kukosa kwa elimu ndio matokeo yake hayo. hapo huwez kuvuka accordingly to bernoulli's principle kutokana na irrotational flow ya fluid and pressure inayo result into great force due to high velocity of water and area and pressure ukiruka pia unavutwa chini sababu above the river kuna low pressure and around the river kuna high pressure due to change in crossection area of the river kutoka mita 8 mpaka mita 3 inamaana speed ya maji imeongezeka mara 2 na nusu zaidi its just a physics i love it.
@janemugoya13162 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jsmfarms712632 жыл бұрын
Kabisa
@davidkabuka37922 жыл бұрын
👍👍👍
@abdillahhussein30202 жыл бұрын
@@davidkabuka3792 usiseme pressure inayo result tunataka uende kujaribu kuvuka sawa kijana
@sikuchachekazikubwa56032 жыл бұрын
Ina maana Mkuu wa Wikaya naye haelewi hapo???
@barnabasstanslaus68952 жыл бұрын
Ni maajabu kweliii maana una maziwaaa makubwa sana utaliii wa ndani huo pia🤝🤝🤣🙄🙄
@hindisaid24133 жыл бұрын
Mi siañgalii mto macho yangu namuangalia MKUU WA WILAYA...naona Samia kaamua kutuadhibu wanaume tukome 😎😎
@subirajohn7282 жыл бұрын
Jamani😁😁😁😁😁😁
@munaahmed84993 жыл бұрын
Msikatae mm nimewahi ona uliopo Soni huko huko Lushoto na kulikuw na jua kali balaa hamna mvua lkn kuna maji huvuki fanya ufanyavyo hivyo huo mto wa hapo Korogwe nao sijaona ila pia sibishi kabisa ila insha allah nitaporejea nitakuja kuuona nijiridhishe pia
@deniserick61153 жыл бұрын
Namalizia kula, nikimaliza nakuja kuvuka, boya sana we Mzee💪💪
@latifamohammed613 жыл бұрын
Kajaribu uwone kama utavuka
@superbillionairea59872 жыл бұрын
Ukivuka na kupa million. Mimi nipo maeneo hayo. Hapavukikii
Nakuja kuvunja hiyo rekodi ili mnitangaze, sio mkae kimya nikivuka.
@hamiduhamisi23712 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hamiduhamisi23712 жыл бұрын
nenda ukunyooshe
@djdisboy255tz3 жыл бұрын
Kwaiyo kirikuu kinavuta scania watu wanene bana🤣🤣
@bockernyarusahi36553 жыл бұрын
Umetisha mkuu
@clintonjoas90203 жыл бұрын
Wekeni daraja la miti na ruhusuni mbuzi wavuke,,,wakishindwa waiteni wachina watandike fly over.........vusheni mbuzi tena.ikifeli tambueni hilo eneo kama machinjio ya watu,serikari wapafunge na sio kivutio.
@yasinkihupi95833 жыл бұрын
kukosa kwa elimu ndio matokeo yake hayo. hapo huwez kuvuka accordingly to bernoulli's principle kutokana na irrotational flow ya fluid and pressure inayo result into great force due to high velocity of water and area and pressure ukiruka pia unavutwa chini sababu above the river kuna low pressure and around the river kuna high pressure due to change in crossection area of the river kutoka mita 8 mpaka mita 3 inamaana speed ya maji imeongezeka mara 2 na nusu zaidi its just a physics i love it.
@ashachitemo78162 жыл бұрын
Khaa
@sophy1122 жыл бұрын
😂😂😂😂
@agesag.m24762 жыл бұрын
🤣🤣🤣 very true
@wasilaahmad7913 Жыл бұрын
@@yasinkihupi9583 elimu hatuna halafu wewe unakuja kueka comment za English,sasa tutajifunza vipi?
@valenakomba92182 жыл бұрын
Mito iko hivo, kwingine inapanuka, na sehemu nyingine inakuwa Midogo. Hata ukienda Dar Mto Msimbazi uko hivo.
