BILIONEA LAIZER ALIYEPATA MADINI YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 3 AFUNGUKA TUSIYOYAJUA

  Рет қаралды 64,590

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Sendeu Laizer Mkazi wa Mundarara Wilayani Longido Mkoani Arusha ambaye ameingia kwenye kundi la mabilionea baada yakupata madini ya ruby yenye thamani ya zaidi ya bilioni 3 amekaa kwenye exclusive na amplifaya kuhusu maisha yake ambapo amesema amewekeza mabilioni ya fedha lakini kitu kingine ambacho hajawahi kukizingumza popote nikuhusu kazi yake ya mwanzo ambayo alikuwa anaifanya yakusafirisha abiria kupitia gari yake aina ya noah ambapo hadi tunavyozungumza pamoja na utajiri wake hajawahi kubadilisha gari yake na ndio anayoitumia hadi sasa

Пікірлер: 117
@mweyoms5548
@mweyoms5548 2 жыл бұрын
Wakati mwingine unaweza kudhani Mwenyezi Mungu anapendelea;lakini sivyo ilivyo.Hayo ni maamuzi yake.Ndugu Laizer hongera sana,kikubwa usimsahau aliyekupa.Wale husuda poleni saaaana.
@mungatanamedia5157
@mungatanamedia5157 2 жыл бұрын
Mzee yko humble sana,,mungu am'bariki sana
@ivanross8302
@ivanross8302 2 жыл бұрын
Jamaa yuko mbali sana yaani vision yake kubwa sana
@clintondabana7021
@clintondabana7021 2 жыл бұрын
(First comment) Jamaa ana vision kubwa sana
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 жыл бұрын
"Kila kitu na muda wake"kweli kabisa ndugu laiser
@mubinaledroos7642
@mubinaledroos7642 2 жыл бұрын
Mashallah boos you saying true don't deepend on one business well said you r the real bussens man well said
@daniellaizer8590
@daniellaizer8590 2 жыл бұрын
He deserve around of applause 👏👏👏
@selemanjuma1595
@selemanjuma1595 2 жыл бұрын
Hizo hela anazo miliki huyu father angekuwa labda anazimiliki msanii angekuwa kama anamiliki zaidi ya hizo pesa
@TheSalma1999
@TheSalma1999 2 жыл бұрын
Wamasai wazuri jamani he is so handsome and brilliant
@rehemamkalawa3801
@rehemamkalawa3801 Жыл бұрын
🤣🤣 mmeanza
@josephvisenti1888
@josephvisenti1888 2 жыл бұрын
Leizer!mm naomba unikopeshe milioni 3 nijiajili niwe nakurudishia ndg yng mn daaaaah,au nipe kazi hapo kwenye kampun yako ht ya kupikia wafanya kazi zako
@raquiztv4948
@raquiztv4948 2 жыл бұрын
Jamaaa anajibu kisom hatr
@ellybrown5989
@ellybrown5989 2 жыл бұрын
Bless you.
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 2 жыл бұрын
Wamasai tuko bright sana! Big up
@majutofrancisco4106
@majutofrancisco4106 2 жыл бұрын
Mshukuru Mungu kukupatia pumzi
@aminamtikaonlinetv7305
@aminamtikaonlinetv7305 2 жыл бұрын
Ni mfano wa kuigwa,sasa wenzangu na mie pesa kidogo tayari unataka umiliki Benzi
@emmanuelchizenga1572
@emmanuelchizenga1572 2 жыл бұрын
Kwanza jamaa anaongea point mwanzo mwisho kwa kifupi jamaa anajua kuzikontro pesa sio pesa imkotro yeye
@filismpangala2146
@filismpangala2146 2 жыл бұрын
Duh ana akili mno uyu masai
@larickmtui2852
@larickmtui2852 2 жыл бұрын
Madin yanapatikana na wapo wanaopiga pesa zaid ya laiza ila hawawek waz kukwepa kod maana mikodi ipo juu sana
@youngsimbawcb1814
@youngsimbawcb1814 2 жыл бұрын
Nimejifunza kupitia hii INTERVIEW!!!!!!!!
@kazkaz1943
@kazkaz1943 2 жыл бұрын
Laizer kasema “Maisha ni kuchagua uanze kipi na umalizie na kipi mimi sijaona nianze na gari kuna kitu kingine naanza nayo; je unaweza sema mtu ni tajiri sababu ana nyumba ya million 400?
