Baba yake alimshirikisha ...wazazi wengine mna biashara kubwa lkn hamuwashirikishi familia mkifa kila kitu kinakufa... Hongera kijana Mungu azidi kukulinda na kukuongoza.
@godsonmrema55383 жыл бұрын
Kama unakubali kufeli shule sio kufeli maisha, gonga like tujuane boss.
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Godson mrema umenikumbusha niposhule nilimwambia mkuu wa shule ya sekondari nilimwambia ivoivo kufeli mitihani sio kufeli maisha with nipo mtalini akaniita usiseme Ivo eti.nikweli Leo namshukuru mungu tz ninanyumba yangu bado napambana na Vita ya maisha.
@jumarwambo74203 жыл бұрын
Acha shule sasa
@shadagadagga99223 жыл бұрын
@@jumarwambo7420 muambie aige uache shule uone!!
@absalimlufyagile49743 жыл бұрын
Nikweli ndugu yangu kufeli kusoma sio kufeli maisha
@jumarwambo74203 жыл бұрын
@@shadagadagga9922 haaaaahaaa
@kingwatabata42303 жыл бұрын
MAHENGE MOROGORO NDIO HOME, BIGUP ALMAS💪
@elimidakashumba24223 жыл бұрын
Kama Tanzania imepata ma billionea wa madini ndani ya miaka miwili mfululizo je wazungu waliochimba tangu Karne wamevuna watrilioni mangapo Tanzania?
@abubakarimlyandi85713 жыл бұрын
😧😱 daaah acha kbisa yan
@mwamvitamfinanga24543 жыл бұрын
Hapo sasa ndio maana tumempata kiongozi ambaye ameshtukia huo wizi.
@talents7934 Жыл бұрын
Tatizo linaloisumbua Africa ni Uzalendo na Good management mkuu
@graceraphael66583 жыл бұрын
Asiyekujua,atahoji but I know you,I know your family ,na mapambano yako yote,you deserve to be a billionaire, also a leader coz you are blessed with good heart...kila la kheri my Uncle..Salim😍😍
@mosesjohn10673 жыл бұрын
Nice
@lovinomwamtambulo66293 жыл бұрын
Mbunge Mtarajiwa Salim jina maarufu Salim Almasi MAHENGE stand UP
@emmamatemu82253 жыл бұрын
Huyu amepita, Anayajua maisha
@fahimunyawi53183 жыл бұрын
Hongera sana kwa kupambna mbunge wetu mtarajiwa kaz kaz
@rukundoibrahim8073 жыл бұрын
jama iko vizuri mwenye kuhoji na kuhojiwa.
@edwardboaz90413 жыл бұрын
Ukimkuta mtu anajigamba anapesa huyo anazo za nyanya
@fadhiliswidhun97793 жыл бұрын
Ahaaahaaa
@magynzioka11223 жыл бұрын
Kabisa
@filbertnashon71603 жыл бұрын
Inawezakana ila pia haiwezkani.
@happysanga76803 жыл бұрын
Hongera achana na wanao kesha kumtukana rais hawana lolote
@thomasvenance51863 жыл бұрын
Kondeboy kahaso Bwana acha ale vyake
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Kabisa kaangaika bana
@rachelshebesh27523 жыл бұрын
God bless u gud work.
@salamakombo32573 жыл бұрын
Nimejifunza hapa ya kuwa kumshirikisha mtoto ktk kutafuta ugari inamsaidia hata uko ktk maisha yake yoote hata uko alipopotea nguvu za babake zili murika uyu kaka anazo radhi za babake kiukweli
@khamisjuma50463 жыл бұрын
Good jobs speaking up my.brothe
@adamabdullah81363 жыл бұрын
Mungu akusaidie
@halimamremi537511 ай бұрын
MASHAALLAH!!! MUNGU AKUENDELEZEE NA I.ANI YAKO MM NAOMBA KIBARUA TU JAMANI AJIRA HAKUNA!
