MBUNGE BWEGE ALIVYOZUA BALAA BUNGENI LEO

  Рет қаралды 731,936

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 689
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 4 жыл бұрын
Unaweza ona utani Ila anafikisha vzr ujumbe Good work Bwege
@a.856
@a.856 4 жыл бұрын
#Free#Mashekhe#Wetu. Juzi tuu watu 20 wamekufa na askofu kaachiwa free hana makosa kaambiwa🤔 mashekhe hao hawakuuwa hata sisimizi wako ndani miaka 8 saiv,asante mbunge🙏🏻
@salimibrahim2497
@salimibrahim2497 4 жыл бұрын
Kweli kabisa dah aisee inasikitisha sanaa
@yassinnjige7484
@yassinnjige7484 4 жыл бұрын
Kweli ndugu yangu ALLAH awape subra na malipo makubwa wao na family zao
@ladytatu2139
@ladytatu2139 4 жыл бұрын
Bora umewaongerea masheikh Mungu akujalie miaka mingi
@michaelmakesenny7058
@michaelmakesenny7058 4 жыл бұрын
Mbunge bwege yupo sahihi
@bizzyjunior_tz
@bizzyjunior_tz 4 жыл бұрын
Really appreciate ,👐
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 4 жыл бұрын
Mungu akuulinde sana mbwege unawakumbuka sana ndugu zako magerezan kama utan lkn ukweli kabsaa
@rajfakhaar6884
@rajfakhaar6884 4 жыл бұрын
This is fantastic genius ......ukimcheka bwege ww😂😂😂
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 4 жыл бұрын
huyu n mbunge pekeee ambaye anamtaja Allah bungen alhamdulillah anasema kama utan lkn ukweli unauma
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 4 жыл бұрын
Yuko na Omar mgumba
@samwelmasoya3347
@samwelmasoya3347 4 жыл бұрын
Wambie hawo
@shaibuselemani2135
@shaibuselemani2135 4 жыл бұрын
Halafu wakati huwohuwo anampinga kwakutunga sheria zinazoenda kinyume na allah
@jerrjamary2649
@jerrjamary2649 4 жыл бұрын
Watu wa kilwa au Lindi wanaijua dini
@dicksontemba2469
@dicksontemba2469 3 жыл бұрын
Kanifurahisha saana alipozungumzia masheikh waliofungwa miaka 8
@majaliwajumafaru9482
@majaliwajumafaru9482 4 жыл бұрын
Huyu kweli bwege lkn ni mkali kwa fact 😂😂😂
@gillyamani6090
@gillyamani6090 4 жыл бұрын
Speaker na vibaraka wengine wa ccm watakapobaki wenyewe mwakani watakosa wa kuonea. Big up Mr Bwege, nakupenda bure.
@ramadhanvesso1759
@ramadhanvesso1759 4 жыл бұрын
Namkubali sana mbunge bwege hakoseagi yaan japo comedy sana 😂
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
Msukuma awaka Bingen kwa cheche kzfaq.info/get/bejne/g8yCgdiEp9-1hI0.html usisahau kusubuscribe.
@meshackndoya1318
@meshackndoya1318 4 жыл бұрын
Balaaaa this guy
@jumannemartine628
@jumannemartine628 4 жыл бұрын
Hongela bwege kaongea point ☝
@jumannemartine628
@jumannemartine628 4 жыл бұрын
Hongeraaaaaa bwege hatuja shiba sasa
@salumpulumba211
@salumpulumba211 4 жыл бұрын
He has been always speaking like a rediculous bt he is a telegenc
@rehemaalex43
@rehemaalex43 4 жыл бұрын
Hadi nimesisimka aise.bwege big up.
@makongoronyerere2595
@makongoronyerere2595 3 жыл бұрын
Pole jaman, hyu mbunge had leo namtizama
@mosamossile9113
@mosamossile9113 4 жыл бұрын
Wabunge mbumbumbumbu, umeshiba eeeh mnanjaa eeh
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
Msukuma awaka Bingen kwa cheche kzfaq.info/get/bejne/g8yCgdiEp9-1hI0.html usisahau kusubuscribe.
