Huku Makole Hexagon wakina BUSHOKE halafu kule DLF wakina Voice Wonder. Dom ilikuwa yamoto sana pale NK Disco. Enzi hizo kina Chamber squad wameshapiga step kubwa. Daah enzi ingekuwa inajirudia aseeh.... Wakina Msabaha mtoto wa Shehee, Dom ilikuwa HOOOOOOT.
@brianbrayoo159023 күн бұрын
Voice Wonder kumbe ni Dom product??? okay...
@topselaz636622 күн бұрын
Nomaaaaaa
@gilbertkalanda935422 күн бұрын
Memories , NK kama NK Club
@BongoZaKitambo5524 күн бұрын
Asilimia kubwa wasanii wa zamani wengi walitokea shule au walianza harakati shuleni ndio wakaingia rasmi kwenye muziki. Big up sana kwa interview hii.
@ibni_H2TL6r24 күн бұрын
ACCORDING TO THE STORY UKIMSIKILIZA VIZURI INTERVIEW UTAGUNDUA Ngwair Ni Kipaji Kikubwa Sana Ambacho Mwenyezi Mungu Ameamua Ampumzishe Na Husda Za Binadam
@davidlaiser817424 күн бұрын
Sky naona kila mtu anamuongelea Albert Mangwea.Nakushauri wote kushirikiana na kuandaa documentery yake na wote wakawepo ndani isije ikatoka ya Bongo records peke yake.
@davidhudson919423 күн бұрын
Wakianda documentary ya ngwair kama ile ya BIG itakuwa kitu poa sana
@PeterJohnRukiko23 күн бұрын
Huyo Gsan ndo rapper Mtanzania Pekee kuwepo kwenye BET Hiphop Cypher 2009 akiwa na marehem Nipsey hussle akiwa Rookie,wale wa MMG na KRS one 💯💯💯
@beatbyrich289118 күн бұрын
Ninafasi ambayo Mungu aliishaiandaa, Yani ilikuwa lazima itokeee alishapitisha.
@shabanibussara845424 күн бұрын
Zamani wasanii walitokea skuli...wengi walitokea Skuli aisee. Kitabu muhimu
@jacksonmsendo347824 күн бұрын
Hakuna kama ngwair ktk hiphop Tanzania nzima
@ubuntubantu240424 күн бұрын
Jamaa mzuri sana kwenye kusimulia, ana kumbukumbu za vitu vidogovidogo kama bei za kupiga simu imenikumbusha mbali sana nikiwa sengerema sekondari. Nimefurahi sana kwa interview hii, imesimulia background ya vitu vingi sana adimu kuvijua Jamaa kampa maua yake ngwea ya kutosha na kamuelezea kwa uzuri sana. Aitwe tena muda ukiruhusu.
@user-gf9pb5jz9j23 күн бұрын
Sanaaaa
@DurahRich16 күн бұрын
Sema kwa enzi zao gheto la jamaa lilikua kali mno sema Albert aliiongezea kinyamwezi zaidi. Jamaa kastory vizuri mno sijaskip hata sekunde, heshima kwake broh kwa kutuletea story za mziki wa enzi hizo.
@shabanibussara845424 күн бұрын
Nostalgia 😔. Damn it 😫😫
@phantyrhymes953622 күн бұрын
This man anajua kusimulia vizuri. Much love and R.I.P the genius ngwair.
@ustrashidsalimtz931614 күн бұрын
Sisi tulikuwa watoto wa mtaa huo ila Bibi Dj kafariki nwaka huu, kitambo sana yani😊
@prosperkiria638324 күн бұрын
Hii nyimbo naikubali mpaka leo
@gambajunior13823 күн бұрын
Asubuhi tunaibuka zetu mitaa ya chaga bite tunapata supu na chapati. Mchana tunaagiza ugali mkubwa na samaki/Baadae graveyard kupata nyasi.. "Hapo Ngwea kachana maisha ambayo kayaishi utagundua maisha halisi Yana make sense Sana kwenye uandishi kisanaa ✅✅✅
@silverman693017 күн бұрын
Such an excellent story teller my guy big .: I’m so indulge in this convo .. very refreshing.: thanks all. Sns such a great channel 🏴🏴🏴👊👊👊
@beatbyrich289118 күн бұрын
Mwaka 2000 nilikuwa ninasimu ya mkononi ilikuwa inaitwa Panasonic inamlio wa treni. Lakini nilikuwa form 1, lakini pia nilikuwa nina simu hiyo walimu na wanafunzi hawakuwanayo, lakini pia ilisababisha nichapwe sana viboko mpaka nikaamua kuachananayo.
@shabanibussara845424 күн бұрын
DaH! Makole Hexagon
@samnyambabe252914 күн бұрын
Sema wasanii wengi wa zamani walikuwa maginiaz sana, kuanzia darasani maana kiukwel kwa elimu ya kitambo hicho mtu kutusua kwenda Five ni sawa na sasa mtu kutusua kwenda chuo kikuu haikuwa kazi rahisi na jamaa wote walikuwa wanapg shule vzr
@DurahRich16 күн бұрын
High school ndio kuna uvumbuzi wa vipaji vingi. Enzi hizo hawa jamaa walizingatia kweli kweli coz inaonyesha walikua BRAINERS sana🫡🫡🫡👏🏾
@yusufushabani69115 күн бұрын
BYC aiseh Sangaya RIP, na wenzake pale N.K na TIGER kulikuwa hapatoshi
@geniusplus858623 күн бұрын
Kimsingi hapo sudani haikuwa kimsitu per se. Ila lilikuwa bonde fulani hivi, wana walikuwa wanapatumia kurefresh na kuvuta wida.
@tahirnephessalum367818 күн бұрын
Good interview... RIP Mangwair
@elianyigu550024 күн бұрын
Hatari saaana
@priscajube423923 күн бұрын
Festo ndalu wa dom Sec namjua.
@gabonwashington303220 күн бұрын
Story nzuri sana
@geniusplus858623 күн бұрын
Lakini kuna kitu hapa hakiko sawa. Mo alisema huu wimbo wa geto langu ulikuwa wa huyu mwana mwanzo-mwisho, hata pesa ya kuurekodi majani aliwarudishia kesho yake.. Lakini huyu mwamba amekuja na stori tofauti kabisa.. Inabidi atafutwe majani aje kutuweka sawa.
@samwelmasssawe176723 күн бұрын
Inawezekana pesa ilirudi ila mwana akafanyia matumizi mengine, si unajua tena bata boy
@tahirnephessalum367818 күн бұрын
tafadhali tutafutie na Nourah nasikia anauza spare shinyanga
@josephkavindi366617 күн бұрын
Abdul amran badoga chadunga ❤
@snawtasnota670822 күн бұрын
Mbona mm nimeku dm na simu nakupigia haujawahi kupokea??????????
@paschalsafari974724 күн бұрын
Nomaaa sanaa
@cornellmallya445516 күн бұрын
Naomba ninyaze ila huyu jamaa ni cloud chesar. Sky don't fall for this rubbish. Umaarufu bongo ni bei ya gengeni
@josephkavindi366617 күн бұрын
Yeah home boy East zoo Dom ❤
@imogimasta907722 күн бұрын
NGWEA KATIKA AHADI ZA BOSS ALIFANYA CHORUS NA VESI YA MWISHO