@luckyofficialsports54663 жыл бұрын
Ongera sna mr Alimasi mm nimejifunza. Kua ukiamua kutafuta basi weka akili yko hpo ni usifanye jambo kwa kujaribu sema na mungu kua naamini hapa nitafanikiwa basi wee pambana kwa imani na kili moja tu Big up bro we to gather
@moh_platnumz3 жыл бұрын
Ila huyu jamaa anayo roho safi sanaa yan ukifika mahenge auwez kusikia anazungumziwa kwa ubaya yan ni mtu amabae anasupport sana watu asee
@pettyjongera12953 жыл бұрын
Kweli kbs,,,,,huyu jamaa ana moyo wa kipekee sana
@georgemendrad62373 жыл бұрын
Mie Nataka niende huko Nipe Location Ndugu
@heritier51192 жыл бұрын
Ukiwa mpambanaji huwezi kuwa na roho mbaya
@lirastanley3903 жыл бұрын
Dah...pongezi kubwa sana...maisha ni safari kaka na kwawa Tanzania wote
@binsultan69813 жыл бұрын
Watanzania bado hatjajua maana ya neno BILIONEA
@kingkongmadiba31743 жыл бұрын
Never give up in your life
@Burner_Acc3 жыл бұрын
Hongera zake ila headline is click baiting. Hajafanya kazi na Harmonize kama mlivyoandika bali kafanya mahali ambapo Harmo kadai kuwahi kufanya pia. Mtangazaji hujauliza alipata shingapi huko Msumbiji wala hujaongelea kuhusu hilo Jiwe alilopata lililompa ubilionea. Kwaninia kaingia kwenye siasa na Chama gani. Pengine muda haukutosha ila zilikua info za msingi.
@MK_AFRICAN_VLOG3 жыл бұрын
Hana maswali huyu jamaa..
@biasharaonline69311 ай бұрын
Mtu hata hajafika huko mayunivaa kawa bilionea
@wardasalum8523 жыл бұрын
Mbunge wetu tunampenda
@rachelshebesh27523 жыл бұрын
I like this job keep it up salim God bless u and your family
@salmaluhombero84663 жыл бұрын
Awww smart bro God bless you family is everything baba I’m so proud of you wa mahenge mwenzangu
@marieconnect63893 жыл бұрын
Penye nia hapakosi njia na penye juhudi neema unakuja. Hongera kaka imejitahidi. Inastahili huo umilionea
@shabannayopa54063 жыл бұрын
Big up brother
@mkingasana4003 жыл бұрын
Anafaa kua mbunge kujieleza anaweza wanaulanga mpeni kura zote
@dianamdaku98023 жыл бұрын
Home sweet home😍😍😍
@nasmaqwaray25843 жыл бұрын
Mungu amlinde
@jasonkalekezi54423 жыл бұрын
Mkuu ww ni nembo kubwa 💎💎💎
@auntdorah91413 жыл бұрын
Watu wametoka mbali...usione mtu anatumia pesa yake!
@paulkipinga11703 жыл бұрын
Duuh atali sana
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Unachosema kweli watutunapitia sehemu mbalimbali
@kinghman83533 жыл бұрын
Kazi sana
@IYANIZZO3 жыл бұрын
Duh watu wanachimba madini wanatiki mie nachimba tu wadada wa watu 😎
@beatricemaphiemaishayanaen49603 жыл бұрын
Wachimbe mkuu ipo siku utapata Tanzanite
@kerosenealimasi80193 жыл бұрын
Nifunguwa apa baada yakuona iyo picha ya harmonize
@Ashley_family1233 жыл бұрын
ata mie
@juliussweetberth64743 жыл бұрын
Ata mm
@magynzioka11223 жыл бұрын
Hata mimi
@semenitheclassic3 жыл бұрын
Respect
@thomasansigar-0029 ай бұрын
congrats mheshimiwa maisha ni ubishi....umepamban san had ulipo tunahitaj hyo spirit piah tupe siri.....
