Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Bungara maarufu Mbunge BWEGE amelieleza Bunge kuwa atahamasisha Wabunge wote wa kusini kuandamana endapo Serikali itashindwa kuwalipa pesa zao za korosho wanazodaiwa na wakulima.
Пікірлер: 423
@josephlyatuu35202 жыл бұрын
Aliyesikia
@lubatikoseme66134 жыл бұрын
Mbunge apendwae na watz wote🇹🇿👍
@lydiathadeous66446 жыл бұрын
Umetishaaaaa sanaaaaaa Mh. Bwegeeeeee🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 can’t deal yank nairudiaaa kuangalia kila dk jamaniiiiii unaniuaaa Hakiiii yananiiii. Kama hatuna shida Tz tunavyochekaaaa haki yananii
@abdulseif40935 жыл бұрын
Me ktk wabunge ambao nawaelewa huyu ni the best 😂😂😂
@bennitezcharles53696 жыл бұрын
bwegee 2, hongera mzee wng. uzee ni dawa bwege.
@huldamichael4445
Daah,nakuombea Mungu akuponye mheshimiwa,nakupenda sana
This guy is a hero... Naona kwa mbaaaaaaaaaaaaali🇰🇪
@majumbatv11164 жыл бұрын
Huyu akili zake za kawaida anaakili sana halafu kasoma mambo saikologia
@abasiachimika5415 жыл бұрын
Nahuyu ndio mbunge alioingia bila rushwa natman angekua mbunge wngu mtafnya kosa sana bila kumrudisha ten bwege
@viorasaimon89344 жыл бұрын
Aaa,bwanaweee,bwegeeeee,jimbo lako wanabahati kukupata,mwenyez mungu akupe nafasi nyingine tena yakuwa mbunge Mala kwa mala uwe unaingia bungeni kila mda,nipate kucheka niongeze siku zakuishi.
@abdillahichicha80356 жыл бұрын
Big up Spika kwa kwenda na move pia big up kwako Bwege kwa kuonyesha njia nimekubali
@mrishompulu73026 жыл бұрын
"Kwa sababu serkali ya ccm inaonekana kama patasi aifanyi kazi mpakkka igongwe"
@husseinyusuph68386 жыл бұрын
Yani huyuuu bwege namuelewa sana hanaga woga
@thomasnaibala6171 Жыл бұрын
Waaah mbunge bwege wewe umetisha sana big up sana
@hawaaally16396 жыл бұрын
tunashukur wa kwetu hakika atujakosea kukuchagua
@colombo_23 жыл бұрын
Pole Sana bwege watakukumbuka Sana
@peterndossy30085 жыл бұрын
Bwege yupo kiutan ila anafikisha ujumbe vilivyo
@omarmahundu85456 жыл бұрын
mbunge bungala uko vizuri sana pambana mpaka damu ya mwisho wewe mbunge uko sawa tetea wananchi wako woga mwiko! Sasa kilwa tumepata mbunge mtetea Wana kusini Kwa maslahi mapana ya wakulima.......jamani wabunge wa kusini unganeni mutetee wakulima ilitupate maendeleo tumeonewa saaana hongela mbunge bungala........👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 👍👍👍👍👍👍👍