Yani inabidi wajirekebishe kauli zao maana hata Mungu ni Mungu wa utaratibu
@wilisonmikate16525 ай бұрын
Mlikosea sana kuwatus watumishi wa MUNGU Akiwemo mwakasege ombeni msamaha
@sayuni123-kl6xk5 ай бұрын
Yaani kama unataka ugomvi na MUNGU mguse Mwl CHRISTOPHER Mwakasege utaona rangi zote
@samwelombeni68505 ай бұрын
Mnaongea msichokijua😢😢😢
@neemamwakasape16302 ай бұрын
Yule ni kama last born wa Mungu. Nampenda sana@@sayuni123-kl6xk
@fidonifidel5 ай бұрын
Ujumbe wenu mmeuwasilisha vibaya. Mngesaidiwa shida mnalalamika sana mkijihesabiwa haki chakufanya jishusheni na muombe kusaidiwa. Kwahiyo mnataka mtoto aliyeuliwa afufuliwe. Kama vile hamna imani, Tafuta namna ya jinsi ya kuwasilisha shida yenu ili msaidiwe ila siyo kwa hii staili mnayotumia.
@user-ch2qb3mm2x5 ай бұрын
Mfuateni iringa
@tinnahagustinolyelu42475 ай бұрын
Yaani kumbukeni Ni wapi mlianguka mkatubu msijihesabie Haki tu Hiro ndio tatizo et mmtukane raisi wawaangalie tu
@sifawayesu70795 ай бұрын
Aaaaaaah Kumbe shida ni kujifanya wenye haki?? Sasa ngoja tu....,maana tunajua Mungu hatanyamaza milele
@Mbarikiwa_Mwakipesile5 ай бұрын
@fidonifidel9929 Sema sana ila omba yasikukute, uzuri wote sisi ni binadamu
Ujumbe umefika. Kumbe ccm wanabagua changamoto za kushughulikia
@user-dk5kk4rf3v5 ай бұрын
Hakuna inayoshughulikiwa ni stories bubble tu .. watu wenye matatizo wapo 20,000 unamsikiliza mmoja unasema ccm hoyeee.. mama Samia juuu... ..na mtandao unasumbua ...mmmmmh
@hechechacha40325 ай бұрын
Hao hao ndio walioyafanya hayo mnayowapelekea na wimbo unasema ccm ni ile ile kanisa mlilieni Mungu
@user-bv5ym1ov7m5 ай бұрын
Mjinga kabisa ww! Kwan ccm ndyo imemfunga au sheria Imemfunga? Acha ujinga
@user-bv5ym1ov7m5 ай бұрын
Sasa aliyemuua Mtoto wake ni nn? Sasa nan akwambie?
@user-rx1bf3en8d5 ай бұрын
Yani hapa nishida
@jescarwegoshola17545 ай бұрын
Umeonae Hawa wanahitaji maarifa ktk neno la Mungu.
@geophureysamsoni50335 ай бұрын
Munahoji vingine mbona Ra mbarikiwa kama nae kakwepa au anazunguka mikoani kutimiza wajibu WA chama chake
@Sebatv-zb9ol5 ай бұрын
Na wimbo wanaimbiwa kuwa ccm ni ile ile,kichwa suzuki injini ya isuzu vip nitafuzu.
@danielmwampeta33385 ай бұрын
Aaahhhhhh SERIKALI TUNAENDA WAPI?😢, Dah hadi wimbo wa Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wotee...,Unagoma
@hoseasteven62415 ай бұрын
ndugu yangu umenichekesha, unaona viongozi wetu hawajibiki ipasavyo kwa wananchi, inauma sana
@user-vy8tb2hq9w5 ай бұрын
Hatari sana ivi
@DonMooSTUDIO_Express5 ай бұрын
Nilikuwa nafatilia sana video za Mbarikiwa. Tatizo lililompeleka jela hakuna asiye lijua. Kama alikuwa anaikosoa serikali kiujumla na ndio sababu yayote kumkuta, iweje mnaenda tena kuomba msaada kwa kiongozi wa chini kabisa aliyewekwa kwa malengo maalumu!?. Kikosi kazi kama mlikubali hakuna kurudi nyuma hata mkamatwe au mzuwiwe vipi ndivyo hivyo mnatakiwa kuvumilia mpaka kifungo kiishe akitoka muendelee tena kama mwanzo. Lakini kama mtakuwa mmeona nguvu ya serikali ndio hapo mkae kimya muongelee mambo mengine muachane na serikali. TAZAMENI wapinzani wanayoyapitia wakati wapo ktk hak kikatiba. Sembuse nyie mnaotambulika kiimani tu siyo kisiasa!?
