SURPRISE YA MCHUNGAJI KIMARO YAIBUA SHANGWE KANISANI ALIVYOINGIA KUFANYA IBADA

  Рет қаралды 84,836

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 348
@neemanaftal996
@neemanaftal996 Жыл бұрын
Nimeurahi sana, Mungu awe nawe daimu awe nawe daima. maiti imeshindwa kwa jina la daima. Kabla ya likizo yakealiyyopewa ! Niliota hi uyo mchangaji be amefariki na matangazo yake ya look awa yanatolewa kwenye vyombo vya habari nikawa nashangaa. , Najiuuliza mchungaji amefariki!!!¡ Jamani kumbe ilikuwa ni hili tukio. Mauti ya huduma imeshindwa ktk jina la yesu
@theodorymwalongo7509
@theodorymwalongo7509 Жыл бұрын
Mimi ni RC naishi Kibaha, nimekuwa nasikiliza sana mahubiri ya Mchungaji Kimaro. Nimefuatilia sana matukio yote yaliyompata. Leo amerudi tena Kijitonyama; nimefurahi sana pamoja na waumini wote wa KKKT. Nami nampenda, Mungu aendelee kumsimamia.
@nelsabugo3613
@nelsabugo3613 Жыл бұрын
Hatamimi nampenda sana huyu Mch Kimaro
@mage1799
@mage1799 Жыл бұрын
Tendeni haki hakima BWANA atawainua
@elimidakashumba2422
@elimidakashumba2422 Жыл бұрын
Yaani Mimi ni Crip zake nyingi. Hasta shuhuda mbalimbali. Ananibariki sana.
@dinagerald5419
@dinagerald5419 Жыл бұрын
Nikweli kabisa
@reginashipela2939
@reginashipela2939 Жыл бұрын
Nami nampenda Sana baba huyu jamani niliumia kusimamishwa kwake maana anachohubiri Ni sahihi kaabisa
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Жыл бұрын
Mungu ni mwema Dr kimaro, nimefurahi sana , naungana na washirika kutoka 🇺🇸, nikisema yesu, yesu, yesu, yesu 🙌🏾🙌🏾👏🏽👏🏽👍🏽👍🏽
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 Жыл бұрын
I'm Islamic but I love this man of God for sure,napenda sana mafundisho yake,hongereni wana Kijitonyama endeleeni kumuombea Dr.Kimaro
@gracekalihose8504
@gracekalihose8504 Жыл бұрын
God bless you
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 Жыл бұрын
Kama kweli wewe ni muislamu uliyefundishwa dini ya khaki usingeweza kusema hayo maneno kamwe nisingependa kusema maneno mengi hapa ila rejea mafundisho ya mtume juu ya unaswara na itikadi ya mungu mmoja tujiepushe na ushabiki wa itikadi iliyokinyume na mafundisho sahihi ya Allah
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 Жыл бұрын
Rejea mafundisho ya imani yako ya Islam maana huwezi kusema unapenda mafundisho yake wakati ni kinyume na itikadi yako ya dini ya haki mfano unafundishwa usiseme utatu na mafundisho ya upande wa pili kuna mafundisho ya namna hiyo je ni sawa ww kusema ni muislamu
@paulalove1223
@paulalove1223 Жыл бұрын
​@@stevenmwenda3005umeumia sana
@fortunatankya3242
@fortunatankya3242 Жыл бұрын
​@@stevenmwenda3005 we mwenyewe unayapenda sana..maana usingekuja huku...Pona kwa jina la Yesu
@leonardmakwela3407
@leonardmakwela3407 Жыл бұрын
It may be unpleasant to many of you, But I have to say this that , We shouldn't glorify Pastor Kimaro ! All the glory be to GOD !
