Honger san mmenikee kushika shela anashindw kujiachia
@honorathapaschal15232 жыл бұрын
Hongera sana mch kimaro Umekuza mchungaji
@mariagabba84012 жыл бұрын
Hongera Sana Dr na Mchungaji Kimaro kwa Kuozesha
@SporahEmmanuel-gc7lw Жыл бұрын
Waoo!! mungu awatangulie katika ndoa yen pia mkavumiliane na ndoa yen iwe mbingu ndog
@vailetheanyambilile97492 жыл бұрын
Mtumishi kimaro ana watoto wengi sana Hongera mchungaji kidago
@aidashukuru53352 жыл бұрын
Wooooh Hongera kwao pia HONGERA kwa baba mchungaji KIMARO kwa kuozesha Mungu ampe baraka zote binti yako katika maish yake ya ndoa hakika ilipendez sna MBARIKIWE
@beatricepallangyo28212 жыл бұрын
Bwana Yesu Awabariki sana Mchungaji Kindago na Bibi Harusi . Mchungaji Dr. Kimaro na Mama Mbarikiwe sana
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Mtumish umejua kuchagua jaman hongra naamin yupo vizur adi rohoni Mungu awatunze
@phoebemmanga60472 жыл бұрын
Hongera sana Mch. Emmanuel Kidago kwa kuoa! Kweli Baba wa Kiroho hajazaa mapooza. Mmependeza mno mno MUNGU AIBARIKI NDOA YENU.👌👌👌👌🙏🙏🙏🙏🙏😍😍😍😍😍
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Hata hajazaa mapooza🤣🤣🤣🤣huendi mbinguni
@sophiamogitu5582 жыл бұрын
Hongereni sana, watumishi wa Mungu, Mungu awabariki sana mzae sana pia tuishi maisha marefu,na mpendeze sana
@user-hl4rw9xe3u2 жыл бұрын
Hongera mchg kidago mungu akutangulie katika maisha mapya
@neemamwekwa7384 Жыл бұрын
my class mate kd😍😍 mchungaji kidagoo
@heavenlight50842 жыл бұрын
Waooo! Hongera sana ma lovely dady
@amenaameeena3317 Жыл бұрын
Ukweli kapata jiko la umeme mzuri sana binti
@sweetluc26602 жыл бұрын
Hongera Mchungaji kidago Hakika Mungu amekupa Mke mzuli
@sarahwawuda51642 жыл бұрын
Hongera sana mchungaji kidago Mungu aibariki ndoa yenu
@gracealexander14502 жыл бұрын
Hongera sana MUNGU AWABARIKI SANA katika ndoa yenu
@daughterofgod91852 жыл бұрын
Hongera sana Mchungaji Kidago kwa kupata msaidizi Mungu awabariki na kuwalinda ndoa yenu iwe ya amani na mafanikio🙏🏽
@invocavitmbise52962 жыл бұрын
Very interesting..ikawe heri kwenu
@hilgathjoshua88042 жыл бұрын
Hongera sana rev Emmanuel kidago❤💐🌷🌷
@crytonsijaona61642 жыл бұрын
Mbarikiwe wapendewa, mtangulizeni Bwana daima katika maisha yenu. 🙏🙏🙏
@MsAggie52 жыл бұрын
Hongera sana mchungaji Kindago kwa kuoa, mkeo mzuri unajua kuchagua 😂 Mungu awabariki muishi maisha mema yenye baraka zote. Hongera baba mtumishi mchungaji Kimaro kwa kuozesha
@p2p7002 жыл бұрын
Hongera Sana Mchungaji na Mama Mchungaji Kidago.Na iwe ndoa yenye Baraka zote za Mungu Katika Jina la Yesu. Looks Gucci👏👏
@eutropiangido96842 жыл бұрын
Hongera mtumishi Mungu awabariki.
@rahabnkya82762 жыл бұрын
Saaaaaaf saaana ,kumbukumbu nzuri maishani . HALELUYAAA AAAAH hongera saaaaaana BWANA NA BIBI , MCHJ KINDAGHO. NIMEFURAHI PIA KUMWONA MCHJ DR ELIONA KIMARO KKKT KIJITONYAMA AKIONGOZA KWA MADAHA NA BASHASHA, WANAYE HAO WALIOOANA. IMEPENDEZA HIYO KWELIKWELI. BARIKIWA SAAAAAANA
@prisca27742 жыл бұрын
Bibi harusi mzuri jamani! Hongera zao, matunda ya Roho Mtakatifu yakaonekane katika ndoa yao katika jina la Yesu!