@nuhuazizi6190
@nuhuazizi6190 4 жыл бұрын
Kufurahishwa ndio njia pekee ya kufikisha ujumbe,,ushirikiano ndio suruhisho la matatizo yote.👌
@jumasaganka8479
@jumasaganka8479 3 жыл бұрын
Mashaallah vitu anavyoviongea huyu mbunge ni vya point Allah Akujalie uwezekuwa imara
@ramadhanmtipa4618
@ramadhanmtipa4618 4 жыл бұрын
Da, uyu jamaa kiboko, Ila angekuwa ccm asenge kuwa anatoa nondo Kam hizo. Mungu ambariki.
@zamdamasondole8272
@zamdamasondole8272 4 жыл бұрын
Mashalllah! Bwege ALLAH AKUJALIE maisha MAREFU kwa kukumbusha kuhusu mashekhe walio. Jela!! Takbriii
@kesslymm3412
@kesslymm3412 4 жыл бұрын
Amin
@rehemahamisi9971
@rehemahamisi9971 4 жыл бұрын
allah akbar
@robinrobert5993
@robinrobert5993 4 жыл бұрын
Zamda Masondole hahahaaa na bado una endleeza kumuita bwegee
@yassinnjige7484
@yassinnjige7484 4 жыл бұрын
Zamda lkn hawa Bata c juwi bakwata wapo kimya na kishk kaomba ardhi ana shindwa kuzumnguzia wenziye wapo jela bila kosa ushahiidi akuna
@hidayamsebwa181
@hidayamsebwa181 4 жыл бұрын
Zamda Masondole Allah Akbar
@komboomar8275
@komboomar8275 4 жыл бұрын
*Ahsante baba kwa kuwakumbuka masheikh wetu na kuwataja Allah atakulipa kwa hilo tunaumia cc kuwaona waalimu wetu wanadhalilishwa magerezani bila kuhukumiwa ila Allah yupo na halali ataidhalilisha ccm na viongozi wake wotee malipo ni hapa hapa duniani akhera ni mahesabu. Haki haizami*
@salumsaid6572
@salumsaid6572 4 жыл бұрын
Ameen
@nicholausmsuya2344
@nicholausmsuya2344 4 жыл бұрын
Jaman siobwege huyummbunge Ila utashiwake nimdogo japo amesimamia kwelii nakwel itatuweka hurukweli kwelii mbarikiwe
@josephmahay1438
@josephmahay1438 4 жыл бұрын
Team BWEGE let me see you..🙋🙋
@sambs1027
@sambs1027 4 жыл бұрын
Huyu bwege Janja.
@ramadhanrashidmthailand713
@ramadhanrashidmthailand713 4 жыл бұрын
Imeisha iyoo 😂😂
@2mbeonlinecomedy921
@2mbeonlinecomedy921 4 жыл бұрын
Mahay
@ramlatomary2536
@ramlatomary2536 4 жыл бұрын
Yeeaah
@japharynduko6139
@japharynduko6139 4 жыл бұрын
Kwa wale wote wenye uwezo mudogo wa kuelewa yani IQ ni vigumu sana kumuelewa uyu mtu ila wenye akili wote wameelewa sanaaa timu bwege like pls mikono juuu kwa wote wenye IQ tu
@jumannemartine628
@jumannemartine628 4 жыл бұрын
Xure bro
@huldajoseph556
@huldajoseph556 4 жыл бұрын
USIANGALIE NANI KASEMA..ANGALIA KASEMA NINI
@rashidinyegele4077
@rashidinyegele4077 4 жыл бұрын
Hulda Joseph da yupo vizuri kiukweli
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
Msukuma awaka Bingen kwa cheche kzfaq.info/get/bejne/g8yCgdiEp9-1hI0.html usisahau kusubuscribe.
@dobidotz3696
@dobidotz3696 4 жыл бұрын
Spika anamtoa mheshimiwa kwenye reli, hizi siasa chafu.