@arenajamahanga8981
@arenajamahanga8981 Жыл бұрын
even him said so
@aunesskinissa7548
@aunesskinissa7548 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana kwajili yako bba Mchungaji Mungu azidi kukuweka kwajili ya watu wake
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Жыл бұрын
Nikiona mchungaji Kimaro anaogea, na washirika wa kijitonyama napata furaha na kujua kumbe wokovu wa kweli ninao ujua bado upo, 💕💕💯💯
@josephinembuguni198
@josephinembuguni198 Жыл бұрын
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Karibu tena Mchungaji Kimaro ❤
@ericrukamba6802
@ericrukamba6802 Жыл бұрын
Mie nilishasema kuwa sitakanyaga teta Kijitonyama,kusali, sasa narudi tena, Asante Mungu kwa kumurudisha Dr Kimaro 🙏🙏🙏❤
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Жыл бұрын
Baba Askofu wa nashukuru sana kumrudisha Dr kimaro kijitonyama 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻💕💕, Mungu ni mwema sana kwa maisha yangu ya kiroho, nilikuwa nangojea sana Mchungaji kimaro arudi tuendelee kupata na kukusikiliza kila jumapili. Mungu amawalinde Baba Askofu and Dr kimaro.
@mariamlugula136
@mariamlugula136 Жыл бұрын
Yesu Yesu 👏
@RandB_Channel
@RandB_Channel Жыл бұрын
Jamani kila mtu na neema yake hatu fanini.huyu mchungaji ana neema yake Mungu akuinuwe zaidi
@isayatippe6409
@isayatippe6409 Жыл бұрын
I'm from the Pentecostal Assemblies of God (Tanzania). I give God glory and honor to see Pastor Kimaro returning to the same church, Kijitonyama, as their pastor. God bless Kimaro, God bless the Leadership of Diocese of DMP and the Usharika of Kijitonyama for working together as one team!
@annehk8185
@annehk8185 Жыл бұрын
Na wewe ubarikiwe pia kwa kuandika ung'eng'e umeongeza furaha😂
@felixmwasongwe8043
@felixmwasongwe8043 Жыл бұрын
​@@annehk8185 😂
@hildermarwamarwa5935
@hildermarwamarwa5935 Жыл бұрын
Ninaungana na wana kijitonyama kufurahi pamoja nanyi kwa ajili Mchungaji wetu 🙏🙏
@clarawillfred1749
@clarawillfred1749 Жыл бұрын
Ashukuriwe Mungu kwa mema yote!hakika wewe ni mtumishi pendwa na Mungu azidi kukutumia.
@faithlucas5866
@faithlucas5866 Жыл бұрын
Machozi ya furaha yananitoka jamani kumuona Mch Kimaro tena.Mungu alitunze kanisa lidumu katika umoja na upendo 🙏
@mtumejosephgoliama6159
@mtumejosephgoliama6159 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe mno kwa kanisa kutambua umuhimu wa kusamehe. Mchungaji Kimaro bila shaka kuna jambo amejifunza. Unyenyekevu huleta neema. Namuomba Mungu atakase Kinywa cha mchungaji Kimaro ili aeneze uzima nakua makini na kauli zake . Ukristo juuuuuuu juu zaidi. Sifa zote kwa Yesu Kristo Bwana wetu
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 Жыл бұрын
Hongera sana kwa kupewa nafasi tena, ila ni wakati wa kujiangalia sana asianguke maana ukikubalika sana adui hutumia mlango huo kwa ajili ya kukuporomosha kwa kiburi. Nakutahadharisha sana mchungaji Kimaro uweze kushinda roho ya kiburi baada ya kusifiwa
@jackittah
@jackittah Жыл бұрын
This is beautiful Glory to God My heart is full ❤
@judithkyenze1321
@judithkyenze1321 Жыл бұрын
Glory be to God, how happy I am to see the man of God back, karibu sana sana. Judy from Kenya
@captain001kenya3
@captain001kenya3 Жыл бұрын
Tell them agekam huku tupotee na yeye he comforter me a lot
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 Жыл бұрын
Tuliimis sauti hiyo ya mamlaka ya kumfyatua shetani kazi iendelee Mchungaji
@jennifaonesmo602
@jennifaonesmo602 Жыл бұрын
Nakupenda SANA Kimaro achana na Ananja hata yeye alikosea akatolewa Moja Kwa Moja. We endelea kumshukuru Mungu
@user-ik5kz6gh7n
@user-ik5kz6gh7n 6 ай бұрын
Hakika huu niukuu wamungu tunauona mbele yetu mungu hawezi kukiacha peke yako asante bab umesimama naye ukuu wa mung❤❤🙏🙏
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Wanawake ni watu wa hisia sana bila tafakari ya matokeo ya matendo hayo. Binadamu tunapita, bali jina la Kristo ataishi Milele.. Viongozi wa dini tuache kuchochea hisia za watu..wafundishe kweli ya Mungu
@FaridaMleko-re2jd
@FaridaMleko-re2jd Жыл бұрын
Hatimaye Dorcasiiiiiiiiiiiiiii kuongezewa miaka mingine. Oh! Mungu ni mwema sana, nimefurahi mnoooooo kurudi kwa mchungaji.
