MJADALA WA SIKU YA ARAFA UMEISHA BAADA YA KUTOLEWA HOJA NZITO//SHEIKH MSELEM BIN ALI

  Рет қаралды 53,115

Fauz Production

Fauz Production

Ай бұрын

Пікірлер: 306
@kombohassan480
@kombohassan480 Ай бұрын
Huyu sheikh ni chemchem ya elimu Allah atuwekee tufaidike na elimu Allah alomjaalia.
@abdulbandari1551
@abdulbandari1551 Ай бұрын
Wanakataa technology na swala wanatumia saa..
@user-lm3lt7xx6l
@user-lm3lt7xx6l Ай бұрын
Shekhe mselem fundi ALLAH akuhifadhi
@muhidinally3753
@muhidinally3753 Ай бұрын
Sheikh Mselem Ali Allah akuweke tupate faida ya dini ya Allah. You are very eloquent. Hakika hili halina ubishi. Yaani kwa mtazamo wa watu wengine ina maana mwaka mmoja kuna sehemu una siku nyingi na sehemu nyingine una siku chache very impossible. Turejee kwenye Quran miezi 12 imewekwa ili tupate ufahamu wa tareikh, matukio na tuongozwe kwenye ibadat za msimu. Tunakushukuru Sheikh. Allah akupe jazaa
@braqutourssafaris4672
@braqutourssafaris4672 Ай бұрын
Sasa Kwan Saudia anaangilia mwez au wana kalenda yao?tayr Wana ijua idy had ya elfu 2030 kisha halafu kat yenu nyie na wakina ibn baz na ibn taimia Bora ni wap yaan wao Wana sema Kila watu Wana muandamo wao ila nyie Ndio mpinge.
@abuuaisha6110
@abuuaisha6110 Ай бұрын
Nimefurahi sana kwa bayana yako sheikh kuhusu siku ya arafa
@fatmaZakiya
@fatmaZakiya Ай бұрын
Allah akupe umri mrefu sheikh uzidi kutuelimisha, amiin
@abuuaisha6110
@abuuaisha6110 Ай бұрын
Amiin yaarabal aalamiin
@chiamamy8167
@chiamamy8167 Ай бұрын
Amiin
@khamismussa6258
@khamismussa6258 Ай бұрын
Masha Allah, ipo haja masheikh wasome elimu za kidunia pia
@Allyrumhy-ji2vo
@Allyrumhy-ji2vo Ай бұрын
اللهم علمنا ما لا نفهم،،وفهمنا ما علمتنا،،،بارك الله فيك.
@SaidshariffShariff
@SaidshariffShariff Ай бұрын
Masha-Allah ndugu zangu tuketi chini tusome zaidi. Shukran sheikh Msellem
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Ай бұрын
Huyu sheikh ni genius sio lavel ya mashekh wapenda Dunia ,Basi shekh utakuta mwakani hawa hawa wanaanza kubishana Hilo Hilo tena ,wekeni kwenye vitabu na app maalumu ambazo mtu akiuliza mwambie NENDA karejee kitabu flani au app
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp Ай бұрын
Tofauti ya shehe huy na wengin ni kwamba wengin hawana geography kichwan
@Abdullatifkilupy-tn6ii
@Abdullatifkilupy-tn6ii Ай бұрын
😂Asante sana. Ni hakika usemalo
@SaidMasoud-cs8kp
@SaidMasoud-cs8kp Ай бұрын
Shekh mselem kwa hoja ya mwezi hawamuwezi kwa sababu yeye mashallah methodologies 🤲🤲🤲🤲allah amzidishie
@saidsoudamiri4054
@saidsoudamiri4054 Ай бұрын
mambo ya kisheria ni dalili na sio akili yako binafsi. Dunia hatuwezi kuwa na terehe moja hiyo geography ya wapi na level gani? Shekhe kasoma geography level ipi ? University au form four. Acheni kuona watu hawana akili na akili mnazo nyinyi tu. Basi tuseme maswahaba wote walikosea kufunga Arafa na kufunga Ramadhani.
@TuhabarishaneTv
@TuhabarishaneTv Ай бұрын
Wew unaijua hyo geography au unababaika2 mana geography form one tena mada ya pili2 the solar system ndio inaeleza mambo hayo kapitie na wew
@Aamadu-vc2vv
@Aamadu-vc2vv Ай бұрын
Maashaa Allah inapendeza sana Allah akufanyie wepes ktk kueneza ukwell katika dini yetu
@abdulhamidisiraja4930
@abdulhamidisiraja4930 Ай бұрын
Mashaallah, shukran shekh msselem allah akulipe
@TalibKombo
@TalibKombo Ай бұрын
Allwah akupe maisha marefu tuzidi kufaifika inshaallwah
@anwarabdallah7095
@anwarabdallah7095 Ай бұрын
MashaAllah shk mselem uko vizuri.
