Huyu sheikh ni chemchem ya elimu Allah atuwekee tufaidike na elimu Allah alomjaalia.
@abdulbandari1551Ай бұрын
Wanakataa technology na swala wanatumia saa..
@user-lm3lt7xx6lАй бұрын
Shekhe mselem fundi ALLAH akuhifadhi
@muhidinally3753Ай бұрын
Sheikh Mselem Ali Allah akuweke tupate faida ya dini ya Allah. You are very eloquent. Hakika hili halina ubishi. Yaani kwa mtazamo wa watu wengine ina maana mwaka mmoja kuna sehemu una siku nyingi na sehemu nyingine una siku chache very impossible. Turejee kwenye Quran miezi 12 imewekwa ili tupate ufahamu wa tareikh, matukio na tuongozwe kwenye ibadat za msimu. Tunakushukuru Sheikh. Allah akupe jazaa
@braqutourssafaris4672Ай бұрын
Sasa Kwan Saudia anaangilia mwez au wana kalenda yao?tayr Wana ijua idy had ya elfu 2030 kisha halafu kat yenu nyie na wakina ibn baz na ibn taimia Bora ni wap yaan wao Wana sema Kila watu Wana muandamo wao ila nyie Ndio mpinge.
@abuuaisha6110Ай бұрын
Nimefurahi sana kwa bayana yako sheikh kuhusu siku ya arafa
@fatmaZakiyaАй бұрын
Allah akupe umri mrefu sheikh uzidi kutuelimisha, amiin
@abuuaisha6110Ай бұрын
Amiin yaarabal aalamiin
@chiamamy8167Ай бұрын
Amiin
@khamismussa6258Ай бұрын
Masha Allah, ipo haja masheikh wasome elimu za kidunia pia
@Allyrumhy-ji2voАй бұрын
اللهم علمنا ما لا نفهم،،وفهمنا ما علمتنا،،،بارك الله فيك.
@SaidshariffShariffАй бұрын
Masha-Allah ndugu zangu tuketi chini tusome zaidi. Shukran sheikh Msellem
@BIGBOSS-hl3buАй бұрын
Huyu sheikh ni genius sio lavel ya mashekh wapenda Dunia ,Basi shekh utakuta mwakani hawa hawa wanaanza kubishana Hilo Hilo tena ,wekeni kwenye vitabu na app maalumu ambazo mtu akiuliza mwambie NENDA karejee kitabu flani au app
@Khatib-xp6fpАй бұрын
Tofauti ya shehe huy na wengin ni kwamba wengin hawana geography kichwan
@Abdullatifkilupy-tn6iiАй бұрын
😂Asante sana. Ni hakika usemalo
@SaidMasoud-cs8kpАй бұрын
Shekh mselem kwa hoja ya mwezi hawamuwezi kwa sababu yeye mashallah methodologies 🤲🤲🤲🤲allah amzidishie
@saidsoudamiri4054Ай бұрын
mambo ya kisheria ni dalili na sio akili yako binafsi. Dunia hatuwezi kuwa na terehe moja hiyo geography ya wapi na level gani? Shekhe kasoma geography level ipi ? University au form four. Acheni kuona watu hawana akili na akili mnazo nyinyi tu. Basi tuseme maswahaba wote walikosea kufunga Arafa na kufunga Ramadhani.
@TuhabarishaneTvАй бұрын
Wew unaijua hyo geography au unababaika2 mana geography form one tena mada ya pili2 the solar system ndio inaeleza mambo hayo kapitie na wew
@Aamadu-vc2vvАй бұрын
Maashaa Allah inapendeza sana Allah akufanyie wepes ktk kueneza ukwell katika dini yetu
@abdulhamidisiraja4930Ай бұрын
Mashaallah, shukran shekh msselem allah akulipe
@TalibKomboАй бұрын
Allwah akupe maisha marefu tuzidi kufaifika inshaallwah
@anwarabdallah7095Ай бұрын
MashaAllah shk mselem uko vizuri.
@mwajumaabdallah1087Ай бұрын
Nampenda sana kwaajil ya Allah hyu shekh jmn,nataman angekuw ht mjomba wangu
@user-ih5vr6lf3fАй бұрын
JAZAAKALLAH KHEIR SHEIKH ……clear and concise
@ismailsoud3634Ай бұрын
Sheikh wewe unajitahidi kuweka sawa, lakini wengine wanafanya fitina kuufitini ukweli. Allah akuzidishie u fasaha.