@eliashibundabalinze27545 ай бұрын
Umeongea point tupu
@DonMooSTUDIO_Express5 ай бұрын
@@eliashibundabalinze2754 jambo la msingi wanalotakiwa kufanya wakamuombe msamaha Raisi waseme hawatarudia kujiingiza kwenye mambo ya siasa huenda akapunguziwa kifungo au akaachiwa. Na akiachiwa wakiacha kuzungumzia siasa mbona watapewa kibali haraka sana na maisha yatakuwa mazuri kwao. Huko kumfata Makonda ni kujidhalilisha kwao na kuonesha jinsi gani wamekoma hawatarudia tena. Naimani miaka hiyo ikiisha hawata thubutu kuongea mambo ya serikali....
@zakiamseka96985 ай бұрын
Elimu ni kitu muhimu
@samwelilulandala23845 ай бұрын
Safi ndugu tuwachane live
@DonMooSTUDIO_Express5 ай бұрын
@@samwelilulandala2384 hapo wanawafanya wapinzani wao waliowakataza kujiingiza kwenye kuwasema serikali kuwacheka. Na isitoshe wameshaonesha udhaifu wao kwakulia lia kumuomba Raisi ambaye walikuwa wanamkashfu, kulia lia mbele ya Tulia Akson ambaye walijywa wanamsema sana. Kulia mbele ya Makando ambaye amewekwa na CCM kusafisha macho ya watu dhidi ya CCM.... Wakati mwanzo walikuwa ngangali kusema hawaogopi jela wala nini. Ilitakiwa waendelee kusema kuhusu haki waachane na jambo la Mbalikiwa mpaka atakapoachiwa na yeye akija aendelee hapo wangekuwa wanaonesha ushupavu. Lakini kwa hali hii huyu mke wa Mbarikiwa akikamatwa na yeye hao watoto wataweza kuvumilia maumivu kweli!?
@davidmazengo6265 ай бұрын
Iooooo IMANII NIMEIPENDAAAA❤
@luganomwasongwe11585 ай бұрын
Mungu ametenda
@checknorisalex51875 ай бұрын
Acheni upuuzi amna msahada apo
@hoseamgema91075 ай бұрын
Majuto mjukuu. . Sheria msumeno. . Kuendesha kanisa bila vibali ni kosa tu kama kuiba au kufanya biashara bila leseni. . Fateni sheria wanyakyusa..
@Mbarikiwa_Mwakipesile5 ай бұрын
Halafu kushauri wakati hujajua mchakato unakuwa kama huna akili, sio kila kitu uonekane una akili
@FmYiu-vx2cs5 ай бұрын
Kiongozi wetu mengi tunayo kwetu wilaya rugwe tumepokonywa mashamba na serikal tunalia mbunge anakwepa mkuu wa wilaya haeleweki tunalia
@benardmassawa35995 ай бұрын
Kazi ipo
@user-cx1xz2is5d5 ай бұрын
Mm sielewi mbona hajamwita mke wa mbarikiwa
@user-zm7kk1tr5l5 ай бұрын
Niripoona mabango nimejikuta naria Baazi ya viongozi hawatutendei haki wananchi mwenyezi mungu kamuinua makonda kusikiriza kero za wanchi bakonda mungu akubariki sana
@eliajimmy955 ай бұрын
MUNGU hajamuinua Makonda CCM ndio waliomuinua Makonda ili awadanganye kwa ajili ya uchaguzi
@thaddeojude75115 ай бұрын
Yaaan lugha mnayootumia yaan sio ya kidini ni kisiasa zsid..na kwann muingize siasa na dini?