@eliajason32873 жыл бұрын
Mambo mengine sy izo traditional believes zenu vingine vipo zaidi kisayans
@joycekalembo22253 жыл бұрын
Jana nilikua hapo nafua nguo nikaogaa sana, nimefulia upande wa pili nikawa navuka nakuja upande wa pili..maji yake bariidii..
@husnaabdallah10793 жыл бұрын
kwa hiyo unataka kusema anatudanganya?
@missmoona44972 жыл бұрын
Mnatafuta kuuwa watu sasa, paboreshen ndio mtangaze huo utalii wenu
@sampachino51842 жыл бұрын
Milard mpo juuu 🔥🔥🔥
@juliethhouseofdesigns1472 жыл бұрын
Likijengwa daraja panavukika yaani maji yanateremka na spidi hiyo unatengemea utavukaje
@gamma95902 жыл бұрын
Sijui watanzania tumerogwa na Nan? Huhijaji akili nyingi kuona speed ya maji
@issazakaria8633 жыл бұрын
Hongeai waume
@edlumala94283 жыл бұрын
Inasemekana... tuliambiwa.. habari za kusadikika!
@brysonuronu58622 жыл бұрын
Uongo uongo ..tuliambiwa madaraja yanajengwa usiku nk..wafanye madaraja yote vivutio pia...mbona ubungo flyover na mengine yalijengwa usiku na mchana hatukushangaa ..maarifa
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
Kwanini maji tunayo mengi alafu nchi ina shida ya maji
@kingcopper_tz2 жыл бұрын
Jibu ni rahisi tu, Hatuna hela za kujenga miundombinu kutoka kwenye vyanzo vya maji hadi kwa watumiaji, ila vyanzo tunavyo vyakutosha shida ni mtonyo
@valentinetesha85362 жыл бұрын
@@kingcopper_tz akili hatuna sie waswahili tunawaza kupiga ela tuu
@suleimankhamis82982 жыл бұрын
Ya kwa kweli sisi ni watu wa ajabu sana
@salumjumaruhaga25133 жыл бұрын
Mapato unawazimu kweli,mapato ayo kwio
@samyspesho16983 жыл бұрын
SO WATALII WAJE KUFANYA NINI HAPO WAVUKE AU
@qimramaa6682 жыл бұрын
Kwani nn maana ya utalii?? Acheni tabia za kupenda kupinga kila mnachikiskia bila sababu za msingi
@freduallughano23013 жыл бұрын
Ila waafrika kwa habari za imani potofu hatujambo!
@emmanuelmtonyole99582 жыл бұрын
🤣🤣
@awadhrajabu14033 жыл бұрын
Mi Nashangaa Sana Vitu Vinaonekana Kwa Macho Kwanini Msiende Kuvuka Kuliko Ubishi Nenda Kaluke Nenda Kapige Mbizi Nenda Kaogelee Jipige Picha Au Video Ili Kama Wewe Mkweli Tujue Kuliko Kubisha Kitu Usichokifanya Nikosa Kwako
@juliusmaiko95573 жыл бұрын
Mmaasai na kuogelea wapi na wapi... Mmaasae mpe simba amuue sio kuvuka mto.
@valenakomba92182 жыл бұрын
Mbona watu wanavuka kila siku. Hakuna cha ajabu hapo.
@geoffreythuku92982 жыл бұрын
Hapa mimi navuka kwa urahisi sana aisee. Ntawaita mchukue video nikivuka.
@jameskuria16643 жыл бұрын
It's so disgusting to see how people believe in wickedness rather than God.
@emmykundy4273 Жыл бұрын
I thought you were in Shakahola on way to see Jesus!?
@zedekiannyagawa3521 Жыл бұрын
the god of shakahola.