@mwajumaabdallah1087
@mwajumaabdallah1087 Ай бұрын
Nampenda sana kwaajil ya Allah hyu shekh jmn,nataman angekuw ht mjomba wangu
@user-ih5vr6lf3f
@user-ih5vr6lf3f Ай бұрын
JAZAAKALLAH KHEIR SHEIKH ……clear and concise
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 Ай бұрын
Sheikh wewe unajitahidi kuweka sawa, lakini wengine wanafanya fitina kuufitini ukweli. Allah akuzidishie u fasaha.
@FahmiAl-mauly
@FahmiAl-mauly Ай бұрын
Allah ampe umri mrefu tupate faida zaidi inshaAllh
@OmarSaid-nt2xd
@OmarSaid-nt2xd Ай бұрын
Mwenye masikio nasikiee
@KhalfanJuma-lm4je
@KhalfanJuma-lm4je Ай бұрын
Allah akubarik shekh mselem nadhani asofahamu kapata faida
@user-vc3fo8el1h
@user-vc3fo8el1h Ай бұрын
Mjadala haujamaliza na wala haumalizi, jambo la kuzingatia ni kufuata haki na ndipo unapopatikana ujira kutoka kwa ALLAAH. Tunamuomaba Allaah atuongoze katika haki anyoiridhia.
@AhmedSaid-hg5uj
@AhmedSaid-hg5uj Ай бұрын
Allahu Akbar allahu Akbar allahu Akbar
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 Ай бұрын
Baarakallaahu Fykum.. 🎉🎉🎉
@SARAHKATAGIRA
@SARAHKATAGIRA Ай бұрын
Shekhe uko vzr sn Allah akulipe usiwe kama amir Farid au shekhe faridi anatpotsha
@ZamilHussein
@ZamilHussein Ай бұрын
Mashaallah Jazaakaallahu khayr. Allah akhfadhi Shekhe wetu tunakupenda sana KwA ajili ya Allah
@user-sj5zj8nc2y
@user-sj5zj8nc2y Ай бұрын
ما شاء الله تبارك الرحمن رب يحفظك يا شيخنا ويطيل عمرك في طاعته ويرزقك حسن الختام
@ismailfarah3463
@ismailfarah3463 Ай бұрын
MashaAllah Tabarakalah barakalafikum!!!
@user-ic2cb9gm2j
@user-ic2cb9gm2j Ай бұрын
Allah akuzidishie umri uzidi kutuelimishaa jazzakallahu kheri
@khairatkheir7776
@khairatkheir7776 Ай бұрын
Jazzakallah kheir sheikh
@riyadhalamukenya9557
@riyadhalamukenya9557 Ай бұрын
( ذَٰلِكَ فَضْلُ اللَّهِ يُؤْتِيهِ مَن يَشَاءُ ۚ وَاللَّهُ ذُو الْفَضْلِ الْعَظِيمِ ) الجمعة (4) Al-Jumu'a Hiyo ni fadhila ya Mwenyezi Mungu anayo mpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kubwa.
@allyabubakari5940
@allyabubakari5940 Ай бұрын
Masha allah sheikh allah akuifadhi
@abdulazizshadau8082
@abdulazizshadau8082 Ай бұрын
Mashallah
@user-un2je2uc9j
@user-un2je2uc9j Ай бұрын
Jambo la kuhuzunisha zaidi ,ni kwamba kuna mtu atasikiliza haya na bado atapinga. Allah atuongoze insha-allah sote.
@salummbarouk4216
@salummbarouk4216 Ай бұрын
Mashallah waliokuteuwa kuwa bingwa wa tafsiri qur an Africa mashariki walipatia mashallah Allah akuhifadhi
@user-ug8hc4yh5k
@user-ug8hc4yh5k Ай бұрын
Shukran sana sheikh wetu
@mustymasoud5214
@mustymasoud5214 Ай бұрын
Apo kwenye Lailatul qadir.. maelzo yake. Kma hujaelew bas huez elew tena. Allah akubark sheikh wetu.
