya ukawa kama wanavyoamini wananchi wanaoipenda fisi em? Kwa nini fisi em yenu isiruhusu jeshi la uchunguzi la watu weupe lishuke hapa nchini kufanya yake????.. ina maana ukawa hiyo hiyo ndio ihusike na mipango ya kupigwa risasi lisu, na ukawa hiyo hiyo ndio itake kupatikana uchunguzi wa kimataifa?. Au na hao wa kimataifa nao ni ukawa watawatetetea?.. acheni kutufanya mazuzu bhna ccm
@abduljuma5284
@abduljuma5284 6 жыл бұрын
duche! kwerii nchii imepotea wazirii kumbe nikilaza kiasi hicho chakushangaza wapumbafu wanampigia makofi sasa makofii yann hapo amahakika Tanzânia tunawawakilishi wengi kuliko viongoz
@morismush4273
@morismush4273 Жыл бұрын
Wazuri mkuu unatuda,nganyaa
@bahathigeofrey1617
@bahathigeofrey1617 6 жыл бұрын
Yesu wngu, hebu Mungu iponye Tanzania.
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Mbunge wako au wa Masasi??
@ntegrity277
@ntegrity277 Жыл бұрын
Kama angepigwa risasi mwana ccm nadhani watu wengi wangenyongwa kwahiyo ni tabia ya nchi na hakuna uchunguzi au!
@siamollel9725
@siamollel9725 6 жыл бұрын
Ukweli Mh mbowe polisi wanatesa sana RAIA,wakija hahuku kukamata waalifu,wanatoa vitisho na kupoga watu ovyo
@gregoryntandu4718
@gregoryntandu4718 4 жыл бұрын
Sia Mollel ukiwa salama ww huta Jua kama wezako wako hatarini
@AhmedSeif-il1xx
@AhmedSeif-il1xx 27 күн бұрын
Hakuna ccm anaependa haki mpaka kiama
@chiefmachibya3894
@chiefmachibya3894 6 жыл бұрын
Wanaopiga makofi ni mbwa tu
@magesagambajr3546
@magesagambajr3546 10 күн бұрын
Namuona ndugai kaduwaa km kala pili Toni
@mwanahella9650
@mwanahella9650 6 жыл бұрын
Hayo sio majibu kwakweli khaa🤔😢🙄
@calvinjackson2087
@calvinjackson2087 Жыл бұрын
Waziri mbona hujibu maswali unapigiwa makofi yasiyo ya msingi
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 3 жыл бұрын
Miccm washenzi wanaua wafrica wenzao kisa niubinafsi uchoyo!!hivi mnaakili nyee miccm mtachelewa kusongambele maana mnaandama wenyevipaji vyakutukwamuwa!!!!
@johnsonbagambi1908
@johnsonbagambi1908 Жыл бұрын
Dah!
@laulianmeneja2079
@laulianmeneja2079 4 жыл бұрын
Mbona hamtaki uchunguzi wa nje
@BarakaWaya
@BarakaWaya 6 жыл бұрын
Daaaah maswali kwa uchungu ,majibu sasa duuuu
@aissacktegama8972
@aissacktegama8972 4 жыл бұрын
Tuteteeni Sisi wafanyakazi kampuni binafisi mishahara inachelewa pia hawapeleki michago yeti nssf tusaidieni wambuge wetu
@revocatusmanyama8621
@revocatusmanyama8621 5 жыл бұрын
Uchungz mpaka lini?
@elihurumathomas686
@elihurumathomas686 4 жыл бұрын
Binge Lina washangiliaji wengi kuliko wanaofikiria
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 6 жыл бұрын
Mbona hajibu kwa nini hawataki Tume ya Kimataifa.? Swali Gumu hiloo.!
@mustafachiumbwe3136
@mustafachiumbwe3136 5 жыл бұрын
mungu yupo on day mficha jereha umauti umuumbua
@barakambise2773
@barakambise2773 4 жыл бұрын
Nasi uache msahidiwe kutafuta
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 3 жыл бұрын
Maswali ya Mbowe Ni sahihi na majibu aliyopewa nayo sahihi kah!! Ni noma
@hamadimaulidi9485
@hamadimaulidi9485 Жыл бұрын
Mm kama mm waziri ujatoa jibu hapo umezinguwa
@loishiyemollel8071
@loishiyemollel8071 5 жыл бұрын
Sasa ni hofu gani kama watakubali vyombo huru vya nje kuja kufanya uchunguzi ?
@onesmolwambano9349
@onesmolwambano9349 6 жыл бұрын
specific questions=specific answers
@kazok892
@kazok892 4 жыл бұрын
Hili jamaa ana title ya uwaziri mkuu lkn ni ceremonial tu...hana power & authority...lile pimbi Bashite lina nguvu kumzidi...bogus people!
