No video

MKAGUZI WA CHAKULA CHA RAIS MWINYI:TUMBO LILIMSUMBUA/NAONJA MIMI KWANZA/ALIPENDA SANA BIRIANI

  Рет қаралды 44,351

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 46
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 5 ай бұрын
Mashaallah tabaraqallah Allah amzidishie umri zaidi hyu mzee Abdallah bado yuko fomu
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 5 ай бұрын
Mashaallah ALLAH amjaalie Afya njema na umri twawil
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf 5 ай бұрын
Mungu akujaalie maisha marefu
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 5 ай бұрын
Kwa nini kila Kaunda akiwepo kunatokea kasoro? Mara moja huyu mzee aliona kijana mbaya akamkamata na ARUSHA akala samaki na Kaunda?
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 5 ай бұрын
Huyu jamaa anajua sana kumhoji mtu.hongera sana.
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 5 ай бұрын
Ila anazingua sometimes swali moja analirua kuuliza mara mbili mbili wakati kashajibiwa
@Fred-Ma
@Fred-Ma 5 ай бұрын
Mwalimu alikuwa hali Kitimoto?😂😂
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 5 ай бұрын
Mtangazaji sauti kweli unayo ila kwenye kuhoji jipange unarudia sana maswali hayo kwa hayo
@AyshaYassin-hm5xo
@AyshaYassin-hm5xo 5 ай бұрын
Wakwanzaa🎉🎉❤
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 ай бұрын
Mwinyi alikuwa Mzaramo aliyekuwa anaishi Zanzibar kwa hiyo Mwinyi alikuwa Mtanganyika kwa kuzaliwa! Somo zuru tuishi kindugu
@judithsimon7892
@judithsimon7892 5 ай бұрын
Kwanza vpi kuhusu Historia ya kazaliwa,kakulia wapi elimu,mwenyeji wa mkoa gani eti bado kuna watu wanampongeza mwandishi inaamana hawajaona hayo
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 5 ай бұрын
Sauti kweli anayo ila mambo mengi anasanda kwenye kuhoji hajajipanga
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 5 ай бұрын
Big up somo
@msongamwinyi2877
@msongamwinyi2877 5 ай бұрын
Video ya mzee kwenye meza mbona mmeotoa mngeiacha kupendezesha storia
@lucasdismas4314
@lucasdismas4314 Ай бұрын
Mzee alikuwa kitengo
@Fred-Ma
@Fred-Ma 5 ай бұрын
Kumbe Lambart upo huku? Nimekutafuta sana kule😂😂
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 5 ай бұрын
Hongera bab Kaz umefanya kwa weled
@jacobnorbertchenga9465
@jacobnorbertchenga9465 5 ай бұрын
Zamaradi mtunze huyu jamaa Crown Fm wanamjadiri sasa
@MrishoHakim
@MrishoHakim 5 ай бұрын
Mumuhoji muanzilishi WA taasisi ya kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya, George Timbuka
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 ай бұрын
Kwa kifupi mzee kasema wasomi ni majizi badala ya kusaidia nchi wanajisaidia wenyewe
@madenge731
@madenge731 5 ай бұрын
#USALAMA huyoooo ❤❤❤
@oswardwenge2351
@oswardwenge2351 5 ай бұрын
Kipindi unatambaa inamaana watu hawakuona na kujiuliza kuna nn ?
@user-cw3vu8mu3k
@user-cw3vu8mu3k 5 ай бұрын
Kwa wale wanaojua protocol atuambie je ni kuonja vya kula ,je hakuna vipimo
@iliyasabakari
@iliyasabakari 5 ай бұрын
Final uzeeni
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 5 ай бұрын
Ila uzee hauna adabu
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 5 ай бұрын
USISHTUKE,,WANAKULA VYAKULA KAMA UNAVYOKULA WEWE KWENU,,,,,TOFAUTI NI KWENYE KUANDAA..KAMA NI SAMAKI USIDHANI WA BEI ZENU IZO.
@mozasalim7725
@mozasalim7725 5 ай бұрын
Leo wapili kudadeki wanikabizi mimi nionje chakula jamani
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 5 ай бұрын
Ilikua Mozambique hiyo alipomuwahi mdunguaje niliwahi kumsikia ulipomhoji before
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 ай бұрын