@user-un2je2uc9j
@user-un2je2uc9j Ай бұрын
Nimefurahi sana , bayana itaendelea kuwepo kwasababu Allah anayaona yote haya. Masha-allah
@ramadhanichampunga9304
@ramadhanichampunga9304 Ай бұрын
Lailatul-qadr haiwezi kutumwa tofauti ,kwa hoja ya mfano huu aliotoa , lailatul-qadr ni siri ya Allah kama ikitokea kwa tareh 23 basi wengine itakuwa tareh 22 na wengine tareh 21,
@abdisalim7900
@abdisalim7900 Ай бұрын
Sote hatuwezi kuwa wahanga wa Saudia,ambao mmeshaamua hvyo endeleeni kufuata mkondo
@user-jp8lf7dy5z
@user-jp8lf7dy5z Ай бұрын
Weye muhanga wawapi? mn ndounafahamishwa ila ndohayo una yako tu basi ila uelewa ndohuo
@allyjuma9669
@allyjuma9669 Ай бұрын
Mashaallah
@takdirmahmoud
@takdirmahmoud Ай бұрын
Mashallah,, Sheikh Msselem mm nakuelewa sanaaa,, uko fasaha sana,, Allah akuzidishie kheir
@AliChwaya
@AliChwaya Ай бұрын
Mimi na kalendar ya dunia iliyoandaliwa mpaka mwisho wa dunia ilhal hatujafika tena bas umeniokoa sana sheikh mselem
@ABDULLATIFHAJIALI
@ABDULLATIFHAJIALI Ай бұрын
maashaallah mungu akuhifadhi ila tuelimiahe kidini zaidii
@KhayratMansour
@KhayratMansour Ай бұрын
Maashaa Allaah, mwenye moyo wa ufahamu na afahamu .
@ZamilHussein
@ZamilHussein Ай бұрын
Mashaallah Jazaakaallahu khayr
@MrJuma-in5io
@MrJuma-in5io Ай бұрын
MashaAllah
@Mohamed-oo8qj
@Mohamed-oo8qj Ай бұрын
Mashallah allha azid kukuweka nawat waeukimike
@JumaHamad-pe7he
@JumaHamad-pe7he Ай бұрын
MaashaaAllah
@hassani-dj3pt
@hassani-dj3pt Ай бұрын
Mashaallah sheikh wetu mselem Allah akuhifadhi
@munirajuma1270
@munirajuma1270 Ай бұрын
Sina la kusema zaidi. Allah akulipe Kila la kheri
@user-ye3fy9kk6r
@user-ye3fy9kk6r Ай бұрын
Baaraka llahu fik
@muhammadiabassi656
@muhammadiabassi656 Ай бұрын
ماشاء الله انت تمام الله يبارك فيك
@AthumanFamau
@AthumanFamau Ай бұрын
Allah atuifadhi sherk Kwa elmu unayoitoa mashaallah
@OthmanJuma-nw5km
@OthmanJuma-nw5km Ай бұрын
Allaah akuzidishie kheri
@jamilabadru8087
@jamilabadru8087 Ай бұрын
Mashaalh
@MaulidFadhil-qi2dh
@MaulidFadhil-qi2dh Ай бұрын
dah! sijui km umenielewa vizuri? bin alliy uko sawa allah akuhifadhi maalim
@allymusira2153
@allymusira2153 Ай бұрын
Allah akulipe kila la kheri sheikh msellem ally
@user-wk5ju8kd3u
@user-wk5ju8kd3u Ай бұрын
Masha Allah
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Ай бұрын
Allah akupe afya na na aendelee kukupa msimamo
@yasinsuleiman2402
@yasinsuleiman2402 Ай бұрын
Allah akujaze kheri nyingi sana
@KhamisJuma-mu4rm
@KhamisJuma-mu4rm Ай бұрын
Nlikua nawafuata mashekhe wa kisufi kwenye hizi funga lakini tutakomana hapa inshaa a llah
@ahmadSeif860
@ahmadSeif860 Ай бұрын
Soma kwanza ndo muhimu sio kufuatafuata tu
@muhammadiabassi656
@muhammadiabassi656 Ай бұрын
حفظك الله ورعاك
@RamadhanRamadhan-cx3tj
@RamadhanRamadhan-cx3tj Ай бұрын
Allah bless Mselem
@user-ox2iu7rm7e
@user-ox2iu7rm7e Ай бұрын
Asalam alaikum shehk nakupenda kwa ajili tá alha na nakuelewa sana unapi tafsir kitabu sua alha wewe ni nfassa
@AsiaMariam-tk8lk
@AsiaMariam-tk8lk Ай бұрын
Mashallah upo vizury sana
@user-to4jw7tm1j
@user-to4jw7tm1j Ай бұрын
Allah akbar
@IssaJuma-rk5qb
@IssaJuma-rk5qb Ай бұрын
Mungu ampe maisha marefu
@yahfatmudswiddiq2271
@yahfatmudswiddiq2271 Ай бұрын
shekh shekh shekh baarakalhahu fyika
@SelemaneArabeArabe-wd8fb
@SelemaneArabeArabe-wd8fb Ай бұрын
Asipo mwelewa check nselemo ntu uyo ni kiziwi.