@abdilahijumanne1415
@abdilahijumanne1415 4 жыл бұрын
Umelewa ee Hamjaelewa ee
@lmashua
@lmashua 4 жыл бұрын
Hulda Joseph Powerful
@nicksonthevet
@nicksonthevet 4 жыл бұрын
This man has a brain. It's pity and shame that as far as I know they ended up loughing
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 4 жыл бұрын
So proud kwa mmbunge wetu wa kilwaaaa nguvu moja💪💪
@noordinmwadau2656
@noordinmwadau2656 4 жыл бұрын
Kweli
@yohanamlella2535
@yohanamlella2535 3 жыл бұрын
Kwa nn hamjampitisha huyu
@shenuromussa4813
@shenuromussa4813 4 жыл бұрын
Waambie vizuri muheshimiwa wakuelewe Maana hao wamekalia viti tu kila kitu ndio
@joakimgioche6352
@joakimgioche6352 4 жыл бұрын
I like this guy... watching from KE
@brightlastborn4440
@brightlastborn4440 4 жыл бұрын
Huyu mbunge naomba wanalindi mmuludishe tena Bunge jamani make nampenda sana japo siwezmpigia kura kwani halipo sipo, Dah💪
@isayamwanjisi2994
@isayamwanjisi2994 4 жыл бұрын
Yani sichoki kumsikiliza bwege
@samsonnzisabira768
@samsonnzisabira768 4 жыл бұрын
Some people are talented to express what they feel and think.Big up Mister Bungara
@hajikombo8578
@hajikombo8578 4 жыл бұрын
Spika unakera kwaniwao hawamjui kamakuna muongozo yamekuuma mwache usimzungumshe.
@omaredhasaidal.obthani4775
@omaredhasaidal.obthani4775 4 жыл бұрын
Yaani mpk spika awaombea taarifa wabunge simchezooo .... Kidumu bunge la chama ya mapinduzi 😂😂😂
@ammygalby9921
@ammygalby9921 4 жыл бұрын
یا عمر أتدری من الساٸل....
@wilbertcharles9129
@wilbertcharles9129 4 жыл бұрын
HAWA NDIO WABUNGE WANAOTAKIWA KWENYE BUNGE LETU SIO WAKINA ALLY KESSY WAMEJAA MAHABA YA CCM NA SHOMBO TU
@hellenabernard6747
@hellenabernard6747 4 жыл бұрын
Leo jama kakiwasha kweli na sio utani niukweli 200% Ni point kubwa sana
@yoramswagala3398
@yoramswagala3398 4 жыл бұрын
Kama unamkubari bwege gonga like hapa
@jacksonimwaipopo347
@jacksonimwaipopo347 4 жыл бұрын
Konk
@abubakkarmtabe6249
@abubakkarmtabe6249 4 жыл бұрын
Wala c bwege huyo ndie mbunge barabbara
@jovintosssi3287
@jovintosssi3287 4 жыл бұрын
Bwege ni nomaa
@msomangaorijinal3921
@msomangaorijinal3921 4 жыл бұрын
Kaka pambana kwa ajili yako na KILWA KWA ujumla bila kusahau Lindi
@mwatumathmani586
@mwatumathmani586 4 жыл бұрын
Big up sana bwege
@rachelissacmahenge1348
@rachelissacmahenge1348 4 жыл бұрын
Usiangalie nani kasema angalia nini kasema
@aminamalinda6522
@aminamalinda6522 4 жыл бұрын
Mungu akuongoze mzee wangu bwege umeongea vitu vikubwa mnoo!! Sema wajinga wachache ndio hawakuelewi sema ukweli utadhihiri na batil itajitenga inshaAllah.
