Рет қаралды 124,419
Brigedia Jenerali Ambros Bayeke, aliyeweka shoka kwenye mnara wa mashujaa kwenye uwanja mpya wa mashujaa unaojengwa eneo la Mtumba Jijini Dodoma leo Jumanne, Julai 25, 2023 akieleza anayoyakumbuka kwenye vita vya Kagera vya mwaka 1978 hadi mwaka 1979.