Mashaallah kiukweli dalsa zako nzuri nimesaau had darsa za Othman maalim kweli Othman Michael Allah akuzidishie elim naakujalie usiwe mchoyo wakutupa elim adim adim
@artisthusnatalal30995 жыл бұрын
*SubhanaAllah hii mawaidha imekuwa published the day of my Birthdate 20th July na inazungumzia kumhusu kipenzi chetu Muhammad swallallahu aleyhi wa salam na nilizaliwa siku ya jumapili wakati wa maghrib kuingia siku ya juma tatu aliozaliwa mtume Muhammad swallallahu aleyhi wa sallam. HII NI SIKU SITOISAHAU KAMWE MAISHANI MWANGU SUBHANA ALLAH!*
@mohamedkassim82314 жыл бұрын
Mamb
@yusuphmruma17714 жыл бұрын
mwenyezimungu anijalie nafsi yangu pamoja nawaisilam wote na ww shehe atusame dhambi zetu na atuingize peponi kwaidhini yake
@faridahalwaily855 жыл бұрын
MashaAllaah Allaah Akubareek na kukuhefadhi. Yarrrrraaab
@abadialbalushi9445 жыл бұрын
Yaa Rabiii tunakuomba utukutanishe na mtume wetu peponi in shaa Allah
@ahmadmuhammad64364 жыл бұрын
Aajib 👌 kabisaa barakallah ya habiiib
@alqurankareem51515 жыл бұрын
mashaAllah huyu sheikh mawaidha yake matamu sana yanafanana kama sheikh othman maalim Allah awazidishie umri masheikh wetu tupate faidha kwao
@samsacute86725 жыл бұрын
Usisawu Shekhe nasiye tunataka kuwona kipenzi cetu Rasulullah ( S A ) Allah agukumbushe utufunze Isha Allah
@jasminyiddysulaiman98074 жыл бұрын
Maashallah tabaraqarahman..wallah nanufaika na darsa zako
@nadiamashimba1195 жыл бұрын
Napenda mawaidha yako hayachoshi masha Allah. Kama otmna maalim
@samsacute86725 жыл бұрын
Maashallah
@jasminjuma63903 жыл бұрын
Mashaa Allah tabarakallah
@omani10784 жыл бұрын
Masha Allah .Masha Allah
@aminaathumani41564 жыл бұрын
Mashaala 👌
@mira-gq3qg5 жыл бұрын
Twakupenda sana shekh wetu kwa ajili ya Allah
@nasrinashuruty76505 жыл бұрын
Masha Allah.Allah akujalie iwe katika mizani yako hasanat yaumul qiyama.Ameen
@yusuphumohammed58335 жыл бұрын
Mashaalah Allah akuzidishie
@seluwahabdull72235 жыл бұрын
Amiin dua zako zitakubaliwa na mungu akuzidishie umri uzidi kutukumbusha in sha allah
@papaahussein95904 жыл бұрын
Mungu tuongoze kwenye njia ilyonyooka
@rashidimrangi195311 ай бұрын
Mashaallah shekhe wang nakupnd kwsjil ya mola wetu mlezi allah akujali akupe uzima na umri mrefu
@ashiraally5275 жыл бұрын
Mashallah
@munaibrahim61005 жыл бұрын
MashaAllah
@ayoubnazir14935 жыл бұрын
Mawaidha mazuri sana, Allah akupe kila la khair
@fatumaramadhanmashaallahal99665 жыл бұрын
Shukran wajazaka llahu heri
@jinajuma66855 жыл бұрын
Mungu akuzidishie elimu uzidi kutuwaidhi akusamehe makosa yako
@karistkanuti27474 жыл бұрын
Nakupenda sana Sheikh kwa akili ya Allah,,,napenda sna cku 1 niwe kama ww,Inshaallah
@mira-gq3qg5 жыл бұрын
Mashallah Shekh wetu usisahau sisi pia tunahamu kubwa sana yakumuona kipenzi
@mohammedhassanabdulkhadir7613 жыл бұрын
Masha Allah
@halimaramadan64065 жыл бұрын
Subhana Allah jazzakah llahu kheir Sheikh
@rashidbusanya71665 жыл бұрын
Sheikh shukran sana kwa somo lako kwahakika nimefaidika sana na nimejifunza vitu ambavyo sikuwahi kuviskia kwanzia nizaliwe haya masomo tuletee sana sheikh yamesaulika sana ALLAH AKUPE MWISHO MWEMA SHEIKH WANGU KIPENZI NAKUPENDA KWAJIRI YA ALLAH
@nuratiloyi48514 жыл бұрын
.nakupenda san mungu akulipe heri
@salimzumo19885 жыл бұрын
asalaam alaykum warahmatullah wabarakatul sheikh othman tunaomba kisa cha israh na miiraj in shaa Allah
@sharifasaid9064 жыл бұрын
Shukurani
@kijanaabdu77325 жыл бұрын
Dah huyu othman maalim au othman michael..?
@rashidbusanya71665 жыл бұрын
Kijana Abdu michael
@ZainabJolie4 жыл бұрын
Shekh mada zako nzr mashallah ila kuna baadhi ya sehem unakosea. Mtume sca w alikua hatambui kilicho ndani ya nafsi ya mtu mpaka Allah amshushue wahi . Mie mwanafunzi tu kama nmekosea nisahihisheni shukran
@aminamichael17064 жыл бұрын
usikatae mtume alikuwa anajua mambo ya ghaib japo ni kwa idhn ya allah mf ni pale alipopita kwenye kaburi na kusema huyu mtu humu ndani anaadhibiwa kutokana na chachizo za mkojo
@ahmadmuhammad64364 жыл бұрын
habib assalam aleikum ALLAH AKuhifadhi..tunaomba siri za kupata kumwona habibii wetu muhammad ndotoni..tafadhal
@TeamKRX5 жыл бұрын
Si kwa ubaya bismillah sasa ii Michael ni jina lala baba na ni muslam
@issaramadhani97145 жыл бұрын
Jina la baba yake mzazi na yeye alipata uwongofu akasilimu kuwa muislamu na Leo tunanufaika kutokana na yeye huu ni Muujiza wa neema ya Uislam,utadhani alizaliwa ktk Uislam na akalelewa ktk Uislam muda mchache amepata Neema ya Uislam na fawaiyda ndio hizi na akalelewa ktk harakat za Ki da'awah wa'tabligh..Allah amjazie kheyri nyingi
@iddikibera96115 жыл бұрын
Rausa Bani h
@halimaramadan64065 жыл бұрын
@@issaramadhani9714 amiin yaa Rabb Maa shaa Allah
@monacitym50664 жыл бұрын
@@issaramadhani9714 Aamiin yarabb
@halimakalinga77643 жыл бұрын
MashaAllah walah najifunza san kwak shekh Allah akufanyie wepes inshaallah uzid kutufunza InshaaAllah