@hudaynahamad8506
@hudaynahamad8506 4 жыл бұрын
Dah masha allah mbunge mbwege yupo vzur na point inaingia akili ktk bunge ndo maana spika na vibaraka vyake wanamkatisha maongez yanawachoma ktka moyo mar sut ulovaa mara muda mara hoja ila insha allah jimbo lako lkuchagua tna 2025 il wabung wakumbushe kdg
@mohamedyusuphmbaki4973
@mohamedyusuphmbaki4973 4 жыл бұрын
Mhe Spika anautani na Mhe Mbunge Bwege..Ila Mhe Mbunge bwege anajua kutoa hoja hata kama anatumia kipaji chake cha uchekeshaji ila hoja dhabiti
@omarybabuutv972
@omarybabuutv972 4 жыл бұрын
Hapo kwa mashekhe miaka minane duhh ccm hili kwenu shida
@bensalome4676
@bensalome4676 3 жыл бұрын
Mheshimiwa Bwege, ulikuwa mtetezi kwa njia nzuri kabisa. Ulizua tabasamu na vicheko hata kwenye hija zako. Naomba urudi kwenye uongozi baada ya miaka hii kadhaa
@samanyaswai6272
@samanyaswai6272 4 жыл бұрын
Spika alitaka kumtoa mzee bwege kwenye Njia Tuu
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 жыл бұрын
Kwelii kbs
@nemecymsanya3191
@nemecymsanya3191 4 жыл бұрын
Kwel kbsa mkuu umeona iyooo haha
@marcowawaghufa8197
@marcowawaghufa8197 4 жыл бұрын
Cio alitaka kumtoa ameshamtoa tayari
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 жыл бұрын
@@marcowawaghufa8197 ndio ujanja wao wakiona mtu anaongea ukwelii wanazuga
@aliebrahim9423
@aliebrahim9423 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@braymwajombe1074
@braymwajombe1074 4 жыл бұрын
mzee yupo vizuli
@paulebby1552
@paulebby1552 4 жыл бұрын
Bwege anavurugavuruga 😂😂😂😂😂
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 4 жыл бұрын
Ukweli unauma sana pia ametumia njia nzuri ya kufikisha ujumbe
@sophiamwakila3300
@sophiamwakila3300 4 жыл бұрын
Hee. Kumbe Bwege ndio jina lake nilijua bwege kwa akili
@mahmoudpanga9242
@mahmoudpanga9242 4 жыл бұрын
Sophia Mwakila
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 4 жыл бұрын
.
@salumramadhani5566
@salumramadhani5566 4 жыл бұрын
N jina la utan, uwa analitumia siku zote
@nawihadj6674
@nawihadj6674 4 жыл бұрын
A.k.a jina lke suleyman bungara
@jamesmihambo1550
@jamesmihambo1550 4 жыл бұрын
Nawi Hadj z
@mnomahboybright4743
@mnomahboybright4743 4 жыл бұрын
Bungala yupo vzur sana ila azingatiwi kwa7bu ya ukafu2
@jassonnelly3445
@jassonnelly3445 4 жыл бұрын
This guy bana😂😂😂 Ndio maana kavaa suti tofauti
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
Msukuma awaka Bungeni kwa cheche kzfaq.info/get/bejne/g8yCgdiEp9-1hI0.html usisahau kusubuscribe.
@belak999
@belak999 4 жыл бұрын
@@CyimSky tv gani hata kuandika neno bungeni hauwezi kuandika? SI NDIO UCHWARA
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
@@belak999 oky usilaumu sana kwani anayeandika ni mtu pia
@belak999
@belak999 4 жыл бұрын
@@CyimSky mnavyojingaza matangazo kila mahali mnatakiwa muwe makini sana,
@regneralex819
@regneralex819 4 жыл бұрын
jasson nelly 😂😂😂😂
@casianclement3147
@casianclement3147 4 жыл бұрын
😃😃😃😃 ana ongea vyema
@irenekitomary7271
@irenekitomary7271 4 жыл бұрын
I just love him
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
Msukuma awaka Bingen kwa cheche kzfaq.info/get/bejne/g8yCgdiEp9-1hI0.html usisahau kusubuscribe.