@avisone23343 жыл бұрын
Mnitafte mm nije chap kuvuka fasta naruka chap msije mkasema natumia mazindiko maana wabongo kuamn ujinga 😂😂😂😂🤣🤣🤣
@ibrahimgwasma2354 жыл бұрын
Hamna historia hapo hapo Maji yamejikusanya ,,maeneo mengine Maji yametawanyika
@a.s.afishfarming62253 жыл бұрын
Nenda karuke pale kama ni uongo
@Mpakauseme3 жыл бұрын
@@a.s.afishfarming6225 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mashakakayeba96163 жыл бұрын
Nenda ukapite uwone sisi watu wa tanga ndio tunajua hap
@heyumi23403 жыл бұрын
hapo unapita vizuri sana
@kalwinzigiti57103 жыл бұрын
Mzee hajatwahi kutoka zaidi ya maeneo mengine kazaliwa hapo naanazeekea hapohapo utalii gani hapo sasa
@dstaroficial2 жыл бұрын
Ukisoma bila ya elimu ya kuzaliwa nisaw mtoto mdogo Baba anaita papa yan no saw kama huna akili japo umesoma lands nikupe pakuanzia huenda ukawa naakili ukitupa kitu kinavuka haina shida Ila mtu ndio havuki serekal yenyewe imeweka alama au huioni na Wana wasomi wakutosha sio ww chizi .ndo nyie mkiingiaga 4m one mnaongea broken halafu mnawaina wenzenu hawajui kumbe mnaonekana hamjielew
@donaldelias66892 жыл бұрын
Yaan mnatamaaa.eti Serikali ijipatie kipato kupitia hapo😂😂😂😂😂🤣
@mussakasimu28113 жыл бұрын
maajabu kila kitu jaman
@centlaz16783 жыл бұрын
njooni kwetu kunae mto unavuka ila maji hayalowanishi ata ufanyeje
@born_dripАй бұрын
Kaka wapi huko
@biggestnasritv26013 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@benjaminkimaro50743 жыл бұрын
Mm Naruka Nifate Nikawe DEMO😂😂😂😂
@dastanlufunda88467 ай бұрын
Tuachen utan kamto tu ako mwanaume najinyosha naruka tu , vip muraa tuwe serious bana
@seifchembela43463 жыл бұрын
Tuna maliziana mb tuwe siliasi Sasa apo nakuja kutalii nini nawakat hii nchi inamaeneo yenye vivutio kibao alaf munapost ujinga
@ahmedhassan26192 жыл бұрын
Sisi tunavuka mto wa mita 35 Leo hapo watu wanafeli
@salumjumaruhaga25133 жыл бұрын
Yaani watu wamebezi kwenye mapato basi du,
@kilimoajira24572 жыл бұрын
Watz bwana kwahiyo tuko busy kutangaza ushirikina ndio kivutio? Daaaaaa twendeni shule jamani
@kenmwangzy10012 жыл бұрын
Hiyo naweza vuka nikiwa nimeketi
@mustaphareua23703 жыл бұрын
Noma
@ancomagu31555 жыл бұрын
HATANYELITE BHUKOMU😀😀😀😀😁😁😁😂😂😂😂
@assundy6923 Жыл бұрын
Huu sio mto pangani bali ni mchepuko wa mto pangani tuu
@ummuhkhalfan55423 жыл бұрын
Bhana we hapo unavuka ukimtegemea mungu co kumezeshana habar za sungura
@zedhabari81403 жыл бұрын
Hapo unavuka vizuri sana
@Mpakauseme3 жыл бұрын
nenda kavuke
@ummuhkhalfan55423 жыл бұрын
Twende wote utajuaje kama nmeenda kweli
@dulladulla41343 жыл бұрын
Huwez vuka coz kuna pull force inayotengenezwa na hayo maji
@ghelimafilemon96532 жыл бұрын
Pia mwamba unaozunguka hilo eneo Una iron au chuma, hivyo force ya maji inazalisha magnet na umeme
@jumakessy75602 жыл бұрын
Mimi nimemsikia huyo mzee anasema hapo juu kuna upana wa mita3 tu lakini hajatuambia upana wa chini upoje, kwa upana wa mita3 mtu akijivuta kwa umbali na akakimbia anaweza kuruka ila ukiteleza ukatumbukia kwnye maji kutokana na kina kasi ya maji huwezi kutoka hapo
@sophy1122 жыл бұрын
Hawaja pafence wanaongelea nini ...na anaawa mikono hapa mbona hio maji haijamvuta ... Kwanza waafrika na mambo ya uwanga waweke Kando .... Mnavuta watalii aje na mambo ya kichawi ... Andika mambo ya sayansi hapo ondoa uchawi
@mahadshekh3982 жыл бұрын
Ndio yale yale ya chunusi. Eti jini anayevuta watu kwenye maji. Kukosa elimu ni janga kubwa.