Kwa hiyo kikiwa na sumu unaanza kufa wewe hii imekaa vizuri
@giztony2009
@giztony2009 5 ай бұрын
Kwa levo yko nahisi unafaa hata uwe unatangazia BBC
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 5 ай бұрын
Ebwanae kwenye chakula viongozi wetu wajiangalie sana wakija majuu ,kusaini mikataba ya wananchi kuna viongozi wengi ,clip zao zipo kwenye you tube,uzalendo kwanza hata kwenye pombe na uraibu mwengine,kuna dawa unaweza ukawekewa hazikuui leo zitaukuua 1,2,34 kama sindano za sumu wanazopigwa wagonjwa huku ulaya ,wachukue hela za uzeeni......
@protusmushi7162
@protusmushi7162 5 ай бұрын
Mwinyi alikuwa anakula chapati. Mbona janabi anatukatza tusile chapati?
@user-pw8pc3by8p
@user-pw8pc3by8p 5 ай бұрын
Dr mwinyi amuone huyu mzee
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 ай бұрын
Food tester
@FreeGod368
@FreeGod368 5 ай бұрын
Uyu mwandish anastahili BBC au AZAM au any very big media houses
@boscokikoti
@boscokikoti 5 ай бұрын
Wewe jamaa umeona mbali sana.mimi namkubali sana anajua anatamka matamshi ya kiswahili kwa ufasaha sana
@FreeGod368
@FreeGod368 5 ай бұрын
@@boscokikoti Kabisa kaka jamaa ana uwezo mkubwa sana na utulivu katika kuhoji
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 5 ай бұрын
Mzee kaficha kitu...kujulikana na Mwl haikuwa Kaunda bali akiwa JKT,akatembelea na kwenye gwaride Mwl akasema namhitaji huyu kijana Ikulu na Mwl akampa hilo jukumu ila yy hakujua mpk leo why Mwl alimchagua...ila pale kambini alikuwa na kipaji cha kawaida cha kugundua chakula chenye shida...sababu hapo anachanganya kuwepo kwenye circle ya Mwl ilikuwa lazima mpikwe kweli na yy anasema tukio la Kaunda je alikuwa nani kama hakuwa na kazi hiyo?Alikuwa ni mwonjaji na ni kazi ipo mpk leo...MWONJAJI yuko close na Wapishi,,haiingii Akilini wapishi wasimjue yy bali wamjue km mpenda kula tu?Hawa wenye mafunzo huwa hawafunguki sana wanakuwa limited.
@TPW_FLUXY
@TPW_FLUXY 5 ай бұрын
Wewe muongo haikuwa hivyo waongo wakibwa nyie mnasifia uongo mbona hamsemi alivyo kiwa anakimbia na mabox ya pesa kwenda oman
@abdikadirhassan935
@abdikadirhassan935 5 ай бұрын
Ww mnafki ulimuona akiiba pesa? Hayo mabox umeyaona au unaamini vya kumbiwa
@user-iw5hu3mc7l
@user-iw5hu3mc7l 5 ай бұрын
Hiyo ndo tanzania watu muhim kama hawa leo mtu amekua choka mbaya ka choka kama mpira wa makaratasi
@khatibabass3106
@khatibabass3106 5 ай бұрын
Kwaio umri wa miaka 96ulitaka afanywe nn? Au arejeshewe ujana? Kama nyumba anayoishi ninzuri ,nguo kavaa nzuri ulitakaje?
@ttss7716
@ttss7716 5 ай бұрын
​@@khatibabass3106Asanti sana pia mimi nilikuwa nataka kumuuliza hilo swali😂😂😂
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 5 ай бұрын
​@@khatibabass3106Umenena kweli. Umri ni mkubwa ni lazima azeeke
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 5 ай бұрын
Asante point maridhawa​@@khatibabass3106
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 5 ай бұрын
USISHTUKE,,WANAKULA VYAKULA KAMA UNAVYOKULA WEWE KWENU,,,,,TOFAUTI NI KWENYE KUANDAA..KAMA NI SAMAKI USIDHANI WA BEI ZENU IZO.
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 14 МЛН
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 25 МЛН
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 18 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,4 МЛН
Ali Karume arusha makombora makali kwa Rais Mwinyi
1:59:56
Weyani Tv
Рет қаралды 74 М.
KIPINDI MAALUM CHA SIMULIZI ZA IKULU
32:35
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 47 М.
Shujaa aliyelala chumba cha Idi Amin wa Uganda  aeleza mazito
12:25
Mwananchi Digital
Рет қаралды 125 М.
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 14 МЛН