@FahmiAl-maulyАй бұрын
Allah ampe umri mrefu tupate faida zaidi inshaAllh
@OmarSaid-nt2xdАй бұрын
Mwenye masikio nasikiee
@KhalfanJuma-lm4jeАй бұрын
Allah akubarik shekh mselem nadhani asofahamu kapata faida
@user-vc3fo8el1hАй бұрын
Mjadala haujamaliza na wala haumalizi, jambo la kuzingatia ni kufuata haki na ndipo unapopatikana ujira kutoka kwa ALLAAH. Tunamuomaba Allaah atuongoze katika haki anyoiridhia.
@AhmedSaid-hg5ujАй бұрын
Allahu Akbar allahu Akbar allahu Akbar
@swafiirbulbul819Ай бұрын
Baarakallaahu Fykum.. 🎉🎉🎉
@SARAHKATAGIRAАй бұрын
Shekhe uko vzr sn Allah akulipe usiwe kama amir Farid au shekhe faridi anatpotsha
@ZamilHusseinАй бұрын
Mashaallah Jazaakaallahu khayr. Allah akhfadhi Shekhe wetu tunakupenda sana KwA ajili ya Allah
@user-sj5zj8nc2yАй бұрын
ما شاء الله تبارك الرحمن رب يحفظك يا شيخنا ويطيل عمرك في طاعته ويرزقك حسن الختام
@ismailfarah3463Ай бұрын
MashaAllah Tabarakalah barakalafikum!!!
@user-ic2cb9gm2jАй бұрын
Allah akuzidishie umri uzidi kutuelimishaa jazzakallahu kheri
@khairatkheir7776Ай бұрын
Jazzakallah kheir sheikh
@riyadhalamukenya9557Ай бұрын
( ذَٰلِكَ فَضْلُ اللَّهِ يُؤْتِيهِ مَن يَشَاءُ ۚ وَاللَّهُ ذُو الْفَضْلِ الْعَظِيمِ ) الجمعة (4) Al-Jumu'a Hiyo ni fadhila ya Mwenyezi Mungu anayo mpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kubwa.
@allyabubakari5940Ай бұрын
Masha allah sheikh allah akuifadhi
@abdulazizshadau8082Ай бұрын
Mashallah
@user-un2je2uc9jАй бұрын
Jambo la kuhuzunisha zaidi ,ni kwamba kuna mtu atasikiliza haya na bado atapinga. Allah atuongoze insha-allah sote.
@salummbarouk4216Ай бұрын
Mashallah waliokuteuwa kuwa bingwa wa tafsiri qur an Africa mashariki walipatia mashallah Allah akuhifadhi
@user-ug8hc4yh5kАй бұрын
Shukran sana sheikh wetu
@mustymasoud5214Ай бұрын
Apo kwenye Lailatul qadir.. maelzo yake. Kma hujaelew bas huez elew tena. Allah akubark sheikh wetu.
@user-un2je2uc9jАй бұрын
Nimefurahi sana , bayana itaendelea kuwepo kwasababu Allah anayaona yote haya. Masha-allah
@ramadhanichampunga9304Ай бұрын
Lailatul-qadr haiwezi kutumwa tofauti ,kwa hoja ya mfano huu aliotoa , lailatul-qadr ni siri ya Allah kama ikitokea kwa tareh 23 basi wengine itakuwa tareh 22 na wengine tareh 21,
@abdisalim7900Ай бұрын
Sote hatuwezi kuwa wahanga wa Saudia,ambao mmeshaamua hvyo endeleeni kufuata mkondo
@user-jp8lf7dy5zАй бұрын
Weye muhanga wawapi? mn ndounafahamishwa ila ndohayo una yako tu basi ila uelewa ndohuo
@allyjuma9669Ай бұрын
Mashaallah
@takdirmahmoudАй бұрын
Mashallah,, Sheikh Msselem mm nakuelewa sanaaa,, uko fasaha sana,, Allah akuzidishie kheir
@AliChwayaАй бұрын
Mimi na kalendar ya dunia iliyoandaliwa mpaka mwisho wa dunia ilhal hatujafika tena bas umeniokoa sana sheikh mselem
@ABDULLATIFHAJIALIАй бұрын
maashaallah mungu akuhifadhi ila tuelimiahe kidini zaidii
@KhayratMansourАй бұрын
Maashaa Allaah, mwenye moyo wa ufahamu na afahamu .