@suleimankhamis82982 жыл бұрын
I AGREE 1000%
@sefoo80843 жыл бұрын
Hahahha eti havuki mtu kisa wamasai hawakuweza. Sasa wamasai ndo manguli wa kuogelea au?
@loxlox34143 жыл бұрын
😂😂😂🤣
@andemarley27053 жыл бұрын
😅😅😅
@YusuphMarcOgaga3 жыл бұрын
Hapo navuka vizur kabisa ....izo imani za kihuni
@latifamohammed613 жыл бұрын
Kavuke 😂😂😂
@ummuhkhalfan55423 жыл бұрын
Labda PAWE palefu ila kama chini nakanyaga Insha'Allah navuka kbsa
@hamiduhamisi23712 жыл бұрын
@@ummuhkhalfan5542 siwezi jaribu ila watu kwa imani potofu wanayaweza huko tabora kuna kijimto frani kilivuma kwajiri ya mvuwa walitutisha kwamba ukiingia kuvuka kinajaa gafra ila sijawahi sikia aliekutwa na hilo hatamie niliwahi kupita kiwoga kumbe hakuna chochote rorote ushizi tu🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
@fetychina32732 жыл бұрын
Sasa kwanini wamasai si mjaribishe ili tuhakikishe🤣🤣
@mbarakaubuguyu74482 жыл бұрын
Alafu huyo msimulizi si muandishi wa staa TV
@abuuashyam84173 жыл бұрын
mm nimuislam na nachukia ushirikina ila kwahapo wallah navuka bila kudhuriwa na chchote kwa uwezo wa allah labda iwe maji yake yanakasi au pana shimo hapo itakua najidhuru ila kwasababu ilotajwa hapo eti pamezindikwa wallah napita kwa idhni ya allah hapana chchte kile
@yasinkihupi95833 жыл бұрын
upungufu wa elimu pole
@IbrahimMohamed-yy2il2 жыл бұрын
Maji yana nguvu na Kasi hiyo yanapita hapo hakuna jambo zaidi ni akili tu ya kawaida huwezi vuka hapo. Mazindiko na mengine yanaweza yamefanyika Ila sio sababu kubwa ni maji tu yanakasi na nguvu hilo eneo isingekuwa hivyo maji yametulia tu na mtu huwezi vuka hiyo ingekuwa stori nyengine kabisa
@naimaheka65493 жыл бұрын
Mmmh navuka vzr uku tena uku nikiwa naimba
@ridhywizzytz5473 жыл бұрын
sio uongo ni kweli napajua hapo nilipita nikiwa natoka kijijin mgobe wenyeji wa korogwe wanapafahamu sana
@KANTANA973 жыл бұрын
Mbona we ulipita lkn wengine walishindwa
@khdigahk42463 жыл бұрын
@@KANTANA97 😅😅😅
@mwanaamasanja76293 жыл бұрын
Maajabu yako mengi sana jamn huku kwetu kuna maji yana chemka kutoka chini ukiyagusa ata kama umeshiba kias gan lazma njaa ianze moja na inaaminika maji hayo yanatoa mkos asilimia mia
@jamecmhro70212 жыл бұрын
Ni wap huko
@rehemamgaya52892 жыл бұрын
Wapi huko
@ot83963 жыл бұрын
watu mabonge bana😃😃😃😃
@deniserick61153 жыл бұрын
Alafu we kibonge mafuta kuturusha sisi😀😀😀😀, nyang'au
@ramamtoo9393 жыл бұрын
sio nyege nenda kavuke sio uwongo unacho ambiwa
@brysonuronu58622 жыл бұрын
Haya ni kweli kiwe kivutio sawa kabisa lkn kwenda kuangalia nini? Ikiwa msumulizi anasema Kuna vitu wazee waliweka je Hivi tunaweza hakikisha au andika mahali na kuelezea mauza uza au uchawi na nguvu za Giza. Kweli hapo hapana hata level ya kua kivutio au eneo la utalii wa Kijiji. Tunaona promotion ya nguvu za Giza . Maana baada ya kujifunza hapo unatoka na nini kichwani..