@user-nu3ne8ul5d
@user-nu3ne8ul5d 4 ай бұрын
Ongera sana mbowe
@kichuyawatanga5452
@kichuyawatanga5452 5 жыл бұрын
Naomba kuuliza waliompiga risasi moringe sokoine ,nao wakamatwe ,mpaka Leo cjui waliompiga risasi wazir wetu
@applestru_cape2219
@applestru_cape2219 5 жыл бұрын
Muulize nyerere
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 жыл бұрын
Kichunya ni tanga barabara ya ngapi? Huyu alikufa kwa ajali ya gari
@joshuahassan1605
@joshuahassan1605 Жыл бұрын
Hivi report ya hayo aliyoyataja prime minister ilishatolewa??
@johnsonbagambi835
@johnsonbagambi835 3 жыл бұрын
Mbowe ni kichwa
@george27103
@george27103 6 жыл бұрын
ushabiki mwingine ni wa kushangaza maana watu wanapiga tu makofi kwa mihemuko bila ata ya kusikiliza ni nini kinajibiwa.very sad.
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 5 жыл бұрын
Yaani majibu ukiyasikiliza vizuri unapata kujua kwamba, ukweli hauja zungumzwa.
@HellenLemilya
@HellenLemilya Ай бұрын
Duu uchunguzi huo uliishia wapi ,ulipata nini sasa ,au Bado wanaendelea kuchunguza ?hapa ndipo viongozi wa Tanzania wanaponikera ,na hata kuwachukia na kuona chadema na wapinzani wengine wapo sahihi
@abedychaula1721
@abedychaula1721 4 жыл бұрын
Msikae na kujitizama nyinyi tu watu wangapi wanao shambuli na kupoteza maisha ndani ya hii nchi,tatizo ni ubinafi mlio nao.
@bakarimngazija6672
@bakarimngazija6672 5 жыл бұрын
Majibu huna ila siasa inamkondo wake , mbona hakuna uchunguzi . Vinarndelea siku diku zinapita kwenye viwanja vya bunge kamera ziliondoshwa na hata hiyo hakuna taarifa . Waziri mkuu unadanganya umma. Kumbuka waziri mkuu unajimwagia mafuta n Mungu atakuhukumu Kama unajarijukuuficha ukweli.
@paulojosephy6338
@paulojosephy6338 6 жыл бұрын
waziri mkuu kaulizwa swali kalikwepa
@esteribrahim7127
@esteribrahim7127 5 жыл бұрын
waziri MKUU wapi huyu anaongea pumba 2
@mahelamnazaletimahela9317
@mahelamnazaletimahela9317 4 жыл бұрын
Malaya tu
@stewardnkinda9552
@stewardnkinda9552 Жыл бұрын
Mbona Hadi Sasa hatuja pata majibu Toka kwenye vyombo vya Dola serikali hii Ina shida sana, kwann asiluhusu vyombo vya umoja wa mataif a vije vitedo hivi havivumilik
@uniquestories3609
@uniquestories3609 3 жыл бұрын
Kazi ipo
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 6 ай бұрын
Ipo siku MUNGU atajibu
@pilotngulamba388
@pilotngulamba388 Жыл бұрын
kweni ao wa kibiti sio watanzania nanyi mnaoshabikia kuwa hajajibu vizuri kibiti nao wamepigwa lisasi na ni watanzania pia hacheni kuongeleo ujinga kweni lisu nani na hao walio uwawa na ni nani?
@kavassay8899
@kavassay8899 5 жыл бұрын
Wabunge wa ccm bhn wanapiga makofi ya nn au wanataka watu waendelee kuuliwa
@maluhismadila9593
@maluhismadila9593 Жыл бұрын
Haya bwana
@bonifacechengula1860
@bonifacechengula1860 Жыл бұрын
Alikwepa swali la taasisi za kimataifa kuhusishwa kwenye uchumguzi. Kwanini? Serikali yake ndio illihusika
@pilotngulamba388
@pilotngulamba388 Жыл бұрын
mzazi umemjibu vizuri uyo kiongozi asie kuwa mkweli kwa chama chake chadema
@eliajimmy5128
@eliajimmy5128 6 жыл бұрын
hapo nimeona serikali ndio wanaotuuawa kwa nini mnakataa wachunguzi wakimataifa
@amosseme8575
@amosseme8575 6 жыл бұрын
Unawaamin sana wachunguz wa nje ety
@eliajimmy5128
@eliajimmy5128 6 жыл бұрын
Amos Seme umeambiwa swala la bot mliita wachunguzi kutoka Scotland kwa nini mashambulizi haya mnayachukulia POA?