@Sebatv-zb9ol5 ай бұрын
Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo,namuelewa sana mwamba na hili naliona likitokea,amkeni watanzania hakuna uongozi hapo,
@margarethpolepole74385 ай бұрын
Katiba ya ccm inasema kiongozi asiyekubali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi ndiyo maana Makonda amechaguliwa kwa kutekeleza ilani za Chama cha Mapinduzi na kukitetea Chama hicho kwa kuwakosoa Viongozi wanaonyanyasa maskini wanyonge wakati wanapodai haki zao
@YavuziiKarassu5 ай бұрын
Ee mungu mpenguvu mbarikiwa atoke jelaa
@margarethpolepole74385 ай бұрын
Mkoa wa Mbeya ni Nigeria namba 2 fini iko humo na uchawi humohumo
@upendomahimbi5845 ай бұрын
😢
@nizwaoman83785 ай бұрын
Wajishushe ccm wamekuwa mungu ccm awasaidii watu wa ndio wanaisaidia ccm kwa kodi zao ila ccm wanawakandamiza watanzania
@LucySanga-jb9wb5 ай бұрын
Kiswahili kigumu huyu mwanamke aliye shika nyalaka sijui anaongea lugha Gani sijui nikiswahili alafu apunguze sifa pia hizo nyimbo zakukejeli inchi yenu huyo mbalikiwa atasota huko
@geophureysamsoni50335 ай бұрын
Ccm ni ireire makonda mtoe mbarikiwa
@user-uk9vm5jn9d5 ай бұрын
Tumeumizwa wana nchi kibamba kashangaki katuibia na kutubomorea nyumba zetu
@sayuni123-kl6xk5 ай бұрын
Kaombeni msamaha kwanza kwa Mwl Mwakasege maana mlivyomsema Mungu hatawanyamazia kabisa
@marthagabriel34175 ай бұрын
Hata mi huwa sielewi ni Mungu yupi wanaemwabudu na watumishi wengine wote kwao ni wabaya Mwakasege mbaya,Mwamposa mbaya joedave mbaya sasa kila mtu mbaya serikali mnaisema vibaya jamani nanyie jitafakarini
@KenedyMboma-zb4cq5 ай бұрын
Ilakiukweli tanzania uonezi nimkubwa mabangoyote haya inamaa wanaonewatu
@erastomapunda14445 ай бұрын
Ukiangalia bango la mbalikiwa na matatizo wanayoonesha wanayatatuwa utagunduwa ni maigizo tuu
@checknorisalex51875 ай бұрын
Sasa makonda atakuambia nn
@astrinomgesi-np5xv5 ай бұрын
Nendeni ofisi ya ccm mkoa wa mbeya
@jessemathew46965 ай бұрын
Mbarikiwa ni mtu mjinga... Alikuwa anakosoa Serikali au anatukana? Na sio Serikali tu mpk Watumishi wote wakubwa wa Mungu... Mwakasege, Kakobe, TAG, eagt Geodav nk...sasa yeye nani kila mtu mbaya... Mwacheni apigwe na Mungu
@marthagabriel34175 ай бұрын
Sijui huwa anamaana gani kuna muda nilikuwa nafuatilia sana nikaishia njiani afya ya akili pia haipo sawa haiwezekani kila mtu adui
@mohamedmatewele91855 ай бұрын
Jambo la mahakamani na mtu kafungwa makonda afanye nini
@gracemahugi43805 ай бұрын
Nashangaa wanapigana navita vya kimwili badala wapambane navita vyakiroho wafunge nakuomba zimebaki lawama tu
@AnastaziaAsmas5 ай бұрын
@@gracemahugi4380we mwanamke wewe
@AnastaziaAsmas5 ай бұрын
Kwani wewe umeona kafanya nini????
@rithaurassa5 ай бұрын
MAKONDA RAIS WETU MTARAJIWA,HOYEEEEEEE
@user-uk9vm5jn9d5 ай бұрын
Makonda tusaidie kibamba mloganzira kashangaki katuonea tunaomba ufatirie hati yake
@johnbundala75965 ай бұрын
Aisseee nyie mi viumbe wa ajabu sana Yan n Zaid ya makomandooo
@checknorisalex51875 ай бұрын
Nchi hiiiiii pimbavuui watanzania mtateseka milele pumbavu kabisa
@nelsonnyamle5 ай бұрын
Kweli ni Ile Ile na mambo yenu ni yale yale
@usatv2695 ай бұрын
❤
@gracemahugi43805 ай бұрын
Mngekuwa mnahubili tu haya yasingewakuta mlimtukana mpaka mama rais wanchi hamuoni nimakosa makubwa nyie ludini nyuma muangalie wapi mlikosea
@sifawayesu70795 ай бұрын
Tusi gani tilomtukana Rais???
