Me sikawaida yangu kuchukua viponsongo tabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ukhutfatumah1154Ай бұрын
Hongera dada tabu m/mungu akuepushe na kila husda❤
@kekiplus1andonlyАй бұрын
Watoto wamekulia mboga saba mjuane hapa😂😂😂😂
@esterMahengeАй бұрын
😂😂😂😂😂😂ila tabu khaa nimechekaaa mweeee
@Official83640Ай бұрын
Mtoto wa Kiislam unaacha kutubu umri umeenda bd unazitafuta dhambi umri huo yaani bado unatafuta eneo la ufungue bar Astaghafilullah
@user-hh7df4mq1jАй бұрын
Ila nanyie watu washindwe kutafuta hela ndo nyie mnakufa umasikini kila kitu dhambi
@Official83640Ай бұрын
@@user-hh7df4mq1j Pombe haramu acha nife masikini lkn siwezi fanya hiyo biashara
@user-hh7df4mq1jАй бұрын
@@Official83640 Sawa malaika wa mbinguni
@charlestobby6031Ай бұрын
@@Official83640pombe dhambi kuzini aaah😂😂😂
@salmahalfani6307Ай бұрын
@@Official83640Achana nalo Kafili hilo halijui lisemalo
@zayanazayana551813 сағат бұрын
Nimesikiliza interview zote Tabu na Riyama Sijui nani muongo kati yao
@bintmrisho3526Ай бұрын
Mbona uongeaji umebadilika 😹😹😹 uyu kweli tabu badilisha kwanza jina shoga angu uwenda ukawa sawa. Maana naona kama dishi limeyumba😹
@Aisha-qd2rgАй бұрын
Huyu c comedia ndio maan anabadilika badilika 😂😂😂
@user-hi8le2vb7zАй бұрын
KUMBE ANAONGEAGA KIPEMBA AFU MMAKONDE😊...BONGO MI SIHAMI....NA AJENGEWE SANAMU LAKE❤
@Official83640Ай бұрын
Mndengereko huyo Mtwara wazazi wake wamehamia tu sawa na Muha kuhamia Dar na kuzaliana ndy alivyo Tabu
@user-ur8cq1ye3bАй бұрын
Sio mmakonde uyu
@WinWilly4162Ай бұрын
Sura yake imekaa kitoto toto sana hadi raha❤
@user-og4wh1xr2cАй бұрын
Mbona kachakaa
@aishatest4451Ай бұрын
dada hongera sana, 😂😂😂😂
@khadija2113Ай бұрын
😂PENDA SANA DADA TABU❤❤❤
@HappynessJoseАй бұрын
Taabu umeaza kujiharibu sura me weusi wako nakupenda acha kujibandirisha dear
@israelkisaila8401Ай бұрын
Mpaka kashaunguwa mashavu
@daylight1707Ай бұрын
😂😂😂 sasa tabu wewe miaka 50 wewe si mshangazi n bibi 😂😂
@user-jb7gw8vv5sАй бұрын
Nakupenda dadaangu
@Tatu-rr9msАй бұрын
Ila tabu minampendaga 😂mzee waviposongo
@elishaluhwago6940Ай бұрын
bro vidox, kazi nzuri sana...... nashauri kutumia mic mbili, huo mkono, kuuhamisha hamisha.. kuna namna... mic zingekua mbili kwenye interview, ingekua vzr sana..... hii iApply na kwenye interview zingine pia
@joycehaule9717Ай бұрын
Yes....
@jacksonbarnaba9088Ай бұрын
🤝
@user-eu6ql9zl7nАй бұрын
Kabisa
@kekiplus1andonlyАй бұрын
😂😂😂😂😂mbona viposongo😮😮😮ila jamani. Mara medium imepoa😂😂 Wenye kuhudumia naomba kujua nini huwapelekea uko😮ni uhaba?ni mapenzi?ni kutokujiamini kama unaweza pendwa bila kumtunza mwanaume ama ni nini? Nauliza kwa wema nijifunze kitu hapa,
@twiseghekisilu8845Ай бұрын
Ila Rihama itakuwa ana shida waru wengi wamemuunga mkono Tabu!!!