@scolasticadamian327
@scolasticadamian327 Жыл бұрын
We love you Pastor Kimaro
@oscarnderongo-fv8wx
@oscarnderongo-fv8wx Жыл бұрын
Mungu atukuzwe mnooo katika Jina la Yesu
@jeangodelo5349
@jeangodelo5349 Жыл бұрын
Ahsante Mungu kwa ajili ya huyu mtumishi wako uzidi kumlinda na umpandishe viwango vya juu kabisa mafundisho yake yamebadilisha maisha ya wengi 🙏🙏
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Жыл бұрын
Mimi Ni FPCT Lakin mchungaji Kimaro Ni mchungaji wangu nimpendaye sana
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 Жыл бұрын
Asante MUNGU kwa kutuludishia mchungaji wetu KIMARO alleluyaaaaah ❤
@rehemamadelele5124
@rehemamadelele5124 Жыл бұрын
Kimaro kimaro Nakuombea uishi baba uishi uishiiiii Tena uishiiiii wewe hakika Na jemedari WA kanisa
@margretben6920
@margretben6920 Жыл бұрын
Jamani Dsm Kijitonyama mmebarikiwa na huyi Baba sawa na sisi tulivyobarikiwa na Mwl Mwakasege.
@janemwambungu4558
@janemwambungu4558 Жыл бұрын
Ila marasusa Mungu anakuona , kimario ww ni mnyenyekevu Sana Mungu akufikishe mbali Zaidi mtu wenye matunda ndio unapigwa mawe siku zote
@amilongjackson2066
@amilongjackson2066 Жыл бұрын
Marasusa amekosa nini
@mzarendo.com9624
@mzarendo.com9624 Жыл бұрын
Acha ujinga Ask. Malasusa, ana kosa gani nyau wewe..... 🥺🥺🥺😟😟😟😳😳😳
@rehemajuma2202
@rehemajuma2202 Жыл бұрын
Yaani mchungaji hunaga ubaguzi na dini ya MTU,halafu mungu akuinue sn,yaani riziki ya MTU huwezi ifunga,hakuna mkamilifu duniani eti unamfungia MTU asifanye neno la mungu kiss kasema ukweli ndo SBB mungu kayatenda haya ukweli utabaki kuwa ukweli congratulations mchungaji Fanya kazi ya mungu tupo nyuma yako
@judicalosika7642
@judicalosika7642 Жыл бұрын
Usilaani mpendwa. Tuombene.
@janemwambungu4558
@janemwambungu4558 Жыл бұрын
@@judicalosika7642 Amina mpendwa
@magrethpatrick8449
@magrethpatrick8449 Жыл бұрын
Shetani amegalagazwa chaliiiiiiiiiii Yuko hoi kwa paaaaale.:O😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 Жыл бұрын
Mwacheni MUNGU aitwe MUNGU, ametenda makuu SAAAANA sifa na utukufu ni kwake yeye apitaye falme zote. KARIBU BABA YETU MCHJ DR ELIONA KIMARO KKKT KIJITONYAMA KUENDELEA KUTUONGOZA TENA NA TENA, MAFUNDISHO YAKO YAMEWAJENGA WENGI KIROHO, KIUCHUMI NA KIMWILI. BARIKIWA SAAAAANA MCHJ NA MAMA NA FAMILIA YAKO. AMEN
@rosemacha8137
@rosemacha8137 Жыл бұрын
2020 alikuja na unabii wa start your Impossible aisee alinipa nguvu ya kufungua shule,,, akaja na I'm in to win it bado kwangu ikafanya kazi,,, akaja na i connect to collect Mungu akanikonect na watu sana,,,,leo tupo na tutavuka na mbao...... ooohhh this man amebeba mafunuo makubwa sana ya KIMUNGU kwa mwenye imani na Mungu. Glory to Jesus aisee
@janethpeter3844
@janethpeter3844 Жыл бұрын
God is good all the time. Anza tena na Bwana.... Tunakupendaaaa
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Жыл бұрын
Ooooh Saa 10 alfajiri watu wamemsubiri MCH Kimaro kanisani ooooh
@annamulungu2876
@annamulungu2876 Жыл бұрын
Hongera kwa kurejea Kijitonyama mtumishi wa Mungu. Mungu, akuongoze tena!