@gracemahugi43805 ай бұрын
Sasa kama hamuelewi mlichokifanya amehukumiwa kwa nini maana unataka uniulize maswali ambao mweshimiwa hakimu alishayamaliza
@sifawayesu70795 ай бұрын
@@gracemahugi4380 Aaaaaaah!!!@ Kumbe wewe ni......,sawa mama endelea na yako na sisi pia tuendelee na yetu mda utaamua
@jescarwegoshola17545 ай бұрын
Toba inahitajika sijawahi ona hawa watu wanashuka wao kujihesabia haki,wao wanajiona hawana kasoro,wao ndo bora kuliko watumishi wooote Tanzania,dah kiburi cha uzima🤔
@AnastaziaAsmas5 ай бұрын
@@jescarwegoshola1754Hayo ni yako mtu wa Mungu.
@user-wf2yg7sl4v5 ай бұрын
Wezi ni walewale
@MnyamaTolu-kd5ctАй бұрын
UBAGUZ
@malingazeboss93515 ай бұрын
Hakuna haki mbele ya manyang'au CCM niamini mimi
@PPsstor5 ай бұрын
Mbarikiwa free
@Shedrackwilfred5 ай бұрын
Mungu yupo upande wetu
@ebenezerchurchsupremetv94905 ай бұрын
Serikali mliyoitukana ni hiyo hiyo moja halafu mnataka makonda afanyeje? Aende mahakamani akabadilishe hukumu?
Jamani kesi iko mahakamani ata rahisi hana ayo mamlaka watanzania shida watanzania tunajisahau kuwa mahakama na serikali ni mihimili tofauti kwasabu watawala wenu wanavunja katiba kiongozi wa muhimili huuu hana msimamo ndo maana na watanzania wamelemazwa nakuaminishwa kuwa viongozi au wanawwza tatua kila kitu wananchibembu elimikeni ccm inawafanya muwe wajinga mno
@sifawayesu70795 ай бұрын
Mhhhhhhhhh Kama mtu anaweza kufungwa kwa maagizo Maalum kutoka....,pia aweza kutoka kwa maagizo hayo hayo kutoka....,wewe hujui tuuu
@obedimunguachiza84345 ай бұрын
Mungu wa Mbarikiwa Mwakipesile simama na utende Baba tunakungoja hima.
@meshackmtewele7185 ай бұрын
Hilo makonda limemzidi uwezo naamini anajua hilo
@mbikamtanganaki5 ай бұрын
Nyie vp aliuwwa na nan wakat aliumwa jaman mbona mn zambi
@bcozhenry26985 ай бұрын
Acha ubwege wenye mtoto wanajua kuliko wewe!
@sifawayesu70795 ай бұрын
Siku akiuwawa na wako ndipo nitaona kama utaweza kuropoka pumba kama hizi,lakini bado najua uchungu wa mwana aujuae ni mzazi na ndugu waliokuwa na faida kwa mtoto huyo
@AnastaziaAsmas5 ай бұрын
KWA HII COMMENT YAKO NADHANI WEWE NDO KIBARAKA CHAO KWAIO WAMEKUTUMA UJE KUTEGA UONE TUTAKUJIBU NINI ILI UWAPELEKEE HABARI HAO WALIO KUTUMA SASA ENDELEA KUTEGA.
@user-rx1bf3en8d5 ай бұрын
Najua maimivu mnayopitia ila kwanini mnasema mtoto aliuwawa na wakati aliumwa
@user-gy3dv3tq8d5 ай бұрын
Tena walipata ajari kumbe kaumia ndani kwandani wakaa kidogo mtoto akaanza kuumwa kupelekwa hospital mtoto akafa
@Mbarikiwa_Mwakipesile5 ай бұрын
@user-gy3dv3tq8d Umedhalilika sana tuna vyeti vya hospitali alivyopimwa siku ile ya ajali hakuwa na madhara yoyote, je ulihusika mbona unaeleza jambo usilolijua?
@user-rx1bf3en8d5 ай бұрын
Mtumishi kudhalilika vipi unakoongelea hapa tunajenga Sasa tukisema mtoto aliuwawa tukisimama mahakaman Kuna maswali aliuwawa vipi kwasiraha Gani tunajibu vipi apo
@sifawayesu70795 ай бұрын
Subiria kwanza waue wako au ndugu wa karibu sana ndipo utaelewa maana simba akikosa nyama hula nyasi
@sifawayesu70795 ай бұрын
@@user-gy3dv3tq8dNani alikudanganya hivyo na kujifanya unajua kila kitu weweeee??? Baada ya ajali hiyo mtoto alipelekwa hospitali na kupimwa kisha kuambiwa hana shida yoyote. Au unamtetea......,muuuaji kama nani kwake???