@ZamilHusseinАй бұрын
Mashaallah Jazaakaallahu khayr
@MrJuma-in5ioАй бұрын
MashaAllah
@Mohamed-oo8qjАй бұрын
Mashallah allha azid kukuweka nawat waeukimike
@JumaHamad-pe7heАй бұрын
MaashaaAllah
@hassani-dj3ptАй бұрын
Mashaallah sheikh wetu mselem Allah akuhifadhi
@munirajuma1270Ай бұрын
Sina la kusema zaidi. Allah akulipe Kila la kheri
@user-ye3fy9kk6rАй бұрын
Baaraka llahu fik
@muhammadiabassi656Ай бұрын
ماشاء الله انت تمام الله يبارك فيك
@AthumanFamauАй бұрын
Allah atuifadhi sherk Kwa elmu unayoitoa mashaallah
@OthmanJuma-nw5kmАй бұрын
Allaah akuzidishie kheri
@jamilabadru8087Ай бұрын
Mashaalh
@MaulidFadhil-qi2dhАй бұрын
dah! sijui km umenielewa vizuri? bin alliy uko sawa allah akuhifadhi maalim
@allymusira2153Ай бұрын
Allah akulipe kila la kheri sheikh msellem ally
@user-wk5ju8kd3uАй бұрын
Masha Allah
@hajjiomary2383Ай бұрын
Allah akupe afya na na aendelee kukupa msimamo
@yasinsuleiman2402Ай бұрын
Allah akujaze kheri nyingi sana
@KhamisJuma-mu4rmАй бұрын
Nlikua nawafuata mashekhe wa kisufi kwenye hizi funga lakini tutakomana hapa inshaa a llah
@ahmadSeif860Ай бұрын
Soma kwanza ndo muhimu sio kufuatafuata tu
@muhammadiabassi656Ай бұрын
حفظك الله ورعاك
@RamadhanRamadhan-cx3tjАй бұрын
Allah bless Mselem
@user-ox2iu7rm7eАй бұрын
Asalam alaikum shehk nakupenda kwa ajili tá alha na nakuelewa sana unapi tafsir kitabu sua alha wewe ni nfassa
@AsiaMariam-tk8lkАй бұрын
Mashallah upo vizury sana
@user-to4jw7tm1jАй бұрын
Allah akbar
@IssaJuma-rk5qbАй бұрын
Mungu ampe maisha marefu
@yahfatmudswiddiq2271Ай бұрын
shekh shekh shekh baarakalhahu fyika
@SelemaneArabeArabe-wd8fbАй бұрын
Asipo mwelewa check nselemo ntu uyo ni kiziwi.
@Ibunmaulanashirazy-sn5uiАй бұрын
Huijui Dunia vizuli shekhe Allah akuongezee ufahamu
@SaeedMohammad-sw7jqАй бұрын
Tuelezee wewe sheikh
@SaidMasoud-cs8kpАй бұрын
Mtu methodology alafu unasema hajuwi dunia unawenge ya ni huyu nishekhe alafu methodology alafu unasmea hajuwi dunia 😂😂😂😂
@user-un2je2uc9jАй бұрын
Geography haidanganyi rejelea kwa Qur'an
@MshamHemedАй бұрын
maashaAllah
@suleimanali6939Ай бұрын
SASA SHEKH MSELEM TAREHE ZA KIKAFIRI WANAFUATA KALEDA
@MvuoniJumaАй бұрын
Nashukuru shehe kwa taaluma hiyo masshhallh
@MawazoPembeАй бұрын
Mwenyezimungu akuifadhi sheee
@HalimaFarahnuru-nj1eiАй бұрын
Huyu shekhe yupo vizuri sana waislam tunakwama wapi kwa nini tusifuate tarehe za kiislam
@latifahali8228Ай бұрын
Masha Allah sheikh umesema ukweli
@binseif2216Ай бұрын
Shida mawahaby mpka saudia awatangazie lkn ukionekana kenya au uganda hawawezi kufunga wala kula eid mpka wawasikie wa saudia
@lmdos4382Ай бұрын
ndipo hoja yako ilipioshia hapa?
@saidkhatib9146Ай бұрын
Allah akulipe ujumbe umefika
@samuelmuthui4699Ай бұрын
❤
@shahamzanda5857Ай бұрын
Shida ni bado hatujaulewa usuhuba baina ya Allah na Mtume wake. yaani sisi hujitia umma wa Rasulullah s.a.w kwa muonekano tu ila hatumtaki Mtume wa Allah. mambo yako wazi tunajadiliana kila mwaka, watu hawaswali, wake zetu, watoto wetu, mama zetu, baba zetu, dada na kaka zetu marafiki zetu kibao hawaswali sisi tunajadili kile tunachokijua kila mwaka.
@AhmadSalim-dm4ukАй бұрын
Shekhe kwani hija mtume alifaradhishiwa mwaka gani na je kabla ya hija mtume alikua hafungi swaum ya arafa na je kma alikua afunga alikua atumia kigezo gani?