@phoebemmanga60472 жыл бұрын
Hongera sana Mch. Dr. Eliona kwa Harusi ya mtoto wako wa Kiroho Mch. Emmanuel Kidago. Mmependeza mno mno. MUNGU NI MWEMA awalinde. 👌👌👌👌👌🙏🙏🙏🙏🙏😍😍😍😍😍
@lilomondi66972 жыл бұрын
Honger sn MC KAKA MTUMISHI uko vzr
@rogersodero70422 жыл бұрын
Congrats Emmanuel kindago .
@zawadimeiyan6772 жыл бұрын
Hongera sana classmate, Julieth ngowi.....Adi humu umo.....umetishaaa
Hongera sana watumishi wa Mungu, mmependeza sana, Baba Mchungaji ni mnyenyekevu sana.
@bridgetmbawala10292 жыл бұрын
God bless this couple.
@mercykimuto98822 жыл бұрын
Hongera sana Mchungaji Kimaro
@dadarehema2 жыл бұрын
Wooow 🔥🔥🔥
@rosekimath2614 Жыл бұрын
Huyu mc ni msengeremaaa😏😏😏
@perrywanjiru27542 жыл бұрын
Hongera mtumishi kindago
@thabeamiage53762 жыл бұрын
All the best dear
@Linda-lr1lu Жыл бұрын
Hao masai wamenoga👌
@gloriajeremiagloriajeremia81582 жыл бұрын
Waooh Emmanuel kidago kaoa congratulation
@annamulungu28762 жыл бұрын
imependeza sana ! ila nashangaa sana wanaoenda na watoto ukumbini tena usiku 😒
@lightnesstemba17192 жыл бұрын
Hongera sana
@stanleymhozi7590 Жыл бұрын
Barikiwa
@haikaelmamuya9312 жыл бұрын
Hongera Sana Rev huyu ndiyo Mungu mtoto wa kike na Baba Ila wakati umefika nampongeza sanaaa mdogo wangu naendelea kukuombea
@mariamundomba6870 Жыл бұрын
Mungu aidumishe ndoa yenu
@basilisamsaka84692 жыл бұрын
Mchungaji mgogo upooooooooo!!!
@magdalenatuseko53942 жыл бұрын
Hongera Sana jamani mmependeza
@happygibson65922 жыл бұрын
Wooow namuona mtumishi Goodluck ktk ubora wake 😀😀
@priscadanny26232 жыл бұрын
Wow! Mungu awe mtangulizi wenu kwa kila jambo🙏
@minaelnathanael18462 жыл бұрын
Hongera sana binti wa Mchungaji kwa kuonesha mabinti mfano wa kuigwa
@joshuagole85282 жыл бұрын
Wahoooo jaman umetoa fundisho binti mzur
@andrewmwaliyenga77062 жыл бұрын
Juice ximepamba meza tu
@priscerjohn57882 жыл бұрын
Mbona wachaga tu,ndio wanaolewa jmn☺️☺️
@vemchannel20182 жыл бұрын
Hongera
@jannyneto52612 жыл бұрын
MUNGU awatangulie.
@edwinnyangweso53602 жыл бұрын
Love the way she dance the gospel song
@anicyaedward56052 жыл бұрын
Wooooh congratulations my best pastor ever ..
@neemaneema99692 жыл бұрын
Nawaona na Kina Mama wa Kimasai
@chiomanonso2742 жыл бұрын
Nimefurahi
@edwinnyangweso53602 жыл бұрын
HARUSI SAFI
@juliethobedi57462 жыл бұрын
Jamani Huyo Dada anaitwa julieth ngowi
@soberkaleya51482 жыл бұрын
Marko 12: 13 Wakatuma kwake baadhi ya Mafarisayo na Maherodi, ili wamnase kwa maneno. *MANENO YOYOTE ADUI ANAYOTAKA KUTUNASA NAYO, TUNAYAFUTA, TUNAYAVUNJA, TUNAYAHARIBU, TUNAYATEKETEZA NA KUYAANGAMIZA KWA JINA KUU LA YESU!!! TUNATAMKA BARAKA, MAFANIKIO NA USHINDI MAISHANI MWETU DAIMA!!!*
@happiefrancis88242 жыл бұрын
Hadi raha hongera baba binti hajakuaibjsha now wengi wanajipeleka sogea tuishi Mungu ni mwema
@dorcaskidoti249 Жыл бұрын
Kumbe mabadri wa makanisa mengine huwa wanaruhusiwa kuowa?