@Aisha-qd2rgАй бұрын
Tabu umeongea ukweli kabisa,,watu wsnaosema sana bismillah nyingi au ambao wanasali sana huwa wanaroho mbya choyo, na mambo mengi Sana yule dada anaonekana ni mtu asiependa mwingine afanikiwe au hapendi uwe juu yake ,,, na lingine hapendi uwe ba urafiki nae wawez mchukulia bwana maan yeye anakokwenda anaenda na bwana wake so mambo hayo yote yanasababisha asiwe karibu na watu akiamni mwawez mchukulia kiposongo wake so tabu achana nae fanya mambo yako kama ujumbe kashaupata ukiitwa kwenye interview nyingn kataa
@salomewandya7257Ай бұрын
Hahaha eti kumchapa kizungu 😅😅😅😅
@mamakeyoungcadryАй бұрын
Siyo ulisi mndengereko mwenzangu jaje? Ni (Urithi)
Naona li li zimetaradadi😂😂😂😂 yaani ni mwenndo wa li li liiii
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Duu mtihani anajisifiakabisa anafanya biashalaya baa naanatakakufunguaingine Baa dr. Mtihani
@gloriaaugustino8031Ай бұрын
Tunduru ni Ruvuma sio Mtwara😅
@greenberry254Ай бұрын
Kumbe ni mweusi 😂😂😂😂😂
@salimjumaa8180Ай бұрын
Kuongea sana2 ila kuoga, aaahh!!😂
@marcynhumbi3534Ай бұрын
Kumbe aogi duuuh,kwahiyo mchafu kuoga aaaaah
@thamani5842Ай бұрын
Riyama usmjibu huyu. Please
@annkim2690Ай бұрын
Wewe ni mjanja na watu wamtwara unawajua vizuri ungemfanyia madharau ungelogwa hata hio Dar hawangekujua
@joycemuhoja4729Ай бұрын
Hongera Sana tafuta pesa
@sabrinaali9750Ай бұрын
Kumbe huyu ana roho mbaya sikutegemea kumsema mwenziwe vibaya kwenye interview. Yeye alipoongea hakukutaja jina. Wamakondo bwana roho zao ....
@user-df6ui9ro8sАй бұрын
Kwaiy kosa la mmoj unatukan kabila za wat vip ww ukitukaniw utapend me sio mmakonde ila aipendez kosa la mmoj uweke kabila zim
@sabrinaali9750Ай бұрын
@@user-df6ui9ro8s sorry for that
@chantalmulasi5663Ай бұрын
Walio sikia yule Demu tujuane 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-jh5px2xl8uАй бұрын
Kwel kabisa tabu anaga kawiada ya kuongea ongea ukiona mtu wa namna iyo ad leo anaongea bas ameamua
@FatimBalushiАй бұрын
Ni kweli mmakonde mwenzangu hii dunia ukiwa mkweli unaonekana muongo ila wamakonde kusamehe ndo kawaida yetu mm pia nimesamehe mbona sasa npo oman natafuta life aman ndo kila kitu pesa inatafutwa nikirudi nitakutafuta my dear kwenye wema na wabaya wapo
@Nick16697Ай бұрын
Kapinda nne nayeye 😅😅
@nusrathmanyawa4501Ай бұрын
Mamaa kundambanda❤❤❤❤
@gracebuhatwa63594 күн бұрын
Viposongo kumbe vijana wadogo
@DarKopoАй бұрын
Mkubwa fulan nimepoq😅😅😅😅
@salimjumaa8180Ай бұрын
Kumbe wamakonde bc ni tabia zao cz ata hermonize alimuachia kajala na akampa range 1 & 2.😂.
@gloriaaugustino8031Ай бұрын
Utu bora kuliko vitu kwetu
@user-ur8cq1ye3bАй бұрын
Tabu sio mmakonde nimndengereko
@esterMahengeАй бұрын
😅😅😅😅😅
@eunicejohn5520Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@josephjohn2114Ай бұрын
Yuko very high 😂
@josephjohn2114Ай бұрын
😂😂 au amekunywa ?
@user-jb7gw8vv5sАй бұрын
Tabu unachosema upon sahihi hakuna mtu anapenda mafanikio
@faridaissa2588Ай бұрын
Uko live sana nakubal
@aairraahseif5648Ай бұрын
Tabu unamatatizo unataka umaarufu kupitia mwenzio,sasa wewe ndo waonekana taahira,mwenzio katulia,toka riyama amepata kazi crown umemuandama sana! Mpumzishe basi mwenzio please
@user-pi6lb6nx3mАй бұрын
Sema Tabu hanaga habari na mtu kama Riyama alianza yanini amkalie kimya sio kwer kila mtu aishi maisha yake Riyama aache choyo.
@ManuniEuniceАй бұрын
Ukweli tabu ni mzuri rihama waja roho chafu
@Niget-us1npАй бұрын
Tufanye riham anaroho mbaya ushawhi sikia anasem sehemu Maan tabu ajaza jana wala juzi kumsema Riama lkn Riyam ajawahi kujibu chochote sas ubaya wariym upi km yeye Ni mwema angemfwata yeye wakayaongea kwnn kweny mitandao
@nujakaluhende9428Ай бұрын
Hapo ndio mjifunze Mwanamke akiwa na pesa…….mhhhhhh
@daimajohn74717 күн бұрын
Ila wakusini mmmmmh
@user-bx6rf6nv4xАй бұрын
Huyu apelekwe hospital
@aairraahseif5648Ай бұрын
Naona hivyo anazo dalili, hospital inamuhusu huyu😂😂😂
@joharimloge408829 күн бұрын
Viposongo oyeeee😅😅
@rosemsafiri7568Ай бұрын
Huyu hana nidhamu sijawahi muelewa ansongea ongea tu domo la ugwaku
@zainabuathumani283Ай бұрын
Huyu alikuwa amelewa au?