@MuhammadAbdalla-pq1bzАй бұрын
mashallah maneno mazuri lkn....pia kuna hadith ya qurayb.,.هكذا أمرنا رسول الله ...hiyo nayo tutaiweka wapi twaomba faida zaidi
@salummbarouk4216Ай бұрын
Kabisa hii chemchem Allah amuifadhi
@elallymoussa2980Ай бұрын
Mpk sasa mwaka 2024 mtu kama hajaelewa masuala Haya sifkirii km ataelewa tena zaidi ya kubishana tu . Ahsante sheikh msellem kwa Elimu ya ziada najua yashaelezwa Haya ila wafuasi ni kawaida kuyaanzisha upya na kuona mijadala inaendelea.
@abdulbandari1551Ай бұрын
New year for example
@husseintaib2307Ай бұрын
Uniformity si hoja hapa. Inakuwaje killa mwaka mwezi unaonekana Saudia pekee, na sisi huku nchi zote Afrika ya Mashariki tunashindwa kuuona. Mtume SAW angekuwepo, tusingepata mgawanyo huu, kwa sababu tungelikua tukifuata Muandamo wa uhakika sio bandia.
@mwaminihassanhassan922Ай бұрын
Mgawanyo ulikua tangia enzi za mtume s.a.w na nisehemu ya kujifunza
@masoud7486Ай бұрын
Mimi na swali je uislam una myaka 1445 je katika myaka 1000 wakislamu walijuwa vipi kama ni arafa . Ao eid kwa wale hawa kuwepo makkah
@seifabdi9248Ай бұрын
Na Mimi ni swali, mwaka 1000 uliopita waislamu walikuwa Wanapanda kwenye minara wakiadhini na sasa mnatumia speaker 🔊 ni mini imebadilika? Miaka 1000 usafiri kwenda Makaa ulikuwa mnatumia ngamia kwa mamiezi kufika na miaka 1000 baadaye unasafiri pia kwa kutumia ndege ✈️mini imebadilika. Saa hizi miaka 1000 baadaye mawasiliano iko mkononi mwako kokote dunia I ukitaka kuona na kujua habari yoyote unaipata kupitia simu 📱 yako kwa sekundi chache, je unaweza kulinganisha na miaka 1000 uliopita? Uislamu inafungamana na mwendo na wakati uliopo. Na vipi Mambo yatakavyo kuwapo miaka 1000 ijayo wakati Mimi na wewe hatutakuwapo duniani?
@latifahali8228Ай бұрын
Bora umesema mana siku zote hao nasheik wetu lzm wawe na eid yao. Saiv dunia kila mtu anakuwa mjuwaji na kupotesha watu tu
@user-nh2wt4yd7wАй бұрын
Swadakta
@ibrahimirakoze86Ай бұрын
Kwa kweli majibu yak sheikh yanaelewek saaana Allah atuelimishe pale ambapo tutakapoanguka
@habiybothman3286Ай бұрын
Sijamuelewa bhdo kwa maana tarehe ya uislam inabadilika baada ya maghrib je hapo pakoje kwa Dunia kufata tarehe moja
@Abuurayyan-rg2ljАй бұрын
Allah amuongoze katika haki
@HusseinPaulaАй бұрын
Ushahidi wa kalenda upo maana tarehe ya idi na arafa ili tangazwa hata kabla ya muandamo wa dhulhijjah
@user-zi4ux9bt7cАй бұрын
Umechemka
@fadhilyassin5772Ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh yaan umeongea fact na ina make sence kabisaaa
@user-qe5ky6kp1cАй бұрын
Allah AKULIPE KILA LA KHEIR
@officialkamduduАй бұрын
sasa wakati muandamo unaingia saa moja jioni wale ambao kwao ni saa 6 usiku huo muandamo wanaupataje ?
@OmarMohamed-yq9lgАй бұрын
Amir farid pia amsikilize huyu sheikh
@maahadishifaakivungetv2471Ай бұрын
He maajabu
@ghostreaper9486Ай бұрын
Endeleza tu Uwahhabi kwa Kondoo majahala wala usijali
@ABDULLATIFHAJIALIАй бұрын
shekh sio mtazani wako nimtazamo wadini
@ramygichero1016Ай бұрын
Mashekhe kazi kufuga madevu hamjui muongelee nini na kwawakatigani kadhia Gaza ndo namba moja sasa unaongelea ubishani wa Arafa kila mwaka tushazoea waislamu tuna uelewa na mambo ya mwe'i
@SaadIbnmuwathАй бұрын
Walioko suudia washajua mwakani eid itakua lini huo mwezi waliuona lini?