@sadockalfred6750
@sadockalfred6750 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Bwege noma
@julietraymond4874
@julietraymond4874 4 жыл бұрын
Natamani bwege angekuwa waziri mkuu cjui ingekuwaaje
@abdulmohamedi4947
@abdulmohamedi4947 4 жыл бұрын
Licha ya mimi kua ccm damu, bwege namkubali sana 100%,
@djgmp8140
@djgmp8140 4 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/aLSWa8h8ydOoj40.html Bonyeza link 👆 na usisahau ku subscribe
@paulinasemindu1292
@paulinasemindu1292 4 жыл бұрын
kweli mbumbumbu umeshiba ndio una njaa ndio😂😂😂
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 4 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣 eti mmeshiba ekheee mnanjaaa ekheee hatariiii
@chizochivihi4915
@chizochivihi4915 4 жыл бұрын
Dah had spika kaona aibu kaingilia
@mrsnam6897
@mrsnam6897 4 жыл бұрын
Mm vitu vya ukweli kama hivi ndio navipenda hadi machozi
@jumamiraji3081
@jumamiraji3081 4 жыл бұрын
Nakikubali sana hichi chuma kinaitwa bwege
@angelngoye4910
@angelngoye4910 4 жыл бұрын
😂😂😂 ameongea point sanaa
@PangaClassicTv
@PangaClassicTv 4 жыл бұрын
Rogath Panga: kzfaq.info/get/bejne/eqeBe719u9ezeHU.html kzfaq.info/get/bejne/l7-leNCf0sq8oKs.html
@user-fs4el1tt7d
@user-fs4el1tt7d 4 ай бұрын
Naendelea kuangalia hii ni 2024 never get old😂
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 4 жыл бұрын
Zangu mbavu wallah😂😂kama nakuona shk nyundo
@ismailmjesh3511
@ismailmjesh3511 4 жыл бұрын
uwo umbea naima.....
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 4 жыл бұрын
Ismail Mjesh kwel anaongea kama nyundo😅😅
@abdulsama8428
@abdulsama8428 4 жыл бұрын
aya
@ismailmjesh3511
@ismailmjesh3511 4 жыл бұрын
@@naimamunishi1241 poa mzmaa lkn
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 4 жыл бұрын
😃😃😂😂
@nicholausmakundi2663
@nicholausmakundi2663 4 жыл бұрын
AYO TV nimependa mlivyo-split hadhira...wakati wa taarifa na majibizano.
@TamuzaKale
@TamuzaKale 4 жыл бұрын
TBC ndo wamefanya!
@sarahnillah5169
@sarahnillah5169 4 жыл бұрын
Nicholaus Makundi ww mtu
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 4 жыл бұрын
.ee
@saidijuma9386
@saidijuma9386 4 жыл бұрын
Respect kwko mzee uko vzr unaongea ukwel mtupu ingawa wanakuona comedian lkn uko vzr
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 4 жыл бұрын
Ukweli unaumaa ila haya majamaa hayasikii yalishakuwa chronic!!
@mozaummy327
@mozaummy327 4 жыл бұрын
Alhamdullah umekumbuka mashekhe wetu allah atakulipa kwa heri yako
@kiabosaid8366
@kiabosaid8366 4 жыл бұрын
Allah atamlipa kwakweli
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 4 жыл бұрын
😃😃😃 Yuko vizuri sana
@pdwanakaza2411
@pdwanakaza2411 Жыл бұрын
Daaah nchii hii inawatu muhimu sana sema ccm sio watu wazuri
@wiza2309
@wiza2309 4 жыл бұрын
Spika kumbe ndiyo msababishi wa vurugu, anatamani watu wawe wanavuruga uchangiaji, mtu anaongea point yeye anatamani taarifa
@Aidansimwanza
@Aidansimwanza 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@luckynyale6776
@luckynyale6776 4 жыл бұрын
Hapo jamani mumepata mbunge 💪
@shabanimpulu5172
@shabanimpulu5172 3 жыл бұрын
Mmh
@fadhilingogota3581
@fadhilingogota3581 4 жыл бұрын
Dah huyu kweli bwege 😂😂
@alphaleahibrahim8904
@alphaleahibrahim8904 4 жыл бұрын
i love this man
@djdon9706
@djdon9706 4 жыл бұрын
Ana akili sana huyu jamaa na ni mwana fasihi mzuri
@fabianycharles3954
@fabianycharles3954 4 жыл бұрын
Nimekwelewa Sana.
@djdon9706
@djdon9706 4 жыл бұрын
Pamoja
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
yaarab nimempenda huyu mbunge naana nia na dini yake ALHAMDULLILAH
@juianakarani8341
@juianakarani8341 4 жыл бұрын
Mr Bwege hujawahi niangusha,wabunge kama nyie ndio mnaotakiwa,wa kwetu Mwanza ndo hata hasikiki kabisa duuu,nakuombea kwa mola urudi tena Bungeni.Amina.
