Рет қаралды 64,590
Sendeu Laizer Mkazi wa Mundarara Wilayani Longido Mkoani Arusha ambaye ameingia kwenye kundi la mabilionea baada yakupata madini ya ruby yenye thamani ya zaidi ya bilioni 3 amekaa kwenye exclusive na amplifaya kuhusu maisha yake ambapo amesema amewekeza mabilioni ya fedha lakini kitu kingine ambacho hajawahi kukizingumza popote nikuhusu kazi yake ya mwanzo ambayo alikuwa anaifanya yakusafirisha abiria kupitia gari yake aina ya noah ambapo hadi tunavyozungumza pamoja na utajiri wake hajawahi kubadilisha gari yake na ndio anayoitumia hadi sasa