@nerryabel7512
@nerryabel7512 Жыл бұрын
Mungu ni mwema,asante Mungu kwa kumrudisha tena Mch Kimaro🙏🙏
@judymasunzu7517
@judymasunzu7517 Жыл бұрын
Anajibu Maombi X2 Bwana twakuabudu. Asante Mungu WA Utatu Kwa Kujibu Maombi yetu. Asante Uongozi DMP Kwa Uamuzi huu .
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Жыл бұрын
We love you pastor kimaro Mungu Ndio anajua
@zawadishekilango9132
@zawadishekilango9132 Жыл бұрын
Sifa heshima na utukufu ninakurudishia Mungu kwa ajili ya mtumishi wako huyu. Ambaye Mungu anaenda kutumika tena madhabahuni Pako. Damu yako ikaendelee kunena mema katika utumishi wake Amina
@nicembise902
@nicembise902 Жыл бұрын
Mungu uliye hai utukufu na heshima ni vyako milele na milele karibu tena baba yetu na hongera Sana kwa uvumilivu wako kwa kipindi chote hekima Yako na unyenyekevu wako umewashangaza wengi Mungu akuinue zaidi unastahili kuwa mkuu wa kanisa na KKKT Sasa sio mchungaji tena na hakika nakuombea Mungu akufikishe huko🎉🎉🎉❤
@frenziangella6676
@frenziangella6676 Жыл бұрын
Dr na mchungaji kimalo kiukweli hekima unyenyekevu busara ulio nawo Mungu akubariki sana na akulinde naungana na wanna kijito nyama kwa furaha hii Kipekee nawashukuru maaskofu wote pia marasusa
@ronahemmajay1477
@ronahemmajay1477 Жыл бұрын
Kuna mtu anakata vitunguu hapa🙏🙏🙏 to God be the Glory
@suechipeta4223
@suechipeta4223 Жыл бұрын
Huyu ndiye Mungu atendaye matendo makuu ya kuogofya... Tunamshangilia Bwana...
@sarahwalker5093
@sarahwalker5093 Жыл бұрын
Mungu wetu ni final say karibu tena mtumishi wa Mungu nadikia furaha na amani sana
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 Жыл бұрын
Kwahizo shangwe mtajua ninani mwenye kosa,tulivosema kaonewa tulimaanisha haya Sasa njooni muongee tena
@hildamushi1084
@hildamushi1084 Жыл бұрын
ASANTE SANA YESU KWA UPENDO WAKO KWA MTUMISHI WAKO ELIONA KIMARO.
@jesckamolel5693
@jesckamolel5693 Жыл бұрын
Kwel wanampenda mchungaji wao kutoka moyon wamefurahi sana yule adui aliyetaka kumthalilisha bila sababu ya msingi akiona hili shangwe ni kama mkiki unamchoma kwenye moyo
@ahuriladaniel9849
@ahuriladaniel9849 Жыл бұрын
Aminaaaaaa kubwaaaaaa
@happynessmbise3027
@happynessmbise3027 Жыл бұрын
Tunakupenda sana baba yetu,umekuwa mnyenyekevu sana ktk yote,tunaamini Mungu amekupandisha kiwango kingine,ubarikiwe baba
@anithambise90
@anithambise90 Жыл бұрын
Mungu asante kwa kujibu maombi yetu jina lako libarikiwe sana 🙏 Karibu Mchungaji kuna kitu Mungu kaweka ndani yako🔥🔥🔥
@hortensiamallya700
@hortensiamallya700 Жыл бұрын
Mimi ni Mkatoliki..........Tunakupenda Baba saaaaaaana .........Karibu saaaaaaaaana Baba Mchungaji.