@omarysimbaimaramiakamiacha7108
@omarysimbaimaramiakamiacha7108 3 жыл бұрын
nakubali mbunge wetyu kilwa boy
@sinacksaigodi5876
@sinacksaigodi5876 2 жыл бұрын
He's very bright. He knows how to present critical issues.
@bunnasib1961
@bunnasib1961 4 жыл бұрын
Kuna Muda huwa Kuna maneno huwa yanasemwa yakweli paka Spika yanamuingia lakini sijui huwa wana nini CCM
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
Msukuma awaka Bingen kwa cheche kzfaq.info/get/bejne/g8yCgdiEp9-1hI0.html usisahau kusubuscribe.
@othmanhamad7941
@othmanhamad7941 4 жыл бұрын
Uko peke yako BWEGE WEWE.huna waku kuunga mkono ila wewe sio bwege tuu bali niBWEGEGE
@bunnasib1961
@bunnasib1961 4 жыл бұрын
@@othmanhamad7941 Kuwa mbunge Basi na Wewe ili hata spika akusikie ..maana mwenzio afadhali anafahamika na spika na wabunge wengine.. Wewe mwenzetu Nani anakujua
@fortunataangelo5575
@fortunataangelo5575 4 жыл бұрын
Si kama pilato,,,
@djgmp8140
@djgmp8140 4 жыл бұрын
Bun Nasib PESA unauliza majibu uwoga na pesa
@sekundambilinyi5450
@sekundambilinyi5450 4 жыл бұрын
Huyu ameongea ambayo wengi wameshindwa kuyaongea
@brianwekolu7826
@brianwekolu7826 3 жыл бұрын
Mmbunge mchapa kazi uyu mwenye roho ya uruma
@michaeltuingilegewaubaridi8570
@michaeltuingilegewaubaridi8570 4 жыл бұрын
Uyu kichwaaaa kina madin san
@teddymutani856
@teddymutani856 4 жыл бұрын
Ahahaaaaaa duh
@_sukuna_.
@_sukuna_. 3 жыл бұрын
Everyone gangsta till Bwege shows up
@faustinekulwa2596
@faustinekulwa2596 3 жыл бұрын
Huyu mbunge namuombea sana arudi bungeni 2021 MUNGU amjaalie kabisa
@adamdullah4755
@adamdullah4755 4 жыл бұрын
Ukimkubali bwege na ww unakua bwege🤣🤣 Sema nini nakubali sana bwege ila mimi sio bwege 😂😂
@viorasaimon8934
@viorasaimon8934 4 жыл бұрын
Bwegeee,umenikosha sanaaana,ukovizuri sana baba
@ramlabaraka1045
@ramlabaraka1045 4 жыл бұрын
😂😂😂huyu mbunge anachekesha ila anaongea Point za maana
@esperancenathali
@esperancenathali 4 жыл бұрын
Kawachana live kweli kweli big up daddy
@beberulambegu660
@beberulambegu660 4 жыл бұрын
USIANGALIE NANI KASEMA ANGALIA NINI KASEMA RESPECT
@calvinmorgan3713
@calvinmorgan3713 4 жыл бұрын
Kumbe unafikaga hum we mzee
@beberulambegu660
@beberulambegu660 4 жыл бұрын
Ahahaha kupata habari mzee lazima uzunguke
@BLESSblessing1
@BLESSblessing1 Ай бұрын
Miaka hiyo ilikua nzuri sana siku hizi bunge limekuwa turivu sana
@jovingeorge3051
@jovingeorge3051 4 жыл бұрын
Mh. bwege ukovizuri mungu akubariki
@abdulkareemseif667
@abdulkareemseif667 4 жыл бұрын
yamemchoma spika
@zubedaramadhan2517
@zubedaramadhan2517 4 жыл бұрын
Mnaangalia Nan kasema na c nn kasema 💪💪
@merypeter7467
@merypeter7467 4 жыл бұрын
Bg up sana ww mzee noma
@emanueljosephat1605
@emanueljosephat1605 4 жыл бұрын
Walahi huyu m2 angastahili kuwa. Jimbo Langu. 😅😅nalima kwake bure mwezi mzima💪
@mwesigwaabdurahim8590
@mwesigwaabdurahim8590 4 жыл бұрын
Noma sana, Mzee yuko sawa
@swaumumohammed5710
@swaumumohammed5710 4 жыл бұрын
Kilwa tukimpoteza bungara tutajilaumu
@nemecymsanya3191
@nemecymsanya3191 4 жыл бұрын
Kweli ingawa cyo kwetu uko Ila uyu jamaa na mpenda sana
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 4 жыл бұрын
.
