MIZUKA YA PACOME 🙌 LIGI IANZE TU! ONA TIZI LAKE HAPA AKIJIFUA BILA KUCHOKA

  Рет қаралды 46,239

Yanga TV

Yanga TV

27 күн бұрын

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi #Pacome

Пікірлер: 99
@patridabernard9148
@patridabernard9148 26 күн бұрын
Namuomba Mungu mwenye rehema awape nguvu na uwezo mkubwa ili tufanye vizuri katika Kila ligi yaan ngao,lig kuu, clab BINGWA , Toyota cup na shirikisho tubebe makombe yote katika jina la YESU kristo Amen
@patricklaiton8939
@patricklaiton8939 26 күн бұрын
NEXT BIG NAME IN NBC PREMER LEUGUE
@user-cv4yi5hz9b
@user-cv4yi5hz9b 26 күн бұрын
All the best My team 💚💚💚💚💚✅🤲🏻🤲🏻🤲🏻🏆🔜🔝✌🏿
@user-ok3bc8of5q
@user-ok3bc8of5q 26 күн бұрын
Pacomeeeeeeeeee tuna kupenda sana wanchiiiii love you
@veelmng7746
@veelmng7746 26 күн бұрын
Mungu awape afya njema wanajeshi wetu. Juhudi hizi zitatulipa sana msimu huu.
@hashimkakozi7752
@hashimkakozi7752 26 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko Tujitahidi kulipa ada zetu ili furaha idumu daima
@amaniomar1755
@amaniomar1755 26 күн бұрын
Wewe ni mtu wa maana sana na umeongea kitu cha maana sana
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 26 күн бұрын
Tutajitahidi kufanya hivyo 🎉🎉🎉
@josephathmeijo8094
@josephathmeijo8094 26 күн бұрын
Umeupiga mwingi sana😂
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 26 күн бұрын
Safi sana
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 26 күн бұрын
Mungu Muweza yote awapiganie katika kila hatua
@imanikubwa2896
@imanikubwa2896 26 күн бұрын
Nakuombea Sana Pacome asipate majeraha kabisaa Halafu awe vizuri kiakili na kimwili
@barakawabuge5285
@barakawabuge5285 26 күн бұрын
Eeh Mola mwepushe Pacome na adha ya majeraha msimu huu
@GodwiniFwelo
@GodwiniFwelo 26 күн бұрын
Hadi raha
@faridaamenye8405
@faridaamenye8405 26 күн бұрын
Daah napenda sana timu yangu
@amaniomar1755
@amaniomar1755 26 күн бұрын
Zidane wa Africa 🎉🎉🎉
@user-yh5bg5ds7k
@user-yh5bg5ds7k 26 күн бұрын
My team 💚💛💚💛
@user-he7ke4vh2b
@user-he7ke4vh2b 26 күн бұрын
Timu kubwa mambo makubwa
@andersonbruno6255
@andersonbruno6255 26 күн бұрын
🔥🔥🔰🔰 Professor pacome
@revocatusandrew2356
@revocatusandrew2356 25 күн бұрын
Mwenyezi mungu uwlinde wachezaji wetu na wale wote wenye husuda
@cynthiapwani1383
@cynthiapwani1383 26 күн бұрын
Mungu tulindie team yetu yanga❤❤❤🎉
@danyboytz2744
@danyboytz2744 26 күн бұрын
Pacome 💚💛💯
@Allyjully98
@Allyjully98 26 күн бұрын
Watasema tu kama chama ni Mzee au wao ndo wanaukataa uzee 😂😂
@MoajGraphics
@MoajGraphics 26 күн бұрын
Huyu ndiye atakuwa shujaa wa msimu ujao
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 26 күн бұрын
Sahihi kbs. Pacome ataimbwa sana. Narudia pacome zouzou ataimbwa sana ni moto wa kuotea mbali. Muda utasema tusubiri
@ceciliadaudi1632
@ceciliadaudi1632 26 күн бұрын
Surely 🎉🎉🎉🎉
@kanyeshahigirimana5686
@kanyeshahigirimana5686 25 күн бұрын
Inshaallah Amin na iwe hivyo
@user-ue1xd9rv8p
@user-ue1xd9rv8p 25 күн бұрын
Emwenyezi Mungu awatangulie katika mashindano yote
@revocatusandrew2356
@revocatusandrew2356 25 күн бұрын
Mungu awaepushie mbalimna majeraha kipindi chote cha msimu
@AbbasPuyaga
@AbbasPuyaga 26 күн бұрын
YANGA FIRE 🔥
@aishabakari8040
@aishabakari8040 26 күн бұрын
ROHO ❤️
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 26 күн бұрын
Kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@stapinuswilliam860
@stapinuswilliam860 26 күн бұрын
Prof
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Aziiz 🎉🎉🎉
@kelvinshao2888
@kelvinshao2888 26 күн бұрын
let's go
@bakariomarimndeme6059
@bakariomarimndeme6059 26 күн бұрын
Alafu eti kambi Misiri ya nini.
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 26 күн бұрын
Wee pacome weeee hadi rahatupu kipenzi cha wana yanga
@bongodata
@bongodata 26 күн бұрын
Njooni Tuangalie Bonog Data
@kassimchuo5290
@kassimchuo5290 26 күн бұрын
All the best to my lovely team yangaaaaa all the way from QATAR penda Sanaa yangaaaaaaaaaa
@ntakakasendebayi9992
@ntakakasendebayi9992 26 күн бұрын
Love you yangasc💚💚💛💛🔰
@revocatusandrew2356
@revocatusandrew2356 25 күн бұрын
We love u man
@patridabernard9148
@patridabernard9148 26 күн бұрын
Naomba mungu awalinde na majeraha na kitu chochote kibaya na wenye macho ya husda pia
@sofiamsuya2254
@sofiamsuya2254 26 күн бұрын
Atawamalizaaaa
@user-ql2hc7zt6b
@user-ql2hc7zt6b 26 күн бұрын
Muda wa kazi
@malietamaliet
@malietamaliet 26 күн бұрын
😂😂😂mwenye Ako karibu na pacome amuulizie anatumiaga Nini meno yake adi yanakua hivo nimechoka kua mmasai uku mm ni mkurya
@Enock-sy2en
@Enock-sy2en 26 күн бұрын
Acha maswal ya kijinga ww
@MirumbeMarwa-eo2yl
@MirumbeMarwa-eo2yl 26 күн бұрын
Kama huna Cha kusema unakaa kimy
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 26 күн бұрын
​@@MirumbeMarwa-eo2yl😂😂😂jamani kilamtu ana uhuru wa kuzungumza😂😂😂
@malietamaliet
@malietamaliet 26 күн бұрын
@@MirumbeMarwa-eo2yl ubwaa wewe nitolee kiele ele chako nimekuuliza wew na domo kama mwijaku ninyamaze umeninunulia bundle maku we na uyo mwenzako
@malietamaliet
@malietamaliet 26 күн бұрын
@@Enock-sy2en kijinga vip mm nimejisikia kuccoment hivi na sio kwamba Niko serious ningekua serious nisingeweka emoj za kuvheka ila nyie ndo mnajiona mnajuaga Kila kitu hapa mtandaon kama mnaleta usilias uku mtateseka sana
@user-lz1dw3dm5g
@user-lz1dw3dm5g 25 күн бұрын
Tuwaombee sanaa wachezaji wetu
@richardmaziku246
@richardmaziku246 26 күн бұрын
Mpenii no 6 ..auu 11
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 25 күн бұрын
Yanga 🔥🔥
@apolnaryjohn92
@apolnaryjohn92 26 күн бұрын
Good job idara ya habari maudhui🎉🎉🎉 mko juu sana ata kwa antenna hawawafikii🎉😂😂
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Max🎉🎉🎉🎉
@Adrianolaurian
@Adrianolaurian 26 күн бұрын
Munataka wasilete timu😮
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Sure boy🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Mzizeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Nkane🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Job doc🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Pacome 🎉🎉🎉
@DittoAlly-er5yz
@DittoAlly-er5yz 26 күн бұрын
Yanga raha sanaaa
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 26 күн бұрын
Bacca ana vaa namba 2 lakini naona leo ame vaa azizi andambwile
@user-lz1dw3dm5g
@user-lz1dw3dm5g 25 күн бұрын
Wawooooo
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Kibabage🎉🎉🎉🎉
@elikindomondo3569
@elikindomondo3569 25 күн бұрын
💚💚💚💚💚💚