@neemamwanga5447
@neemamwanga5447 Жыл бұрын
Waooooo baba yangu wa kiroho Mungu akutunze, ❤❤❤❤ nikikusikiliza Mara zote mahubiri yako unaniponya nafsi, nilishakata tamaa Sana kupitia youtube unaniponya nafsi Mungu akulinde nakupenda sana mafundisho yako, Mungu wa mbinguni nilinde siku moja nije kukuona live nitafurahi sana sana
@anastaziatemba5490
@anastaziatemba5490 Жыл бұрын
Jaman nami nafurah kwamachozi Asante mungu.barikiwa
@felistermhango3177
@felistermhango3177 Жыл бұрын
Glory be to God Jesus🙌🙌
@captain001kenya3
@captain001kenya3 Жыл бұрын
Huyu mgefaya one mistake uiii Kenya ingemchukua Kaa ugari moto we love this man of God
@zachariahtomemba9070
@zachariahtomemba9070 9 ай бұрын
May God bless you so much beloved Rev . pastor Eliona Kimaro Kwa utumishi mwema,Amen
@johnsonkagande428
@johnsonkagande428 Жыл бұрын
Nimefilahi sana mutu wa Mungu umerudi ktk hema takatifu Mungu akuongoze milele
@delvinalyimo8403
@delvinalyimo8403 Жыл бұрын
Glory to our Almighty God!!My heart is full of joy!!! I love you with the love of God Man of God.Endelea kuifanya kazi ya bwana kwa uaminifu mkubwa!!🙏🙏
@magdalenajoel4409
@magdalenajoel4409 Жыл бұрын
Wow mungu akutunze mtumishi umechaguliwa hakika hakuna ulimi utakaoinuka juu yako tena 🙏❤️
@joliea2956
@joliea2956 Жыл бұрын
From Saud, God is good 👍 🙏 🙌 ❤
@zariadunia6328
@zariadunia6328 Жыл бұрын
Wanawake kila sehemu mnaongoza kha nami nimefurahi sana kwa baba mchungaji kurejea ni muislam lkn nampendaga
@rhodamwafongo6660
@rhodamwafongo6660 Жыл бұрын
Karibu tena mpendwa wetu Dr Kimaro , tunakupenda saana
@ceciliaonyango5367
@ceciliaonyango5367 Жыл бұрын
Hadi raha Mungu ni mwema 🙏🙏🙏
@josephvenus3259
@josephvenus3259 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯🙌🙌🙌🙌 Amina aminaaaaa Hata Sasa Bwana anatenda. Sasa macho yangu yameamini
@karlyneden3908
@karlyneden3908 Жыл бұрын
Sifa na Shukrani nakurudishia Eee Mungu Baba ulie Hai
@joycemollel7698
@joycemollel7698 Жыл бұрын
Wamtumainio bwana ni kama mlima Wa sayuni hautatikisika milele, Hallelujah
@amanikiteve5195
@amanikiteve5195 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ambariki mtumishi wake na aendelee kuikuza karama yake
@fidelisfrank4420
@fidelisfrank4420 Жыл бұрын
Mimi ni mwana ufufuo na uzima lkn pastor kimaro namkubali na kumfatilia Sana tena karibu Sana Baba kijitonyama
@deboramuhoja1777
@deboramuhoja1777 Жыл бұрын
Maji hayazuiliwi Kwa ukuta🥰yatatoboa na kupenya tu😂😂😂Anacho kibali!! kama Mungu alimchagua hakuna binadamu atakaezuia, wamuache atumike🥰Mungu Atukuzwe sana🙏🙏🙏
@MaaneML
@MaaneML Жыл бұрын
Yaani.machozi yananitoka kabisa. Mungu ni jibu. Washarika wa Kijitonyama hongereni Sana. Askofu Malasusa tuliza kichwa na mawazo kwa Wachungaji wenye Karama. Waheshimu. Usharika huu ungekufa kabisa kwa maamuzi yasiyo na Busara. Iwe funzo kwa wengine. Uelewe tu kuwa sharika siku hizi zinakua au kufa kwa sababu ya Mchungaji aliyepo. Msirudie makosa
@stevenkiswaga1064
@stevenkiswaga1064 Жыл бұрын
Nimejikuta nalia tu Kwa furaha
@susanndesanjo7106
@susanndesanjo7106 Жыл бұрын
Sifa na utukufu ni kwa Bwana Mungu aliyeziumba mingi na nchi.Mbarikkwe watumishi na waumini wa Mungu. Yesu ndiyo kiongozi wangu.Kumfuata Yeye ni furaha.