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 4 жыл бұрын
.
@esirbilliwizz2328
@esirbilliwizz2328 4 жыл бұрын
Kweli kabsa dada yangu, mm napatamani Sana, uko kilwa, Kuna watu wenyeofu na mungu, na wenyekujali watu wao, na wenyehakili.
@saidijuma9386
@saidijuma9386 4 жыл бұрын
Mola amlinde hyu mzee ntmn angekuwa mbunge wa Mbagala
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 4 ай бұрын
Safi mbunge bwege una umuhimu mkubwa katika nchi hii
@tonganekwizayo9642
@tonganekwizayo9642 4 жыл бұрын
Fasihi ipokichwani anawachoma polepole tu
@naftalgodfrey4313
@naftalgodfrey4313 4 жыл бұрын
Mwenyenzi Mungu akuzidishie hekima baba,una njia nzuri ya kufikisha ujumbe
@Susharealestatecompany
@Susharealestatecompany 4 жыл бұрын
Dah sisikilizagi bunge lakin huyu baba big up
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 4 жыл бұрын
Hahhahahahaha😀😂🤣😅namkubali sana huyu mbunge
@madlipztanzania1931
@madlipztanzania1931 4 жыл бұрын
Huyo ndio bwege! Hahah
@Mbugokilonda
@Mbugokilonda 4 жыл бұрын
Nipo Kenya huku, kiswahili kidogo kinanisumbua mr bwege katisha sana.
@khalifasultan2677
@khalifasultan2677 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Bwege Kaongea Point Nyingi Ingawa Ukisikiliza Kwa Haraka Na Jina Lake Utaona Kama Hamna Kitu,Atakuwa Yupo High😀
@jaclinejoel8935
@jaclinejoel8935 4 жыл бұрын
Duuuuu uyu jamaaa naanza kumfatilia
@khalifasultan2677
@khalifasultan2677 4 жыл бұрын
@@jaclinejoel8935 Ahaha sawa
@hawaally5603
@hawaally5603 4 жыл бұрын
Bwege huwa anaongea ukweli ingawa ana comedy nyingi
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
Msukuma awaka Bingen kwa cheche kzfaq.info/get/bejne/g8yCgdiEp9-1hI0.html usisahau kusubuscribe.
@kadogoomushadi5409
@kadogoomushadi5409 4 жыл бұрын
😁😁😁😁waelezeeee kakaaa
@mudoempire
@mudoempire 4 жыл бұрын
Sijawahi kucomment lakini kiukweli Bwege ulivyoviongea vyote ni ukweli bunge linasimamia jamuhuri na sio chama. Ni vizur kukumbushana ili kila mtu ajue majukumu yake
@kiabosaid8366
@kiabosaid8366 4 жыл бұрын
Yani kaongea ukweli mtupu bwege
@zamizozamy5528
@zamizozamy5528 4 жыл бұрын
Ukimcheka bwege na wewe ni bwegee 😂
Vituko vingine vya Mbunge BWEGE bungeni leo, “tutaandamana”
13:54
Cheka kidogo na huyu Mbunge anayejiita 'Bwege' na hivi vituko vyake
10:27
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 22 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 46 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 7 МЛН
'Uliskia wapi?': Mbunge Seleman Bungara (Bwege) funny compilation
3:00
SELASINI AMLIPUA MWAMPOSA BUNGENI - "YULE ROHO MTAKA VITU, NI UTAPELI TU"
10:59
“Mimi sielewi mkisema nchi hii ina amani”-Mbunge BWEGE
8:55
Millard Ayo
Рет қаралды 117 М.
WAZEE WA YANGA WAFIKA MAKAO MAKUU, MOTO UMEWAKA KWA ENGENEER
8:53
TAZAMA VITUKO VYA MBUNGE BWEGE, MBELE YA WAANDISHI
2:40
MwanaHALISI TV
Рет қаралды 532 М.
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 22 МЛН