@user-rd3hk5qt5p2 ай бұрын
Ni mlango wa kuzimu sio maajabu
@khamisihaji29053 жыл бұрын
Dawa yake ni mzungu 2 mumuone km atapita au hapiti mzungu 2.
@hamiduhamisi23712 жыл бұрын
good 👍👍
@babenealoyce8895 жыл бұрын
Historia ya ushirikina korogwe
@festovenas5023 жыл бұрын
Hahaha
@qimramaa6682 жыл бұрын
Sio ushirkina ila ni tamaduni za waafrika hicho ndicho mlichoaminishwa na waarabu na wazungu ili kutukana na kukejeri tamaduni zenu
@isamony583 жыл бұрын
acheni uongooo kunakivutiyo gani hapo mjee kwetu mtwara mujionee mito na milima na mashimo yanayotoka moshiii
@aishaamwalimu28873 жыл бұрын
Mimi natamani Kuja kuona tafadhari.
@josephmhando62993 жыл бұрын
Nawewe chukua waandishi uvutie kwenu apo tumeonyeshwa ww hayo mashimo yako yanayo to a moshi uako wapi mnapenda kupondaponda vitu msivyo vijua
@kamaumwenjerwa70322 жыл бұрын
UPUZI MTUPU MTANZANIA AKO NYUMA AKILI DUNI
@titomfilinge90482 жыл бұрын
Ama kweli tunaachia maji yotekwendabaharini badala ya kuyatumia kwa kilimo.na kunywa. Whandisi na wachumi hii fursa nzuro kichapusha kilimo kwanza
@emmykundy4273 Жыл бұрын
Wewe huoendi hiyo Fursa au ndio ulishakufa?
@mdathirhassan21873 жыл бұрын
Yasemekana hakuna ushahidi wajanja mwataka hela tu acheni urongo
@faridikatumbili46113 жыл бұрын
nenda karuke ndio utajua kama niuongo
@heyumi23403 жыл бұрын
uongo kila kitu utalii mnataka pesa tu njaaaa
@dianaaloycemakoi19852 жыл бұрын
Good
@hilalidismas94903 жыл бұрын
Hamna kitu hapo hata hapaendan
@mainakelvin.34392 жыл бұрын
waaaah😨😨😨😨😨😨😨
@adamalfred93483 жыл бұрын
Mnacheza nyinyi wazungu hapa wanaselelela mpaka
@gloriamwanjali93712 жыл бұрын
Ukiangalia tu maji yanazunguka inamaanisha maji marefu
Kutoka barabaran pana mita ngapi🤔 tatu au nne!!???