@susanndesanjo7106
@susanndesanjo7106 Жыл бұрын
Aliyeziumba mbingu.. sio aliyeziumba mingi. Samahani
@cecygeorge4443
@cecygeorge4443 Жыл бұрын
Nimefurahi sana mpaka nimelia machozi ashukuriwe MUNGU alie juu🙏🙏 ooh Asante YESU
@annakisanga
@annakisanga Жыл бұрын
Mungu ni mwema. Sana
@mercymariki2148
@mercymariki2148 Жыл бұрын
Mungu akutunze sana Baba.....keep on going ....we love you!!!
@barakaleader1550
@barakaleader1550 Жыл бұрын
Nguvu ya umma haijawahi feli..congole Wana kijitonyama
@mariethalema1365
@mariethalema1365 Жыл бұрын
Atukuzwe Mungu atendaye makuu kuliko tuyaombayo & tuyawazayo. Welcome back baba Mchungaji wetu mpendwa Rev. Dr. E. Kimaro. We love you & we missed you very much. Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya utukufu Wake ktk jina la Yesu.🙏🙏🙏
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 Жыл бұрын
Wapiiii mchungaji Hananjaaaaaa
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Жыл бұрын
Mama mchungaji oyeeee 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@MaaneML
@MaaneML Жыл бұрын
Ebenezer amewezesha. Amen
@brysonmeena1086
@brysonmeena1086 Жыл бұрын
Jumapili hakika hapatatosha kanisani, Mungu atamuonesha baba askofu Malasusa ukuu wa Mch Kimaro
@rhoidanassibu8536
@rhoidanassibu8536 Жыл бұрын
Mungu azidi kukuinuaaaa sana Mch Kimaro.. Mafundisho yako yanatujenga sana sana
@pendorichard2986
@pendorichard2986 Жыл бұрын
Utukufu ni kwako ee mwenyezi mungu
@RoseSwai-et8zp
@RoseSwai-et8zp Жыл бұрын
Mch kimaro Umeletwa kwetu watu wote c Wana kijitonyama pekee ,ila tuliumia wengi Neema ya Mungu imekurudisha sehemu husika ,naishiwa maneno ila karibu Tena Usharika wa karanga ,mtaa wa karanga Moshi Soweto ,UTUBARIKI TENA MCHUNGAJI
@getrudejohnson
@getrudejohnson Жыл бұрын
Glory to the highest Thank u God for what u have done. For us Ua warm welcome Pastor we miss u a lot.
@maternmkomange5389
@maternmkomange5389 Жыл бұрын
Najikuta najikuta nabubujika machoz yafuraha
@naghemsuya5218
@naghemsuya5218 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe Sana jmn nimefurah Sana, Baba tunakupenda tunakupenda Tena. Unatubariki mnooo
@victoriasanga4910
@victoriasanga4910 Жыл бұрын
Mpendwa dada mwenye gauni penseli nyeupe, kwa kweli hilo gauni halina utukufu kwa Mungu, hata kwa wanadamu
@rebekamwinuka6058
@rebekamwinuka6058 Жыл бұрын
Nikweli kabisa huo sio utukufu kuvaa nguo ya aibu kanisani.