@fatmazullu4933Ай бұрын
Vido unapasuka chalii angu! Nakupenda sana ila punguza mwili kdg😊
@ARABIMAARUFUАй бұрын
❤❤❤❤
@annkim2690Ай бұрын
Tabu umekaa mdogo leo mbona
@user-be8lm2bo7gАй бұрын
Basi muache kama anaroho mbaya ya nini kumzungumzia kila siku
@lettysalala2504Ай бұрын
😂😂 ila bongo
@salomewandya7257Ай бұрын
AlexGitaa😂😂😂😂
@Peterchila-un2lxАй бұрын
Hiyo ni kikiiii ya pikipikiiiiii
@tatuathmani88328 күн бұрын
Tatu unatabu
@Peterchila-un2lxАй бұрын
Kikiiiiiiiiii hiyoooooo
@marymanoni5536Ай бұрын
Kumbe mtt wa kishua see tabu
@Peterchila-un2lxАй бұрын
Kikiiii hiyooo
@OmaryHabibu-gs7ldАй бұрын
Sio mkande huyu mndengeleko sema baba yake amenda mtwara kikazi
@FatimaAli-of4ghАй бұрын
Au upo bwiii
@RoseDaudyАй бұрын
Acha nicheke et kawaida yangu kuwa na viposongo😂
@mariamkibindo1741Ай бұрын
😂😂
@zuhrazuhra637Ай бұрын
Vipisongo 😂😂😂
@mariamisack_hardcore2010Ай бұрын
Vido piga tizi..kakitambi kamekubali😜😜
@FatimaAli-of4ghАй бұрын
Mbona leo unazungumza kimjini mjini tabu😅😅😅
@Nashoora8Ай бұрын
amekua mau zinde
@rosehaule6765Ай бұрын
Yasn reoooo reboot sio.leoo😅😅😅
@aairraahseif5648Ай бұрын
Aongea kama Mose iyobo jamani tabu inakuwa tabu kweli 😂😂
@zenasalum2231Ай бұрын
Sauti imekuparama Kwa mipombe
@Mwanah-cg3ieАй бұрын
Mmmh
@zayanazayana5518Ай бұрын
Amuachie nyumba ? Ya uwongo mtupu
@gloriaaugustino8031Ай бұрын
Kwanini umuache jmn mnnn
@ameenaameena422Ай бұрын
Miaka 50 ushike mimba😂 hiyo hua nibaht ty mayai yamenyauka😅😅
@MustyNgongo4 күн бұрын
😂😂😂😂
@NeemaMartin-om1czАй бұрын
Vido fanya mazoez upunguze mwili
@MonicaKaskazАй бұрын
Muongo huyo
@OmAn-we8lyАй бұрын
Uwiiiii😂😂😂
@Peterchila-un2lxАй бұрын
Anatafuta kikiiii ya pikipikiiii
@joycemfuru4752Ай бұрын
comment yako tu ni ya peke yako wivu umekujaa
@twiseghekisilu8845Ай бұрын
Rangi ya inst na huku tofauti
@Official83640Ай бұрын
Cm hizo mtazame na Dida😂😂😂
@annakapolondo7771Ай бұрын
@@Official83640😅
@user-ui2br5di3dАй бұрын
Ila weee vido mpaka utaje nachingwea umesikia kijijini?uwewahi kufika?acha hizo pls nachi sio kijijini 😅😅
@Zaitoon72Ай бұрын
Vido kanona shavu 😊
@aairraahseif5648Ай бұрын
Tabu usijipunguze thamani na heshima yako uluoijenga kwa washabiki zako'kwa kumsema vibaya mwenzio, muachie Mungu inatosha sasa, kama kusema tumeshasikia, usipunguze ridhki zako, mbona yeye hakusemi wewe kwa ubaya mitandaoni?
@sephoniahittu3542Ай бұрын
Mhhhhh
@happymaimu4330Ай бұрын
😂😂😂
@hamisihussein9851Ай бұрын
Viposongo
@Mariam-fm8vqАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ramamasenda6637Ай бұрын
Tabu wewe Malaya tu ucimtafute rihama bure wewe ni Malaya unauzuri gani mweu wewe
@spreadlove5300Ай бұрын
Umalaya wake nini? 😮
@ummuissa5883Ай бұрын
Riyama ni dada mstaarabu na ustaarabu ni adabu na kunyamaza ni fimbo ya wajinga