@cristianmwanja2918
@cristianmwanja2918 2 жыл бұрын
Akilin yake. Hyu jamaa nikubwa sana
@agreyaloyce432
@agreyaloyce432 2 жыл бұрын
Sitaki sifia ila uyu raiya ako na namna yakujuwa jambo kiasi chake we learn from you brother sante sana
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 жыл бұрын
Hongera sana
@jacquelinegideon1122
@jacquelinegideon1122 2 жыл бұрын
Laizer yuko Bravo sana👏👏
@emmamsamba4256
@emmamsamba4256 2 жыл бұрын
Huyu ana akili za kuzaliwa! Wacha tu awe billionaire! Kila mtu na fungu lake
@udakutv6973
@udakutv6973 2 жыл бұрын
HARMONIZE KWISHA HABARI YAKE kzfaq.info/get/bejne/itWcl8imxLy9pJs.html kzfaq.info/get/bejne/itWcl8imxLy9pJs.html kzfaq.info/get/bejne/itWcl8imxLy9pJs.html
@demycratia2567
@demycratia2567 2 жыл бұрын
Tafuta mteja kutoka ITALY WANANUNUA SANA KWA AJILI YA TILES NA MAtumixi ya kukupa nguvu MWILINI na katika Bible ruby hitajwa kuwa na DHAMANI Sana Kwa binadi
@demycratia2567
@demycratia2567 2 жыл бұрын
Hivi HAO vijana walio wapa mimba wanafanywa niniii
@IBENGM
@IBENGM 2 жыл бұрын
Mkipata nafasi ya kuongea na hawa wachimbaji waliofanikiwa muwe mnaandaa/mnauliza maswali ya maana!
@musason1680
@musason1680 2 жыл бұрын
Na unavomwona hajawahi haya kuwaza kumiriki siraha 😂😂 lakn mm sina hata m5 nawaza tureg na kuwa na mkuu wa kuku kweli vijana tuna ujinga mwingi.
@kanzimili66
@kanzimili66 2 жыл бұрын
uko sawa
@methodmwenda1373
@methodmwenda1373 2 жыл бұрын
jamaa akili kubwa sana kwa majibu anayotoa
@imanmodern
@imanmodern 2 жыл бұрын
First to comment ✔️
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 Жыл бұрын
Safi sana.
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 2 жыл бұрын
Daah huyu jamaa ni kichwa sana yani majibu yake yamenyooka
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 2 жыл бұрын
Tangu awe billionea ameacha kuvaa mashuka😁😁
@hamzaadrin941
@hamzaadrin941 2 жыл бұрын
Bilious gani mnyonge ivi aisee
@amaniomballa1855
@amaniomballa1855 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ana Elimu ya u professor lakn usikute kaishia darasa la saba kila kitu anacho ongea ni content..kwa kifupi ukitaka kuiona pesa iliyo ingia usibadilishe matumizi wala kuongeza matumizi invest.
@paullekunka2339
@paullekunka2339 10 ай бұрын
Kaishia lasaba lakini ana akili nyingi kama mtu aliye na phd
@jamesmlokozi3545
@jamesmlokozi3545 2 жыл бұрын
Naomba mawasiliano yake Godfrey
@jumakhalid5554
@jumakhalid5554 Жыл бұрын
Umepigwa
@saidhamad9723
@saidhamad9723 2 жыл бұрын
Jamaa umezungumza maneno yenye akili ..wengi wakipata pesa wanatak kuji show kwa watu km wamepata lkn ww upo na fikra tofaut ukipata unata ku invest zaid ..congrat ni bilinionea wa fikra pia
@samaboy2592
@samaboy2592 2 жыл бұрын
Aisee pesa inajeuri sana
@macksonmagambo2197
@macksonmagambo2197 2 жыл бұрын
Mbona n kina laizer daily...kunanini ndan yao ...
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 2 жыл бұрын
Mtu mwenye uzoefu wa madini anitafute nimpeleke sehemu privet yenye madini mbalimbali akifanikiwa asinisahau.