@Ibunmaulanashirazy-sn5ui
@Ibunmaulanashirazy-sn5ui Ай бұрын
Huijui Dunia vizuli shekhe Allah akuongezee ufahamu
@SaeedMohammad-sw7jq
@SaeedMohammad-sw7jq Ай бұрын
Tuelezee wewe sheikh
@SaidMasoud-cs8kp
@SaidMasoud-cs8kp Ай бұрын
Mtu methodology alafu unasema hajuwi dunia unawenge ya ni huyu nishekhe alafu methodology alafu unasmea hajuwi dunia 😂😂😂😂
@user-un2je2uc9j
@user-un2je2uc9j Ай бұрын
Geography haidanganyi rejelea kwa Qur'an
@MshamHemed
@MshamHemed Ай бұрын
maashaAllah
@suleimanali6939
@suleimanali6939 Ай бұрын
SASA SHEKH MSELEM TAREHE ZA KIKAFIRI WANAFUATA KALEDA
@MvuoniJuma
@MvuoniJuma Ай бұрын
Nashukuru shehe kwa taaluma hiyo masshhallh
@MawazoPembe
@MawazoPembe Ай бұрын
Mwenyezimungu akuifadhi sheee
@HalimaFarahnuru-nj1ei
@HalimaFarahnuru-nj1ei Ай бұрын
Huyu shekhe yupo vizuri sana waislam tunakwama wapi kwa nini tusifuate tarehe za kiislam
@latifahali8228
@latifahali8228 Ай бұрын
Masha Allah sheikh umesema ukweli
@binseif2216
@binseif2216 Ай бұрын
Shida mawahaby mpka saudia awatangazie lkn ukionekana kenya au uganda hawawezi kufunga wala kula eid mpka wawasikie wa saudia
@lmdos4382
@lmdos4382 Ай бұрын
ndipo hoja yako ilipioshia hapa?
@saidkhatib9146
@saidkhatib9146 Ай бұрын
Allah akulipe ujumbe umefika
@samuelmuthui4699
@samuelmuthui4699 Ай бұрын
@shahamzanda5857
@shahamzanda5857 Ай бұрын
Shida ni bado hatujaulewa usuhuba baina ya Allah na Mtume wake. yaani sisi hujitia umma wa Rasulullah s.a.w kwa muonekano tu ila hatumtaki Mtume wa Allah. mambo yako wazi tunajadiliana kila mwaka, watu hawaswali, wake zetu, watoto wetu, mama zetu, baba zetu, dada na kaka zetu marafiki zetu kibao hawaswali sisi tunajadili kile tunachokijua kila mwaka.
@AhmadSalim-dm4uk
@AhmadSalim-dm4uk Ай бұрын
Shekhe kwani hija mtume alifaradhishiwa mwaka gani na je kabla ya hija mtume alikua hafungi swaum ya arafa na je kma alikua afunga alikua atumia kigezo gani?
@MuhammadAbdalla-pq1bz
@MuhammadAbdalla-pq1bz Ай бұрын
mashallah maneno mazuri lkn....pia kuna hadith ya qurayb.,.هكذا أمرنا رسول الله ...hiyo nayo tutaiweka wapi twaomba faida zaidi
@salummbarouk4216
@salummbarouk4216 Ай бұрын
Kabisa hii chemchem Allah amuifadhi
@elallymoussa2980
@elallymoussa2980 Ай бұрын
Mpk sasa mwaka 2024 mtu kama hajaelewa masuala Haya sifkirii km ataelewa tena zaidi ya kubishana tu . Ahsante sheikh msellem kwa Elimu ya ziada najua yashaelezwa Haya ila wafuasi ni kawaida kuyaanzisha upya na kuona mijadala inaendelea.
@abdulbandari1551
@abdulbandari1551 Ай бұрын
New year for example
@husseintaib2307
@husseintaib2307 Ай бұрын
Uniformity si hoja hapa. Inakuwaje killa mwaka mwezi unaonekana Saudia pekee, na sisi huku nchi zote Afrika ya Mashariki tunashindwa kuuona. Mtume SAW angekuwepo, tusingepata mgawanyo huu, kwa sababu tungelikua tukifuata Muandamo wa uhakika sio bandia.