@ngwanafabian96683 жыл бұрын
Heri yako wengine kazi kukesha mitandaoni kumtukana rais maisha magumu.
@HamidKhan-sb2xk2 жыл бұрын
Good luck Live long is my dua
@jeremiahmchomvu48243 жыл бұрын
Miamia bosi naiona ipanko na sisi tunapambana ndani ya korongo one day brother tupo nyuma
@norbetjacob58873 жыл бұрын
So inspired.
@witnesjohn77583 жыл бұрын
Mbunge wetu uyooo tunakupenda snaaa
@emanuelmbwiga6903 жыл бұрын
Story ya huyu ndugu kuhusu Msumbiji inanikumbusha nilivyotembea kuanzia saa 9 usiku mpaka saa 12 jioni kesho yake kwa mguu kuelekea mgodini,ilikuwa ni kutoka wilaya moja kwenda wilaya nyingine!!
@fitnessempiretz93853 жыл бұрын
inspired
@Ashahabibu-yr1rn4 ай бұрын
Lakini jimboni bado maisha magumu ,miundombinu bado mibovu sana ,
@cosmasdaud90883 жыл бұрын
Hongera
@MouhammedSeifАй бұрын
Hii kama hujaelewa kitu bas elewa kwenye kutafuta mafanikio kunatakiwa kujirisk maisha yako
@coticelahilaly68193 жыл бұрын
Hongera sana
@josephlucas36343 жыл бұрын
Namuona kama police ndio bodigad wake ama
@saedfundikiramamoka57983 жыл бұрын
Safi
@mussaugi22043 жыл бұрын
Dah hongera
@user-fs5hv7bs6t Жыл бұрын
Nice
@zuberykharoub68683 жыл бұрын
morogoro mkoa mzur sana aseee
@meedyshow880710 ай бұрын
Ka mtipweshi iyoo ..msitu unaitw amazonia ....daaah kaka yaan kuna wale lenamo nime chezeaga sana bakora ...nili sachiwa mzee walikomba kila kitu nlibaku na pens tu ..
@mpetaamarijani26566 ай бұрын
Pole sana dahh kipindi kile mzungu anamwaga Ile sumu ulikuepo? Nilipoteza kakangu nilisulika tu Kwa kuwa siku ilikuwa bado
@marieconnect63893 жыл бұрын
Mnaohoji muwe basi na maswali yanayohusu jamani. Tumieni weledi basi. Mmetuacha ns kiuu hamhoji maswali ya maana. Mwisho mtatuchosha kusoma habari zenu maana hazina usahihi vizuri na ziko nie ya mafa husika. Weledi jamani please.
@FanuelFrank Жыл бұрын
Nakubaliii
@elishajeremiah824011 ай бұрын
ndio mwanajeshi mimi mwenyewe nilikuwepo huko msumbiji mwaka1993mpka 94 sehemu moja inaitwa miazini a
@abdalahfarida20743 жыл бұрын
SIKU ZOTE MUNGU NI MWEMA SANA KWA MTU MWENYE BIDII.