@mukhsintwaha5909
@mukhsintwaha5909 2 жыл бұрын
Yako wapi
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 2 жыл бұрын
@@mukhsintwaha5909 mmh siwezi kukwambia kiwepesi hivyo tuwe na makubaliano
@mukhsintwaha5909
@mukhsintwaha5909 2 жыл бұрын
@@shemelaruhinda6113 aya lete makubaliano
@faithzamani1965
@faithzamani1965 2 жыл бұрын
Weka namba yako hapa
@BigDreamsWorldwide
@BigDreamsWorldwide 2 жыл бұрын
Nahitaji kukutafuta private nakupataje
@kennethdc2577
@kennethdc2577 2 жыл бұрын
Jamaa ana akili sana yani saf sana kwake
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 жыл бұрын
Muulize katumia gharama kiasi gn mpaka kapata b3 mana hata ukuta kashindwa kujenga
@abdulwahababdulkadir9965
@abdulwahababdulkadir9965 2 жыл бұрын
Ukiwa unapesa akili wanakupa watu tu yaani utaskia tu jamaa ana akiliii,tafuta hela ndugu yangu akili itakuja kutoka kwa wanaokuzunguka
@tranchescoanthony2509
@tranchescoanthony2509 2 жыл бұрын
Wakina laizer,,,balaaa
@saxannjo6173
@saxannjo6173 2 жыл бұрын
SHUKA liko wapi?
@janemhango5884
@janemhango5884 2 жыл бұрын
Leo amebadilika kwavile amevaa shati
@IBENGM
@IBENGM 2 жыл бұрын
Usije kuwa unamchanganya na Saniniu Laizer
@judithmmari6316
@judithmmari6316 2 жыл бұрын
unamchanganyaa na saniniu laizer
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 жыл бұрын
Mzungu huwez kumtukana katika hii dunia mana wao ndo wnatupambañua akir Nashangaa mwendazake
@lastgospel706
@lastgospel706 2 жыл бұрын
Pole sana manake umelala mno na unaota.ivi ww unawajua wazungu walivo wanyonyaji ww au unabwata tu
@joycekombe7052
@joycekombe7052 Жыл бұрын
@@lastgospel706 kayachukue wewe hayo madini uyachakate kama una akili kuzid hao wazungu
@vononlinetv6396
@vononlinetv6396 2 жыл бұрын
I think I am one of his Kids
@clevermngao7565
@clevermngao7565 2 жыл бұрын
😀😃😆
@mcback4384
@mcback4384 2 жыл бұрын
Hilo gari kwa huo mwaka ulionunua na hata 2040 halitakaa liwe million 20 wamekupiga mzee wangu halafu wamekuuzia gari bila tairi aisee watu wahuni, isijekua na kwenye hayo madini wanakupiga hivyo
@TheBastarrrd
@TheBastarrrd 2 жыл бұрын
Dah nimeshtuka pia man😂😂
@paulokiruwa9879
@paulokiruwa9879 Жыл бұрын
Ndio bei yake hiyo mpumbavu wewe ukinunua gari mpya lazima ubadilishe tairi
@stevenminja8628
@stevenminja8628 2 жыл бұрын
Laizer anatumia landcruiser lx mwaka juzi alinunua kwa kijana anaitwa frank
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 2 жыл бұрын
pole pole na umbea
@marthamarck3609
@marthamarck3609 2 жыл бұрын
@@wilfredelimeleki4543 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 tn ajishikilie
@barakanestory7366
@barakanestory7366 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 mahela ya dawa hayo unamabilion ya pesa unatumia Noah aaaaah hayo ni mahera ya dawa kabisa usituambie kitu nyinge aisee daaah 😓😓😓😓
@devothasimbi1055
@devothasimbi1055 2 жыл бұрын
Ndio hayo uliyoyajaza moyoni mwako
@jacksontulito864
@jacksontulito864 2 жыл бұрын
Hiyo ndiyo fikra zako. Huyu ni kichwa anasaidia jamii anasomesha yatima na hiyo ndiyo matumizi ya fedh sio magar na wanawake
@frankmtei3017
@frankmtei3017 2 жыл бұрын
Kwani noa sio gari?
@saraphinajoely7047
@saraphinajoely7047 2 жыл бұрын
Tusikulaumu ndouwezo wako wakuwaza
@ndiiyolazaro4274
@ndiiyolazaro4274 2 жыл бұрын
Fikra za kimasikini hayo🤣🤣🤣acha ujinga utakufa maskin
@placidiasilvanus9113
@placidiasilvanus9113 2 жыл бұрын
N kwel hatujui ndo maana uchumi co mzr
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 2 жыл бұрын
Ruby hutumika kutengeneza vito vya thamani,urembo kama pete,hereni,mikufu n.k.Pia hutumia kiroho katika kumfanya mtu afurahie maisha. Mfano huimarisha afya ya akili ki imani.