@zakiamseka96985 ай бұрын
Sasa hao waandishi ndio watafanya nini
@Mbarikiwa_Mwakipesile5 ай бұрын
@zakiamseka9698 Sasa wewe comment yako inasaidia nini?
@zakiamseka96985 ай бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile bango lenu na comment yangu havisaidii chochote
@AnastaziaAsmas5 ай бұрын
Kwani wewe ndo unafanya nini?????
@VeredianaKalembi-gs4vs5 ай бұрын
Mbona hajamuita mke wa mbarikiwa jamani
@Mbarikiwa_Mwakipesile5 ай бұрын
Angalia kiulizo hapo ndugu
@user-xg9ix9ex9h5 ай бұрын
Makonda ana mamlaka gani kwenye ishu kama hiyo kuweni makini na mihemko yenu hiyo msije mkaharibu zaidi nawaambia
@FridayMwassa5 ай бұрын
Makonda ananguvu kubwa ndani ya CCM ndani ya serikali ya ccm@@user-xg9ix9ex9h
@sifawayesu70795 ай бұрын
Mimi pia sijuiiiiiii???????
@AnastaziaAsmas5 ай бұрын
Unamuuliza nani sasa?????
@user-ji2pg2vq1i5 ай бұрын
😂😂😂😂😂nafurahi mm kwer wanangu waangamia kwakukosa...maarifa
@samwelilulandala23845 ай бұрын
Hivi nyie kikosi kazi mnajitambua kweli
@mestonisimzosha2035 ай бұрын
Wewe ndio unajitambuwa!!?
@Mbarikiwa_Mwakipesile5 ай бұрын
@samwelilulandala Unawezaje kuwafuatilia watu wasiojitambua?
@makejamaduhu76185 ай бұрын
Na Mimi nilitaka kuhoji Hilo. Kwani hawajui mbarikiwa ameitwa na Mungu kuhubiri aliko huko?
@AnastaziaAsmas5 ай бұрын
Unajua wewe,nadhani hata bila kukujibu jibu tayari unalo.
@samwelilulandala23845 ай бұрын
@@makejamaduhu7618 ameitwa wapi hatujaona wito wa Mungu kwake wala kwa mitume na manabii mnaigiza tu
@karloladislaus455 ай бұрын
CCM ni Ile Ile... Uozo ni ule ule
@SurprisedAtom-vp5qe5 ай бұрын
😂😂😂😂
@hamisimuhunzi79165 ай бұрын
CCM ni kama msitu wa zamani wanaobadilika ni kima tu hawana jipya
@monicamwita78655 ай бұрын
Umeona eeh! Ni ile ile
@tinnahagustinolyelu42475 ай бұрын
Hivi kujua kosa la mbarikiwa utafanya Nini Si Kila vita Ni lazima ushinde wakati mwingine kibari Kushindwa Ili Uwe salaama
@gracemahugi43805 ай бұрын
Jamani nyie mlifungua kanisa kuikosoa serikali au kuhubili watu kwanini msihubili watu neno lamungu mnaingilia mambo yasiasa muwe nahekima namjue kosa leno jamani
@jenyyusuph49735 ай бұрын
Kumbe serikali wa ya a sio watu hembu lete andiko lisemalo inatakiwa kuwahubiria watu na sio serikali
@sifawayesu70795 ай бұрын
Kumbe kosa ni kuwaambia watawala wasiishie kujineemesha wenyewe tu bila kuona shida za watu wa chini?? Aaaaaaah!!
@gracemahugi43805 ай бұрын
@@sifawayesu7079 mungu awasaidie na awape hekima sulemani aliomba hekima zaidi endelea kumwomba mungu atamtoa tu kuliko kuendelea kuweka mabango zaidi
@samwelilulandala23845 ай бұрын
Watanzania asilimia 90 tunawaona washirika wa mbarikiwa hawana mwelekeo na mwisho watajuta tu coz hawana adabu hata mbele za Mungu
@sifawayesu70795 ай бұрын
@@samwelilulandala2384 Hahahaaaaaaa Kwani nani amekuomba utusikilize??? Si achana na sisi tusio na adabu