@mcfrank1423
@mcfrank1423 6 жыл бұрын
maja bwana ndo jibu hilo?
@jakobodeus9522
@jakobodeus9522 3 жыл бұрын
Serikali ya matusho ya bunduki mna bunduki sana tanZania
@ramadhanisaidy185
@ramadhanisaidy185 5 жыл бұрын
Sijawaelewa wapinzan
@evaristndodi8013
@evaristndodi8013 2 жыл бұрын
Dah
@mamarama6360
@mamarama6360 6 жыл бұрын
Mh mkuranga kulee Kibit wamekufa wengi lkn hamukusimama kuomba serikal ilete wachunguz kutoka nje?
@abduljuma5284
@abduljuma5284 6 жыл бұрын
kwakweliii hii nchii nihamnazo kweli sasa waziriii kajibu nn hapo mbona haelewek
@janendomba9461
@janendomba9461 5 жыл бұрын
lini uchunguzi utakamilika jamani mungu anawaona au mfute vyama pinzani
@richardmakao7488
@richardmakao7488 6 жыл бұрын
hawawezi kuruhusu wachunguzi huru kwasababu wao ndo wanahusika
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 жыл бұрын
Aha Taita duh Majaliwa kasema anayejuwa aende akatoe taarifa .baba nenda lakini niachie kadi yako ya benk na pini namba kabisa.ili niweze kuwa na kuletea uji mahabusu maana ukiingia huko kutoka ni 2050
@hocymbesere9459
@hocymbesere9459 6 жыл бұрын
asee ww jbu swali usikwepe hiv hawasomag koment hawa nyumbu
@josephsasa7497
@josephsasa7497 4 жыл бұрын
Nursing answer
@kisa6022
@kisa6022 Жыл бұрын
Dunia itaisha hakutapatikana ukweli wala ufumbuzi kwa hayo
@SUPREMEDIGITAL
@SUPREMEDIGITAL 6 жыл бұрын
Majibu ya Waziri Mkuu yameniacha Njia Panda Hakika,Mlengo mkubwa ni kutetea Watanzania Kwa Ujumla kutokana na Mauaji yanayoendelea Katika Nchi.Nadhani Serikali itoe nafasi iyo
@hamadimaulidi9485
@hamadimaulidi9485 Жыл бұрын
Kwa nn afutwe ubunge waziri Hana majibu walewale
@ismailkidongo9384
@ismailkidongo9384 4 жыл бұрын
Wanausika wenyewe
@dioclesefaustine1076
@dioclesefaustine1076 Жыл бұрын
Mh: sijalizika na majibu yako. Msilete siasa kwenye maisha ya watu. In short umejibu kisiasa. Inatufanya kama wananchi wa nchi hii kama hatuna akili. Msitake taifa lilete mapigano ya sisi kwa sisi. Kwani nn kinazuia uchunguzi usifanyike? Hatutaki siasa hapa.
@simonfundi5472
@simonfundi5472 6 жыл бұрын
Uyo waziri mkuu naye ovyoo
@humphreybilly3258
@humphreybilly3258 4 жыл бұрын
Isaya 42:22-23 [22]Lakini watu hawa ni watu walioibiwa na kutekwa; wote wamenaswa katika mashimo, wamefichwa katika magereza; wamekuwa mawindo, wala hapana aokoaye; wamekuwa mateka, wala hapana asemaye, Rudisha. [23]Ni nani miongoni mwenu atakayetega sikio lake kuyasikia hayo? Atakayesikiliza na kusikia kwa wakati ujao?
@seiphabdallah2122
@seiphabdallah2122 4 жыл бұрын
Sasa kwa nini hawaruhusu uchunguzi wa kimataifa
VIDEO: Naibu spika vs Mbowe bungeni kwenye swali kwa Waziri mkuu
5:29
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 575 М.
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 24 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 40 МЛН
Люблю детей 💕💕💕🥰 #aminkavitaminka #aminokka #miminka #дети
00:24
Аминка Витаминка
Рет қаралды 662 М.
Happy birthday to you by Tsuriki Show
00:12
Tsuriki Show
Рет қаралды 12 МЛН
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Joho DAZZLES CROWD in Homabay, AFFIRMS support for Ruto come 2027
18:09
Azimio TV(Official)
Рет қаралды 40 М.
MASWALI KWA WAZIRI MKUU: Mbowe achafua hali ya hewa
8:21
Mwananchi Digital
Рет қаралды 34 М.
Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni
7:05
SIMU. Tv
Рет қаралды 1 МЛН
HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
10:40
Global TV Online
Рет қаралды 465 М.
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 24 МЛН