@mwaminihassanhassan922
@mwaminihassanhassan922 Ай бұрын
Mgawanyo ulikua tangia enzi za mtume s.a.w na nisehemu ya kujifunza
@masoud7486
@masoud7486 Ай бұрын
Mimi na swali je uislam una myaka 1445 je katika myaka 1000 wakislamu walijuwa vipi kama ni arafa . Ao eid kwa wale hawa kuwepo makkah
@seifabdi9248
@seifabdi9248 Ай бұрын
Na Mimi ni swali, mwaka 1000 uliopita waislamu walikuwa Wanapanda kwenye minara wakiadhini na sasa mnatumia speaker 🔊 ni mini imebadilika? Miaka 1000 usafiri kwenda Makaa ulikuwa mnatumia ngamia kwa mamiezi kufika na miaka 1000 baadaye unasafiri pia kwa kutumia ndege ✈️mini imebadilika. Saa hizi miaka 1000 baadaye mawasiliano iko mkononi mwako kokote dunia I ukitaka kuona na kujua habari yoyote unaipata kupitia simu 📱 yako kwa sekundi chache, je unaweza kulinganisha na miaka 1000 uliopita? Uislamu inafungamana na mwendo na wakati uliopo. Na vipi Mambo yatakavyo kuwapo miaka 1000 ijayo wakati Mimi na wewe hatutakuwapo duniani?
@latifahali8228
@latifahali8228 Ай бұрын
Bora umesema mana siku zote hao nasheik wetu lzm wawe na eid yao. Saiv dunia kila mtu anakuwa mjuwaji na kupotesha watu tu
@user-nh2wt4yd7w
@user-nh2wt4yd7w Ай бұрын
Swadakta
@ibrahimirakoze86
@ibrahimirakoze86 Ай бұрын
Kwa kweli majibu yak sheikh yanaelewek saaana Allah atuelimishe pale ambapo tutakapoanguka
@habiybothman3286
@habiybothman3286 Ай бұрын
Sijamuelewa bhdo kwa maana tarehe ya uislam inabadilika baada ya maghrib je hapo pakoje kwa Dunia kufata tarehe moja
@Abuurayyan-rg2lj
@Abuurayyan-rg2lj Ай бұрын
Allah amuongoze katika haki
@HusseinPaula
@HusseinPaula Ай бұрын
Ushahidi wa kalenda upo maana tarehe ya idi na arafa ili tangazwa hata kabla ya muandamo wa dhulhijjah
@user-zi4ux9bt7c
@user-zi4ux9bt7c Ай бұрын
Umechemka
@fadhilyassin5772
@fadhilyassin5772 Ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh yaan umeongea fact na ina make sence kabisaaa
@user-qe5ky6kp1c
@user-qe5ky6kp1c Ай бұрын
Allah AKULIPE KILA LA KHEIR
@officialkamdudu
@officialkamdudu Ай бұрын
sasa wakati muandamo unaingia saa moja jioni wale ambao kwao ni saa 6 usiku huo muandamo wanaupataje ?
@OmarMohamed-yq9lg
@OmarMohamed-yq9lg Ай бұрын
Amir farid pia amsikilize huyu sheikh
@maahadishifaakivungetv2471
@maahadishifaakivungetv2471 Ай бұрын
He maajabu
@ghostreaper9486
@ghostreaper9486 Ай бұрын
Endeleza tu Uwahhabi kwa Kondoo majahala wala usijali
@ABDULLATIFHAJIALI
@ABDULLATIFHAJIALI Ай бұрын
shekh sio mtazani wako nimtazamo wadini
@ramygichero1016
@ramygichero1016 Ай бұрын
Mashekhe kazi kufuga madevu hamjui muongelee nini na kwawakatigani kadhia Gaza ndo namba moja sasa unaongelea ubishani wa Arafa kila mwaka tushazoea waislamu tuna uelewa na mambo ya mwe'i
@SaadIbnmuwath
@SaadIbnmuwath Ай бұрын
Walioko suudia washajua mwakani eid itakua lini huo mwezi waliuona lini?
ARAFA NI LINI//MZIWANDA AMALIZA MJADALA NA SUFI WENZAKE.
10:32
Fauz Production
Рет қаралды 31 М.
Upungufu wa ilmu ya Muhammad Bachu kwenye funga ya arafa
17:48
Maawy Muhammad
Рет қаралды 48 М.
KHUTBA YA IJUMAA MSIZITAKASE NAFSI ZENU SHEIKH MSELEM BIN ALI
40:00
SHEKH: MSELEM BIN ALY MAISHA YA MOTONI
18:06
Adil TV
Рет қаралды 35 М.
USIMUACHE MTOTO KUCHEZA NJE MASAA HAYA NI HATARI SANA//DUKTUR ISLAM
24:25