@happynesskisamo2958 Жыл бұрын
Naomba kujua kama hao maids wanakodishwa????
@floranceh53332 жыл бұрын
💋💋💞😘😘🇰🇪
@marymashina78882 жыл бұрын
Mtoto wa Mchungaji ni kijana sio binti naye pia ni Mchungaji. Ni ktk wale watoto wake aliowalea
@dorcaskidoti249 Жыл бұрын
Jmn mm nimeuliza huyu Dr kimaro ni badri au mchungajii? Najuwa mapadri hawaoi kumbe ni mtt alie mlea?
@rahimaaaaa8699 Жыл бұрын
Mbona wadada weusi sioni kuolewa ?
@estherwilliam37582 жыл бұрын
Very nice❤️❤️❤️
@ellyrwezaula8862 жыл бұрын
Huyo mchungaji mbona anakatika sana jamani
@miriamalute15402 жыл бұрын
Kakatika wapi jamani
@reubenmuganyizi8537 Жыл бұрын
Ahaaaaaa
@lynelee58462 жыл бұрын
Aiseee kupendwa rahaa💕🥰 hivi mmeona baba anavyomtazama mwanawe?? 😄😄😄
@rostalameck66402 жыл бұрын
Ehe nimeona
@happykisota94452 жыл бұрын
Nimeona daah!!
@MCShedo Жыл бұрын
Hii ilikuwa nzuri sana mtumishi
@vj83132 жыл бұрын
Ni mtoto wake kabisa? Au wa kiroho
@miriamalute15402 жыл бұрын
Mtoto wa kumlea
@andrewsam3642 жыл бұрын
Nauliza tu.Dada zetu bint zetu mama zetu bila kuchonga nyusi namarangi meng machon hampendez?mch.wetu kimaro hii imekaaje?
@robimgendi61472 жыл бұрын
Ni mazoea mabaya
@joycehaule97172 жыл бұрын
Wambea nyie kaeni kimya kwa jina la YESU ,
@hafsahussein5052 жыл бұрын
Niljua tu ni baba yangu hapendi makeup💄, kwa sababu ameshika sana dini...... Kumbe hadi baadhi ya wakristo hampendi pia
@robimgendi61472 жыл бұрын
@@joycehaule9717 we nawe sasa,,hivi jina la Yesu linatumika vile wewe unajiskia tu kulitumia. Kuwa na adabu basi,,mwenye harusi yake kajibu kistaarabu we unakurupuka tu 😏😏
@emmanuelbitulo31062 жыл бұрын
@@joycehaule9717 we nae chef
@olivermushi94052 жыл бұрын
Kiukweli harusi ni Baraka Ni Jambo jema ila kwa hii miondoko ya maharusi wa kizazi kipya ndg yangu!! Duuuh🤭 yani hata ile aibu hat ya unafk mbele ya wazazi na viongozi wa kiroho hakunaga,yni kama vile baadhi ya maharusi walishazoeana vile.
@hidayaswai31192 жыл бұрын
Aibu ya nini sasa km mmeamua kuliweka hadharani. Ulikuwaga ni unafki na ushambahata si aibu
@beatricepallangyo28212 жыл бұрын
Bwana Yesu Awabariki sana Mchungaji Kindago na Bibi Harusi . Mchungaji Dr. Kimaro na Mama Mbarikiwe sana
@pulikisia79632 жыл бұрын
Wote wazuri sana,watafanana muda sio mrefu.
@neemajulius12562 жыл бұрын
Hongera sana
@mariamnimbo83942 жыл бұрын
Hongera sana Dr Mchungaji Kimaro. Mungu awabariki maharusi, ndoa yao izidi kubarikiwa.