@mukhsintwaha5909
@mukhsintwaha5909 2 жыл бұрын
Huimarisha afya kivipi
@faithzamani1965
@faithzamani1965 2 жыл бұрын
@@mukhsintwaha5909 😂😂😂😂
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
Afya tn duu
@mukhsintwaha5909
@mukhsintwaha5909 2 жыл бұрын
@@faithzamani1965 mbn unacheka
@pastormzirayofficial2048
@pastormzirayofficial2048 2 жыл бұрын
Jesus
@mabenzimabenzi4348
@mabenzimabenzi4348 2 жыл бұрын
SAhv kawa kijana af hata shuka kaacha kuvaa
@aminamtikaonlinetv7305
@aminamtikaonlinetv7305 2 жыл бұрын
Laizer unatuambia kuwa huwezi kuwa na kitu kimoja ni sawa kabisa, He ktk mahusiano nayo imekaaje hiyo?maoni yenu ndugu wasikilizaji
@davismnkeni7862
@davismnkeni7862 2 жыл бұрын
Hyo n masai hawez kuwa na mke mmoja
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 2 жыл бұрын
acha umalaya
@alexprotas40
@alexprotas40 2 жыл бұрын
Nimeamini Tajiri ajionyeshi
@edinachami4318
@edinachami4318 2 жыл бұрын
Pesa humfuata mwenye pesa
@rinaldaoman7892
@rinaldaoman7892 2 жыл бұрын
Siyo kweli anatumika.huyo. yanaibiwa wanampa ili waie wagawane
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
Akili za watz
@larickmtui2852
@larickmtui2852 2 жыл бұрын
Kwenye kununua hili gar walimuibia
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 2 жыл бұрын
Mbona kina laiza tu ndo wanaonekana Mbona wingingehawaonekan wiz mwingi
@ramadhanjuma5526
@ramadhanjuma5526 2 жыл бұрын
Licha ya kuwa billionea, jamaa ana contexts kwenye brain 🧠🧠🧠...
@cristianmwanja2918
@cristianmwanja2918 2 жыл бұрын
Sana
@cristianmwanja2918
@cristianmwanja2918 2 жыл бұрын
Sana
@jumaharuna9899
@jumaharuna9899 2 жыл бұрын
Jaman ni madini yake yote Yale ??
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 2 жыл бұрын
Nilikuwa naitwa mwakajoka mwambipile, kwa sasa naitwa Laizer Thomas, potelea mbali...
@OleroineKitamwasi
@OleroineKitamwasi 9 ай бұрын
😂😂 Ndungu Yangu Nimecheka Sana
@aminaj.mkwizu2497
@aminaj.mkwizu2497 2 жыл бұрын
Ana akili mingii sanaaa
@dille_td
@dille_td 2 жыл бұрын
huyu nae au anayatengeneza mbona anapata yeye tu
@perfectchoiceenterprises
@perfectchoiceenterprises 2 жыл бұрын
Huyu mwamba ni kichwa
@geofreysadok4823
@geofreysadok4823 2 жыл бұрын
Kwahyo huyu ni ndugu wa saniniu laizer?
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
Uyo ndy yy
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 2 жыл бұрын
Pesa nzur jamaa katakata
@eugenejr.8844
@eugenejr.8844 2 жыл бұрын
Business Mentality. No Lucky!
@thehunter5920
@thehunter5920 2 жыл бұрын
Na wala haringi
@cristianmwanja2918
@cristianmwanja2918 2 жыл бұрын
Mungu ambariki anipe na mm
@berthandollo3227
@berthandollo3227 2 жыл бұрын
Hatutokee Naye tushamchoka . Na nyie hayo tv
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 2 жыл бұрын
Ndioo nimungu kapanga
@phillipmatola6964
@phillipmatola6964 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣Watu wananiomba hela....
@janemapoz6360
@janemapoz6360 2 жыл бұрын
Uwiiii kzfaq.info/get/bejne/rd6Wh8mmlcW3Zok.html
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 127 МЛН
ROCK PAPER SCISSOR! (55 MLN SUBS!) feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
USICHUKULIE POA,  KILA JIWE NI MADINI UTAPISHANA NA MKWANJA...
12:15
Global TV Online
Рет қаралды 28 М.
TUSIYOYAJUA KUHUSU JIWE LA RUBY, WIZARA YASHTUKIA MCHEZO MCHAFU
12:53
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 127 МЛН