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Yaooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Capten 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mwamnyeto🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Chama🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Muda🎉🎉
@fabianmwinuka1395
@fabianmwinuka1395 25 күн бұрын
Acha vyuma viongee
@DatyVena-ph3sz
@DatyVena-ph3sz 26 күн бұрын
el professor
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 26 күн бұрын
Farid🎉🎉🎉🎉
@RozaliaStanslausRaphael-zw7zj
@RozaliaStanslausRaphael-zw7zj 26 күн бұрын
Kwa haya mazoezi kama hajafa mtu kwa majirani sijui
@allysinde6208
@allysinde6208 26 күн бұрын
Kuna mchezaji kavaa jezi ya Bacca.. Halaf Bacca mwenyewe haionekani.. Kulikoni jamaniii.. Msituambie eti wachezaji wanavaliana jezi😢
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 26 күн бұрын
Uongozi unajua zaidi wewe lipa ada yako
@jovinmashauri7883
@jovinmashauri7883 26 күн бұрын
tulia bacca yupo sana kashaongeza mkataba
@RehemaDavid-f2l
@RehemaDavid-f2l 26 күн бұрын
Hyo ni kawaida2,mbna Chama kavaa jezi no 10 ambayo ni ya pacome?, kwahyo ni kawaida2,icwaze baca yupo
@AntonyNdayanse
@AntonyNdayanse 26 күн бұрын
Tukutane 8 8
@onesmomnyeke3477
@onesmomnyeke3477 26 күн бұрын
Aucho yupo wapi
@paulclementmakune3661
@paulclementmakune3661 26 күн бұрын
Aucho Baka Azizi Gift Msonda hawajaripot
@onesmomnyeke3477
@onesmomnyeke3477 26 күн бұрын
Maana tuseme ukweli bila aucho kuna mechi tutapoteza point
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 26 күн бұрын
Kikubwa wawepo tu wasiondoke Ndiyo wasiwasi wetu
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 26 күн бұрын
Kalipieni app maswali humu hayasaidii
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 26 күн бұрын
​@@onesmomnyeke3477lipa app upate taarifa
@FrankMlaponi-hz4ns
@FrankMlaponi-hz4ns 26 күн бұрын
Vitaro wameyatimba
@user-pw6rn5jn2q
@user-pw6rn5jn2q 26 күн бұрын
Mabingwa wa kila muda
@kmuhema2021kmuhema
@kmuhema2021kmuhema 25 күн бұрын
aaaa
@pambaboniface1199
@pambaboniface1199 26 күн бұрын
Ipo siku jitu litakufa 8-0
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 26 күн бұрын
Wananchi! İbrahim Bacca na mkude hawajaripoti?🙏🙏🙏
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 26 күн бұрын
Nenda kwenye app
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 26 күн бұрын
App lipia kaka
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 25 күн бұрын
@@zakiakondo2849 nalipiaaaa mdogo wangu! Unajua na mm pia ni Ukoo wa KONDO
@user-yh7bn1jg9o
@user-yh7bn1jg9o 25 күн бұрын
Mbona namba ya bacca amevaa mchezaji mwingine ndio wametunyang'anya nini
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 26 күн бұрын
Aisee hii yanga bwana league ianze tu ila jamani mkude yuwapi na musonda?
@user-ue1xd9rv8p
@user-ue1xd9rv8p 25 күн бұрын
Mnona Baka aonekani na msonda kulikoni
@chollejr_
@chollejr_ 25 күн бұрын
Alaf aje aguswe mtu mseme faulo
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 43 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 10 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 208 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
YANGA UYU MTU WENU VIPI?🤣🤣🤣🙌🙌🙌
1:21
Tit_4Tat
Рет қаралды 10 М.
Легендарный прыжок 😱
0:15
Story-Bytes
Рет қаралды 8 МЛН
#msstudiokz #бокс #boxing #shorts #чемпион
0:19
MS STUDIO KZ
Рет қаралды 344 М.