@nemecymsanya31913 жыл бұрын
Msumbiji isikieni tuu aisee
@ibrahimbyaese91483 жыл бұрын
Harmonze kweli jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@ruralhunter2553 жыл бұрын
All the best Mpambanaji ...MBUNGE Mtarajiwa #harakatizamtumweusi
@donmoyes88563 жыл бұрын
Box mungu azidi kuku inua
@temkezatv43813 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
@barbranabakooza95893 жыл бұрын
Hhhhhhhhhhhhh tulia ule ugari wa bule hapo kwa mume wa dada yko maisha unayajulia wapi wewe
@evancechangae3 жыл бұрын
Hustler 💪🏽
@sostentete33953 жыл бұрын
Maisha ni safari
@boisalym99353 жыл бұрын
Salim Almas
@esabelfadhili84323 жыл бұрын
Mbuge wetu👌
@mwanzashinyanga80603 жыл бұрын
pesa sio matako dadeki cha msingi usikate tamaa kama ipo ipo tu
@fatmamwatamba58813 жыл бұрын
Daaah nampendaa coz yuko really sana
@ilynpayne74913 жыл бұрын
Huyu jamaa anaweza andika kitabu kuhusu maisha yake hii interview ilitakiwa iwe ndefu zaidi
@lehaleimorondi6821 Жыл бұрын
❤
@emmamatemu82253 жыл бұрын
AYO tuleteeni na wagombea wengine wapya tujifunze kitu kwao
@valentineshembilu12563 жыл бұрын
Tatizo wengine historia zao hazizidi mistari minne
@victorchuma21143 жыл бұрын
Duh,maisha ni safari ndefu na ngumu
@gasatoneedwardgastoneedwar6906 Жыл бұрын
Boss najifunza mengi sana kupitia ww
@athumani2755 Жыл бұрын
Unanikumbusha mbali Kaka mi bado na aso toka tumefukuzwa mtepweshi na siachi kuchimba
@tanzaniayetu69733 жыл бұрын
Millard ayo hapa huna mtangazaji anaacha key concept anaongelea mambo mengine
@na0m1fes513 жыл бұрын
😂😂😂😂😆
@mandalorian_4.113 жыл бұрын
Ndugu yetu huyu ulanga stand up
@chobachoba41713 жыл бұрын
Inaonekana wazi kua mama yako arikua msimbe yan watoto wanne Kira mtoto na baba yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😋
@salmaluhombero84663 жыл бұрын
Wa ukae huyu
@pettyjongera12953 жыл бұрын
Wakashina mayangu???
@ahmadmasawanga90773 жыл бұрын
Wapakaya
@victormauggo2 жыл бұрын
Swali zito sana kwa wanasiasa wa Tanzania
@hamadkimbe17293 жыл бұрын
Mzungu wa roho
@simonsweka73053 жыл бұрын
Naomba hixoria iwe ndefu bci..jmni...mbona ni fundixhoo zuri xana..lakin inakuwa fupi....
@zakyahya46453 жыл бұрын
Maisha haya mmh tunahaso san
@joharishabani2893 Жыл бұрын
Ndio mkewe huyoo acha hamisa ajisevie tu
@wazirikhamisi48283 жыл бұрын
Ww kweli kichwa nilivyo kusikia tu ww uko vzr na akili imetulia
@babafranco33663 жыл бұрын
Mtangazaj chana nywele
@na0m1fes513 жыл бұрын
😂😂😂😆
@sadielgwaje62813 жыл бұрын
Anipe siri ya urembo ili nam niwe tajiri
@kulwapaul80203 жыл бұрын
Dah maisha aisee
@sponsor78823 жыл бұрын
Ushamba
@lucywilson58753 жыл бұрын
Bilionea?????
@armiyajuma71463 жыл бұрын
N
@priscadaniel73 жыл бұрын
He
@enocksilungwepondajr97073 жыл бұрын
Nani amesikia he cant do anything
@gideonmwalyego4663 жыл бұрын
Hyu anaonekana dalal tu wa madin Hana lolote,kama anapga pesa kwnye madini unafuata nn kwnye ubunge,hzo ni mbnu tu za wanasiasa.
@accountinauzwa22253 жыл бұрын
hujielewi
@fat-hiyaharmisuleiman29073 жыл бұрын
Acha rohombaya usimpe kurayako basi uswalitu
@jasonkalekezi54423 жыл бұрын
Ujielewi
@ahz69073 жыл бұрын
Wivu aka husda
@geogiamwebesa41423 жыл бұрын
Kijana mpambanaji sana na ni kawaida ya watu weupe sababu wanachukia umasikini. Mbunge tumepata Ulanga
@biasharaonline69311 ай бұрын
Mtu hata hajafika huko mayunivaa kawa bilionea
@brysonuronu58623 жыл бұрын
Hongera sana
@akshaydavid1593 жыл бұрын
Njia ngumu nilizopita mkanipa na jina mkasema niitwe jeshi.