@ramsikhamis70833 жыл бұрын
😄😄😄Imwenibid nicheke tuu kwa kweeliii
@maimunakilindo96213 жыл бұрын
Sasa c wamasai ila kabila liningine ndugu zake wanavuka fresh tu
@suleimankhamis82982 жыл бұрын
Na hapo kuna vijiji utaambiwa vina shida kubwa ya maji
@naimaheka65493 жыл бұрын
Navuka vzr sema sjaamuwa tu
@mwanaamasanja76293 жыл бұрын
#milad ayo karibu na kwetu sikumoja uone maajabu ya majan ukiyagusa yanajikunja
@emmanueltheonas71303 жыл бұрын
Yanaitwa kifa uongo hayo😅😅
@abdurahmanhasan32733 жыл бұрын
😂😂😂hayo mbona yapo mengi tu
@steventibenda52 жыл бұрын
ina maana hapo ukiweka kitu mfano machuma au mbao huvuki yote yanasombwa na maji ya kichawi? kisha wazungu wakituita nyani tunachukia sasa kwa mawazo haya wataacha kutuita nyani wazungu?
@theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын
Mh hiyo sio imani tu jamani
@victorjames37303 жыл бұрын
Nenda Jaribu kuvuka utajua ni imani au LA!
@zolongOne3 жыл бұрын
Tatizo ni kwamba asilimia 95% ya watanzania hawajui kuogelea
@gamma95902 жыл бұрын
Huwez kuogolea hapo
@salehesalehe29672 жыл бұрын
Ninyi mnaompinga ni malofa simwende mkavuke korogwe so mnaijua
@tezuramziray87002 жыл бұрын
Si ajaribu mtu kuvuka tuone?
@sirajsh56333 жыл бұрын
Napajua hapo uyojamaa alikuaga muwindaji sasakatika halakati zake akatokea katika kijiji kimoja wanachoishi wamasai basijamaa akawa akinda kuwinda anakuja na nyamawanakula wote na wenyeji wake ilaikatokea sikumoja wakatiyuko kwenyemawindo alirusha mshalebahati mbaya ukamkosa mnyama ukampata mtu wamasai hawajata kuelewa wakaaza kumfukuza iliwamuue ndipoalipofika kwenye eneohili akafanyavyakufanya ilikunusuru nafsi yake#
@farajamwakagile96473 жыл бұрын
Ooh kumbe!? Na wewe ulikuwepo kipindi hicho? Au umesimuliwa kama tunavyosimuliwa sisi tu boss?
@mchezakamaliog2653 жыл бұрын
Kwahiyo unamaana mto huo hakuna penye daraja?
@fasamifaudy6058 Жыл бұрын
physics hiyooo
@kikiderreck99303 жыл бұрын
Kama ni mnguu ama mkilindi unapita" ila kabila zingine hazivuki
@issufomussa52272 жыл бұрын
Kirakitu pesa wekeni bure
@laymangoodmusictz33393 жыл бұрын
Sasa nije kuangalia nn apo
@evamakoi6682 жыл бұрын
Heeeeeee
@drevapatrick51992 жыл бұрын
Navuka hapo mda huu
@tjtv26943 жыл бұрын
Adisi yako inatufundisha nn?
@sheengazi42452 жыл бұрын
Imani potofu hiyo,Amin Allah tu
@shekiffu3 жыл бұрын
Bonhe afanye mazoez aache porojo
@saidmohamed46193 жыл бұрын
Acha us***nge bro,mambo ya unene na ubonge wake yanakuhusu nini wewe...
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
Wamasai hawawezi kuogelea
@simonnembomadola75123 жыл бұрын
Unavuka tu acheni mbwembwe
@benybenedict81703 жыл бұрын
Kuna maagano hpo ya kimiungu
@embeothman36313 жыл бұрын
navuka vizuri tena huku nimefumba macho
@ramadhankakai73033 жыл бұрын
😂😂😂😂nenda kavuke utuletee habari
@embeothman36313 жыл бұрын
@@ramadhankakai7303 😂😂😂😂
@dennischeyo13023 жыл бұрын
Atanyerite ubhukomu
@skillstalentartsgroup2 жыл бұрын
Watoto wa kiume ukifanyiwa hivi na mdada utafanyaje kzfaq.info/get/bejne/aN2JadaLrsDVkYE.html