@judicateshuma3688
@judicateshuma3688 Жыл бұрын
Tafadhali sana wakinamama muwe na adabu kanisani mnavaa nguo ambao sio za uchaji mbele za watu namungu acheni wendawazim
@ndennkya9554
@ndennkya9554 Жыл бұрын
😁😁
@hopesengo6972
@hopesengo6972 Жыл бұрын
Ahsnte sana kwakuliona hilo🙏🙏🙏
@rebekamwinuka6058
@rebekamwinuka6058 Жыл бұрын
Halafu bila aibu anakimbia mbele kabisa ya madhabahu
@delverosedastan5730
@delverosedastan5730 Жыл бұрын
Sifa na utukufu ni kwako Mungu wetu,ulinzi wako ukawe juu ya mtumishi wako Eliona Kimaro
@rezegerezege691
@rezegerezege691 Жыл бұрын
Kiriririririiiii am happy because my Daddy is back. Glory to God.
@josephvenus3259
@josephvenus3259 Жыл бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah!!! Sifa na utukufu ni kwa Mungu
@nkamangi4707
@nkamangi4707 Жыл бұрын
OH MY GOD SIJUI WHY NIMELIA SANAA
@hellenmmassi5336
@hellenmmassi5336 Жыл бұрын
Nkamangi kida maa?....
@nkamangi4707
@nkamangi4707 Жыл бұрын
@@hellenmmassi5336 kido Mmassi shimboni ewe mae kibo
@rosemshana1712
@rosemshana1712 Жыл бұрын
Mungu Akubariki sana mchg Kimaro. Nimefurahi sana kwa jinsi ulivyojishusha na kuomba msamaha. Na Mungu akakujibu. Nakuombea maisha marefu katika kazi ya BWANA
@rosemarymwengele3778
@rosemarymwengele3778 Жыл бұрын
Mungu wetu ni mwema 🙏 Hakika ni furaha kubwaaaaa mnooooo🙏
@lindamoshi3013
@lindamoshi3013 Жыл бұрын
Mungu wewe ni wa ajabu sana...Mungu aendelee kukutumia tubarikiwe
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Upendo una nguvu sana kuliko imani. Naangalia leo 20.3.2023 nikiwa kibaha mkoa wa pwani.natamani kimaro siku moja aje kuwa mkuu wa kkkt tuone atabadili nini
@rebekamwinuka6058
@rebekamwinuka6058 Жыл бұрын
Mungu akubariki mch. Kimaro
@hilarymark7583
@hilarymark7583 Жыл бұрын
Ubinadamu wetu usitufanye tukatae vile vitu Mungu alivyoweka kwa maana maalum kwa watu wengine
@SelinaNiinah-gn2qd
@SelinaNiinah-gn2qd Жыл бұрын
Asante sana mchg huwa na barikwa mahubiri yako
@MaaneML
@MaaneML Жыл бұрын
Nimejifunza unyenyekevu mkubwa Sana kutoka kwa Mchungaji Kimaro. Ninamuona kiongozi mkuu wa KKKT miaka ijayo.
@emmanuelrutaihwa6545
@emmanuelrutaihwa6545 Жыл бұрын
Mch Kimaro tunakupenda kwa kuwa unajua kutuombea kwa Mwenyezi Mungu. Tunamwomba Mwenyezi Mungu asikie maombi yako uliyomuomba kwa ajili yetu. Amen.
@kelvinmwacha129
@kelvinmwacha129 Жыл бұрын
Glory to God Wana Kijitonyama Hongereni Sana kwa Matendo makuu ya Mungu aliyowatendea kwa kurejea Tena kwenye Utume na Kazi ya Mungu.....
REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO I
34:28
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 11 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: IMANI NA SOKO
1:55:37
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 24 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 37 МЛН
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 54 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 96 МЛН
IBADA YA KUSTAAFU MCH. LEWIS SHEMKALA
14:13
KKKT DKMS USHARIKA WA MAKORORA
Рет қаралды 78
Dr. IPYANA  Suprise visit to Tuesday worship Moments
30:26
Worship Moments with Sarah K
Рет қаралды 427 М.
KUTENGENEZA UTAJIRI WA WATU FULL VIDEO - JOEL NANAUKA
49:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 28 М.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 697 М.
HARUSI YA MTOTO WA MCH ELIONA KIMARO WA KIJITONYAMA DAR
9:16
Mc Kaka Mtumishi
Рет қаралды 234 М.
REV ELIONA KIMARO - SAFARI YA KUWA WEWE (OFFICIAL VIDEO)
1:27:35
Chapeo La Wokovu
Рет қаралды 10 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 37 МЛН